SOME LEMONADE FOR YOU.. PART 1 - MWANZO
- July 18, 2018
- By Money Penny Tz ~ Stories
- 0 Comments
Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeey!
Hii
stori jomon ni taaaaamuuuu, taaaamuuu sanaaa, sijawahi kuiandika hapa ila kuna
mahali niliiandika
sitaki
muikose ingawa original story yake nitaiweka kwenye Vitabu nitakavyotoa
Ina
sehemu ya 1.... 2..... 3.... 4 kama ni movie unaweza sema Movie 1, Movie 2,
Movie 3,
Yani
usipange kukosa, mambo yatakuwa ni motoooooo!
Ukiikosa
Utapata Tabu sanaaaaa!
Kwanini
nimeiita "SOME LEMONADE FOR YOU (LIMAO KWA AJILI YAKO)"
Kwasababu
maisha sikuzote hayapo mteremko, laini, mazuri, matamu, kuna kupanda kushuka,
kuanguka, kuteleza, kulia, kuhuzunika, kuchoka, kukata tamaa, kufa,
ndio
maisha halisi tulioumbiwa kwa sasa mpaka Muumba anapokwambia baaaaas!
Maisha
hayakupi tu Asali lazima yatakupa Limao kabla haujarudisha namba kwa Muumba!
Kama
nilivyojieleza, kwenye Blog hii Hadithi zangu zote zitakuwa zinahusu mambo ya
Maisha, Mapenzi na Mahusiano tu!
Hadithi
nazoandika ni halisi, maisha ya watu kama mimi na wewe waliopitia, wengine
wamepita, wengine wamezeeka wanaitwa vikongwe, wengine wanaitwa watu wazima n.k
Maisha ni matamu kama hautayakatia tamaa! Lazima uwe mtu wa tofauti ukipata changamoto zote ktk maisha!
Natumaini
utajifunza vitu vingi kupitia Hadithi Hii
Usisahau kumkaribisha na mwenzako na kumtaarifu Asikose!
_______________________________________________________
CAUTION/ TAHADHARI:
TAFADHALI USICHUKULIE BINAFSI (PERSONAL)
____________________________________
SEHEMU YA 1
A. HAPO ZAMANI ZA KALE
"SOME LEMONADE FOR YOU MADAME" akauliza BUTLER
"HAPANA,
SITAKI". akajibu!
Akiwa amelalia hammock, saa 11 jioni jua likizama, akaendelea kusema kwa sauti ya chini, mume wangu anakuja, naamini anakuja, bado namsubiria, naamini mume wangu hatoniangusha atakuja tu, weekend hii lazima nikaonane nae hotelini hata kama hatofika hapa nyumbani kwasababu ya kazi yake.
Akashuka kwenye hammock akaanza kucheza mziki wa blues,
anawaza mume wake karibu nae wanacheza kuelekea kwenye bahari!
Marafiki zake Adrienne, Carrie and Chanel
wakimwangalia Doreen kwa huruma na machozi,
“ siamini, tunampoteza rafiki yetu kwenye ukichaa, na huyu mumewe kwani yupo wapi lakini? akauliza Channel
“Yuko wapi binti yake Sandra, tumemsubiri zaidi
ya masaa 2 sasa” akauliza Adrienne.
“Nakuja jamani, huku anakimbia, samahani
nilienda kuchukua keki ya mama, samahani kwa kuwaweka mama zangu, shikamooni
wote,” akasema Sandra
“Marahaba”, wakajibu kwa pamoja.
“haya tufanye haraka, mimi natakiwa kuwahi
airport nasafiri kwenda Geneva, nina kikao kesho asubuhi na ndege inaondoka saa
4 usiku hata sijapaki nguo” akasema Carrie.
Wakatandika nguo nzito wakatengeneza picnic
ndeefu, huku wakimwangalia Doreen, akicheza kuelekea baharini.
“Mama hapana jamani, usiende huko”, akaita Sandra, usije ukazama huko, huku akimkimbilia kwa nguvu kwenda kumtoa kwenye maji, akamfunika na taulo na kumfuta, wakarudi kwenye picnic.
Saa 12 jioni na jua lilikuwa limeshazama, wakakaa wakala na kunywa, wakamwimbia happy Birthday Doreen, tunakupenda sana na tupo kwa ajili yako daima.
Doreen akatabasamu, “nawapenda pia marafiki zangu na mtoto wangu mzuri”.
MIAKA 10 ILIOPITA.
“Jamani,
kesho twendeni Kanisani, kuna mkesha wa wadada singo, masaa 2 tu, ni Ijumaa
usiku na hatuna cha kufanya,
hatuna mabwana,
hatuna hela kiiivyo,
tumejichokea,
bora twende kwa Bwana YESU, tukalale huko huko
angalau atatukumbuka!” akasema Adrienne.
Doreen: “NIMECHOKA NA MAMBO YA KANISA ASEE, nimeokoa miaka 13
iliopita, bado naishi kama mtumwa, mfungwa
sina raha, maisha yangu hayaendi, sidhani kama nitaenda”,
Kanisa lipo kwa ajili ya kutuchanganya maishani mwetu tu, kwahiyo siendi nyie nendeni.
Carrie, “mimi sina cha kufanya ijumaa usiku,
kwahiyo nitaenda”
Chanel, “ poa nitaenda, ila kuna huyu mume wa
mtu anataka aje alale kwangu ijumaa,
Yani nimemchooooooka, kwanza mbahiiiiiiiliii alafu ananiletea maupwiru yake haachi hata sumni akiondoka.
Hanisaidii kitu, ngoja nimpigie kwanza, nimweke na loud speaker, mumsikie atasemaje”
Simu
ikaita kwa sauti hii:
Alaaaaaaaaaaaaaaah wakkkkkkkkkkkkbarrrr
alaaaaaaaaaah wakbar,
Ashwarwaaaailaaa yainlah aulwaaaaaaa,
ashwarwannnnnnnnn,
Namuhamuuuuuuuuuuuu namuuuuuuhamad alaaaaaah
ashwanlaaaaa,
Inlah lwaaaaaa,
yainlanlwaaaaaaaaaa,”
Baada
ya kuita dk 2, Simu ikapokelewa.
Mume wa
mtu: Hello Baby, nambie, sorry nimechelewa kupoikea nilikuwa nanawa mikono
nimetoka msalani.
Chanel: Oh Daddy Shuga wangu! pole kwa usumbufu,
nilitaka kukwambia kesho sitakuwepo nyumbani, silali nyumbani kesho.
Mume wa mtu: hautakuwepo kivipi wakati mimi nimeshaaga kwa
mkewangu nasafiri ili nije kuspend weekend na wewe?
Chanel: naenda kanisani kwenye mkesha wa mabinti,
kurudi jumamosi saa 1 asbh
Mume wA
mtu: ahaaa!, ushapata bwana mwengine nini ndio unaanza vituko?
Ina maana umetupanga sio?
huyo kesho, mimi siku nyingine?
sawa mama, wewe niombee na mimi, nitakuja jumamosi saa 1 usiku basi”
Chanel: akakata simu, naona na mimi naenda mkesha sasa.
Natumaini Mungu wako ni mkweli, sitaki
kumteketeza miaka 30 yangu kama nilivyoiteketeza miaka 20 yangu Adrienne.
Doreen: aya
basi nitawasindikiza wapendwa wangu, maana sina hata cha kufanya, nimekaa
nyumbani miaka 4 bila ajira, nikikaa tena ndani on ijumaa hii nahisi
nitapasuka.
Wote:
wakacheka, wakiwa wamekaa wakila na kunywa, THE SLIP WAY.
Yani umwache Mungu kwa ajili ya mume wa mtu? doh!, hata shetani atakushangangaa. akasema Adrienne.
Wote wakacheka, wakiwa wamekaa wakila na
kunywa, THE SLIP WAY. Yani um-by-pass Mungu for that married man, hata shetani
atakushangaa” said Adrienne.
"Sasa
baada ya mkesha tunaenda wapi?
Namaanisha
Jumamosi usiku, au ndio kwa Dj John Deling Matloo tenaa?
Maana
Carrie amekukremisha huko kiila weekend tupo huko aisee, ndio maana tupo singo”
akaongea Chanel
“HAPANAAAA”, wakajibu wote.
ITAENDELEA JUMAMOSI HII YA TAR 21 JULY 2018 SAA 10 JIONI YA TANZANIA
__________________________________________________
B. MKESHA WA MAOMBI NA MAJIBU YAKE.
Doreen: “mh!, my dia. Nina miaka 32, nazeeka unajua! Nahitaji mwanaume mtu mzima, miaka 44-4, ambae yupo singo, tajiri, amefanikiwa kwenye maisha, mwanaume atakaenipenda na kunitunza, atakaenipenda kama Kristo alivyolipenda Kanisa.
Wote: Vp kuhusu Paul? Mpenzi wako wa miaka 10 wa chuo?!” Utamuachia nani Paul?!
Carrie: akajibu kwa hasira, tafadhali yani wala sitaki, msinikumbushe hilo jina, kwanza naenda kumshitaki kwa Yesu kesho, simtaki kabisaa,”
Doreen: “Kulikoni tenaaa? Miaka 10 ya mahusiano alafu unamtupa Paul nje?”
Carrie: woyooooo mama ya Yesu umejibiwaaaa fastaaa! hapo hapo shogangu wala usiache kumpigia, akaichukua ile namba akaisave kwake, baadae akamrudishia Doreen akamwambia shogangu wewe navyokujua utaitupa, nimeisave, usipompigia mimi nampigia nampa namba yako.
Walipofika nyumbani, Adrienne akasema, “jamani mimi nimempenda sana Mark, anaonekana anaupendo sana, nina uhakika Chanel na Mark watakuwa couple nzuri sana.
“ Mimi naona baada ya mkesha tukae tu nyumbani, mje kwangu tufanye sleep over ya Jumamosi alafu tupange twende wapi siku ya Jumamosi usiku na Jumapili” : Doreen.
Wote watatu wakakubali, ila Chanel akasema sasa na huyo sugar daddy wangu inakuwaje?
Wenzake: Tunazima simu yako, tunaifungua jumapili mchana, asituletee shobo.
Wote watatu wakakubali, ila Chanel akasema sasa na huyo sugar daddy wangu inakuwaje?
Wenzake: Tunazima simu yako, tunaifungua jumapili mchana, asituletee shobo.
Carrie: Imefika wakati sasa ubadilishe kabati lako ikiwa kuhusu wanaume, huyo mume wa mtu hata tsh 10 hakupi, sasa unampa kipaumbele cha nini labda? wakati yeye ni mnyonya damu tu kwenye maisha yako?”
Wote wakakubaliana.
Carrie: kwahiyo, Doreen, kwenye mkesha utamwomba nini Mungu? Akupe nini? Kazi, mume, hela, biashara, au uraia wa ulaya
Carrie: kwahiyo, Doreen, kwenye mkesha utamwomba nini Mungu? Akupe nini? Kazi, mume, hela, biashara, au uraia wa ulaya
Doreen: “mh!, my dia. Nina miaka 32, nazeeka unajua! Nahitaji mwanaume mtu mzima, miaka 44-4, ambae yupo singo, tajiri, amefanikiwa kwenye maisha, mwanaume atakaenipenda na kunitunza, atakaenipenda kama Kristo alivyolipenda Kanisa.
Mwanaume Taajiri, Mkristo, mwenye upendo, asie na kibamia kabisaa maana si kwa wowowo hili la Kim Kardashian nililokuwa nalo”
Wote: wakacheka.
Doreen: Hayo ndio maombi yangu ya kila siku, kwahiyo kesho naenda kumkumbusha Mungu tu wala sina maombi mengine”.
Carrie: Enhe! mama Serengeti boys Adrienne, wewe unaenda kumwambiaje Bwana Mungu?,
Adrienne: Sawa tu na Doreen, ila miaka 44-46 hapana asee, labda kuanzia miaka 38-41.
Adrienne: Sawa tu na Doreen, ila miaka 44-46 hapana asee, labda kuanzia miaka 38-41.
Hawa vijana wapo vizuri kwenye mechi we acha!, hao wa Doreen wamechoka!”
Wote: wakacheka.
Carrie: Na wewe mama sugar daddy Chanel?
Carrie: Na wewe mama sugar daddy Chanel?
Chanel: “Mimi kwakweli kubeba misalaba ya waume za watu nimeshachoka afu wala sipendi, basi tu hata sijui huyu bwana kaniloga?!
