SOME LEMONADE FOR YOU.. PART 2 - KATI
- August 16, 2018
- By Money Penny Tz ~ Stories
- 0 Comments
HUU NI MWENDELEZO WA SEHEMU YA 1, KAMA HAUKUSOMA SEHEMU YA 1 TAFADHALI NENDA PAGE INAYOFUATA...
______________________________________
CAUTION/ TAHADHARI:
TAFADHALI USICHUKULIE BINAFSI (PERSONAL)
_________________________________________________________
4F. LIMAO YA KUACHWA
Lucifer: Doreen acha basi masihara mbona haukui lakini.
Yani bado una mambo ya kitoto toto tu!
Doreen: akajidai kama hasikii akainuka kwenda kuoga ila safari hii aliloki mlango bafuni. Alipotoka bafuni akamkuta lucifer hayupo. Akajua yupo sebuleni,akavaa nguo haraka harak kwenda sebuleni akamkuta hayupo kuangalia nyumba nzima hayupo, akajua amekasirika kaondoka, akaenda kujiandaa kwenda Kanisani.
CARRIE & GEORGE:
Wana honey mooners nao wapo buzy na malavi davi, all night long, all day long, kwao kila siku ni kama paradiso, baada ya siku 3 za honeymoon wakaamua kwenda kujivinjari Dubai. Wakachukua pipa haooo mpaka Dubai.
Wana honey mooners nao wapo buzy na malavi davi, all night long, all day long, kwao kila siku ni kama paradiso, baada ya siku 3 za honeymoon wakaamua kwenda kujivinjari Dubai. Wakachukua pipa haooo mpaka Dubai.
Carrie anashangaa si unajua hajawahi kupanda ndege kwenye nje ya Tz zaidi ya bondeni anapasifia eh jaman pazuri!
George: anacheka, tukitoka hapa twende na Uingereza au Switzerland?! Chagua tu mimi nitakupeleka mke wangu.
Carrie: anafurahi kuitwa mke, haamini Mungu kajibu maombi yake tena kajibiwa wa kwanza wakati mimi ni mdhambi kuliko wadada wote wanne.
Ah! lakini hakujua Mungu amemwandalia nini mbeleni ingawa alijua hastaili! akaamua kuenjoy yale maisha anayoishi sasa asifikirie ya baadae.
Baada ya kukaa Dubai wiki mbili wakaamua kwenda Switzerland kutalii; wakafungua akaunt Swiss Bank kwasababu George alikuwa nayo tayari wakaamua wafungue ya Carrie na kumrithisha Carrie bank account ya George kama kitatokea chochote kibaya yeye ndio mrithi wake.
Baada ya kukaa Dubai wiki mbili wakaamua kwenda Switzerland kutalii; wakafungua akaunt Swiss Bank kwasababu George alikuwa nayo tayari wakaamua wafungue ya Carrie na kumrithisha Carrie bank account ya George kama kitatokea chochote kibaya yeye ndio mrithi wake.
Maisha ya Carrie na mumewe yakawa matamu sana, Carrie akaona kama anatembelea Mbingu ya 9, akajiambia kweli unaweza ukalala maskini lakini neema ikishuka unaamka tajiri.
KWA CHANNEL:
Chanel akaanza darasa. Uuuwi mwanafunzi wa QT. Kila kitu anaona maluweluwe. Anajikaza akiona haelewi anaenda kwa Doreen weekend anapigwa pindi akiona Doreen kabanwa na kazi anaingia kwa Adrienne anamfundisha..maana muda mwengine Pedeshee anakuwa hayupo kasafiri na wakati mwingine anakaa hata miezi 3 au 6 ndio anarudi.
Baada ya muda Chanel akaanza kuzoea shule. Test zikija anafaulu faulu ingawa sio saana anapata vi B na vi C angalau hashuki chini ya mstari.
Nyumba alishapata Kunduchi Beach, akawa anakaa pekeyake akija Pedeshee wanakuwa wote ila muda wote anakaa pekeyake akiona vipi anamwita Doreen wanakaa nae hata mwezi mzima.
KWA ADRIENNE & SHAWN:
Adrienne na Shawn mapenzi matamu wanaishi appartments za Masaki, wanalipa kwa dola. Hali yao ya kifedha haikuwa mbaya maana Adrinne amekaa UN miaka mingi na analipwa kwa dola na kwa mwaka huo 2008 alishapandishwa cheo swala la hela halikuwasumbua kichwa.
Adrienne na Shawn mapenzi matamu wanaishi appartments za Masaki, wanalipa kwa dola. Hali yao ya kifedha haikuwa mbaya maana Adrinne amekaa UN miaka mingi na analipwa kwa dola na kwa mwaka huo 2008 alishapandishwa cheo swala la hela halikuwasumbua kichwa.
Shawn nae alipandishwa cheo na Lucifer, akawa anapewa kusafiri kuzungukia Middle East yote ( United Arab Emirates, Qatar, Oman, Bahrain) na mshahara ukapanda.
Safaree akaanza kumwonea wivu Shawn akawa haelewi anaona mapicha akaona kama amesalitiwa. Akajiuliza mbona Lucifer alinipandisha cheo inakuwaje nafanya kazi chini ya mtu mwengine?!
Safaree akaanza kumwonea wivu Shawn akawa haelewi anaona mapicha akaona kama amesalitiwa. Akajiuliza mbona Lucifer alinipandisha cheo inakuwaje nafanya kazi chini ya mtu mwengine?!
Sikumoja akavuta mabangi akamfuata Lucifer ofisini, akaambiwa bila appointment hauwezi mwona akaleta fujo wakaja securities wakamtoa nje.
Lucifer anamwangalia kwenye computer yake akawa anamsikitika.
Siku nyingine akamfuata Lucifer nyumbani kwake akiwa na sherehe nae alialikwa. Kabla hajafika akaanza kuvuta bangi huku amebeba bastola kiunoni akachomekea ndani ya koti, kufika akamfuata Lucifer,
Safaree: Don nataka kuongea na wewe.
Lucifer: Nipo buzy!
Safaree: Don naona unaanza dharau, wakasogea ma body guard wa Lucifer, huku anatumia nguvu nataka kuongea na wewe utaniskiza au?!
Lucifer: akamhurumia, twende library kwangu tukaongee wakaongozana na ma-body guard.
Nambie unataka nini?!
Safaree: akawa analalamika, eh umempandisha daraja Shawn sio makubaliano yetu.
Lucifer: Nimebadilisha! nafanya kinachonipendeza na sina wa kuniamrisha.
Safaree: Hapa nadai changu, haki yangu naitaka uliniahidi na wewe ni mtu wa maneno yako hauoni kuwa unanionea? sio fair!
Lucifer: akaona huyu sio Safaree lazima kavuta bangi akawa anatoka kuelekea kwenye sherehe, Safaree akachukua bastola akaipiga juu ya Dari, anamwita Lucifer!, Lucifer! njoo hapa tuongee shenzi wewe, fala mkubwa wewe malaya tu unalala na kila kinachokuja mbele yako nyama wewe leo nitakuua rudiiiiii, nitamuua na huyo Shawn pia wote nyama nyie mtakufa tu kama mbwa hamna maana.
Lucifer: akawaangalia ma bodi gadi wake, akatikisa kichwa, Body guard wakamfuata Safaree, wengine walipotokea Safaree hakujua akasikia ameshapigwa yupo chini kapoteza fahamu... Lucifer akacheka akatoka kuelekea kwenye sherehe yake.
Kurudi nyumbani Shawn akamuadithia Adrienne leo kulikuwa na ugomvi kuna mfanyakazi bwana anaitwa Safaree mjinga sana.
Kurudi nyumbani Shawn akamuadithia Adrienne leo kulikuwa na ugomvi kuna mfanyakazi bwana anaitwa Safaree mjinga sana.
Adrienne kusikia Safaree akashtuka, eh kumbe ni kweli mnafanya nae kazi alafu unajikausha?! Akamuelezea Shawn mahusiano yake na Safaree mpaka alipotaka kumuua.
Shawn: akakasirika kusikia mchumba wake alikunjwa alikasirika mpaka macho yakawa mekundu akakimbia kumkumbatia.
Adrienne: yameshaisha mpenzi wangu usijali wala usimlipize kisasi, acha boss wako amalizane nae tafadhali. Tangu siku hiyo Adrienne hakuongelea tena kuhusu Safaree lakini Shawn alimuweka moyoni mwake kama kiporo!
KWA DOREEN:
Doreen akaendelea na shughuli zake kama kawaida kazini, yupo Kikazi zaidi haangaiki na Lucifer,
Lucifer: akawa akimwona anaumia, anakufa taratibu wala hakutaka kuzungumzia yaliyopita.
Doreen: uzalendo ukamshinda, akaamua kumwuliza Lucifer, Lucifer anapotezea, akaona yaishe.
Lucifer: akapata mualiko Dubai, Doreen jiandae kesho tunatakiwa Dubai, ndege inaondoka saa fulani na visa yako hii hapa tukutane airport saa fulani.
Eh Doreen anashangaa! Leo naenda Dubai makubwa na asijue ya Dubai yanamhusu.
Safari ikawa safari kwa Doreen kazi ikawa imemtoa gundu la umaskini, wakatua Dubai, anashangaa Lucifer anapokelewa vizuri kama mfalme, wakafika hotelini kila mtu na chumbai chake, wakiwa kikazi wanakutana ofisi moja, wiki ya kwanza ikaisha ikaingia ya 2 wakaenda kutembea, wakazunguka kwenye Malls, vivutio vya kitalii, Doreen anashangaa palivyo pazuri maana kwa ule ufuliaji macho yake yalishapoteza kujua uzuri wa ulaya ulaya upoje!
Siku moja Lucifer akamwambia Doreen nataka ujechumbani kwangu kuna kazi nataka tufanye.
Safari ikawa safari kwa Doreen kazi ikawa imemtoa gundu la umaskini, wakatua Dubai, anashangaa Lucifer anapokelewa vizuri kama mfalme, wakafika hotelini kila mtu na chumbai chake, wakiwa kikazi wanakutana ofisi moja, wiki ya kwanza ikaisha ikaingia ya 2 wakaenda kutembea, wakazunguka kwenye Malls, vivutio vya kitalii, Doreen anashangaa palivyo pazuri maana kwa ule ufuliaji macho yake yalishapoteza kujua uzuri wa ulaya ulaya upoje!
Siku moja Lucifer akamwambia Doreen nataka ujechumbani kwangu kuna kazi nataka tufanye.
Doreen akaenda huku ameshikilia roho akijua tu hapa naenda kuliwa. Che! Kufika anaonyeshwa kwenye TV maisha ya James mjini mexico, kuwa ameoa na ana watoto wa 4, amezaa na mwanamke wa ki-mexico na ana amani ana furaha hana hata mpango na Doreen.
Doreen: alishtuka sana kwanza anajiuliza Lucifer amejuaje kuhusu James? Alikuwa amesimama akakaa akaanza kulia, akalia kwa uchungu
Lucifer: akajua move si ndio hii akamsogelea Doreen akamsukumia mbali niache!
Doreen: Umenionyesha ili iweje sasa?! Nimchukie James alafu?! Mimi hata sikupendi acha kunifuatilia, anaongea huku analia na kulalamika.
Lucifer: namba yake ya simu ukitaka nitakupa uongee nae hata ya mkewake. Akachukua simu yake akampigia James akampa Doreen haya ongea nae sasa.
Doreen: eh kweli ni James wake, akamsalimia wakaongea sana, Lucifer anawaangalia tu.
James: Doreen nipo kikazi huku bora umenipigia, mimi kurudi sio leo wala kesho na nimeshakuwa mtu mzima sasa, nahitaji kuwa na familia;
Kwasasa nimeshaoa na nimejaliwa na Mungu kupata watoto mapacha 4.
Doreen: Eh! Tobaaa! Mapacha 4?! James hao si wangekuwa watoto wetu?! Kweli James umeniacha solemba kisa kazi?! Umepiga teke penzi letu kwanini lakini?! Kwanini usingenichukua tuje kuanza familia wote huko ulipo!?
James: Nakushauri Doreen nisahau, najua itachukua muda lakini wewe endelea na maisha yako!
Doreen: analia tu kwanini lakini au huyu sio James mbona tulipendana sana inakuwaje ananifanyia madharau? Nimekusubiria alafu unaoa tu unavyotaka na kuzaa kama mbwa... anaongea kama chizi.
Lucifer: anamhurumia maskini! Dah! Simu ikakatwa
Doreen: akalia kwa uchungu mpaka akawa anashindwa kutembea, akaondoka kwa Lucifer akaenda kulala chumbani kwake.
Lucifer: akamfuata chumbani kwake, akakaa kwenye kiti anamwangalia anavyolia kitandani.
Doreen: akalia mpaka akapata usingizi akalala lakini Lucifer hakuondoka, usiku ukaingia akaagiza chakula pale pale, akamwamsha Doreen ale Doreen akakataa, akaamua kula mwenyewe. Lucifer hakuondoka chumbani kwa Doreen akaamua kulala pale pale kwenye kochi alilokaa mpaka kulipokucha. Akamuamsha wanatakiwa kuondoka kurudi nyumbani Bongo.
Doreen: alilia macho yakawa mekundu yamevimba, hakutaka kula wala kunywa akaingia kuoga akavaa nguo na miwani wakaondoka na Lucifer kuelekea Airport, wakiwa wanasubiri ndege,
Lucifer: Doreen umri wako sasa ni mkubwa, angalia maisha yako umri hautakusubiri, fanya maisha yako tafuta bwan mwengine, kama utapenda kuwa na mimi niambie kama hautaki na mimi nitafute mwanamke mwengine nioe.
Doreen: akamwangalia kumtukana anataka kumpiga anataka anshindwa!
Yani sielewi huu mchezo ulioucheza Lucifer, najua hii ulishaipanga wewe, basi tu kuniharibia kwa mwanaume ninaempenda! Ili unipate? Basi kwa taarifa yako wala sikutaki, tafuta mwanamke mwengine uoe mimi sihitaji wanaume tena, wanaume wote waongo!
Lucifer: akamuangalia akajua ni hasira tu, nampa muda! Akamkumbatia akawa anambembeleza!
________________________
G. ASALI YA MECHI
Kwenye ndege Lucifer anamwangalia Doreen analia tu, anajiambia bado anampenda sana Doreen mapenzi yake kwa Doreen ni ya tangu shuleni. Mali zote nimetafuta ni vya Mwanae na Doreen, yote nimefanya ni kwa ajili ya Doreen, lakini atamwambiaje ili amwelewe hata na kuletwa kwa James kwenye maisha ya Doreen ilikuwa ni kwa ajili yake yeye Don Lucifer!
Hizi biashara za kutoana bikra sikutaka nikaamua kumpa James amalize shoo, lakini sikujua tutafikia pabaya namna hii!
Akawa anamwangalia Doreen analia akawa anaumia kweli kweli, chakula hataki tena hataki chochote anatamani afike nyumbani kwake basi.
Lucifer: akaona huu ni ujinga sasa mambo ya kulia ulia mambo ya uchuro uchurro ya kizamani, alafu tupo angani tusije tukafa bure, akaamua kumgombeza pole pole
Lucifer: we mama acha ujinga nakwambia, ivi una mapepo au una kichaa? Unalilia mwanaume kama unalia mazishi ya mtu wako wa karibu?
Sijawahi ona mjinga kama wewe unalilia mwanaume, haya ni maisha tu huyo James umakuja nae Duniania au umemzaa? Au ni Mzazi wako?
Huku anampeti peti kwa kumgombeza lakini wapi Doreen habari hana!
Baada ya muda Doreen akaamua kunyamaza, wakaanza kupiga stori, alipochoka Doreen akamwambia niache nilale.
Lucifer akamwacha, lakini Doreen hakuwa amelala, akawa anawaza lkn kulia kukakata, kuja kushtuka anaamshwa bado lisaa limoja kutua.
Lucifer: anamwuliza enhe mke wa James bado unalia? Au umebadilisha mawazo unataka kuwa mke wa Pilot?!
Doreen: akacheka tangu hapo kulia kukakata akawa anacheka tu.
HUKO BONGO:
Safaree alitupwa kwenye shimo reeefu kwenda chini, anateswa, mara wanam-mwagia maji ya moto anaungua mpaka anababuka, wara wanamtupia funza, chawa, panya waliooza, sikunyingine wakimhurumia wanamtupia maji ya kawaida masafi aoge, basi tu wanampa tabu.
Lucifer alkiposafiri akaja Shawn akamtoa shimoni, akaagiza ma bouncer wampige yeye akajificha chumba kingine huku anawaangalia anavyopigwa yani hasira zote za Shawn zimalizikie pale, ikapita dk 45 Shawn hasira zikaisha akawaambia body guard amrudishe kwenye shimo lingine safi ambalo halina uchafu, mpaka Lucifer atakaporudi.
SWITZERLAND MPAKA BONGO:
Baada ya Carrie na George kuinjoi Switzerland wakaamua kurudi Bongo, maana muda wa Carrie kurudi kazini ulikuwa umefika, wakatua Dar wakaelekea nyumbani kwao, Carrie akaonekana kunenepa kidogo, sasa sijui alinenepea mapenzi au amekuwa mama kijacho?
Maisha ya ndoa yakaanza Carrie sikuhizi anapika, anafua kwa mikono, alipoona kufua kwa mikono anachoka akanunua washing machine, baada ya muda kazi za ndani zikamshinda akaamua kutafuta dada wa kazi wa kwenda na kurudi kwa wiki mara 2, nyumba ikawa safi, George akaleta Interior Designer toka bondeni, akawa-designia nyumba yao, nyumba yao haikuwa ya ghorofa ilikuwa ya chini ya vyumba vi4 na nje kuna nyumba self contained akawa analala mdogowake Carrie wa kiume. Maisha yakawa mazuri, maisha yanapanda, kwa upande wa George kibiashara akazidi kupanda sana, Carrie nako mambo yanamwendea vizuri, branch yake inafanya vizuri.
KWA CHANNEL:
KWA CHANNEL:
Chanel shule inakwenda, akawa anammiss Pedeshee, wakifunga shule, Pedeshee anampandisha ndege anamfuata alipo.
Pedeshee alienda Oman kibiashara, Chanel akamfuata. Chanel wa sasahivi sio Chanel wa zamani, ni karibia mke wa mtu, kila kitu cha Pedeshee anamiliki na kazi yake ya Shoprite alishaacha muda, si kawa muke ya tajiri!
Alipofika Oman bwana akaanza kuleta vurugu, si unajua wa Oman ni full dini, alipomkuta Pedeshee airport na miugwadu yake akamrukia, full kulana airport.
Mapolisi haoo.
Mapolisi: Sorry, kissing is not allowed.
Pedeshee: akaomba msamaha na kuwaambia huyu ni mke wangu lakini.
Mapolisi: wakamwonyesha kibao kimeandikwa No Kissing in Public!
Kwa hasira ya mapenzi wakaenda kumalizia ugwadu wao kwenye gari katika parking! Iyo mikelele sasa ya Chanel sheedah, wakpita waarabu wanashangaa, wengine wanapiga picha wengine wanaenda kuita polisi kitu maadili baby!
Wao wapo buzy wanafurahiana, kuja kukaa sawa mapolisi wa 5 wanawaangalia.
Pedeshee: Samahani polisi kuna tatizo?
Mapolisi: Ndio umeleta matatizo kwa raia, mmechafua amani ya wananchi, lazima tuwape faini, la sivyo tunawaweka ndani.
Ikabidi wajiweke sawa waende na mapolisi kulipa faini,faini ikaja dola 1000, dah Pedeshee inamuuma lakini dola 1000 na utamu ikabidi alipe tu.
HUKO BONGO:
Adrienne: Wakati anajiandaa na mipango ya harusi, akahamishiwa kikazi Uingereza, uzuri kule wapo wazazi wake.
Siku moja Adrienne akiwa anapika na mama yake, mama yake akaona amevaa pete ya engagement
Mama Adrienne: kulikoni mwanangu naona kidole kinang’aa au ni ya urembo?
Adrienne: akacheka sana, akamweleze kuhusu Shawn akamwambia anataka kumuoa.
Mama Adrienne: alifurahi sana, Shawn ndio nani? nionyeshe picha nimwone, akaonyeshwa picha kama 5 walipiga wakiwa Tz, zingine akazificha maana nyingi walikuwa nusu uchi au watupu kabisa!.
Mama Adrienne: jamani mkwe ni mzuuuri, very handsome, umempata wapi? Kabila gani? Umri gani? Engagement ilikuwajembona hujaniambia umekuwa msiri mwanangu! Na picha za Engagement mbona hujanionyesha?
Adrienne: akachoka! akikumbuka alivyovishwa pete hata hakutaka kuongelea akabadilisha story.
Mama Adrienne: akawa anashangaa kwanini hana picha.
Adrienne: Mama bwana haya ya engagement hata sijui nikwambiaje maana ilikuwa haraka haraka sana, hamna hata picha iliopigwa.
Mama Adrienne: akalazimisha ajue, akaishia kumwambia nilivishwa pete kwenye lift wakati wanaenda kula hotelini.
Mama Adrienne: akacheka sana, kijana amekupenda sana mpaka ameona aombe ndoa kwenye lift haya!
Siku hiyo hiyo usiku mama yake Adrienne akamweleza mumewe. Ilipofika weekend wazazi wake wakamwambia Adrienne amlete Shawn ili waje wamfahamu na mambo ya mahari yafuate.
Adrienne: akafurahi maana wazazi wake japo walikuwa na mambo ya kizungu zungu flani lakini ni watu wagumu sana kumkubali mtu, hasa ambae hawajamwona ana kwa an wameonyeshwa tu kwenye picha.
Adrienne: akampigia Shawn akamweleza yaliojiri kwao, akaambiwa anaruhusiwa kwenda kulipa mahari.
Baada ya muda mahari ikaandaliwa na Shawn, Shawn akaenda kuwaona wazazi wa Adrienne, wakampenda!
Wazazi: karibu sana kijana kwenye familia yetu, tunakupenda sana, asante kwa kumpenda binti yetu, Shawn akaishi kwa akina Adrienne wiki nzima, Babake Adrienne akachukua likizo awe tu karibu na kumfahamu Shawn, mpaka Shawn anarudi Tz, alishapewa maksi mia mia, akakubaliwa alete Mahari alipie.
Wakiwa kwa akina Adrienne wakawa wanafosi mechi, kila wakifosi wanakamatwa, wanatenganishwa aibuje!
Wiki iliofuata Shawn akaongea na familia yake, wakakubali, baada ya wiki 3 akawasafirisha Mjomba, Baba Mdogo na Mshenga kwenda Uingereza kulipa mahari na kufahamu Familia anayooa mwanao!
Adrienne: Hakuamini analia tu anaiona ndoa hiyoo kama inakuja kesho. Wazazi wakawapokea, wakawafurahia mambo ya mahari yakaenda vizuri.
Adrienne alilipiwa mahari dola elfu 6. Kwa hela ya madafu kwa mwaka 2008 nadhani ilikuwa inasoma Tsh 1500 sawa na mil 9.
Milion 9 kwa Shawn haikuwa tatizo akamwambia mshenga hata wakitaka mil 10 wape.
Mahari ikalipiwa kwa cheki (Cheque), ulaya ni mambo ya kidhungu bwana, sio kubeba mbuzi sijui kapu la mama sijui kitenge cha shangazi, wala hata hawakudai, wakapanga tu tarehe ya ndoa wakakubaliana vyote vitafanyika Tz, Sendoff na Harusi ila Kitchen party Mama wa Adrienne ataamua kama atafanya au la, ijapokuwa wazazi wa Adrienne hakujua kuwa Adrienne alikuwa anaishi na Shawn.
Mama Adrienne: alijua mwanae anaishi kwake Mikocheni, amejitunza, anampenda Mungu, Bwana amefanya amemletea kijana ambae amemvumilia hajamgusa mpaka ndoa! Kumbe ni sheedah!
Baada ya mwezi mmoja Shawn akarudi tena Uingereza akafikia hotelini! Akamfanyia surprise Adrienne akasubiria anatoka kazini akaenda kumchukua, Adrienne alifurahi sikuhio hakulala kwa wazazi wake akaaga kazi zimekuwa nyingi atabakia ofisini mpaka asubuhi… Mechi ikapigwa ya fujo, si kashalipiwa mahari, usiku mzima hawakulala!
Ikawa ndio tabia ya Adrienne akitoka kazini anapiga misele hotelini kwa Shawn, Lunch time anaenda hotelini kwa Shawn sikunyingine anaomba likizo anaumwa nyumbani kaaga anaenda kazini, kumbe yupo hotelini anakimbizwa!
Siku moja wakaenda na Shawn kula ice cream, Adrienne kuona Ice cream akaanza kusikia kichefuchefu, alipopewa akatapika pwaa!
Siku moja wakaenda na Shawn kula ice cream, Adrienne kuona Ice cream akaanza kusikia kichefuchefu, alipopewa akatapika pwaa!
Shawn: unaumwa au malaria?
Adrienne: Malaria Uingereza, sijui tu sijiskii vizuri, wakaondoka wakaenda hospitali.
Adrienne: alipofika hospital akasikia harufu ya hospital akatapika, Shawn akajua labda Malaria, kwenda kupima vipimo vyooote, akaambiwa Adrienne hana shida yoyote. Akamwuliza dokta mbona anatapika?
Dokta: kwani haujui kuwa mkeo ni mjamzito? Ana mimba ya miezi 4, wakaangaliana wanashangaa!
Shawn: anafurahi, kimoyomoyo anashukuru, doh afadhali naenda kupata mtoto!
Lakini sio Adrienne, aliogopa mpaka harusi ije ifanyike ataumbuka!
ITAENDELEA LEO TAR 18 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
MWANAMZIKI MWANAMAMA ARETHA FRANKLIN WA MAREKANI...
MUNGU AILAZE ROHO YAKO MAHALI PEMA PEPONI, AMINA.
TUTAKUKUMBUKA KWA KAZI ZAKO NZURI TANGU MIAKA YA 70 MPAKA 2000.
________________________SEHEMU YA 5
A. ASALI YA MAPENZI YA KWELI
Shawn alifurahi vibaya mno, hapo hapo anataka kujua na jinsia ya mtoto, Adrienne akakataa mimi naogopa mama atagomba na harusi yenyewe inafungwa ndani ya miezi 6 ijayo huku analia, dokta ikabidi awapishe waongee.
Adrienne: anapaniki itakuwaje sasa hii harusi itabidi ifungwe ndani ya miezi miwili na mimi sitaki kuanza kuchoka kwenye sherehe, anaogopa!
Shawn: anafurahia finally anaanza kuitwa baba.
Adrienne: anamwangalia kwa jicho la hasira, huyu vepee?! yani Shawn hauelewi mambo ya nyumbani kwetu, Mama yangu mkali sijui nafanyaje, atakususia mwanae we humjui!
Shawn: yani nakushangaa unamwogopa mama kama unamwogopa Mungu! kwani wewe una miaka 12?! Unachotakiwa ni kumtunzia heshima Mama ingawa ndio tumeshachelewa katika hilo, tayari tushatengeneza bond kubwa, huku anambusubusu mikono, bega, mashavu.
Adrienne: anaanza kucheka, Mama yangu ni wale walokole asilimia 100 utadhania anatembea na Yesu leo mwanae anaolewa na mimba kubwa kama Kangaroo unadhani atajiskiaje?!
Shawn: basi tuoane wiki ijayo tuwaambie hatutaki kufanya sherehe kubwa na ukiangalia mimi sina wazazi nimebakia na Mjomba ambae na baba mdogo basi ndio walioniangalia sana, cha kufanya ni kuwasafirisha na wake zao.
Adrienne: akakosa pozi akakubaliana na uanmuzi wa Shawn!
Dokta akarudi: naona mambo mazuri, je tunaweza kwenda kuangalia ni mtoto gani?!
Wakakubali, kufika eneo la tukio na kuchekiwa kumbe Adrienne ana Mapacha wakike na kiume.
Kha! Adrienne akacheka mpaka akajamba, Mungu wangu Shawn hii ndoa tufunge kesho mimi sitaki aibu mimba ya mapacha sio mchezo! Alafu mbona sionyeshi hata tumbo sio kubwa!?
Wote wakacheka.
Walipotoka hospitali wanarudi njiani wanapanga wanafanyaje ili kuwaambiwa wazazi wao wanaoana wiki ijayo. Baadae Adrienne akawakumbuka marafkizake akasema sasa akina Doreen, Chanel na Carrie wakikosa harusi yangu hawatanielewa kabisa na wala sitapenda.
Shawn: hela niliobakia nayo ni ya kusafirisha wajomba, shangazi, baba mdogo na mama mdogo na ya kuanzia maisha.
Adrienne: akamuangalia akanyamaza, baadae akamjibu nitaongea nao kama wanaweza kuja.
Siku moja usiku akashtuka ndotoni aliota Safaree ameingia kwenye harusi yao akampiga risasi Shawn akafa. Akaanza kuomba na kukemea akasema bora hii Harusi ifanyike huku huku sitaki balaa, akaamua kuchukua simu awapigie marafkizake.
Doreen: akafurahi sana kwa mwaliko na kusikia rafikiake anaolewa tena nje ya Tanzania na ana watoto mapacha tumboni, nitakuja ngoja niombe ruhusa kwa Don Ngiri.
Adrienne: Ngiri ndo nani?
Doreen: oh sorry! nimekosea sorry nimemaanisha Lucifer.
Adrienne: akaguna akawaza amelisikia wapi hilo jina akawa hakumbuki! Akamwomba Doreen amwambie Chanel maana hampati kwenye simu.
Doreen: Mwenzio yupo Oman ila nitaongea nae nikimpata.
Walipomaliza maongezi Adrienne akampigia Carrie,
Adrienne: Fundi Carrie akafurahi eh shoga kilaza wa mechi leo unaolewa?! Tena ushalipiwa mahari?! Makubwa!
Adrienne: Tena nina mimba ya miezi 4 ya mapacha wa kike na kiume.
Carrie: woyoooooo mama vijacho woooyooo! Akyanani sio kwa hii surprise, itabidi nije unitoe darasa sio kwa surprises hizi jaman akampa hongera wakaongea sana, simu ikakatwa.
HUKO BONGO:
Doreen: akiwa ofisini akawa anapanga anaagaje kwa Lucifer kwenda kwenye harusi maana nae mnoko kama nini, akamfuata ofisini, Lucifer nataka kuongea na wewe kitu personal akafunga mlango akaubana!
Lucifer: kusikia personal akapagawa enhe nambie mke wangu.
Doreen: akaguna, yani wewe haya bwana, sasa rafkiangu kipenzi Adrienne anaolewa weekend ijayo na Shawn naomba likizo kwenda kwenye sherehe maana mimi ni maid of honor!
Lucifer: Hapana!
Doreen: akashtuka hapana kwanini tena?!
Lucifer: Hapana, lazima twende wote siwezi kosa harusi ya rafkiangu wa miaka 20 jiandae, huku anaubusu mkono wake, mambo ya visa huku anambusu shingoni, na ndege akambusu kwenye shavu, nitashughulikia, ok?!.
Doreen: akanyinyofoa kwa Lucifer, nipo kazini boss, nashukuru, akiwa anataka kutoka Lucifer akamwambia naomba uje nyumbani kwangu usiku nataka kuongea nawe kiutu uzima basi.. saa 2 usiku uwe umeshafika.
Doreen: Sawa Pilot akatoka. Kufika ofisini kwake akajiambia du kweli Mungu anajua ku-replace mapenzi balaa! sio kwa raha hizi za kuhangaikiwa kila kitu. Lakini leo lazima nikamshukuru Lucifer.
Alipotoka tu ofisini akaenda kupima ukimwi akakutwa hana, magonjwa ya zinaa hana!
HUKO OMAN:
Chanel akapata Simu toka kwa Doreen akiwa anaelekea kwa Lucifer, akamwambia tummealikwa kwenye harusi ya Adrienne Uingereza, kama wataweza waonganishe wakitoka huko maana ni weekend hii,
HUKO OMAN:
Chanel akapata Simu toka kwa Doreen akiwa anaelekea kwa Lucifer, akamwambia tummealikwa kwenye harusi ya Adrienne Uingereza, kama wataweza waonganishe wakitoka huko maana ni weekend hii,
Chanel: Akashangaa imekuwaje? Sawa nitakwenda, wakaagana simu ikakatwa!
Chanel akamweleza Pedeshee, Pedeshee akamwambia sawa tutakwenda, wakazama mechini, Cha kushangaza ni kwamba hawachokani! Kila mtu ana hamu na mwenzake, kuna siku wakabambwa na Hotel Manager wakiwa wanapiga mechi kwenye swimming pool ya Hotel, wakapewa onyo wakaamua kuhama hotel! Mpaka wanaondoka Oman walishahama hotel kama 3 kwa kubambwa kupiga mechi hadharani.
HUKO DAR:
Mechi kati ya Carrie na George ilikuwa full shangwe nao kama kawa kujisahau sikunyingine mechi inapigwa kwenye bustani ya maua, mara wabambwe na mlinzi, mara wabambwe na mbwa, yani ni kufuru mbaya.
HUKO DAR:
Mechi kati ya Carrie na George ilikuwa full shangwe nao kama kawa kujisahau sikunyingine mechi inapigwa kwenye bustani ya maua, mara wabambwe na mlinzi, mara wabambwe na mbwa, yani ni kufuru mbaya.
Carrie: akamweleza George kuhusu harusi ya Adrienne,
George: mmmh! Hapana sitoweza kwenda kwasababu nina kikao Africa Kusini.
Carrie: akachoka! Sawa nitaenda na Doreen hamna neno.
USIKU HUO:
Doreen kufika kwa Lucifer, akapokelewa na Butler! Kapendeza mwenyewe, kavaa umini ndani hamna chupi,
Doreen: yupo wapi Lucifer:
Butler: Yupo chumbani kwake anajiandaa msubirie hapa sebuleni.
Doreen: akakaa sebuleni alipoona butler kaondoka akanyata kutafuta chumba cha Lucifer, tafuta na wewe kama dk 15, akamwona Lucifer anaoga!
Akamwangalia na lile bodi na ule uzuri na ile machine yake hoi, akajiambia hii ndio nafasi yangu ya kurudisha shukrani, akaingia chumbani kwa Lucifer akavua nguo akamfuata bafuni.
Lucifer: anashangaa anaskumbatiwa kwa nyuma kugeuka anaona ni Doreen.
Lucifer: umeshafika mara hii nilidhani utakuja saa… Doreen akamziba mdomo, kama kawa mechi ikaanza. Doreen sijui kapandwa na shetani gani sijui la Singida au pepo la mahaba, kha!
Lucifer: alichanganyikiwa hakuelewa anapewa ujumbe gani akawa tu ana-enjoy raha!
Doreen: akamfunga kaka wa watu magoli ma 3, akatoka bafuni anajiona biiingwa kweli kweli!
Lucifer: bado yupo bafuni na maluwe luwe, haelewi ule mziki ulikuwa wa nini, kutoka anamkuta Doreen ameshavaa anamwambia njaa inauma twende tukale.
Lucifer: akajizaba kibao cha kushoto na kulia ili aamke kumbe alikuwa ameshaamka!
Kufika msosini akamkuta Doreen anabugia utadhani hajala mwaka.
Kufika msosini akamkuta Doreen anabugia utadhani hajala mwaka.
Lucifer: Mama unakula kama unahama!
Doreen: Mimi naondoka kilichonileta nimeshakifanya,
Lucifer: Kwani unajua nimekuitia nini?
Doreen: Hapana, huku anabugia!
Lucifer: Punguza basi kula kama unahama au hakutakuwa na chakula tena! Au nyumbani kwako hamna chakula?!
Doreen: akamwangalia huku anaendelea kula.
Lucifer: akaendelea kuongea, Doreen yanamwingia kushoto yanampita kulia.
Lucifer: ….akamalizia ila kwa yale mauno ulionipa leo sio mchezo ulikuwa una maanisha au?
Doreen: Yah! Huku anakula chakula, alipokaribia kumaliza chakula akaona Lucifer ameshapiga goti anatoa pete anamwuliza Doreen will you Merry me?!
Doreen: akapaliwa huku anakohoa!
Lucifer: anacheka tu.
Doreen: akanywa maji.
Lucifer: bado yupo magotini tu anasubiri jibu.
Doreen: anajibalaguza! hajui anaomba kuolewa kwa kitu gani alichokifanya?!
Akamaliza shughuli zote alizokuwa anazifanya mezani, kijana wa watu kapiga goti zaidi ya dk 10, anamwangalia tu.
Lucifer: Doreen bado nipo kwenye magoti sasa sijajua hii ni adhabu au ndio unataka kunifanya mtoto wa sekondari na wewe ni mwalimu wa nidhamu?!
Nipe basi jibu? Nakupenda miaka mingi ujue basi tu!
Doreen: akakohoa! huku anamwangalia!
ITAENDELEA KESHO J2 TAR 19 AUGUST 2018 SAA 8 MCHANA YA TANZANIA
________________________ B. UPENDO WAKO NI ASALI YA KUIMBWA!
Lucifer: jamani unajua mimi siondoki magotini mpaka umenipa jibu.
Doreen: anameza mate anaona kama anataniwa! akamsogelea akamshika mashavu huku anamwangalia machoni.
Lucifer: kama anatia huruma machoni, hehe, Doreen akacheka kimoyomoyo.
Lucifer: Doreen nakupenda, Will you marry me?
Doreen: anamwangalia tu, baadae akaanza kuimba,
Lucifer: akachoka akainama chini!
Doreen: akaendelea kuimba wimbo wa George Michael, anamwimbia Lucifer;
Did you know that true love asks for nothing
My acceptance is the way we pay
Did you know that life has given Love a guarentee
To last through forever
Another day Lucifer akaimba:
As around the sun the earth knows she's revolving
And the rosebuds know to bloom in early May Doreen akaendelea:
Now I know deep in my mind
The love of me I felt behind
That I'll be lovin' you always
Did you know that true love asks for nothing
My acceptance is the way we pay
Did you know that life has given Love a guarentee
To last through forever
Another day Lucifer akaimba:
As around the sun the earth knows she's revolving
And the rosebuds know to bloom in early May Doreen akaendelea:
Now I know deep in my mind
The love of me I felt behind
That I'll be lovin' you always
Lucifer akaitikia:
Until the rainbow burns the stars out of the skyDoreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the ocean covers every mountain high
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the dolphins fly and parrots live at sea
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until we dream of life and life becomes a dream
Doreen: I'll be lovin' you always
Lucifer: Until the day is night and night becomes the day
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the trees and seas just up and fly away
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the day that eight times eight times eight is four
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the day that it's the day that I'm no more
Until the rainbow burns the stars out of the skyDoreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the ocean covers every mountain high
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the dolphins fly and parrots live at sea
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until we dream of life and life becomes a dream
Doreen: I'll be lovin' you always
Lucifer: Until the day is night and night becomes the day
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the trees and seas just up and fly away
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the day that eight times eight times eight is four
Doreen: I’ll be Loving youLucifer: Until the day that it's the day that I'm no more
Doreen: akatabasamu, akamjibu Ok I will Marry you! nitakupa nafasi ya mwisho ukizingua kama James hautaniona tena.
Lucifer: akamvisha pete wakaanza ku kiss kiss. Wamekiss wee mara wakaanza kugandiana chini ya meza ya chakula, ma body-guard ikabidi waondoke maana walijua mechi ya leo watakuta meza imepasuka!
Wakanyata mdogo mdogo wasionekane wanatoroka! Mechi kuisha kweli kama walivyotabiri ma body-guard, ila meza haikuvunjika.
Doreen: kamfunguka goal 3 bila, sijui Lucifer alikuwa amepagawa skuiyo au ndio ule mwimbo ulimfikisha mbali au alimwachia maana alifungwa magoli kiboyaboya.
HUKO OMAN:
Chanel na Pedeshee wakajaribu kuomba Visa ya Uingereza Oman wakakataliwa maana sio kwa mafujo yale waliofanya mtaani! Wakaamua kurudi zao tu huku bongo kuanza process kwa Pedeshee Visa yake haikusumbua maana anasafiri sana ila bibie Chanel akapigwa benchi kwanza wiki 3, akaona ameshaikosa harusi, akakubaliana na hali halisi ikabidi aongee na Adrienne wasogeze mbele, Adrienne akasikitika lakini akamwambia usijali nitaangalia cha kufanya ngoja niongee na Shawn.
HUKO UINGEREZA:
Shawn akaenda kuongea na baba yake mdogo na mjomba kuhusu harusi kufanyika wiki zinazofuata!
Chanel na Pedeshee wakajaribu kuomba Visa ya Uingereza Oman wakakataliwa maana sio kwa mafujo yale waliofanya mtaani! Wakaamua kurudi zao tu huku bongo kuanza process kwa Pedeshee Visa yake haikusumbua maana anasafiri sana ila bibie Chanel akapigwa benchi kwanza wiki 3, akaona ameshaikosa harusi, akakubaliana na hali halisi ikabidi aongee na Adrienne wasogeze mbele, Adrienne akasikitika lakini akamwambia usijali nitaangalia cha kufanya ngoja niongee na Shawn.
Shawn akaenda kuongea na baba yake mdogo na mjomba kuhusu harusi kufanyika wiki zinazofuata!
Wazee wakashtuka kuna nini?
Akawaambia hali ya mke wake mtarajiwa, Wazee wakachoka.
Mjomba: Sasa hii aibu jamani.
Baba mdogo: hakuna aibu kwenye kupata mjukuu,
Shawn: Wajukuu!
Wazee: Eh! Wajukuu! wakabakia kucheka, sasa tunawaelezaje wakwe, wakapanga mbinu zao hapo, Mshenga akasema basi tusogeze mbele wiki 5, baba mdogo akajibu maana wake zetu wale hawajui kuhusu visa wala ndege bora ya sisi tukisema tuwasubiri itachukua hata miezi 2 maana kwanza wapo vijijini, wakakubaliana,
Adrienne: akamweleza Shawn kuhusu Carrie atachelewa kuja na huenda akatukuta tushatoka honeymoon, Visa yake imechelewa atakuja baada ya wiki 3, Shawn akamwambia sawa ndio nzuri kabisaa tumepanga hivyo na baba zangu akamwelezea. Iliobaki ni kuongea na wazee wako mabadiliko ya sherehe!
Adrienne: doh! mama yangu hatoskia vizuri ataonekana amedharauliwa bora wazee wako wakaongee nae mimi siwezi, naona aibua!
Shawn: akaomba baba zake waongee na wakwe, Wazee wakawasiliana na wazazi wa Adrienne, Mshenga akaeleza hali halisi, Mjomba na Baba mdogo wakaomba msamaha kwa usumbufu.
Mamake Adrienne: Analia, haelewi mwanae kageuka shetwain saa ngapi?
Baba Adrienne: akafikia muafaka nao kuwa watatoa jibu, simu ikakatwa!
Nyuma ya Pazia sasa, Mama Adrienne kwake ikawa bonge la skendo, kavimba anakemea pepo shindwa, anaomba anafunga kavu 3 anamwombea mwanae, akaenda kanisani kuongea na wamama wa kanisa aombe mashauri wakaanza kumpampu usikubali amekudhalilisha sana, si unajua tena wamama wa kanisa walivyo wanoko kwanza wengine walipenda mwanae aolewe basi vurugu tupu. Wakamchanganya Mama Adrienne akazidi kuchanganyikiwa.
Mama Adrienne: Baada ya kuwaza na kuwazua akaona sasa mwanangu ataenda wapi hata nikimzuia hao watoto atawalea mwenyewe itakuwaje mzigo wa mapacha! Akaenda kuongea na Shawn hotelini alipokuwa anaishi, Shawn anaogopa, akajua leo lazima aachiwe laana!
Mama Mkwe akaongea nae tu kiutu uzima akaona kumbe Shawn anampenda sana mwanae na amefurahi kumuoa na kulea familia yao akajiona mjinga kujipa mi-stress yoote ile mpaka kwenda kuongea na ile mishoga yake ya Kanisani umbea tu. Akamwambia Shawn piga magoti nikuombee.
Shawn: akapiga magoti huku anashangaa maana hajakanyaga Kanisani tangu Yesu arudi Mbinguni, hehe, chezeya kazi za Lucifer wewe!?
Akaombewa huku Mama mkwe anamkemea mapepo,
Shawn: anacheka kimoyo moyo, anatamani kupasuka kwa kucheka anashindwa! Moyoni anasema eh mama yatoe tu yote mengine yameganda kwenye ukuta wa mwili wangu.
Mama anazidi kukemea shindwa pepo la ngono, michepuko, kuzaa nje, kutokusamehe, talaka, nafunga roho za talaka!
Shawn: Kimoyomoyo anasema oyooooo mama vepee! Shawn kusikia kutokusamehe akafungua jicho, kichwani anajiambia eh huyu mama mwanga nini amejuaje nina shida ya kutokusamehe? Mama Mkwe akapiga maombi alipomaliza akaondoka kurudi kwa mume wake, akaongea nae wafanye harusi baada ya wiki nne hamna haja ya sendoff, wakakubaliana wakarudisha majibu kwa Mshenga, mikakati ya harusi ya fasta fasta ikaanza.
Baada ya wiki 3, Safaree akafunguliwa toka shimo alilowekwa na Lucifer, akaenda kuogeshwa na ma body guard akapewa suit mpya na begi la nguo na la hela akaambiwa uende ofisini kwa Lucifer anakusubiria!
Safaree: akatua ofisini kwa Lucifer amezungukwa na mabody guard wanamzuia asije akamdhru tena Lucifer,
Lucifer: Naona umeshashika adabu sasa? Una bahati nimeingiwa na roho ya huruma sikuhizi, la sivyo ningekuua, sasa ukirudia tena kunidhuru mimi au familia yangu au watoto wangu au kizazi changu au mtu yeyote wa karibu yangu nitakuaga nikusafirishe Mbinguni mwenyewe bila msaada wa ma body guard!
Safaree: sawa Mkuu
Lucifer: nakupeleka Ukasimamia biashara yangu Urusi, safari hii ukizingua utanitambua, nataka ukasimamie biashara miaka 3 huko nikikuhitaji nitakuita lazima unitengenezee faida ya mil 800 kwa mwaka naamini sasa utakuwa uko serious nisipoipata hiyo hela nakukata kiungo chako chochote, secretary wangu atakupatia tiket ya ndege unaondoka sasa hivi na process za wapi utafika anazo secretary, Potea!
Safaree: sawa mkuu akaondoka kwenda Urusi! Hakuamini maana alijua ndoto yake imekufa na mganga kamdanganya kumbe mganga bwana mkweli hakukosea kuisoma nyota yake.
Lucifer: nakupeleka Ukasimamia biashara yangu Urusi, safari hii ukizingua utanitambua, nataka ukasimamie biashara miaka 3 huko nikikuhitaji nitakuita lazima unitengenezee faida ya mil 800 kwa mwaka naamini sasa utakuwa uko serious nisipoipata hiyo hela nakukata kiungo chako chochote, secretary wangu atakupatia tiket ya ndege unaondoka sasa hivi na process za wapi utafika anazo secretary, Potea!
Safaree: sawa mkuu akaondoka kwenda Urusi! Hakuamini maana alijua ndoto yake imekufa na mganga kamdanganya kumbe mganga bwana mkweli hakukosea kuisoma nyota yake.
HARUSINI NCHINI UINGEREZA:
Safari akatimia kwenda kwenye wedding ya Adrienne ikawadia.
Chanel akiwa pekeyake mume yupo kikazi akawa anaboreka tu lakini anajipa moyo wakaunganika na akina Doreen na shemeji mpya Lucifer, Chanel na Pedeshee hao, wakatua mjini Birmingham!
Wakapokelewa na Adrienne na Shawn airport.
Adrienne kafurahi ila ndo amenenepa, wenzake wakaanza kumtania naona mambo tayari karibu utapasua chupa wote wakacheka.
Shawn: akashangaa kumwona Lucifer, karibu Mkuu na salute juu! sikujua kama na wewe utakuwepo.
Lucifer: Alafu nimekumind unataka kuoa kimya kimya bila kuniambia hata nikuchangie, haya nambie nichange nini sasa?
Shawn: ah! hapana Mkuu acha tu kila kitu kipo tayari ila ujio wako ni mchango mkubwa sana kwangu, wakaendelea kuongea, wanafurahi wanakumbatiana huku wanaelekea kwenye gari.
Chanel anapashangaa Uingereza, eh kweli hii ulaya kudadeki, pazuuuri, anamwambia Doreen.
Chanel anapashangaa Uingereza, eh kweli hii ulaya kudadeki, pazuuuri, anamwambia Doreen.
Carrie: Asee huku ni noumer, ndipo mlisoma huku na Adrienne eee anamwuliza Doreen! jamani Mungu mkubwa kweli raha, wakafika nyumbani kwa wazazi wa Adrienne wakasalimiana, baada ya salamu nyingi warembo wakaingia chumbani kwa Adrienne wakaanza kupiga umbea! kilikuwa chumba kikubwa self contained, wakamwambia Adrienne tutalala hapa hapa kwako hatuna hela ya kwenda kulala hotelini, labda ukiolewa ndio tutasepa, wakaaanza kucheka.
Baadae Doreen akawaambia kuhusu mahusiano yake na Lucifer, wenzake wanashangaa tu, he! Wewe na boss?
Carrie: Kweli huyu ndio Doreen mpya, nilikuwa namsubiria sana, enhe funguka mama,
Doreen: akawaadithia jinsi gani alivyovishwa pete
Wote: mama yangu!, huku wameweka mikono kichwani, akawaonyesha pete, Pete nzuuuurije sasa kuliko ya Chanel na Adrienne,
Chanel: kudadeki huyu mwanaume nyoko kanifunika hadi pete yangu? Wakampongeza Doreen wanamkumbatia.
Carrie: Ikiisha ya Adrienne unakuja wewe mama Chanel, changamsha kiuno tumalize na mama wa Yesu hapa Doreen maana anavyopenda kuvimba asije akakata kamba njiani, namjua na mihasira yake ya kanisani kama ana mapepo ndio utulie ivoo Doreen uache wazimu!
Walipomaliza stori wakaanza kujaribisha nguo zao za harusi, huku wanaimba wanacheka, yani vurugu mwanzo mwisho!