Ila kwakweli mimi Mungu anisamehe tu sio kwamba napenda kutembea na waume za watu, ila kiukweli alivyosema Doreen nakubaliana nae, wale wenye umri 44-47 wanajua kupenda, kujalie, hawana stress, ila awe single, kwahiyo kama bwana Yesu atajibu maombi ya Doreen na mimi yangu yatakuwa yamejibiwa.
Ila mimi napenda wanaume warefu weupe lakini sio wazungu kama bibie Carrie hapa!”
Carrie: eh mh hapo kwa wazungu kama umenikuna mwana, mimi siungani na yeyote kati yenu, kwanza wanaume wa kitanzania wamechooka, wanakera kwakweli, hata siwapendi, Mungu aniletee Mzungu, mrefu mfupi hata sijali, ilimradi mzungu, miaka 40-43, hao ndio wametulia kwa wazungu, Mkristo, taajiri, ninaamini kwenye utajiri maana utajiri kwa wazungu ni wealthy kwa kibongobongo.”
Wote: Vp kuhusu Paul? Mpenzi wako wa miaka 10 wa chuo?!” Utamuachia nani Paul?!
Carrie: akajibu kwa hasira, tafadhali yani wala sitaki, msinikumbushe hilo jina, kwanza naenda kumshitaki kwa Yesu kesho, simtaki kabisaa,”
Doreen: “Kulikoni tenaaa? Miaka 10 ya mahusiano alafu unamtupa Paul nje?”
Carrie: yani nyie niacheni tu nisije nikaanza kulia, iyo miaka 10 ya mahusiano utadhani nimepelekwa Jela, ni sheedah, mapenzi yangu kwake yalishaisha tulipofika mwaka wa 5, baada ya kuanza kuwatongoza wafanyakazi wenzangu benki, kalala na waimba kwaya kanisani kwetu hadi aibu, mpaka kanisa naliona chungu kwenda,
Tisa kumi, vidada vyenyewe vya kanisani vilivyo vilughalugha, basi vikishaliwa, vinakuja kwangu na mapozi kuniringishia,
Mimi sipo kwenye mahusiano tena, nilishaachana na Paul wiki iliopita kabla ya harusi ya Katarina, basi tu nimewaficha maana ni mshenzi.”
Wenzake: wakabakia midomo wazi wanajiuliza je kweli haya mahusiano yameisha? au wanatuzuga hawa? Maana ndio kawaida yao, mara wanarudiana mara wanaachana, wanawaka na kuzima kama umeme wa Tanesco!”IJUMAA USIKU:
Mchungaji: Nawote tuseme AAAAAAAAAAAAAAMEN kubwa!”
Mchungaji: Nawote tuseme AAAAAAAAAAAAAAMEN kubwa!”
Mabinti: AAAAAAAAAAmen.
Ulikuwa usiku wa mkesha wa wadada walio singo Kanisani
Ulikuwa usiku wa mkesha wa wadada walio singo Kanisani
Doreen, Carrie, Chanel na Adrienne hawakukosa, wote wakiwa kwenye miaka yao 30, wapo singo wamechanganyikiwa muda unaenda lakini maisha yao hayaendi!
Maisha kwao yalikuwa machungu, wakajiambia hata yaje maji ya moto au kuzimu lazima wote tupate waume toka kwa Mungu, tumechoshwa na hivi vipima joto wanaoitwa Serengeti boys kwenye maisha yetu,
Tunahitaji wanaume wa kweli, watu wazima, wenye akili zao nzuri, wenye hekima, mashupavu, wanaojua kupenda na kujali, matajiri, tumechoka na wanaume wa mishen town, kwahiyo usiku wa leo mpaka kieleweke Mungu lazima ajibu fasta Ooo! Wakajisemea mioyoni mwao wote.
Mkesha ulikuwa wa hatari, wasichana walikuwa 30 na wavulana 3,
Mchungaji akashituka, akaanza kuwauliza, “mbona hamna wavulana humu?
Kanisa limejaa wakina dada, tena wazuri.
Yani inamaana hawa wanaume wa ki-Tanzania hawawaoni au?
Nyie wote ni warembo, wazuri, basi kama hamna wanaume tuanze kumwomba Mungu awaletee wanaume toka nje ya Tanzania wawaoe”.
Carrie: AAAAAAAMEN Pastor, kwa nguvu mpaka Pastor akamuona, akamwambia nimependa Amen yako ya nguvu na Mungu akupe!
Carrie: AAAAAAAMEN Pastor, kwa nguvu mpaka Pastor akamuona, akamwambia nimependa Amen yako ya nguvu na Mungu akupe!
Wenzake: wakaanza kumcheka.
Basi mkesha ukaendelea, likaanza neno, baadae maombi, walipokaribia kumaliza, mchungaji akawaita mbele ya madhabahu, akawaambia:
Basi mkesha ukaendelea, likaanza neno, baadae maombi, walipokaribia kumaliza, mchungaji akawaita mbele ya madhabahu, akawaambia:
Wale walio kwenye mahusiano warudi nyuma,
Wale singo kabisa wabaki mbele.
Kwahiyo akina Adrienne, Chanel, Carrie, Doreen pamoja na wadada wengine 12 wakabaki mbele.
Mchungaji: Wale waliobaki mbele waanze ku-imagine waume ambao wanatamani Mungu awape, na kuanza kuomba..
Wale waliorudi mstari wa nyuma waandike majina ya wanaume wanaowapenda, majina 2 ya huyo mwanaume, alafu waanze kuwaombea, akawafundisha jinsi ya kuomba na kuwaombea wapenzi wao kwa muda wa dk 45 wakamaliza maombi,
Hapo saa 8 nanusu usiku, wakafunga ibada wakatawanyika kwenda kulala kwenye mabenchi ya Kanisa wakisubiria kukuche waondoke.
Wakaamini Mungu amesikia maombi yao.
Asubuhi saa 12 ilipofika wakaondoka kwa pamoja kwenda kwa Doreen kulala vizuri, maana mabenchi sio sawa na vitanda.
Wakalala mpaka saa 7 mchana wakaamka kunywa chai.
Carrie: vipi maombi jana yalikuwaje?
Hamkulala kweli?
Wakacheka wote.
Chanel: yalikuwa mazuri sana, natamani niwe naenda kila siku, asante Doreen kutupeleka.”
Carrie: kwahiyo Doreen na Adrienne ndio pekee mlilala wakati wa kusali sio?
Carrie: kwahiyo Doreen na Adrienne ndio pekee mlilala wakati wa kusali sio?
Wakajibu hapana, tulikuwa serious,
Doreen: jamani mimi nahisi jana nilitoboa Mbingu na Mungu akashuka mzima mzima!”
Carrie:“Mungu weee! Haya sasa mlokole anafunguka enhe tupe ubuyu best!
Carrie:“Mungu weee! Haya sasa mlokole anafunguka enhe tupe ubuyu best!
Doreen: ni kweli jaman, basi wakati wa maombi, mimi nikasikia Lucifer, Lucifer! ah sasa sikuelewa nikadhania labda mchungaji anamuombea mtu karibu yangu anamtoa pepo Lucifer, kugeuka kumbe nipo mwenyewe nimejibanza kwenye kona.
Ah basi nikaendelea kusali baada ya Nusu saa nasikia tena sauti inasema Lucifer anakuja kwenye maisha yako.
Sikuelewa nikaona naanza kuchanganyikiwa, nikahisi labda shetani yupo nyuma yangu, tulipoitwa mbele wakati tunaambiwa tu imagine sura za waume tunaowataka na jinsi walivyo, nikaiskia tena ile sauti inasema, “Lucifer nakupatia!”
Mimi sikuelewa hiyo sauti, na sijawahi kuisikia iyo sauti tangu nakuja Duniani, lakini ilikuwa halisi, inayoeleweka.
Wenzake: wakashangaa, wakamwuliza unauhakika au ulikuwa unaota best?! au akili inakuruka na hivi hauna kazi?
Doreen: ilikuwa ni ya kweli jamaani!
Wenzake: wakaangaliana wakanyamaza.
Adrienne: akamwuliza Carrie, enhe na wewe jana usiku haujasikia mzungu anakuja?
Adrienne: akamwuliza Carrie, enhe na wewe jana usiku haujasikia mzungu anakuja?
Wote: wakacheka.
Carrie: yani nilivyomchora Yule mzungu kwenye akili yangu utadhania Mark Wahlberg au Arnold Schwarzenegger, jinsi nilivyompelekea barua Mungu ya nguvu kuhusu mzungu ninaemtaka, nahisi Mungu anakazi ya kuninyofolea kuniletea Africa hapo alipo, sitaki masihara na Muumba na naamini ataniletea ila sijaskia sauti kama mama Yesu Doreen,
Wote: wakacheka.
Adrienne: Mimi pia sijasikia sauti yeyote toka Mbinguni ila nilikuwa na amani sana moyoni, sasa sijui Mungu ananiokoa na Serengeti boys (wanaume umri mdogo) safari hii au, hata sijui.
Adrienne: Mimi pia sijasikia sauti yeyote toka Mbinguni ila nilikuwa na amani sana moyoni, sasa sijui Mungu ananiokoa na Serengeti boys (wanaume umri mdogo) safari hii au, hata sijui.
Chanel: hata mimi, sijasikia sauti ila amani moyoni na sidhani kama Mungu atamrudisha huyu sugar daddy tena, alipomaliza kuongea mara simu yake inaitwa, kuangalia ni sugar daddy wake, akapokea akaweka loud speaker,
Sugar Daddy: baby uko wapi?
Sugar Daddy: baby uko wapi?
Nipo hapa mlangoni kwako nabisha hodi sifunguliwi lkn gari yako ipo nje, vipi uko ndani? nifungulie basi.
Chanel: sipo nyumbani, tangu nimeenda mkesha nikarudi kulala kwa Doreen maana nikaribu na kanisani kwao, nadhani nitarudi kesho mchana maana usiku leo tunatoka tena.
Sugar Daddy: sikuhisi haushikiki mtoto, au umeshapata mshefa mwengine anayekupa hela? Mimi si nimefulia ndio maana unanitupa nje, sawa bwana wewe baki na Bwana Yesu ngoja nikatafute hotel ya kukaa mpaka j3 nirudi kwa mke wangu. Simu ikakatwa.
Wenzake wakampigia makofi Chanel, bravo my friend, ivyo ivyo mwishowe ataondoka, hayo ndio maombi yamejibika, chezea mkesha wewe!
Chanel: sipo nyumbani, tangu nimeenda mkesha nikarudi kulala kwa Doreen maana nikaribu na kanisani kwao, nadhani nitarudi kesho mchana maana usiku leo tunatoka tena.
Sugar Daddy: sikuhisi haushikiki mtoto, au umeshapata mshefa mwengine anayekupa hela? Mimi si nimefulia ndio maana unanitupa nje, sawa bwana wewe baki na Bwana Yesu ngoja nikatafute hotel ya kukaa mpaka j3 nirudi kwa mke wangu. Simu ikakatwa.
Wenzake wakampigia makofi Chanel, bravo my friend, ivyo ivyo mwishowe ataondoka, hayo ndio maombi yamejibika, chezea mkesha wewe!
Wote: wakacheka.
Wakati wanakula, channel akasema, jamani huu urafiki wetu una miaka mi 5 sasa tumeshakuwa kama ndugu naomba tusiachane kwa lolote au chohote, waume, watoto, ugonjwa, kazi, biashara, imani visitutenganishe, tusijekuwa kama wale boring married couples ambao wakioana wanaachana na marafiki zao wa zamani kisa majukumu ya ndoa.
Si mmeona wanaume walivyo lkn?
Undugu wetu udumu mpaka kwa vitukuu vyetu. Wote wakakubaliana,
wakagonga cheers, Here! Here!
Carrie: Na pia tusifichane mabwana tunaowapata, inatusaidia kukua kiakili na kuepushana na shari kama kuibiana mabwana, kuwakimbia mabwana washenzi, maana umri umeenda hakuna tena ku date miaka 2-10 hapa, sisi tunataka kupata waume wa kutuoa na ku settle down; pia dating isiingilie muda wa urafiki wetu, maana Adrienne akipata tu bwana anaishia kwake mia mia utadhania huyo bwana ni Mungu wake.
Carrie: Na pia tusifichane mabwana tunaowapata, inatusaidia kukua kiakili na kuepushana na shari kama kuibiana mabwana, kuwakimbia mabwana washenzi, maana umri umeenda hakuna tena ku date miaka 2-10 hapa, sisi tunataka kupata waume wa kutuoa na ku settle down; pia dating isiingilie muda wa urafiki wetu, maana Adrienne akipata tu bwana anaishia kwake mia mia utadhania huyo bwana ni Mungu wake.
Wote: wakacheka
Jioni wakatoka wakaenda Sea cliff hotel for dinner, kufika huko, wakakutana na ex wa Adrienne ana rumba na binamu yake,
Adrienne: alishtuka hapo hapo na kuanza Kusikia kutapika maana hakuamini macho yake, huyu ex walikaa kwenye mahusiano miaka 5, baadae Carrie akamfumania slipway na best friend wa Adrienne anayeitwa Upendo, akaamua kuwapiga picha na kumwambia ex kuwa anachokifanya sio, ukawa ugomvi mkubwa mpaka Carrie akapigwa ngumi na ex wa Adrienne akavimba jicho, waliokuwepo mahala pale wakaamua wamkimbize hospital maana jicho lilivia damu, ndio siri kutoka hospital kuwa alimfumania ex wa Adrienne na alipomfuata mwanaume akampiga.
Mahusiano ya Adrienne na ex yakaisha kwa uchungu sana, mpaka akaamua kuacha kazi kwenda kukaa kijijini Tabora kwa wazazi wake miezi 8 kuuguza fumanizi, maana ndio alikuwa mwanaume wake wa kwanza na ndio aliembikiri, kumbe ex alikuwa kicheche hatari, sasa kumkuta na ndugu yake wa damu aliona kama anakufa. Ikabidi wamtoe nje akatapikie karibu na bahari.
Wakaamua kubadilishe location wakaenda Kunduchi Beach Hotel, maana huko ni karibu na kwa Doreen na j2 walipanga waende kanisani tena pamoja.
Wakaamua kubadilishe location wakaenda Kunduchi Beach Hotel, maana huko ni karibu na kwa Doreen na j2 walipanga waende kanisani tena pamoja.
Walipofika kunduchi beach hotel, kulikuwa kumejaa sana, live band, wazee na vijana wa kike na kiume, couples mbalimbali basi tu wote wanafurahi, walibahatika kupata meza ya watu wanne wakawa wanakula dinner huku wanaangalia na kusikiliza ligve band.
Baada ya dakika 20 kupita wakiwa wamemaliza chakula, akaja kijana, anaonekana kijana wa makamo, akawasalimia alafu akamgeukia Doreen kuomba wacheze nae mziki.
Doreen akakataa, leo sijiskii vizuri, kijana akamwambia basi naomba kampani yako maana nipo mwenyewe pale na nyie mpo wanne, nadhani hamtojali mimi kumuiba rafiki yenu.
Wote: ndio tunajali, tupo kwenye girls night out.
Kijana: sawa, samahanini sana, mimi naitwa James, hii ndio business card yangu, unaweza kunipigia ukipata nafasi, napenda kukutoa out mrembo.
Doreen: akapokea card, asante.
James alivyoondoka, wenzake wakasema shoga una nyota kali!
Tayari ushapata bwana hata hatujapumua?
Au ndo huo mshepu umemzuzua huyu Jaaaaames! Hahahahaha,
Wote: enhe embu tuone anafanya kazi gani asije akawa msanii.
Kuisoma ile business card, James alikuwa anafanya kazi wizara ya mambo ya nje.
Carrie: woyooooo mama ya Yesu umejibiwaaaa fastaaa! hapo hapo shogangu wala usiache kumpigia, akaichukua ile namba akaisave kwake, baadae akamrudishia Doreen akamwambia shogangu wewe navyokujua utaitupa, nimeisave, usipompigia mimi nampigia nampa namba yako.
Wote: wakacheka.
Wakati wanataka kutoka warudi nyumbani, Chanel akaseme ngoja niende kwanza washroom alafu tuondoke, akafika washroom wakati anarudi akagongana na mwanaume nae anatoka chooni, Chanel akaanguka chini.
Yule kijana akamwomba msamaha huku anamwinua, samahani sana mrembo, wala sikukuona.
Chanel: hamna shida, sikunyingine uwe mwangalifu unapoenda.
Kijana: pole sana nitafanya ivyo, lkn nguo yako imechafuka na imelowana, sidhani kama itakuwa vizuri kwenda hivyo mbele za watu, nisubiri hapa nakuja.
Kijana akaenda baada ya dk 15 akarudi na mtandio mzito, hii hapa mrembo jifunike,
Chanel: akajifunika, nashukuru.
Kijana: akajitambulisha, naitwa Mark samahani nimeshindwa hata kujitambulisha tangu mwanzo,
Chanel: Hamna neon, ila naomba unisaidie kitu kimoja, meza ya 3 kule restaurant utaona wamekaa wadada wa 3, naomba uwaite waje uwaelezee sitaweza kufika huko, waje tuondoke nawasubiria hapa, na pia nimeacha vitu vyangu vyote huko.
Mark: akatoka akaenda kuwaita akina Doreen, Carrie na Adrienne, wakati wanajiandaa kumfuata washroom,
Mark: akatoka akaenda kuwaita akina Doreen, Carrie na Adrienne, wakati wanajiandaa kumfuata washroom,
Mark: Nimeambiwa nibebe mizigo yake nimpeleke, Doreen akampa simu ya Chanel akamwambia huu ndo mzigo wake mpelekee,
Mark: akachukua simu akaongoza msafara wa washroom, katikati akaifungua ile simu akajipigia kwake ili aisevu namba ya channel.
Alipofika washroom akamwambia channel hawa hapa marafiki zako, samahani sana kwa usumbufu, hii ni business card yangu, napenda nikupelekee nguo yako kwa dry cleaner ikasafishwe!
Chanel: haina haja, uwe na amani.
Carrie: akaichukua ile business card, usijali atakupigia, kaka nani tena,
Mark: akajibu, Mark!,
Carrie: Oh! Mark, usijali atakupigia asipopiga asante.
Wakaondoka zao kurudi nyumbani.
Njiani wakaanza kucheka na kuhadithiana,
Carrie: yani nilitamani hata tusiondoke. yani Doreen na Chanel wana nyota kali asee, washapata mabwana tayari, kweli huu mwaka watu wanatembelea nyota,
Mimi na Adrienne wakavu hadi aibu.; au turudi tena pale pale tukakae maana nahisi kama tumeondoka mapema huenda mimi na Adrienne tungepata mabwana.
Wote: wakacheka.
Walipofika nyumbani, Adrienne akasema, “jamani mimi nimempenda sana Mark, anaonekana anaupendo sana, nina uhakika Chanel na Mark watakuwa couple nzuri sana.
Carrie: akadakia, “ina maana haukumpenda James?
eti Adrienne ulimpenda James au?”
Chanel: kusema kweli mimi sijampenda kabisa James, samahani Doreen, lakini anaonekana ameoa, alikuwa anaonekana kiajabu ajabu kama ana macho ya kijanja janjaa.
Adrienne: ni kweli hata mimi niliona hivyo tangu alipokuja, sijui lkn siwezi kuhukumu.
Carrie: Me nimeona kama ana hela, tena watu wa mambo ya nje hao ndio wazuri, na hivi shogangu hauna kazi jihesabie kuwa ushapata bonge la bwana, tumechoka kukuchangia nyumba, msosi, utadhani tunalipa PAYE kwa serikali, bora upate bwana fasta atakaekutunza kama Caroline!”
Carrie: Me nimeona kama ana hela, tena watu wa mambo ya nje hao ndio wazuri, na hivi shogangu hauna kazi jihesabie kuwa ushapata bonge la bwana, tumechoka kukuchangia nyumba, msosi, utadhani tunalipa PAYE kwa serikali, bora upate bwana fasta atakaekutunza kama Caroline!”
Doreen: kuhusu Caroline, je tunaenda kwenye hio harusi yake au? Tusipoenda atavimba kweli.
Chanel: bwana mimi siendi, mwanaume anaemuoa, alinitongoza kwanza.
Adrienne: lakini si ulimkataa, na mwenzio Caroline akamkubali, ndio ivyo wanaoana, mwenzio amepata bingo, hilo ndo fundisho kwako, ila usijali Mark atakuwa ameletwa na Mungu. Si ndio Doreen?
Doreen: akaendelea kusema, inabidi twende, si unajua, mialiko yooote ya pati kubwa hapa mjini tunaingiaga bure kwa ajili yake, lazima tuende.
Carrie: umasikini huoo unapiga hodi kwetu, Caroline anaenda kuwa mke wa mtu, hizo pati za mjini tunazoalikwaga bure hazitakuwepo tena, na nimesikia wanaenda kuishi Canada, uuuwi sijui itakuwaje jamani!’’
Doreen: yani kwanini kila mtu anaolewa sa hivi na kuzaa fasta? Mpaka inaboa! Caroline mwenyewe hana hata maisha yake ni kama amefungwa na huyo anaemua! Doh hatari! Mimi kuolewa sina maisha siwezi!
Doreen: yani kwanini kila mtu anaolewa sa hivi na kuzaa fasta? Mpaka inaboa! Caroline mwenyewe hana hata maisha yake ni kama amefungwa na huyo anaemua! Doh hatari! Mimi kuolewa sina maisha siwezi!
Wote: wakamuangalia kwa mshangao.
Carrie: Nilidhani unataka mume akuoe ili muanzishe familia?
Kwanini unachukizwa na mafanikio ya Caroline?
Doreen: kusema kweli mimi nataka nile bata kabla sijaolewa.
Chanel: kwahiyo mwenzetu Doreen wewe mpaka umri huu haujala bata?
Doreen: Kivipi, nimekuwa nakaa tu ndani na kwenda kanisani tu kwa miaka 13 sasa, sidhani kama najua kitu zaidi ya cha Yesu, nimekosa kazi kwasababu ya Yesu, Yesu Yesu Yesu!
Nimechoka! Lazima nile bata kwanza kabla sijaingia kwenye majukumu!
Wenzake: wakamshangaa, imekuwaje tena? Mbona Doreen anaongea kama mtu mwenye mapepo?
Carrie: Doreen, mimi najua unachotakiwa kukipata, unatakiwa upate bwana akunyoooshe weeee akili yako ikae sawa, akupe ubatizo wa kimwili kwanza kama miaka 2 ndio akuweke ndani!
Kwanza we sikunyingi haujabatizwa kimwili, umekuwa singo kwa muda mrefu sana, ndio maana uko kiajabu ajabu. Miaka 10 na haujapiga mechi lazima utakuwa bikra sasa!
Wote: wakacheka, wakielekea kulala.
ITAENDELEA KESHO J2 TAR 22 JULY 2018 SAA 2 USIKU YA TANZANIA
___________________________________________________________
C. SIJASKIA UCHUNGU WA LIMAO BADO
Jumapili wakiwa kanisani, maana wote waliamua kwenda kusali kanisani kwa Doreen.
Wakati wa sadaka, wakapita mbele kwenda kutoa sadaka, mara Adrienne akamwona James akiwa amekaa seat ya nyuma, akamfinya Carrie akamwuliza, Yule sio James kweli? Tulikutana nae Kunduchi jana?!
Carrie: Ndio, ndio mwenyewe, embu ngoja tukakae tutamcheki kwenye seat vizuri.
Wakaenda kuketi, ilipofika zamu ya James kupita mbele, wote wakaambizana, muangalieni James, Doreen alishtuka, roho ikampasuka mpaka mwili ukaanza kutetemeka, akainama chini kujificha asionekane.
Ibada ilipoisha, wakiwa wanasalimiana nje ya kanisa, akaja James kuwasalimia.
Adrienne: James, unatufuatilia au unasali hapa?
James: hapana, sisali hapa, kuna rafkiangu amenikaribisha nije alafu yeye hajaja, ila sio mbaya, sikujua na nyie mnasali hapa, mamboz,
Doreen mzima?
Nimesubiria simu yako sijakupata.
Carrie: Poa James, tulilala hoi jana tukaamkia kanisani, msamehe tu.
James: No problem, naelewa, kwahiyo Doreen nitapata namba yako sasa au?
Doreen: hapana, sitoi namba zangu kwa waume za watu!
James: nani mume wa mtu sasa? Mimi sijaoa lakini!
Chanel, Adrienne na Carrie wakaangaliana, wakavutana pembeni wakawaacha wawili wakiongea.
James: naomba nikutoe out basi leo tafadhali.
Doreen: hapana asante, nipo na marafiki zangu na tumepanga kwenda…. kabla hajamaliza sentensi, marafikizake walikuwa wameshawasha gari wanaondoka, akasikia tu Bye Doreen baadae.