KWA WANAUME:
Wanaume walirudi hotelini na bwana harusi, kwenda kumpa kampani, usiku wakaamua kumtoa wakaenda strip clubs kumfanyia sherehe yake ya mwisho yaani bachelor party, wakalewa mbayaa, Lucifer alitoa hela nyingi (pounds) akawagaia wenzake wawe wanarushia wale wamama wanaokatika, full shangwe, wanamwambia Shawn enjoy bwana huu ndio usiku wako wa mwisho kuwa singo, kesho unaingia kwenye majukumu! lakini Lucifer hakumwambia Shawn kuwa amemchumbia Doreen!
KWA WANAUME:
Wanaume walirudi hotelini na bwana harusi, kwenda kumpa kampani, usiku wakaamua kumtoa wakaenda strip clubs kumfanyia sherehe yake ya mwisho yaani bachelor party, wakalewa mbayaa, Lucifer alitoa hela nyingi (pounds) akawagaia wenzake wawe wanarushia wale wamama wanaokatika, full shangwe, wanamwambia Shawn enjoy bwana huu ndio usiku wako wa mwisho kuwa singo, kesho unaingia kwenye majukumu! lakini Lucifer hakumwambia Shawn kuwa amemchumbia Doreen!
_________________________________________________________________________________
C. ASALI YA NDOA NA MIBARAKA YA WATOTO!
Wakawa wanaimba zao hawana habari, wakajisahau wako kwa wazazi wa Adrienne, wakaamua watoke out kusheherekea nje
Doreen: Kuna striper club twende tuka celebrate ya wanaume.
Kufika kule nakwambia mibaba ya miraba 6 na machine kama mkono wa mtoto wa darasa la 2.
Adrienne: anacheka mbavu hana! akaitwa akawekwa kwenye kiti wakaanza kumkatikia, uuuwi mwenyewe anaona aibu hajawahi kukutana na mibushelele!
Basi kila saa anaweka mikono machoni, wenzake wanamcheka wanampiga picha striper kalipwa na Carrie afanye kazi yake, Striper anambeba juu juu Adrienne ilikuwa raha mwanzo mwisho.
KWA WANAUME:
Kwa wanaume nako kulikuwa sio pabaya sana waliwapata wadada wanakatika utadhani wale wanawake wa Miami akina Aloha! Hehe chiki chiki chiki utadhania wamewekwa umeme kwenye kiuno.
Lucifer akamwambia Pedeshee itabidi harusi ikiisha tuwalipie wake zetu waje wachukue mafunzo maana hii ni hatari!
Pedeshee: anacheka lakini hakujua mke wa lucifer ni yupi,akapotezea
NCHINI URUSI:
Nchini Rusia bwana Safaree akawekwa darasani na boss wake ambae amepewa amwangalie mafunzo ya kujifunza lugha ya kirusi kwa mwaka na nusu ndio aingie mzigoni.
Mwanzo akawa anafeli feli baadae akaambiwa na boss wake ukiendelea kufeli utajilipia mwenyewe na huku pesa ni nyingi acha masihara haumkomoi mtu wala Lucifer unajikomoa mwenyewe wenzio wakimaliza kusoma wakafuzu wanapelekwa kazini na mishahara inapanda na cheo kinasogea
Lucifer: kusikia cheo chasogea akaona isiwe balaa akasugua kichwa Mrangi wa watu ivo ivo mpaka kaweza.
Akajitoa tu mhanga maana mganga babu alimuahidi atafanikiwa sana so lazima na yeye aonyeshe bidii akaweka bangi bembeni
MEXICO CITY:
Mexico city, James yupo buzy na kazi zake akawa anamkumbuka Doreen kimtindo lakini anafanyaje, kumbe yule mwanamke alomwambia Doreen kuwa ni mkewe ni fake ramani tu ilichorwa ya kumganya Doreen ampotezee James ila James nae alikuwa ameshapenda Doreen, atafanyaje akisikia maupwiru anaenda zake kwa Malaya anatafuta wale wanaomfanania Doreen anajipooza nao!
HARUSI YA ADRIENNE:
Siku ya harusi ikawadia... maids akina Doreen, Chanel na Carrie wamependeza hatari.
Adrienne ndio usiseme, kapendeeeza kweli kweli kwanza utamjua?
Wenzake wanamshangaa Adrienne ndio wewe au Malaika wake?!
Mama Adrienne: akaja kumwangalia akamkuta kapendeza, oh jamani mwanangu umependeeeza, unanikumbusha harusi yangu na baba yako, analia mama wa kilokole huku anamshukuru Mungu.
Haleluyah Bwana umekuwa Mwema sana kwangu, Umemtendea mwanangu amepata Mume mwema kapiga maombi akina Carrie wanaangalia wanaitikia Amen, akaomba hapo weee kama dk 20 akasema Amen. Akatoka huku kina Carrie wanacheka mbavu hawana doh we Adrienne hukutuambia kwenu walokole kumbe we pekeyako ndio jambazi! Huku wanamcheka!.
Wanaume wamependezaje wamepiga ma tuxedo, ma suit ya kufamtu jamani Mmasai wa watu Shawn kapeeendeeezaaaa kapiga suti nyeupe na tai nyeusi, suruali na viatu veusi.
Wanaume wamependezaje wamepiga ma tuxedo, ma suit ya kufamtu jamani Mmasai wa watu Shawn kapeeendeeezaaaa kapiga suti nyeupe na tai nyeusi, suruali na viatu veusi.
Wakaja mjomba na mshenga kuwachukua kwenda Kanisani, kabla hawajaondoka yakapigwa Maombi na Mjomba, Mjomba nae alikuwa ameokoka dizaini Haleluya kibao na maombi yafananayo, ilipopita dk 20 Lucifer akaona akae tu chini maana Mjomba hamalizi.
Huku akina Pedeshee wanabinyana wanacheka,
Pedeshee akamnong'oneza Lucifer eh Uncle noma kama Mchungaji vile, asije akamfufua mamake Shawn sasa, maana si kwa maombi haya tutachelewa kanisani wale warembo waanze kuwa na wasiwasi. Wakacheka cjhini chini, Baada ya dk 30 Uncle akamaliza wakaanza safari ya Kanisani.
Kanisani utaratibu kama kawa bwana harusi yupo mbele, anamsubiri mwali wake, Mwali mama wawili, baadae wakaingia maids watatu ila Carrie hakuwa na partner ikabidi mshenga asimame kwa niaba ya mume wa Carrie. Hehe.
Kanisani utaratibu kama kawa bwana harusi yupo mbele, anamsubiri mwali wake, Mwali mama wawili, baadae wakaingia maids watatu ila Carrie hakuwa na partner ikabidi mshenga asimame kwa niaba ya mume wa Carrie. Hehe.
Akaingia Adrienne na Baba yake akaenda kumkabithi Shawn, wenyewe wanacheka hawaamini ndoto yao imetimia.
Kanisani la walokole Pentecoste wale wamama wa Kanisa bwana wakaja wanashangaa shangaa imekuwaje Mama Adrienne hajatusikiza.
Wamenunaje hapo wamekosa walichokuwa wanakitaka basi wamevimba nyuso kama nguruwe.
Harusi ikafungwa wakaondoka Kanisani baada ya kusalimia na mitikasi zote za Kanisa kuishi wakaingia Ukumbini.
Huko ni miziki ya kibongo kwenda mbele na bolingilo za kufa mtu akina pepe kale, papa wemba, kanda bongo man inde moni nini,
Sherehe ilikuwa nzurije watu walicheza mpaka wamama wa Kanisani kwa Mama Adrienne walicheza Bolingo!
Pedeshee na ufupi wake wanashindana na Lucifer tall man kucheza basi raha, twist ikawekwa bwana, Pedeshee hafiki chini kwasababu ya kitambi, watu wakaanza kumcheka, Lucifer anayarudi mpaka chini, hasa nyimbo ya Pepe Kale, roja mila roja mila
Lucifer utadhani alizaliwa Congo yani kaiba show ya Shawn yote, watu wote wanamsheherekea wanamtunza kwa hela, baadae akaamua kwenda kumvuta Shawn na Adrienne waje kucheza nae.
Ka Adrienne kanaona aibu kama mwanamke bikra, wenzake wanamchangamsha mara akimbie kwenda kutapika yani chooni yani balaa tupu!
Bride's maid walikuwa na kazi ya kukimbiza mjamzito kutapika.
Muda wa msosi ukapita zawadi ukapita, ukaja muda wa kudaka bukit ( ua la bi harusi) Wimbo wa Beyonce Single Ladies ukawekwa ma single wakadondoka kudaka ua wapate upako, wakajaa wadada family friends wa kibongo, wanataka kudaka ua.
Kina Carrie washachoka hawataki kulidaka tena maana kila mtu ana pete ni tarehe tu ya kuhalalisha.
Adrienne akarusha ua likaenda kuangukia miguuni kwa Doreen.
Chanel: akacheka sana eh mama Mungu anajua ulivyo na ma speed aya sasa ukalete madharau yako ndoa itaishia miguuni haitakuja kwenye maisha yako shauri yako.
Wote wakamcheka Doreen, wanamkumbatia Doreen la kufanya hana!
Carrie: Anacheka, nyie malizaneni hapo mlete harusi.
Muda wa kufungua mziki kwa maharusi ukawadia, wakafungua, wakafuata Wazazi wa bi-harusi alafu akaalikwa Maid of Honor Carrie na Mshenga wakaenda kucheza Blues!
Mshenga nae ana speed huyo kupewa Carrie anamvamia nakwambia na suti yake ya kimasai inanukia harufu ya boma!
Baadae wakaalikwa wageni waalikwa wakasogea akina Chanel na Pedeshee na Lucifer na Doreen.
Lucifer anamwambia Doreen basi harusi yetu tufanye hapa hapa nini, maana kila mtu yupo huku unaonaje?
Doreen: akacheka umeanza ee?
Harusi ilifana sana. Wakaondoka wanandoa wakielekea Honey Moon na kigari chao kimeandikwa Just Married na makopo ya soda kwa chini nyuma yanaburuta, watu wote wanawapungia.
Wazazi wa Adrienne walifurahi sana wamemaliza kuozesha sasa watajizeekea wanavyotaka.. wakawapa lift mjomba, baba mdogo na mshenga mpaka nyumbani kwao.
Wapendanao wakajitupia kwenye hotel kufanya uzindua lakini Carrie hakuwa na mtu akaamua kurudi kwa akina Adrienne kulala huku anamkumbuka George akimpigia simu haipatikani mara inakatwa akaamua kulala.
Baada ya siku 3 maharusi wakarudi kuwashukuru wazazi na marafikia ambao walikuwa wanajiandaa kurudi bongo, wakatoa shukurani zao wakaaaga maana nao kesho yake walikuwa wanasafiri kwenda Paris kimalizia honeymoon.
Baada ya siku 3 maharusi wakarudi kuwashukuru wazazi na marafikia ambao walikuwa wanajiandaa kurudi bongo, wakatoa shukurani zao wakaaaga maana nao kesho yake walikuwa wanasafiri kwenda Paris kimalizia honeymoon.
BAADA YA SIKU ZA USONI MBELENI:
Wabongo wakatua bongo kila mtu akashika njia yake, Carrie kurudi nyumbani anamkuta George hayupo akawa haelewi, akampigia simu haipokelewi, akipigia wazazi wake hawapokei, akaanza kuwa na wasiwasi kwani kuna nini mbona sio kawaida?!
Akipiga simu ofisini wakisikia ni Carrie wanakata akaanza kuwa na wasiwasi akampigia Doreen na Chanel kuwaelezea, jamani sijamsikia George nina wiki ya 2 sio kawaida napata wasiwasi haelewi kuna nini?! Hapa nimechoka nalala lakini asubuhi naondoka naenda Africa Kusini kuangalia.
Kwa kuwa aliomba likizo, Alfajiri akaamsha kwenda bondeni, akafika hotelini kwa George anapopendaga kulala hamna mtu akaenda nyumbani kwa wazazi wake, kufika anakuta watu wamejaa wanapika, kuna nini?!mwili unaanza kutetemeka, akaingia, mama mkwe kumwona akaanza kulia, he!
ikabidi Carrie nae alie, mnalia nini lakini?!
Akaja Baba wa George akamshika Carrie akamwambia njoo tuongee kwanza, akamwelezea kilichotokea, mh! Mchaga alipiga mikelele kama anazaa,
Carrie: jamani imekuwaje analia kama mzazi anayejifungua,.
Baba mkwe: George alikuwa anatoka kwenye kikao ambacho alikuwa amegombana na mwenzake walipishana kauli, mwenzake akatoa bastola akampiga kwenye kifua, kwahiyo yupo hospital hawajui hali yake inaendeleaje mpaka sasa, ingawa dokta anasema ana nafuu akawashauri warudi nyumbani lakini mama wa George ndio hivyo analia ila George yupo ICU anaumwa sana..
Carrie: akawa kama amechanganyikiwa analia mpaka anatapika, anafanya mafujo wakaamua kumchoma sindano alale!
Baadae alipoamka wakampeleka hospital kumwona George amelala, akawa analia akaingia ndani anamshika mumewe huku anajilaumu nimefanya kosa kwenda kwenye harusi akalia mpaka akalala pembeni ya George hataki kuondoka.
Asubuhi ikafika, dokta akaja kumcheki George akakuta anaendelea vizuri.
Carrie akashukuru, akasema ngoja niende kunawa uso na kuswaki, alipofika bafuni anaweka dawa kwenye mswaki akaanza kutapika. Anajishangaa mh! Mbona sielewi, akaendelea na kunawa akiwa anatoka akaona damu zinamtoka nyingi sana sehemu za siri, akahisi labda ni period! Akamwomba nesi amsaidie, nesi alipokuwa anakuja akasikia kizunguzungu akaanguka. Kuja kushtuka amelazwa, alipoita nesi, nesi akamwambia kama una ndugu yako hapa naomba umwite,
Carrie: akampigia Baba Mkwe wake akaja na mama mkwe,Nesi akamwita Dokta kutoa majibu ya vipimo kwao, Dokta akawaambia wakwe zake kuwa Carrie ni mjamzito wa miezi 2, na mimba ilikuwa inataka kuharibika! Nitampa bed rest miezi 4 kwanza kama mtaweza kumwangalia nyumbani nitashukuru.
Carrie akaja kuambiwa, alilia sana, yani balaa juu ya balaa nani atamwangalia mume wangu sasa mimi nawekwa bed rest?
Mama mkwe: lakini una mtoto ukimuokoa mtoto na baba wakati anaanza kupona hauoni kama atafurahi kujua ana mtoto anayekuja Duniani?!
Wakakubaliana alale nyumbani kwa uangalizi wa wakwe.
Huko nyumbani sikunyingine anajikuta yupo pekeyake anaboreka, akaamua kuwapigia simu Doreen na Chanel kuwaelezea yaliompata, wakasikitika sana wakapanga waje kumuona lakini Chanel shule ndio ilikuwa imebamba, Novemba pepa la form 2 na Doreen hakuwa na likizo kazini ila alimwambia angeweza kuchomoka weekend aje kumtunza, wakampa pole wakasikitika kwa ajili yake.
Huko nyumbani sikunyingine anajikuta yupo pekeyake anaboreka, akaamua kuwapigia simu Doreen na Chanel kuwaelezea yaliompata, wakasikitika sana wakapanga waje kumuona lakini Chanel shule ndio ilikuwa imebamba, Novemba pepa la form 2 na Doreen hakuwa na likizo kazini ila alimwambia angeweza kuchomoka weekend aje kumtunza, wakampa pole wakasikitika kwa ajili yake.
SIKU HAZIGANDI ZIKASOGEA:
Miezi 4 ikapita Carrie akapata nafuu sana, DoKta akamwambia yupo huru kutembea sasa, akaomba amwone mumewake ambae alikuwa bado yupo wodini akamkuta anaongea lakini pole pole, na mazoezi ya physiotherapy yanaendelea, akafurahi sana, wakakaa wanaongea, anamwambia mume wangu nimekumiss nakupenda sana na mambo mengi ya kupetiana with care maana mgonjwa hakutakiwa kupewa habari mbaya, akamweleza kuwa ana mimba ya miezi 8, Mumewe akafurahi sana.
MAHARUSI WAPYA:
Huku nako hakukuwa pabaya, Adrienne alishafikisha miezi 9 sasa muda wowote anajifungua, akiwa amebakia mwezi mmoja kumalizia muda wake wa kazi kurudi Tz, akatumia kila kitu alichonacho kuhakikisha mtoto anazaliwa Uingereza.
Mungu bariki akajifungua salama watoto wake, Shawn akiwa pembeni yake wakati wa kujifungua si unajua hospitali za uraya uraya wanaruhusu mwanaume kuingia kusaidia kuzalisha mkewe, wakafurahi kupata mapacha wao kama walivyoambiwa wa kike na kiume.
Adrienne: Shawn najua hawa watoto ni Baraka kwa Mungu lakini nitafurahi sana kama utawapa majina ya Marehemu wazazi wako kwa kumbukumbu yao, Shawn akafurahi kidogo kulia hakutegemea, watoto wakapewa majina Sia na Shawn Junior.
Wakwe wa Shawn wakaja kuwaona wajukuu wao full shangwe! watoto walizaliwa 8th March 2009
HUKO BONDENI:
Baada ya mwezi mmoja Carrie akawa anajiandaa kujifungua, wakaja Doreen na Chanel kumsabahi na misaada yote inayohitajika ingawa George alionekana kuwa amepona lakini dokta wakasema bado.
Wakampa good news za Adrienne na watoto wake mapacha na majina yao wakafurahi sana, lakini Carrie alikuwa na hofu kuhusu kujifungua kwake wakawa wanamtia moyo na yeye atajifungua salama.
Doreen na Adrienne wakaamua kugawana majukumu ya nyumbani na hospitali ili kumsaidia Mama mkwe wa Carrie kuuguza, mpaka muda wa kujifungua ulipofika.
Carrie akajifungua mtoto wa kiume njia ya kawaida, George akamwita George Junior, maana George lilikuwa jina la baba yake mzazi na George mume wa Carrie, wakafurahi sana, George Junior alizaliwa tar 4 April 2009
ITAENDELEA KESHO TAR 20 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_______________________________
D. ASALI WANGU WA MOYO NI NANI?
Maisha yakaendelea, baada ya miezi 6 George akapona, huenda ni maombi ya mama yake kwa Mungu na wachungaji kuja kumwombea mwanawe, hatujui lakini alipona haraka sana!
Mtoto akakua, miezi 10 sasa, George akarudi ofisini kusikiliza maendeleo yake ya kazi, akaambiwa yule jamaa aliemchapa risasi amefungwa miaka 3 bila kukata rufaa wala kutoka nje kwa dhamana.
George: akaongezewa tena miezi 2 ya kupumzika nyumbani ili aanze kazi tena January.
Carrie akamisi michezo yao ya zamani, ingawa alikuwa anatoa mechi aste aste asije akamuua mumewe kwa presha lakini muda mwingi walikuwa wanamfurahia George Junior wao.
Carrie aliporudi ofisini, akaambiwa cheo chake amepewa mtu mwengine maana amekaa sana bondeni, kazi zake zikakosa wa kuzifanya, uongozi ukaamua kumpa mtu mwengine, akaambiwa arudi kwenye nafasi ya kawaida lakini sio cheo cha umeneja tena.
Carrie aliporudi ofisini, akaambiwa cheo chake amepewa mtu mwengine maana amekaa sana bondeni, kazi zake zikakosa wa kuzifanya, uongozi ukaamua kumpa mtu mwengine, akaambiwa arudi kwenye nafasi ya kawaida lakini sio cheo cha umeneja tena.
Carrie: kuona amedharaulika na hivi ana hudumia watu wawili hapo hapo akaacha kazi, maana hakuwa na dada wa kazi wala msaada wowote!
Aliporudi akamdanganya Mumewe kuwa ameachishwa kazi; Mumewe akamwambia usikubali nenda kawashitaki wakulipe hela zako lakini Carrie hakuwa mtu wa mafujo, akaona basi tu aache atatafuta kazi nyingine,
Carrie: nimeongea na boss nikaona nimpe barua ya kuacha kazi ili niwe na sifa nzuri nipate barua ya reference baadae kuliko kugombana na watu ambao baadae itaniletea shida kuomba kazi kwengine.
Carrie: akawa anaishi bondeni, kama mama wa nyumbani, mara moja moja anakuja Tz kuangalia mambo yanavyoenda na kufuatilia mambo yake ya hisa na kuwasabahi marafiki zake basi. Hakuwa na ile sheeeda au kuisikia ule uchungu wa kuacha kazi kwa maana mumewe kwanza alikuwa anajiweza ana miradi ya kufa mtu hata wasipofanya kazi miaka 5 bado wanaishi kama ma millionaire.
HUKO DAR:
Chanel: Yupo buzy na form 4 yake, anajiandaa na pepa za Necta sasa, 2010.
Pedeshee akamuarifu kuwa anarudi Bongo baada ya kukaa nje mwaka mzima, siku ya kwenda kumchukua Airport Chanel akamrukia Pedeshee utadhani ka-nyani kamevamia mti, mabusu moto moto wabongo pembeni wanawashangaa, kufika kwenye gari Pedeshee mechi ikapigwa kwenye parking ya airport!
Vioo vya gari vimefungwa a/c imewashwa baridi utadhania ni mochwari lakini wao hawasikii baridi, vitendo vilikuwa siti ya nyuma.
Mechi ilipoisha wakakaa nusu saa wakaondoka, kufika nyumbani Pedeshee akambeba Chanel juu juu mpaka kitandani, Pedeshee alikuwa na maugwadu hataree maana uzinduzi uliofuata hapo Chanel aliomba alijuta.
Ile ya kwenye gari ilikuwa twishen lkn ya kitandani ilikuwa tamasha! Nadhani Pedeshee alitaka kuhakikisha kama mke wake alikaa kwa uaminifu au alirudiana na mjinga Mark?!
Akakuta kila kitu kipo sawa, kweli totoz katulia kwenye penzi lake, hata mechi alioitoa alijihakikishia kwamba Chanel hakutoa nje.
Pedeshee kamfunga goli 3 bila na mrembo yupo hoi.
HUKO ULAYA:
Safaree nae mambo mazuri Darasani akajitahidi akawa anafaulu anapiga A na A+.
Darasa likakaribia kuisha, lile la lugha ya kirusi, boss kafurahi akajua sasa nikimweka kijana mtaani lazma ile mil 800 itazaa mara 3 kabisa.
Safaree moyoni mwake bado anamkumbuka Adrienne ila hakumkumbuka kwa mabaya bali kwa mahaba, akakumbuka siku za mechi, alizombikiri akaishia kujaa tu.
HUKO BONGO:
Lucifer the Don na Doreen mambo mazuri, wamezoeana, siku nyingine Doreen analala kwa Lucifer sikunyingine Lucifer anashinda kwa Doreen, sikunyingine wanaenda hotelini sikunyingine wanakuwa na mtoto wa Lucifer raha mwanzo mwisho.
Doreen akawa anasubiria labda ataambiwa wapange harusi lakini wapi, mwaka unakaribia kuisha akachoka,
Akajiuliza sasa nifanyaje? Pete nimevishwa, James hayupo, huyu bwana nae haongei kupanga harusi wala kulipa mahari sasa ndio nini?!
Kwa upande wa Don Lucifer nae ikawa inamuuma, kwanini ofisini kwake wanamzuia kuoa? Nafanyaje mtoto Doreen amenichanganya sina hali! Si ananiona msanii, akaenda tena kwa boss wake,
Kwa upande wa Don Lucifer nae ikawa inamuuma, kwanini ofisini kwake wanamzuia kuoa? Nafanyaje mtoto Doreen amenichanganya sina hali! Si ananiona msanii, akaenda tena kwa boss wake,
Boss: Doreen sina tatizo nae kabisa lakini kuoa bado mpaka tufanikishe ile kazi yetu, tumegharamia mabilion ya hela mengi sana, tutapata hasara kama hatopatikana huyo Taicoon tunaemtafuta.
Lucifer: Akiangalia ni kweli.
Boss: ukiniletea mchawi wangu huyu dada unamuoa hata kesho, ila ukitaka kuifupisha hii mishe itakubidi uingie mwenyewe mazima mazima kama ulivyofanya Mexico ukamuua orijino Lucifer, lakini itakugharimu uhai wako!
LUCIFER: kimyaaa! Baadae akajibu ndio Mkuu nimekuelewa.
Boss: Wewe angalia cha kufanya ukitaka ndoa ya fasta fasta ingia kwenye mishen mwenyewe, iharibu ukapambane na mchawi, ukitaka subiri miaka mi-5 mbele uoe.
Lucifer: Kha! Miaka 5?! Akachoka!
Kabla ya kurudi nyumbani akapitia hotelini, akanywa weee huku anawaza nafanyaje sasa mapenzi yameshaniharibu ubongo hata kufikiria nashindwa.
Kabla ya kurudi nyumbani akapitia hotelini, akanywa weee huku anawaza nafanyaje sasa mapenzi yameshaniharibu ubongo hata kufikiria nashindwa.
Mungu amejibu maombi yangu yooote kasoro ndoa nafanyaje sasa na mtoto wa watu nishamweka pete kidoleni nimburute miaka 5 tena haiwezekani hata nikisema nizae nae haitakuwa sawa, mimi nilitaka kumuoa kabisa ili asiibiwe tena na anavyompenda Mungu mwaka huu ukiisha nitaanzisha ugomvi na makelele ya ndoa ndoa ndoa!
Kurudi nyumbani akamkuta Doreen anapika, wakasalimiana akajua mwanae hayupo ameenda kwa bibi yake, akamfuata Doreen akazima jiko akambeba Doreen juu juu huku anambusu.
Kurudi nyumbani akamkuta Doreen anapika, wakasalimiana akajua mwanae hayupo ameenda kwa bibi yake, akamfuata Doreen akazima jiko akambeba Doreen juu juu huku anambusu.
Doreen anashangaa leo Lucifer vepee?!
Akawekwa kitandani akaanza kumhudumia.
Doreen akaburutwa sana huku anajiuliza mechi ya leo mbona kali huyu bwana ana nini?! Au amepandishwa mshahara nini?! Akaamua kujiongeza kumhamasisha Lucifer lakini Lucifer hakutaka kusaidiwa akaamua kuwekeza kwenye shoo mwanzo mwisho.
Goal la 1.... 2.... 3 akapumzka.
Baadae walipoamka Doreen akamwuliza leo mbona upo hivi?! Umenipa raha hata sielewi kwa kitu gani!?
Luficer hakutaka kuongea, akimwangalia Doreen na ile pete anaskia kulia, akainuka kitandani kwenda kusimama kibarazani anaangalia nje huku anajifuta machozi.
Doreen akamfuata na kumbembeleza amweleze tatizo ni nini?!
Lucife: akawa kama ameamshiwa popo! Mechi ikarudiwa ila sasa ilipigwa kibarazani, Doreen akajuta kuzaliwa! Lakini hakujua kwanini Lucifer alikuwa analia, na wala hakuuliza tena.
Baada ya miezi mitatu kupita, Doreen alienda benki, akiwa kwenye gari anarudi kwenda ofisini akaona mtu amevaa kitambaa kama mask amemshikia bastola kwenye siti ya nyuma, anamwambia endesha kwa kufuata maelekezo yangu, akaendesha gari mpaka Bagamoyo, kufika akaambiwa shuka, Doreen anapaogopa kuna nini!? Akajua leo anakufa, akiwa anahamaki hajui kinachoendelea, yule jambazi akatoa mask yake akiyojifunga uso,
Baada ya miezi mitatu kupita, Doreen alienda benki, akiwa kwenye gari anarudi kwenda ofisini akaona mtu amevaa kitambaa kama mask amemshikia bastola kwenye siti ya nyuma, anamwambia endesha kwa kufuata maelekezo yangu, akaendesha gari mpaka Bagamoyo, kufika akaambiwa shuka, Doreen anapaogopa kuna nini!? Akajua leo anakufa, akiwa anahamaki hajui kinachoendelea, yule jambazi akatoa mask yake akiyojifunga uso,
Doreen kuangalia, mama weee kumbe ni James!
Doreen anashangaa James?! Umerudi?! Lini? Akabaki ameduwaa amkumbatie au akaishia kushika mdomo anamuangalia!
James: akamkumbatia Doreen, huku analia, siamini kama nimekukuta mpenzi wangu, umependeza unazidi kuwa mrembo. Akawa anafurahi Doreen anamwangalia..
James: akamkumbatia Doreen, huku analia, siamini kama nimekukuta mpenzi wangu, umependeza unazidi kuwa mrembo. Akawa anafurahi Doreen anamwangalia..
James: Doreen nimekuja kukuiba nakutorosha!
Doreen: akashika kichwa.
James: Nakupenda sana wala sijaoa, ile ilikuwa ni set up tu, Lucifer hakutaka niwe na wewe.
Doreen anazidi kuchanganyikiwa huku analia.
James: akamfuta machozi usijali nimeshapanga nakutorosha twende wote tukaishi wote nilipo alafu tutaoana! achana na Lucifer sio mtu mzuri atakuharibia maisha.
Doreen: hakuongea hata neno moja amechanganyikiwa, hajui aseme nini!
James: akambusu, Doreen akarudisha mabusu, kweli mwanaume wako wa kwanza hata aende kuzimu lakini akirudi anapokelewa!
Baadae Doreen anamwuliza umekujaje huku?! Umeingia lini Tz?! Maswali mengi anataka ajibiwe yote,
James: hakuna muda sasa tuondoke ndege inatusubiri wewe niamini, sikuchuzi.
Doreen akaingia kwenye gari wakawa wanaelekea airport.
Lucifer akawa anampigia Doreen simu haipokelewi, missed calls 10 hamna inayopokelewa, sms hazijibiwi, James akamwambia usipokee hata kidogo ikiwezekana itupe simu, James akachukua simu ya Doreen akaitupa nje wakawa wanaelekea Aiport.
ITAENDELEA LEO SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_______________________________
E. LIMAO YA MAPENZI NIMEICHUKIA
Wakiwa wanatoka Bagamoyo kuwahi Bunju ambapo James alitegesha helikopta yake yakuwachukuwa kuelekea Kenya, wakati wanashuka sasa kwenye gari watembee kwenda kwenye Ndege James akasikia bonge la ngumi mgongoni, taaaaah! akaanguka chini,
Doreen kugeuka akakutana na majitu yenye miraba 4 wakamshika kwa nguvu wakati James anapigwa!
James alipigwa hakuna mfano wa kuhadithia, yani huruma!
Doreen analia anapiga makelele tu mwachieeee tafadhali mwachieeeeni, huku ma-bouncer wanaendelea kumpiga.
Mara gari nyingine ikaingia kuangalia kumbe ni Don Lucifer!
Kushuka akaenda kumshika msaliti wake na kukuta ni James akachoka!
Doreen akajinyofoa kwa ma body-guard akamkimbilia James akamkumbatia huku anamfuta damu usoni kwa kutumia skirt aliokuwa amevaa
Doreen: Lucifer tafadhali waambie hawa vibaraka wako waachane kumpiga Jamesi! James hapo hali hana, amejaa damu uso hautizamiki!
Lucifer: Nitawaamuru Vibaraka waachane na Jaems kama ataniambia anampeleka wapi mke wangu?
James: kimya, anaskilizia maumivu nguvu ya kuongea hana!
Lucifer: mfungeni pingu mpelekeni alipokuwa Safaree kwa mwezi mzima, ila apewe chakula na uso anawishwe na majeraha atibiwe akiwa huko!
Body guards hao wakambeba wakamwingiza kwenye gari wakaondoka akabakia Lucifer na Doreen.
Doreen: akamfuata Lucifer akaanza kumpiga mangumi ya kifua! Kwanini umenidanganya, huku analia, kwanini unamjeruhi James amekufanya nini?!
Sikupendi tena, kwanini lakini Lucifer umeamua kuniharibia maisha?! Akakaa chini huku anakalia
Lucifer: anamwangalia hakumjibu.
Doreen: akalia mpaka akazimia.
Lucifer: akambeba akamwingiza kwenye gari haooo wakaondoka kwenda nyumbani.
HUKO ULAYA:
Safaree: Kozi yake ikakaribia kuisha, full shangwe nini hapo anauhakika wa kufaulu mitihani
Sikuhizi hanywi pombe wala bangi, anatafuta nafasi ya pili na kurudisha uaminifu na heshima kwa Lucifer!
Boss wake akampenda, akaandika ripoti nzuri kwa Lucifer, Lucifer alipoiona akacheka akijiuliza kama ni kweli au uongo.
HUKO BONDENI:
Carrie: Yupo kwenye ulezi, mtoto ana miezi 10, George amerudishwa kazini.
Carrie akawa anaboreka kukaa bondeni, hana marafiki akawa anaenda na mwanae kutembea, hana dada wa kazi muda wote yupo na mwanae, wakati mwengine mama mkwe akija anakaa na mjukuu wake ndio Carrie anapumua.
Carrie alipoona mumewe yupo fiti akazindua mechi, mtoto amepelekwa kwa mama mkwe, mechi sasa zinapopigwa; kwenye gari, nyumbani...wanajikumbushia enzi za ujana wao kabla hajampata Junior wao.
Carrie full shangwe maana alikuawa mkavu kama gogo kwa muda akisubiri mume atengemae.
Siku za mbeleni, George akaamua kummilikisha mali zake zote Carrie na mwanae, maana alifikiria sana lile tukio la kupigwa risasi, akaona bora aweke mambo ya nyumbani kwake mapema kabla hapajaharibika tena! Akamwonyesha mali ambazo alizificha wakiwa kwenye uchumba. Carrie moyoni anajiambia kweli sitakufa maskini, ukiskia nimelala maskini nimeamka tajiri ndio hii kudadeki machame nimepataje BINGO!
Akaambiwa kuwa mtoto akianza shule ya Day-Care itabidi waende Switzerland kumtambulisha kwenye Mgahawa ambao anamiliki hisa na rafkiake Mzungu.
Carrie akafurahi kha! Kweli Bingo ni Bingo!
HUKO BONGO:
Adrienne na Shawn wakarudi zao Bongo, kwenye nyumba yao ambayo walipangisha walipoenda Uingereza.
Sia na Shawn Junior wamekua wakubwa wana mwaka sasa, wanatembea wazuri hao kama mashombe shombe flani hivi amazing, wazuri ukiwaangalia unaskia raha.
HUKO KUNDUCHI
Chanel na Pedeshee wapo kwenye nyumba yao Kunduchi, wameshazoeana, wanapendana, Mubashara kabisa!
Chanel na Pedeshee wapo kwenye nyumba yao Kunduchi, wameshazoeana, wanapendana, Mubashara kabisa!
Chanel amemaliza shule yake ya QT anajiandaa kwenda kufanya Diploma ya Biashara, kapata chuo Posta.
Siku moja Chanel akaenda bank kulipa Ada yake, alipotoka wakagongana na Mark, wakasalimiana huku wanacheka.
Chanel akamtania nimekumiss kweli.
Mark: Hata mimi pia, lini tunafanya uzinduzi kurudisha penzi?
Chanel: anacheka, Mark bwana hauachi tu?
Mark: Bado upo na yule Emolo wako?
CHANEL: Anaitwa Marion bwana acha ugomvi huku wanacheka.
Mark: naona Emolo anakutunza maana sio kwa kupendeza huku alafu naona kama umenenepa au una mimba?!
Chanel: Asante namshukuru Mungu, mara anaona kadada kadogo kadogo keupe kana ngozi kama ya Chanel anamsemesha Mark, nimemaliza baby tuondoke tukawachukue watoto Airport.
Chanel: anashangaa,
Mark: Chanel huyu ni mke wangu anaitwa Irene, ni Mmeru mwenzio.
Chanel: Nimefurahi kukufahamu Irene nawatakia siku njema, akaondoka, Mark akageuka anamwangalia totoz anaondoka. Hataree!
HUKO KWA LUCIFER:
Mambo kama Kuzimu, tangu amewabamba Bunju ni miezi 2 sasa imepita Doreen haongei nae, haogi, hali, amekaa kitandani analia.
Lucifer: kazi yake ni kumhudumi kila kitu mwenyewe, usiku akiwa amelala Doreen anaamka ananyata anaenda kwenye shimo alilofungiwa James anaanza kumwongelesha, kiiila siku kwa muda wa miezi 2 usiku wa manane ikawa ni tabia sasa!
Ma body guard wakamwambia Lucifer kitendo cha Doreen, Lucifer akawaambia muacheni afanye anachotaka na akitaka mumfungue James fungueni lakini asitoke hapa ndani.
Baada ya miezi 3 Doreen akakaa sawa akaamwambia Lucifer nipeleke kwa James.
Lucifer akamwonea huruma akampeleke maana Doreen alishamwambia nakupa nafasi ya mwisho akiichezea basi tena.
Doreen alijipamba na kujipara kweli kweli, akamkumbatia Lucifer akamwambia asante kwa kunitunza, akambusu, akamshika mkono akamwambia twende kwa James, kufika kwa James, wakakuta alishafunguliwa nae amependeza msafi kavalishwa suti nzuri kapendeza.
Doreen kumwona James akamkimbilia kamkumbatia, James anaogopa mara body guard anataka kusogea awaachanishe, Lucifer akamkataza.
Doreen akambusu James dah Lucifer roho inamuumaje anajikaza anajua ameshaharibu na atamkosa Doreen.
Baada ya vimbwanga, Doreen akamshika mkono James wakakaa kwenye kochi Doreen amepakatwa na James, Lucifer akasogea akaaa kwenye kiti chake anamwangalia James kwa hasira maana sio kwa kumpakata mpenzi wake vile, wakaanza kuongea
Doreen: Lucifer, dhambi zooote alizofanya James naomba umsamehe, mimo ndio nilimwambia aje anitoroshe, niliiba namba yake ya Mexico kwenye simu yako nikawa naongea nae, bila wewe kujua, mimi ndio nilitaka kutoroka nae baada ya kujua umenidanganya nadhani upendo wangu kwa James haukuisha kwasababu sio rahisi mwanaume wangu wa kwanza nikamsahau ghafla hali ni wewe ulietutenganisha. Tafadhali naomba umsamehe arudi kazini, kwa niaba yangu dhambi zake naomba nilipe mimi?
Doreen: Lucifer, dhambi zooote alizofanya James naomba umsamehe, mimo ndio nilimwambia aje anitoroshe, niliiba namba yake ya Mexico kwenye simu yako nikawa naongea nae, bila wewe kujua, mimi ndio nilitaka kutoroka nae baada ya kujua umenidanganya nadhani upendo wangu kwa James haukuisha kwasababu sio rahisi mwanaume wangu wa kwanza nikamsahau ghafla hali ni wewe ulietutenganisha. Tafadhali naomba umsamehe arudi kazini, kwa niaba yangu dhambi zake naomba nilipe mimi?
Kama unataka kumdhuru nidhuru mimi, kama unataka kumuua niue mimi, usimfanye ubaya wowote muache aendelee na maisha yake, nampenda sana James huku anambusu, nafasi yake hautakaa uje uichukue kwenye moyo wangu naomba nikueleze mapema, haitakaa itokee.
Nadhani unakumbuka ahadi yetu kabla sijakukubalia univishe pete?! Umenikosea sana na ningeondoka lakini nimekubali kukaa kwako miezi 2.
Akasimama pembeni akaendelea kuongea Wala sitaki kujua kwanini ninyi wawili mlinichezea kama mlivyofanya?!
Wote mmeniudhi na michezo yenu ya kijinga.
Lakini James mimi kama Doreen nimeamua kubaki na Lucifer, hata kama simpendi, lakini nimechagua kukaa na kuishi nae, naomba uendelea na maisha yako popote utakapokuwa kama ulivyosema kwenye simu, fanya kila unachotaka ikiwezekana unisahau kama ambavyo na mimi nimejitahidi kukusahau.
Hapo James roho inamuuma kama nini anatamani auawe tu, hawezi kuangalia Lucifer anashinda hivi hivi yeye akiwa hai!
Lucifer: James nimekusamehe kama mke wangu anavyotaka, nakuhamishia kikazi Afrika ya Kusini! Mpaka hapo utakapoambiwa vinginevyo!
Lucifer: James nimekusamehe kama mke wangu anavyotaka, nakuhamishia kikazi Afrika ya Kusini! Mpaka hapo utakapoambiwa vinginevyo!
Akaita watu wake wakaleta vitu kwa ajili ya James, akapewa kila kitu akaambiwa aondoke usiku ule ule kwenda kufanya kazi.
James: akakubali, akashukuru akamkumbatia Doreen akamnong'oneza tutaonana bondeni nina uhakika, akambusu shavuni akaondoka.
Doreen: akaanza kulia, akamkimbilia nje anamwita James akaingia nae kwenye gari wakaelekea airport.
Lucifer: hakumzuia, si unajua ile misemo ya zamani, ukimpenda mtu mwache aende akirudi ujue ni wa kwako.
Kwenye gari watu hawataki kuachiana, nahisi walimpa tabu dereva maana sio kwa ile mechi ilopigwa kwenye gari.
Kwenye gari watu hawataki kuachiana, nahisi walimpa tabu dereva maana sio kwa ile mechi ilopigwa kwenye gari.
James: Anashangaa Doreen imekuwaje hamwogopi Don!
Akazidi kujiongeza kwenye mechi humo humo kwenye gari uzinduzi ukaanza kati ya Doreen na James mpaka Airport wameshafungana goal 1 moja, ndege ikawa bado haijafikia muda wa James kuingia ndani.
Doreen akamvuta James mpaka tena kwenye gari, mechi ingine ikapigwa, James anahakikisha anampatia Doreen dozi kisawa sawa ili tu amsahau Lucifer!
Lakini Lucifer ni Lucifer tu! Nafasi yake haibadilishwi na mtu mwengine!
Muda ukafika ikabidi waachane Doreen akachukua Perfume akampaka James ili asinukie maupwiru kwenye ndege, akambusu kwa mara ya mwisho
Doreen: Nakupenda nakutakia maisha mema, ni bora nibaki na Lucifer kulinda uhai wako, maana uhai wako haustahili kupotezwa kwasababu yangu.
JAMES: akaondoka kwenda kuingia ndani ya Airport, Doreen machozi yanamtoka akarudi kwenye gari akarudishwa nyumbani kwa Lucifer.
Kufika kwa Lucifer, hakutaka kuongea akaingia kitandani akalala, Lucifer hakumsemesha kitu.
Asubuhi akaamka akajiandaa akamfuata Lucifer na kumwuliza kazi yangu ipo?!
Lucifer: Ipo
Doreen: akarudi kujiandaa, wakiwa wanakunywa chai, Doreen akaanza kusikia kichefu chefu, mmh huku anatikisa kichwa! Akiangalia chai ipo sawa, vitafunwa ndio hivyo hivyo! Akaendelea kunywa chai, akashindwa kumaliza akatapika hapo hapo mezani.
Akasimama alete kitambaa kufuta matapishi, akaanza kusikia kizungu zungu akaanguka chini.
Lucifer akamwinua akamweka kwenye gari kumpeleka hospitali. Baada ya masaa ma 3 kupita majibu yakatoka Doreen mjamzito wa miezi 4.
LUCIFER akafurahi lakini Doreen hakufurahi, sio kwa ugaidi, ukatili na roho mbaya ile Lucifer aliomfanyia James.
ITAENDELEA KESHO TAR 21 AUGUST 2018 SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
________________________________________________
F. ASALI YA KUCHEPUKA
Baada ya miezi 6 mbele October 2010, George junior akawa ameanza shule ya Day care, uzuri wa wenzetu akiwa shuleni mtoto hatoki mpaka anakuja chukuliwa na wazazi wake au wale walioandikwa na wazazi kama walezi.
Carrie akamwomba Mama Mkwe wake awe anaenda kumchukua ili waweze kusafiri kwenda Switzerland, Mama Mkwe akakubali
Safari ikawadia wakasafiri kwenda Switzerland, wakakaribishwa na mdogowake Partner wa George anaitwa Simon, baada ya mapumziko ya siku 2 wakafanya maongezi ya hisa za ubia kati yao wawili, na huo Mgahawa. Wenyeji wao wekaelezea kuhusu Maendeleo ya haraka ya ule Mgahawa wakawaambia bora mmekuja maana tulikuwa tunataka kuifanya Hotel kubwa kwa lile eneo kwa maana pameshachangamka sio kama zamani, wakaongea sana na kufikia muafaka mwisho wa siku wakapewa gawiwo lao la mwaka 2009 ambalo hawakupewa maana walishindwa kwenda, hela zao zilishawekwa Swiss Bank.
Carrie akatambulishwa kama Shareholder kwaiyo Disemba atakuja kwa niaba ya mumewe kukaa kikao cha mwaka na kusikiliza kila kitu kinachoendelea kwenye hotel yao na kufanya mabadiliko ya restaurant kuwa hotel.
Baada ya kuhakiki gawiwo lao benki wakaaga kurudi Bondeni, lakini hawakurudi Bondeni wakaunganisha kujirusha kwenye mahoteli ya hapo hapo makubwa ili Carrie nae ajue ataingeneza vipi ya kwako.
Ni kama walirudi Honeymoon maana sasa hivi George yupo vizuri sio kama mwaka jana, mechi zikapigwa si unajua tena uraya uraya.
Walipokuwa wanashuka airport ya bondeni kurudi nyumbani kwao, Carrie akaanza kusikia kichwa kinamuuma, akawa hawezi kutembea mara anashindwa kupumua, akakimbizwa hospital kuchekiwa ana mimba ingine tena ya mapacha! Yeleuuuuwi Mchaga alifurahi alisahau kama alikuwa anaumwa.
Walipokuwa wanashuka airport ya bondeni kurudi nyumbani kwao, Carrie akaanza kusikia kichwa kinamuuma, akawa hawezi kutembea mara anashindwa kupumua, akakimbizwa hospital kuchekiwa ana mimba ingine tena ya mapacha! Yeleuuuuwi Mchaga alifurahi alisahau kama alikuwa anaumwa.
George anashangaa hawa mapacha vepee mbona mtoto ana mwaka na miezi 6, lakini akakubaliana na hali lakini Carrie kichwa kimepanda nae anapata mapacha.
HUKO BONGO:
Chanel yupo buzy na shulee, Pedeshee kama kawa ameenda Mogadishu kikazi.
Chanel akawa ana minyege hatari! Hajui anafanyaje, kujipiga bao anaona haitoshi, phone sex hainogi, akiwa kwenye wimbi la kutafakari labda anywe dawa za usingizi alale au akabakane na mlinzi wa getini, maana kuna siku alimuona anaoga akaikremisha machine yake haikuwahi kumtoka akilini kuwa ile machine ni sawa au imeongezewa. Machine ndefu kama mnazi bwana. Mara simu ikapigwa, kupokea kumbe ni Mark! Akiangalia saa saa 2 usiku,
Chanel: Mark nambie, naona leo umenikumbuka.
Mark: ndio mpenzi si unajua mimi na wewe tumetoka mbali, uko wapi leo?!
Chanel: nyumbani kwangu
Mark: naweza kuja kukuona nina mbayaa
Chanel: akajiambia enhee hapa hapa Mungu kanikumbuka, lakini akimwangalia mlinzi anaona huyu cha umbea yatanishinda akamwambia tukutane Kunduchi Beach Hotel, akawasha gari fasta na hivi anajua kuendesha akaenda kununua condom 5 maana sio kwa ugwadu ule alokuwa nao, fasta hotelini akabook chumba akakaa anamsubiria.
Mark akafika akampigia akaelekezwa chumba, kuingia tu ndani Chanel hakutaka salamu akamdaka na mabusu anataka mechi, akamdandia Mark wa watu maskini alikuwa amebeba makaratasi sijui anataka kidiscuss nini Chanel habari hana, moja kwa moja kwenye machine, akakumbuka eh sijamvalisha mpira! Mechi ikapigwa.
Mark: ndio mpenzi si unajua mimi na wewe tumetoka mbali, uko wapi leo?!
Chanel: nyumbani kwangu
Mark: naweza kuja kukuona nina mbayaa
Chanel: akajiambia enhee hapa hapa Mungu kanikumbuka, lakini akimwangalia mlinzi anaona huyu cha umbea yatanishinda akamwambia tukutane Kunduchi Beach Hotel, akawasha gari fasta na hivi anajua kuendesha akaenda kununua condom 5 maana sio kwa ugwadu ule alokuwa nao, fasta hotelini akabook chumba akakaa anamsubiria.
Mark akafika akampigia akaelekezwa chumba, kuingia tu ndani Chanel hakutaka salamu akamdaka na mabusu anataka mechi, akamdandia Mark wa watu maskini alikuwa amebeba makaratasi sijui anataka kidiscuss nini Chanel habari hana, moja kwa moja kwenye machine, akakumbuka eh sijamvalisha mpira! Mechi ikapigwa.
Mark anafurahi akajua amempata Chanel tena, kumbe Chanel ni mihamu tu imembana, zikapigwa shoo za kila aina style ya mamba, kondoo, jongoo, mchicha, 69 position, Chanel kawa bingwa akafunga magoli 3 bila Mark hoi.
Mark: Chanel mama sijawahi kupata dozi kama yako tangu uondoke kwenye maisha yangu, nilikuwa naguswa guswa tu ila leo najihisi kuwa mwanaume kamili, akamchumu Chanel wakalala.
Asubuhi saa 12 Chanel akaamsha tena, maana anatakiwa aende darasani saa 3, akajiongeza kwa Mark, kama kawaida Mpare wetu bwege tu anapiga mikelele kama mwana kwaya, hehehe, akaondoka amemfunga goal 2 bila, Mark hoi.
Chanel: Naenda darasani ukitoka wape funguo pale chini kabla ya saa 3 nimeshalipia.
HUKO KWA WANANDOA:
Watoto wa Adrienne na Shawn wamekuaaa, wana mwaka na miezi 7 washaanza baby care class, Adrienne na kazi
yake ya UN ikawa inambana sana wakaamua kupokezana malezi na Shawn, baada ya mwezi mmoja wakapata dada wa kazi mama mtu mzima ambae hakuwa na familia, mume na watoto wake wooote walifariki, huyo mama alikuwa anafanya kazi ya usafi anapofanya Shawn, mkataba ulipoisha na Adrienne alikuwa anatafuta dada wa kazi Shawn akaongea na yule mama kwasababu alikuwa mwaminifu, mstaarabu akamchukua wakawa wanaishi nae lakini nyumba ya nje.