James: Naona tupo wawili sasa, je twaweza kwenda kwa lunch? tukimaliza nitakurudisha nyumbani au popote unapotaka.
James: Naona tupo wawili sasa, je twaweza kwenda kwa lunch? tukimaliza nitakurudisha nyumbani au popote unapotaka.
Doreen: hakuwa na jibu ikabidi akubali kwenda na James huku akilaani moyoni mwake, shenzi kabisa akina carrie watanikoma!
“Sexy love, girl the things you do
Oh I love making love to you Babygirl you know you're my (sexy love)”
Wimbo ulisikika wakiwa kwenye Gari ya James Wote wawili wakiwa kimya Kwa Muda mrefu, Doreen kageukia upande wa dirishani huku anafinya vidole, moyoni mwake anajiuliza hivi mimi nina kitu gani nafanana na huyu mbuzi beberu pori kweli? Mwanaume mwenyewe hajui hata kuvaa.
Kabahatisha tu kwenye Gari sijui kakodi mana wanaume wabongo shida sana.
Mungu wangu hii ishakuwa balaa sasa, huyu mwanaume ananiwekea nuksi ananiharibia maombi yangu,mwanaume mwenyewe kwanza mweusiiiiiii kama kuzimu.
Ivi nikijiangalia nilivyo mrembo namna hii nawaka hivi, huyu mwanaume atanipeleka wapi?
Ivi nikijiangalia nilivyo mrembo namna hii nawaka hivi, huyu mwanaume atanipeleka wapi?
Kwanza anaonekana hana hela, hana maisha ya kunitunza. Mimi nimesoma IST tangu nursery mpaka form 6, nikaenda University of London, na huyu kasoma hapa mzumbe sijui IFM tunafanana wapi na wapi?
Kwanza anaonekana kasoma kayumba tu, hatuna kitu tunafanana; anakitu gani anaweza kufanya cha kunishitua mimi Doreen?
Hapa duniani nimeona kila kitu kabla yake, kwanza nina wasiwasi na umri wake, yasije yakawa yale yale mambo ya Adrienne ya Serengeti boys wake!.
MUNGU wangu, ivi hili jini umelileta kwangu la nini labda?!
Yani mimi nimekuomba mkate wewe umenipa jiwe?!
Kwenye Gari James alikuwa mwenye furaha sana, James Akajisemea moyoni kweli Mungu yupo, chuma kama hiki ningekipata wapi kudadeki?!
Kwenye Gari James alikuwa mwenye furaha sana, James Akajisemea moyoni kweli Mungu yupo, chuma kama hiki ningekipata wapi kudadeki?!
Mtoto mwake, na hivi nimemuwekea mapigo ya mamtoni anafurahije sasa!?
Akamuangalia Doreen akaona kama hayupo sawa anajifinya vidole amegeukia pembeni, anang’ata mdomo, kama amekasirika anataka kulia, akapunguza sauti ya redio, akamwuliza, "Doreen, uko sawa?
Doreen akajibu, sawa.
James: Leo umependeza sana, inaelekea kupendeza ni kawaida yako maana hata jana ulikuwa zaidi. Ulipoingia tu pale hotelini na macho yangu yalipokuona moyo ulienda mbio Sana".
Doreen: akatabasamu, akaendelea kukaa kimya, ila moyoni akajibu shenzi zako, mavi wee.
Wakafika Sheraton hotel Muda wa saa 7 kasoro mchana, waiter akatokea, akawapa menu.
Doreen: hapana mimi nahitaji 1 muffin and hot chocolate.
Waiter: na wewe kaka?
James: bado nachagua kaka nivulie kidogo.
Akaendelea kuchagua ndani ya dk 15,
Doreen: akajisemea moyoni, maluga luga bwana, eti wizara ya mambo ya nje, wizara ya mambo ya nje wanakuwaga malugaluga namna hii? Yani yupo classless balaa, huu mzigo wa kuni sijui ni jaribu la kutokea wap?kwanza Mungu anamuumbua hatari.
Doreen: akaletewa muffin na hot chocolate, akawa anakula, ile anakaribia kumaliza kula waiter akaja, enhe kaka naamini mambo tayari sasa?
James: ndio, akaagiza anavyotaka.
James: akaanza maswali, nambie mrembo, unafanya shughuli gani hapa mjini?
Doreen: sifanyi shughuli yeyote.
James: akaanza maswali, nambie mrembo, unafanya shughuli gani hapa mjini?
Doreen: sifanyi shughuli yeyote.
James: inawezekana kweli, au unaishi na wazazi? Doreen: hapana wazazi wangu wapo kijijini, mimi naishi pekeyangu.
James: Ohoo! Sasa unaishije bila kazi au unafanya biashara?
James: Ohoo! Sasa unaishije bila kazi au unafanya biashara?
Doreen: Sina kazi, natafuta wala biashara sifanyi.
James: umesomea nini chuoni?
James: umesomea nini chuoni?
Doreen: degree ya finance and economy.
James: basi nitumie cv yako na kila kitu kwenye email yangu, akatoa business card yake kwa mara ya pili akampa, nitakuangalizia kwa marafiki zangu ajira, tuombe Mungu.
Doreen: asante sana
James: au ulikuwa unapenda kufanya kazi sehemu gani?
Doreen: Sehemu yoyote inayolipa vizuri nitashukuru, asante.
NYUMBANI KWA DOREEN!
Huku nyuma, Chanel, Adrienne na Carrie wakawa wanamvutia picha Doreen, wakaanza kuwaza sasa hivi atakuwa analaani sio kitoto, utadhani hajatoka kanisani.
Adrienne: natumai huyu mwanaume ni mzuri, maana mimi namashaka nae, Doreen amepitia mambo mengi katika maisha yake, wala sitataka ateseke tena mbeleni.
Chanel: Labda tumtumie sms jamani, masaa yameenda sasa hatujamsikia, huenda ametekwa nyara.
Chanel: Labda tumtumie sms jamani, masaa yameenda sasa hatujamsikia, huenda ametekwa nyara.
Carrie: Mtu mzima anatekwaje nyara? kweupe hivi, acheni utoto, mwacheni atarudi mwenyewe.
Enhe sasa usiku tunaenda kujirusha wapi?
Naona tupo wa 3 nauhakika Doreen atarudi na kusema amechoooka anataka kulala na hivi kesho sikukuu mimi bado nataka kutoka.
Leo wapi wapendwa?.
“Hata sijui”, akajibu Adrienne, kwanini tusikae tu ndani au leo kuna bendi inapigwa? Twanga pepeta or something!?
Yah, twendeni kwenye bendi leo, akadakia Chanel, wakaishia kukubaliana wanaenda kwenye bandi ya twanga pepeta.
Huku nyuma stori kati ya Doreen na James zimenoga, walipotoka Sheraton wakaenda cocobeach kupunga upepo wakamalizia na slipway kula ice cream.
“Hata sijui”, akajibu Adrienne, kwanini tusikae tu ndani au leo kuna bendi inapigwa? Twanga pepeta or something!?
Yah, twendeni kwenye bendi leo, akadakia Chanel, wakaishia kukubaliana wanaenda kwenye bandi ya twanga pepeta.
Huku nyuma stori kati ya Doreen na James zimenoga, walipotoka Sheraton wakaenda cocobeach kupunga upepo wakamalizia na slipway kula ice cream.
Doreen: Kuangalia saa mkononi mwake akakuta saa 1 usiku, akakumbuka saa 2 usiku wanatakiwa kutoka na marafiki zake, akaangalia simu akakuta missed call 20 za Adrienne. Akaomba arudishwe nyumbani na James haraka, akadanganya kuna dharura nyumbani kwangu, unaona missed calls 20 nahisi kuna tatizo nyumbani, wakaondoka.
Kufika nyumbani, Doreen akashuka haraka huku anakimbia kutoka kwenye gari, akamwambia James asanteeeeeeeeeeeeeeeee, usiku mwemaaaaaaaaa, byeeeeeee, akamuacha James ameduwaa hata kuzima gari akashindwa.
Kufika nyumbani, Doreen akashuka haraka huku anakimbia kutoka kwenye gari, akamwambia James asanteeeeeeeeeeeeeeeee, usiku mwemaaaaaaaaa, byeeeeeee, akamuacha James ameduwaa hata kuzima gari akashindwa.
James: alitegemea good night kiss and hugs, akaambulia kelele za mrembo. Sheeenzyy!
ITAENDELEA KESHO TAR 23 JULY 2018, SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
D. TUWAFAHAMU WAREMBO WETU!
DOREEN:
Doreen alikuwa na miaka 32, hana kazi kwa muda wa miaka 4, singo.
Wazazi wake waliishi Singida wilaya ya Iramba. Alimaliza shule ya msingi Mwenge, akafaulu darasa la 7, mama yake mdogo aliyeishi Dar ambaye hakubahatika kupata mtoto katika ndoa yake akaomba kwa dada yake amchukue Doreen aje aishi nae Dar atamsomesha, akampeleka shule ya nternational School of Tanganyika (IST) kwa sekondari mpaka high school.
Alipomaliza form 6, alifaulu sana, mama yake mdogo alifurahi sana na kuona Ada haijaanguka chini.
Mama yake mdogo alikuwa anafanya kazi umoja wa mataifa UN, akam-list Doreen kama mtoto wake wa kuzaa ili asomeshewe na UN shule nzuri.
Ndipo alipopata kwenda kusoma university of London Uingereza.
Doreen alikuwa mrembo sana, ameshona nyuma kama Queen Vee Bossette wa Kenya au Beyonce wa Zamani kabla hajapungua, tangu anasoma secondary school wakati wa likizo alikuwa akipanga magari kwa mama yake mdogo, kiila weekend kwake ilikuwa kama prom night kwake.
Watoto wa mabalozi, mawaziri wote walipenda kutoka nae. Ilikuwa patashika kila weekend mama yake mdogo alikuwa akifanya kazi ya kuwafukuza boyfriends.
Mama yake mdogo nae alikuwa masha-allah, si unajua wadada wa singida tena, wameshona ma-wowowo makubwa kama Wema Sepetu! Mamake mdogo alikuwa tajiri ana helah, classy and sassy, ndio aliemfundisha Doreen how to carry herself, to be classy and sassy, to behave, how to speak na alikuwa na English nzuri ya kufa mtu, lafudhi ya Ki-british.
Alipomaliza chuo kikuu alirudi Tanzania na akaPata kazi haraka sana maana alifaulu kwa alama za juu yaani 1st class, aliajiriwa na shirika LA Heifer Tanzania kama mhasibu maana alikataa kufanya kazi na mabenki. Ndipo hapo alipoupatia ulokole mana kila siku ofisini ni ibada na Yesu na Halleluya.
Lakini hakukosa kwenda kijijini kuwaona Wazazi wake na kuwasalimia alihakikisha amebadilisha maisha ya Wazazi wake kwa kuwajengea nyumba nzuri ya kisasa, akawanunulia hekari nyingi za mashamba akawasomesha wadogozake wakiume WA 3 private schools mpaka form 6, hakika alifanyika baraka sana kwa familia yake.
Kilichomwondoa kwenye ajira ni wafanyakazi wenzake kwenye idara yake, walikuwa wanataka kupiga mzinga (waibe kwenye kampuni) wakimbie. Ikiwezekana wafekishe vyeti vya kifo wakakae Congo au kwa Mandela.
Na yeye akiwa kama mwana wa Nuru (Mlokole) akaona hapana sitaki kuozea Jela akaenda kujisalimisha kwa pilato na kuwaripoti wenzake kwa mabosi.
Katika utetezi wakapunguzwa kazi wote na mpaka Leo mwaka wa 4 hana ajira, maana kampuni ilikataa kutoa reference nzuri kwenye kampuni zingine ambapo Doreen aliomba ajira.
Kwasababu alishakuwa imara aliamua kuhama kwa mama yake mdogo na kupanga nyumba mtaani; kwa Muda mrefu alikuwa anafanya kazi Arusha kabla ya kupunguzwa kazi na kwa miaka 4 alihamia kuishi Dar kwa pesa alizolipwa za pensions.
Baada ya pesa zote kuisha, ikambidi auze gari yake Rav 4 aliyokuwa anatumia ili aweze kujikimu kwa kodi ya nyumba na chakula, baada ya pesa kuisha iliwagharimu marafikizake Carrie na Adrienne kumchangia pale alipopungukiwa.
CHANNEL:
Chanel mtoto wa IGUNGA TABORA, ngozi ya asali (maji ya kunde) mwembamba, mrefu, elimu ya form 6, alikuwa anafanya kazi shoprite supermarket baada ya Kufeli form 6.