Kila Alhamisi wanakuwa na date night Adrienne na Shawn kwa ajili ya kunogesha penzi maana ndoa usipoifanyia makaratee na kuipamba utajikuta ulimwengu unapita na janaume au jike linachepuka, na maisha yenu yanaanza kuboa mnakuwa na ndoa flani hivi za kizee zee huyu kavaa tenge huyu kavaa shati la kitenge, Adrienne hakutaka hayo, yeye alikuwa anapenda ndoa za kisasa, kwanza kila siku yupo kwenye makeup, gym kwa sana na kula vizuri, alikuwa hot mama, ukimwona hautajua kwanza kama ni mke wa mtu au ana watoto mapacha nyumbani. Kwake maisha yake ya ndoa yalikuwa mazuri sana kuliko ya usichana!
BAADA YA MIEZI 9:
Doreen na mimba yake akajifungua mtoto wa kike,
Doreen na mimba yake akajifungua mtoto wa kike,
Lucifer full shangwe, akamwita jina la Sandra!
Doreen: hasira ikaisha juu ya Lucifer akaona bora asamehe na mtoto amekuja ni baraka sio vizuri kumkomesha Lucifer maana kuna leo na kesho.
Nyumba aliokuwa anakaaga Mbezi Beach ilibidi asiendelee kupanga akahamia mazima kabisaa kwa Lucifer.
Lucifer: akajiambia hapa hakuna cha James wala nini, mke ndio huyu nimepewa na Mungu na hivi tumeshapata zawadi ya mtoto hamna kurudi kwa James tena.
Lucifer kwa masifa akahakikisha kila wakienda Hospital anampima mtoto DNA. akakuta kweli mtoto ni wake maana alikuwa hana uhakika na James usikute zile za usiku walikuwa wanapoozana lakini moyoni alikuwa na uhakika kuwa Sandra ni mwanae kabisaa!
Maisha yakaendelea, Doreen akawa haendi tena kazini, mshahara analipwa kama kawaida lakini anakaa nyumbani kumlea Sandra.
Akawapigia simu carrie, Adrienne na Chanel kuwa amejifungua wakafurahi pamoja nae ila walishangaa kwanini hawakuambiwa habari ya ujauzito.
Carrie: Na mimi nina mimba ivyoo, nimeambiwa nina mapacha!
Wote: wakacheka huku wanaongea.
Lucifer hakutimiza ahadi ya ndoa kwa Doreen, kitu kilichomfanya azidi kuumia sana ingawa wana mtoto lakini kwake haikutosha, alitaka kumpatia Doreen kiiiila kitu Duniani, lakini ndoa ndio kikwazo, akajiambia kuwa mtoto akianza shule ya Nursery ataenda kwenye ile mishen mwenyewe ili arudi fasta kuoa.
HUKO ULAYA:
Safaree mambo yake yanamwendea vizuri.
Safaree mambo yake yanamwendea vizuri.
Don lucifer akaambiwa amwingize Safaree kazini sasa maana ameshamaliza masomo, akaruhusu Safaree field lakini akiwa kwenye uangalizi wa karibu maana huyo nae kama ana mashetani akifika sehemu anajisahau sana. SAFAREE akaingizwa kitaa kwa muda wa miezi 6 katika uangalizi mkali wa watu asiowajua
HUKO BONGO:
Chanel bwana akawa anaendelea kuwasiliana na Mark, Pedeshee akirudi hawaongei akiondoka wanaongea, wapi waonane wapige mechi.
Chanel bwana akawa anaendelea kuwasiliana na Mark, Pedeshee akirudi hawaongei akiondoka wanaongea, wapi waonane wapige mechi.
Sikumoja Chanel amekaa ndani ya nyumba kavaa chupi na top iliomfika chini ya maziwa, chini kapuga visoksi vile vifupi chini ya kisigino, anazunguka ndani ya nyumba usiku, mlinzi anamuangalia, kila siku mambo ni hayo hayo, sikunyingjne anatembea na sidiria na chupi, mlinzi kila siku anadesa kwake. Mlinzi akaona isiwe shida kwani Tsh ngapi?! Siku akategesha mlango na kimbao, sikuhiyo Chanel nadhani alifanya makusudi sijui alikuwa anamtega mlinzi, mlinzi akaingia ndani nakumkuta Chanel amejichanua anaangalia Tv, Mlinzi akamvaa bwana, uuwi Chanel aliwamiss wote Mario na Mark, akaona hapa ibada imenifuata nyumbani ngoja niitumie, akamwomba mlinzi aloki geti, mlango wa ndani aje, akaenda kuzisaka Condom wakaingia chumba cha kulala wageni.
Kha! Mlinzi noumer! Mlinzi utadhania Nyakanga?! Chanel hakuona ndani kwa mechi aliotoa mlinzi.
Machine ya Mlinzi sasa uuuwi, Chanel alijuta wapi yumo tu, Pedeshee akisafiri Mlinzi anazinga mlango mechi inachezwa!
Chanel kila siku anafungwa 5 bila, akawa anamuacha mlinzi analala chumba cha wageni yeye anarudi chumbani kwake.
Mazoea na mlinzi yakazidi, sikumoja asubuhi alfajiri saa 11 akasikia honi nje, mlinzi bado kalala kama kwake, kwenda kuchungulia Pedeshee huyoo karudi, akapaniki hajui afanyaje, honi ikapigwa sana hamna wa kufungua mpaka Pedeshee akaamua afungue geti kwa funguo zake mwenyewe, huku nyuma Chanel anamwamsha mlinzi kanogewa na usingizi, akam-mwagia maji shenzi we amka mumewangu kaja, mlinzi kakurupuka akatoka nje kupitia mlango mwingine.
Chanel: Fasta akayatoa mashuka kayatumbukiaza kwenye washing machine akarudi kulala.
Pedeshee: akaingia ndani kimya kimya akaelekea chumbani, anamkuta Chanel bado kalala, akavua nguo zote akaingia kitandani akaanza kumwamsha Chanel kuwa amerudi anataka mechi.
Chanel: yupo hoi nguvu hana, Mlinzi kaua balaa!
Akajifanya hajiskikii vizuri lakini Pedeshee hakujali, anafosi anataka mechi
Chanel akajitahidi kumkwepa lakini wapi Pedeshee kakomaa hataki kusikia neno nimechoka....
Chanel akajitahidi kumkwepa lakini wapi Pedeshee kakomaa hataki kusikia neno nimechoka....
TUONANE LEO SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_______________________________
G. ASALI YA HOGO NA LIMAO YA KIBAMIA
Mechi
bwana ikapigwa, Chanel hasikii tena ile raha alokuwa anaipata kwasababu
keshakaribisha machine kubwa, basi tu akawa anafanywa lakini hamna kitu.
Pedeshee
mwenyewe kajitoa kweli kweli akijua anakidhi kiu cha mkewe mtarajiwa kumbe
anapoza chai ya moto na maji ya baridi.
Katikati
ya mechi, Chanel akasema hapa ngoja nifekishe ili Pedeshee amalize niende zangu
skuli, akajifekisha misauti, Pedeshee huyoo tayari!
Chanel
akambusu kwenye paji la uso akaondoka kujiandaa kwenda skuli, akiwa anajitaka kutoka,
Pedeshee akamwambia usiku nataka tuonane Hyatt Regency Hotel, ukitoka Darasani
njoo ujiandae utanikuta kule sidhani kama tutalala hapa, huyu mlizni hata
simwamini, nimemuangalia kwenye Camera nikaona siku moja anakuchungulia dirishani
ukiwa umevaa nguo zako dirishani, kwanza nataka nimwondoe.
Chanel:
roho inamdunda akamjibu sawa, wakaagana Chanel anatoka nje mlinzi anamfuata,
Mlinzi: Dada za asubuhi
Chanel: salama za kuamka, hapo kauchuna kama sio walipigana mechi!
Mlinzi: nzuri dada, sasa leo tena saa ngapi au mpaka kaka aondoke?
Pedeshee: kumbe anawasikia akatoka nje akawauliza, mpaka niondoke kwenda wapi? kuna nini mnapanga mbona siwaelewi?
Chanel: eh mume wangu, kumbe upo nyuma yangu?
Pedeshee: umesahau leseni yako nikaamua nikuletee, mnapanga nini na huyu kijana?
Mlinzi: Dada za asubuhi
Chanel: salama za kuamka, hapo kauchuna kama sio walipigana mechi!
Mlinzi: nzuri dada, sasa leo tena saa ngapi au mpaka kaka aondoke?
Pedeshee: kumbe anawasikia akatoka nje akawauliza, mpaka niondoke kwenda wapi? kuna nini mnapanga mbona siwaelewi?
Chanel: eh mume wangu, kumbe upo nyuma yangu?
Pedeshee: umesahau leseni yako nikaamua nikuletee, mnapanga nini na huyu kijana?
Mlinzi: hapana mzee ni kwamba dada aliniambia niwe namchukulia maziwa kwa jirani ya mtindi sasa ng’ombe wao alikuwa anaumwa jana nikaambiwa amepona sasa namwulize leo nikayachukue saa ngapi?
Pedeshee: ahaa! Sawa haina, ila mazoea na mke wangu sitaki kukuona nayo, kwanza unaongeaje na mke wangu umemsogelea namna hii embu toka au unamtaka mke wangu?
Chanel: akamshika mkono Pedeshee, basi mume wangu, yaishe kwani amefanya kosa kuniuliza? akamshika mashavu kaanza kumbusu, akampa bonge la kiss, mlinzi anaangalia kwa midadi anakula kwa macho.
Mlinzi akajiondokea akarudi kukaa kwenye banda lake kama mbwa! Chanel akaondoka kwenda darasani, njiani anawaza ile mechi ya jana na mlinzi ilivyo kali, nafanyaje mimi mbona leo nimemwona Pedeshee sio mtamu, sasa ule mtwangio naupata wapi tena au nimrubuni Pedeshee aongeze machine kwa vidonge nini? Ila naanzaje kudadeki si najiharibia!
Pedeshee: nyuma akawa anaangalia marudio ya camera na mambo yaliotokea hapa nyumbani, kumbe ile camera aliitegeshea wakati Chanel ameenda shule, lahaula jamaa!
Kukuta
mlinzi anampa mambo Chanel doh! alihisi kufa, hakuamini, akaanza kulia kumbe
ndio mambo Chanel ananifanyia? Hasira zikampanda akaanza kutukana kidhungu this
fucking bitch fucking whore!
Hapo Mlinzi
hana hili wala lile, akamfuata mlinzi we boya njoo!
Mlinzi
anajua ah labda boss anataka kunielekeza kazi, wee! Kuja onyeshwa anamla mke wa
boss alipigwa mingumi hakujua saa ngapi alianguka chini.
Pedeshee:
Nitakuua mimi, akatoa bastola leo lazima nikuue nyama weee hauwezi nifanyia ujinga
huu.
Mlinzi:
anajitahidi kujitetea lakini wapi, pigwa mingumi sukumwa ukutani, rushiwa chupa
zinamkosa kosa, baadae mapigano yakakoma.
Mlinzi
kavimba macho, pedeshee kalowa jasho mwilini, nyumba imejaa vitu viliyopasuka,
Tv chini, kha!
Pedeshee:
Akaingia chumbani, akatoka na laki 2 akambabithi, nisikuone tena nyumbani
kwangu ondoka kabla sijakufunga na mshahara wako huo hapo wa miezi 3, nisikuone
tena kwenye maisha ya mke wangu.
Mlinzi
akaenda kubeba viragooo nduki kwao anakokujua.
MTAA WA 3:
Adrienne na Shawn: mambo supa, ndoa nzurije.
MTAA WA 3:
Adrienne na Shawn: mambo supa, ndoa nzurije.
Shawn
akarudi kazini akaambiwa na Lucifer wataondoka kwenda bondeni kumcheki James
anafanyaje kazi au anazingua akitoka akahakikishe Safaree anafanyaje kazi Russia
na Kimaro Mexico, safari ya miezi 6 hatokuwa Bongo, na yeye anatakiwa apande
nae watarudi wote wakimaliza kazi.
Shawn:
akaomba apunguziwe muda maana ana majukumu ya familia.
Lucifer:
Nimeshakupunguzia, hata hivyo nilitakiwa nikuweke kwenye assignment ya miaka 2
lakini nimepunguza sana mpaka miezi 6, kwahiyo kaage familia kabisa hizi kazi
zetu unaeza enda usirudi!
Shawn:
Sawa Mkuu lakini kwa shingo upande! Akaondoka kwenda kujiandaa maana asubuhi
ndio safari.
MTAA WA 2:
Lucifer na Doreen wapo buzy wanalea mtoto kama kawa, mapenzi ya Doreen kwa Lucifer yakarudi kwasababu ya mtoto.
Doreen:
Lucifer huyu mtoto anaandikiwa makaratasi lini? Ana miezi 8 sasa mambo yapo
yapo tu sikuelewi, custody ya mtoto vepee?
Kwanza kazi
zenyewe unazofanya sizielewi, unatakiwa kuweka mambo kwenye karatasi sasa!
Lucifer:
Sawa! Kesho yake akafanya yake, akamrithisha Sandra na Ivan kila kitu
alichokuwa nacho, Doreen roho ikakaa sawa.
Doreen
akakumbuka walipotoka, akakumbuka lazima warudi kutoa sadaka ya shukrani kwa
Mungu, akawapigia akina Adrienne na Chanel.
Adrienne:
sawa hamna shida.
Chanel:
sawa ila mimi naishi na Pedeshee sasa sijui namshukuru Mungu kwa lipi maana
niliomba ndoa sasa hivi nimefanywa mke kwa lazima! Lakini kama namshukuru Mungu
kwa kunisomesha ilo kwakweli nitakuja!
Doreen:
akacheka sana walipomaliza kuongea akampigia Carrie, wakaongea sana zaidi ya
masaa 2 kwa Skype, anamwonyesha alivyobongeka na ile mimba ya mapacha,
wanacheka.
Doreen:
akamwonyesha mwanae Sandra.
Carrie:
akafurahi eh Mama Mchungaji umetisher, mpaka umemzalia hadi Lucifer, bado James
tu sasa.
Doreen:
eh tena umenikumbusha, unajua James yupo huko bondeni, asee naomba nitunzie uyo
mtu, akamwelekeza anapokaa ili awe anaenda kumtembelea, akiamini siku moja
Doreen atateremka bondeni kwenda kumsalimia Carrie lakini haja yake kabisa ya
moyo ni kumwona James.
Carrie:
akakubali usijali mtu wangu!
Lucifer: mawazo yamemjaa anatamani amuoe Doreen hata kesho, lakini kazi ni kazi tu! Akawa anawaza aingie ile mishe akalete mashesabu kwa boss wake lakini sio rahisi maana kuna watu wengi wataumia lakini cha muhimu anatakiwa kukamatwa kubwa la maadui sasa anafanyaje haelewi achoreje ramani na anauhakika gani atatoka salama kurudi kwa familia yake.
Lucifer: mawazo yamemjaa anatamani amuoe Doreen hata kesho, lakini kazi ni kazi tu! Akawa anawaza aingie ile mishe akalete mashesabu kwa boss wake lakini sio rahisi maana kuna watu wengi wataumia lakini cha muhimu anatakiwa kukamatwa kubwa la maadui sasa anafanyaje haelewi achoreje ramani na anauhakika gani atatoka salama kurudi kwa familia yake.
Akaangalia
picha amepiga na Doreen, Sandra na Ivan, roho inamuuma mbaya, anaona bado
hawajakamilika ingawa anapata kila kitu nyumbani anaona Doreen anajisikia sio
mkamilifu bila ndoa sasa anafanyaje?
Akaanza
kuchora ramani ya kuingia kwenye mishe mwenyewe mazimaa!
Akaenda
kuongea na boss kuwa anataka kuimaliza ile mishen aoe maana amechoka kumharibia
mtoto wa watu maisha.
Boss:
sawa kama umejipanga nenda lakini uage kwenu na umwombe Mungu sana maana nahisi
kama hautarudi, wale watu wabaya hawatakubali uwashinde kirahisi.
Lucifer:
akajibu sawa Mkuu akaondoka.
HUKO BONDENI:
Mimba ya Carrie ikakua, sasa ana miezi 9 muda wowote anajifungua mapacha wake, tumbo kubwa kama gunia la kilo 50.
Mimba ya Carrie ikakua, sasa ana miezi 9 muda wowote anajifungua mapacha wake, tumbo kubwa kama gunia la kilo 50.
George:
anamtania mke wangu umepata kitambi,
Carrie anacheka.
Junior nae amekuka, anamaliza aingia middle class ya nursery, maisha mazuri
Carrie kafutuka kama kiazi mbatata, walikuwa hawaishi mbali na mama mkwe, kila
weekend Mama Mkwe anakuja kuwatembelea anamchukua Junior wanaenda kukaa nae kwake,
Carrie anakaa tu ndani hafanyi kazi, lakini maisha aliokuwa anaishi kama
housewife ni mazuri kuliko ya mtu alieajiriwa!
Wazazi wa Carrie wakampigia, kumjulia hali yake, Mama CARRIE: Mwanangu tulipie nauli na babako tuje kukusaidia kulea watoto, maana mapacha sio mchezo na huku una junior huyo mama mkwe unamtesa.
Wazazi wa Carrie wakampigia, kumjulia hali yake, Mama CARRIE: Mwanangu tulipie nauli na babako tuje kukusaidia kulea watoto, maana mapacha sio mchezo na huku una junior huyo mama mkwe unamtesa.
Carrie:
Sawa mama nitafurahi ukija kunisaidia ulezi, akawakatia tiketi ya ndege baada
ya wiki wakaja kumsabahi na kujiandaa kujifungua mtoto.
Mama Carrie: Doh! hapa kwa Mandela kuzuri Yesu na Maria, utadhania ulaya, Carrie na George wanacheka, maana sio kwa lafudhi ile!
Kufikishwa
nyumbani wanashangaa bonge la jumba kufuru, haikuwa ghorofa ila ilikuwa nzuri
si unajua tena ukitoka kijijini bwana kuja kwa Mandela unaona kama umepelekwa
Mbingu ndogo!
Wanashangaa
kila saa wanasema kiruu! Asee George kwako kuzuri bwana,
Babake
Carrie: Yani very Classic, Carrie anacheka, babake Carrie alikuwaga bank
officer huko Moshi Mjini kwahiyo kizungu hakijampita.
Wamefika
wananukia mgombani mgombani, ikabidi Carrie awaandalia bathroom shower ya nguvu
ile harufu ya kijijini mgombani ipungue, baadae akawazawadia ma expensive
Bvlgari Perfumes, wajipake tu, harufu ya kijijini ipotee maana ni aibu kwake,
baada ya chakula cha usiku wakashukuru asanteni sana kwa zawadi nzuri Mungu
awabariki sana, akina Carrie wanaitikia Amina Baba Amen.
HUKO BONGO:
Usiku Chanel akajipara, kuliko maelezo kivazi alichopiga sio kitoto, akafika Hyatt Regency, akampigia Pedeshee, akaelekezwa chumbani, kufika anamwona Pedeshee kavimba uso.
HUKO BONGO:
Usiku Chanel akajipara, kuliko maelezo kivazi alichopiga sio kitoto, akafika Hyatt Regency, akampigia Pedeshee, akaelekezwa chumbani, kufika anamwona Pedeshee kavimba uso.
Chanel:
vipi jamani umefanyaje?
Pedeshee
anamwangalia tu anavyomsogelea na kumpeti peti na kumpa pole. Hasira zikampanda
Pedeshee, akamwuliza Chanel kuna kitu unataka kuniambia kabla sijaongea?
Chanel: ndio, nimerudi nyumbani nimekuta nyumbani vitu vimevunjika ikabidi nifanye usafi, ndio nije ndio maana nimechelewa kuna nini au majambazi waliingia? Pedesehee anamwangalia tu hajibu.
Chanel: ndio, nimerudi nyumbani nimekuta nyumbani vitu vimevunjika ikabidi nifanye usafi, ndio nije ndio maana nimechelewa kuna nini au majambazi waliingia? Pedesehee anamwangalia tu hajibu.
Chanel:
Alafu mlinzi nae hayupo kuna nini?
Pedeshee: huyo mlinzi ashukuru kuwa nilikuwa na Mungu ndani yangu la sivyo ungekuta maiti pale ndani, yani wewe Chanel ni wa kunifanyia unyama ulonifanyia?
Pedeshee: huyo mlinzi ashukuru kuwa nilikuwa na Mungu ndani yangu la sivyo ungekuta maiti pale ndani, yani wewe Chanel ni wa kunifanyia unyama ulonifanyia?
Ni nini
kinakuvutia kwa mlinzi?
Kwa
Mark nilisamehe lakini mlinzi! Imekuwa too much, umevua Class yangu ukaitupa
ukalala na mlinzi? Nimeona kila kitu kwenye video nilioiweka maana moyoni
mwangu sikuwa na uhakika kukuacha pekeyako na mlinzi tu.
Chanel: akaanza kuomba msamaha.
Chanel: akaanza kuomba msamaha.
Pedeshee:
kanuna hataki kubembelezwa!
Pedeshee: ivi ni kwasababu sijakuoa kama wenzio walivyoolewa, au kwasababu sijakuchumbia umeamua kunionyeshea madharau?
Pedeshee: ivi ni kwasababu sijakuoa kama wenzio walivyoolewa, au kwasababu sijakuchumbia umeamua kunionyeshea madharau?
Chanel: kimya!
Pedeshee:
anazidi tu kurapu huku anaumia, dah kaka wa watu anaongea maskini kwa uchungu
utamhurumia!
Ina maana mimi kitandani sikutoshelezi mpaka unaanza kulala na lile boya?
Ina maana mimi kitandani sikutoshelezi mpaka unaanza kulala na lile boya?
Chanel
kimya.
Pedeshee:
Kwani mlinzi anakupa nini cha ziada.
Chanel:
kimya
Pedeshee:
nakuuliza wewe mbona hauongei?
Chanel:
unataka nikujibu au?
Pedeshee:
na ufupi wake akajibu, ndio Nijibu
Chanel:
Kusema ukweli umeondoka muda mrefu sana Pedeshee, na mimi nilikuwa na hamu zangu,
sijalala tu na mlinzi hata Mark nimelala nae mara 1 ila wote hao nimetumia
kinga.
Eh Pedeshee akachoka mara 2, akakaa akasimama, akapiga ukuta anatukana mara ang’ate mkono, why why jamani kwanini nyie wanawake hamridhiki?
Eh Pedeshee akachoka mara 2, akakaa akasimama, akapiga ukuta anatukana mara ang’ate mkono, why why jamani kwanini nyie wanawake hamridhiki?
Chanel:
Hiyo ndio sababu nimechepuka, na tangu umerudi sina raha na wewe tena kitandani,
naona kama unanilamba! Sio kama zamani tena, tangu nimelala na mlinzi na lile
bushelele lake sioni tena raha kulala na wewe!
Pedeshee: Hivi unajiskia unavyoongea Chanel?
Pedeshee: Hivi unajiskia unavyoongea Chanel?
Hata
aibu huoni, akatukana hapo akapiga chupa ya wine aliokuwa anakunywa chini, akaondoka
zake akabamiza mlango.
Chanel
na makeup yake ya kwa Glambox usoni kadoda! Anatoa macho kodoo! moyoni anasema
bwana bora nimeongea ukweli, dyu dyu kubwa ndo linanichanganya asinichoshe, atajiju!
TUONANE KESHO TAR 22 AUGUST 2018 SAA 11 JIONI YA TANZANIA
_______________________________ SEHEMU YA 6
A. ASALI YA MSAMAHA NA FURAHA YA UBATIZO
Shawn akarudi nyumbani kumweleza mke wake Adrienne kuwa anatakiwa asafiri miezi 6 ijayo.
Adrienne: kashangaa jamani mume wangu miezi 6 bila wewe ni sawa na mwili bila damu, sizunguki wala sisogei. Akawa anampeti peti, sasa itabidi tubatize watoto kabla haujaondoka, wakakubaliana baada ya wiki 2 tubatize watoto.
Shawn: akiangalia hana wiki 2 lakini akakubali sawa nitaomba niongezewe muda.
Adrienne: akawapigia simu wazazi wake wakakubali watakuja.
Shawn: akawapigia simu wajomba na baba mdogo na wakeze waje ubatizo wakakubali baadae akaongea na Lucifer amwongezee wiki 2 akakubaliwa, akamwalika kwenye ubatizo.
Lucifer: Asante sana, unaonaje tubatize watoto wetu pamoja maana na mimi sio mkaaji na kurudi ni majaliwa.
Shawn: akarudi kumweleza mkewe kuwa wakaongee na Mchungaji abatize watoto; wakaenda kuongea na Pastor kesho yake nafasi ikawepo kwa tarehe waliochagua, wakatafuta hall la kufanya sherehe wakapata Diamond Jubilee V.I.P hall maana wakichanganya wageni wao na wa Lucifer patajaa.
Adrienne akampigia simu Carrie kumwambia anabatiza baada ya wiki Mbili.
Adrienne akampigia simu Carrie kumwambia anabatiza baada ya wiki Mbili.
Carrie: akamtamania akamwambia, mimi muda wowote namwaga manyanga, naona sitaweza ila ningekuwa fit ningekuja shogangu hongera sana.
Adrienne: Asante lakini mume wangu anasafiri anarudi baada ya miezi 6 ndio tumeharakisha ila roho inaniuma Carrie sijui hii safari ina nini?!
Carrie: akamtia moyo
Adrienne: Tulipanga kutoa sadaka ya shukrani naona ubatizo utaanza kwanza shukrani baadae, au sijui tufanye yote huku au?! Akawa haelewi
Carrie: Shukrani toa ya sirini, Mungu anaona na kusikia nikikaa sawa nitakuja huko tumtolea tu Mungu shukrani usijali.
Baadae Adrienne akampigia Chanel kumpa ujumbe Chanel akafurahi, sawa nitawasindikiza ila mimi ndio nimeshaachwa, akamweleza yaliyojiri na Pedeshee Adrienne akasikitika, sasa Chanel kwanini umemfanyia hivyo mwenzio?!
Baadae Adrienne akampigia Chanel kumpa ujumbe Chanel akafurahi, sawa nitawasindikiza ila mimi ndio nimeshaachwa, akamweleza yaliyojiri na Pedeshee Adrienne akasikitika, sasa Chanel kwanini umemfanyia hivyo mwenzio?!
Si james alikwambia utulie na Pedeshee mbona unatuaibisha namna hii, sasa hivi uko wapi?!
Chanel: Nipo hapa hotelini sina pa kwenda maana nyumbani hakuendiki nahisi ataniua na huku nilipo hakukaliki maana najiskia vibaya kweli hapa roho yaniuma kama inataka kutoka.
Adrienne: Pole jamani basi njoo ukae kwangu maana una shule ya kwenda nitaongea na Shawn kuna chumba cha wageni utalala.
Chanel: akashukuru akahamia kwa akina Shawn na Adrienne.
Siku moja Adrienne akajiiba akampigia Pedeshee, kuwa anataka kuonana nae, Pedeshee akakubali wakakutana New Africa Hotel.
Adrienne akaenda kuongea nae na kumwombea msamaha Chanel.
Adrienne: Jamani shemeji rudi nyumbani rafiki yangu hana raha, anakumiss, anakupenda.
Pedeshee: akawa anatoa tu macho, baadae akamwuliza angenipenda angelala na mlinzi alafu sababu anayonipa ni dudu la mlinzi kubwa sijui nini? what the **** is this?!
Adrienne: akajaribu apo wee kumbembeleza lakini wapi, Pedeshee na ule ufupi mbiiiishi kama shipa! Hataki kusikia.
Adrienne: Chanel anaishi na mimi kwa sasa.
Pedeshee: Na nyumba kamwachia nani sasa?!
Adrienne: Aliogopa kurudi maana hakujua utamuua au utamfukuza.
Pedeshee: Aende akakae tu, mimi nipo hotelini nina wiki 2 naondoka kwenda Ujerumani moja kwa moja, sidhani kama nitarudi Bongo tena! Naenda kuanza maisha yangu upya kule!
Adrienne: kusikia moja kwa moja, roho ikamuuma sana, jamani shem akaanza na kulia? kweli huwezi msamehe rafiki yangu kabisa? Tafadhali rudisha moyo konde, umemsamehe mangapi itakuwa hili!? Eh!?
Umemtoa mbalia Chanel unakumbuka lakini ulipomtoa? Tafadhali msamehe, amekose ni kweli lakini sisi sote hatujakamilika.
Pedeshee: akanyamaza.
Adrienne: Sasa shemeji nakukaribisha kwenye ubatizo wa watoto wangu na watoto wa Lucifer, tafadhali uje baada ya wiki mbili naamini utakuwepo, akampa kadi uje Kanisani na uje kwenye Ukumbi.
Pedeshee: Asante lakini sidhani kama nitakuja, nije nionane na huyo Malaya? wala siji pole lakini sitakuja.
Pedeshee: Asante lakini sidhani kama nitakuja, nije nionane na huyo Malaya? wala siji pole lakini sitakuja.
Adrienne: Haya shem, kama hatutaonana nakutakia maisha mema huko uendako Mungu akutangulie akubariki akufungulie njia na maisha yawe mazuri kwako, Amen?
Pedeshee: Amen, asante sana shem.
Adrienne: akaondoka
Lucifer kurudi nyumbani akamweleza Doreen kuhusu kubatiza mtoto Sandra,
Lucifer kurudi nyumbani akamweleza Doreen kuhusu kubatiza mtoto Sandra,
Doreen akafurahi hata sikufikiria nimekuwa buzy na mtoto na kazi na ulezi sijakumbuka, asante. Sasa itafanyika lini ubatizo?!
Lucifer: Baada ya wiki 2, kesho nataka kwenda kuongea na Mchungaji, akikubali itabidi uanze kuandaa list ya wageni wetu.
Doreen: Sawa Mume wangu hamna neon.
Lucifer: kusikia Mume wangu anashangaa, roho lakini inamuuma hajamuoa Doreen wake.
HUKO BONDENI:
James akakutana na Carrie huko bondeni, Carrie akafurahi kumwona shem wake, si waliendaga nae Singida, wakaonge sana wakataniana
James: shemeji ni nini hivi umenenepa dah! kama kigunia
Carrie: ah mwenzio nina mapacha hapa nimebeba
James: hongera sana shem nikaskia una wa kiume,
Carrie: ndio anaitwa George Junior yupo shuleni ila wiki hii yupo kwa bibi yake. Baada ya mazungumzo ya muda mrefu, Carrie akamwambia Doreen anakusalimia sana ameniambia nikuchunge usirubuniwe na wazulu huku.
James akakutana na Carrie huko bondeni, Carrie akafurahi kumwona shem wake, si waliendaga nae Singida, wakaonge sana wakataniana
James: shemeji ni nini hivi umenenepa dah! kama kigunia
Carrie: ah mwenzio nina mapacha hapa nimebeba
James: hongera sana shem nikaskia una wa kiume,
Carrie: ndio anaitwa George Junior yupo shuleni ila wiki hii yupo kwa bibi yake. Baada ya mazungumzo ya muda mrefu, Carrie akamwambia Doreen anakusalimia sana ameniambia nikuchunge usirubuniwe na wazulu huku.
James: akacheka ah Doreen nae kwa wivu mimi mbona simwonei wivu wakati yeye ameibwa na anaishi na Lucifer, ah maisha haya lakini namshukuru sana rafkiako kama sio yeye ningeshauawa kwakweli.
Carrie: heee kuuawa? anashangaa haelewi lakini akaona sio busara kuuliza.
James: Hii fadhila lazima nitamlipia Doreen Mungu tu ndio anajua lini. Wakaongea, wakala wakaagana.
Carrie akamkaribisha nyumbani kwake muda wowote afike akiwa na shida aje aombe maana washakuwa ndugu, James akashukuru akafurahi akaondoka.
HUKO RUSSIA:
Safaree nae kaanza kupelekwa field anariiinga mwenyewe, kha! Hafuati maelekezo anaharibu kazi sheedah, yule coach wake akimgombeza hasikii!
HUKO RUSSIA:
Safaree nae kaanza kupelekwa field anariiinga mwenyewe, kha! Hafuati maelekezo anaharibu kazi sheedah, yule coach wake akimgombeza hasikii!
Coach akaona hapa hii mishe itafeli maana safaree anafanya kusudi. Akaamua kumripoti kwa boss wake, safaree akaitwa kuonywa akajidai amesikia akarudishwa tena akavurunda.
Boss akaambiwa akaitwa mara ya 2 akapewa onyo akarudishwa kazini kwa mara ya mwisho Safaree moyoni mwake akaamua kutulia tu sasa aone hii mishe itakuwa inamlenga nani.
Lucifer akapewa taarifa kuwa Safaree anaharibu, ameshaharibu mara 2 lakini hasikii, tumemrudi.... kabla hajamaliza kuongea Lucifer akamwambia mmefanyaje?! Tumemrudisha kwa mara ya mwisho, Lucifer akaona hapa sio mtoeni haraka arudi Bongo, namtaka huku wiki ijayo, mtoa taarifa akajibu sawa boss.
Safaree akachomolewa kwenye mishe kanunaje maana alikuwa anataka kujua kubwa la maadui ni nani ili amlipize kisasi Lucifer ajiunge na kubwa la maadui lakini alipochomolewa fasta hakuelewa kwanini akaona bora ajongee bongo kwanza ili kama atampata kipenzi chake Adrienne amalizane nae na sasa hivi alipanga sana kummaliza Adrienne.
UBATIZO HUKO BONGO:
Siku ya ubatizo wakaungana familia mbili na Chanel, watoto wakabatizwa wakafurahi.
UBATIZO HUKO BONGO:
Siku ya ubatizo wakaungana familia mbili na Chanel, watoto wakabatizwa wakafurahi.
Kabla hawajatoka Kanisani wakamwona Pedeshee huyoo anaingia pale Kanisani, ibada inataka kuisha.
Pedeshee akasogea kwa Pastor, akamnong'oneza, eh! Watu wanashangaa kuna nini?!
CHANEL: anaangalia chini anaona aibu.
Adrienne: anafurahi huku anamwangalia Pedeshee kuna nini tenaa?!
Pedeshee: kapewa maiki aongee, akaanza kutoa shukrani nyiingi, akawashukuru wote kwa kumsikiliza, akawapongeza wabatizaji, akaanza kuongea,
“Chanel, najua umeniudhi sana sana kuliko maelezo, Chanel akajificha chini ya dawati la Kanisa anaona aibu!
Pedeshee akaendelea kumwaga sumu: lakini nakupenda sana Chanel wangu, hata kama uliamua kufuata mashine kubwa ukanitelekeza, lakini nasimama hapa mbele ya Kanisa la Mungu mwenyewe nasema nimekusamehe.
Akina Shawn na Lucifer wakahisi Pedeshee kalewa. Wakataka kwenda kumtoa Pastor akawazuia,
Pedeshee: anazidi kushuka sumu, kweli nakupenda sana Chanel, usiku silali, wiki mbili nakuota mpaka naharibu mashuka!
Uuuwi Adrienne na Doreen wakaangaliana wakacheka sana maana sio kwa mineno ile.
Pedeshee: akaendelea kuongea huku anamfuata Chanel, akamshika mkono akamleta mbele ya Kanisa, mimi nasema ukweli kabisa hata nikisafiri kwenda nje siwezi lala na mwanamke mwengine nakuwaza wewe tu, nakosa hamu na wanawake wengine kwasababu upendo wangu kwako ni mkuu kama wa Yesu kristo!
DOREEN: Uuuuwi watu wote wakacheka!
CHANEL: anaona aibu mbayaaa, anatamani Kanisa lipasuke kati aingie maana sio kwa kuanikwa kule!
Pedeshee: Akapiga goti, akatoa bonge la pete
Pedeshee: Akapiga goti, akatoa bonge la pete
Doreen na Adrienne wakasimama na watoto wanashangaa, tobaaaaa Chanel jamani!
Chanel: Kaweka mkono mmoja juu kama mama wa kichaga aliebeba ndisi kichwani anapeleka nyumbani kutoka shambani, hakuamini akaanza kulia.
Pedeshee: Najua wewe machozi yako hayaishagi, nitafurahi kama tutalia wote maishani unifundishe na mimi, lakini nakupenda sana mpenzi wangu, tuachane na yaliopita tuangalie fyucha yetu na fyucha yetu sioni mwingine wa kuwa nayo zaidi yako mpenzi wangu. Nakupenda naomba nikubalie ombi la kukuoa tafadhali,
Shawn na Lucifer wanaangaliana wanagonga mikono huku wanacheka!
Pedeshee: Will you Marry Me Chanel wangu?!
CHANEL: anatoka machozi haelewi
Akina Adrienne wanapiga selfie za enzi hizo simu za tachi ndio zimeingia tena.
Chanel: ndio nakubali kuolewa na wewe mpenzi wangu, nakupenda pia.
Pedeshee: akamvisha pete akainuka akamkumbatia Mabusu motomoto nini!
Pastor anaona aibu.
Doreen akaanza kupiga makofi na wengine wageni waalikwa na wazazi wakapiga makofi, Pastor akaingilia kati akawatania kama mnataka kuoana muda pia upo!
CHANEL: Tutakuja skunyingine Pastor hii dozi ya leo ni heart attact tayari!
Wote wakacheka wakarudi kukaa, ibada ikafungwa.
Wakaenda ukumbini Diamond Jubilee, sherehe kama harusi, Hawa majamaa walifanya kufuru, wakacheza hapo na Pastor nae alialikwa na mkewe wakahudhuria, Lucifer: akamtania Pedeshee, ah braza mambo ya leo yalikuwa Classic kweli, Mimi nisingeweza ile show kabisa! Wakawa wanacheka, wanafurahi.
Doreen: anamwambia Chanel shouger! Hii ya leo si mchezo tungealikaga BBC na CNN waje kwa ajili yako, yani huyu Pedeshee mpaka naona aibu umemtenda mara 2 lakini yumo na wewe tu! Du kweli kuna wanaume wanajua kupenda.
Adrienne akamwambia Chanel ndio utulie sasa mimi sitarudi tena kwenda kukuombea msamaha.
Chanel: akamwangalia kwa kumpenda, kumbe ni wewe ulienda kuongea nae, jamaani asante sana mpenzi wangu akamkumbati wakawa wanafurahi na kucheka.
TUONANE KESHO TAR 23 AUGUST 2018, SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
_______________________________
B. LIMAO YA KAZI IMEANZA
B. LIMAO YA KAZI IMEANZA
Ubatizo ukawa unaendelea Lucifer akawaambia akina Shawn na Pedeshee, nimemfahamu Pedeshee kwa muda mfupi sana lakini naona kama damu zetu zimeiva, kama kuna kitu kibaya kitanipata Pedeshee na Shawn naomba mnisaidie kuangalia familia yangu. Najua mama yangu yupo lakini nyie ni zaidi ya kaka zangu mmeshakuwa ndugu zangu.
Hata ikatokea Doreen akaolewa na James au Mjinga mwengine lakini naamini mtakuwa waangalizi wazuri (baba za ubatizo) wazuri wa Sandra.
Shawn: Hamna neon, akijua Lucifer anamaanisha nini lakini Pedeshee hakuelewa chochote akashindwa hata kuuliza akaitikia sawa Lucifer, ila haya maongezi ungeweka kwenye karatasi ingekuwa poa zaidi maana hamna Mtu atakaeamini kuwa umeongea hivi.
Wakaongea sana, baadae shughuli ikaisha.
Adrienne na Shawn wakaondoka kurudi nyumbani kwao na mapacha wao.
Doreen na Lucifer haoo kwao na baby Sandra.
Chanel na Pedeshee wakaondoka kwenda kwao kunduchi, kufika nyumbani nyumba ipo kama ilivyoachwa haijaguswa, Pedeshee akambeba juu juu Chanel wake akanyata nae mpaka kitandani, Mechi ya engagement ikaanza.
Chanel ikabidi avumilie maana hana la kufanya na hivi hajapigwa machine wiki 2 ikawa mpole hawezi tena kulalamika machine haitoshi, mbele ya ndoa akiangalia wenzake Mungu kawajibia maombi ikabidi ajishughulishe haswaa kwa Pedeshee ili harusi ije fasta fasta si unajua tena Sadaka ya shukrani inakaribia hakutaka kuachwa nyuma.
Chanel wa watu kakata mauno weee kampagawisha Pedeshee, Pedeshee akasahau yooote yaliotokea!
Baada ya ubatizo Shawn akawa yupo na mjomba wake anatoka bank pamoja na baba mdogo na Adrienne, wanaelekea kwenye gari.
Baada ya ubatizo Shawn akawa yupo na mjomba wake anatoka bank pamoja na baba mdogo na Adrienne, wanaelekea kwenye gari.
Shawn alienda Bank kuwawekea walezi wake hela na kuclear issue yake ya bank na mkewe kama chochote kitampata miezi 6 mbele, mkewe awe anahusika kutoa hela kwenye akaunt yake.
Alitoka nje Adrienne kwanza, mara Safaree huyoo, yeleuuuwi Safaree akasema nyama yangu si ndio hii, akampiga Adrienne bonge la ngumi la usoni, Adrienne Chini, analia, walinzi wakaanza kujaa wanamshika Safaree aliekuwa anampiga matege na mangumi Adrienne. Akatoka Shawn na mjomba wake, kumkuta Safaree na mkewe yuko chini akajua vita vimeanza wakaanza kupigana na Safaree. Uuuwi ngumi, si unajua tena Shawn nae kapanda, piga Safaree filimbi ikapigwa maaskari wakaongezeka amua amua na wewe, mjomba anashangaa akaenda kumshika Adrienne kumpeleka kwenye gari, kabla hajafika kwenye gari Safaree akachukua bastola ya mlinzi akawa anaelekeza kumpiga Adrienne, uuuwi Mungu saidia ile risasi ikapiga mlango wa nyuma wa gari ya Shawn na Adrienne.
Wote wakashtuka kila mtu akawa amekaa kimya wanasubiri waone nani imempata.
Hamna aliekufa, risasi imemkosa Adrienne, basi walinzi kumkamata Safaree huku Shawn anamdunda Safaree, kampa kipigo haswa mara bamdogo huyoo katoka bank kamshikilia Shawn mnapigana nini lakini?! Apo wakaanza kujieleza huyu anataka kumwua mke wangu, anagalia amemfyatulia risasi imemkosa kosa, mjomba nae akajisogeza kwenye ugomvi, kumcheki Safaree anamjua, ah! We si Stanslaus?!
Eh! SAFAREE kumwangalia ni Uncle Masoud!
Safaree: UNCLE ni wewe?!
Uncle: ni mimi nini mnafanya hapa
Maaskari: Mzee unamjua huyu?!
Uncle: ndio ni mtoto wa dadangu
Maaskari: Sasa tunataka kumweka ndani kwa kuleta fujo nje ya benki na kumpokonya bunduki askari na kutaka kuua.
Uncle: he! Lakini si hajaua? tafadhali yaishe bwana mimi nitaongea nao niachie mimi tafadhali.
Maaskari: Wakiangalia ni mzee wa Heshima zake, hawakujua ni nani, wakaamua kumsikiliza wakamwambia lakini mje muongee huku mpishe watu hapa mpaka tupige centro waje wambebe Safaree kumpeleka rumande
Uncle: hapana bwana ngoja nimalize hili tatizo
Shawn: Uncle huyu unamjua?! Umemjuaje?!
Uncle: huyu ni mtoto wa marehemu mama yako
Shawn na Bamdogo: hoi! Wamechokaa! ikambidi Uncle wajongee na maaskari pembeni waanze kuongea.
Safaree: UNCLE ni wewe?!
Uncle: ni mimi nini mnafanya hapa
Maaskari: Mzee unamjua huyu?!
Uncle: ndio ni mtoto wa dadangu
Maaskari: Sasa tunataka kumweka ndani kwa kuleta fujo nje ya benki na kumpokonya bunduki askari na kutaka kuua.
Uncle: he! Lakini si hajaua? tafadhali yaishe bwana mimi nitaongea nao niachie mimi tafadhali.
Maaskari: Wakiangalia ni mzee wa Heshima zake, hawakujua ni nani, wakaamua kumsikiliza wakamwambia lakini mje muongee huku mpishe watu hapa mpaka tupige centro waje wambebe Safaree kumpeleka rumande
Uncle: hapana bwana ngoja nimalize hili tatizo
Shawn: Uncle huyu unamjua?! Umemjuaje?!
Uncle: huyu ni mtoto wa marehemu mama yako
Shawn na Bamdogo: hoi! Wamechokaa! ikambidi Uncle wajongee na maaskari pembeni waanze kuongea.
Uncle: akafunguka: Stanslaus ni mtoto wa dada yangu, mama yake na Shawn, alimzaa kabla Shawn hajazaliwa ni watoto wa mama mmoja baba tofauti, baada ya Safaree kuzaliwa baba wa Safaree alimtesa sana dada yangu, dada akaamua kuniletea Safaree nikae nae wakati yeye anaweka mambo sawa, baadae Dada yangu akapata ujauzito wa mwanaume mwengine ambae ndio baba wa Shawn, baba wa Safaree alipojua akaenda kuchukua silaha akataka kumwua dadangu, kuamulia amulia hapo baba wa Shawn akakimbia, nikamtoa dadangu tukamficha kwangu akawa anakaa na mimi mpaka amejifungua Shawn.
Alipojifungua tu Shawn baada ya mwaka mmoja dadangu akafariki. Nikawalea Safaree na Shawn pamoja ila Safaree ulikuwa mtundu mno, mkorofi kama baba yake, nikashindwa kumlea nikamrudisha kwa baba yake nikabakia na Shawn.
Sikumpataga baba wa Shawn lakini nikaja kuambiwa baba wa Shawn alishaoa mke mwingine Mnyakyusa, akaishi nae baada ya miaka 2 akafariki.
Na baba wa Safaree alikuja kugongwa na gari baada ya miaka 5 mbele na Safaree akawa anakuja anachungulia kwangu na kukimbia, Safaree alikuwa mwizi, mdokozi, lakini sasa amekuwa kaka mzuri mtanashati handsome jamaan mwangalie we Stan wewe hujambo huku anamkumbatia!
Baba mdogo na Shawn wakachoka!
Baba mdogo na Shawn wakachoka!
Mjomba: Ndio ivo huyu safaree hili jina sijui umetoa wapi ila anaitwaga Stanslaus!
Na wewe Stan huyu Shawn ni kaka yako wa damu kabisaa nashangaa mnapigania nini?!
Shawn: akaeleza ya upande wake na Safaree akaeleza yake, wazee wakawaelewa na walinzi wakaingia na huruma, wakawaambia tunawachia ila mkirudia tunawafunga!
Shawn: akaeleza ya upande wake na Safaree akaeleza yake, wazee wakawaelewa na walinzi wakaingia na huruma, wakawaambia tunawachia ila mkirudia tunawafunga!
Ikabidi waondoke wote wakapanda gari moja wakaenda Mangesho hapo Sayansi, wakawa wanaongea wakaombana msamaha wakakumbatiana basi wakafurahi.
Adrienne: Anashangaa kunanini!?
Baadae akaambiwa lakini hakumtaka Safaree kwake au mbele ya watoto wake. Ingawa ugomvi uliisha na Shawn alisamehe akamkubali safaree kama kakake wa tumbo moja lakini Adrienne hakumwamini Safaree kwahiyo hata nyumbani hakukaribishwa maana ilikuwa ghafla sana akaambiwa tu karibu nyumbani ila hakuonyeshwa.
SAFARI YETU:
Shawn safari ikawadia ya kwenda bondeni kwa James, akiwa njiani kuelekea airport Adrienne roho yamuuma anamwambia mume wangu Mungu akutangulie nakufunika kwa Damu ya Yesu, anamwombea hapo na nini, Shawn anaitikia tu amen.
SAFARI YETU:
Shawn safari ikawadia ya kwenda bondeni kwa James, akiwa njiani kuelekea airport Adrienne roho yamuuma anamwambia mume wangu Mungu akutangulie nakufunika kwa Damu ya Yesu, anamwombea hapo na nini, Shawn anaitikia tu amen.
Adrienne: Sisi tunakupenda na manno mengi, wakafika Airport wakaagana Adrienne analia machozi lakini anafanyaje sasa, kazi ni kazi tu!
HUKO BONDENI:
Carrie: kajifungua watoto mapacha wakike wote! Wazazi wa Carrie wakafurahi nakwambia wanamwombea hapo kichaga mara wanapokezana zamu ya kulea na wazazi wa George.
HUKO BONDENI:
Carrie: kajifungua watoto mapacha wakike wote! Wazazi wa Carrie wakafurahi nakwambia wanamwombea hapo kichaga mara wanapokezana zamu ya kulea na wazazi wa George.
Carrie: Akamkaribisha James aje amtembelee kuona watoto wake.
James akaja na Shawn Carrie akafurahi, jamani mashemeji zangu karibuni, karibuni sana wakawa wanampa mastori ya Bongo na familia zao, mambo ya uchumi na mengine mengi,
Carrie akampa hongera Shawn kupata mapacha kama yeye na kubatiza.
George akawaita majina ya bibi zake wale watoto mapacha akawaita Molly and Monice.
George junior nae kakua si masihara, dogo anakaribia kumaliza nursery, wenyewe wanafurahia maisha yao.
Lucifer akafikiria jinsi ya kutoboa kwenye ile mishe anayoiendea, anapiga akili na huku Safaree amesha haribu akawa anawaza anaingia vipi. Wiki 2 amekaa ndani na ma body guard na boss wake wanapanga watatoboaje iyo mishe.
Lucifer akafikiria jinsi ya kutoboa kwenye ile mishe anayoiendea, anapiga akili na huku Safaree amesha haribu akawa anawaza anaingia vipi. Wiki 2 amekaa ndani na ma body guard na boss wake wanapanga watatoboaje iyo mishe.
Mishen imegharimu pesa kibao lazima warudishe matukio makubwa.
Doreen: yupo buzy na uzazi na kupikia wageni walio na Lucifer huko library, wakiingia saa 2 asubuhi wanatoka saa 9 usiku, wanalala kidogo asbh imeshafika, hata mechi haipigwi tena.
Boss wa Lucifer ikabidi apewe chumba cha kulala kile alichokuwa analala Chanel.
Mipango ikapangwa mwezi mzima. Wakakubaliana nani atangulie kati ya Safaree, Kimaro au Stan.
Wakaamua Stan atangulie maana hajulikani atakuja Kimaro alafu Safaree alafu Shawn alafu James ndio Lucifer amalize kila kitu.
Wakiamini kabisa hapa mambo yataenda vizuri wasijue kuwa ya Mungu ni mengi kuliko ya mwanadamu. MTAA WA 3:
Pedeshee na Chanel wanapanga harusi sasa.
Pedeshee na Chanel wanapanga harusi sasa.
Pedeshee: Chanel nataka kukununulia simu nyingine, nipatie simu yako ya zamani.
Chanel: Sasa hivi hana kauli tena akakubali, akaenda kubadilishiwa simu ile ya zamani Pedeshee akaitupa.
Kila mara Mark akimpigia Chanel hampati anaambiwa namba ya simu unayoipigia haipo hewani. Dah! Akiangalia nyumbani kwa Chanel hapajui, atampataje haelewi. Amemiss Mechi ya mtoto wa Tabora, akiangalia mkewake Irene haiwezei maana mkewe kazoea kifo cha mende anachoka haraka.
Mark akimfundisha fanya hivi Irene anamwambia Mchungaji Kanisani kwetu amekataza, kuchuma mchicha nayo ni dhambi akaona hapa kweli nimeoa kiwanda cha kulea watoto sio mke.
Mark akawa anajipa moyo ipo siku ataonana na Chanel asijue Chanel anakaribia kuolewa na alishaonja Nguzo ya Tanesco kurudi kwake ni ngumu.
TUONANE LEO TAR 23 AUGUST 2018, SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_______________________________
C. NAKUMISS NAKUPENDA, SITAKI KUKUPOTEZA
Carrie na George wakapanga ubatizo wa watoto wao maana maandalizi yalishafanyika Kanisani na tarehe ya kutoa sadaka ya shukrani imepatikana.
Carrie akawapigia marafiki zake Doreen, Chanel na Adrienne kuwaeleza wasikose kwenye Ubatizo, Marafiki zake wakamuahidi kwenda.
Chanel akaomba ruhusa kwa Pedeshee akakubaliwa, huku Pedeshee ameshapiga akili nyingine kuhusu hio safari.
Doreen akamwelezea Lucifer kuhusu mwaliko wake kwa Carrie akakubali, maana hakuweza kumkatalia Doreen hakupenda kuona furaha yake inapotea na sasa akiwa anajiandaa kwenda kwenye hiyo mishen alitaka kumpa Doreen kila kitu hata kama James yupo bondeni.
Adrienne akiwa mpwekee, akaona yanini kujibakiza Tz na mawazo badala ya mimi kwenda kula good time na wenzangu nisije fia hapa Bongo bure.
Pedeshee akampigia simu Carrie kumwambia kuwa waunganisha sherehe yao ya ubatizo na harusi yake na Chanel.
Carrie tena kama chizi alipewa rungu! akakubali fasta, akaanza kuhangaika si unajua mama wa nyumbani, anahangaika hiki mara kile.
Wiki moja kabla Chanel akasafirishwa kwenda Bondeni kwa Carrie ili wasaidiane kuchagua nguo yake ya harusi!
Chanel anafuraaaahi haamini kama anaolewa.
Siku anaenda aiport na Pedeshee wanaagana mabusu moto moto, hawana habari wala nini mara akatokea Mark akawaona, lakini akina Chanel hawakumuona.
Siku anaenda aiport na Pedeshee wanaagana mabusu moto moto, hawana habari wala nini mara akatokea Mark akawaona, lakini akina Chanel hawakumuona.
Mark akajikausha akapita mbali kama sio yeye, kumbe nae anasafiri kwenda Afrika kusini.
Lahaula! Kwenye ndege palikuwa hapatoshi, ingawa Mark alikaa Economy Class na Chanel Business Class, lakini Mark Mpare king’ang’anizi hatari!
Kumwona tu Chanel anaingia kwenye ndege akapanga yake, Mark akaongea na Flight Attendant, anataka kupeleka mzigo kwa mtu yupo Business Class, Akapelekwa kufika akapiga magoti kwa Chanel.
Mark: Mpenzi nimekumiss, nilikuona na Yule mjinga mna-kiss ikabidi nipite mbali maana nimeumia sana!
Chanel: Macho yanamtoka Mark? Unafanyaje huku? Anashangaa
Mark: naenda Afrika kusini kikazi kwa muda wa wiki 2, hapa nashukuru Mungu nimekuona, ah! Mungu bwana kweli ananipenda.
Chanel: akacheka, Mark bwana hauachi tu vituko.
Mark: hapa nimekuona tu mpenzi nimeshindwa kuvumilia, sasa unasemaje tukajifungie toilet mara moja?
Chanel: Mark unajua kuwa mimi ni mke wa mtu sasa? Si unaona pete?
Mark: Haina shida lakini mimi leo lazima unipe chezo kidogo maana nimekumiss mbaya!
Chanel: Mungu wee!
Mark: akamrukia bi harusi wa watu kwa mabusu.
Mark: naenda Afrika kusini kikazi kwa muda wa wiki 2, hapa nashukuru Mungu nimekuona, ah! Mungu bwana kweli ananipenda.
Chanel: akacheka, Mark bwana hauachi tu vituko.
Mark: hapa nimekuona tu mpenzi nimeshindwa kuvumilia, sasa unasemaje tukajifungie toilet mara moja?
Chanel: Mark unajua kuwa mimi ni mke wa mtu sasa? Si unaona pete?
Mark: Haina shida lakini mimi leo lazima unipe chezo kidogo maana nimekumiss mbaya!
Chanel: Mungu wee!
Mark: akamrukia bi harusi wa watu kwa mabusu.
Chanel: akaona hapa sio, akajinyofoa kwanguvu kwa Mark, akampiga kibao, Mark akaona kama amelambwa.
Chanel: Embu niache unaniaibisha mbele za watu ukoje lakini kwanza si umeoa?
Mark: ah! Mke wangu hanitunzi vizuri analeta kinyaa kwenye mapenzi wa nini sasa, ananipa mawazo sana, hanipi yale mambo yetu yote kama wewe ulivyokuwa unanipa! Nielewe Mpenzi.
Chanel: bwana hainihusu, we kuwa mwaminifu na mkeo na ndoa yako.
Mark: hapo kashapitisha mkono wake kwenye naniliihii ya Chanel mara Chanel amtoe mkono, Mark unaniumiza, mapenzi gani haya ya kufosi, nenda zako akamsukuma Mark akaanguka chini.
Chanel: niache au unataka nikuletee vurugu? Lakini moyoni ni wale mademu sitaki nataka, ana hamu mbayaa, hapo ishakuwa giza watu wamelala wote.
Mark: akainuka alipoanguka, akamkalia Chanel, leo siondoki mpaka unipe chezo hata 1 tu, mpenz usifanye hivyo tafadhali!
Chanel: akamwangalia, akambusu, mabusu yakazaa safari zingine.
Chanel: Embu niache unaniaibisha mbele za watu ukoje lakini kwanza si umeoa?
Mark: ah! Mke wangu hanitunzi vizuri analeta kinyaa kwenye mapenzi wa nini sasa, ananipa mawazo sana, hanipi yale mambo yetu yote kama wewe ulivyokuwa unanipa! Nielewe Mpenzi.
Chanel: bwana hainihusu, we kuwa mwaminifu na mkeo na ndoa yako.
Mark: hapo kashapitisha mkono wake kwenye naniliihii ya Chanel mara Chanel amtoe mkono, Mark unaniumiza, mapenzi gani haya ya kufosi, nenda zako akamsukuma Mark akaanguka chini.
Chanel: niache au unataka nikuletee vurugu? Lakini moyoni ni wale mademu sitaki nataka, ana hamu mbayaa, hapo ishakuwa giza watu wamelala wote.
Mark: akainuka alipoanguka, akamkalia Chanel, leo siondoki mpaka unipe chezo hata 1 tu, mpenz usifanye hivyo tafadhali!
Chanel: akamwangalia, akambusu, mabusu yakazaa safari zingine.
Mark akazidisha mautamu, Chanel akazidiwa, akawa akainuka, Mark akamfuata wakaenda chooni.
Choo chenyewe kidogo sasa, balaa tupu, ivo ivo Mark kajiongeza mechi ikapigwa.
Choo chenyewe kidogo sasa, balaa tupu, ivo ivo Mark kajiongeza mechi ikapigwa.
Chanel roho ikatulia lakini alihakikisha amevaa mpira.
Chanel mwacheni aitwe Chanel, ukizaa mtoto tafadhali usimwite Chanel, maana wanasheedah kama hizi.
Mark akajiona yupo Mbingu ya 10. Sio kwa yale mauno aliopewa na Chanel… Mechi ikaisha magoal 2-2 kila mmoja, Mark akatoka chooni wale flight attendant wanashangaa wanaangaliana.
Chanel akabaki chooni akajisafisha….wakarudi kulala.
Kabla hawajatua Mark akarudi kuomba namba kwa Chanel, maana amemtafuta Bongo hampati.
Chanel: Wala usichukue namba yangu utaniletea matatizo mume wangu kafunga GPRS kwenye simu yangu mpaka naona aibu, staki ugomvi niache niolewe.
Mark: Sawa nipe basi ya Carrie nitakuwa nakucheki.
Chanel: Eh! Yani wewe mwanaume king’ang’anizi balaa, akampata.
Mark: Sasa Bongo mnaishi wapi, nielekeze basi hata unapoishi.
Chanel: Hivi wewe mwanaume hauelewi, niache bwana kwanza tunahama Bongo tunaenda kuishi nje Milele.
Mark: Kusikia hivyo akaona hapo lazima amkamatie Chanel wakiwa Bondeni, Mpaka amtalake mumewe, hakujua Chanel alishakutana na Machine ya kufa mtu, kwake ni kama kibamia ladha ya haja!
Walipofika bondeni wakashuka, Mark akamfuata Chanel.
Walipofika bondeni wakashuka, Mark akamfuata Chanel.
Chanel akamkimbia akakutana na Carrie wakakumbatiana.
Carrie kuangalia mbele anamwona Mark, Chanel jamani we mtoto una laaana au pepo la ngono? Mpaka umekuja na Mark?
Carrie: akamsalimia Mark karibu naona mmekuja wote.
Mark: Hapana nimekuja kikazi hata sikujua kama Chanel naye kaja huku ndio kwanza namwona.
Chanel: Mambo Mark? Za Masiku? Wanasalimiana uongo na kweli lakini vichwani mwao wanatamani kufanya uzinduzi tena kama wa chooni kwenye ndege.
Carrie: Nyie kama hamjakulana kwenye ndege sijui, sio kwa ku-pretend huku, Mungu anawaona mjue! Wote wakacheka.
Carrie: akamkaribisha Mark kwake, karibu kwangu Mark, akamwelekeza anapokaa.
Mark: Nitakuja wakaagana akaondoka na wao wakaondoka hao kila mtu na njia yake.
HUKO BONGO:
Lucifer Plan zikaisha na ma boss wake, wakawa wanajiandaa na Doreen kwenda bondeni kwa Carrie. Akaandaa Dinner kwa ajili yake na mke wake tu, watoto kawapeleka kwa bibi yao, kila mtu akaambiwa aondoke wabaki na Doreen tu.
Lucifer Plan zikaisha na ma boss wake, wakawa wanajiandaa na Doreen kwenda bondeni kwa Carrie. Akaandaa Dinner kwa ajili yake na mke wake tu, watoto kawapeleka kwa bibi yao, kila mtu akaambiwa aondoke wabaki na Doreen tu.
Doreen: anashangaa leo Lucifer vepe, akaendelea kujiandaa kapendeeza
Lucifer: kumwona La haula Doreen leo umenivalia kitu gani?
Doreen: Kavaa kichupi kina Meremeta na Bra Kali, na Kikoti kwa juu!
Lucifer kumwona tu kambeba juu juu, kumweka kwenye kiti. Akaanza kumla Baby Mama wake.
Baby mama Mtamu balaa, kila siku mpya, kila siku mashaalah!
Saa ngapi sasa Lucifer ata-cheat nje, labda alivyokuwa Mexico ila kwa hapa Bongo Doreen hakuwa na mpinzani kwake, kila siku kwake alikuwa mpya, kiiila siku anapendeza, maisha yao ya mechi kila siku yalikuwa mapya, style zinabadilika, anampagawisha kwa mechi za kichokoraa, mechi za kujitoa ufahamu.
Doreen: alikuwa anajipenda, kila siku anafanya mazoezi na alipopata tu kazi akawa anaenda Gym, anakula matunda mbogamboga, anakunywa maji mengi zaidi ya lita 3, Milkshake za diet
Ngozi yake ilikuwa nzuri laini, Usoni hazeeki ana ki-baby face utamjua kama amezaa kwanza? Na matunzo ya Lucifer ndio kabisa alikuwa kama kadoli.
Baada ya mechi Doreen akapata nguvu za kuogelea, akaingia kuogelea.
Baada ya mechi Doreen akapata nguvu za kuogelea, akaingia kuogelea.
Lucifer hoi huku anamwangalia Doreen anaogelea, baadae akatoka kwenye swimming na ule mshepu kama Vera Sidika wa Kenya au Nick Minaj, bonge la msambwanda, Nundu Classic Baby!
Lucifer: anamwangalia acheka, mara akajaa, akamfuata huko huko majini kabla hajatoka, huku wanafukuzana kwenye maji atakayeshinda anatoa zawadi.
Kwa vile Lucifer alikuwa amekolea akaamua kumwachia ushindi Doreen.
Lucifer: Nikupe zawadi gani?
Doreen: Nafikiria kwanza nitakujibu hata kesho, mechi ya marudio ikachezwa tena kwenye swimming!
Baada ya mechi, wakaanza kucheza wimbo wao wanaoupenda nje ya pool, blues bluezini.
Baada ya mechi, wakaanza kucheza wimbo wao wanaoupenda nje ya pool, blues bluezini.
Lucifer anamwangalia Doreen huku anawaza akiondoka na mishe ikifeli, akifa anamwachia nani mtoto mzuri huyu?
Ushindi wote lazima mjinga James ataubeba, hakukubali kabisa kushindwa kiboya boya akajiapia nafsini mwake kuwa lazima afaulu ile misheni arudi kwa mpenzi wake na watoto wake 2.
Lucifer: akawa anamwimbia Doreen huku wanacheza, Doreen anausikiliza kwa makini haswa.
MTAA WA 3:
Adrienne kabaki peke yake weekend na watoto, anaboreka, akitoa out anam miss Shawn, Kweli Shawn alimchanganya dada wa watu, haoni furaha bila Shawn hata wakiongea kwenye simu, sio sawa na akiwepo ana kwa ana.
Akiamua kufanya michezo kama ya Chanel anaona kama anakamatwa saa hio hio.
Adrienne: Sasa nitakufa, ngoja niende Afrika Kusiki nikakae na Carrie mpaka Ubatizo upite, akaomba likizo akasafiri na watoto wake na dada wa kazi amsaidie kulea akiwa kule.
HUKO BONGO:
Safaree nae yakawa yanamuuma yale maneno ya mjomba, akajilaumu kweli ningemuua mke wa mdogo wangu kwa ajili ya kisasi, akajisikia vibaya sana, na uchungu, mdogo wangu ambae hata sijakaa kumfahamu atanionaje jamani ingawa wamenikaribisha nyumbani lakini nilichofanya sio, ila kosa sio langu bwana mimi sikujua, ah ila noma nitamwangalia vipi tena Shawn nikikutana nae hata kazini?
Safaree nae yakawa yanamuuma yale maneno ya mjomba, akajilaumu kweli ningemuua mke wa mdogo wangu kwa ajili ya kisasi, akajisikia vibaya sana, na uchungu, mdogo wangu ambae hata sijakaa kumfahamu atanionaje jamani ingawa wamenikaribisha nyumbani lakini nilichofanya sio, ila kosa sio langu bwana mimi sikujua, ah ila noma nitamwangalia vipi tena Shawn nikikutana nae hata kazini?
Akawa kwenye mawazo mengi ya kichwa chake akachukua simu akampigia mjomba ampe namba ya Shawn.
Mjomba akamsihi wasipigane tena, akampatia, Safaree akampigia hapatikani, akashangaa kaenda wapi?
Kuulizia ofsini akaambiwa amesafiri kaenda kikazi Mexico atarudi baada ya miezi 6.
Akaanza kujipa moyo labda nikimtafuta mkewe tukaongea ataweza nisamehe na mdogo wangu, sasa mkewe namtolea wapi? Akajiuliza.
HUKO BONDENI:
Safari ya kwenda bondeni kwa Doreen na Lucifer ikawadia, wakasafiri na watoto wote wawili na mama yake Lucifer kwa ajili ya kulea wakafika wakapokelewa na Carrie, Carrie full shangwe kupata ugeni mkubwa, akawapa chumba cha kulala, Bonge la Chumba kama Hotel Suites zile kubwa.
HUKO BONDENI:
Safari ya kwenda bondeni kwa Doreen na Lucifer ikawadia, wakasafiri na watoto wote wawili na mama yake Lucifer kwa ajili ya kulea wakafika wakapokelewa na Carrie, Carrie full shangwe kupata ugeni mkubwa, akawapa chumba cha kulala, Bonge la Chumba kama Hotel Suites zile kubwa.
Doreen anapashangaa palivyo pazuri kwa Carrie, wakamshukuru sana na kumpongeza kwa kuwa na nyumba nzuri sana.
BAADAE:
Wakawa kwenye maongezi yao warembo 4,
Wakawa kwenye maongezi yao warembo 4,
Carrie:Adrienne Shawn na James walikuwa hapa wiki 3 zilizopita kabla hajaja Chanel, sijui bado yupo tena?
Embu ngoja nimpigie James, maana Adrienne hakuwa na namba ya mumewe kichwani kila siku anapiga kwa private namba.
Carrie akampigia James, Doreen anatamani aingie kwenye simu ya Carrie aongee yeye.
Carrie: wakiwa wanaongea na James akamwuliza Shawn yupo?
James: Yupo anaondoka wiki ijayo.
Carrie: Akawaalika kwenye ubatizo wa watoto wake, James akakubali, walipomaliza kuongea Carrie akampa simu Adrienne aongee na Shawn, akapewa namba ya mume wake akampigia kwa namba ya Carrie kuwambia yupo na watoto kwa Carrie.
Shawn: Baada ya nusu saa akatia timu kwa Carrie, kuingia tobaaaa Lucifer yupo! Akauchuna!
Lucifer: Bro upo?
Shawn: Nipo Boss
Lucifer: ah! Chill Man! Tumekuja kufurahi naelewa umekuja kuona familia yako karibu sana!
Adrienne: kafurahi kumwona Mume wake, wakajiiba kwenda kukaa kwa Shawn wakawaacha watoto na dada wa kazi kwa Carrie.
Adrienne: kafurahi kumwona Mume wake, wakajiiba kwenda kukaa kwa Shawn wakawaacha watoto na dada wa kazi kwa Carrie.
Huko wa Shawn mechi ikapigwa ya kufuru, nadhani ilikuwa ni uzinduzi maana sio kwa kutoonana wiki 4. Adrienne hoi, anapumulia mdomo maana Shawn alimnyoosha sio kitoto!.
TUONANE KESHO TAR 24 AUGUST 2018, SAA 11 JIONI YA TANZANIA
________________________________________________
D. LIMAO YA VISASI NA ASALI YA KUCHEPUKA
Maongeze yakaendelea kati ya warembo 3 maana Adrienne ndio huyo katwaliwa na Mumewe. Wanaume wameenda bar kuongea na kula good time.
Doreen akahadithia mastori yoote tangu walipoachana mpaka leo
Chanel akatema mastori yake wakampongeza kwa kuvalishwa pete ya uchumba.
Chanel akatema mastori yake wakampongeza kwa kuvalishwa pete ya uchumba.
Akawaambia alikutana na dushelele moja hatarious, haamini mpaka leo kama Pedeshee anataka kumuoa.
Wenzake: heeee? enhe!
Chanel: akawaelezea fumanizi lake na jinsi Pedeshee alivyovimba akaondoka kwenye maisha yake, nay eye kulala hotelini mpaka Adrienne kuja kumchukua akakae kwake maana anashule anasoma, mpaka Pedeshee kuja kuibuka kwenye ubatizo wa Doreen Kanisani na ku-propose.
Carrie: Tobaa majanga, hahahaha huyo ndio Chanel mwengine kibao kata haloooo.
Chanel: akaendelea na mastori yake, akawapa habari ya kwenye ndege kila mtu akanyanyua mikono juu! Mwingine anasema Yesu wangu, mwengine mtumee, mwengine kiruuu, mara tobaaa!
Wanamwangalia Chanel aendelee.
Chanel: akawaambia jinsi gani ameuza mechi kwenye ndege na anajiskia kumsaliti Pedeshee muda mwingi akifikiria inamtafuna ndani kwa ndani.
Carrie: Mechi ilikuwaje?!
Chanel:Nilitoa tu kwasababu ya maupwiru nilionayo na hapo jana usiku Pedeshee kanifungia kanipa Dozi kisawa sawa lakini sielewi kwanini nilimpa Mark! vinginevyo walaa sikuhizi nampenda sana Pedeshee ni kila kitu kwangu. Mnaonaje, nimwambie Pedeshee?!
Wenzake: weeeeeeeeeeeeeeeeee! Hapana! unataka ndoa au unataka kurudi kuishi na Adrienne?! We kaa kimya!
Carrie: kwanza ukija kujua Pedeshee anapiga nje utafanyaje?! Si utaona bila bila tena ungemshika haswaaa yule mlinzi ukomae nae. Acha wewe haya mambo ongea na sisi au Mungu wako nenda Kanisani katubu guilt zinaishaga acha upuuuzi kama ndio hivo ndoa za wazazi wetu zisingefika miaka 50 au 60.
Ushakuwa mkubwa acha ubwege nyau wa tabora wee.
Doreen: Mimi simo ukijisalimisha kwa Pedeshee, ukitimuliwa Mama kwangu usije, nimechoka aibu na dharau.
Ujue wanaume wana mambo mengi ukifunguliwa daftari lao utatamani ulale na kila mtu Duniani.
Wenzake: wakamwangalia
Carrie: haya yamekupata yapi tena mama, mbona mapovu kibao?!
Doreen: Akatoa yake yote. Tangu James kaondoka mpaka Lucifer akaja. Akawahadithia James alivyotaka kumtoroshwa alafu akakamatwa na Lucifer. Jinsi gani aliteseka hakutaka kula akijua James atakufa muda wowote, akawa kila usiku anaamka kwenda kumtembelea kwenye shimo alilofungwa. Baadae akaja kuongea na Lucifer akamsamehe ndio akaletwa kikazi Bondeni.
Doreen: Akatoa yake yote. Tangu James kaondoka mpaka Lucifer akaja. Akawahadithia James alivyotaka kumtoroshwa alafu akakamatwa na Lucifer. Jinsi gani aliteseka hakutaka kula akijua James atakufa muda wowote, akawa kila usiku anaamka kwenda kumtembelea kwenye shimo alilofungwa. Baadae akaja kuongea na Lucifer akamsamehe ndio akaletwa kikazi Bondeni.
Carrie: Doh! Hii kali, huyu Lucifer ni nani anafunga watu kwenye mashimo sasa?
Doreen: sijui hata mimi sielewi, mimi najua Lucifer ni Boss wa James na Shawn, mengine sijui.
Carrie: Unajua sasa naelewa, nilionana na James mjini katika maongezi akaniambia rafkiako Doreen amenifanyia kitu cha ajabu ameokoa maisha yangu lazima nitakuja kumlipia. So Doreen naona umewekeza vizuri kwa James, tusubirie malipo yatakuwa ya aina gani.
Doreen: Nilimpenda sana James ila sasa ukiniambia nichague kati ya Lucifer na James, nampenda zaidi Don Lucifer.
Lucifer ananipenda sana tangu alipomuachia James amenionyesha pendo lake mpaka mwili unatetemeka sio kwangu tu hata kwa watoto, nikikohoa tu naulizwa unataka nini?! Shida ipo wapi!? Utadhani nipo kwenye ndoa.
Carrie: Enhe tuambie ndoa yako na Lucifer lini?!
Doreen: Hata sijui, anatakiwa asafiri kikazi aende huko miaka 2 akija labda ndio ndoa.
Carrie: Anaenda wapi?!
Doreen: Anasafiri nchi mbali mbali hata sielewi.
Carrie: mmh! Inakuwaje mtu ameshakuvisha mpaka na pete lakini hautaki kujua anaenda wapi?!
Kwani Lucifer anafanya kazi wapi!?
Doreen:Kuna ofisi moja ipo posta, mambo ya Bima!
Carrie: akajibu tobaaa! Ivi wewe na huyo English Adrienne mwenzio ni vilaza au?!
Insurance gani Doreen unakaa ndani unalipwa mil 8 kwa mwezi? Insurance gani hiyo?!
Nyie acheni ufala haya, kama ni Jambazi unashangaa unakuja kukamatwa wewe na watoto wako na mama mkwe wote ndani mimi simo, we furahia tu mihela hujui kazi ya mumeo itakugharimu siku za usoni mama shauriako!
Carrie: Haya na wewe Chanel mumeo mtarajiwa afanya wapi?!
Chanel: Eh! Mimi ndio mweupe kabisaa, maana niliambiwa anazungukia nchi nyingi anaweza akapotea miezi 2 au 3 akaibuka. Sijawahi kanyaga ofisi yake ila kuna siku tulipanga akanionyeshe biashara zake nikaonyeshwa, ofisi ilikuwa nzuri balaa, sijajua si unajua jaman mimi ndio mshamba wa mwisho, Diploma ndio namalizia, sijui chochote.
Carrie: Doha see najuta hata kuwaalika waume zenu kwangu, msije mkaniletea mijambazi inayotafutwa bure! Yani hata Mungu anawashangaa yani nyie mafala wa kutupwa! Hao waume zenu mimi washaanza kunipa wasiwasi kama sio majambazi basi ni mapolisi wale wa akina James Bond!
Carrie: Doha see najuta hata kuwaalika waume zenu kwangu, msije mkaniletea mijambazi inayotafutwa bure! Yani hata Mungu anawashangaa yani nyie mafala wa kutupwa! Hao waume zenu mimi washaanza kunipa wasiwasi kama sio majambazi basi ni mapolisi wale wa akina James Bond!
Mtajaniambia maana mnavyonijibu hata hamueleweki ngoja kwanzia leo kila mtu akamate chombo chake aanze kuulizia anafanya kazi gani muone kama hamtagombana au mume hatonuna au mume hatowajibu ukweli.
Cha kufanya mkatafute waume wenu wanafanya kazi gani, mfano wameanguka puuuu wakafa kama mende mtafanyaje?! Mimi uzeeni sisaidii mtu itakula kwenu nyie subirini mmeshasahau mimi mchaga ee, nawakaukia kama sio mimi mrudi kijijini.
Wakamwuliza: Haya Mama Carrie tuambie na wewe Mumeo ana fanya nini?!
Wakamwuliza: Haya Mama Carrie tuambie na wewe Mumeo ana fanya nini?!
Carrie: akawaambia na mali zake zote nazifahamu, kila Asset alionayo naifahamu, nyie zubaini mnauza mechi sijui mnapagawisha wakifa sijui mtapagawisha nani?!
Ndo ivyo mfanye homework la sivyo mtachizika. Mkimaliza homework mtanambia nije niwape darasa.
Wakaendelea kudiscuss kuhusu sherehe ya watoto itakavyokuwa. Akawaelezea maisha yake pale bondeni na maisha ya wakwe zake na jinsi amemiss Bongo hasa Dar na Moshi ila wazazi wake wako hapo mwezi wa 3 sasa haoni kama anamiss sana Moshi kama Dar.
Wenzake: wakamwuliza enhe na wewe mumeo akisafiri unaliwa na nani?!
Wakaendelea kudiscuss kuhusu sherehe ya watoto itakavyokuwa. Akawaelezea maisha yake pale bondeni na maisha ya wakwe zake na jinsi amemiss Bongo hasa Dar na Moshi ila wazazi wake wako hapo mwezi wa 3 sasa haoni kama anamiss sana Moshi kama Dar.
Wenzake: wakamwuliza enhe na wewe mumeo akisafiri unaliwa na nani?!
Carrie: akacheka sana, hamwezi amini sijawahi toka nje ya ndoa tangu alipoumwa mume wangu. Yani nipo buzy na watoto familia na biashara za mume kufuatilia.
Wenzake wanamshangaa. Fundi kawa Sister ghafla kweli ndoa inabadilisha watu sio mchezo
HUKO BAA:
Wanaume nao wameiva mbaya bia, karanga na korosho kwa sana. Mastori mastori kiongozi wao George. Walikuwa wamekaa George,na Lucifer. James aligoma kwenda maana anaogopa kipondo cha Lucifer.
Wanaume nao wameiva mbaya bia, karanga na korosho kwa sana. Mastori mastori kiongozi wao George. Walikuwa wamekaa George,na Lucifer. James aligoma kwenda maana anaogopa kipondo cha Lucifer.
George:Lucifer harusi lini?!
Lucifer: Bado labda mwakani naona sasa hivi haitawezekana mpaka nimalize kazi za watu.
George: Jitahidi bwana kumweka msichana pete kidoleni muda mrefu bila ndoa nayo nuksi sana.
Lucifer: Naelewa Kaka haina neno mwakani tunarekebisha mambo si mtakuja Tz?!
George: Ndio lazima tuje nyie ndio familia yetu tumeshakuwa zaidi ya ndugu.
George akampongeza Lucifer kwa ajili ya Baby Sandra wakaanza kuongea hapo mambo ya Nchini, Siasa, Biashara usiku ukasonga sana wakaamua kurudi nyumbani kwa George kulala
HUKO SINGIDA KIJIJINI:
Safaree: anatunga sheria. Ameamua kutafuta mademu 2 waliokua nao huko kijijini, mwengine alikuwa rafkiake wa shuleni akaja kupata mimba hakumaliza shule alipojifungua mtoto mimba ikatoka.. akawa anakaa kijiweni na akina Safaree mara wamle-tigo mara wampe-bangi basi taabu tupu.
Safaree: anatunga sheria. Ameamua kutafuta mademu 2 waliokua nao huko kijijini, mwengine alikuwa rafkiake wa shuleni akaja kupata mimba hakumaliza shule alipojifungua mtoto mimba ikatoka.. akawa anakaa kijiweni na akina Safaree mara wamle-tigo mara wampe-bangi basi taabu tupu.
Huyo mrembo alikuwa anaitwa Zubeda, baadae akaja akaolewa na bonge la bwana lilikuja kijijini kumsalimia mama yake akalidaka.
Zubeda akamkatikia mauno mpaka mwanaume akachizika nae. Ila Zubeda alikuwa fundi kitandani hatari pia kwenye yale mambo ya ndumba na uchawi ndio kilimfanya akampata huyo bonge la bwana.
Uchawi wake anapaka kwenye papuchi kama wewe mwanaume hauchomoki. Akamkamata bonge la bwana akaona haitoshi akakamata mali zake akamweka ndondocha asijue kuwa yule bwana alikuwa ameoa mkewe alienda kusoma uraya!
Asijue kuwa yule bonge la bwana alishaandika urithi wa mali zake zooote kwa mkewe na watoto ambao walikuwa wanakaa na bibi yao Dar es salaam!
Kamloga bonge la bwana wa watu mpaka akafa. Akajidai yeye ndo malkia wa nyumba. Mke akarudi akamkuta wacha wagombane fukuza na wewe mapolisi hao wakaja. Wakaelezwa ugomvi vitu vikaenda Mahakamani, ushindi akapewa Mke halali wa ndoa na watoto…Zubeda akashindwa kesi akaambiwa aondoke kwenye nyumba.
Dar es salaam hamjui mtu akaamua kurudi kijijini. Amekaa kijijini miaka 3 ndio anamwona Safaree amependeza amekuja kumtembelea.
Zubeda sio mshamba mshamba ni bonge la mauti inayotembea! Anaweza kukua kwa silaha, uchawi au kukuwekea sumu.
Mrembo mwengine ni Happy, yeye alikuwa mpenzi wa Safaree, akiwa na mishe mishe zake akipata hela anamfuata Happy.
Mrembo mwengine ni Happy, yeye alikuwa mpenzi wa Safaree, akiwa na mishe mishe zake akipata hela anamfuata Happy.
Safaree alimtoa bikira Happy akiwa mdogo kwahiyo Safaree anaweza zungukaa kooote ila kwa Happy alishaweka 100% anamwamini vibaya mno.
Happy akaambiwa uje mjini kuna kazi nataka kukupa. Nataka kukuweka kwa mdogo wangu anatafuta kazi ila sasa jinsi ya kumtoa yule housegirl maid inamwitaji mtu kama Zubeda na Zubeda kale kanaua vibaya na mimi sitaki Zubeda aue nataka mtu atakayemtesa Adrienne tu basi.
Kusema kweli kwenye mauno Happy alikuwa hatarious kuliko Zubeda. Kwanza mzuri ana mshepu kama Doreen, alafu mzuuuri ngozi nyeupee, alafu kwenye mambo yetu haitaji kizizi yete ni Timu natural tangu kuzaliwa Safaree alimfundisha akafundishikika.
Safaree akawapanga vizuri tu kuwa baada ya miezi 6 mishen inaanza. Lazima wajinoe huko kijijini wakija mjini ni kazi tu!
Kusema kweli kwenye mauno Happy alikuwa hatarious kuliko Zubeda. Kwanza mzuri ana mshepu kama Doreen, alafu mzuuuri ngozi nyeupee, alafu kwenye mambo yetu haitaji kizizi yete ni Timu natural tangu kuzaliwa Safaree alimfundisha akafundishikika.
Safaree akawapanga vizuri tu kuwa baada ya miezi 6 mishen inaanza. Lazima wajinoe huko kijijini wakija mjini ni kazi tu!
Warembo nao wakajidhatiti sio kidogo maana pesa hawana na wanaitaka.
Safaree akaendelea kutunga sheria jinsi atakavyomharibu Lucifer na Adrienne sio kwa kupigwa kule na kudhalilishwa kule. Kweli kisasi ni kisasi tu hata ufanye nini usiposamehe hautajali kuwa hii ni damu yako au la! Lakini pia na Bangi kwa Safaree zinachangia.
HUKO BONDENI:
Usiku huo Mark akamtafuta Chanel kwa Carrie, akajiiba weee akaongea na Carrie amwite Chanel bila mtu kujua.
HUKO BONDENI:
Usiku huo Mark akamtafuta Chanel kwa Carrie, akajiiba weee akaongea na Carrie amwite Chanel bila mtu kujua.
Chanel akachomoza, eh! We Mark unafanya nini huku mimi kesho nina shughuli ya watoto embu niondolee gundu alafu mume wangu yupo.
Mark: akamvuta kwenye maua ya Carrie humo humo mechi ikapigwa.
Chanel akakumbuka maneno ya Carrie kuwa ukipata chance ya kuchepuka itumie vizuri sana maana usitake kujua mwanaume anafanya nini huko aliko. Itumie fursa mpaka mwisho ili usije kujuta ukijaujua ukweli.
Maskini maua ya Carrie yote yalienda ahera! Maana mechi ilopigwa pale ni mbwa tu wa Carrie walikuwa wanajua wala sio majirani, kutoka pale maua yote kush-nehi!
Mark anaondoka kama hamjui Chanel.
Chanel akakimbilia kuoga maana muda wa kula ulikuwa umeshafika na wote walikuwa wanakula mezani.
KESHO YAKE:
Pedeshee akatua Bondeni kwa Mandela, Carrie na Chanel waenda kumpokea.
Pedeshee akatua Bondeni kwa Mandela, Carrie na Chanel waenda kumpokea.
Chanel:kamrukia juu juu na mabusu, Carrie anaona aibu, moyoni anasema dah kweli siri ya maiti aijuae mwosha! Huyu baba angejua Chanel anafanya nini sidhani kama angeoa kesho. Akanyamaza kimyaa.
Wakafika nyumbani, Carrie wakakaribishwa na George wakasalimiana akaonyeshwa chumba chake cha kupumzikia.
Pedeshee kam-miss mkewake lakini Chanel alionekana amechoka chooooka, hakuelewa kwanini akamwacha kwanza akijua usiku mambo yatanyooshwa.
Pedeshee akatoka kwenda kuongea na Carrie kuhusu kesho wakakubaliana. Usiku wakala chakula wote wakaingia kulala, kila mtu na mkewee, hehehe, Chanel ikabidi atoe mechi kwa furaha tu maana anailinda ndoa, Pedeshee akaona hapa hata nikioa sitakuwa dissapointment, maana yale mauno ni hatarious! Chanel akatoa mechi to the fullest! Pedeshee amepagawa sijui ndo kuchoshwa na safari nguvu zikamwisha mapemaa hakutaka tena kuendelea.
Ikawa usiku ikawa asubuhi siku ya ubatizo na ndoa.
TUONANE KESHO TAR 25 AUGUST 2018, SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
________________________________________________
E. ASALI YA NDOA
Watu wamejiremba remba wa mama wakwe wameshawahi Kanisani wamebeba wajukuu. Wakiwa na wasichana wakazi wa Doreen na Adrienne.
Wanaume wameshatangulia Kanisani, bwana harusi Pedeshee yupo mbele na akina Shawn na Lucifer na George wanasubiri kumpokea mwali Jezebel Chanel.
Huku nyuma warembo wa 4 wakaonekana wanavaa, Carrie akamwambia we Chanel unavaa nini!? Vua bwana vaa nguo yako ya harusi. Wenzake wanamshangaa ya harusi ya nini tena?!
Carrie: Leo ni harusi ya Channel tulipanga harusi kuwa surprise wote.
Wanaume wameshatangulia Kanisani, bwana harusi Pedeshee yupo mbele na akina Shawn na Lucifer na George wanasubiri kumpokea mwali Jezebel Chanel.
Huku nyuma warembo wa 4 wakaonekana wanavaa, Carrie akamwambia we Chanel unavaa nini!? Vua bwana vaa nguo yako ya harusi. Wenzake wanamshangaa ya harusi ya nini tena?!
Carrie: Leo ni harusi ya Channel tulipanga harusi kuwa surprise wote.
Chanel akawaangalia wakina Doreen na Adrienne
Carrie akawakonyeza wakasema ndio, ni surprise sasa inabidu tuwahi Kanisani maana kila mtu yupo huko.
Chanel: hakuamini anaolewa, wakampodoa wanamvalisha nguo, gloves, viatu, vibanio kichwani, Chanel kapendeeeza wenzake wanamtamania, Mrs Mario.
Chanel analia haamini gauni jeupe amelivaa kwake ilikuwa kama stori. Wakaondoka haoo mpaka Kanisani, ibada ikaanza mara wakaingiza Maids alafu akaingia Chanel kafunikwa usoni kama mwali, kumbe shangingi!
Pedeshee amevimba kichwa hatimae anamuoa Chanel wake akiamini sasa Chanel atatulia ila hakujua maisha ya mbele akawa anajipa tu moyo ndoa itakuwa nzuri na imara.
Bibi Mauno huyoo mbele, akafungishwa ndoa na Pedeshee, hakuamini analia.
Bibi Mauno huyoo mbele, akafungishwa ndoa na Pedeshee, hakuamini analia.
Pedeshee kafurahi nakwambia anambusu, Chanel anaona aibu kama kweli! Hahahahaha shikamoo usanii!
Baadae walipokaa ubatizo ukaendelea watoto wa Carrie wakabatizwa wote 3, ibada ikaisha wakaenda ukumbini. Harusi na Ubatizo. Kulinogaje sasa mziki mziki kila mtu na demu wake mara George na Carrie wamebeba watoto wanacheza nao mara Carrie anacheza na Babake na George na mama mkwe wake. Mara Carrie anacheza na baba mkwe na George anacheza na Mama yake.
Mara Lucifer anacheza na Adrienne na Doreen anacheza na Shawn mara Shawn anacheza na Carrie na Lucifer anacheza na Chanel na Pedeshee anacheza na Doreen yani mvurugano ulionoga hadi raha.
Mara wacheze twist. Mara wacheze kichaga, teteree tere terere, wameshikana mikono kwenye mduara huku wanaangalia chini wanarusha mguu mmoja wa kulia mbele. Wachaga na mziki wao wa kushikana mikono walitisher.
Wakala misosi, maharusi wakakata keki yao, wakalishana kwa mdomo, watu oyooo makofi.
Wakala misosi, maharusi wakakata keki yao, wakalishana kwa mdomo, watu oyooo makofi.
Pedeshee Classic Man, Wine za kumwaga baba wa Carrie alilewa Amarula mpaka wakina Lucifer na George wakambeba saa ya kutoka kumweka siti ya nyuma ya gari alale tu.
Ikawa zamu ya kurusha ua kwa Chanel kwa single ladies, mh wakiangaliana wote wameolewa wakamwambia we Doreen nenda kaondoe nuksi ulidake, maskini Doreen wa watu akaenda kulidaka ua peke yake kama desperate woman.
Ikawa zamu ya kurusha ua kwa Chanel kwa single ladies, mh wakiangaliana wote wameolewa wakamwambia we Doreen nenda kaondoe nuksi ulidake, maskini Doreen wa watu akaenda kulidaka ua peke yake kama desperate woman.
Bwana harusi nae akamtoa kitambaa Chanel kwenye paja, Mc akatangaza wanaume ambao wapo single wapange foleni,
Wanaume wakamwambia Lucifer nenda kadake bwana sie wengine tushazeeka, kitambaa kikarushwa Lucifer akadaka kwa mkono mmoja akaondoka kwenda kumshika single lady acheze nae Mziki…. akina Carrie wanacheka.
Harusi na Ubatizo vikaisha, kila mtu na njia yake, wakwe wakabeba wajukuu wote hata wale ambao sio wao, wakaongozana na wafanyakazi wa Adrienne na Doreen kwenda kwa wazazi wa George.
Lucifer akaenda zake na Doreen hotelini, vurugu mechi zikaanza kila mtu alikuwa na hamu na mwenzake, Doreen akakumbuka maneno ya Carrie akamkatikia mauno ya kufa mtu, eh! LUCIFER anashangaa tu.
Adrienne na Shawn nao haooo kwa hotel, Shawn nae sio mchezo, sijui Adrienne atafanya nini bila Shawn, Shawn akaanza Kumbusu mgongoni, mara kwenye shingo mara bega, mkono mwingine uko kwenye naniliii! Akashuka taratibu Adrienne hoi
Carrie na George nao wakaona warudi nyumbani maana nyumba ilikuwa tupu haina vurugu, kufika mlangoni Carrie akavua nguo zote akamrukia George na alivyo potable George akaanzisha mechi wakiwa wamesimama, tu tu tu ta!
Maharusi walikuwa wamelewa mbaya, wanafika honeymoon kila mtu anamwona mwenzake kama wapo wawili wawili, wakaishia kutapikiana wakalala hapo hapo chini. HUKO BONGO:Safaree yupo na Stan wanaongea huku wanakunywa. Stan anamwuliza boss Safaree upepo niaje mbona tumerudishwa tena Bongo!?
Harusi na Ubatizo vikaisha, kila mtu na njia yake, wakwe wakabeba wajukuu wote hata wale ambao sio wao, wakaongozana na wafanyakazi wa Adrienne na Doreen kwenda kwa wazazi wa George.
Lucifer akaenda zake na Doreen hotelini, vurugu mechi zikaanza kila mtu alikuwa na hamu na mwenzake, Doreen akakumbuka maneno ya Carrie akamkatikia mauno ya kufa mtu, eh! LUCIFER anashangaa tu.
Adrienne na Shawn nao haooo kwa hotel, Shawn nae sio mchezo, sijui Adrienne atafanya nini bila Shawn, Shawn akaanza Kumbusu mgongoni, mara kwenye shingo mara bega, mkono mwingine uko kwenye naniliii! Akashuka taratibu Adrienne hoi
Carrie na George nao wakaona warudi nyumbani maana nyumba ilikuwa tupu haina vurugu, kufika mlangoni Carrie akavua nguo zote akamrukia George na alivyo potable George akaanzisha mechi wakiwa wamesimama, tu tu tu ta!
Maharusi walikuwa wamelewa mbaya, wanafika honeymoon kila mtu anamwona mwenzake kama wapo wawili wawili, wakaishia kutapikiana wakalala hapo hapo chini. HUKO BONGO:Safaree yupo na Stan wanaongea huku wanakunywa. Stan anamwuliza boss Safaree upepo niaje mbona tumerudishwa tena Bongo!?
Safaree: ah we acha tu chalii yangu, yani hapa niliharibu kule Urusi sa Lucifer nae akanimaind akaagiza nitolewe fasta, ila hapa nina plan zangu 3 kabla sijaondoka huku Duniani.
Kwanza nataka nimjue kubwa la maadui ni nani?! Nikimjua nataka nimuue kabla akina Don Lucifer hawajampata alafu mimi nivae sura ya kubwa la maadui niact kama yeye nijue hii mishen ya akina Lucifer inahusu nini.
Pili chalii yangu kuna kisasi nimekipanga kwenye nyumba ya Shawn na Lucifer. Unajua yule manzi wa Shawn alinifanya ubaya sana kama sio James ningewekwa ndani afu wangefukua habari zangu ningeozea jela. Nataka nimkamate yule mwanamke nimpe mechi ya madawa ya kulevya akitoka hapo achue wanaume asitake tena kuona mwanaume. Yani napiga kote kote sitajali kama ni mwanamke, alafu nimdunde ikiwezekana nimuue kabisaa!
Na Lucifer nae alinitenda ubaya kweli lazima nilipize ingawa demu wake mtu poa sana yule demu alafu kisu balaa, lazima Lucifer aingie kwenye mateso yangu.
Sasa wewe Stan sio unaenda kupeleka umbea maana na wewe sometimes upo kama demu unapeeenda kuchonga uonekane kidume ndio ivo unyamaze siri zetu hizi.
Mimi nikifaulu hapa nawewe lazima uwe mtu wangu mwaminifu wa pembeni deal zangu zooote lazima nikwambie.
Stan: Ah! Bosss umetisher sana mimi ndio maana nakukubali una akili sana boss, sawa hamna shaka wala sitasema kwa mtu, lakini Safaree hakujua kuwa Stan ni Kivuli cha Lucifer mwenyewe! Uuuwi!
Stan: Sasa boss Safaree umeongea mambo mawili je la 3 niaje?!
Stan: Sasa boss Safaree umeongea mambo mawili je la 3 niaje?!
Safaree: Unajua huku Duniani kila mtu atakufa, sasa mganga wangu kanambia kuwa nitakuwa na safari 3 nitakufa sasa kabla ya kufa napanga nikatubu Kanisani ili niende kimojaa Mbinguni nikapumzike maana haya mambo ya Dunia yameshanichosha!
Stan: oh kweli kabisa Boss, Mungu anasamehe atakusamehe tu unikumbuke na mimi paradiso ukienda si unajua na fight kwa familia hapa, angalau wale. Wakawa wanapiga zao stori hapo wakarudi kulala makwao saa 8 usiku!
HUKO BONDENI:
Kumekucha saa 12 asubuhi, Chanel akashtuka wamelala chini akainuka, kujiangalia mkononi yupo na pete 2, akashtuka akiangalia yupo ndani ya gauni jeupe, akakumbuka aliolewa jana, akainuka akaenda kunawa kuoga akavaa kitambaa kimoja chepesii cha lesi lesi huku yupo mtupu, akamvua nguo zote Pedeshee akamwamsha, Mume wangu amka.
HUKO BONDENI:
Kumekucha saa 12 asubuhi, Chanel akashtuka wamelala chini akainuka, kujiangalia mkononi yupo na pete 2, akashtuka akiangalia yupo ndani ya gauni jeupe, akakumbuka aliolewa jana, akainuka akaenda kunawa kuoga akavaa kitambaa kimoja chepesii cha lesi lesi huku yupo mtupu, akamvua nguo zote Pedeshee akamwamsha, Mume wangu amka.
Pedeshee kuamka yupo uchi, eh na ma hang over akamwinua akampeleka bafuni akamwogesha.
Mechi ya kwanza ikapigwa bafuni, kutoka mechi ya pili kitandani, njaa inauma wakaagiza chai na dawa za kichwa!
Wamemaliza chai mechi no 3, doh hawachokani?! Chanel akawa anaona kama mechi haipo sawa sijui ni lile dushe la mlinzi?! Akaamua kuvumilia anafanyaje sasa! Wakati mwengine anafekisha milio basi tu kumridhisha Pedeshee huku anatunga sheria wanafanyaje kuhusu machine kubwa!
Mzinga wa Pedeshee haukumtosha akawa anatunga sheria ya mabadilikooo!
Asubuhi Doreen na Lucifer wakaja nyumbani kwa Carrie na George kuaga. Wanaondoka na ndege ya usiku huo, wakakaribishwa chakula cha mchana wakaenda kujiandaa.
Asubuhi Doreen na Lucifer wakaja nyumbani kwa Carrie na George kuaga. Wanaondoka na ndege ya usiku huo, wakakaribishwa chakula cha mchana wakaenda kujiandaa.
Wakaingia akina Shawn na Adrienne nae Adrienne akaaga anaondoka usiku huo huo.
Lucifer na Shawn wakasogea pembeni kuongea kuhusu kazi zao. Baadae Shawn alipoondoka, Carrie akamfuata Lucifer kuongea nae.
Carrie: Shemeji za masiku!? Jaman hatujawahi kukaa na kuongea,
Lucifer: ah shemeji nipo, asante sana kunikaribisha nyumbani kwako, Mungu Akubariki akuzidishie.
Carrie: asante shem wangu, eh jamani mkienda Bongo wasalimieni sana, nikija nitakuja kuwasalimia
Lucifer: karibu sana. Lucifer hakuwa mtu wa maneno mengi, alikuwa wa short and clear!
Carrie: Eh shem samahani naomba nikuulize, samahani kama nitakuwa nakuudhi
Lucifer: hamna shem uliza tu
Carrie: ok, hivi shemeji unafanya kazi wapi!?
Lucifer: Ah! Nafanya kazi kwenye kampuni ya Insurance, inaitwaje?! Akadanganya Phoenix.
Lucifer: ndio.
Carrie: kama nchi ngapi?!
Mara simu ya Lucifer ikaita akamwambia samahani Shemeji ngoja nipokee hii simu ni ya dharura, akatoka nje Carrie akamfuata kwa kunyata!
Lucifer: hallo Mkuu
Mkuu: uko wapi
Lucifer: nipo Afrika Kusini
Mkuu: mambo yameharibika sana Russia na Mexico unatakiwa uondoke kesho kutwa
Lucifer: sawa mkuu hamna neno.
Mkuu: akakata simu
Carrie hakuambulia neno toka kwa Lucifer, wakati
Lucifer anarudi kwa Carrie akamwona Carrie kwenye kioo anaondoka ananyata kurudi kwenye kiti.
Lucifer akacheka tu akaamua kupita njia nyingine kurudi chumbani kwake na Doreen.