Chanel mtoto wa IGUNGA TABORA, ngozi ya asali (maji ya kunde) mwembamba, mrefu, elimu ya form 6, alikuwa anafanya kazi shoprite supermarket baada ya Kufeli form 6.
Ndoto zake zote ziliishia shoprite with a supervising post kwa miaka 3.
Akiwa motto yatima kwao aliamua kuhama Tabora kabisa na kuweka kambi Dar es salaam, maana mirathi yake alioachiwa na wazazi ilichukuliwa na ndugu upande wa baba yake, maisha haya kuwa mazuri sana kwake, hata nauli aliyotoka nayo kijijini ilibidi akapewe na mwenyekiti wa serikali za mtaa wa kijiji ili aje mjini kuanza upya, Mungu si athumani akapata kazi Bar wiki ya kwanza, ikawa bar ikifungwa anajibanza analala ndani ya Bar mpaka asubuhi.
Sikumoja akaja pedeshee na wenzake kunywa kwenye hiyo bar hapo mwenge, akamuona Chanel, akampenda akataka kumchukua aende nae kwake, Chanel akamponyoka saa ya kuondoka hakuja tena, siku ya pili akaja akamkuta, akiwa hajalewa huyo pedeshee, akamwambia chanel wewe ni mtoto mrembo sana, ngozi ya nyuki hii, unafanya nini bar, kwanini nisikuoe?
Chanel: akakataa, akamwambia mimi nataka kukuondoa hapa Bar, nakutafutia kazi mahali pengine, chanel akaona huyu ni mbakaji akawa anamkimbia, baada ya wiki 3 yule pedeshee akaja akamwambia nimekutafutia kazi Shoprite supermarket naomba ufike hapo kesho saa 5 asubuhi, haupaswi kukaa bar muulizie meneja clemence, mwambie umeagizwa na Pedeshee Kitambi, nije kukuona, fanya uende mrembo usije fia bar na mende wake bure, shika hii nauli nenda mrembo.
Kesho yake kweli Chanel akaenda huko shoprite supermarket, kweli mambo yalikuwa mambo, meneja alikuwa anamsubiria kweli, na alipofika akapewa kazi maramoja akashukuru sana Mungu akapiga kazi kweli kweli, akaomba mkopo wa mshahara nusu angalau akapange chumba sinza, akapewa, akajitahidi sana kwenye kazi mpaka akapandishwa che ndani ya miezi 2 akawa supervisor na kamshahara kakaongezeka.
Kwakuwa yeye alizaliwa mtoto wa pekee kwa wazazi wake marehemu, alikuwa na moyo wa huruma sana.
Tangu alipoipata ile kazi ya shoprite supermarket hakuwahi tena kumwona Yule pedeshee, akahisi labda ni baba yake marehemu amemtembelea kwa mfano wa malaika na akamsaidia kupata ile kazi na kumwondoa bar.
Maisha yakaenda vizuri, siku moja wakati akiwa kazini, akakutana na Carrie anashop kwenye kigari cha shoprite, Carrie akamwuliza kuwa je hii product ni nzuri na ndio ilikuwa imebakia hiyo hiyo nayeye Chanel alikuwa ameilia jicho kuinunua.
Chanel: akamwambia kiukweli dadangu hii bidhaa ninaitaka sana na imebakia moja na ni nzuri sana, nitashukuru kama hautainunua.
Carrie: akacheka sana, akamwambia nimependa ulivyo mkweli, ngoja, akaichukua akaenda kuinunua alafu akampatia chanel, zawadi yako kwa kuwa mkweli, chanel akafurahi kweli maana akiangalia mfukoni hana hata sumni,
Carrie: nimekupenda bure, unaonaje tukiwa mashosti? Wakabadilishana mawasiliano, Carrie akaondoka.
Chanel: Alianza kuishi Sinza kwa miaka 3, baadae akahami Mwenge kwa muda wa miaka 3 ndipo walipokutana na carrie.
Carrie: akamshauri ahame hapo Mwenge ahamie Mikocheni au Mbezi beach huko Mwenge sio kuzuri sana sio kwa hadhi yake. Chanel hakuelewa hadhi ni nini, akamwuliza Carrie, akamjibu honey umeishia form ngapi mpaka hadhi hujui? Unahitaji, sasa huko kazini unapandaje cheo au ndo unapandishwa kwa uzoefu?.
Carrie: akamchangia akaenda kusoma English medium mnazi mmoja.
Sikumoja wakapanga waende out, ndipo walipokutana na Adrienne na Adrienne akamleta Doreen wakawa marafiki tangu siku hio wakishirikiana kwa mambo mengi.
ADRIENNE:
Adrienne mtoto wa kishua, miaka 32 yeye nae alikuwa mzuri mzuri, mweusi, kachumbari flavor flani hivi amazing, mwembamba ila Hips don't lie kama Shakira,
ADRIENNE:
Adrienne mtoto wa kishua, miaka 32 yeye nae alikuwa mzuri mzuri, mweusi, kachumbari flavor flani hivi amazing, mwembamba ila Hips don't lie kama Shakira,
Yeye wachumba zake ni matajiri tu (A LIST MEN).
A list men ni wale wanaume ambao ni matajiri kinyama, madizaini ya akina Dangote, Trump, Buffet, Reginald Mengi, Bhakresa, alisoma shule za gharama kama IST kuanzia Nursery mpaka form 6, na alikuwa anaishi Mikocheni, Wazazi wake walikuwa Mabalozi wanchi za nje, alipomaliza form 6 akaenda kuishi uingereza kwa miaka 5 akasoma mpaka masters ndio akarudi Bongo akapata kazi UN, kwenye maonyesho ya makampuni mbali mbali Nchini Kenya ndipo walipokutana na Doreen tena kwa mara nyingine.
Adrienne alikuwa ni Msukuma wa mjini, Mama yake alikuwa mtu wa kigoma, kibongo bongo walimwita half cast wa kisukuma. Alikuwa ni mtu wa Class . Amekaa UN zaidi ya miaka 8 na analipwa vizuri, kwake vacation ni kama kwenda msalani, akijisikia hamu tu anasafiri. Walipokutana na Doreen na Carrie waliiva sana maana wote walikuwa mama Class, ikabidi wamsaidie Chanel maisha yake, wakamtoa Mwenge wakampeleka kuishi Mbezi beach.
Adrienne alikuwa ana upendo sana na huruma, pesa nyingi alikuwa akimchangia Doreen zilikuwa zinatoka kwake na kila mwisho wa mwaka lazima akatembelee watoto ya tima kutoa shukrani kwa Mungu kwa wema na fadhili alizomtendea.
Doreen alizaliwa yeye na kaka zake wa kiume wa 3 waliomtangulia,
Adrienne alikuwa mtoto wa mwisho kuzaliwa na wakike pekee kwenye familia yao.
Kaka zake wote walishaoa na kuzaa watoto 3 kila mmoja kwahiyo aliishi kwenye nyumba ya wazazi wake.
Lakini alipobumunda ni pale alipoamua kuweka class yake chini na kuibuka na huyu fisi JON.
JON alikuwa mdogo kiumri kwa Adrienne kwa miaka 3, wakaendelea na mapenzi wee, na unajua Adrienne kuku wa kidhungu, hakuwahi kuguswa, kwahiyo JON ndio alikuwa kila kitu kwake na ndie aliembikiri.
JON alikuwa mhaya, mtoto wa Upanga, mvurugaji hatari, wenzake walikuwa wakimwita jembe la kupuria nafaka, popote ambapo wenzake walishindwa kupita yeye alipita na alitoboa mbaya, kitombi wa kufa mtu, mapaka Adrienne kuja kumgundua alishampa mimba hadi house girl wa nyumbani kwa Adrienne, ndipo walipoachana.
JON alikuwa hana kazi, form 6 leaver aliepata div 0, aliporisiti alipata div 4, aliporisiti kwa mara ya 3 akapata div 3, alikuwa kilaza wa kufa mtu, yeye alikwua anawaza papuchi tu wakati wenzie wanasoma darasani, kuna kipindi hadi alitembea na mwalimu wake wa twishen, sijui ni kwasababu ya mwili wake (gorilla body) au ni nini lakini wale wapenda mechi wepesi wa kutoa toa kwa wanaume wakimuona tu wanakojoa.
Ila hata kesho JON akirudi kwa machozi kwa Adrienne, sentimental Adrienne lazima amkubali, chezeya 1st man wewe?!
CARRIE:
Carrie, miaka 33, single, hana haraka na maisha, marafiki zake humwita gold digger au snob, Mmachame wa ukweli alisoma degree ya Banking na Finance Afrika kusini, akapata kazi benki ya NBC kwa miaka 3,
CARRIE:
Carrie, miaka 33, single, hana haraka na maisha, marafiki zake humwita gold digger au snob, Mmachame wa ukweli alisoma degree ya Banking na Finance Afrika kusini, akapata kazi benki ya NBC kwa miaka 3,
Akaondoka akaenda Barclay's Bank kwa miaka 3,
Akaondoka akahamia Standard Chartered kwa muda wa miaka 4 ambapo mpaka sasa yupo hapo.
Wazazi wa Carrie wanaishi Machame Lyamungo Sinde, akiwa mzaliwa wa tatu kwa familia yake, Carrie ana dada 2 na mdogo m1 wa kiume.
Dada zake wote walishaolewa na kuzaa watoto, akabakia yeye na mdogowake wa kiume aliekuwa anaishi nae hapa Dar Upanga, ambae anasoma form 6 Shaaban Robert secondary school.
Maisha ya Carrie hayakuwa mabaya sana, alipokuwa na miaka 25 tayari alikuwa ana miliki gari, ameshawanunulia hekari 10 za mashamba kule moshi, wazazi wake wakawa wanalima, amefungua Bar 3 Dar, (Kimara, Mwenge na Mbezi Beach) na ana kampuni ya usafi hapa Dar ambayo alipata tenda kwenye mabenki 3.
Alikuwa anapenda sana maendeleo na hata nyumba aliokuwa anaishi, hakuwa anaipenda sana lakini akifikiria mambo ya ujenzi na mafundi akaona bora aendelee kupanga, kwenye moyo wake alitamani sana kununua nyumba, maana kwake Nkakeni, shilingi haikumpita chooni, mchaga alijua kuitafuta kweli hela sio kitoto na kuiwekeza si unajua mademu wa Kimachame walivyo! Wana hustle kama wanaume.
Carrie hupenda wazungu na ni kawaida ya wadada wa Kimachame!
Maisha yake yote, lakini naona bahati ilikuwa bado haijamwangukia, akaangukia kwenye penzi la ex wake wa miaka 10 anayeitwa Tito. Tito alikuwa Mgita, mfanyakazi wa benki, walipishana miaka 5 na Carrie ila ex wake alikuwa kitombi balaa.
Tito ndio jina la ex wake, huyu Tito alikuwa na machine moja ndefu sana, kama mnawa wa mitandao ya simu, kitu ambacho kilimchanganya sana Carrie; ingawa hakufurahi sana maana kila wakiingia kwenye game alikuwa anapatamaumivu sio kitoto, lkn kwa Tito Carrie hakuwa anatosha, kwake yeye aliona akilala na wasichana hata 5 ndio anasikia kushiba na hilo aliliweka moyoni hakutaka kumwambia Carrie. Chezea Mwanaume Machine wewe?!
Miaka mitano ya mahusiano yao mapenzi yalienda vizuri kwa maelezo ya Carrie lakini, akategemea kuolewa muda wowote lakini kwa maelezo ya Tito, kila akitoka mechini na Carrie, ni lazima atembee na boss wake kazini, akimaliza aende kulala na ex wake kabla ya Carrie, kwa siku alikuwa analala na mademu wa 5, ili kulinda mahusiano yaje na Carrie maana Carrie hakuwa anamtosheleza!.
Lakini ulipofika mwaka wa 6, mgita akakolea, rangi zake zikaanza kuonekana, akaanza kutembea na vibinti vipya vya benki huku akijiita senior batchelor, mara anatembea na mabosi wakike, kanisani alimaliza wana kwaya wote, mpaka wamama wakichungaji nao walimfahamu Tito,
Tisa kumi kule Kanisani, Wamama walikuwa wnapigwa dozi kiasi kwamba hata wakipewa madhabahu ya kuhubiri walikuwa wanamtolea mfano Tito. Leo tutasoma kitabu ninachokipenda kwenye Biblia cha Tito, kumbe akina mama mchungaji walikuwa wanavuta hisia ya machine ya Tito, chezea Tito wewe! Ahahahahah!! yani ni sheedah tupu.