Lucifer: hallo Mkuu
Mkuu: uko wapi
Lucifer: nipo Afrika Kusini
Mkuu: mambo yameharibika sana Russia na Mexico unatakiwa uondoke kesho kutwa
Lucifer: sawa mkuu hamna neno.
Mkuu: akakata simu
Carrie hakuambulia neno toka kwa Lucifer, wakati
Lucifer anarudi kwa Carrie akamwona Carrie kwenye kioo anaondoka ananyata kurudi kwenye kiti.
Lucifer akacheka tu akaamua kupita njia nyingine kurudi chumbani kwake na Doreen.
TUONANE KESHO TAR 26 AUGUST 2018, SAA 7 MCHANA YATANZANIA
_______________________________ F. LIMAO YA KAZI NA MISHANGAO MINGI
Saved by the Phone Call Lucifer akarudi chumbani kwa mke wake mtarajiwa Doreen, roho inamdunda anajisema dah kidogo nibambwe! Wakawa wanafunga funga mizigo waende Airport.
Carrie akamtafuta Doreen akamkuta Lucifer ndani, akaona bora achune. Umbea huu utaniua lakini nafanya haya yote kwa ajili ya marafiki zangu, nawapenda sana tulishakubaliana kuwa tutakuwa pamoja katika shida na raha. Akauchuna akisubiri George aje amhadithie.
Wasafiri safari ya kuelekea airport ikafika. Wakaagana wakaingia kwenye pipa. Kufika Bongo kila mtu na safari zake, Doreen na Familia yake, Adrienne na watoto na dada wa kazi. Maisha yakaendelea kama kawaida wanakimbizana na shughuli na ajira.
Wasafiri safari ya kuelekea airport ikafika. Wakaagana wakaingia kwenye pipa. Kufika Bongo kila mtu na safari zake, Doreen na Familia yake, Adrienne na watoto na dada wa kazi. Maisha yakaendelea kama kawaida wanakimbizana na shughuli na ajira.
Lucifer akaenda kusaini will of death, mirathi na kazi anayoifanya incase kutatokea chochote kwake.
BONDENI:
Huku Bondeni vijana wakiwa wanashughulika na vimeo vya kazi. Shawn akamwadithia James harusi ya Pedeshee na ubatizo wa watoto wa George.
Huku Bondeni vijana wakiwa wanashughulika na vimeo vya kazi. Shawn akamwadithia James harusi ya Pedeshee na ubatizo wa watoto wa George.
James akafurahi kuwa Chanel kaolewa, hehe maana sio kwa kupendana kule na Chanel, akafurahi kuwa Chanel alifuata maelekezo aliomwachia kuwa amchague Pedeshee na sio Mark.
James: Ningekuja ila Don Lucifer alikuwepo nikaogopa.
Shawn: Eh! tena mimi sikujua bwana akanibamba nimetia timu kwa Carrie akaamua kunipotezea, ila kazi yake hapa inabidi tumalize fasta maana nahisi muda wowote kuanzia sasa tunaamsha kwenda Ulaya.
Wakiwa wanaendelea na kazi mara Carrie akampigia James.
Carrie: shemeji mambo?! Upo? Nakudai ivyo! Ndio nini haujaja kwenye shughuli ya wanangu?!
James: Ah! Shemeji nisamehe nilikuwa naumwa vibaya mno. Nilitaka kuja lakini ndio tumbo lilinibana mbaya!
Carrie: yani wewe, basi tu! Utasingizia hata Yesu alishuka ukanyakuliwa! Sawa bwana mimi nami nitakuwa sikupi maagizo nilioachiwa na Doreen.
James: kusikia Doreen akafurahi! Eh! SHEMEJI utaniua na Presha, nambie mtoto anasemaje?
Carrie: shemeji mambo?! Upo? Nakudai ivyo! Ndio nini haujaja kwenye shughuli ya wanangu?!
James: Ah! Shemeji nisamehe nilikuwa naumwa vibaya mno. Nilitaka kuja lakini ndio tumbo lilinibana mbaya!
Carrie: yani wewe, basi tu! Utasingizia hata Yesu alishuka ukanyakuliwa! Sawa bwana mimi nami nitakuwa sikupi maagizo nilioachiwa na Doreen.
James: kusikia Doreen akafurahi! Eh! SHEMEJI utaniua na Presha, nambie mtoto anasemaje?
Naskia bwanake kamzalisha bwana sijui sasa hivi atakuwa mmama anaevaa matenge kama wake za Wachungaji au?! Huku anacheka
Carrie: eh tena bora ya sasa kuliko ulivyomuacha. Mwenzio kawa Hot Mama hatari! Wewe kaa hapo hapo unamsubiria Doreen, sasa utakuja kuchukua maelezo yako au!?
James: ntakuja shem, nije lini?!
Carrie: njoo leo!
James: sawa shem niambie wapi nikukute
Carrie: au nisikusumbue nije ofsini kwenu?!nielekeze nitakuja hata kwa Taxi.
James: asijue hili wala lile kamwelekeza.
Carrie: eh tena bora ya sasa kuliko ulivyomuacha. Mwenzio kawa Hot Mama hatari! Wewe kaa hapo hapo unamsubiria Doreen, sasa utakuja kuchukua maelezo yako au!?
James: ntakuja shem, nije lini?!
Carrie: njoo leo!
James: sawa shem niambie wapi nikukute
Carrie: au nisikusumbue nije ofsini kwenu?!nielekeze nitakuja hata kwa Taxi.
James: asijue hili wala lile kamwelekeza.
Carrie akasema hapa hapa nakanyagia!
Akachukua taxi huyoo mpaka kwa James. Eh! Bonge la ofisi, Bonge la mjengo! Eh! Ivi hili jengo uwa lipo au ni mimi tu nimekaa ndani sana?!
Akachukua taxi huyoo mpaka kwa James. Eh! Bonge la ofisi, Bonge la mjengo! Eh! Ivi hili jengo uwa lipo au ni mimi tu nimekaa ndani sana?!
Akakaribishwa ndani kwa ulinzi mkali mpaka anaogopa.
Kufika ndani anamwulizia James, akaambiwa hayupo,
Kufika ndani anamwulizia James, akaambiwa hayupo,
Akaamua kuchukua simu ampigie network hamna mpaka atoke nje kabisaa. Akaanza kuumiza kichwa anafanyaje mara James huyo kapita, akamwita James! James akamfuata karibu shem.
Carrie: Nilikuwa naondoka hivo, ofisi yako haikutambui, sheria kibaaao, simu nakupigia hamna mtandao humu
James: ah si unajua tena shem wamezima data tupige kazi, samahani sikukwambia
Carrie: hamna neon, Ofisi yenu nzuri, ofisini waitwaje
James: akaguna! Ah haina maana tena nimeshakuona.
Wakaingia ofsini wanaongea, bonge la ofisi utadhani 7star hotel. Wakapiga umbea weee baadae Carrie akamwambia Doreen analisalimia, amekumiss alishindwa kuja kukuona ila amesema akija tena huku lazima atakuja kukuona.
Carrie: Nilikuwa naondoka hivo, ofisi yako haikutambui, sheria kibaaao, simu nakupigia hamna mtandao humu
James: ah si unajua tena shem wamezima data tupige kazi, samahani sikukwambia
Carrie: hamna neon, Ofisi yenu nzuri, ofisini waitwaje
James: akaguna! Ah haina maana tena nimeshakuona.
Wakaingia ofsini wanaongea, bonge la ofisi utadhani 7star hotel. Wakapiga umbea weee baadae Carrie akamwambia Doreen analisalimia, amekumiss alishindwa kuja kukuona ila amesema akija tena huku lazima atakuja kukuona.
Mumewe kambaaana akashindwa hata kutoka wameondoka jana mumewe alipigiwa simu akaambiwa arudi haraka!
Ameniambia nikupe hii, ilikuwa ni handkerchief aliompaga Doreen wakiwa singida. Doreen alimwambia nihakikishe na Pendo lako kuwa ni la ukweli wala hamna usanii. James akaona du! Akatoa handkerchief nyeupe akamwambia kama kilivyo kitambaa hiki cheupe ndivyo ulivyo moyo wangu kwako na pendo langu kwako. Msafi mweupe, hauna uchafu. Doreen akakichukua kitambaa akakibusu akasema kama ndio hivyo basi nitakiweka kama ukumbusho.
Ameniambia nikupe hii, ilikuwa ni handkerchief aliompaga Doreen wakiwa singida. Doreen alimwambia nihakikishe na Pendo lako kuwa ni la ukweli wala hamna usanii. James akaona du! Akatoa handkerchief nyeupe akamwambia kama kilivyo kitambaa hiki cheupe ndivyo ulivyo moyo wangu kwako na pendo langu kwako. Msafi mweupe, hauna uchafu. Doreen akakichukua kitambaa akakibusu akasema kama ndio hivyo basi nitakiweka kama ukumbusho.
James akakumbuka yote hayo akakishika kitambaa akakinusa kinanukia harufu ile ile ya perfume aliokuwa nayo amepaka Doreen wakiwa Singida vijijini. Akakibusu, machozi yanamtoka!
Carrie: anashangaa haelewi akaamua kubadilisha stori James akarudi pale pale, unajua hiki kitambaa kimenikumbusha mbali sana shemeji, dah siamini kama Doreen kakitunza! Kweli huu ujumbe ulitoka kwa Doreen nilijua unanizingua.
Carrie: Mimi sio wa hivyo jamaa. Shem ofisi yenu inaitwaje?!
Jame: ah ni ofisi ya Insurance kwanini?!
Carrie: hapana nimeuliza tu. Kwaiyo umeletwa huku sasa hivi, ah shem wangu utakuwa na hela chafu!
James: hamna bwana kawaida tu, mara simu ikapigwa ya Don Lucifer.
James: hamna bwana kawaida tu, mara simu ikapigwa ya Don Lucifer.
Carrie akachungulia akakuta imeandikwa Don Boss!
James: Ndio Mkuu
Lucifer: mnatakiwa kuhama hapo kesho, muende urusi na Shawn, watakuja watu mwengine kushika nafasi zenu. Mtaarifu Shawn maana simpati kwenye simu
James: sawa Boss
Carrie: Sasa naona kazi zimeanza shemeji ngoja niende.
James: haya shem asante kwa kuja kutuona ila ndio hivyo nasafiri nimehamishwa kikazi tayari, nikirudi nitakuja kukusalimia kwako ujue kuwa nimerudi.
Carrie: wapi tena au ndio Bongo
James: ah uko bwana kwa wazungu Marekani nini( akamdanganya)
Carrie: oh wow! Hongera shem, haya shem asante nimefurahi kukuona masalimie Shawn na Marekani mniletee viwalo mkirudi. Wakakumbatiana Carrie akaondoka anasema moja na moja ni mbili ingawa kibongobongo ni moja bado nakusanya data mpaka kieleweke. Ingawa hakujua ndio siku yake ya mwisho kuonana na James!
HUKO BONGO:
Lucifer ndani ya mjengo, anapanga panga nguo asubuhi anaamsha kwenda Urusi!
James: Ndio Mkuu
Lucifer: mnatakiwa kuhama hapo kesho, muende urusi na Shawn, watakuja watu mwengine kushika nafasi zenu. Mtaarifu Shawn maana simpati kwenye simu
James: sawa Boss
Carrie: Sasa naona kazi zimeanza shemeji ngoja niende.
James: haya shem asante kwa kuja kutuona ila ndio hivyo nasafiri nimehamishwa kikazi tayari, nikirudi nitakuja kukusalimia kwako ujue kuwa nimerudi.
Carrie: wapi tena au ndio Bongo
James: ah uko bwana kwa wazungu Marekani nini( akamdanganya)
Carrie: oh wow! Hongera shem, haya shem asante nimefurahi kukuona masalimie Shawn na Marekani mniletee viwalo mkirudi. Wakakumbatiana Carrie akaondoka anasema moja na moja ni mbili ingawa kibongobongo ni moja bado nakusanya data mpaka kieleweke. Ingawa hakujua ndio siku yake ya mwisho kuonana na James!
HUKO BONGO:
Lucifer ndani ya mjengo, anapanga panga nguo asubuhi anaamsha kwenda Urusi!
Doreen haamini safari ya ghafla alafu inamchukua mwaka m1. Akawa anamwangalia Lucifer anamtamani hammalizi! Uuuwi nitaolewa lini sasa baada ya mwaka lakini sio mbaya. Lucifer alimdanganya anarudi baada ya mwaka lakini ki ukweli kurudi kwa Lucifer ni kama ndoto mpaka kazi iishe na inaweza chukua miaka hata 10.
Akamaliza kupaki akaingia kuoga Doreen akaenda kuandaa Chakula, watoto wakala wakaingia kulala.
Akamaliza kupaki akaingia kuoga Doreen akaenda kuandaa Chakula, watoto wakala wakaingia kulala.
Ivan amekuwa mkubwa hakalali mpaka kamesomewa bed time story.
Doreen akamsomea, kabla hakajalala Ivan akamwambia unajua Baba akisafirigi anarudi hata baada ya miaka 5 au 10. Atanikuta nimeshakuwa mkubwa.
Doreen: hapana sio kweli atarudi mwakani.
Ivan: akaguna mmh! mwambie Baba akuachie kiiiila kitu sidhani kama atarudi leo. Mtoto anaongea ukweli lakini Doreen haelewi.
Doreen: akapuuzia lakini baadae akasema watoto ni Malaika, Mara Lucifer akaingia kuagana na mwanae, asijue atamwona lini tena, akamkumbatia kwa muda mreefu huku anatoa machozi.
Doreen anashangaa kuna nini?!
Wakamaliza wakatoka wakawa wanaongea chumbani,
Doreen: mpenzi unaenda wapi?!utarudi linii?!
Lucifer: mwakani tu mpenzi, nasafiri sehemu mbali mbali kwa kesho nitakuwa Dubai.
Doreen: utarudi kweli mpenzi?! Au mimi ndio naozea hapa kwako. Mama yako ataelewa kweli kuhusu mimi?!
Lucifer: Mama alishakukubali kitambo sana kuwa wewe ni mke wangu mama watoto wangu, usiwe na wasiwasi hawezi kukuvuruga.
Wakamaliza wakatoka wakawa wanaongea chumbani,
Doreen: mpenzi unaenda wapi?!utarudi linii?!
Lucifer: mwakani tu mpenzi, nasafiri sehemu mbali mbali kwa kesho nitakuwa Dubai.
Doreen: utarudi kweli mpenzi?! Au mimi ndio naozea hapa kwako. Mama yako ataelewa kweli kuhusu mimi?!
Lucifer: Mama alishakukubali kitambo sana kuwa wewe ni mke wangu mama watoto wangu, usiwe na wasiwasi hawezi kukuvuruga.
Kaa hapa hapa wala usirudi kwako kupanga tena, kaa ulee watoto wetu, Ivan pia ni mtoto wako, wala usibague.
Doreen: utanihakikishiaje kama unarudi mwakani?! Nina uhakika gani na maneno unayoongea?!
Doreen: utanihakikishiaje kama unarudi mwakani?! Nina uhakika gani na maneno unayoongea?!
Mimi staki kuwa mjane bado mdogo, maana hata kazi zako sizielewi!
Lucifer: akamfuata Doreen aliesimama akamshika mkono, Doreen akajinyofoa kwa Lucifer!
Lucifer: akamfuata Doreen aliesimama akamshika mkono, Doreen akajinyofoa kwa Lucifer!
Luficer akamshika akamkalisha kitandani. Sasa mpenzi mbona hauna imani? Mwamini Mungu kuwa nitarudi, wewe si umeokoka? Endelea kuniombea kuwa nitarudi, Yesu aliahidi atarudi na mimi nitarudi!
Doreen: ivi Lucifer unaleta utani au?! Ah! Akageuka pembeni akaanza kununa.
Doreen: ivi Lucifer unaleta utani au?! Ah! Akageuka pembeni akaanza kununa.
Lucifer: akamfuata akapiga magoti, mke wangu lazima nirudi bado hata sijakuoa, nimeahidi kukuoa na mama anajua na watoto wanajua kuwa wewe ni mke wangu mtarajiwa, nakupenda usifanye hivo safari ni asubuhi nakutegemea wewe ndio unipeleke airport, usifanye hivyo nakupenda mke wangu mzuri!
Huku anambusu busu, Doreen bado kavimba(kanuna).
Doreen: sasa nataka unihakikishie kuwa utarudi, mimi sijui utanihakikishiaje lakini siongelei mambo ya mechi sijui unanibusu staki!
Lucifer: akainuka akachukua kiti akakaa, akamshika mkono akamwambia mali zangu zooote na ni zako,
Doreen: Kwahiyo sasa mimi nitapendwa na mali zako?!
Lucifer: akaendelea na watoto wetu wote 2 nimeshaandika mali zao pia
Doreen: akamzaba kibao Lucifer, ivi unajiskia unavyoongea lakini?! We ni mgonjwa au!?
Lucifer: mimi ni mgonjwa wako mpenzi nitafanyaje kwako nimekufa na kuoza kabisaa yani siambiwi, siongei wala sisogei.
Doreen: akamwangalia tu, ikabidi acheke maana sasa Lucifer ameshaanza kufanana na clown!
Lucifer akazidi kumwaga ung'eng'e Doreen akamwambia ivi unajua namaanisha maswali yangu!?
Lucifer akatoa kidude ndani kuna cheni ya dhahabu 2, akamvalisha Doreen moja na nyingine akavaa yeye, akamwambia Doreen hii ndio ahadi yangu kwako kuwa nitarudi hata mimi nina imani nitarudi. Na nisipo rudi boss wangu atakuletea hii chain yangu nilioivaa kuwa nimekufa basi uendelee na maisha kama utaenda kuwa na James sawa tu lakini mali zote ni zako na watoto wala usilogwe kumpa mwanaume mwingine na mimi sitaivua kabisaa nikiwa kazini!
Doreen akaanza kulia, Lucifer akamfuta huku anamwambia usilie mpenzi mimi nitarudi, nakupenda hata kama nitachelewa, nitarudi.
Doreen akamkumbatia Lucifer machozi yanamtoka, akamwuliza na ukirudi nitajuaje?!
Lucifer: Nikirudi hautaletewa chain wala chochote na boss wangu, akamtajia jina la boss wake, akamwonyesha na picha akamwachia, ndio Doreen akapata amani.
Doreen: sasa nataka unihakikishie kuwa utarudi, mimi sijui utanihakikishiaje lakini siongelei mambo ya mechi sijui unanibusu staki!
Lucifer: akainuka akachukua kiti akakaa, akamshika mkono akamwambia mali zangu zooote na ni zako,
Doreen: Kwahiyo sasa mimi nitapendwa na mali zako?!
Lucifer: akaendelea na watoto wetu wote 2 nimeshaandika mali zao pia
Doreen: akamzaba kibao Lucifer, ivi unajiskia unavyoongea lakini?! We ni mgonjwa au!?
Lucifer: mimi ni mgonjwa wako mpenzi nitafanyaje kwako nimekufa na kuoza kabisaa yani siambiwi, siongei wala sisogei.
Doreen: akamwangalia tu, ikabidi acheke maana sasa Lucifer ameshaanza kufanana na clown!
Lucifer akazidi kumwaga ung'eng'e Doreen akamwambia ivi unajua namaanisha maswali yangu!?
Lucifer akatoa kidude ndani kuna cheni ya dhahabu 2, akamvalisha Doreen moja na nyingine akavaa yeye, akamwambia Doreen hii ndio ahadi yangu kwako kuwa nitarudi hata mimi nina imani nitarudi. Na nisipo rudi boss wangu atakuletea hii chain yangu nilioivaa kuwa nimekufa basi uendelee na maisha kama utaenda kuwa na James sawa tu lakini mali zote ni zako na watoto wala usilogwe kumpa mwanaume mwingine na mimi sitaivua kabisaa nikiwa kazini!
Doreen akaanza kulia, Lucifer akamfuta huku anamwambia usilie mpenzi mimi nitarudi, nakupenda hata kama nitachelewa, nitarudi.
Doreen akamkumbatia Lucifer machozi yanamtoka, akamwuliza na ukirudi nitajuaje?!
Lucifer: Nikirudi hautaletewa chain wala chochote na boss wangu, akamtajia jina la boss wake, akamwonyesha na picha akamwachia, ndio Doreen akapata amani.
Doreen akaingia kuoga Lucifer akamfuata, akawa anamwogesha, umo umo mechi ikapigwa, baadae Lucifer akambeba Doreen kwenye kifua chake akamlaza kitandani, mechi nyingine ya pili ikapigwa ya nguvu, Lucifer anakazana kumpa mautamu Doreen, Doreen akajiambia hii mechi ya leo ni hatari! Haijawahi tokea anashangaa Lucifer anazidisha moto, akawa na wasiwasi kuwa huyu harudi leo wala kesho!
Hapa miaka 5 kweli kama mwanae alivyosema, ikabidi Doreen ajishughulishe haswaa
MTAA WA 3:
Adrienne akapokea simu toka kwa Shawn, wakaongea masaa 2, Adrienne hajui hili wala lile, baadae Shawn akamwambia nasafiri kwenda Urusi nitarudi baada ya miezi 10. Ratiba imebadilika sana.
MTAA WA 3:
Adrienne akapokea simu toka kwa Shawn, wakaongea masaa 2, Adrienne hajui hili wala lile, baadae Shawn akamwambia nasafiri kwenda Urusi nitarudi baada ya miezi 10. Ratiba imebadilika sana.
Adrienne: sawa, akaanza kumwombea kwenye simu, Mungu akulinde na Damu ya Yesu, wanawake woooote utakaowapata wakuone mchungu kama pilipili ya India, Shawn akacheeka wakacheka wote, Shawn akamuaga Adrienne akarudi kulala.
HUKO BONDENI:
Wana Honey mooners bwana akina Chanel, wako buzy na mauno, usiku ulipoingia Pedeshee akapata simu,
Pedeshee: Yes Boss
Boss Kubwa: Kesho kutwa unahitajika Ujerumani, ukiwa mwenyewe nakurudisha kazini mambo yameharibika, utakaa kwa muda wa miezi 6, kama mishe itaenda poa utarudi baada ya miez 3,
Pedeshee: akachoka Sawa Mkuu
Boss Kubwa: kesho itakuja ticket yako ya ndege na visa yako, na makaratasi ya kusaini, kwa ajili ya maisha yako na mali zako, ujaze ukiwa pekeyako bila mkeo alafu umrudishie aliekuletea, Visa na Ticket atanikabidhi
Pedeshee: sawa mkuu! Asante. Simu ikakatwa.
HUKO BONDENI:
Wana Honey mooners bwana akina Chanel, wako buzy na mauno, usiku ulipoingia Pedeshee akapata simu,
Pedeshee: Yes Boss
Boss Kubwa: Kesho kutwa unahitajika Ujerumani, ukiwa mwenyewe nakurudisha kazini mambo yameharibika, utakaa kwa muda wa miezi 6, kama mishe itaenda poa utarudi baada ya miez 3,
Pedeshee: akachoka Sawa Mkuu
Boss Kubwa: kesho itakuja ticket yako ya ndege na visa yako, na makaratasi ya kusaini, kwa ajili ya maisha yako na mali zako, ujaze ukiwa pekeyako bila mkeo alafu umrudishie aliekuletea, Visa na Ticket atanikabidhi
Pedeshee: sawa mkuu! Asante. Simu ikakatwa.
Chanel akamwuliza vipi?!mbona umechoka ghafla,
Pedeshee: Nimeambiwa nasafiri kesho kutwa ndio nimechoka.
Chanel: nani tena huyo anaetutenganisha!?
Pedeshee: Boss wangu
Chanel: hauwezi omba usogezewe muda mbele
Pedeshee: hapana, kazi zetu hazipo ivyo, Boss akiongea unafuata hamna kupinga!
Chanel:Kwani unafanya kazi gani!?
Pedeshee: Biashara tu, siwezi kughairi naenda kutafuta pesa sasa mambo yameharibika kwenye biashara ndio nimeitwa kwa dharura, itanichukua muda kurudi pia.
Chanel: nani tena huyo anaetutenganisha!?
Pedeshee: Boss wangu
Chanel: hauwezi omba usogezewe muda mbele
Pedeshee: hapana, kazi zetu hazipo ivyo, Boss akiongea unafuata hamna kupinga!
Chanel:Kwani unafanya kazi gani!?
Pedeshee: Biashara tu, siwezi kughairi naenda kutafuta pesa sasa mambo yameharibika kwenye biashara ndio nimeitwa kwa dharura, itanichukua muda kurudi pia.
Chanel: muda gani mume wangu utarejea, pole sana.
Pedeshee: Miezi 6 mpaka mwaka.
Chanel: Doh mwakaa?! Jamaani na ndoa hii changa! Uuuwi mbona jaribu hili! akaanza kuvimba anajinunilisha!
Chanel: Doh mwakaa?! Jamaani na ndoa hii changa! Uuuwi mbona jaribu hili! akaanza kuvimba anajinunilisha!
Pedeshee akaanza kumpeti peti ikafuatiwa na mechi Chanel akakaa sawa, lakini Chanel hakukaa sawa kama alivyodhania Pedeshee.
Asubuhi wakaenda kunywa chai, wakaletewa omelete na bacon na juisi ya embe na chai ya maziwa. Chanel kuona harufu ya Mayai akaanza kusikia kichefu chefu, akawa anashindwa kula mara kizunguzungu, akatapika pwa!
Pedeshee: anashangaa akamrudisha chumbani Chanel akajilaza, baadae ya muda kweli hodi ikapigwa mleta makaratasi na tikiti ya ndege kafika.
Pedeshee akajaza kabla hajamaliza akasikia Chanel anapiga makelele kukimbia ndani kumbe kaanguka chini toka kitandani na damu zinamtoka sehemu za siri, akamwomba mleta barua amsindikize hospitali ili amalizie kusaini.
Kufika hospitali Chanel akafanyiwa vipimo, baada ya muda majibu yakatoka Pedeshee akaambiwa inabidi mkeo alazwe ana mimba changa ya mwezi1, kidogo itoke, sijui umemwambia nini?!
Pedeshee akiangalia kesho anasafiri, akauliza tu atatoka lini!?
Dokta: Hapa hata wiki 2 anamaliza.
Pedeshee: akaenda kufanya nalipo ya mwezi mzima akae hospitali chini ya uangalizi wa Carrie. Akampigia simu Carrie akamwomba aje, akarudi kuongea na mke wake kuwa amefurahi ni mjamzito, bora nimekuoa maana ungenilaumu kweli nimekubebesha mimba alafu nakukimbia.
Chanel: akacheka mara Carrie huyo, eh poleni jamani poleni sana, Carrie ana makelele, watu wote hospital wanamwangalia.
Wakaongea wote kwa muda baadae Pedeshee akaomba amuache mikononi mwake amuangalie na akitoka hospitali akae nae mpaka atakaporudi, yeye anasafiri kikazi.
Carrie: akashangaa hakuelewa, unaenda wapi shem?
Pedeshee: Naenda marekani.
Carrie: Akaguna mh! Kweli America imevamiwa!
HUKO BONGO:
Alfajiri Lucifer akamwamsha Doreen.
HUKO BONGO:
Alfajiri Lucifer akamwamsha Doreen.
Doreen anashangaa ma-body guard wamekuja tena. Lucifer: akaoga fasta Doreen akatoa Sanduku nje, akarudi ndani mumewe keshavaa.
Doreen: Mume wangu naomba nikusindikize!
Lucifer: Hapana nipo na boss wangu, tutaenda tu, akamkumbatia Doreen akambusu kichwani, akaenda kwa watoto akawabusu, Doreen amachozi yanamtoka hajui atamwona lini Lucifer.
Lucifer: akatoka huyoo akaingia kwenye gari
Doreen anampungia huku ameishikilia ile cheni aliovalishwa shingoni jana yake usiku.
TUONANE LEO SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_____________________________________________________________________________________________
G. LIMAO YA KUJARIBU MICHEPUKO
Njiani kuelekea airport, Lucifer akapewa maagizo na boss wake, kuhusu misheni anayoiendea, walipofika Airport Lucifer akamwambia Boss, nimemwomba Mungu anisaidie lakini naona kiza kingi mbele, sidhani hata kama naweza rudi, akavua ile chain aliompa Doreen akamwambia Boss, kama itatokea nikafa naomba umpe Doreen hii chain pamoja na mali na urithi wa watoto na wa Doreen na wa Mama yangu. Kama nitarudi nitakuja kuvichukua vyote nirudi navyo nyumbani kwangu.
Boss: akamwangalia akatamani kulia lakini akajikaza, umekuwa mtu wangu mzuri sana kazini, tutasikitika sana kukukosa wewe na team yako ya watu 4. Mungu Akutangulie hata ukifa utakuwa umekufa kishujaa, tusipoonana Duniani tutaonana Mbinguni tukimwimbia Mungu kwa Ushindi. Wakakumbatiana Lucifer huyooo akaondoka kuingia ndani ya pipa!
Bibie akarudi kulala lakini hamna usingizi anamuwaza Lucifer hajui itakuwaje. Hajui watoto atawaleaje mwenyewe, akawaza na kuwazua kuja kuangalia saa ni saa 1 asubuhi akamwamsha Ivan kwenda shule baadae akapelekwa na dereva wao, akaenda kumwamsha Sandra wake akamwogesha akamvalisha akaondoka kurudi kazini. Kazi na wewe haziendi wala nini ofisi ipo ukiwa bila Lucifer. Mara anaskia receptionist anamwambia kuna mgeni wako anataka kukuona akamruhusu aingie. Eh kumbe ni Safaree! Mzee wa plan! Karibu
Bibie akarudi kulala lakini hamna usingizi anamuwaza Lucifer hajui itakuwaje. Hajui watoto atawaleaje mwenyewe, akawaza na kuwazua kuja kuangalia saa ni saa 1 asubuhi akamwamsha Ivan kwenda shule baadae akapelekwa na dereva wao, akaenda kumwamsha Sandra wake akamwogesha akamvalisha akaondoka kurudi kazini. Kazi na wewe haziendi wala nini ofisi ipo ukiwa bila Lucifer. Mara anaskia receptionist anamwambia kuna mgeni wako anataka kukuona akamruhusu aingie. Eh kumbe ni Safaree! Mzee wa plan! Karibu
Doreen:Safaree leo naona umenikumbuka karibu
Safaree: Asante mmeshindaje kwako?!
Doreen: salama sijui wewe
Safaree: ah mimi nipo nipo tu ila shem mimi nina shifa kibao
Safaree: Asante mmeshindaje kwako?!
Doreen: salama sijui wewe
Safaree: ah mimi nipo nipo tu ila shem mimi nina shifa kibao
Doreen: shida gani tena ex shem wangu
Safaree: Asee nina mdogo wangu ana njaa kali ya ajira. Unaonaje akija kukusaidia kazi hapo kwako nini wakati wewe unapiga kazi huku?!
Doreen: mh! Kwa sasa hata sihitaji dada wa kazi ila nikiwa na shida nitakujulisha, labda umwangalizie hapa ofsini niliskia wanatafuta mtu
Safaree: kweli ee, haya ngoja nikaongee na HR. Vipi Boss hajambo?! Naona unazidi kung'aa shem langu bwana, umetisher!
Doreen: ah shem na wewe hauachi tu mizaha, aya bwana tutaonana ngoja nimalizie kazi za watu.
Safaree: ila haujaniambia boss leo kaenda wapi!?
Doreen: amesafiri, mambo yake haya ya kazi
Safaree: ok atakuwa ameenda nchi gani?
Doreen: mh hata sijui yani kaondoka usiku saa 8 kaja kuamshwa na hao watemi wake, akaondoka nao, mimi naamshwa ng'am ng'am ananiaga nikashindwa hata kumpeleka Airport
Safaree: ah pole sana shem, haya basi ngoja niwahi HR kabla hawajabanwa na kazi
Safaree huyoo kwa HR kaenda kuweka kikao na hivi boss hayupo! Eh! Ni sheedah! Anawapiga umbea mara hiki wakaona wanachoshwa hr akamwambia unataka nini bwana Safaree unajua tunarekodiwa mimi sitaki kukosa ajira.
Safaree: Asee madam kuna dadangu anatafuta ajira. Za hapa na pale, kama usafi nini kupika chai nini, nisaidie jamani
Hr: Ah Safaree! Kwani wewe kazi zetu hauzijui jamani?! Mimi siajiri hawa wa usafi, labda ukaongee na wenye kampuni tuone inakuwaje kama atamchomeka ni huko huko.
Safaree: eti ee, basi poa nipe namba yake niongee nae.
Safaree: Asee nina mdogo wangu ana njaa kali ya ajira. Unaonaje akija kukusaidia kazi hapo kwako nini wakati wewe unapiga kazi huku?!
Doreen: mh! Kwa sasa hata sihitaji dada wa kazi ila nikiwa na shida nitakujulisha, labda umwangalizie hapa ofsini niliskia wanatafuta mtu
Safaree: kweli ee, haya ngoja nikaongee na HR. Vipi Boss hajambo?! Naona unazidi kung'aa shem langu bwana, umetisher!
Doreen: ah shem na wewe hauachi tu mizaha, aya bwana tutaonana ngoja nimalizie kazi za watu.
Safaree: ila haujaniambia boss leo kaenda wapi!?
Doreen: amesafiri, mambo yake haya ya kazi
Safaree: ok atakuwa ameenda nchi gani?
Doreen: mh hata sijui yani kaondoka usiku saa 8 kaja kuamshwa na hao watemi wake, akaondoka nao, mimi naamshwa ng'am ng'am ananiaga nikashindwa hata kumpeleka Airport
Safaree: ah pole sana shem, haya basi ngoja niwahi HR kabla hawajabanwa na kazi
Safaree huyoo kwa HR kaenda kuweka kikao na hivi boss hayupo! Eh! Ni sheedah! Anawapiga umbea mara hiki wakaona wanachoshwa hr akamwambia unataka nini bwana Safaree unajua tunarekodiwa mimi sitaki kukosa ajira.
Safaree: Asee madam kuna dadangu anatafuta ajira. Za hapa na pale, kama usafi nini kupika chai nini, nisaidie jamani
Hr: Ah Safaree! Kwani wewe kazi zetu hauzijui jamani?! Mimi siajiri hawa wa usafi, labda ukaongee na wenye kampuni tuone inakuwaje kama atamchomeka ni huko huko.
Safaree: eti ee, basi poa nipe namba yake niongee nae.
Akapewa namba ya kampuni ya usafi akaona aende mida hio hio asiuweke maana muda wowote ataitwa kazini
Wakati anatoka kazini yupo kwenye foleni zetu za Dae es salaam, akamwona Adrienne anatoka ofisini anaelekea mahali. Akasema enheee! hapa hapa akawa anamfuata mdogo mdogo mpaka akafika nyumbani kwake, akapiga ngumi kiganja chake cha mkono kumbe hapa ndio anaishi, ngoja sasa!
Wakati anatoka kazini yupo kwenye foleni zetu za Dae es salaam, akamwona Adrienne anatoka ofisini anaelekea mahali. Akasema enheee! hapa hapa akawa anamfuata mdogo mdogo mpaka akafika nyumbani kwake, akapiga ngumi kiganja chake cha mkono kumbe hapa ndio anaishi, ngoja sasa!
Akaondoka zake kurudi kwenye kampuni ya usafi. Kufika kumbe mwenye kampuni ni Mrangi mwenzie, eh akaona Mungu kamjibu maombi asijue mauti inamwita kwa mbele, wakatia stori wee, akaichomeke issue yake.
Akakubaliwa ombi lake basi sawa nduguyo aanze kazi muda wowote kuanzia j3 maana ilishakuwa ijumaa. Kama vipi kesho aje nimwone nimwelekeze maana pale ofsini kwa Lucifer tumepungukiwa dada m1.
Safaree: Haina shida! Wakaongea kidogo Safaree akaondoka zake. Kufika njiani akiwa kwenye gari akampigia Zubeda. Asee rudi Daslam fasta mama, kuna mtonyo hatari hapa. Kesho ruka nakutumia hela kwa tigopesa uje.
Zubeda: sawa. Akatumiwa hela, kesho safari akaamsha popo na bus la saa 12 asubuhi.
HUKO BONDENI:
Chanel akiwa hospital anakuja tembelewa na Carrie wanaongea muda ukiisha Carrie anaondoka. Sikunyingine anaenda Mama mkwe wa Carrie, Carrie anabakia kulea watoto.
HUKO BONDENI:
Chanel akiwa hospital anakuja tembelewa na Carrie wanaongea muda ukiisha Carrie anaondoka. Sikunyingine anaenda Mama mkwe wa Carrie, Carrie anabakia kulea watoto.
Chanel akachoka kukaa hospital akaomba atoke kabla ya wakati. Madaktari wakamkatalia, hali yako sio nzuri tulia kwanza umebakisha wiki 2 uondoke vumilia mtoto ni wa gharama sana usifanye mchezo.
Chanel: kalalamika lakini wapi hajasikizwa. Ikabidi awe mpole, kwanza anaenda kuishi na Carrie ni majanga.
Carrie akawa akija hospita Pedeshee anampiga simu anaongea na mkewe maana walimkataza Chanel kuwa na simu hospitali wakamfichia mpaka atoke.
Carrie nae akaamua kuendeleza utafiti kama Polisi. Enhe mama kijacho mumeo kaenda wapi ghafla ghafla ivoo?!
Chanel: ameitwa kazini
Carrie: mimi nilidhania ni mfanya biashara
Chanel: ndio ila kuna kazi ya dharura ameitwa na wenzake ndio ameenda kuna deal wanafuatilia hapo Ulaya
Carrie: alisema amesafiri kwenda nchi gani!?
Chanel: mh hakusema labda ameenda Ujerumani sikumbuki ila ndio siku niliumwa sana mpaka nikavuja damu, kwahiyo sikumbuki.
Carrie: Hamna neno ilimradi upo na mimi hakuna kilichoharibika usiwaze sana mitihani hii huwa ipo tu rafkiyangu… mimi mwenyewe si unaona kwangu?!
Carrie nae akaamua kuendeleza utafiti kama Polisi. Enhe mama kijacho mumeo kaenda wapi ghafla ghafla ivoo?!
Chanel: ameitwa kazini
Carrie: mimi nilidhania ni mfanya biashara
Chanel: ndio ila kuna kazi ya dharura ameitwa na wenzake ndio ameenda kuna deal wanafuatilia hapo Ulaya
Carrie: alisema amesafiri kwenda nchi gani!?
Chanel: mh hakusema labda ameenda Ujerumani sikumbuki ila ndio siku niliumwa sana mpaka nikavuja damu, kwahiyo sikumbuki.
Carrie: Hamna neno ilimradi upo na mimi hakuna kilichoharibika usiwaze sana mitihani hii huwa ipo tu rafkiyangu… mimi mwenyewe si unaona kwangu?!
Tumeoana na George nimejifungua akapigwa risasi almanusura afe, sijui ningeleaje hawa watoto yarabi!
Yani nashukuru Mungu kila siku namwombea George wangu nampenda sana Mungu tu anajua na wewe ufanye ivo ivo sio Pedeshee hayupo unamtafuta Mark alee mimba maana nawe akili zako sio kabisa.
Chanel: akacheka akakohoa mpaka Carrie akaogopa akaita manesi kuja kumcheki wakamwambia Carrie muda wa kuona wagonjwa ushaisha, urudi kesho. Akatolewa nje wakaanza kumhudumie Chanel.
HUKO BONGO:
Adrienne nae Dada wa kazi wake yule Mama mzee akamwona hayupo vizuri kwenye kazi tena, akawa anatamani apate dada wa kazi kijana ambae yupo shapu zaidi. Akawa anatafuta anajaribu kuulizia kwa watu ofisini lakini hakupata mafanikio.
Zubeda akatia timu Dar es salaam, akapokelewa na Safaree.
Chanel: akacheka akakohoa mpaka Carrie akaogopa akaita manesi kuja kumcheki wakamwambia Carrie muda wa kuona wagonjwa ushaisha, urudi kesho. Akatolewa nje wakaanza kumhudumie Chanel.
HUKO BONGO:
Adrienne nae Dada wa kazi wake yule Mama mzee akamwona hayupo vizuri kwenye kazi tena, akawa anatamani apate dada wa kazi kijana ambae yupo shapu zaidi. Akawa anatafuta anajaribu kuulizia kwa watu ofisini lakini hakupata mafanikio.
Zubeda akatia timu Dar es salaam, akapokelewa na Safaree.
Safaree: weweee ni nini umekuwa bonge. Cha! Shida nini? sasa mishen utaiweza wewe au ndio utaishia kujamba njiani?! Ushanifelisha dogo.
Zubeda: ah! sawa lakini shughuli naiweza ujue, embu niambie nalala wapi leo?!
Safaree: utalala kwangu mpaka utakapopata mshahara ndio utahamia gheto kwako
Zubeda: akha! Usijeniletea mibange yako unataka kuniharibu ee! Hapana siwezi, nipangie chumba niwe na amani.
Safaree: akampangia chumba Sinza, hehe, kesho yake wakaenda zao kutambulishwa kwenye ofisi ya usafi. Wakapokelewa vizuri akaambiwa j3 aje afanye majaribio ya wiki 1 ndio aanze kazi akakubali.
Safaree: akampangia chumba Sinza, hehe, kesho yake wakaenda zao kutambulishwa kwenye ofisi ya usafi. Wakapokelewa vizuri akaambiwa j3 aje afanye majaribio ya wiki 1 ndio aanze kazi akakubali.
Wakarudi na Safaree akampeleka sokoni Mahakama ya Ndizi Mabibo, baadae akamshusha kwake akampa pesa za Mwezi Mzima.
Safaree: wewe pika mimi nasubiria msosi nile nikupe mechi kesho j2 ndio narudi kwangu.
Zubeda: Wewe! embu niache mimi nimechoka, sitaki kabisa ujinga kalale na Happy wako uko niache kabisa.
Safaree: Sasa wewe jidai zoba mimi ndio nakuweka mjini nitakutafuna nitakavyo kama hautaki chukua hela rudi kijijini hapa unakaa kwa amri yangu, tena usiniletee uboya nitakuua au umenisahau?! Fanya pika hapo tule tupige mechi nirudi kwangu au nilale hapa?
Kesho asubuhi nakupa ramani ya kila kitu kuhusu kazi yako na kila week nataka ripoti ya kazi sawa?!
Zubeda: hakuwa na amri, akiangalia maisha ya kijijini kuyarudia ni noma, bora afungue tu miguu. Chakula kikapikwa, akadanganya naenda nunua chumvi, akatoka akanunua chumvi na condom. Akarudi ndani anamkuta Safaree anamalizia kula, nae akakaa akawa anakula kidogo sana maana alikuwa anaujua mziki wa safaree.
Wamemaliza Safaree akaingia zake kuoga.
Zubeda akaambiwa njoo uoge akakataa, Safaree akaoga akatoka akawa anajikausha.
Zubeda akamfuata kwa nyuma, akawa anambusu mgongoni, mechi ikaanza, Zubeda akavumilia tu chezea Daslam!? Baada ya Mechi wakaingia kulala. Kesho yake j2 Zubeda akaamsha popo pika chai, anamsubiri boss aamke amchoree ramani, eh! Safaree analala kama pono, saa 4 ndio anaamka, tena kwa masharti anataka mechi, Zubeda akapotezea mpaka akaja mwenyewe kunywa chai, kamaliza chai wakawa wakapeana ramani.
Safaree: sasa mpenzi, ujitahidi kazini usiweke masihara, iyo kazi fanya kama inakuweka mjini, sawa?!
Zubeda akaitikia sawa boss.
Safaree: Enhee! Nataka upiga mzigo ndani ya miezi miwili upandishwe cheo. Onyesha uaminifu wa hali ya juu ili uweze msafishia Doreen ofisi yake, nataka ukifika kwa Doreen ujipendekeze umpende mpaka akupende, alafu jenga urafiki mpaka akuchukue ukafanye kazi nyumbani kwake, ukifika hapo nakuja kukuchorea ramani nyingine. Nisisikie umelala na mtu pale ofisini maana na wewe kichwa panzi nakujua, huchelewi kulala na boss wa kampuni ya usafi.
Zubeda: Ah mimi siwezi izo kazi za Happy bwana, mimi kazi yangu kama Israel nanyofoa roho za watu tu!
Zubeda: Ah mimi siwezi izo kazi za Happy bwana, mimi kazi yangu kama Israel nanyofoa roho za watu tu!
Safaree: akacheka sana, nisisikie mtu kafa ujue! Yule mwenye kampuni ya usafi ni ndugu yangu uache ujinga usilete uboya hapa la sivyo ntakudunda mpaka urudi kijijini.
Zubeda: Sawa! je matumizi ya mwezi huu?!
Safaree: Si nimekupa jana we mwanamke vepe?
Zubeda: we nawe unakuwa kama huelewi kuwa wanawake tuna matumizi mengi, si unajua lazima nijisop sop nipendeze, nichukue taxi kama kuna foleni, niwe nawahi ofisini….
Safaree: eeeh! Ishia hapo hapo, hizo hela zikiisha nipigie namba yangu hii hapa
Zubeda: akaisevu kwenye simu yake mpya ya tochi alonunuliwa!
Safare: Mimi natoka tutaonana majaliwa. Huyooo akaondoka zake.
HUKO ULAYA:
Vijana wametua Russia, Lucifer akafikia nyumbani kwa Boss wa Safaree aliokuwa anampa mafunzo, akapewa mkanda mzima wa jinsi dili lilivyoharibika akaulizwa utaweza ingia?!
HUKO ULAYA:
Vijana wametua Russia, Lucifer akafikia nyumbani kwa Boss wa Safaree aliokuwa anampa mafunzo, akapewa mkanda mzima wa jinsi dili lilivyoharibika akaulizwa utaweza ingia?!
Lucifer: Ndio naingia mazima.
Yule boss aliofikia nyumbani kwake alikuwa anaitwa Stephano, akamwambia hapana lazima muende 3 au 4, je mtaingia na timu yako yote au?!
Lucifer: Sawa ila namtaka Safaree aende Mexico ili Kimaro aje aingie wa kwanza atafuata Marion alafu Shawn alafu James mimi namaliza mwishoni. Stefano: sawa.
Lucifer: vijana wangu wamefika au?!
Stefano: Wanaingia leo usiku.
Lucifer: Wewe ndio utawaambia cha kufanya mimi nataka nikafanyiwe plastic surgery ya uso na mikono na miguu. Nataka niwekewe ulemavu wa bandia na sura yangu nataka iwe ya kirusi, hao vijana watachagua sura zao ila zisiwe za kiafrika kabisaa hata akija Kimaro sura ibadilike na kila sura kabla hawajabadilishiwa nataka nione ili niweze kukubaliana nazo au la.
Stephano: Sawa.
Lucifer: akaingia kuoga, akala, akampigia Doreen wakaongea wee, Doreen kafurahi sana, akawapa watoto wao simu waongee na Baba yao. Baadae ya lisaa limoja wakaagana.
HUKO BONGO:
Doreen akampigia Carrie kumwuliza anaendeleaje wakapiga story Carrie akampa umbea wa Chanel!
HUKO BONGO:
Doreen akampigia Carrie kumwuliza anaendeleaje wakapiga story Carrie akampa umbea wa Chanel!
Doreen: Macho yanamtoka. Jamani mpe hongera sana Chanel ukienda kumwona tena, itabidi nije bondeni kuwaona, vipi James ulimpa ujumbe wangu!?
Carrie: Ndio ila nasikitika sana kuwa amesafiri kwenda Marekani, sijui atarudi lini ila nilipompa kitambaa chako alilia, kweli James alikupenda.
Doreen: Ina maana Lucifer hanipendi?! embu nenda zako bwana, wakaonge wee, Doreen akamwambia yani hapa nimemmiss mume wangu hakuna tena nina hamu nae balaa.
Carrie: Na hapo hajamaliza mwezi uko hivyo, utakoma best, labda utafute mwanaume akupooze, au chukua body guard wake ila ndio ujue akijua atamchapa, usisahau kutumia condom.
Doreen: Eh Carrie yani haujaacha kabisaa wazimu haya bwana mimi ngoja nilale.
Lakini Doree hakulala. Akaondoka nyumbani amependezaa kapiga bonge la umini, juu akavaa koti reefu sana, akatoka kwa siri hakuna aliejua, akaenda kukaa Bill Canas kwenye Casino. Mapedeshee wanamwangalia wanamtamani lakini kumsogelea wanaogopa!
Mtoto anaita, anang'aa utadhania sio Mama. Akakaa kwa muda wa masaa 2 akaona hapati bwana akaamua kuondoka, kufika mlangoni akagongana na kijana Senior bachelor! Wakaombana msamaha hapo, Doreen akaondoka kwenda kwenye gari, kumbe kaangusha business card yake, kijana akarudi kumpelekea, akakuta Doreen ameshaondoka anamtimulia vumbi.
MTAA WA 3:
Adrienne nae anakwiva, mume hayupo hamu zimemjaa, hata akimkumbuka shawn akajipiga bao sio sawa na akiwa ana kwa ana!
MTAA WA 3:
Adrienne nae anakwiva, mume hayupo hamu zimemjaa, hata akimkumbuka shawn akajipiga bao sio sawa na akiwa ana kwa ana!
Akatamani apate bwana wa haraka wa kuziba ile nafasi ya Shawn kwa muda mfupi. Akataka ampigie ex wake akakumbuka dah yule malaya ataniua kwanza ataniletea vurugu tu hana adabu. Akawa anatunga sheria awe anaenda kwenye night clubs akikutana na mtu akamganda awe anajipoza nae lakini hotelini.
Usiku huo akawa ashafeli kutunga mikakati akaamua kulala.
Weekend ilofuata akatoka mwenyewe kaupara hatari! Makeup kuuubwa toka kwa glambox, kaenda kukaa baa ya Hyatt regency Hotel, akapata bwana wa kireno, bwana kamng'ang'anizi hataki kumwachia anadhania ni changudoa, akimwangalia kumbe amelewa akajua hata akimkubalia ni sheedah tupu.
Weekend ilofuata akatoka mwenyewe kaupara hatari! Makeup kuuubwa toka kwa glambox, kaenda kukaa baa ya Hyatt regency Hotel, akapata bwana wa kireno, bwana kamng'ang'anizi hataki kumwachia anadhania ni changudoa, akimwangalia kumbe amelewa akajua hata akimkubalia ni sheedah tupu.
Akaamua kuhama akakae restaurant. Mara akaja mNigeria,
Nigerian: Good evening madam, are you alone?! Adrienne na English yake ya British na ISM, akaona afadhali nusu shari, akamwitikia hamna mtu, mnigeria huyoo akajitupa, wakawa wanaongea mara akamuodea wine expensive wakawa wanakunywa mnigeria na ile lafudhi yake Adrienne akawa anacheka.
Adrienne akanywa baadae hamu ikamuanza akamwuliza mNigeria umepanga chumba hapa. MNigeria: Ndio.
Adrienne: Twende tukalale.
Mnigeria fasta wakatia team kwenye chumba, mechi ikaanza.
Adrienne: akajisemesha kimoyo moyo, hii sasa mbona majanga!
Ninajipeleka motoni, uuuwi mbona ana machine kubwa kuliko ya Shawn?!
Akamwambia mNigeria nimeacha pochi yangu pale restaurant nakuja sasa hivi nisubirie, akashuka chini fasta, hakuna cha pochi wala nini nduki kwake!
Mnigeria nadhani alisubiri akaamua kulala.
Adrienne kufika kwake anajiambia eh! mimi mambo ya Tito na Mlinzi wa Chanel nayataka?! Aka babu hizi hamu zishindwe zishindwe kwa jina la Yesu, shindwaaaaaaa, Amen!
TUONANE KESHO TAR 27 AUGUST 2018, SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
____________________________________
SEHEMU YA 7
A. LIMAO YA VISASI NA KUFELI KWA KAZI
Simu ikapigwa, ikasikika ring tone hii:
“Kwa jina la Yesu, funguka kwa jina la Yesu pepo tokaa, wachawi, mizimu, ndumba tokaa, kwa jina la Yesu”.
“Kwa jina la Yesu, funguka kwa jina la Yesu pepo tokaa, wachawi, mizimu, ndumba tokaa, kwa jina la Yesu”.
Mara ikapokelewa.
Safaree: we mama uko wapi? Na ma ring tone yako kidogo nianguke chini
Safaree: we mama uko wapi? Na ma ring tone yako kidogo nianguke chini
Happy: nipoooooo, za Dar?
Safaree: ah Baby weee!, nimekumiss njoo basi Dar
Happy: Nitakuja nitumie mabawa nianguke hapo mara moja!
Safaree: haya, hii ni namba yako? Umejisajiri Mpesa?
Happy: ndio mpenzi
Safaree: kesho asubuhi uje fasta kuna kazi nimekutafutia
Happy: sawa mpenzi, akakata simu
Safaree: akamtumia laki 1, Happy macho yanamtoka akaenda kukata tiket fasta! Kweli Dar kunaniita sio kwa mihela hii
Safaree akampigia kijana wake Peteroo!
Simu ikawa inaitwa:
“You, Yes You, I caught you calling ma dotaa, if I catch you I will punish you, why are you disturbing ma dota!”
Safaree: Duh! Tanzania imeingiliwa na ringtone mpaka za kiNigeria, simu ikaita wee ikakata, baadae akapiga tena ikapokelewa
Kijana: haloo boss
Safaree: we boya unalala mpaka saa 5 au upo na demu?
Kijana: hapana boss nilikuwa mbali na simu nafanya usafi hapa kwangu
Safaree: alafu Peteroo hela zangu unazifanyia masihara ee? We si nimekupa kazi ya kumvuruga Yule demu imekushinda?
“You, Yes You, I caught you calling ma dotaa, if I catch you I will punish you, why are you disturbing ma dota!”
Safaree: Duh! Tanzania imeingiliwa na ringtone mpaka za kiNigeria, simu ikaita wee ikakata, baadae akapiga tena ikapokelewa
Kijana: haloo boss
Safaree: we boya unalala mpaka saa 5 au upo na demu?
Kijana: hapana boss nilikuwa mbali na simu nafanya usafi hapa kwangu
Safaree: alafu Peteroo hela zangu unazifanyia masihara ee? We si nimekupa kazi ya kumvuruga Yule demu imekushinda?
Peteroo: hamna boss nilitaka kukupigia, sasa boss jana nikamfuatilia Yule Doreen nikaenda nae mpaka Last Vegas tukapatana hapo.
Safaree: enhe ushamla?
Peteroo: ah! Boss bado aliondoka ila akaangusha business card yake
Safaree: sasa business card yake unakaa nayo na kuiangalia imekuwa picha ya Yesu ukutani au? Unajua **** nyoko nikikushika ntakuua wewe, usisahau nimekutoa kijijini hauna hata mia nakuleta ufanye kazi unaleta uboya, huku anavuta bangi.
Safaree: enhe ushamla?
Peteroo: ah! Boss bado aliondoka ila akaangusha business card yake
Safaree: sasa business card yake unakaa nayo na kuiangalia imekuwa picha ya Yesu ukutani au? Unajua **** nyoko nikikushika ntakuua wewe, usisahau nimekutoa kijijini hauna hata mia nakuleta ufanye kazi unaleta uboya, huku anavuta bangi.
We jinga kesho nisikie ushampuliza Doreen, nataka umchanganye mpaka amsahau mumewe sawa?
Peteroo: sawa boss
Safaree: nakuachia leo kesho usiku nataka picha unipe ukiwa unamla sawa? Ikiwezekana mchukue kideo, ole wako uniletee namna gani vipi nakufuta kazi, we niletee mambo ya mapenzi kazini utaiona sura yangu ya 3. Akakata simu
Peteroo fasta akaichukua simu akaanza kumtext Doreen, mambo mrembo?
Doreen: anaangalia namba haijui, akaifuta sms
Peteroo: mrembo umenisahau? Tumeonana jana Last Vegas, vipi?
Doreen: akaiangalia ile sms akakumbuka ni kaka wa jana, akajiambia kama wewe mwanaume kweli nifukuzie basi.
Peteroo: akawa anatuma sms kama chizi Doreen hajibu hata moja, akaona sasa huyu mwanamke vepee? Embu nimpandie hewani, akampigia simu inaita tuu ikakata akapiga mara ya pili, akaishia kuacha missed call 5
Doreen: eh kweli kaamua kama mwanaume kweli atanifukuzie kuliko Lucifer basi.
Peteroo: dah huyu demu mchungu, haingiliki! Ngoja nijiongeze, akaenda kunua Maua pale Namanga akatumia agent apeleke ofisini kwa Doreen. Huyu ndio Doreen alivyo kwenye picha!
Doreen: akapigiwa simu na secretary akiwa ofisini akaambiwa kuna maua yako hapa, akatoka fasta akijua ni Lucifer kamletea akayanusa, kuangalia Card imeandikwa from your secret admirer Don Pedro! Call me, akaacha namba zake za simu.
Peteroo: sawa boss
Safaree: nakuachia leo kesho usiku nataka picha unipe ukiwa unamla sawa? Ikiwezekana mchukue kideo, ole wako uniletee namna gani vipi nakufuta kazi, we niletee mambo ya mapenzi kazini utaiona sura yangu ya 3. Akakata simu
Peteroo fasta akaichukua simu akaanza kumtext Doreen, mambo mrembo?
Doreen: anaangalia namba haijui, akaifuta sms
Peteroo: mrembo umenisahau? Tumeonana jana Last Vegas, vipi?
Doreen: akaiangalia ile sms akakumbuka ni kaka wa jana, akajiambia kama wewe mwanaume kweli nifukuzie basi.
Peteroo: akawa anatuma sms kama chizi Doreen hajibu hata moja, akaona sasa huyu mwanamke vepee? Embu nimpandie hewani, akampigia simu inaita tuu ikakata akapiga mara ya pili, akaishia kuacha missed call 5
Doreen: eh kweli kaamua kama mwanaume kweli atanifukuzie kuliko Lucifer basi.
Peteroo: dah huyu demu mchungu, haingiliki! Ngoja nijiongeze, akaenda kunua Maua pale Namanga akatumia agent apeleke ofisini kwa Doreen. Huyu ndio Doreen alivyo kwenye picha!
Doreen: akapigiwa simu na secretary akiwa ofisini akaambiwa kuna maua yako hapa, akatoka fasta akijua ni Lucifer kamletea akayanusa, kuangalia Card imeandikwa from your secret admirer Don Pedro! Call me, akaacha namba zake za simu.
Doreen akaichukua ile namba akailinganisha na iliokuwa inamtumia sms akakuta sio akaitupa na maua dust bin! Akaendelea na kazi.
Usiku amerudi nyumbani, amemalizana na watoto anataka kulala simu hiyo, akawa anasita kupokea lakini imeandikwa private no, akaamua kupokea, akijua labda ni Lucifer
Peteroo: hi bebi!
Doreen: who’s this?!
Peteroo: ni mimi secret admirer wako, ulipata zawadi yangu?
Doreen: Achana na mimi.
Peteroo: Unajua nimekupenda sana mrembo.
Doreen: akakata simu
Peteroo: dah huyu demu mbona narudi kijijini, sio kwa kupigwa puli namna hii sasa kesho kutwa napeleka mahesabu gani kwa boss
Doreen: stalker wengine bwana kama mapepo ndio hao Lucifer alonambia nijihadhari nao.
Usiku amerudi nyumbani, amemalizana na watoto anataka kulala simu hiyo, akawa anasita kupokea lakini imeandikwa private no, akaamua kupokea, akijua labda ni Lucifer
Peteroo: hi bebi!
Doreen: who’s this?!
Peteroo: ni mimi secret admirer wako, ulipata zawadi yangu?
Doreen: Achana na mimi.
Peteroo: Unajua nimekupenda sana mrembo.
Doreen: akakata simu
Peteroo: dah huyu demu mbona narudi kijijini, sio kwa kupigwa puli namna hii sasa kesho kutwa napeleka mahesabu gani kwa boss
Doreen: stalker wengine bwana kama mapepo ndio hao Lucifer alonambia nijihadhari nao.
Akazima simu akalala zake
Peteroo: akawa anatunga sheria usiku huo jinsi ya kumdaka Doreen, akampigia Zubeda ampe mbinu maana zake zishamefeli
Zubeda: nambie joka langu naskia upo town
Peteroo: nipo mrembo asee kuna sehemu nimenasa nataka unisaidie kuchora ramani
Zubeda: njoo nyumbani kwangu nipo Sinza
Peteroo: usiku huo huo akachukua taxi fasta kwa Zubeda.
Zubeda: karibu mkali, naona Safaree kaamua kututoa kwenye umaskini enhe nipe taarifa tusaidiane maana Dar pamekuwa pagumu sikuhizi, sijui pepo gani limemwagwa sio kwa magumu haya.
Peteroo: akampa taarifa zote.
Zubeda: akacheka sana, ah huyo kazi ndogo tu, kwanza nipe kabila lake, akamwambia
Peteroo: akawa anatunga sheria usiku huo jinsi ya kumdaka Doreen, akampigia Zubeda ampe mbinu maana zake zishamefeli
Zubeda: nambie joka langu naskia upo town
Peteroo: nipo mrembo asee kuna sehemu nimenasa nataka unisaidie kuchora ramani
Zubeda: njoo nyumbani kwangu nipo Sinza
Peteroo: usiku huo huo akachukua taxi fasta kwa Zubeda.
Zubeda: karibu mkali, naona Safaree kaamua kututoa kwenye umaskini enhe nipe taarifa tusaidiane maana Dar pamekuwa pagumu sikuhizi, sijui pepo gani limemwagwa sio kwa magumu haya.
Peteroo: akampa taarifa zote.
Zubeda: akacheka sana, ah huyo kazi ndogo tu, kwanza nipe kabila lake, akamwambia
Zubeda: ah wale wasingida lakini noma, ila huku chini wanapenda sana, naniliihiii zao zinawashaga kama mumewe hayupo na kama alionekana Last Vegas uyo lazima alikuwa anatafuta machine!
Kwanini mke wa mtu aonekane last vegas usiku wa saa 5, haileti maana, sasa fanya hivi na vile…
Peteroo: unajua sina hata muda mwingi kesho kutwa natakiwa nipeleke hesabu sijui nafanyaje? Na kumvamia Yule demu kwake nasikia analindwa na mabody guard kuanzia kutoka nyumbani mpaka kwenda kazini na kurudi.
Zubeda: ok nimeanza kufanya kazi pale ofsini nitakuangalizia na kukuibia meetings zake zooote, tuone anapatikana wapi
Peteroo: Nitashukuru ila kesho lazima nimpe raha mpaka anifuate mwenyewe tena.
Zubeda: ah Don Pedro bwana unajiamini ee, Yule ni high class sasa hivi vikorokocho unavyovaa na unanuka mikojo atakuelewa kweli? Embu jiongeze basi muwe level sawa, Mwambie safaree akupimp pesa utengenezeke, ongea nae akuongezee siku upige mishe ya maana.
Wakaongea hapo wakamaliza ile anataka kutoka Zubeda akamdaka, akamshika machine!
Peteroo: unajua sina hata muda mwingi kesho kutwa natakiwa nipeleke hesabu sijui nafanyaje? Na kumvamia Yule demu kwake nasikia analindwa na mabody guard kuanzia kutoka nyumbani mpaka kwenda kazini na kurudi.
Zubeda: ok nimeanza kufanya kazi pale ofsini nitakuangalizia na kukuibia meetings zake zooote, tuone anapatikana wapi
Peteroo: Nitashukuru ila kesho lazima nimpe raha mpaka anifuate mwenyewe tena.
Zubeda: ah Don Pedro bwana unajiamini ee, Yule ni high class sasa hivi vikorokocho unavyovaa na unanuka mikojo atakuelewa kweli? Embu jiongeze basi muwe level sawa, Mwambie safaree akupimp pesa utengenezeke, ongea nae akuongezee siku upige mishe ya maana.
Wakaongea hapo wakamaliza ile anataka kutoka Zubeda akamdaka, akamshika machine!
Peteroo: Nini sasa ushaanza mambo yako ya wanga,
Zubeda: ah Peteroo! ina maana hauelewi nina njaa, hapa nimekaukiwa na wewe ni mwanaume tusaidiane tu kama nilivyokupa maarifa!
Huku anajiingiza machine ya peteroo, eh peteroo akaanza kufurahi maana sio kwa mauno ya zubeda, mtoto anaondoka mauno kama feni mbovu, uzuri walitumia kinga na peteroo alivyokuwa na maupwiru, akaona hii ni sakramenti isiokuwa na malipo akaitumia nafasi ile uzuri huku anajifunza kwa zubeda. Wakatoka na magoli 3-3 yaani bila bila hakuna anaemdai mwenzie.
KESHO YAKE:
Asubuhi Doreen kama kawaida ofisini anakuta maua yamejaa ofisini akashtuka nani kaweka, asijue ni zubeda amesaidia, baadae akaenda IT department kuangalia nani kaweka akakuta ni kijana tu wa maua na dada mpya wa usafi anabeba, akamfuata Zubeda akamwambia ulikuwa unafanya nini ofisini kwangu na Yule kijana?
KESHO YAKE:
Asubuhi Doreen kama kawaida ofisini anakuta maua yamejaa ofisini akashtuka nani kaweka, asijue ni zubeda amesaidia, baadae akaenda IT department kuangalia nani kaweka akakuta ni kijana tu wa maua na dada mpya wa usafi anabeba, akamfuata Zubeda akamwambia ulikuwa unafanya nini ofisini kwangu na Yule kijana?
Zubeda: Nilikuwa nasaidia tu madam, naomba unisamehe wala usinisemee kwa boss jamani nilikuwa naambiwa beba panga hapa nikawa nafuata najua ni sawa.
Doreen: akamwangalia akaona innocence machoni pake akamwachia asijue kuwa Zubeda anafekisha, akawaita watu wa usafi waje wasafishe ofisi yake akaomba security asiruhusiwe mtu kuingia zaidi yake na secretary basi, akarudi kuendelea na kazi
Huku nyuma zubeda amesha iba ratiba ya Doreen ya mwezi mzima kwenye computer ya sekretari, alifunika surveillance camera kwa kitaulo cheusi kizito akaiba alafu akaja kukivuta akiwa haonekani, chezea Zubeda wewe, akamwita Peteroo wakutane nje ya ofisi akampatia ramani nzima ya Doreen.
Peteroo akaenda kwa Safaree akaomba aongezewe siku 5 mbele anauhakika ataleta matunda mazuri.
Huku nyuma zubeda amesha iba ratiba ya Doreen ya mwezi mzima kwenye computer ya sekretari, alifunika surveillance camera kwa kitaulo cheusi kizito akaiba alafu akaja kukivuta akiwa haonekani, chezea Zubeda wewe, akamwita Peteroo wakutane nje ya ofisi akampatia ramani nzima ya Doreen.
Peteroo akaenda kwa Safaree akaomba aongezewe siku 5 mbele anauhakika ataleta matunda mazuri.
Safaree: Hiyo ni chance ya mwisho ukishindwa nakurudisha kijijini.
Peteroo: Naomba uniongezee hela niweze ku-upgrade maisha yangu, akaongezewa hela mil 10 akapewa na gari ambalo anatumia Stan, stan akapewa gari ya Safaree ambayo hatumii akajaziwa mafuta full tank.
MTAA WA 3:
Simu ikatia.
Simu ikatia.
Safaree: nimefika mpenz, nakuja Happy nisubiri hapo hapo Ubungo mpenzi wangu akaondoka huyoo amemwacha Peteroo anashangaa shangaa, kufika wakakumbatiana wee mabusu nini, akampeleka nyumbani kwake.
Safaree hata mtu hajatoka harufu ya kijijini keshamdaka anaanza kumpiga mechi.
Maskini happy wa watu kajichokea, lakini afanyaje mechi ikapigwa ivyo ivyo akafungwa goal 3 bila!
Baada ya mechi Happy akaomba apumzike Safaree akaenda kuoga akaondoka, akamwachia mil 1 akamwambia ukiamka kajibadilishe ivyo vituko ulivyovaa sio vya Daslam, chukua taxi hapo barabarani wakupeleke saloon na boutique ukabadilishwe usiku wa leo tunatoka, tutaongea zaidi nikija.
HUKO BONDENI:
Carrie wapo na Chanel, Chanel amebakisha wiki 1 atoke hospital, wakawa wanapiga story wanacheka, dokta akaja naona Chanel ameimprove sana hongera mlezi kwa kumchangamsha, wakaongea na dokta baadae Carrie akamwambia Pedeshee anataka kuongea na wewe ngoja dokta atoke nitakupa, dokta alipoondoka akamtumia sms Pedeshee apige, Pedeshee akapiga anaongea na Chanel huku analia, kweli nimekumiss mke wangu pole sana na hospitali nashindwa kuwa karibu na wewe, nisamehe mambo ya kazi haya lakini nakupenda sana.
HUKO BONDENI:
Carrie wapo na Chanel, Chanel amebakisha wiki 1 atoke hospital, wakawa wanapiga story wanacheka, dokta akaja naona Chanel ameimprove sana hongera mlezi kwa kumchangamsha, wakaongea na dokta baadae Carrie akamwambia Pedeshee anataka kuongea na wewe ngoja dokta atoke nitakupa, dokta alipoondoka akamtumia sms Pedeshee apige, Pedeshee akapiga anaongea na Chanel huku analia, kweli nimekumiss mke wangu pole sana na hospitali nashindwa kuwa karibu na wewe, nisamehe mambo ya kazi haya lakini nakupenda sana.
Chanel kichwa kinavimba pamoja na tumbo akajua hapo anapendwa hatari, maongezi yakaisha wakaanza kupiga story na Carrie.
Chanel: Unajua tunatakiwa kutoa sadaka ya shukrani kwanini tusiwaite akina Adrienne na Doreen waje huku tutoe sadaka hapa Kanisani kwako maana hii misuko suko sio ya kitoto.
Wakakubaliana wakampigia Doreen akakubali, kuwa ifanyike wiki ambayo Chanel atakuwa ameshatoka hospitali, wakampigia Adrienne hapatikana ikabidi wamtumie sms Doreen aongee na Adrienne.
HUKO BONGO:
Wakati anatoka kazini Adrienne akaona akamtembelee Doreen, kufika hayupo, akaona ngoja akae amsubirie, akakaa masaa 2 hajaja, alipotaka kuondoka akamwona Doreen huyo.
Wakati anatoka kazini Adrienne akaona akamtembelee Doreen, kufika hayupo, akaona ngoja akae amsubirie, akakaa masaa 2 hajaja, alipotaka kuondoka akamwona Doreen huyo.
Doreen kufika wakaanza kupiga umbe, umbea mpaka akasahau kuwalaza watoto.
Doreen: Tunatakiwa wiki ijayo twende kwa Carrie tukatoe sadaka za shukrani maana sasa mambo yanavyoenda kwakweli ni kama Mungu anatuamsha kuwa ahadi yangu vepee?
Adrienne: Kweli basi tutaenda ila bila watoto maana mimi kunyonyesha nimeacha, sijui mwenzangu?
Doreen: Walete watoto wako wakae hapa na mama mkwe wangu usiamini watu kuwaachia sana watoto wako, hauwajui hata kama umekaa na huyo bibi miaka zaidi ya 3 lakini sio vizuri, wakapanga pangua Adrienne akasema lakini natafuta dada mwengine wa kazi maana naona huyu ameshaanza kuchoka, ukisikia nambie.
Doreen: Sawa lakini hakutaka kumwambia kuhusu ofa ya Safaree.
USIKU HUO:
Happy na Safaree wakatoka out, wakaenda Kunduchi Beach Hotel, Happy anafundishwa jinsi ya kutembea, kula ku-behave kidhungu n.k ….wakaendelea na plan.
Nataka zile nguo zako za kijijini usizitupe kwanza ndio utaenda nazo na mfuko wa Marlboro kuombea kazi ili uonekane wa kijijini kweli, akampa ramani ya kwa Adrienne akamwambia kesho nakushusha pale fanya ufanyalo usiwaue wale mapacha wala kuwadhuru nataka umtengeneze yule mama yao mpaka aingie kwenye kumi na nane zangu alafu nilipize kisasi, sawa?
Ikiwezekana chukua funguo kwenye sabuni niletee nikachonge, ili nijue naingiaje kule ndani.
Happy:Akashangaa kisasi gani hiki kama cha kimapenzi? Safaree mbona mimi na wewe tunapendana Yule mwanamke nae unampendaje?
Safaree: Tukimaliza mishe nitakupa kideo chote, sasa hivi fuata ninachokwambia kwanza maswali baadae.
KESHO YAKE:
Asubuhi saa 12 Adrienne anasikia hodi getini, mlinzi akafungua, akamwambia nataka kuonana na mama mwenye nyumba.
KESHO YAKE:
Asubuhi saa 12 Adrienne anasikia hodi getini, mlinzi akafungua, akamwambia nataka kuonana na mama mwenye nyumba.
Mlinzi: akimwangalia anamwona mchafu chafuu, subiri hapo hapo nje nikaulize.
Adrienne akaja getini, enhe unasemaje mami?
Happy: dada mimi natafuta kazi za ndani, usafi kupika zote naweza.
Happy: dada mimi natafuta kazi za ndani, usafi kupika zote naweza.
Adrienne: umetokea wapi alfajiri yote hii?
Happy: nimetoka Dodoma dada
Adrienne: Inamaana umetoka Dodoma moja kwa moja ukaja kwangu kuomba kazi?
Happy: hapana nilikuwa naishi na dadangu sasa shemeji akawa ananitaka, leo asubuhi akanifuata chumbani nikamsukuma, Dada akaja ugomvi ukaanza mimi nikaona nichukue kilicho change kwa haraka nikakimbia, ndio maana unaniona mchafu chafu nilikuwa napigwa na kuburuzwa na Dada.
Adrienne: akamwangalia akamhurumia, mchafu kweli kweli sio masihara nywele timu timu, akamhurumia akamwambia ingia ndani.
Happy: akaingia zake ndani, Mama mtu mzima aliekuwa analea watoto wa Adrienne alipomwona Happy akaona kama sio sawa, huyu dada kijijini gani ameweka relaxer?! Kweli watu wazima wana intuitions (Maono) ya ajabu, akaona asiingilie atakuwa anamkagua kwa siri mpaka mwisho.
Adrienne: karibu dada, utakuwa unalala humu na huyu mama, bafuni ni pale, kitanda chako ni hiki hapa, pole sana, basi jiandae uoge kwanza ukimaliza uje ukae na huyu Mama akuelekeze kazi nikitoka kazini tutaongea. Happy: Asante sana Dada yangu, nashukuru sana, moyoni anacheka kweli wajinga ndio waliwao.
Happy: nimetoka Dodoma dada
Adrienne: Inamaana umetoka Dodoma moja kwa moja ukaja kwangu kuomba kazi?
Happy: hapana nilikuwa naishi na dadangu sasa shemeji akawa ananitaka, leo asubuhi akanifuata chumbani nikamsukuma, Dada akaja ugomvi ukaanza mimi nikaona nichukue kilicho change kwa haraka nikakimbia, ndio maana unaniona mchafu chafu nilikuwa napigwa na kuburuzwa na Dada.
Adrienne: akamwangalia akamhurumia, mchafu kweli kweli sio masihara nywele timu timu, akamhurumia akamwambia ingia ndani.
Happy: akaingia zake ndani, Mama mtu mzima aliekuwa analea watoto wa Adrienne alipomwona Happy akaona kama sio sawa, huyu dada kijijini gani ameweka relaxer?! Kweli watu wazima wana intuitions (Maono) ya ajabu, akaona asiingilie atakuwa anamkagua kwa siri mpaka mwisho.
Adrienne: karibu dada, utakuwa unalala humu na huyu mama, bafuni ni pale, kitanda chako ni hiki hapa, pole sana, basi jiandae uoge kwanza ukimaliza uje ukae na huyu Mama akuelekeze kazi nikitoka kazini tutaongea. Happy: Asante sana Dada yangu, nashukuru sana, moyoni anacheka kweli wajinga ndio waliwao.
Labda Adrienne alikuwa na huruma lakini sio Yule Mama mzee. Mama mzee alikuwa anahisi ananyang’anywa kazi, akawa anamchunguza kwa macho matatu!
Happy alikuwa mzuri sana wa sura kuliko Adrienne akawa anafanya kazi kwa bidii mno, Yule mama mzee ananuna kweli.
JIONI BAADA YA KAZI:
Adrienne: kurudi nyumba saafi kuliko maelezo, akafurahi kweli Mungu kaniletea Malaika sio kwa usafi huu, akamwita Happy wakawa wanaongea barazani anamwuliza maswali akamwuliza mshahara akamwambia yoyote tu dada.
JIONI BAADA YA KAZI:
Adrienne: kurudi nyumba saafi kuliko maelezo, akafurahi kweli Mungu kaniletea Malaika sio kwa usafi huu, akamwita Happy wakawa wanaongea barazani anamwuliza maswali akamwuliza mshahara akamwambia yoyote tu dada.
Adrienne: akaona hapa hapa basi nitakulipa elfu 40 kwa mwezi, ila naomba nyumba iwe safi hivi hivi na watoto wawe safi.
Wakaelewana baadae akamwita Mama mtu Mzima, wewe kazi zako kwanzia leo ni kulea watoto tu sitaki uguse kazi nyingine, kufua, kupika, kuosha vyombo na kudeki nyumba ni kazi ya Happy.
Wewe utapikia watoto tu na kuwaogesha, wakakubaliana, akawaambia wiki hii nawapeleka kwa rafkiangu mkakae na wale watoto wengine, mimi nasafiri kikazi nitarudi baada ya wiki 1.
Nyumba nafunga naondoka na funguo.
Wakakubali sawa, Happy asijue anaenda kwa Doreen.
HUKO ULAYA:
Lucifer mambo yake yanaenda kama alivyopanga, sura kabadilishwa pamoja na Shawn, Pedeshee na James, akabakia Kimaro ambaye alikuwa amechelewa kuja wakaona ah haina haja saana.
HUKO ULAYA:
Lucifer mambo yake yanaenda kama alivyopanga, sura kabadilishwa pamoja na Shawn, Pedeshee na James, akabakia Kimaro ambaye alikuwa amechelewa kuja wakaona ah haina haja saana.
Wakamwambia aanze kuingia kwenye mishen, akapewa ramani tunamtaka gaidi muuza madawa ya kulevywa maarufu anaitwa KAKARACHA!
Tunataka kujua mitandao yake yoote na anahusika vipi na taifa letu! Pia anafundisha ujambazi baada ya masaa kupita akavalishwa waya aingie kazini na sura lake lile lile la kiafrika, uuuwi.
Kimaro akaenda na mbinu zake kwenye night club, kufika akawa mpole kama mgeni, akawa anaangalia mazingira kila mtu anamshangaa.
Kimaro akaenda na mbinu zake kwenye night club, kufika akawa mpole kama mgeni, akawa anaangalia mazingira kila mtu anamshangaa.
Wakaja ma-body guard wa Night Club, wakamwuliza unamtaka nani?
Kimaro: akawa anaambiwa apande wa 2 sema unamtaka KAKARACHA, akawajibu. Mabody guard wakacheka tu, kwani unamjua?
Kimaro: Nimetumwa toka Dubai, kumletea pesa zake, akafungua kwenye sanduku miheraaaaaa kibaoooooo, wakina Lucifer wako pembeni wanamskiliza, akaingizwa kwa kubwa la maadui KAKARACHA, kufika akamwona, eh mbona mfupi kama Emolo!
KAKARACHA: Jina?
Kimaro: AL JA HAJ.
KAKARACHA: Oh yah!, niliambiwa utakuja, KARIBU, UMELETA MZIGO WANGU
Kimaro: NDIO akafungua sanduku miheeera mi-dollars!
KAKARACHA: ok, umefanya vizuri sana, mimi ndio maana napenda wa Africa
Kimaro: yupo comfortable anacheka
KAKARACHA: na wa afrika wanadhania mimi ni mjinga sana, kama huyu, tangu lini Al JA HAJ akawa mweusi anawauliza wale ma body guard wake!
Mabody guard wanacheka tu, wanaongea kirusi. Akatoka mwanamke mzuuuri wa Dubai, akamwambia nimekuletea kitoweo chako utahangaika nacho unavyotaka, na hizo hela ni za kwako
Akina Lucifer washaweka mikono kichwani!
Kimaro: AL JA HAJ.
KAKARACHA: Oh yah!, niliambiwa utakuja, KARIBU, UMELETA MZIGO WANGU
Kimaro: NDIO akafungua sanduku miheeera mi-dollars!
KAKARACHA: ok, umefanya vizuri sana, mimi ndio maana napenda wa Africa
Kimaro: yupo comfortable anacheka
KAKARACHA: na wa afrika wanadhania mimi ni mjinga sana, kama huyu, tangu lini Al JA HAJ akawa mweusi anawauliza wale ma body guard wake!
Mabody guard wanacheka tu, wanaongea kirusi. Akatoka mwanamke mzuuuri wa Dubai, akamwambia nimekuletea kitoweo chako utahangaika nacho unavyotaka, na hizo hela ni za kwako
Akina Lucifer washaweka mikono kichwani!
Tobaa Kimaro anauawa, sasa tunamfanyaje, wakamwambia fanya ufanyalo toka hapo, Kimaro akajua hapa aanze kusali mapema tu maana sio kwa mziki ulokuwa unafuata:
Kimaro akajaribu kujipigania lakini wale ma-body guard wakamshinda nguvu, akakomaa mpaka mwisho wakabakia Mwanamke na KAKARACHA.
Kimaro akajaribu kujipigania lakini wale ma-body guard wakamshinda nguvu, akakomaa mpaka mwisho wakabakia Mwanamke na KAKARACHA.
Mwanamke anaondoka mieleka kuliko maelezo, Kimaro alipigwa alipigwaaaaaaaa mpaka hatamaniki kuangalia!
Mwanamke akamshinda akamvua shati anakutana na miwaya, akamwita KAKARACHA, this fucking CIA wapo tu na sisi bado!
KAKARACHA: Don’t disappoint Me.
Mwanamke: akachukua bastola akamwuua Kimaro akamkata kichwa akakifunga kwenye boxi, akarudi kwenye ile miwaya akawaambia mtakuta mzoga wenu sehemu akaitaja.
James, Shawn, Pedeshee na Lucifer wakachoka!
Tushampoteza Kimaro twafanyaje sasa? wakaenda kwenye ile address wakamtuma mtu mwingine kabisa wao wamekaa mbali, akaleta lile boxi likiwa na kichwa cha Kimaro!
Kila mtu anashika pua mwengine macho, wakaondoka kila mtu amechoka, wakarudi kujipanga upya!
TUONANE LEO BAADAE SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_______________________________ B. ASALI YA KUCHEPUKA NA LIMAO YA KISASI
Wiki ikapita Chanel akaruhusiwa kutoka hospital, Carrie akaja kumchukua wakadondoka kuelekea kwa Carrie.
Chanel ana mwili mzuri mimba hata haionyeshi ila ndio kaambiwa no team stress, awe anapewa maraha tu, habari mbaya hapana maana atapata tena miss carriage!
Wakamwangalia vizuri nyumbani kwa Carrie, kila siku Pedeshee anampigia mke wake simu maana tangu lile sambanga la Pedeshee eh wakaona hapa familia nayo muhimu kurudisha mapenzi.
HUKO DAR:
Lucifer akampigia Doreen simu kuwajulia hali, akaongea na Ivan.
Lucifer akampigia Doreen simu kuwajulia hali, akaongea na Ivan.
Ivan anashangaa mh baba imekuwaje maana akisafirigi huyu hata simu hapigi anapiga kwa mwezi mara 8. Alipomaliza kuongea na watoto wote, Doreen akachukua simu kuongea nae
Doreen: Mpenzi, nataka kusafiri kwenda Bondeni, kumsalimia Chanel na Carrie.
Lucifer: Sawa, unataka kwenda na watoto?
Doreen: Hapana nawaacha na mama yako, maana kule kuna mzazi, Chanel amepewa Bed Rest sitaki kuwapa mizigo mingine tena, alafu tunaenda kutoa Sadaka ya Shukrani Kanisani, sisi wamama tu.
Lucifer: akamtania kwani Mungu hataki kuona mmebeba watoto mnamshukuru?
Doreen: Umeanza ee!
Lucifer: Nakutania my everything, akaanza kumwimbia hapo nyimbo ya Mar J Blidge ya my everything, Doreen anafuraaahi mwenyewe asijue mbele kunanini akawa ana enjoy kila anapoongea na Lucifer, kila akipigiwa simu hakosi, sometimes akiwa na hamu zake wanafanya mapenzi kwa simu kutumia Skype!
Mtaa wa 3:
Usiku ukaingia, Peteroo anazidi kutuma mi meseji hajibiwi akipiga hapokelewi akimfuatilia Doreen kwenye meetings zake anaangalia tu anapita, dah sasa Peteroo akaona hapa nishafeli, ngoja niende Kanisani jamani Mungu ananikumbuke kidogo, sio kwa kurudishwa kwenye jemb!
Akaingia Church akawa anaongea na Mchungaji anafanyiwa counseling, akapata moyo wa kuendelea na misheni ya kishetani.
Bado siku 2 anatakiwa apeleke mrejesho, akawaza anafanyaje, atafute demu mwengine afanye ambacho Safaree anataka au?
Doreen usiku huo akawa mpweke ingawa ametoka kuongea na Lucifer ila sio sawa kama wakiwa wanaonana live. Akapiga akili afanyaje akakumbuka maneno ya Carrie, ukichepuka usiseme kwa Mumeo huezi jua huko alipo anafanya nini?
Doreen usiku huo akawa mpweke ingawa ametoka kuongea na Lucifer ila sio sawa kama wakiwa wanaonana live. Akapiga akili afanyaje akakumbuka maneno ya Carrie, ukichepuka usiseme kwa Mumeo huezi jua huko alipo anafanya nini?
Mh halikumwingia akilini lile darasa la Carrie ila akaamua basi bwana, akashika simu anaona simu ya Peteroo, akaamua kuipokea:
Doreen: Kaka unasemaje mbona unasumbua sana?
Peteroo: mrembo dah asante kwanza kwa kupokea simu yangu
Peteroo: mrembo dah asante kwanza kwa kupokea simu yangu
Doreen: shida nini?
Peteroo: Naomba plz tuonane hata kwa kinywaji tu uniskilize nachotaka kukwambia, njoo basi hapa Moven Pick
Doreen: Siwezi
Pedeshee: Au nije kukupitia? Maana usiku sio vizuri ukaendesha gari mwenyewe, mrembo wa watu wasije wakakutenda ubaya.
Doreen akakata simu.
Doreen: Siwezi
Pedeshee: Au nije kukupitia? Maana usiku sio vizuri ukaendesha gari mwenyewe, mrembo wa watu wasije wakakutenda ubaya.
Doreen akakata simu.
Petero: Doh wadada wa-Kibongo wangekuwa kama huyu dada, wanaume tungeoa na kutulia, demu ana msimamo hataree!
Akaendelea kupata zake kinywaji anawaza atarudije kijijini, maana kwake maisha ya mjini ni kama Mbinguni.
MTAA WA 3:
Adrienne nae upweke upwekeni anatamani safari ije aondoke tu maana sio kwa miezi 10 ile. akampigia Doreen simu hapatikani, akitaka kumpigia Jon anaogopa, akaamua kutoka out usiku ule ilimradi abadilishe mazingira.
Adrienne nae upweke upwekeni anatamani safari ije aondoke tu maana sio kwa miezi 10 ile. akampigia Doreen simu hapatikani, akitaka kumpigia Jon anaogopa, akaamua kutoka out usiku ule ilimradi abadilishe mazingira.
Ile anatoka tu bibie Happy akamtumia meseji Safaree, dada anatoka ila sijui anaenda wapi akamtumia namba ya gari alilokuwa anaendesha Adrienne.
Safaree: akachangamsha akili anawaza atakuwa anaenda wapi akawa anabahatisha ngoja nikamcheki Hyatt Regency kwanza alafu baadae naenda Moven Pick nikitoka narudi Kunduchi ila nyumba yake ipo Masaki kuja Kunduchi ni ndoto, akajaribisha mizinga yake akamkuta mtoto katulia Hyatt Regency kama kawaida amependeza anawaka.
Safaree akamfuata, akamsalimia shemeji kumbe na wewe upo huku?
Adrienne: akashtuka, eh shemeji karibu huku anaogopa maana Safaree nae mibangi sana. Wakasalimiana wakawa wanaongea, baadae akaja kijana mmoja, akamsalimie Adrienne.
Adrienne: ah karibu Jeff! Nimekusubiri mara akatokea shemeji yangu, karibu sana vipi umekuja na yale makaratasi ya ofisini?
Jeff: akaenda na flow, ndio haya hapa, akamsalimia Safaree, Safaree akampisha Jeff akae, wakawa wanazuga wanaongea mambo ya ofisi mpaka Safaree akaondoka zake anasema kweli sina bahati bora nibakie na Happy tuanze maisha, mke wa kakangu mwaminifu mpaka usiku anapiga kazi! Akaondoka yupo proud na shemeji yake hata kile kisasi hataki tena kukifanya.
Jeff: akaenda na flow, ndio haya hapa, akamsalimia Safaree, Safaree akampisha Jeff akae, wakawa wanazuga wanaongea mambo ya ofisi mpaka Safaree akaondoka zake anasema kweli sina bahati bora nibakie na Happy tuanze maisha, mke wa kakangu mwaminifu mpaka usiku anapiga kazi! Akaondoka yupo proud na shemeji yake hata kile kisasi hataki tena kukifanya.
Akiwa anarudi kwenye gari mara simu yake ikalia, kucheki ni Don Lucifer.
Lucifer: Nataka umpandishe Stan kesho jioni aje Mexico, na wewe utakuja wiki ijayo, uje na plan sawa?! Plan ya kumfunga paka kengele, naamini hela unazo mlete Stan huku kesho usiku aondoke Bongo.
Safaree: Sawa boss.
MTAA WA 2:
Peteroo anapata Amarula, mara akasikia simu inaita akajua Safaree kumbe Doreen.
MTAA WA 2:
Peteroo anapata Amarula, mara akasikia simu inaita akajua Safaree kumbe Doreen.
Doreen: Uko wapi mimi nimekaa restaurant hapa, hapo saa 2 usiku.
Peteroo: Nakuja mama nisubiri nilienda Msalani ndio natoka. akajua maombi yamejibiwa kufika Restaurant anamkuta mtoto kapendeeezaaaa mwake babake!
Akafika akamsalimia akamwambia twende bar huku naona wanafunga saa tatu au una njaa tubakie tu hapa?
Doreen: Hapana nimekuja kukuskiliza alafu sitakaa nawahi nyumbani, ongea fasta, amenuna lakini anahamu balaa.
Peteroo nae sio wa masihara, mweupe mrefu, kajazia kidogo lakini sio kama Lucifer, mzuuuri handsome!
Akatembea mbele Peteroo nyuma anamwangalia huku anatikisa kichwa sio kwa wowowo lile! Wakaongozana kufika kwenye lift Peteroo akaanza kumdandia Doreen kwa nyuma mara anambusu mgongoni Doreen akajinyofoa akamzaba kibao, unikome nyau we, embu hii lift irudi chini.
Peteroo: ikabidi atumiage nguvu tu maana mwanamke kakomaa, lift ikafika juu Peteroo akaifunga ikarudi chini, Doreen akapewa raha mpaka akalainika, lift ilipofika chini Peteroo akairudisha tena juu kuelekea chumbani.
Mpaka kufika chumbani kila mtu kakolea.
Mpaka kufika chumbani kila mtu kakolea.
Doreen akakumbuka condom, wakaingia chumbani akatoa condom akamvalisha anamwambia sichezagi mechi bila kuvaa viatu!
Peteroo: kama kawa Mungu kamneemea akawa ameshaweka camera kabisaa inarekodi kila kitu Doreen hajui kitu.
Chezo likapigwa la kufa mtu, moyoni Doreen akawa anajiskia guilty baadae akakumbuka maneno ya Carrie, akaamua kujiachia.
Peteroo nae noumer, sio kwa ile mechi, Doreen akajiambia hata Jamaes hakuwahi kumpaisha kama Peterooo anavyompaisha!
Baada ya game Doreen nguvu zikamuisha, hamu ya kuamka kwenda kwake hana akaamua kulala pale pale, ikampa muda wa Peteroo kumpiga mapicha akiwa utupu na kumrekodi akiwemo na yeye ndani yake.
Doreen alijisikia kama a complete woman sio kwa ule ukame dadeki.
MTAA WA 3:
Adrienne wakahakikisha Safaree kaondoka wakapanda hotelini kwenye chumba alichokuwa amefikia Jeff.
MTAA WA 3:
Adrienne wakahakikisha Safaree kaondoka wakapanda hotelini kwenye chumba alichokuwa amefikia Jeff.
Jeff bwana anafanyaga kazi na Adrienne muda mrefu sana, anampendaga sana Adrienne lakini Adrienne yupo na Shawn!
Jeff alimsubiriaga Adrienne akamwambia sita oa mpaka umeolewa, Adrienne akaja kuolewa na Shawn na kuzaa watoto ndipo Jeff akaoa ingawa aliumia sana, sio kwa kumsubiria kule Adrienne.
Kwa sasa ndoa ya Jeff sio kiviiile, mke aliemuoa ni mkuuubwa kwake kiumri amempita miaka 4, alafu mwanamke dume jike shiida tupu, ndani yeye ndio ana control kila kitu, akija ofisini anamwona Adrienne msafi, mrembo, amezaa lakini kama hajazaa. Mkewe mchafu kweli kweli, nyumba kama pango kweusii na Muda mwingi anatungaga safari za Nje na mikoani, anaishia kulala hotelini na hivi hawana hata mtoto anatamani hata Adrienne angemzalia mtoto mmoja mkali kama Alivyo Adrienne!
Mechi ikapigwa ya nguvu ya hasira maana Jeff nae bwana hehe aya tu alikuwa analipiza yale yooote ambayo alikataliwa na Adrienne!
Adrienne akatumia nafasi ile kweli kweli kwenye kitanda maana anajua once is a chance, twice is a mistake na hajui kama watafumaniwa na mke wa Jeff au la!
Jeff akakatiwa mauno mpaka maana alimchukulia Msukuma wa watu for granted! Kumbe havumi lakini yumo!
Doreen akashituka, kuangalia saa ni saa 11 inaenda narobo akakusanya chake akavaa fasta akaondoka akamwacha peteroo kalala kama pono, ile anatoka anasikia kitu kimeanguka puuu, kuangalia akaona ni Camera, akaenda akaichukua akaondoka nayo!
HUKO ULAYA:
Wabongo wakajipanga upyaaa! Maana sio kwa ile shingo waliotunukiwa, wakasema sasa kama demu anaweza ua kijana lazima tumtafute na sisi demu atakayeweza kumthibiti, si unajua dawa ya moto ni moto?! Wakapanga mikakati wakaambiana ngoja tuendelee kuumiza kichwa nani anaweza ku act nafasi ya mwanamke! Wakaendelea kujipanga huku wanajilaumu kwanini hawakumvisha Kimaro sura bandia, labda saa yake ya kurudisha namba kwa sir God ilifika.
HUKO ULAYA:
Wabongo wakajipanga upyaaa! Maana sio kwa ile shingo waliotunukiwa, wakasema sasa kama demu anaweza ua kijana lazima tumtafute na sisi demu atakayeweza kumthibiti, si unajua dawa ya moto ni moto?! Wakapanga mikakati wakaambiana ngoja tuendelee kuumiza kichwa nani anaweza ku act nafasi ya mwanamke! Wakaendelea kujipanga huku wanajilaumu kwanini hawakumvisha Kimaro sura bandia, labda saa yake ya kurudisha namba kwa sir God ilifika.
HUKO BONGO:
Doreen akafika nyumbani akajiandaa na kwenda kazini, akamuaga Ivan akaenda kumwamsha Sandra akamsalimia, bado ana mausingizi, akamwambia maid wake mwache alale, akaondoka kwenda ofisini na ile camera, kufika anaifungua hivi doh! alitamani kulia!
Doreen akafika nyumbani akajiandaa na kwenda kazini, akamuaga Ivan akaenda kumwamsha Sandra akamsalimia, bado ana mausingizi, akamwambia maid wake mwache alale, akaondoka kwenda ofisini na ile camera, kufika anaifungua hivi doh! alitamani kulia!
Doreen: Yeeeesu na Mariaaa nini hiki? Huyu mwanaume mshenzi kabisa sitaki hata kumwona kwanza nitamfunga, ila akafikiria namfungaje sasa?! Akachomoa memory card, akaenda IT Department akaomba waiwashe, wakaiwasha hamna kitu, akaenda chukua nyundo akaiponda ponda ile camera, watu wanamshangaa akaokota makapi akaweka kwenye mfuko akaweka kwenye pochi yake akabakia na memory card ameificha kwenye bra katikati ya maziwa yake, saa ya lunch hakula pale ofisini akaenda baharini Coco Beach kuyamwaga yale makapi ya camera, akarudi kwenye gari anaona sms inaingia, Last night you were amazing! Akasonya mxiiiiiiiiiiiiuuu! Hakujibu akaingia kwenye gari akarudi zake kazini.
TUONANE KESHO TAR 28 AUGUST 2018 SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
_______________________________
C. LIMAO YA KAZI NA ASALI YA MAOMBI
Safaree akawazaaaaa wee na kuwazua akaona Zubeda anaweza ku-fit kwenye ile mishe anayoiendesa Stan na kama atajaribu kuongea na Don Lucifer akakubali itakuwa bonge la movie maana Zubeda kwa kurubuni waume za watu ni nambari one. Akajiuliza atamfanyeje Adrienne mbona mwaminifu ivo kwa mumewake, akaanza kujiskia guilty kitendo cha kumuweka happy pale kumuharibu Adrienne lakini it’s too late atamtoaje pale?
Mara simu ikaingia ya Peteroo
Petero: Boss nataka kuja kukuona.
Safaree: Akamwelekeza alipo Peteroo akaenda. Safaree anahitaji gawiwo lake Peteroo hana, Safaree akamwambia umekuja kunitania au?
Peteroo: kila kitu kilienda sawa, akamwonyesha picha za kwenye simu lakini zile za video asubuhi naamka siioni camera huenda Doreen aliondoka nazo!
Safaree: akajisemea huenda kweli maana nimeshaonyeshwa picha za kwenye simu sidhani kama anadanganya. Naskia Doreen anaenda bondeni, kuna kazi moja nataka kukupa ya nyumbani kwa Carrie iyo ukiishindwa basi tena mimi na wewe tunaagana.
Peteroo: Sawa boss hamna neno.
Safaree: Baada ya wiki 1 kuisha nitakwambia uende Bondeni ukaifanye kwa sasa kata mawasiliano na Doreen hata akikupigia achana nae, kuna demu anaitwa Carrie nataka kumfanyia surprise ya kufa mtu, maana alijidai kimbelembele anakuja na mapolisi kunifunga.
HUKO OFISINI:
Adrienne yupo buzy ofisini mara Jeff anakuja kumchungulia anamtania, mara anamtext kwenye simu jana usiku ulikuwa amazing balaa, na leo tena au sio mama twins!?
HUKO OFISINI:
Adrienne yupo buzy ofisini mara Jeff anakuja kumchungulia anamtania, mara anamtext kwenye simu jana usiku ulikuwa amazing balaa, na leo tena au sio mama twins!?
Adrienne: hakumjibu akisoma anacheka anaendelea na kazi, lunch time Jeff huyoo, nataka kukutoa Lunch.
Adrienne:Jeff embu niache mbona unakuwa kama mtoto sasa haya mambo yakiendelea tutagundulika utaniletea balaa ofisini, haujui kuwa nimeolewa, haya mambo ya huko usilete hapa ndani. Alafu mimi leo usiku nasafiri nachukua likizo ya wiki 2 naenda Afrika kusini, haitawezekana kuonana tena.
Jeff: Akachoka! unaenda na nani?
Adrienne: Na rafiki yangu.
Jeff: Asee na mimi lazima nije weekend moja japo nikupooze si unajua mumeo akija ndio yale yale ya baba jeni bai bai.
Adrienne: Akacheka, sawa tutazidi kuwasiliana whatsapp!
Jeff huyoo akasepa zake, Adrienne akaanza kusema eh michepuko mingine classic hata bondeni inagaramia kuja! Du! akaendelea na kazi hata lunch hakwenda ili atoke mapema aende kujiandaa nasafari.
MTAA WA 3:
Doreen akatoka mapema ili kujiandaa na kuwaangalia watoto na kuwapokea watoto wa Adrienne. Baasa ya dk 20, Adrienne na team yake wakaingia, Doreen anashangaa dada wa kazi kama huyo kamtoa wapi? Kha! Shepu kama nyumba ya sanaa?! Shawn akija atakutana na balaa kwake sio kwa Msambwanda ule!