Carrie alimvumilia na unajua wamachame walivyo na misimamo yao ya kiduwanzi, akasota nae mpaka mwaka wa 10 ndio taa nyekundu ilipomuwakia akaona hapa hamana kitu bora nitembee mbele nitakufia kwapani mwa Tito buree, akaondoka kwa machozi, lkn kila siku akiwa na hamu, anamkumbuka Tito, akikumbuka mambo yake ya class, anakataa kumtafuta Tito anaishia kumpigia rafkiake George.
George alisoma na Carrie South Africa, George alizaliwa Africa Kusini, George aliishi Africa kusini na Tanzania. Ingawa wazazi wake waliishi Africa kusini lakini walikuwa ni Watanzania. George alimpenda sana Carrie, lkn Carrie walaa habari hana!
Siku moja Carrie akiwa amekwama kimwili na George akawa anamganda ganda, akasema haina neno ngoja nimwondoe huyu matonya,
George alikuwa mtu wa class, akaenda akakodi chumba kwenye hotel ya 4 star, akaenda kula mzigo, Carrie alimdharaugi sana George lkn kwa ule mziki wa sikuhio alimfulia kofia kichaga, yeleuuuuwi.
Tangu siku hiyo, Carrie akibanwa, kumpigia George kumalizia haja zake.
Itaendelea KESHO TAR 27 July 2018 saa 1 usiku ya Tanzania
_________________________________________________________________________________
E. RAHA YA ASALI MZIKI
“Jirani, Jirani yangu wee eee, nimekukosea nini?
Kila unachokitaka jirani eee
Mimi ninakupatia
Kila unachokitaka jirani eee
Mimi ninakupatia
Mimi ninachokuomba
Mwenzangu wanikatalia
Sasa nikueleweje jirani ee
Sasa nikueleweje mwenzangu ee
Mimi na wewe nikitu kimoja eee
Haina mana ooo haina mana kunyimana
Mimi na wewe nikitu kimoja eee
Haina mana ooo haina mana kunyimana”
Kila unachokitaka jirani eee
Mimi ninakupatia
Kila unachokitaka jirani eee
Mimi ninakupatia
Mimi ninachokuomba
Mwenzangu wanikatalia
Sasa nikueleweje jirani ee
Sasa nikueleweje mwenzangu ee
Mimi na wewe nikitu kimoja eee
Haina mana ooo haina mana kunyimana
Mimi na wewe nikitu kimoja eee
Haina mana ooo haina mana kunyimana”
Warembo waliokuwa wamependeza sana usiku ule, na kila mmoja akawa akiwaangalia na kujaribu kutamani kucheza nao, walionekana wakicheza kwenye bendi ya Twanga pepeta kama wenye furaha, kila mmoja kwa mzuka wake kumbe wakitafakari maisha yao yalivyochelewa.
Basi wakaona wacheze kupunguza stress zao.
Mziki ukakolea;
“Sisi sote ni majirani
Haina maana ooo haina maana kunyimana
Sisi sote ni majirani
Haina maana ooo haina maana kunyimana”
Wakacheza mpaka wakachoka wakarudi kuketi kwenye meza yao,
Mziki ukakolea;
“Sisi sote ni majirani
Haina maana ooo haina maana kunyimana
Sisi sote ni majirani
Haina maana ooo haina maana kunyimana”
Wakacheza mpaka wakachoka wakarudi kuketi kwenye meza yao,
Adrienne: Ah nimecheza mpaka roho imetulia, sasa nina amani naweza lala usingizi, asante kwa kunileta Carrie haya mambo mimi siyajui.
Wote: wakacheka.
Carrie: Doreen, enhe vipi mama masaa yote, ukatuweka mpaka kidogo tukose meza leo, ningekumaindi sio kitoto, natumaini sasa umekaa sawa maana sio kwa kutuweka masaa 100.
Wote: wakacheka.
Doreen: Hakuna hata kilichofanyika cha maana, tumekaa tu tumeongea wee, anaonekana ni mtu mzuri, alafu ameniambia nimtumie resume yangu, asee Adrienne naomba unirembee CV yangu nimtumie, maana najua week hii upo buzy tafadhali.
Adrienne: sawa hamna shida.
Doreen: sasa kwenye ile CV sijui nitoe ile kampuni ya Heifer au niache?!
Wote: itoe mama, watakuweka bench miaka 4 tena sie tutakuwa nafamilia tutashindwa kukuchangia, wakakubaliana jina la kampuni litolewe kwenye Cv ya Doreen.
Carrie: enhe tupe umbea mama mbona unatuwekea usiku, we Doreen huyo mwanaume mlienda kuangaliana kwani yeye Museum?
Doreen: yani na alivyonishusha nikajua anataka kuniletea mambo ya ukichaa, hug and kiss, kabla hata hajapaki gari vizuri nikamkimbia akabakia ameduwaa.
Chanel: Hivi ni wewe uliekuwa unapiga makelele pale nje sio?
Nilidhania wanafukuza mwizi ai, Doreen una makelele kama mtoto wa Nursery, sasa kumpigia mikelele kama bendi yetu hapa ni nini?"
Ah bwana niacheni, ngoja labda nikipata kazi nitamfikiria, yani hapa naishi kwenye ukame alafu nikafufue waliolala si ntakufa?! Akajibu Doreen,
Ah bwana niacheni, ngoja labda nikipata kazi nitamfikiria, yani hapa naishi kwenye ukame alafu nikafufue waliolala si ntakufa?! Akajibu Doreen,
wenzake wakacheka.
Huku mziki wa Twanga ukiendelea kuimbwa:
Huku mziki wa Twanga ukiendelea kuimbwa:
“Ukumbuke ya wale wakale waliosema aaa
Jirani yako ndio nduguyooo
Roghate katapilaaa,
Ukumbuke ya wale wakale waliosema aaa
Jirani yako ndio nduguyooo
Mariamu janguooo
Akiomba kapuuuu, umpatieee
Aaah aminathaaaa keitaaa
Akiomba bungooo, umpatieee”
Carrie: Chanel mami, ushapata bwana?
Akiomba bungooo, umpatieee”
Carrie: Chanel mami, ushapata bwana?
Chanel: bado, ni waume tu za watu wakija wananibonyeza bonyeza kuwa tuonane hotelini wanaacha namba nazitupa.
Carrie: lahaulaaaa, yani unatupa ujuzi?
We nawe ni sheedah nyingine kama Doreen, ngoja kwanza, we waiter njoo huku tafadhali.
Waiter: habari zenu warembo?
Wote: Salama,
Carrie: eh waiter, umemwona Yule pedeshee aliekuja na discovery 4?
Waiter: ndio,
Carrie: eh mwambie kuna mrembo hapa akupe no yake utuletee.
Waiter si masihara akaenda kutekelezwa alichoambiwa. akarudi na namba akampa Carrie akamwambia amesema asikose kumpigia maana amekaa masaa 3 anamuangalia tangu anavyocheza.
Carrie: sawa asante tuletee vinywaji, kila mtu akataja kinywaji chake waiter akaondoka.
Haya mama Chanel, unamtaka tajiri au unaogopa kufa? Kufa kila mtu anakufa kwanza hii dunia ishamchafua Mungu anataka aikunje alete ingine alotengeneza Yesu, sasa unasemaje Chanel?
Chanel: hata sijui nitafanya nini na huyo baba wa watu!
Carrie: Kwa kuanzia mama itabidi umpe mechi za kimalaya tena vizuri,
Wote: wakacheka kwa aibu wakimwambia shhhhh punguza sauti jamani,
Carrie: alafu akiridhika ndio akuhudumie na wewe. Akikupa mechi za wazee vizuri utamtafuta kila siku.
Wote: Wakachoka!.
Doreen: akamwuliza ivi Carrie anaekufundisha haya yote ni Tito au?
Carrie: akacheka akasema mimi si ni mkubwa kwenu wote, ndio mnisikilize sasa, ijumaa sikukuu na jumamosi ni harusi ya bin dada.
Sisi wooote hapa ni watu wazima, mchangamshe viuno mkazae kabla Mungu hajakunja dunia kama karatasi, ohoo!
Carrie: kuna kungwi nimemsikia anakaa uswahili anafundisha jinsi ya kukatika na kula na kunywa, kwahiyo ijumaa tunahamishia kambi kwa Adrienne, aje atufunde, nina uhakika ndani ya mwaka m1 kila mmoja atakuwa na mabwana sio chini ya wanne.
Carrie: kuna kungwi nimemsikia anakaa uswahili anafundisha jinsi ya kukatika na kula na kunywa, kwahiyo ijumaa tunahamishia kambi kwa Adrienne, aje atufunde, nina uhakika ndani ya mwaka m1 kila mmoja atakuwa na mabwana sio chini ya wanne.
Wakacheka wote wakakubalia sawa ijumaa saa 8 mchana aje, na ijumaa usiku practice.
Carrie: mtafute mabwana, kama wewe Adrienne na wewe Doreen huyo tuyu wako unaemlea lea weka nae miadi ijumaa usiku mpikie kwako umkatikie.
Kesho naenda kutafuta namba ya kuyo kungwi ofisini, wakakubaliana wakaendelea na maongezi.
Carrie: akaonekana anatuma sms huku anacheka,
Doreen: unamtumia sms nani mama au ushapata bwana nini?
Carrie: hapana huyu ni rafkiangu yupo Dar amefikia the Kilimanjaro hotel, amenitumia sms niende.
Wenzake: wakacheka kwa nguvu hahaaaaaaaa, ticha kapatikanaaaaaa!
Carrie: wala sijapatikana, nimesoma nae degree alikuwa ananipenda lkn wala sikuwa nam-feel kiviile, nikaamua ngoja tu nilale nae, eh kumbe yupo vizuri hatali, nina uhakika Wazulu wamemkatikia mpaka amekuwa fundi, kila akija Tz lazima anitafute.
Haya mziki ukiisha naomba mnitupe hapo Kilimanjaro hotel nikapewe raha.
Wewe mama Chanel, namba ya bwana wako hii hapa, kama haumtaki usiku wa leo nimwite waiter, ila usisahau kutumia condom mama. Akainuka akaenda kucheza.
Burudani inaendelea:
“Mimi na wewe kitu kimoja ee
Kitu kimoja eeee
Mimi nawewe dole tupu
Dole tupu eee
Sijalala mwanangu utauawa bure,
Allele lelelelelelee utauawa bureee
Shinyanga shinyanga, dododma dodomaa
Singida singida, wana ukerewe, Bukobabukobaaa, arusha arushaa, kinondoni mambo ya fedhaaaaaa”.
Carrie: anayarudi kweli kweli, wenzie wanacheka, wanaulizana ivi carrie amelewa au? Sio kwa kucheza kule, si ataenda kumtapikia kaka wa watu huko anakoenda!? Akauliza Adrienne.
Chanel: nae alikuwa amejaa kimwili mbaya akimuangalia pedeshee mwenyewe mzuri anavutia, akijiangalia rangi ya nyuki akaona Yeeeees, hapa hapa ndio pangu, akamalizia kinywaji chake akawaambia akina Adrienne na Doreen, mwenzenu nina haja hatari, ngoja nikachukua mpira kwenye gari and we call it a night!
Burudani inaendelea:
“Mimi na wewe kitu kimoja ee
Kitu kimoja eeee
Mimi nawewe dole tupu
Dole tupu eee
Sijalala mwanangu utauawa bure,
Allele lelelelelelee utauawa bureee
Shinyanga shinyanga, dododma dodomaa
Singida singida, wana ukerewe, Bukobabukobaaa, arusha arushaa, kinondoni mambo ya fedhaaaaaa”.
Carrie: anayarudi kweli kweli, wenzie wanacheka, wanaulizana ivi carrie amelewa au? Sio kwa kucheza kule, si ataenda kumtapikia kaka wa watu huko anakoenda!? Akauliza Adrienne.
Chanel: nae alikuwa amejaa kimwili mbaya akimuangalia pedeshee mwenyewe mzuri anavutia, akijiangalia rangi ya nyuki akaona Yeeeees, hapa hapa ndio pangu, akamalizia kinywaji chake akawaambia akina Adrienne na Doreen, mwenzenu nina haja hatari, ngoja nikachukua mpira kwenye gari and we call it a night!
Doreen na Adrienne wakabakia macho kodooo!
Chanel akaenda kuchukua condom 3 akarudi akaenda kumuaga Carrie, na wenzie 2, akamfuata pedeshee, pendeshee kumwona akainuka, akamvutia kiti kukaribisha, baada ya lisaa 1 wakaonekana wanaondoka kuelekea kwenye gari ya pedeshee.