Doreen akatoka mapema ili kujiandaa na kuwaangalia watoto na kuwapokea watoto wa Adrienne. Baasa ya dk 20, Adrienne na team yake wakaingia, Doreen anashangaa dada wa kazi kama huyo kamtoa wapi? Kha! Shepu kama nyumba ya sanaa?! Shawn akija atakutana na balaa kwake sio kwa Msambwanda ule!
Wakaonyeshwa pa kulala, wakawaaga watoto na maagizo kwa maids na mama mkwe wa Doreen haoo wakapelekwa na body guards wa Lucifer airport.
Ndani ya pipa warembo wamedondoka business class, wakaanza kuongea jinsi gani hii vacation imewasevu maana sio kwa malezi yale na upweke ule!
Wakafika bondeni salama na kupokelewa na Carrie. Carrie kwani utamjua? Kapunguaaaa, mara ya mwisho alikuwa bongenyanya sababu ya uzazi lakini sasa hivi kawa potabo! Kawa mzuri amependeza, George ana matunzo mazuri hatari!
Doreen: Mimi nataka kulala na Adrienne maana mambo ya kuwa mpweke siwezi au huna chumba kikubwa zaidi tulale watatu na Chanel maana dah tuna mengi ya kuongea.
Wakafika bondeni salama na kupokelewa na Carrie. Carrie kwani utamjua? Kapunguaaaa, mara ya mwisho alikuwa bongenyanya sababu ya uzazi lakini sasa hivi kawa potabo! Kawa mzuri amependeza, George ana matunzo mazuri hatari!
Doreen: Mimi nataka kulala na Adrienne maana mambo ya kuwa mpweke siwezi au huna chumba kikubwa zaidi tulale watatu na Chanel maana dah tuna mengi ya kuongea.
Carrie: aka arrange chumba kikubwa akawaweka marafiki zake wote 3 walale pamoja, wakawa wanatia stori hapo mume wa Carrie akaja kuwasalimia.
George: Namwiba mke wangu usiku umeenda mtaongea kesho.
Wenzake: Ooooh! Love Birds! Ok Byeeee have fun, lakini hawakulala, Chanel anataka umbea wa Bongo, Doreen na Adrienne wanataka umbea wa Chanel, wakaishia kulala saa 8 usiku.
HUKO ULAYA:
Shawn akapewa mchongo kwamba KAKARACHA ana kikao cha kugawa mizinga kwahiyo yeye kwakua ana sura ya kirusi tayari anatakiwa aende… akapewa jina feki la mtu ambae alitakiwa kuwe kwenye kikao lakini walimkamata wakamfunga, wakatengeneza sura kama ya huyo mtu wakamvisha miwani kumbe miwani ina kideo cha kuzoom matukio.
HUKO ULAYA:
Shawn akapewa mchongo kwamba KAKARACHA ana kikao cha kugawa mizinga kwahiyo yeye kwakua ana sura ya kirusi tayari anatakiwa aende… akapewa jina feki la mtu ambae alitakiwa kuwe kwenye kikao lakini walimkamata wakamfunga, wakatengeneza sura kama ya huyo mtu wakamvisha miwani kumbe miwani ina kideo cha kuzoom matukio.
Shawn akiwa anasikiliza na kuangalia na wao huku nyuma ya pazia wanaona kila kitu, roho inamdunda anahisi yatamkuta ya Kimaro huku anaomba Mungu.
Kufika anaambiwa weka finger prints zako kujua kama ni wewe au la. Akaweka finger prints zake inakubali, kumbe waliitengeneza finger print feki ya muhusika!
Wakiwa kwenye kikao secretary akawakaribisha akajitambulisha, akawapa maelekezo baada ya muda akamkaribisha kubwa la maaduiKAKARACHA.
KARAKACHA bwana anaongea kirusi ila mimi nasimulia Kiswahili!
Akaendelea na mada, tuna mpango wa kufanya hiki na kile kwa mwaka huu, tunachotaka ni connection kubwa Duniani kote, nitawale mimi.
Mpaka sasa sijaelewa connection ya Afrika Mashariki anayo nani?
Akaulizwa muhusika akasimama, Shawn anamwangalia kwa makini na wale wenzake nyuma ya pazia wanaona kwenye kideo kilichowekwa kwenye miwani yake!
Wanashangaa mfanyabiashara maarufu Afrika Mashariki ndio gaidi anaeharibu watoto wa watu. wakina Lucifer buzy wana rekodi.
Yule jamaa akaambiwa wataje watu wako, akawataja wote akafika waBongo akataja Kimaro, Safaree, Zubeda, Happy, Peteroo!
Lucifer kusikia akasema tobaa!
KAKARACHA: Kimaro kumbe ni wa kwetu, nimemuua juzi hapa alikuja amevalishwa waya nama snitch, aliuawa na huyu mpenzi wangu, akatokeza Yule dada kumbe ni Mwafrica mwembamba, anaitwa Sungura!
Sungura ni karembo kananikumbusha Africa, kametokea Bongo, akina Lucifer wakasema tobaa, wanashika vichwa!
Karakacha: Huyu ni jembe, anavyopenya Afrika Mashariki hana mpinzani mpaka sasa. Jamaa akaendelea kuwataja wa Kenya na Uganda na Rwanda na Burundi, wengine waliotajwa walikuwa mabosi zake Lucifer basi mvurugano wa kufa mtu!
Lucifer: akajiambia kweli mtandao wa uhalifu hautaisha! Hadi ma boss wangu sasa nitashtaki kwa nani? Nashukuru niliemwachia urithi wa familia yangu hayupo humu, maana ningezimia.
Magaidi wakaendelea kupanga mambo yao kila mtu akapewa jukumu lake kama mwanachama na nini cha kufanya na akiwa na swali wapi pa kuuliza na pesa kiasi gani wanatakiwa walete!
Magaidi wakaendelea kupanga mambo yao kila mtu akapewa jukumu lake kama mwanachama na nini cha kufanya na akiwa na swali wapi pa kuuliza na pesa kiasi gani wanatakiwa walete!
Baadae kikao kikaahirishwa kitafanyika tena baada ya miezi miwili New York City!
Shawn akatoka zake salama akarudi mpaka kazini kwake wakampongeza; mwenyewe anapumua anajua maji ya shingo yameisha hakujua kuwa mbele kuna bahari inamngojea!
Wakaendelea kupanga mikakati ya kuwafunga hao wabongo lakini lazima wawe na ushahidi, wakaendelea kuumiza kichwa!
HUKO BONDENI:
Kumekucha, warembo wakaamkia mezani baada ya kujipodoa, Chanel ananjaa utadhani anaishi Sudani! Chai ikaisha wakaingia sebuleni kupiga umbea,
HUKO BONDENI:
Kumekucha, warembo wakaamkia mezani baada ya kujipodoa, Chanel ananjaa utadhani anaishi Sudani! Chai ikaisha wakaingia sebuleni kupiga umbea,
Carrie: enhe niambieni wabongo manendeleaje na upweke wa kuchwa na waume zenu huku anacheka.
Wenzake: Tumeona jana vitu vyako, mume kaja kukuiba akaondoka na wewe! Tunakutamania,
Carrie: kapanda bichwa hamna bwana kawaida tu! Wakamsifia mahusiano yake na nyumba yake nzuuri, kuuubwa, baadae wakapanga wakaongee na Pastor Kanisani kuhusu Sadaka ya Shukrani na kuzunguka mjini ila Chanel atakaa kwenye gari muda mwingi maana kutembea haruhusiwi sana.
Doreen: kwakweli tukamshukuru tu Mungu maana maisha ninayoishi ni ya aibu, akaanza kuelezea mchepuko wake na Peteroo na jinsi alivyomrekodi Mungu saidia ile camera ikaanguka wakati anatoka akaiokota, akaanza kuwaonyesha video wenzake wakachoka. kweli sadaka ya shukrani imekuja wakati sahihi.
Doreen: kwakweli tukamshukuru tu Mungu maana maisha ninayoishi ni ya aibu, akaanza kuelezea mchepuko wake na Peteroo na jinsi alivyomrekodi Mungu saidia ile camera ikaanguka wakati anatoka akaiokota, akaanza kuwaonyesha video wenzake wakachoka. kweli sadaka ya shukrani imekuja wakati sahihi.
Carrie: enhe na wewe Adrienne tuambie.
Adrienne:Mimi namshukuru Mungu kwa yote lakini kibaya ni kama Doreen kuna bwana hana ndoa nzuri ndio nipo nae nikiskia hamu nampigia, anaitwa Jeff, ila ni king’ang’anizi nahisi ataniharibia ndoa jana nilikuwa nae Hyatt Regency Hotel kidogo tubambwe na shemeji yangu Safaree! Nikazuga lakini nimemsikia anasema anataka kuja ila simwamini.
Carrie na Chanel wakacheka, kweli nyie watu mnachekesha, kuchepuka kidogo tu mnatubu namna hii utadhani mabikira mliotenda dhambi sasa mmekamatwa na bwana Yesu mnaanza kutubu.
Chanel akaulizwa we unajikimu vipi maana mimba pia inahitaji.
Chanel: Nipo na bi-kidude hapa ni mi stori tu, hataki hata kunipa namba ya Mark aje anibatize anasema anamwogopa Mark basi nimejaa mahamu hapa naweza jaza simtank la lita 10,000, wenzake wakacheeka maskini Chanel pole bwana bora sie tunaopunguza dhambi zetu kwa majirani Pedeshee akija atapasuka, maana itabidi aogelee tu sasa!
Carrie: Mimi sina la kusema yani nikitaka tu hata ofisini namfuata tunajibanza kwenye tainted ya gari tunafungua a/c mambo yanaenda anarudi ofisini mimi narudi kulea mjamzito hapa. wakamwuliza kwanini hampi Chanel namba ya Mark,a akawa anazuga hataki kusema.
Carrie: Mimi sina la kusema yani nikitaka tu hata ofisini namfuata tunajibanza kwenye tainted ya gari tunafungua a/c mambo yanaenda anarudi ofisini mimi narudi kulea mjamzito hapa. wakamwuliza kwanini hampi Chanel namba ya Mark,a akawa anazuga hataki kusema.
Doreen akamnyang’anya Carrie simu akaitafuta namba ya Mark akaipata akachukua simu ya Chanel akaanza kuisavu!
Chanel: Anacheka, sasa Doreen unataka Mark aogelee kwenye simtaki we vepee?
Wote: Wanacheka baadae hao wakashuka kwenda Kanisani kuongea na Pastor kuhusu Sadaka ya Shukrani.
Kufika kwa Pastor akafungua kwa maombi kama traditional ya walokole inavyosema, baadae akaelezwa ujio, akakubali akawapa tarehe, akawapongeza kwa kumkumbuka Mungu, akaanza kuwaombea mmoja mmoja.
Kufika kwa Pastor akafungua kwa maombi kama traditional ya walokole inavyosema, baadae akaelezwa ujio, akakubali akawapa tarehe, akawapongeza kwa kumkumbuka Mungu, akaanza kuwaombea mmoja mmoja.
Pastor: Alipofika kwa Carrie akaguna! Mh! Mama naomba uombe sana kuna hatari mbaya mbele yako unaweza ipoteza familia yako yote, omba Mungu akusaidie.
Akafika kwa Chanel akamwambia utajifungua salama mtoto wa kiume wewe na mumeo mtaishi maisha mazuri sana, ila mumeo haupo nae sasa, jitahidi ukae kwenye uaminifu wa ndoa la sivyo utampoteza moja kwa moja, ila mumewako anakupenda sana wewe na mtoto mtarajiwa. Chanel akasema sawa ila mimi kufunga siwezi labda niombe tu kawaida.
Pastor: Sawa vyovyote ilimradi uombe.
Akaja kwa Adrienne akamwambia mumeo ni mtu mzuri na Mungu ameshamponya na hatari mbaya sana, kaa kwa uaminifu kwenye ndoa, usichepuke unaweza pata mimba ingine ikaja kuleta shida kwa mumeo na ikatokea ukapata mimba usiitoe watoto wote ni wa Baraka wanatoka kwa Mungu.
Akaja kwa Adrienne akamwambia mumeo ni mtu mzuri na Mungu ameshamponya na hatari mbaya sana, kaa kwa uaminifu kwenye ndoa, usichepuke unaweza pata mimba ingine ikaja kuleta shida kwa mumeo na ikatokea ukapata mimba usiitoe watoto wote ni wa Baraka wanatoka kwa Mungu.
Adrienne: akawa anashangaa!
Pastor: Nakushauri ufanye maombi ya Shukrani kwa Mungu na ombea familia yako ulinzi wa Mungu.
Pastor: Akaja kwa DOREEN, akanza kuguna, roho inamuuma, sana sana, akaanza kulia, warembo wanamshangaa, ikabidi akae chini.
Doreen: anamshangaa haelewi huyu Pastor mwanga au psychic?!
Pastor: akanyamaza kwa muda alafu akarudi kwa Doreen, akapiga maombi sanaaaa kama dk 20 warembo wakaamua wakae chini maana walisimama.
Pastor: Doreen, unampenda mumeo mtarajiwa kwa dhati?
Doreen: Ndio.
Pastor: Basi kama atarudi umpokee kama alivyo, kazi anayoifanya ni ngumu sana na itamgharimu maisha yake kutoka, lakini maombi ni kila kitu kila siku mwombee mumeo mtarajiwa, ukae kwa uaminifu usichepuke atarudi salama kama utakaa kwa uaminifu!
Doreen: sawa na kuyashika vizuri maneno alioambiwa moyoni mwake, maana sio kwa lile chozi la Pastor!
Baadae wakaruhusiwa wakaondoka, njiani wanaanza kuulizana;
Baadae wakaruhusiwa wakaondoka, njiani wanaanza kuulizana;
Carrie: Hivi mara ya mwisho wenzangu mlifunga lini na masaa mangapi? Maana mimi nakula kama pipa.
Wenzake: wakacheka, wakamwambia Doreen usijali bwana yale machozi ya Pastor ni manukato kwa Mungu yataenda kumponya mumeo mtarajiwa, wakamtia moyo; Baadae Carrie akamwambia Chanel, umeskia hamna kuchepuka sasa hio namba ya Mark uifute! Wakaanza kucheka wanamcheka Chanel.
TUONANE LEO SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_______________________________
D. LIMAO YA KISASI NA ASALI YA SADAKA YA SHUKRANI
D. LIMAO YA KISASI NA ASALI YA SADAKA YA SHUKRANI
Safaree na mipango yake ya kishetani akapata akili ya kufanya.
Akamwambia Zubeda kila akitoka kazini awe anaenda gym, wanapiga mazoezi, ikawa ndio kama kawaida yao, wakapiga mazoezi wiki nzima baadae akawafanyia mazoezi ya vita yeye na Peteroo wakimsaidia Zubeda.
Zubeda haelewi kuna nini ila ndio anatii amri, mazoezi makali, vyuma vimemkaza balaa. Afya yake ikaanza kusinyaa wakabadilishiwa diet ya chakula.
Sikumoja Adrienne ameamka roho yake inamuuma kama inataka kutoka, akatoka nje ya chumba wanacholala, akaenda kukaa kwenye swimming poo, akaanza kusali, piga maombi anakemea shindwa kwa jina la Yesu ombea family yake yote na ya Doreen, Chanel, Carrie.
Sikumoja Adrienne ameamka roho yake inamuuma kama inataka kutoka, akatoka nje ya chumba wanacholala, akaenda kukaa kwenye swimming poo, akaanza kusali, piga maombi anakemea shindwa kwa jina la Yesu ombea family yake yote na ya Doreen, Chanel, Carrie.
Mean while
Nyumbani kwa Doreen, mama mkwe siku moja alitoka na mfanyakazi wa Adrienne Yule mama mtu mzima, wanaenda kununua vitu supermarket, akabakishwa kubwa la maadui Happy.
Happy: Hawa watoto mapacha majinga wananisumbua, makelele kibao, hawa watakuwa watoto wa hawara ya Safaree, leo lazima niwapeleke kiti cha Enzi.
Akawachukua akawafunga mdomo akawadumbukiza kwenye friza, kwa muda wa dk 2 akidhamiria kuwaua, akiwa anasubiria wafe akasikia bonge la ngumi hakuelewa limetoka wapi, maana alijua amebakia mwenyewe nyumbani kumbe kuna Body guard mmoja anakaa stoo anaangalia nyumba kwenye camera, akaona jinsi alivyokuwa anawafunga anawadumbukiza akakimbia kwenda kuwaokoa watoto.
Happy akapigwa ngumi utadhani anapigana na mwaume mwenzake, kaanguka Chini, alipigwa miteke ya tumbo, kichwa, mgongo, akachukua chupa ya chai akampiga nayo, sahani anampasulia nayo.
Happy alijua anakufa, Body guard akaenda kuwatoa watoto akakuta wamezima, akawafunika na blanketi akarudi kumfunga happy akaenda kumtumbukiza kwenye shimo alilowekwaga James na Safaree.
Body guard akawapeleka watoto hospitali fasta, wakawapokea wakawakimbiza theater yeye akasubiri nje, akalipa hela huku madokta wanafanya yao, Body guard akampigia Adrienne hapatikani kumbe Adrienne alizima simu yupo buzy na maombi, akimpigia mama mkwe hapatikani.
SIKU YA SADAKA YA SHUKRANI:
Warembo wakaamka, imefika siku ya kwenda kutoa sadaka ya shukrani, wakajiandaa wakaingia Kanisani na George alikuwepo.
Ibada ikaanza na nyimbo za kusifu, wakaimba wee si unajua makanisa ya walokole, mnaimba hataree, baadae neno ikafuatiwa na Sadaka Shukrani, wakaitwa warembo wakaenda mbele kila mmoja akaongea kwa nafasi yake.
Carrie wa kwanza: Kwa kuokoa muda naomba niongee mimi alafu wengine wataongea kifupi.
Doreen: Uuuwi!
Carrie: Miaka 4 iliopita tulikuwa tunahangaika na maisha, wengine kazi kama Doreen, hatupati waume wa kutupenda tunapata vituko tu, sikumoja tukiwa Bongo tukaamua kwenda kwenye Mkesha Tz kumwomba na kumlilia Mungu, Mchungaji akatutabiria kwa imani kuwa wote tutaolewa tuamini tu!
Haikupita wiki, kila mtu akapata Mchumba kasoro Adrienne.
Adrienne: akacheka akamwambia Chanel Mungu wangu huyu anaharibu!
Carrie: Baada ya mwaka nikaolewa mimi, akafuata Adrienne akafuata Chanel sasa amebakia Doreen lakini ameshachumbiwa, wote Mungu ametubariki kwa waume wazuri sana, wanatupenda sana, tunashangaa kwanini Mungu amejibu zaidi ya tulivyoomba hatustahili kupata hawa waume kwakweli, wametupenda, wametuvumilia, wametusaidia, wametubeba kama Yesu mwenyewe anavyolibeba Kanisa lake
Waumini: aaaaameeeen, wanashangilia!
Carrie: Asante, yani tunamshukuru sana Mungu asante asante asante asante tunamtukuza sana Mungu wetu, asante haitoshi ila mioyo yetu imejaa mioyo ya shukrani kwa Mungu wetu.
Mume wangu ni mpole sana ila ukitaka kuujua ukali wa mumewangu George, George akasimama akapunga, njoo unidhuru uone!
Waumini: wakacheka.
Carrie: Nimebarikiwa kupata watoto 3, mmoja wa kiume Junior akasimama, wengine ni mapacha wangu warembo, ikabidi Mama Mkwe wa Carrie asimame nao.
Wauamini: wakapiga makofi wa wa wa!
Pastor: akaona Carrie hamalizi, akatia Haleluya mshukuruni Bwana kwa makofi na vigelegele, Waumini: akina mama wapo alililiiiiii, aaaameeeen haleluyaaah Bwana Utukuzwe.
Baada ya makofi na mashangiliano kuisha Carrie akaendelea.
Carrie: Tunamtukuza Mungu kwa kujibu maombi, kwa Ulinzi wake na Baraka zote alizotupa, tunampenda sana Mungu na mwanae Yesu Kristo kwa kutuhurumia na kutupa Favor pale ambapo hatukustahili!
Kila siku ndoa ni mpya kwetu sijajua kwa wengine lakini kwangu na mume wangu kila siku tunaziona fadhili za Bwana maishani mwetu, kwenye familia na ndoa zetu. Basi kusema hayo nampa kipaza zauti Mama kijacho Chanel aongee maana hawezi kusimama muda mrefu.
Adrienne: it’s about time amejua huwezi simama muda mrefu! Mtu anaongea kama redio bwana miguu inaniumaje na hivi viatu virefu!
Chanel: Namshukuru Mungu amenipa Mume mzuri sana sikustahili, ni upendeleo mkubwa sana kwangu.
Waumini: wakapiga makofi.
Chanel: Namshukuru Mungu hata kwa mtoto anaeenda kutupa.
Waumini: wakapiga makofi wa wa wa!
Akagawa kipaza sauti kwa Adrienne, nae akafanya yake pale, akatoa ushuhuda wa familia yake, Adrienne mzungu hana maneno mengi kwanza muda mwingi anaongea kidhungu!
Baadae akapewa kipaza sauti Doreen!
Doreen: Ninamshukuru Mungu kwa kunipa kijana ambae ni mume wangu mtarajiwa mwema, ananipenda kama Kristo anavyolipenda Kanisa.
Waumini: wakapiga makofi wa wa wa! namwamini Mungu nitaolewa na Mchumba huyu huyu na anaamini atarudi very soon pia namshukuru Mungu kwa mtoto alienipa binti yangu Sandra nampenda sana; na mtoto wangu mwengine niliopewa na Mungu Ivan, ananipenda sana na mimi nampenda mpaka mauti! Namshukuru na kumtukuza Mungu kwa yote!
Pastor: akashika mike yake pale akawaelekeza pa kuweka Sadaka ya Shukrani akaomba Kanisa liwasindikize wakatoa Sadaka Kanisa zima, baada ya ibada kuisha wakaondoka kwenda kukaa hotelini wakawa wanakula!
George: akamtania Adrienne shemeji wewe sio mwongeaji maana ile shukrani ilikuwa simple and clear, sio kama mama mchungaji Carrie hapa! Wote wakacheka.
HUKO BONGO:
Mama mkwe wa Doreen akarudi nyumbani na mama mtu mzima, wanashangaa hawaoni mtu anaona tu vitu vimevunjika vikombe na sahani na madamu yametapakaa, akakimbia kuangalia watoto wa Adrienne hawaoni, akawa anawasiwasi, kumwita Happy hayupo!
HUKO BONGO:
Mama mkwe wa Doreen akarudi nyumbani na mama mtu mzima, wanashangaa hawaoni mtu anaona tu vitu vimevunjika vikombe na sahani na madamu yametapakaa, akakimbia kuangalia watoto wa Adrienne hawaoni, akawa anawasiwasi, kumwita Happy hayupo!
Akachoka! akaamua kupiga simu Polisi, Body guard akaja akamwuliza kuna nini?
Mama Mkwe akamweleza, Body guard akamwambia hapana ngoja niangalie kwenye Camera nione kuna nini, wakaongozana mpaka kwenye Computer kuangalia dooooh ni sheedah! Happy kaharibu hatari.
Mama mtu mzima: Mimie sikumpenda huyu binti tangu mwanzo nilijua tu ni jambazi ila sina kauli kwa Adrienne tena kisa nimezeeka!
Body guard akampigia body guard mwenzie aliekuwa zamu kwenye camera akamwambia wapo hospital akamtajia jina na watoto wapo theater bado hawajatoka.
Mama Mkwe akamwambia mama mtu mzima baki hapa usubirie watoto wa Doreen wanarudi kutoka shule uwapokee mimi naenda na huyu Bodyguard Hospital ili yule mwengine arudi, mpigie Adrienne arudi kama hapatikani mwachie meseji, tumia simu ya hapa nyumbani, akamwachian namba ya Doreen.
HUKO BONGO:
Wakiwa wanaongea kule hotelini Adrienne akawasha simu, anakuta missed call za mama mkwe wake Doreen akaanza kupaniki, mara simu inaingia private no, kumbe ni Mama mtu mzima,
Mama Mtumzima: Habari za huko Mwanangu? Mmeamkaje?
Adrienne: salama mmeshindaje? Pole nilikuwa kanisani sikufungua simu mpaka sasa, watoto wetu hawajambo na wa Doreen?
Mama Mtumzima: hawajambo ila kuna tatizo limetokea watoto wako wote hospitali wa Doreen wameenda shule.
Adrienne: hospitali? kuna nini? Akaweka Loud Speaker, wenzake wasikilize
Mama Mtumzima: Yule Happy alitaka kuwaua amewatumbukiza kwenye friza, aliwafunga kwa kamba midomoni alafu akawatumbukiza kwenye friza naona alikuwa anataka kuwaua
Adrienne: moyo ukasimama, akaanza kupiga makelele pale kwenye hoteli uuuwi jamani watoto wangu! nguvu zimemuisha analia, Doreen akamshika anambembeleza, Carrie akachukua simu akamwuuliza watoto wako wapi sasa? Nyie mlikuwa wapi mpaka watoto wanafanyiwa hivyo?
Mama Mtumzima: wapo hospitali, sisi tulitoka na mama mkwe wa Doreen tukaenda kununua vyakula, kurudi tunakuta nyumba imetapakaa vyombo na damu alafu watoto hawapo, tulimwachia Happy nyumba, naona mlinzi aliekuwepo zamu akaja kuwaokoa watoto akawapelekwa hospitali.Carrie: Poleni sana sawa asante, akakata simu, Doreen itabidi tumpigie Mama yako tusikie anasemaje huko hospitali.
Adrienne: anazidi kulia ikabidi waondoke pale hwakaenda nyumbani wajiandae kurudi nyumbani, kweli Sadaka ya shukrani imeleta kizaa zaa.
HUKO BONGO:
Wakiwa wanaongea kule hotelini Adrienne akawasha simu, anakuta missed call za mama mkwe wake Doreen akaanza kupaniki, mara simu inaingia private no, kumbe ni Mama mtu mzima,
Mama Mtumzima: Habari za huko Mwanangu? Mmeamkaje?
Adrienne: salama mmeshindaje? Pole nilikuwa kanisani sikufungua simu mpaka sasa, watoto wetu hawajambo na wa Doreen?
Mama Mtumzima: hawajambo ila kuna tatizo limetokea watoto wako wote hospitali wa Doreen wameenda shule.
Adrienne: hospitali? kuna nini? Akaweka Loud Speaker, wenzake wasikilize
Mama Mtumzima: Yule Happy alitaka kuwaua amewatumbukiza kwenye friza, aliwafunga kwa kamba midomoni alafu akawatumbukiza kwenye friza naona alikuwa anataka kuwaua
Adrienne: moyo ukasimama, akaanza kupiga makelele pale kwenye hoteli uuuwi jamani watoto wangu! nguvu zimemuisha analia, Doreen akamshika anambembeleza, Carrie akachukua simu akamwuuliza watoto wako wapi sasa? Nyie mlikuwa wapi mpaka watoto wanafanyiwa hivyo?
Mama Mtumzima: wapo hospitali, sisi tulitoka na mama mkwe wa Doreen tukaenda kununua vyakula, kurudi tunakuta nyumba imetapakaa vyombo na damu alafu watoto hawapo, tulimwachia Happy nyumba, naona mlinzi aliekuwepo zamu akaja kuwaokoa watoto akawapelekwa hospitali.Carrie: Poleni sana sawa asante, akakata simu, Doreen itabidi tumpigie Mama yako tusikie anasemaje huko hospitali.
Adrienne: anazidi kulia ikabidi waondoke pale hwakaenda nyumbani wajiandae kurudi nyumbani, kweli Sadaka ya shukrani imeleta kizaa zaa.
Adrienne: Jamani wanangu jamani wakifa nitafanyaje, wenzake wanambembeleza bwana mwamini Mungu wote watapona usiwe na wasiwasi si unakumbuka maneno ya Mchungaji tulivyoenda kumwona, hakusema watoto wako watakufa usifanye hivyo tafadhali.
Adrienne hataki kubembelezwa utadhani watoto watakufa.
Doreen akampigia Mama Mkwe wake akauweka loud speaker, Mama Shikamoo, poleni na matatizo, vipi mnaendeleaje? nipo na Adrienne tumeongea na Yule Mama aliebakia nyumbani!
Mama Mkwe: tunaendelea vizuri, watoto wamepona ndio wamepelekwa ICU nipo nje ya ICU siondoki nasubiria mpaka muda wa kuona watoto. Dokta nimemwuliza shida ni nini amekataa kunieleza amesema anasubiri mama mtoto arudi ndio atamueleza.
Doreen na wenzake: Aafadhali asante Mungu, pole Mama kwa Matatizo, sisi tunatafuta tiketi sasa turudi kesho asubuhi… basi utatupa progress na dokta atakuwa amesemaje.
George akaenda kufanya process za ndege watu wanne akarudi nyumbani akamwambia mke wake itabidi wote muende Tz mimi nitabakia na watoto nyumbani hatuwezi safari wote hakuna mtu wa kuwaangalia.
Doreen akampigia Mama Mkwe wake akauweka loud speaker, Mama Shikamoo, poleni na matatizo, vipi mnaendeleaje? nipo na Adrienne tumeongea na Yule Mama aliebakia nyumbani!
Mama Mkwe: tunaendelea vizuri, watoto wamepona ndio wamepelekwa ICU nipo nje ya ICU siondoki nasubiria mpaka muda wa kuona watoto. Dokta nimemwuliza shida ni nini amekataa kunieleza amesema anasubiri mama mtoto arudi ndio atamueleza.
Doreen na wenzake: Aafadhali asante Mungu, pole Mama kwa Matatizo, sisi tunatafuta tiketi sasa turudi kesho asubuhi… basi utatupa progress na dokta atakuwa amesemaje.
George akaenda kufanya process za ndege watu wanne akarudi nyumbani akamwambia mke wake itabidi wote muende Tz mimi nitabakia na watoto nyumbani hatuwezi safari wote hakuna mtu wa kuwaangalia.
Carrie: sawa mume wangu nakupenda for always looking after us!
Wakajiandaa na kupaki paki akampakia na Chanel hao Bongo moooouja!
Wakajiandaa na kupaki paki akampakia na Chanel hao Bongo moooouja!
TUONANE KESHO TAR 29 AUGUST 2018 SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
_______________________________
E. LIMAO YA VISASI NA MAUTI
Mazoezi mazoezini, vyuma vimekaza na Zubeda, wiki imeshakata inaingia ya pili, wakaamua waende upareni kwenye milima na miamba wakajifunze maana mishen wanayoiendea ni ngumu!
Wakaweka kambi panda miamba nawewe, Safaree hajui kuwa mpenzi wake kapigwa chini, kapeleka mishe kimwendo kasi, wakaanza kumfundisha kupigana na watu wa2 waliokomaa.
Zubeda akaanza mdogo mdogo mpaka kaweza, mpaka akawa fundi, kupanda miamba akaweza anapanda fasta kama mjusi!
Wakafika bongo wakadondoka hospitali mojaa! Adrienne akakuta mama mkwe wa Doreen amekaa nje, akafungua mlango wa ICU akaenda kuangalia watoto wake wamelala wamewekewa mipira, analia anawakumbatia, akapanda kitandani akalala nao.
Wakafika bongo wakadondoka hospitali mojaa! Adrienne akakuta mama mkwe wa Doreen amekaa nje, akafungua mlango wa ICU akaenda kuangalia watoto wake wamelala wamewekewa mipira, analia anawakumbatia, akapanda kitandani akalala nao.
Nje manesi wanaleta vurugu, kwanini ameingia?
Carrie: Ni mama watoto alikuwa safari ndio karudi.
Manesi: Tunampa dk 10 tu atoke haruhusiwi.
Adrienne akasikia akashuka kitandani akawafuata Manesi, nyie mnasemaje? Mnajua nimetoka wapi na watoto wangu? Ulinisaidia kuzaa? msinivuruge nawaambia ns humu ndani sitoki kaite mapolisi wote mnaowajua sitatoka.
Manesi wakanywea wakaamua kuondoka, wenzake wakamrudisha Adrienne ndani wao wakatoka nje wakakaa na Mama Mkwe.
Carrie: akamwambia Body guard, tupeleke kwa Doreen na Chanel, maana Chanel haruhusiwi kukaa muda mrefu anatakiwa kulala, wakaaga wakaondoka Mama mkwe, Chanel na Carrie, akabakia Doreen na Adrienne.
Adrienne hakutoka nje ya ICU kwa muda wa siku 3, madokta wakija wanamuhurumia na hospitali yenyewe ni Private wakaamua kumwachia, wenzake wanapokezana muda na siku za kuja kumuona Adrienne wanaleta chakula bindada hataki kula.
HUKO ULAYA:
Mipango ya kumkamata KAKARACHA ikakamilishwa, Lucifer akampigia simu Safaree aondoke aende kule, maana Stan alishapangwa, Safaree akamwambia Lucifer kuna demu mmoja hapa nataka nipande nae nimeshamfanyia training yupo vizuri.
HUKO ULAYA:
Mipango ya kumkamata KAKARACHA ikakamilishwa, Lucifer akampigia simu Safaree aondoke aende kule, maana Stan alishapangwa, Safaree akamwambia Lucifer kuna demu mmoja hapa nataka nipande nae nimeshamfanyia training yupo vizuri.
Lucifer: Sawa panda nae.
Safaree akafurahi sana, akazidisha training kwa Zubeda, asijue demu wake ameshafungwa kengele shingoni.
Doreen: Adrienne nipe namba ya Shawn nimpigie nimweleze.
Doreen: Adrienne nipe namba ya Shawn nimpigie nimweleze.
Adrienne: hata sijui inakujaga private namba tu, mara ya mwisho alinipigia nikiwa kwenye ndege nikawa nimelala na simu ikawa kwenye silent mode, nikijaribu kuipiga siipati kwanza inakata.
Doreen: ngoja nimjaribu Lucifer nione kama nitampata, akawa anataka kumpigia Lucifer nae anapiga.
Doreen: what a coincidence nilikuwa nataka kukupigia,
Lucifer: I guess nina maisha marefu umeniwaza tu na mimi natokea!
Doreen: Mpenzi tumepata matatizo.
Lucifer: Matatizo gani tena?
Doreen: akampa habari yote, sasa nipo Wodini na Adrienne na watoto, watoto wameanza kuchangamka sasa ila hajaruhusiwa kutoka
Lucifer: ah! poleni sana, ngoja nikupe Shawn uongee nae
Doreen: akaongea na Shawn akampa pole, subiri nampelekea Adrienne simu maana mimi nimetolewa nje akafika kwa Adrienne, Shawn akaongea nae, kuulizwa imekuwaje Adrienne analia baada ya kuongea, alipoacha kulia akamwelezea mumewe kila kitu kilichotokea.
Shawn: huyu dada ni nani mbona haujawahi kuniambia kuwa umeajiri msichana mpya?
Adrienne: akamwelezea, lakini watoto wameamka angalau wamechangamka.
Shawn: Unaweza kunitumia picha za huyo dada na majina yake, maana nashindwa cha kufanya, yupo wapi huyo dada sasa au amekimbia? Polisi wamesemaje?
Adrienne: hata sijui labda nikupe Doreen ndio anajua mengineyo mimi sijui kitu
Shawn: pole sana mke wangu, Doreen habari yako?
Doreen: nzuri shemeji, pole na matatizo, sasaa ilikuwa hivi ….. Polisi hatujaenda ila dada tumemfunga kwenye kile chumba alichokuwa James na Safaree sijui unakikumbuka?
Lucifer: Matatizo gani tena?
Doreen: akampa habari yote, sasa nipo Wodini na Adrienne na watoto, watoto wameanza kuchangamka sasa ila hajaruhusiwa kutoka
Lucifer: ah! poleni sana, ngoja nikupe Shawn uongee nae
Doreen: akaongea na Shawn akampa pole, subiri nampelekea Adrienne simu maana mimi nimetolewa nje akafika kwa Adrienne, Shawn akaongea nae, kuulizwa imekuwaje Adrienne analia baada ya kuongea, alipoacha kulia akamwelezea mumewe kila kitu kilichotokea.
Shawn: huyu dada ni nani mbona haujawahi kuniambia kuwa umeajiri msichana mpya?
Adrienne: akamwelezea, lakini watoto wameamka angalau wamechangamka.
Shawn: Unaweza kunitumia picha za huyo dada na majina yake, maana nashindwa cha kufanya, yupo wapi huyo dada sasa au amekimbia? Polisi wamesemaje?
Adrienne: hata sijui labda nikupe Doreen ndio anajua mengineyo mimi sijui kitu
Shawn: pole sana mke wangu, Doreen habari yako?
Doreen: nzuri shemeji, pole na matatizo, sasaa ilikuwa hivi ….. Polisi hatujaenda ila dada tumemfunga kwenye kile chumba alichokuwa James na Safaree sijui unakikumbuka?
Shawn: ndio nakijua, mwambie body guard antumie picha za huyo dada na majina yake anajua jinsi ya kufanya, atume leo leo au hata kama utampigia simu atume wakati upo hospitali.
Doreen: sawa pole usiwe na wasiwasi watoto wapo salama sasa tunawaangalia, Simu ikakatwa. Doreen akafanya alioambiwa afanye, picha zikatumwa kwa Lucifer.
Baada ya muda Lucifer akapata picha za Happy na majina yake akachoka! kumwonyesha Shawn ndio kabisaa, kumbe ni mmoja wa mtandao wa KAKARACHA, wakajua nyumba yao imevamiwa wakapanga wanafanye nini kuhusu huyo demu? Wamuache mule mule au wamkabithi kwa boss wao mzee?
Wakampigia boss wao wakamwelezea akaondoka na mapolisi kwenda kumtoa na kumweka jela.
Mama mkwe wa Doreen anashangaa tu, nyumba kama movie. Watu wanaingia na kutoka kama kanisa!
Chanel na Carrie wanaishi kwa Chanel Kunduchi Beach, tangu waondoke nyumba ya Chanel imefungwa tu, hamna hili wala lile, kufanya usafi hawezi ikabidi Carrie amsaidie baadae akaleta watu wa kampuni ya usafi waje wafanye maana nyumba chafu sana haifai mjamzito kukaa, baadae wakapatana kurudi kukaa kwa Doreen siku 2 mpaka nyumba itakapokuwa tayari watarudi.
Chanel na Carrie wanaishi kwa Chanel Kunduchi Beach, tangu waondoke nyumba ya Chanel imefungwa tu, hamna hili wala lile, kufanya usafi hawezi ikabidi Carrie amsaidie baadae akaleta watu wa kampuni ya usafi waje wafanye maana nyumba chafu sana haifai mjamzito kukaa, baadae wakapatana kurudi kukaa kwa Doreen siku 2 mpaka nyumba itakapokuwa tayari watarudi.
Carrie akatafuta security company ya kulinda kwa Chanel maana sio kwa tukio alilolipata Adrienne, nyumba ilipokuwa tayari wakarudi kukaa kwa Chanel, maisha yakaendelea, kila baada ya siku 1 anaenda kumpokea zamu Doreen, kuuguza alafu anarudi nyumbani.
Siku ambazo Carrie hayupo Chanel anabaki nyumbani mwenyewe, akiwa ameandaliwa chakula na kila kitu anabakia kupasha, kwa sasa hakuwa mgonjwa saaana ila hatakiwi kusimama muda mrefu.
Siku ambazo Carrie hayupo Chanel anabaki nyumbani mwenyewe, akiwa ameandaliwa chakula na kila kitu anabakia kupasha, kwa sasa hakuwa mgonjwa saaana ila hatakiwi kusimama muda mrefu.
Kama kawaida siku ambazo Carrie hayupo Chanel anajiiba anamtumia msg Mark, Mark anakuja anamchukulia mtaa wa pili au anapanda taxi wanakutana mtaa wa pili wanaondoka haooo hotelini wanajivinjari.
Mtoto tumboni sijui atakuwa wa Pedeshee au wa Mark maana sio kwa zile mechi za ujauzito.
Jeff akamcheki Adrienne akamtumia msg kesho nataka kushuka hapo bondeni.
Jeff akamcheki Adrienne akamtumia msg kesho nataka kushuka hapo bondeni.
Adrienne: hapana nipo bongo hospitali…
Jeff: akatia tiimu, mara anamkumbatia Adrienne na kumbusu, Carrie anashangaa miujiza!
Baada ya wiki kupita dokta akaja, kuwaona Adrienne na wanawe, Jeff kiila siku anakuja utadhania baba mwenye nyumba, Carrie na Doreen awanashangaa, anamhudumia Adrienne kuliko mke wake Irene wa nyumbani, aibu lakini wanafanyaje kumfukuza Jeff sio kazi yao ni kazi ya Adrienne.
Safaree na wenzake wakageuka Dar es salaam, kufika akamwambia Peteroo nataka ushuke bondeni ukanifanyie kazi yangu moja, nakuwekea mil 5 kwenye akaunt yako ya benki na hizi 45 nakupa mkononi, ushafeli kazi kwa Doreen hii namba usifeli, kuna mjinga alinitenda ubaya anaitwa Carrie! Nataka ukafanye 1, 2, 3 ukimaliza nitumie picha na video kuwa deal limekamilia usiondoke hapo mpaka nikwambie ondoka, mimi nasafiri kwenda Urusi na Zubeda naomba umwangalie Happy anafanya kazi sehemu fulani na namba yake ni hii!
Baada ya wiki kupita dokta akaja, kuwaona Adrienne na wanawe, Jeff kiila siku anakuja utadhania baba mwenye nyumba, Carrie na Doreen awanashangaa, anamhudumia Adrienne kuliko mke wake Irene wa nyumbani, aibu lakini wanafanyaje kumfukuza Jeff sio kazi yao ni kazi ya Adrienne.
Safaree na wenzake wakageuka Dar es salaam, kufika akamwambia Peteroo nataka ushuke bondeni ukanifanyie kazi yangu moja, nakuwekea mil 5 kwenye akaunt yako ya benki na hizi 45 nakupa mkononi, ushafeli kazi kwa Doreen hii namba usifeli, kuna mjinga alinitenda ubaya anaitwa Carrie! Nataka ukafanye 1, 2, 3 ukimaliza nitumie picha na video kuwa deal limekamilia usiondoke hapo mpaka nikwambie ondoka, mimi nasafiri kwenda Urusi na Zubeda naomba umwangalie Happy anafanya kazi sehemu fulani na namba yake ni hii!
Safaree kesho yake wakaondoka na Zubeda wake kwenda Urusi Peteroo nae akashuka bondeni.
HUKO BONDENI:
Ilikuwa siku ya jumapili mchana, George akaonekana na wanae wametoka kanisani wanarudi nyumbani, watoto wakang’ang’ania kwenda Beach.
HUKO BONDENI:
Ilikuwa siku ya jumapili mchana, George akaonekana na wanae wametoka kanisani wanarudi nyumbani, watoto wakang’ang’ania kwenda Beach.
Mama George: ah! msiende bwana mimi leo sijiskii vizuri.
Watoto wanang’ang’ania Daddy twende beach, George nae akawa mzito lakini anafanyaje, akawapakia watoto wake kwenye gari, mama mkwe akaja au niende na mimi sijui ila naumwa sana ngoja tu nibaki, akawapakia mizigo na nguo za beach kila kitu, akawaaga.
Kuingia ndani ya gari George anawasha gari mama yake George akasikia PUUUUUUUUUUUU! Kuangalia nje hamna gari hamna George hamna wajukuu kila mtu kalipukia ndani ya gari!
TUONANE LEO USIKU SAA 1 YA TANZANIA
_______________________________
F. LIMAO YA MAUTI
_______________________________
F. LIMAO YA MAUTI
Jamani Mama George alilia, uuuuwiiii aliliiiiiiiiiiiiiiiaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaa, kama kichaa, majirani wanatoka nje baada ya kusikia sauti ya mlipuko, kuangalia nje mlipuko, kusogea gari limelipuka, mama analia anagalagala anataka kukimbilia gari anarudishwa nyuma na mlipuko, majirani wakakimbia kumshika wakapiga simu kwenye gari la fire lije lizime, lakini gari mpaka linafika washachelewa, hakuna hata aliebaki, ni majivu tu.
Mama George aliiiiiiiiaaaaaaaaaaaaaaaa, mpaka akazimia, majirani wampeleke hospitali, majirani walobaki wanazima gari na mchanga wengine maji kuokoa nyumba isije ikashika moto.
Peteroo alikuwa amesimama kichakani anachukua tukio kwa simu na kupiga picha, huku anacheka na kujiambia hii nimefaulu lazima naondoka na mil 200 kwa Safaree!
HUKO BONGO:
Carrie kaamka asubuhi anatapika mbaya,
Peteroo alikuwa amesimama kichakani anachukua tukio kwa simu na kupiga picha, huku anacheka na kujiambia hii nimefaulu lazima naondoka na mil 200 kwa Safaree!
HUKO BONGO:
Carrie kaamka asubuhi anatapika mbaya,
Chanel: Eh pole mama, vipi unamalaria? maana umefanya sana kazi wiki hii zaidi ya Doreen!
Carrie: anazidi kutapiga mara anatapika nyongo mara roho inamuuma kama inataka kutoka, haelewi nini kimemwamsha asubuhi asubuhi na matapishi mara kichwa kinamuuma akajilaza kwenye kochi.
Chanel: ikabidi amkorogee juice ya ndimu ndio kwanza hali ikazidi kuwa mbaya, akampigia Doreen aje ampeleke hospital maana yeye hawezi. Baada ya nusu saa Doreen akaja anamkuta Carrie kabadilika rangi kawa mwekundu anaumwa mbaya, kupelekwa hospitali na kufanya vipimo, majibu yanatoka hana ugonjwa anaambiwa anamshtuko hawakujua kuna nini!
Ikabidi alazwe kwanza mpaka atakapokuwa fresh wakampa dawa ya kuzuia kutapika, akalala.
Chanel alikushika simu ya Carrie akaona Baba Mzazi wa Carrie anapiga simu akapokea, akamsalimia.
Baba Carrie: mwanangu yupo wapi?
Chanel: Yupo hospitali, leo kaamka anatapika kweli sijui kwanini, Doreen amempeleka Hospital wamempima hawaoni kitu, wameamua kumlaza na kumpatia dawa ya kuzuia kutapika, alitapika sana mpaka kabadilika rangi kawa mwekundu!
Baba Carrie: doh poleni sana jamani, sasa mwanangu hamjasikia chochote kutoka Afrika Kusini?
Chanel: hapana kwani kuna nini?
Baba Carrie: upo sehemu nzuri unaweza kuongea?
Chanel: akashtuka! ndio Baba, Mara Doreen akaingia toka hospital akamvute haraka wakaweka loud speaker
Baba Carrie: Kuna msiba umetokea, nimepigiwa simu na Mzazi mwezangu Baba George, kuwa Mume wa Carrie na watoto wamelipuliwa jana jioni kwenye gari ya George pale nyumbani kwao, walikuwa wanatoka kwenda beach kuingia kwenye gari akawasha gari ikalipuka!
Chanel na Doreen: Mama weee, Mungu waaangu, basi ndio maana ameamka anaumwa sana, Yesu wangu Carrie jamaani wakanza kulia wao kabla ya mfiwa!
Baba Carrie: sasa kina mama msilie, mkilia na mwanangu akija kujua atafanyaje? Kuweni majasiri ili muweze kumrudisha Bondeni, ila msimpe simu zizimeni mwambie watoto wanaumwa akiuliza simu mwambie imepotea hata sijui mmeweka wapi, itabaidi mmoja wenu amrudishe nyumbani kwake.
Chanel na Doreen: sawa Baba pole sana, asante kwa taarifa! Simu ikakatwa.
Chanel: Eh! Doreen hili mbona janga sasa, tunamfanyaje Carrie Mungu wangu!
Baba Carrie: doh poleni sana jamani, sasa mwanangu hamjasikia chochote kutoka Afrika Kusini?
Chanel: hapana kwani kuna nini?
Baba Carrie: upo sehemu nzuri unaweza kuongea?
Chanel: akashtuka! ndio Baba, Mara Doreen akaingia toka hospital akamvute haraka wakaweka loud speaker
Baba Carrie: Kuna msiba umetokea, nimepigiwa simu na Mzazi mwezangu Baba George, kuwa Mume wa Carrie na watoto wamelipuliwa jana jioni kwenye gari ya George pale nyumbani kwao, walikuwa wanatoka kwenda beach kuingia kwenye gari akawasha gari ikalipuka!
Chanel na Doreen: Mama weee, Mungu waaangu, basi ndio maana ameamka anaumwa sana, Yesu wangu Carrie jamaani wakanza kulia wao kabla ya mfiwa!
Baba Carrie: sasa kina mama msilie, mkilia na mwanangu akija kujua atafanyaje? Kuweni majasiri ili muweze kumrudisha Bondeni, ila msimpe simu zizimeni mwambie watoto wanaumwa akiuliza simu mwambie imepotea hata sijui mmeweka wapi, itabaidi mmoja wenu amrudishe nyumbani kwake.
Chanel na Doreen: sawa Baba pole sana, asante kwa taarifa! Simu ikakatwa.
Chanel: Eh! Doreen hili mbona janga sasa, tunamfanyaje Carrie Mungu wangu!
Wakambiana waende kwa Adrienne kuongeza akili wakishindwa watapigia waume zao!
Kufika kwa Adrienne akakuta Dokta anamruhusu kwenda nyumbani wakapumua, Chanel akaondoka na Adrienne na Body guard wa Lucifer mpaka nyumbani kwa Doreen.
Adrienne alipotulia na watoto wamelala akamwambia kuhusu Carrie, Adrienne akachoka huku ameweka mikono juu, Yeeesu Mungu wangu Carrie itakuwaje?
Chanel:Itabidi nishuke nae nyumbani kwake hivyo hivyo sijui Doreen kama ataweza maana hawezi kukuacha mwenyewe!
Adrienne: Ningependa kuja na ninyi lakini sijui kama watoto wanaweza kusafiri, sasa mmemwambia Carrie?
Chanel: Hapana, akamweleza plan yao kila kitu wakakubaliana wasimwambie!
HUKO ULAYA:
Safaree akalipata lile tukio alilolifanya Peteroo akafurahi sana akajiambia sasa tuone nani mjanja, itamchukua miaka yule demu kuja kupata mwanaume anaempenda kama George na kupata tena mapacha kama wale, lazima atarudi kwenye umasikini! Akamwambia Peteroo arudi bongo atampa ramani nyingine.