Adrienne akawafuata akaenda akarekodi namba ya gari ya pedeshee, just incase asije akatekwa nyara. Kurudi, akasikia Carrie anasema nampenda Chanel mpya, alikuwa muoga kweli wakati namfahamu mpaka leo, nina uhakika akitoka huko asubuhi ataomba ruhusa kazini anaumwa!
Chanel akaenda kuchukua condom 3 akarudi akaenda kumuaga Carrie, na wenzie 2, akamfuata pedeshee, pendeshee kumwona akainuka, akamvutia kiti kukaribisha, baada ya lisaa 1 wakaonekana wanaondoka kuelekea kwenye gari ya pedeshee.
Adrienne akawafuata akaenda akarekodi namba ya gari ya pedeshee, just incase asije akatekwa nyara. Kurudi, akasikia Carrie anasema nampenda Chanel mpya, alikuwa muoga kweli wakati namfahamu mpaka leo, nina uhakika akitoka huko asubuhi ataomba ruhusa kazini anaumwa!
Twanga pepeta wakaendelea na tumbuizo:
“Sitaki tena kuishi na weeeewee
Kwakuwa mambo ulionitendea yanasikitisha sana ee
Aminathaaa eeee
Amina umebadili uamuzi iweje leo umeenda kuolewa na mume mwengine
Amina oooo aminatha eee
Kumbuka amina eee,
Ahadi tulikubaliana na wewe tufunge ndoa
Imekuwaje leo umeolewa na mume mwengine, yoyooo”
“Sitaki tena kuishi na weeeewee
Kwakuwa mambo ulionitendea yanasikitisha sana ee
Aminathaaa eeee
Amina umebadili uamuzi iweje leo umeenda kuolewa na mume mwengine
Amina oooo aminatha eee
Kumbuka amina eee,
Ahadi tulikubaliana na wewe tufunge ndoa
Imekuwaje leo umeolewa na mume mwengine, yoyooo”
Jamani sasa hivi ni saa 4 usiku naomba mnitupe hapo Kilimanjaro nikamaliza shida zangu tutawasiliana, kesho.
Wakaondoka wakampeleka Kilimanjaro hotel. Carrie akaonekana hayupo sawa wakamwuliza, mami unauhakika na kuja huku? Kwanini tusirudi nyumbani, maana unaonekana umelewa sana.
Carrie: mimi thijalewa mimi nyie majinga tu nimewaaaambie nipeeeeeleken kwa bwanangu nikaenjoi.
Ikabidi wachukue simu wampigie muhusika, muhusika akaja akamchukua Carrie mpaka chumbani,
Ikabidi wachukue simu wampigie muhusika, muhusika akaja akamchukua Carrie mpaka chumbani,
Adrienne na Doreen wakaondoka kurudi nyumbani.
George alifurahi sana kumwona Carrie akajua usiku mzima mechi ya nyumbani, wakiwa wanatembea kuelekea chumbani, Carrie akaonekana amechoka sana anataka kulala, wakafika chumbani, akamweka kitandani, yeye akaenda bafuni kujiandaa, kurudi akamkuta Carrie amelala fofofo hamu ikamuisha George ikabidi apande kitandani nae alale.
George alifurahi sana kumwona Carrie akajua usiku mzima mechi ya nyumbani, wakiwa wanatembea kuelekea chumbani, Carrie akaonekana amechoka sana anataka kulala, wakafika chumbani, akamweka kitandani, yeye akaenda bafuni kujiandaa, kurudi akamkuta Carrie amelala fofofo hamu ikamuisha George ikabidi apande kitandani nae alale.
ITAENDELEA TAR 28 JULY 2018 SAA 10 JIONI YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
F. MAHABA NIUE!
Chanel na Pedeshee, (Mario, ndio lilikuwa jina la pedeshee).
Wakaelekea Sheraton hotel, kufika Chanel akawa anaogopa utadhania mtoto bikira, alihisi atakufa usiku huo huo, lakini akimuangalia pedeshee alikuwa kaka anaevutia, ingawa alikuwa mfupi kwake, akasema Mungu wangu nimejiingiza kwenye nini tenaa? baadae akajiambia what the hell, we only live once!
Pedeshee akafanya yake, akambeba juu juu akamuweka kitandani, Chanel hapo hoi, amelewa kwa mabusuo. Akakumbuka mpira akamdanganya mkojo umenibana, akaenda chooni akajidai anakojoa akachukua mpira akaitoa akaflash akatoka nayo, akamkuta pedeshee anamsubiria kitandani, akamvisha mpira wakazama mechini. Pedeshee hakuamini, mtoto kama yule anaweza jua hayo mambo, ilifika mahali pedeshee akaanza kupika kelele kama mtoto mdogo, nakuja nakuja ohoo shikamoo World Cup!
Pedeshee akafanya yake, akambeba juu juu akamuweka kitandani, Chanel hapo hoi, amelewa kwa mabusuo. Akakumbuka mpira akamdanganya mkojo umenibana, akaenda chooni akajidai anakojoa akachukua mpira akaitoa akaflash akatoka nayo, akamkuta pedeshee anamsubiria kitandani, akamvisha mpira wakazama mechini. Pedeshee hakuamini, mtoto kama yule anaweza jua hayo mambo, ilifika mahali pedeshee akaanza kupika kelele kama mtoto mdogo, nakuja nakuja ohoo shikamoo World Cup!
Kweli darasa la Carrie lilimkolea Chanel.
Ikafika zamu ya Chanel kuwekwa chini, Pedeshee nae hakuwa wa mchezo, alifanya yake kweli kweli, chanel akaanza kulia machozi, basi inatosha utaniua wewe baba yaishe basi niache, pedeshee ndo kwanza anazidisha misifa.
Ikafika zamu ya Chanel kuwekwa chini, Pedeshee nae hakuwa wa mchezo, alifanya yake kweli kweli, chanel akaanza kulia machozi, basi inatosha utaniua wewe baba yaishe basi niache, pedeshee ndo kwanza anazidisha misifa.
Chanel alitamani pakuche maana aliona kila rangi kwenye kile chumba, blue, kijani, nyeusi, nyeupe, brown, pinki, Pedeshee anakazana kweli kweli.
THE KILIMANJARO HOTEL:
Carrie: akashituka usiku saa 9, pombe zikiwa zimemtoka akajikuta amelala sehemu asiyoijua, kufungua macho vizuri anamwona George amelala pembeni yake, shit!
Carrie: akashituka usiku saa 9, pombe zikiwa zimemtoka akajikuta amelala sehemu asiyoijua, kufungua macho vizuri anamwona George amelala pembeni yake, shit!
Nafanya nini huku? Nani kanileta!? Kuangalia simu saa 9 usiku, kuangalia sms akakuta sms za George wamekubaliana waende wakalale wote lkn mbona nimelala na nguo zote imekuwaje, kujinusa akakuta ananuka pombe, akachukua panadol akanywa.
Akaingia bafuni kupiga mswaki aoge, akiwa bafuni akajaza maji kwenye bath akaingia akakaa kuondoa uchovu, baada ya dk 45 George akashtuka na kumtuka Carrie hayupo ila anaona taa inawaka, akaona opportunity ndio hii akavua nguo zake zoote akaingia nae bafuni. Kufika bafuni hamna mtu, heee, akashangaa, huyu mtoto ameenda wapi?
Baadae akasikia mtu anagonga, kufungua akakuta ni Carrie amesimama na sahani imejaa matunda,
Baadae akasikia mtu anagonga, kufungua akakuta ni Carrie amesimama na sahani imejaa matunda,
“unafanya nini huku nje usiku huu?” akauliza George,
Carrie: Nilitoka nje kwenda kuomba chakula or something maana nilikuwa na njaa, kurudi nakuta mlango umefunga niliegesha na gazeti ndio maana umejifunga! Akaingia ndani, umeamka saa ngapi?.
George: Saa 10 kasoro, nikadhani uko bafuni kuja kukuangalia sijaona mtu nikashtuka naota au?
Carrie: akaja akamkumbatia, oh baby pole akawa anambusu, look at you looking all roar, aghrrr, George akawa anacheka huku anambusu akambeba akamweka kitandani, mechi ikaanza, George anapiga makelele, mtoto kiuno kama feni hachoki, mwanaume yupo hoi, Carrie anamamalizia nyege zake kwa spidi, goal la kwanza likafungwa.
Carrie: akaja akamkumbatia, oh baby pole akawa anambusu, look at you looking all roar, aghrrr, George akawa anacheka huku anambusu akambeba akamweka kitandani, mechi ikaanza, George anapiga makelele, mtoto kiuno kama feni hachoki, mwanaume yupo hoi, Carrie anamamalizia nyege zake kwa spidi, goal la kwanza likafungwa.
HUKO KWA CHANNEL SASA:
Saa 11 alfajiri Pedeshee akashituka usingizini, kuangalia saa ni saa 11 alfajiri, pembeni yake kuna Chanel, hakuamini akafikicha macho kuangalia tena kweli ndio mwenyewe, akashuka kitandani pombe zikiwa bado hazijamtoka, akaenda kuoga, akarudi akanywa dawa, akarudi tena bafuni kwenye bath. Akakaa kama dk 20 akaamka, kurudi akamkuta Chanel amesimama alikuwa anaelekea bafuni, alipomuona akatupa taulo chini, akamkumbatia Chanel wakazunguka wee mpaka dirishani kulikuwa na sehemu ya kukaa akamuweka chanel hapo dirishani akaanza kumhudumia, Chanel akahisi anakufa, maana aliwaza mpira hana, Pedeshee yupo buzy anashuka akambeba Chanel akamlaza chini kabisa kwenye carpet, Chanel akamwambia naomba uvae condom, Pedeshee akainuka anaenda kwenye suruali yake akatoa condom akavaa, akaendelea na mechi, Chanel akiwa kimya anapumilia mdomo, pua na maskio, Pedeshee akajiona kidume akrudi bafuni kuoga. Akiwa bafuni Chanel akasema hapana sifungwi kiboya boya akamfuata huko huko bafuni kaanza yake Pedeshee mbona maji yalikuwa yamoto ghafla hakuamini aliloyaskia, Saa 12 nanusu asubuhi Chanel anataka kutoka, Pedeshee anamwambia tunaweza kuonana tena mrembo?
Saa 11 alfajiri Pedeshee akashituka usingizini, kuangalia saa ni saa 11 alfajiri, pembeni yake kuna Chanel, hakuamini akafikicha macho kuangalia tena kweli ndio mwenyewe, akashuka kitandani pombe zikiwa bado hazijamtoka, akaenda kuoga, akarudi akanywa dawa, akarudi tena bafuni kwenye bath. Akakaa kama dk 20 akaamka, kurudi akamkuta Chanel amesimama alikuwa anaelekea bafuni, alipomuona akatupa taulo chini, akamkumbatia Chanel wakazunguka wee mpaka dirishani kulikuwa na sehemu ya kukaa akamuweka chanel hapo dirishani akaanza kumhudumia, Chanel akahisi anakufa, maana aliwaza mpira hana, Pedeshee yupo buzy anashuka akambeba Chanel akamlaza chini kabisa kwenye carpet, Chanel akamwambia naomba uvae condom, Pedeshee akainuka anaenda kwenye suruali yake akatoa condom akavaa, akaendelea na mechi, Chanel akiwa kimya anapumilia mdomo, pua na maskio, Pedeshee akajiona kidume akrudi bafuni kuoga. Akiwa bafuni Chanel akasema hapana sifungwi kiboya boya akamfuata huko huko bafuni kaanza yake Pedeshee mbona maji yalikuwa yamoto ghafla hakuamini aliloyaskia, Saa 12 nanusu asubuhi Chanel anataka kutoka, Pedeshee anamwambia tunaweza kuonana tena mrembo?
Hii ni business card yangu naomba nisaidie namba yako naahidi kukutafuta.
Chanel alisita mwishowe akaamua kumpa tu namba ya simu. Wakati anataka kutoka, pedeshee akamwambia wewe baki ulale najua umechoka sana na mechi ya leo, ikifika saa 5 rudisha funguo reception uondoke, natakiwa ku-check out saa 5 asubuhi hapa nawahi ndege ya saa 3 asbh nasafiki kwenda Mogadishu kikazi.