HUKO ULAYA:
Safaree akalipata lile tukio alilolifanya Peteroo akafurahi sana akajiambia sasa tuone nani mjanja, itamchukua miaka yule demu kuja kupata mwanaume anaempenda kama George na kupata tena mapacha kama wale, lazima atarudi kwenye umasikini! Akamwambia Peteroo arudi bongo atampa ramani nyingine.
Vijana wamefika Urusi, Shawn kumwona Safaree akataka kumpiga James akamzuia.
Safaree hakuelewa kwanini, akapotezea.
Lucifer: akamwuliza huyo mwanamke ni nani? Zubeda akatokea, wanashangaa! Huu ni utani au? Wakamwuliza Safaree umemtoa wapi huyu demu?
Safaree: nimekuja nae toka Bongo.
Lucifer: wanaangaliana na akina Shawn, Pedeshee na James wanashangaa, wakamwuliza dada uanitwa nani? Akajibu.
Safaree: nimekuja nae toka Bongo.
Lucifer: wanaangaliana na akina Shawn, Pedeshee na James wanashangaa, wakamwuliza dada uanitwa nani? Akajibu.
Lucifer: kwenu mlizaliwa mapacha?
Zubeda: ndio ila dadangu simjui aliibiwa hospitali mpaka leo sijaonana nae
Lucifer na wenzake wakachoka, wakajiambia dawa ya moto ni moto, hapa hapa ndio tunapopataka sisi.
Lucifer na wenzake wakachoka, wakajiambia dawa ya moto ni moto, hapa hapa ndio tunapopataka sisi.
Safaree: kwani kuna tatizo Don Lucifer?
Lucifer: hapana umefanya vizuri kumleta, sasa huyu anaondoka na James kupewa ramani wewe unaondoka na Pedeshee kufundishwa mishe.
Wakaendelea na mafunzo na kupeana ramani za mishe ikiwa imebakia wiki moja kuingia kazini!
HUKO BONGO:
Lucifer: hapana umefanya vizuri kumleta, sasa huyu anaondoka na James kupewa ramani wewe unaondoka na Pedeshee kufundishwa mishe.
Wakaendelea na mafunzo na kupeana ramani za mishe ikiwa imebakia wiki moja kuingia kazini!
Baada ya siku 3, Carrie akapona wakamtoa hospitali akaenda kuishi kwa Doreen, wakamwambia sasa tunataka kwenda bondeni, baba mkwe wa George anaumwa Yule mama hawezi uguza mwenyewe.
Adrienne atabakia na watoto.
Carrie: oh jamani anaumwa nini? Embu nipeni simu yangu, nimpigie George maskini!
Akaambiwa simu Chanel aliporwa na mwizi juzi pale barabarani alikuwa anaenda dukani kununua vocha.
Carrie: Sawa itabidi niondoke kesho asubuhi.
Doreen akaenda kukata tiket ya ndege watu wawili, asubuhi hao wakaruka na pipa kwenda bondeni. Kufika hospitali hamna mtu wakadhani labda ameruhusiwa wakaamua kwenda nyumbani.
Kufika nyumbani akaona kwa nje pameungua hakuelewa kufika ndani anaona watu wamejaa, kuangalia anawaona Wazazi wake wapo, mama na baba mkwe wake na majirani wamejaa mama kwe analia anabembelezwa na mama yake Mzazi.
Carrie: akauliza kuna nini mbona mmeniambia baba mkwe anaumwa na namwona hapa mzima kwani kuna nini?
Mama Carrie: akainuka akamshika Carrie, akamweka chini akaanza kuongea nae pole pole.
Carrie alikuwa kama amechanganyikiwa maskini, akaanza kulia hashikiki, kafanya mafujo anagalagala anapiga watu, uuuuwi ikabidi wamfungie chumbani maana sio kwa vurugu zile za kulia na mikelele, hataki kubembelezwa hataki kusaidiwa analia tu.
Huku nje wanaume wakafanya mipango ya mazishi, wakapanga mazishi iwe ya majivu, wakaamua kuzika mapema maana hamna mwili ni majivu tu, wakaamua mazishi yafanyike kesho
Kesho yake watu wakajongea makaburini, Carrie bado anaona kama ndoto, nguvu zimemwisha anavutwa kwenye wheelchair hana nguvu za kutembea, kufika makaburini wakadumbukiza ile chupa ya majivu, yote kwenye kaburi moja!
Huku nje wanaume wakafanya mipango ya mazishi, wakapanga mazishi iwe ya majivu, wakaamua kuzika mapema maana hamna mwili ni majivu tu, wakaamua mazishi yafanyike kesho
Kesho yake watu wakajongea makaburini, Carrie bado anaona kama ndoto, nguvu zimemwisha anavutwa kwenye wheelchair hana nguvu za kutembea, kufika makaburini wakadumbukiza ile chupa ya majivu, yote kwenye kaburi moja!
Carrie: analia utamhurumia.
Doreen na Chanel walimsindikiza, muda wa shada na maua na mashada ukafika, Carrie akataka kujitupa ndani ya kaburi nay eye afe nao tu! Wenzake wakamzuia.
Carrie: Jamani niacheni sidhani kama naweza kuishi bila mume na watoto, niacheeenii, wakaja wanaume wakamshika wanamwambia usipotulia tutakufungia kwenye gari, hautaweza ona familia yako wanavyozikwa, akatulia japo kwa machozi meeeeengi!
Mazishi yakaisha Carrie akabakia kaburini mpaka giza likaingia wakaja kumtoa kumpeleka nyumbani hataki kula, kunywa analia tu, machozi hamna acha tu kufiwa jamani sikia kwa jirani usikupate.
HUKO ULAYA:
Mungu amewaonekania, wakamtuma Zubeda aingie kwenye mishe ya kumfunga paka ngengele, kwasababu KAKARACHA alikuwa mfupi kama Stan wakambadilisha sura Stan iwe kama ya KAKARACHA!
Mungu amewaonekania, wakamtuma Zubeda aingie kwenye mishe ya kumfunga paka ngengele, kwasababu KAKARACHA alikuwa mfupi kama Stan wakambadilisha sura Stan iwe kama ya KAKARACHA!
Stan anaona bonge la deal!
Akamuungalisha na Zubeda, kufika eneo la tukio KAKARACHA yupo ndani wakaona noma ikabidi Zubeda aingie ndani kama Yule sungura, sikuhiyo Sungura sijui alikuwa ametumwa wapi lakini pale pale Urusi.
KAKARACHA kumwona anamwuliza naona umerudi mapema leo, karibu!
Zubeda anashangaa ikabidi aende.
KAKARACHA akaanza kumshika shika anataka kumla.
Zubeda: Vipi our next move ni wapi? KAKARACHA hakufunguka.
Zubeda akafanya yake yaleeee ya iringa! KAKARACHA anashangaa Sungura wa leo mauno kajifunzia wapi? Kakatikiwa mpaka kaomba poo na hivi anatembea na uchawi akaishia kumpuliza KAKARACHA.
KARAKACHA akakolea, akataja matukio yake yote bila kujijua sijui ni kwasababu ya mauno au uchawi?
Nyuma ya pazia akina Lucifer wana daka ramani yote, wakashukuru Mungu kuja kwa Zubeda maana sio kwa ufundi ule, baadae Zubeda akatoka anaenda kuoga alipomaliza akamwambia KAKARACHA nipo hapa nje napunga upepo.
KAKARACHA: Take your time bingwa mimi nalala maana umenimaliza nguvu siwezi hata kutembea!
Zubeda: akatoka akamtumia msg Stan haooo wakarudi kwa Lucifer kumpa mrejesho!
HUKO BONDENI:
Kumekucha Carrie hataki kula, maisha anayaona machungu anatamani angekufa na familia yake sio kwa yale maumivu.
Kumekucha Carrie hataki kula, maisha anayaona machungu anatamani angekufa na familia yake sio kwa yale maumivu.
Chanel akaongea na mama kwe wake wamwite Yule mchungaji aje amwombee maana wanahisi anakuwa chizi.
Mama mkwe akampigia Pastor akaja kuwaombea, alipowaona wale warembo akasema ndio nyie mlikua kabla ya sadaka ya shukrani imekuwaje? Wakamwelezea.
Pastor: Je mliomba kama tulivyokubaliana?
Wakajibu kila mtu kivyake hapana hata muda hatuna tunauguza na sidhani kama Adrienne na Carrie waliomba ila Adrienne Mungu kamponyea mapacha wake.
Mchungaji: akawaangalia akawahurumia, muewe mnachukuli serious vitu navyowaambia, wakamsindikiza chumbani kwa Carrie akaenda kumfanyia maombi. Carrie anamuangalia Pastor anamwona kama mchawi maana alitabiri mabaya na yametokea! Carrie amekaa kama zombie huku anahasira anatamani amdunde Pastor nguvu hana!
Maombi yakapigwa kwa muda mrefu, Pastor akapata maono akasema aliefanya hiki kitu namuona ana jina linaitwa Peteroo!
Maombi yakapigwa kwa muda mrefu, Pastor akapata maono akasema aliefanya hiki kitu namuona ana jina linaitwa Peteroo!
Eh! Doreen akashtuka, akamwonyesha picha, Pastor akasema ndio huyo huyo alieweka bomu kwenye gari.
Wakawa wanashangaa kwanini kwa Carrie?
Pastor: akaombea nyumba yote, akatoa pole nyingi sana akamwambia Carrie Mungu atakurejeshea vyote ulivyopoteza kama ulivyoomba kule Bongo, Najua unajua ulichoomba ukiwa Kanisani Bongo, sasa hivi hauwezi kukumbuka kwasababu una maumivu makali, ila siku moja utakuja kuniambia.
Mwanaume ninae muona anakuja siku sio chache wala hautamaliza wiki 3 atakuwa amekuja kwenye maisha yako.
Carrie: anamwangalia anasonya kwa ndani, shenzi mimi nimefiwa unaniletea habari zingine, Majinga mengine bwana, sijui ni mafeki Pastor au? Shenzi kabisa asiniletee matatizo.
Pastor wa watu akaondoka zake huyooo!
HUKO BONGO:
Watoto wa Adrienne wamechangamka wamesharudi shuleni, wanapelekwa na Body Guard na kurudishwa.
HUKO BONGO:
Watoto wa Adrienne wamechangamka wamesharudi shuleni, wanapelekwa na Body Guard na kurudishwa.
Adrienne: hakutaka tena kuishi kwa mumewe mpaka atakaporudi mumewe!
Jeff nae yupo anaongeza dozi za mapenzi kwenye simu kiiiila siku anapiga kutwa mara 3 kama dawa ya Panadol.
Adrienne: akajisemea moyoni mume wangu akirudi nitashukuru sio kwa mapenzi haya nayoonyeshwa, watoto wakiwa shule Adrienne kazini, Jeff anakuja kumchukua wanaenda Lunch, sikunyingine wanachepukia Hotelini wanaenda Utamu Utamuni, Adrienne kila siku anakojozwa uzuri alikuwa anatumia kinga ila kuchepuka haikuwa tabia yake akawa anajishangaa mbona amekuwa mdhaifu namna hii! Au huyu Jeff mchawi nini mbona kila siku nikiitwa naitikaa?! Akawa anawazua akiwa njiani kurudi kwa Doreen.
TUONANE KESHO TAR 30 AUGUST 2018 SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
_______________________________
G. ASALI YA KUCHEPUKA NA UPWEKE WA MJANE
Wiki ikaisha ikaingia ya 2.
Carrie akaanza kukaa sawa, angalau lakini sio kama mwanzo. Wageni wanakuja kwake baada ya mazishi kumsabahi.
Kapiga booonge la gauni kimini watu wakiingia wanatafuta mama mfiwa hawaoni kumbe mfiwa hot mama!
Hakutaka kuvaa nguo nyeusi, aliamini Mume na watoto wake wapo Mbinguni na sio motoni.
Hakutaka kuvaa nguo nyeusi, aliamini Mume na watoto wake wapo Mbinguni na sio motoni.
Baada ya wiki 2 kupita akajua wageni wameisha akawaita watu kusafisha nyumba, na kuweka nyumba sawa. Mama mkwe na mumewe wamesharudi kwao, wazazi wa Carrie nao wamerudi Moshi, Doreen na Chanel wamerudi Bongo.
Akiangalia nyumba kuuubwa ipo tupu akaanza kusikia upweke. Akawaza atafanyaje na hilo jumba labda awape wazazi wa George wajue cha kufanya, akiziangalia suit za mumewe anazidi kulia, akiangalia nguo za twins na Junior anakosa nguvu anakaa chini analia.
Ikafika usiku anakosa hamu ya kula chakula, kila siku wakwe zake wanaleta chakula au ndugu za marehemu mumewe wanaweka kwenye fridge lakini hamu hana!
Siku moja akiwa amekaa mwenyewe anaangalia Tv, akasikia kengele ya nyumba inapigwa. Akajiuliza atakuwa nani maana wakwe wametoka hapa muda si mrefu, labda watakuwa wamesahau kitu nini!
Siku moja akiwa amekaa mwenyewe anaangalia Tv, akasikia kengele ya nyumba inapigwa. Akajiuliza atakuwa nani maana wakwe wametoka hapa muda si mrefu, labda watakuwa wamesahau kitu nini!
Kufungua mlango eh anamwona Mzungu amesimama amebeba maua! Akamsalimia na kumkaribisha ndani, Zungu lenyewe sasa woi Zungu ni zuuuri hiloo limepaaanda jeupee kama rangi ya ukuta.
Akakaribishwa Carrie akamwekea Juice. Mzungu akampa pole pale, Carrie machozi yanamtoka, Mzungu akamfuata akawa anambembeleza, akatoa kitambaa chake cheupe anamfuta machozi mara anamkumbatia si unajua tena mambo ya kidhungu!
Carrie akajinyofoa kwake, samahani kwa kukusumbua.
Mzungu: Hapana hujanisumbua, naelewa ni ngumu sana kupoteza familia yote.. pole sana. George alikuwa mtu mzuri sana, rafiki yangu wa zaidi ya miaka 15.
Carrie: akashangaa! Akamwuliza samahani wewe unaitwa nani sijawahi kukuona wala kukufahamu!
Mzungu: Oh sorry! Mimi naitwa Chris! Tuna share Restaurant Switzerland, kuna siku alikuja na mkwe wake nadhani ni wewe mkanikosa mdogo wangu akawapokea.
Carrie: akakumbuka ah ni kweli kabisa, jamani pole nimekukaribisha vibaya karibu sana akaanza kuchangamka, akaenda kupasha chakula wakawa wanakula huku wanaongea.
Carrie: wakawa ana discuss kuhusu biashara ya kule, akaomba radhi hakwenda muda aliotakiwa alikuwa mjamzito na mara mambo yakaingiliana ndio msiba.
Chris: Akaona hapa nimtoe nje ya mada wakawa wanapiga stori zingine, wakaongea weee mpaka saa 5 usiku.
Carrie: akaanza na kucheka kweli Chris was something maana sio kwa kumpaisha Carrie mpaka kucheka tena.
Chris: Naona usiku umeenda sana, ngoja niondoke saa 5 sasa, natakiwa nikatafute hotel nilale nimetua tu nikaona nije kukupa pole nasafiri kesho kutwa kurudi Switzerland.
Carrie: akaona kubaki mwenyewe kwenye mjengo noma akamwambia hauna haja kutafuta hotel nyumba yangu ina vyumba vingi, naomba ukae.
Na hivi nipo pekeyangu naona kama nipo jela.
Chris: Haitakuwa tatizo kwako?
Carrie: Akimwangalia Chris alivyo mzuri na lile Gorilla Body akamjibu hapana. Wakaenda kushusha Sanduku kwenye gari akampeleka guest room waliokuwa wanalala akina Doreen pazurije sasa, Chris anashangaa hii ni nyumba au hotel akamsifia nyumba yako nzuri sana hata kwangu sio pazuri namna hii.
Carrie: anacheka tu.
Chris: Akaingia chumbani sa si unajua wazungu wapo free akawa hajafunga mlango na chumba chake kimetazamana na cha Carrie, Chris akivua nguo Carrie anamwona!
Baadae akaona hapa nitakufa kwa hamu, akavua nguo zote akabakia na chupi na bra, akamfuata Chris huko huko bafuni.
Wazungu si unawajua, wala hawaulizi shemeji vipi, shemeji niache, shemeji sio vizuri, alipomwona tu akapata ujumbe, hapo hapo mjane Carrie mechi ikapigwa.
Chris ana machine hatarious, bushelele kuuubwaaa George hakuwa nalo, lakini sio kama la Tito ex wa Carrie, eh Carrie na hivi ana miezi mi 3 hajapata machine mbona bafu lilikoma.
Chris: kampa mechi ya ki-mwendo kasi, mechi ya kuzibua kama unavyozibua sinzi lililojaa maji Carrie hoi, kurudi chumbani Carrie kanogewa anataka tena, mechi ikapigwa ya kitandani.
Chris: Bwana, utadhania Mungu alimleta.
Mjane anayarudi mauno kama feni mpya, kamliza Chris si unajua waAfrika walivyo watamu?!
Chris: Alijuta kutoa msaada kwa mjane! Nadhani Carrie alifanya makusudi ili Chris akiondoka asimsahau.
Mjane wa watu kajishughulisha weee mpaka! Alfajiri kulipokucha Chris akaomba tena kwichi kwichi akapewa!
HUKO BONGO:
Doreen akampigia simu Don Lucifer akamweleza yale maneno ya Pastor.
Doreen akampigia simu Don Lucifer akamweleza yale maneno ya Pastor.
Lucifer: Mpe body guard wa stoo anitumie hizo picha. Picha na majina ya Peteroo yakatumwa, Lucifer alipofungua alichoka, akamwita Shawn akamweleza kweli familia zetu hazipo salama yani KAKARACHA anataka kutumalizia maana ameshapiga kwa Carrie George amefariki na watoto wote wamelipuliwa.
Shawn: akasikitika na kushangaa juu.
Lucifer: akampigia simu Doreen wakapanga mbinu za kumkamata Peteroo.
Usiku huo huo Peteroo akaona simu ya Doreen inaingia, akafurahia kweli akijua Doreen amekolea
Usiku huo huo Peteroo akaona simu ya Doreen inaingia, akafurahia kweli akijua Doreen amekolea
Doreen: mpenzi umekuwa kimya natamani kukuona nimekumiss mbaya wangu, si unajua tena sikuile ulinipagawisha sana.
Peteroo: Kapata midadi anajua kweli demu kakolea, akamjibu nipo babe wangu, sasa tuonana lini?! Leo nipo free tunaweza onana pale pale ni book hotel?!
Doreen: sawa hamna neno saa 3 usiku nakuja tukeshe mpaka asubuhi
Peteroo: sawa!
Doreen: sawa hamna neno saa 3 usiku nakuja tukeshe mpaka asubuhi
Peteroo: sawa!
Doreen akawa anawaeleza plan yake wenzake Chanel na Adrienne, akampigia boss wa Lucifer, Boss Mzee, wakapanga jinsi ya kumfunga paka kengele.
Usiku kufika Doreen kajilipua na makeup ya Glambox, kufika Peteroo anamtolea manjicho mara keshajaa hataki salamu wala habari gani, kamdandia Doreen, Doreen akajinyofoa eh Peteroo hata salamu,.
Peteroo: samahani mpenzi huku anamchum shingoni
Doreen: akaongea nae kumbe amevishwa waya kwenye hereni Peteroo hajui kitu
Peteroo: samahani mpenzi huku anamchum shingoni
Doreen: akaongea nae kumbe amevishwa waya kwenye hereni Peteroo hajui kitu
Doreen: mpenzi nimekumiss sijakusikia ulikuwa wapi nikipiga haupatikani. Huku anampapasa kwenye machine
Peteroo: nilisafiri kwenda bondeni, uku anaskilizia utamu anaoguswa na Doreen, nilienda kikazi kuna mishe moja ya maana nimeipiga, imeniletea mil 200, ngoja nikae sawa nikuoe huku anamchumu.
Doreen: Wooow hongera sana baby I love you, mwaaah! Doreen kusikia pesa akajifanya chizi mapenzi, basi bebi uwe unanichukua na mimi tuwe tunaenda wote, huku anarembua macho maana kubakia pekeyangu unanipa shida sana, huku anamchumu!
Peteroo: nilisafiri kwenda bondeni, uku anaskilizia utamu anaoguswa na Doreen, nilienda kikazi kuna mishe moja ya maana nimeipiga, imeniletea mil 200, ngoja nikae sawa nikuoe huku anamchumu.
Doreen: Wooow hongera sana baby I love you, mwaaah! Doreen kusikia pesa akajifanya chizi mapenzi, basi bebi uwe unanichukua na mimi tuwe tunaenda wote, huku anarembua macho maana kubakia pekeyangu unanipa shida sana, huku anamchumu!
Unajua mechi ya mwisho ulinichanganya sana sikulala kabisa!
Peteroo: kakolea, na yela maneno ya Doreen na ile sauti yake nyororo akachizika na kulainika! ah bebii hizi kazi zetu hutaziweza, ni ngumu,
Doreen: nitaweza bebi kwani unanionaje si unaniona nilivyo mrembo unadhani kuna mwanaume ambae hatonasa hapa?!
Peteroo: kakolea, na yela maneno ya Doreen na ile sauti yake nyororo akachizika na kulainika! ah bebii hizi kazi zetu hutaziweza, ni ngumu,
Doreen: nitaweza bebi kwani unanionaje si unaniona nilivyo mrembo unadhani kuna mwanaume ambae hatonasa hapa?!
Peteroo: akimwangalia anakojoaaaa, ni kweli bebi ah ile mishen ya kiboya tu, nimeimaliza mwenyewe…kuna demu alimwitia polisi boss wangu akanituma nikamlipiza kisasi kwa niaba yake!
Doreen: oh! Kumbe wewe ni supamen, wooow! akaichomoa machine akaanza kula koni. Moyoni amekasirika kweli kweli anamtega tu saa ngapi Peteroo aongee kila kitu siri itoke.
Doreen: oh! Kumbe wewe ni supamen, wooow! akaichomoa machine akaanza kula koni. Moyoni amekasirika kweli kweli anamtega tu saa ngapi Peteroo aongee kila kitu siri itoke.
Peteroo: kakolea mpaka analia uuuwi we mrembo utaniua!
Doreen anaongeza dozi boss wa Lucifer anasikiliza upande wa pili wa like tukio.
Peteroo: analiia kama mtoto wa kliniki, ah jamani utaniua uuuwi eh! Doreen baaasi.
Doreen: sijui ndio misifa kazidisha doziii.
Peteroo: doliiiiiiiiniiiiiii hauuuutaaaa iiiiweeeeeeeezaaaaa kaaaazi zaaanguuuuuuuu. nilitumwa kumlipua dada m1 akawa hayupo ndio nimerudi, Doreen kamliza mpaka akakojoa. Siri iyooo imetoka kiboya boya! Mechi ikaisha.
Doreen: akaenda kupigwa mswaki akawa anajiandaa kutoka.
Peteroo: akamshika unaenda wapi tenaa?!
Doreen: Nina tumbo la siku ndio maana nimeamua kukupa raha wewe tu kwanza.
Peteroo: akamkumbatia, akamuomba waonane tena akimaliza tu siku zake.
Doreen: tutawasiliana hata kesho tunaweza onana.
Beibe Doreen akaondoka amemuacha Peteroo amelala hoiii kitandani, moja kwa moja kwa Boss Mzee, akamwambia kila kitu kipo sawa bado kumkamata. Wakapamga siku ya kumkamata Peteroo.
TUONANE LEO USIKU SAA 1 YA TANZANIA
_______________________________
SEHEMU YA 8
A. ASALI YA MZUNGU NA LIMAO YA USALITI
Adrienne bado yupo na Jeff, mapenzi moto
motooo!
Adrienne amedhamiria haya mahusiano yasiwe
ya kiboya asije pata mimba bure nikatengana na Shawn. Akawa anaicheza mechi kwa
makini na akili.
Tangu ameanza kucheza mechi kwa akili
Jeff anafungwa magoli 3 bila bila na Adrienne.
Sikumoja akamwuliza Jeff kwani
wewe kabila gani?!
Jeff: Mimi Mkinga!
Adrienne: kimoyomoyo akasema tobaa Mungu
mwema hapa ndumba ndio mahali pake, hawa waIringa nuksi sana! Akaanza kumkwepa
muda mwingi anasingizia mara anaumwa mara period mara watoto wanaumwa, kazini
anamkwepa pia anafunga mlangoa akija anakuta umelokiwa akimwangalia Adrienne
anamwona anasikiliza mziki na earphones!
Mwishowe Jeff akaona baaaaassssss! Huenda
kuna kitu mara Adrienne amdanganye mume karudi ah Jeff akaamua apotezee, affair
ikaisha!
Chanel nae hasikii, bado wanajiiba na Mark, kitumbo kimeanza kuchomoza kwa mbaali mimba ya miezi 7 sasa lakini fundi Mark alihakikisha anamkaza kisawa sawa ili mumewe akirudi amsahau.
Chanel nae hasikii, bado wanajiiba na Mark, kitumbo kimeanza kuchomoza kwa mbaali mimba ya miezi 7 sasa lakini fundi Mark alihakikisha anamkaza kisawa sawa ili mumewe akirudi amsahau.
Chanel sio kama wa mwanzo sasa hivi
amechoooka muda mwingi ni kulala, chakula chenyewe hali amepunguuua kweli!
Mark: Anajikaza kisabuni anamvumilia
akijua ni mjamzito, ingawa mechi ya Chanel haikutofautiana na mkewake Irene,
wakati mwingine Chanel anamtapigiw akiwa anamla koni anasema naskia
kichefuchefu, mpira unaahirishwa! hahahahahha!
Siku ya kumfunga Peterooo kengele ikawadia, furahiday Doreen akamwita Peteroo Kunduchi Beach.
Siku ya kumfunga Peterooo kengele ikawadia, furahiday Doreen akamwita Peteroo Kunduchi Beach.
Peteroo akaenda mazimaa lakini roho
inamuuma hakuelewa kwanini, kufika wakapata msosi, walipomaliza akamwambia
Peteroo kila siku tukionana tunaenda kulana leo nataka nione u romantic wako,
twende tukatembee beach.
Peteroo akakubali wakaenda kutembea beach
mara wanakiss, wanakumbatiana raha tupu. Wakiwa wanarudi kwenda reception kukodi
chumba mara mapolisi haooo, wakamfuata Peteroo.
Polisi: samahani wewe ndio Peteroo
Peteroo: Ndio.
Doreen: Kuna nini jamani huku anajifanya
anaogopa.
Polisi: akatoa pingu upo chini ya ulinzi
kwa kosa la mauaji.
Doreen: anazuga mauaji?! Kivipi?
Mapolisi: Mama wewe ni nani kwa huyu?!
Doreen: Ni rafiki yangu tunafanya nae
kazi!
Mapolisi: ahaa kwahiyo na wewe unahusika
kwenye mauaji?!
Doreen: hapana mimi sijui unachoongea
afande!
Polisi: kama wewe sio mke wake haya hayakuhusu
wakamshika Peteroo wakamfunga pingu, haya ongoza mbele twende, wakaondoka haoo
mpaka kwenye difenda akakaa chini.
Doreen: analia uongo na kweli jamaani
kuna nini jamaani , akaingia kwenye gari akampigia Boss Mzee akamwambia tayari.
Boss Mzee: Kesho uende selo ukampofushe
Peteroo na uwe unamtembelea kila week, aone haupo katika hili mpaka
nitakapokwambia acha.
Doreen: Sawa.
HUKO BONDENI:
Carrie akaamka, anawaza tobaa nimemfanyia nini George akawa anasali Mungu ananiona hii dhambi sijui nailipaje lakini machine jamani! Huyu Baba kweli kaletwa na Mungu akarudi kulala, lakini hakulala akakumbuka maneno ya Pastor, akashtuka akahesabu tangu Pastor aongee mpaka Chris kuja ni ndani ya wiki 2 dah kweli yule Pastor ni Noumer basi huyu Chris kaletwa na Mungu ila sasa kama ameoa nitakoma maana sio kwa raha niliopewa. Hizi raha ni adimu, akainuka kwenda kuoga, akarudi kupika breakfast.
HUKO BONDENI:
Carrie akaamka, anawaza tobaa nimemfanyia nini George akawa anasali Mungu ananiona hii dhambi sijui nailipaje lakini machine jamani! Huyu Baba kweli kaletwa na Mungu akarudi kulala, lakini hakulala akakumbuka maneno ya Pastor, akashtuka akahesabu tangu Pastor aongee mpaka Chris kuja ni ndani ya wiki 2 dah kweli yule Pastor ni Noumer basi huyu Chris kaletwa na Mungu ila sasa kama ameoa nitakoma maana sio kwa raha niliopewa. Hizi raha ni adimu, akainuka kwenda kuoga, akarudi kupika breakfast.
Chris akaamka kumkuta Carrie amekaa
mezani anapata chai, wakiangaliana wanaona aibu wanaanza kucheka.
Chris akajisevia breakfast wakawa wanaongea
mjane anauliza maswali Chris unaishi na nani Switzerland?!
Chris: nipo mwenyewe na biashara basi
Carrie: hauna mke na watoto
Chris: Am divorced, hatukupata watoto. Divorce (Talaka) iliniumiza sana nikaamua nikae mwenyewe imeshapita miaka 6 sasa nipo singo.
Carrie: Pole sana (kichwani anasema eh kwakweli sio kwa mechi ya jana, mpaka chiu yangu naona kama inataka kunyofoka!)
Wakapiga mistori, wakaenda kukaa sebuleni wanaongea, Carrie akimwangalia anajaa, akamsogelea Chris kwenye kiti alichokaa, wakaanza olympics!
Chris: nipo mwenyewe na biashara basi
Carrie: hauna mke na watoto
Chris: Am divorced, hatukupata watoto. Divorce (Talaka) iliniumiza sana nikaamua nikae mwenyewe imeshapita miaka 6 sasa nipo singo.
Carrie: Pole sana (kichwani anasema eh kwakweli sio kwa mechi ya jana, mpaka chiu yangu naona kama inataka kunyofoka!)
Wakapiga mistori, wakaenda kukaa sebuleni wanaongea, Carrie akimwangalia anajaa, akamsogelea Chris kwenye kiti alichokaa, wakaanza olympics!
Mzungu nae havumi lakini yumooo, hauezi
amini mechi ilipigwa pale pale kwenye kiti, Carrie juu Chris Chini. Kwichi
kwichi, kwichi kwichi mpaka kiti kikavunjika. Hatareee!
HUKO ULAYA:
Urusi wabongo wamejipanga kuingia vitani safarii hii anaenda pedeshee na Safaree ila safaree anajua Pedeshee ni mzungu kumbe mbongo mwenzake. Safaree akavaa mask ya muda mfupi tu, kulikuwa na event imeandaliwa na KAKARACHA ili kuwatunuku wafanyakazi wake, wakaenda wafanya kazi wooote Duniani, akina Pedeshee wamevaa camera kwenye miwani na kwenye vifungo vya shati, sherehe ikiwa inaendelea wakamwona Sungura kafanana pure kama Zubeda.
HUKO ULAYA:
Urusi wabongo wamejipanga kuingia vitani safarii hii anaenda pedeshee na Safaree ila safaree anajua Pedeshee ni mzungu kumbe mbongo mwenzake. Safaree akavaa mask ya muda mfupi tu, kulikuwa na event imeandaliwa na KAKARACHA ili kuwatunuku wafanyakazi wake, wakaenda wafanya kazi wooote Duniani, akina Pedeshee wamevaa camera kwenye miwani na kwenye vifungo vya shati, sherehe ikiwa inaendelea wakamwona Sungura kafanana pure kama Zubeda.
Safaree akaelewa kwanini Lucifer
alimshukuru kumleta Zubeda na kwanini alimwuliza yale maswali aliomwuliza.
Alimshangaa sungura hakuamini, kama asingemuacha Zubeda ofisini angehisi ni Zubeda
akajiambia kweli Duniani wawili wawili sio kwa kufanana huku!
Wakawa wana-trace majambazi wa kule, wakawaona wote.
Wakawa wana-trace majambazi wa kule, wakawaona wote.
Nyuma ya pazia Lucifer anawaandaa ma FBI
wa Urusi waje kuwakamata wahalifu, Safaree na mipango wake ya kujiunga na
KAKARACHA ikawa imewadiwa, wenzake wakimwelekeza hivi yeye anafanya vengine.
LUCIFER: hapa tunaumbuka, akifa Safaree
atakuwa amejiua mwenyewe wakamuacha, KAKARACHA alipomaliza hotuba akaondoka na
Sungura kwenda ofisini, Safaree akawafuata kwa nyuma, akazuiliwa na ma-body
guard wa KAKARACHA wacha wapigane bwana, ngumi na wewe fujo zikaanza, ikabidi
watu wakimbie nje kutoka nje mapolisi haooo mia 8, kamata kila mtu weka ndani
Safaree nae anapiga kweli body guard chini wameangushwa huku anatumia silaha,
kuingia ndani alipo KAKARACHA akakuta hamna mtu, dah! kamkosa akaamua kurudi
kwa Lucifer.
Lucifer anafoka anawaka anamgombeza, we
mjinga sana nakuweka nje ya kesi, ingawa tumekamata wengi lakini haurudi tena
akafungwa kwenye selo lao ndio ikawa mwisho wake wa uhuru.
Zubeda hana taarifa kuwa Safaree kafungwa
yeye kasafirishwa kwenda mji mwengine kufundishwa ngumi maana ilibakia mishen 1
tu wafunge kazi kama itatiki.
HUKO BONGO:
Doreen kiila siku anaenda Segerea kumtembelea Peteroo anamtia moyo ili kumzuga, Boss Mzee aliposikia Doreen kakiuka masharti akamwambia hamna kwenda tena inatosha, akamuaga Peteroo akamwambia nasafiri naenda marekani nitarudi najitahidi nirudi kusikiliza kesi yako! Peteroo kubwa jinga linaamini kumbe hamna kitu!
HUKU BONDENI:
Carrie na Chris mambo yakawa mazuri, Carrie sasa ameshasahau kama ni mjane, Chris nae alitakiwa aondoke baada ya siku 1 kasogeza siku mbele, wamejifungia ndani wakachoka wakaamua kutoka, majirani sasa kwa umbea, umbea ukamfikia Mama mkwe.
HUKO BONGO:
Doreen kiila siku anaenda Segerea kumtembelea Peteroo anamtia moyo ili kumzuga, Boss Mzee aliposikia Doreen kakiuka masharti akamwambia hamna kwenda tena inatosha, akamuaga Peteroo akamwambia nasafiri naenda marekani nitarudi najitahidi nirudi kusikiliza kesi yako! Peteroo kubwa jinga linaamini kumbe hamna kitu!
HUKU BONDENI:
Carrie na Chris mambo yakawa mazuri, Carrie sasa ameshasahau kama ni mjane, Chris nae alitakiwa aondoke baada ya siku 1 kasogeza siku mbele, wamejifungia ndani wakachoka wakaamua kutoka, majirani sasa kwa umbea, umbea ukamfikia Mama mkwe.
Mama mkwe: kaja juu yani hata 40 ya
mwanangu haijapita anaanza kutembea na wazungu aibu gani hii?! Akampigia simu
Carrie kumwuliza, Carrie nae ana majibu!
Carrie: Hapana mama mimi sitembei nae huyu
ni mfanya biashara Partner wa George alikuja juzi ( mwongo kumbe kamaliza wiki
2) ndio naenda nae kwenye vikao.
Mzungu: kuona Carrie kalemewa akaomba
aongee na Mama yake George, Pole Mama, Carrie atanileta nije kuwapa pole na
mume wako.
Mama Mkwe akaamini lakini akaenda
kumweleza mumewe, mumewe akamwambia Mama George acha matatizo yule ni mjane sasa,
yupo huru kuolewa na mwanaume yoyote kuanzia hata kama 40 haijafika, sisi huko
hatupo tena, tulimpoteza binti yetu pale mwanetu alipokufa, nimeshaikubali hii
hali nakushauri na wewe ufanye hivyo! Acha kumwandama mtoto wa watu nae pia ana
wazazi ataenda kukusemea tuaibike!
Mama mkwe akapoa ila si unajua akina mama
wakwe tena, kaanza kurapu hapo huyu alimpendea mwanangu kwa pesa zake, akiwa na
shogazake anachonga kweli kweli, muhuni tu kwanza kafurahia mume na watoto kufa
huenda yeye ndio kamuua!
Carrie na Chris wapo buzy wanajivinjari mahotelini
na Chris wanasafiri miji mingine tofauti na ule ambao walikuwa wanaishi, maana
walishajua majirani ni soo.
Carrie wa zamani amefufuka anakata mauno
kweli kweli, kiru! Chris kamkubali waafrika watamu, akawa anajiambia moyoni
mwake Once you go black, you can’t go back! Sio kwa utamu ule wa mauno aliokuwa
anapewa!
TUONANE KESHO TAR 1 SEPTEMBER 2018 SAA 8 MCHANA YA TANZANIA
_______________________________
B. LIMAO YA VITA NA ASALI YA UCHUMBA
KAKARACHA akaona jinsi gani mishe lake limevurugwa, watu wake, supplier wake wamewekwa ndani
wooote amebakia na body guards, sungura na PA wake.
Anahaha Serikali yake inataka kumfunga! Rerikali ya kirusi
sio ya mchezo mchezo! Ikikukamata msala wake utajuta kuzaliwa, kachanganyikiwa
anawaza hajui aende Mexico au? Akahisia labda Mexico na Marekani yote na Nchi
za Scandnavia wameshaweka watu Airport na ruti za panya, akaona akimbilie
uarabuni, ila Uarabuni nako sio, ngoja niende KENYA, System ya Kenya ya
kukamata wahalifu bado mbovu, wakapanga na Sungura.
Sungura: Kenya nako pana taiti hii ni karne ya 21 utaumia
twende zetu Bongo, kumbe ndio anammaliza.
Bongo system laini hakuna mfano wake! Unaweza ukaibwa
usikamatwe na ukaachiliwa ukiwa na hela. Sungura anaendelea kumlisha sumu,
kumbe mmoja wa Body Guard ni James, amevalishwa vifungo ambavyo wakina Lucifer
wanaskiliza.
Lucifer: oh! Bongo tena, anaweza akapita lakini kuishi ngumu,
lazima hili swala nilimalize mwenyewe anamwambia Shawn na Pedeshee, huyu sitaki
aingie Bongo atalindwa lindwa wee itakuwa msala, moyoni anawaza sijui kama
nitamuoa Doreen wangu!
Pedeshee: akiwa anamsikiliza kwa makini Don Lucifer,
akapata akili ya ziada.
KAKARACHA: Buzy anapanga panga akasema basi leo usiku tukutane chemba yetu karibia na Airport mnibadilishe sura niwe Mwafrica kabisaa kama mBongo.
KAKARACHA: Buzy anapanga panga akasema basi leo usiku tukutane chemba yetu karibia na Airport mnibadilishe sura niwe Mwafrica kabisaa kama mBongo.
Sungura akamsindikiza mpaka eneo la tukio, madokta
specialist wa kubadilisha sura wakajaa wanajiandaa kufanya yao. Wamelipwaje
sasa, James kama Body Guard akawa anacheki tukio linavyoenda, mara sungura
amtumikishe anaenda kama mjinga kichwani anasema hili soo likiisha narudi kwa
mpenz wangu Doreen.
Akawa amekishika kile kitambaa cheupe kuelekea alipotumwa,
kweli kupendwa raha, hasa ukipendwa na wanaume wawili wa nguvu kwa mapenzi ya
kweli.
Ikapita siku ya 1 ya pili, ya 3 bado siku 2 KAKARACHA amaliziwe uso aanze safari ya kwenda Afrika kujificha mpaka aunde tena team nyingine, kina Lucifer wanahangaika watamfungaje paka kengele, Zubeda yupo buzy anachukua training za kufa mtu, asijue alipo boss wake Safaree.
HUKO BONGO:
Safaree akarudishwa Bongo, kufika hotelini akapokelewa na Boss Mzee, akajua kapandishwa cheo kumbe arobaini yake imefika, akafika ofisini kwa Boss Mzee akakaa sasa asikilize maelekezo, mara wanaingia mapolisi 5, akaambiwa upo chini ya ulinzi kwa kuwa jambazi sugu la kimataifa.
Ikapita siku ya 1 ya pili, ya 3 bado siku 2 KAKARACHA amaliziwe uso aanze safari ya kwenda Afrika kujificha mpaka aunde tena team nyingine, kina Lucifer wanahangaika watamfungaje paka kengele, Zubeda yupo buzy anachukua training za kufa mtu, asijue alipo boss wake Safaree.
HUKO BONGO:
Safaree akarudishwa Bongo, kufika hotelini akapokelewa na Boss Mzee, akajua kapandishwa cheo kumbe arobaini yake imefika, akafika ofisini kwa Boss Mzee akakaa sasa asikilize maelekezo, mara wanaingia mapolisi 5, akaambiwa upo chini ya ulinzi kwa kuwa jambazi sugu la kimataifa.
Safaree: Anakataa zile shutuma.
Boss Mzee: akafungulia zile Audio za Peteroo, akamwuliza
huyu sio mtu wako? Mbona anakutaja?
Safaree: anakataa akaambiwa utaletewa Mwanasheria wa
kukutetea, akafungwa pingu akaondoka kuelekea jelaaa. Amenuna, amechoka sio kwa
kukamatwa kiboya namna ile, maisha ya jela hatari hajazoea.
Kufika siku ya kwanza watemi wanamtesa mara wanamgeuza
mwanamke tabu kibao, ila hakubali ana fight, kufight akapigwaaa kweli kweli
akaishia kugeuka wife ya Taicoon wa jela..
HUKO ULAYA:
Lucifer: sasa imebakia siku 1 KAKARACHA akimbie ngoja mimi nipande kama Body guard nikaimalize hii mishe.
HUKO ULAYA:
Lucifer: sasa imebakia siku 1 KAKARACHA akimbie ngoja mimi nipande kama Body guard nikaimalize hii mishe.
Akawaambia Shawn,
Stan na Pedeshee wabaki ili wampe ramani, asipande mwengine yeye atapanda na
Zubeda maana anafanania na Sungura wakakubaliana haooo wakaingia kwenye mishe!
Akina Shawn wakaongea na Serikali ya Rusia, kuomba sapoti na back up kwa akina
Lucifer walipoenda.
KAKARACHA: Yupo buzy, sura imeshatengenezeka, Sungura yupo beneti anampeti peti, James fake body guard analinda, akina Lucifer hao na Zubeda wakaingia, maana kumfikia KAKARACHA sio mchezo, wamepita njia za panya lakini parefu sio kidogo hivyo hivyo mpaka wakaufikia mlango wa kuingia kwa KAKARACHA.
KAKARACHA: Yupo buzy, sura imeshatengenezeka, Sungura yupo beneti anampeti peti, James fake body guard analinda, akina Lucifer hao na Zubeda wakaingia, maana kumfikia KAKARACHA sio mchezo, wamepita njia za panya lakini parefu sio kidogo hivyo hivyo mpaka wakaufikia mlango wa kuingia kwa KAKARACHA.
Walinzi kibao wakaanza kupigana kwa silaha wakawamaliza.
Lucifer akamwambia Zubeda nenda mlango wa nyuma mimi naenda
wa mbele, akafika wa mbele akaubomoa na bomu, akina KAKARACHA na Sungura wakashtuka,
shida imeshatufikia, ma body guard haoo wanamfukuza Lucifer, wanapigana nae,
Lucifer akawashinda kwa silaha! Sungura, KAKARACHA, na bodyguard fake James wakawa
wanakimbia kwenda msituni.
Zubeda akakutana nao mlango wa nyuma, akamuwasha ngumi
KAKARACHA ya uso, KARAKACHA chini kapoteza network.
James akamdaka akawa anampuliza.
Sungura akamfuata Zubeda, anashangaa mbona wanafanana sana,
wakawa wanapigana huku wanaongea,
Sungura: wewe ni nani umevaa sura yangu
Zubeda: wewe ni nani umeiba sura yangu huku ngumi zinapigwa, mkono mkononi, mara Zubeda anashinda mara Sungura anashinda, bodyguard James na KAKARACHA wanakimbia mbele.
Sungura: wewe ni nani umevaa sura yangu
Zubeda: wewe ni nani umeiba sura yangu huku ngumi zinapigwa, mkono mkononi, mara Zubeda anashinda mara Sungura anashinda, bodyguard James na KAKARACHA wanakimbia mbele.
Sungura: akampiga hakujua kuwa Yule ni twin
wake
Zubeda: piga piga na wewe, ngumi ngumi, akachukua kisu akamchana uso akijua ile sura sio yake kumbe yake.
Zubeda: piga piga na wewe, ngumi ngumi, akachukua kisu akamchana uso akijua ile sura sio yake kumbe yake.
Akashangaa, akiwa katika kushangaa Sungura akampiga teke la
uso Zubeda akaanguka chini akazimia.
Sungura akakimba kuelekea kwa KAKARACHA, mara Lucifer huyoo
akamuwahi na kumpiga teke la mgongo, akaanguka chini, akamfuata akamsimamia kwa
mbele, akachukua bastola akampiga risasi ya paji la uso, Sungura akafa.
Lucifer akaanza kumfukuzia James na KAKARACHA, wamefika mbali
kweli, akawa anajitahidi kukimbia.
Huku nyuma Zubeda akaamka, akainuka kwenda mbele anamkuta Sungura amekufa, roho ikawa inamuuma anajisema my Sister! Natamani tungejuana mapema, samahani yamekupata yaliokupata! Nisingekuwa upande wa Pili ningekusitiri, akambeba akaenda nae mpaka kichakani akawa anachimba shimo amfukie.
Huku nyuma Zubeda akaamka, akainuka kwenda mbele anamkuta Sungura amekufa, roho ikawa inamuuma anajisema my Sister! Natamani tungejuana mapema, samahani yamekupata yaliokupata! Nisingekuwa upande wa Pili ningekusitiri, akambeba akaenda nae mpaka kichakani akawa anachimba shimo amfukie.
Huku nyuma Pedeshee kajiiba akaondoka kuelekea eneo la
tukio, kufika anamwona Zubeda anamfukia mtu anafanana na yeye; hakujua aliekufa
ni Sungura au Zubeda akawa anaangalia movement zinavyoenda, mpaka amemaliza
akamfukia, akaondoka anawakimbilia akina Lucifer akiwa na silaha! Pedeshee akaunga
tela mdogo mdogo hakuna anayemuona.
HUKO
BONGO:
Warembo wamekaa wanapiga umbea nyumbani kwa Doreen, Chanel akashtuka, mh mbona kama siko vizuri leo! Roho inaniuma sana, Doreen nae akasema hata mimi roho inaniuma sana sijui kuna nini!
Warembo wamekaa wanapiga umbea nyumbani kwa Doreen, Chanel akashtuka, mh mbona kama siko vizuri leo! Roho inaniuma sana, Doreen nae akasema hata mimi roho inaniuma sana sijui kuna nini!
Adrienne: anawashangaa, basi tukalale maana hapa nimechooka
nimetoka Kanisani naskia kuchoka choka.
Chanel akakumbuka maneno ya Mchungaji akawaambia wenzake
tukakae Chumbani tuwaombee waume zetu
yasije kutupata ya Carrie maana na Carrie nae alianza hivi hivi sikumwelewa,
wakaenda Chumbani wakaanza maombi, shindwa kwa jina la Yesu shetani tokaa
unaetaka kuwaua waume zetu shindwa wakashikana mikono wakawa wanaomba.
Doreen roho inamwuuma kama inataka kumtoka akawa analia
kwenye maombi anaomba kwa machozi, mama mkwe anawashangaa hawa leo wamekumbwa
na nini?
Mbona maombi makali hivi! Akaenda kuwachungulia watu
wanagalagala chini kama machizi, wanaomba akaamua kufunga mlango akarudi kukaa
na watoto na dada wa kazi Mama Mzee.
HUKO BONDENI:
Carrie na Chris mchezo umekolea, Chris akamfundisha style mpya Carrie ambazo alikuwa anazijua, kweli mechi haina fundi, Carrie kila siku anatolewa knock out!
HUKO BONDENI:
Carrie na Chris mchezo umekolea, Chris akamfundisha style mpya Carrie ambazo alikuwa anazijua, kweli mechi haina fundi, Carrie kila siku anatolewa knock out!
Chris mtamu kwa Carrie, Carrie mtamu zaidi kwa Chris, Chris
kachizika kwa mechi anazopewa na Carrie hataki kumwachia, kwa siku ligi
inapigwa zaidi ya mara 5.
Ikawa imebakia siku 1 ifanyike sherehe ya Arobaini ya George na wanae, wakajiandaa kutoka mji mwengine kurudi Capetown alipokuwa wanaishi Carrie. Carrie akiwa anavaa kapiga kichupi na bra Chris akaingiza mkono mfukoni mwa suruali yake akatoa Pete!
Chris: Carrie najua tumejuana kwa muda mfupi sana lakini kila sekunde inavyoenda siachi kukupenda, ni kama tumekutanishwa na Mungu na George ametia saini, you make me soo happy, kila siku, kila saa, kila dakika…
Ikawa imebakia siku 1 ifanyike sherehe ya Arobaini ya George na wanae, wakajiandaa kutoka mji mwengine kurudi Capetown alipokuwa wanaishi Carrie. Carrie akiwa anavaa kapiga kichupi na bra Chris akaingiza mkono mfukoni mwa suruali yake akatoa Pete!
Chris: Carrie najua tumejuana kwa muda mfupi sana lakini kila sekunde inavyoenda siachi kukupenda, ni kama tumekutanishwa na Mungu na George ametia saini, you make me soo happy, kila siku, kila saa, kila dakika…
Carrie: macho yanamtoka hajui asemeje, akiangalia kesho ni arobaini ya mumewe na watoto anavishwa pete siku ya 39 kweli miujiza!
Chris: akaendelea kuongea, Carrie nakupenda nataka nikuoe hata leo.
Carrie: anacheka anamwambia we chizi..
Chris: anazidi kumwaga ung’eng’e, kha! Mmachame ana nyota kali,
sio kwa zile mechi za Olympic, akamsifia baadae akapiga goti will you marry me
my love?!
Carrie: Anatoa machozi, hajui afanyaje kapatwa na kigugumizi, Chris wa watu bado anasubiri jibu…
Carrie: Anatoa machozi, hajui afanyaje kapatwa na kigugumizi, Chris wa watu bado anasubiri jibu…
TUONANE LEO SAA 12 JIONI YA TANZANIA KWENYE PAGE INAYOFUATA
0 comments