Na kwenye droo nimekuwekea asante yako, akaogopa akajua muhuni tu, pedeshee alipoondoka akafungua droo akakuta Tsh 5,000,000 cash akashituka sana, akahisi Yule baba anaukimwi nini lkn akifikiria walitumia condom haiwezekani akawa ameukwaa. Akarudi kulala, saa 4 akaamka akaoga akaondoka kurudi nyumbani kwake. Shift yake ya siku hio ilikuwa ya mchana saa 8 akarudi nyumbani kujiandaa akaenda ofisini, sikuhiyo alikuwa mwepesi na mchangamfu sana ofisini, ile bahasha aliiacha nyumbani kwake, akaifungia kabatini pamoja na pesa kiasi, akaenda kuweka mil 4 benki.
Asubuhi saa 12 Carrie akawahi kuamka, akatuma msg kwa boss kuwa hatoweza kufika kazini anaumwa malaria, akaenda kuoga haraka haraka, akaoda breakfast ya asubuhi, akaletewa, Carrie akampa dozi ya asubuhi, mpaka George akachanganyikiwa, walipomaliza George akasema, wow! Now this is what I call morning sex.
Sasa ngoja na mimi nikuhudumie, Carrie kachanganyikiwa, jjjjjjjjjgeoooooorgeeee uuuuuwi Yeeeeesu namariaaaaaa, mamaaaaangu mzazi nakufaaaaaa, uuuuuwi, George kuona misifa anazidisha, Wote wakiwa hoi, saa 1 nanusu asubuhi. Carrie akafikiria akasema hapa kuonana na George ni miezi 3 – 6 ijayo, ngoja nikamalizie ya mwisho mwisho, akamfuata huko huko bafuni.
George alikuwa na mkutano hapo hapo hotelini saa 3 asubuhi, akamwambia nakusifu mchaga, maujuzi mapya sijui nani kakufundisha, Carrie akawa anacheka tu, akamwambia naomba ubaki leo mimi nasafiri kesho asubuhi, oda chochote unachotaka watakuletea, ukisikia kuboreka nitumie sms nitakuja kukupa company lunch time. Carrie akafurahi akamfunga tai, akambusu akamsindikiza mpaka mlangoni akamuaga akiwa mtupu, baadae akarudi kulala.
George alikuwa na mkutano hapo hapo hotelini saa 3 asubuhi, akamwambia nakusifu mchaga, maujuzi mapya sijui nani kakufundisha, Carrie akawa anacheka tu, akamwambia naomba ubaki leo mimi nasafiri kesho asubuhi, oda chochote unachotaka watakuletea, ukisikia kuboreka nitumie sms nitakuja kukupa company lunch time. Carrie akafurahi akamfunga tai, akambusu akamsindikiza mpaka mlangoni akamuaga akiwa mtupu, baadae akarudi kulala.
ITAENDELEA KESHO TAR 31 JULY 2018 SAA 1 Jioni YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
G. TUWAFAHAMU WANAUME
Jumatatu saa 2 asubuhi, Doreen akampigia Adrienne kumkumbushia kuhusu Cv yake.
Adrienne: Mami umesikia toka kwa Carrie na Chanel,
Doreen: Hapana wala sms hawajanitumia
Adrienne: sawa nitakutumia baadae Cv mpya alafu nitampigia Chanel na Carrie lunch time, nitakupa feedback!
Ilipofika Saa 4 asubuhi, Adrienne akampigia Chanel,
Ilipofika Saa 4 asubuhi, Adrienne akampigia Chanel,
Adrienne: Mama uko wapi? sijakusikia tangu jana ulipoondoka na mtu mzima.
Chanel: shogangu kwenye simu utapagawa, bora tuonane ana kwa ana nikupe ubuyu wote.
Adrienne: hahahaha sawa mama.
Akampigia tena komando Carrie,
Adrienne: We kubwa la maadui upo wapi?
Carrie: shogangu nimelala Kilimanjaro mpaka sasa hivi saa 5, wewe ndio umeniamsha.
Adrienne: Nafurahi kusikia upo salama, natumai hamna baya lililokupata.
Carrie: Baya? Au unamaana mazuri yalionipata ambayo hayajawahi kunipata kabisa?
Usijali ngoja nikudokeze, jana tulifanya kila sehemu, kitandani,
bafuni,
mimi juu yake,
yeye juu yangu,
yeye pembeni yangu,
wakati anaendelea kuongea Adrienne akakata simu. Carrie akampigia tena, mbona umenikatia simu? Adrienne: bwana mimi nipo kazini, tutaongea baadae.
Carrie: sawa mama, vipi Chanel umemcheki maana bora mimi kuliko yeye.
Adrienne: Nimemcheki, ila wote mna stori zimefanana, itabidi umpigia akuhadithie anaonekana ana muda mimi sina. Sasa leo umeenda kazini kweli?
Carrie: uko serious au unanitania? Jana usiku nilisafiri kwenda Mbingu 8, kurudi Duniani ni ngumu bado nimezungukwa na raha za Mbinguni.
Adrienne: akakata simu.
Lunch time, Carrie akafanya kufuru ya kuoda, starter, main course and desert, hata hakuboreka akasahau hata kumtumia sms George akarudi kulala, saa 12 jioni George akarudi kutoka kwenye kikao. Wakakubaliana watoke wakazurure mtaani ili George aone jiji lilivyo kabla hajarudi Africa kusini.
Lunch time, Carrie akafanya kufuru ya kuoda, starter, main course and desert, hata hakuboreka akasahau hata kumtumia sms George akarudi kulala, saa 12 jioni George akarudi kutoka kwenye kikao. Wakakubaliana watoke wakazurure mtaani ili George aone jiji lilivyo kabla hajarudi Africa kusini.
Wakiwa kwenye matembezi yao ya kulikagua jiji la Dar es salaam, huku nyuma Doreen akapata sms toka kwa James muda wa saa 1 usiku.
James: Mrembo salama, umekuwa kimya sana leo nikaona nikutumie sms, upoo?
Doreen: alipoona akaifuta hakumjibu. Ikapita dakika 20 James akaamua kumpigia simu lakini Doreen hakupokea, akapiga tena zaidi na zaidi ilipofika mara ya 7 Doreen akakumbuka kuna CV akaamua kupokea.
Doreen: Hellow
James: Habari Mrembo (kwa sauti ya nyororo)
Doreen: Nzuri
James: za kushinda? Za toka jana?
Doreen: Salama, nashukuru Mungu
James: Nafurahi kusikia hivyo, sasa mbona cv yako sijaiona mamii?
Doreen: ah nimesahau kukutumia, naomba nikutumie kesho asubuhi utaikuta kwenye mail zako
James: sawa sawa, sasa lini tunaonana? Nitafurahi kama nitakutoa dinner tena
Doreen: uzalendo ukiwa umeshamshinda, akakumbuka kuwa ijumaa usiku walipanga kila mtu awe na bwana ku practice mafunzo ya kungwi. Akamjibu Ijumaa usiku,
James: akafurahi sana, sawa nitakuja kukupitia, nije saa ngapi?
Doreen: uuum, mimi ningependa tule hapa hapa nyumbani kwangu.
James: sawa hamna neno nitakuja, nitapika mimi wewe andaa tu masufuria na mwiko na kila kitu.
Wote: wakacheka wakaagana.
Doreen: Hellow
James: Habari Mrembo (kwa sauti ya nyororo)
Doreen: Nzuri
James: za kushinda? Za toka jana?
Doreen: Salama, nashukuru Mungu
James: Nafurahi kusikia hivyo, sasa mbona cv yako sijaiona mamii?
Doreen: ah nimesahau kukutumia, naomba nikutumie kesho asubuhi utaikuta kwenye mail zako
James: sawa sawa, sasa lini tunaonana? Nitafurahi kama nitakutoa dinner tena
Doreen: uzalendo ukiwa umeshamshinda, akakumbuka kuwa ijumaa usiku walipanga kila mtu awe na bwana ku practice mafunzo ya kungwi. Akamjibu Ijumaa usiku,
James: akafurahi sana, sawa nitakuja kukupitia, nije saa ngapi?
Doreen: uuum, mimi ningependa tule hapa hapa nyumbani kwangu.
James: sawa hamna neno nitakuja, nitapika mimi wewe andaa tu masufuria na mwiko na kila kitu.
Wote: wakacheka wakaagana.
Doreen: alipotumiwa CV yake na Adrienne akaamua kuituma kumjaribu James kuona kama yeye kweli ni Nepotizer au mashauzi tu!
Chanel: akatoka kazini saa 3 usiku amechoka sana, kufika nyumbani akajibwaga kitandani, akasikia simu imeingiza meseji akaona uvivu kuisoma, ah nitaisoma asubuhi akalala.
Adrienne: usiku wake ulikuwa kama kuzimu, hakuwa na raha, usingo ulimkamata vibaya sana, akawa kila akitoka kazini anajaribu kwenda kukaa kwenye mahoteli makubwa, anywe na kula maana hakuwa na mtu, arudi nyumbani kulala tu asahau ukiwa!
Chanel: akatoka kazini saa 3 usiku amechoka sana, kufika nyumbani akajibwaga kitandani, akasikia simu imeingiza meseji akaona uvivu kuisoma, ah nitaisoma asubuhi akalala.
Adrienne: usiku wake ulikuwa kama kuzimu, hakuwa na raha, usingo ulimkamata vibaya sana, akawa kila akitoka kazini anajaribu kwenda kukaa kwenye mahoteli makubwa, anywe na kula maana hakuwa na mtu, arudi nyumbani kulala tu asahau ukiwa!
Weekend kwake ilikuwa kama Mbinguni maana muda mwingi anakutana na marafikizake angalau anapoteza mawazo. Zamani wakiwa na JON ilikuwa afadhali lakini tangu waachane imekuwa shida, simu yake ikiita ilikuwa ya kutabirika kama sio marafikizake basi ni ofisini.
Siku moja Mungu sio Bwashee, akatoka kwenda kukaa The Kilimanjaro Hotel, kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 3 usiku huku anasikiliza mziki wa Faith Evance na Puff Daddy, I’ll be missing you, hana hili wala lile mara akaja kaka mmoja mrefu kwenda juu, urefu wa futi 5’6, mwanaume wa kweli, maana kumu approach high class babe kama Adrienne, inachukua zaidi ya balls.
Kijana: habari yako mrembo
Adrienne: akamuangalia akaendelea kula mziki
Kijana: nakusalimia mrembo hausikii
Adrienne: kimya.
Kijana: akaona hapa nishafukuzwa, akasogeza kiti akakaa, akawa anamwongelesha mtu ameweka headphones masikioni, kajiongelesha kama dk 10 akahisi hatakiwi, lkn akakomaa kukaa pale pale
Baada ya nusu saa, Adrienne akaona muda wa kuondoka umefika, akakusanya kila chake akaondoka
Kijana akamfuata nyuma mpaka kwenye gari huku anamwongelesha, alipofika kwenye gari, Adrienne akafungua mlango akawa anaingia ndani, kijana akamvuta kwanguvu akamkumbatia,
Siku moja Mungu sio Bwashee, akatoka kwenda kukaa The Kilimanjaro Hotel, kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 3 usiku huku anasikiliza mziki wa Faith Evance na Puff Daddy, I’ll be missing you, hana hili wala lile mara akaja kaka mmoja mrefu kwenda juu, urefu wa futi 5’6, mwanaume wa kweli, maana kumu approach high class babe kama Adrienne, inachukua zaidi ya balls.
Kijana: habari yako mrembo
Adrienne: akamuangalia akaendelea kula mziki
Kijana: nakusalimia mrembo hausikii
Adrienne: kimya.
Kijana: akaona hapa nishafukuzwa, akasogeza kiti akakaa, akawa anamwongelesha mtu ameweka headphones masikioni, kajiongelesha kama dk 10 akahisi hatakiwi, lkn akakomaa kukaa pale pale
Baada ya nusu saa, Adrienne akaona muda wa kuondoka umefika, akakusanya kila chake akaondoka
Kijana akamfuata nyuma mpaka kwenye gari huku anamwongelesha, alipofika kwenye gari, Adrienne akafungua mlango akawa anaingia ndani, kijana akamvuta kwanguvu akamkumbatia,
Kijana: Naitwa Safaree, nah ii ndio business card yangu, akamwekea ndani ya blouse yake katikati ya maziwa, akamwachia akaondoka.
Adrienne: akamwangaliaaaa, akamsonya akaingia kwenye gari akaondoka. Kufika nyumbani kwake akaiweka ile business card ya Safaree kwenye droo yake akalala, asubuhi kama kawaida akaelekea ofisini.
IJUMAA asubuhi wakakutana kwa Adrienne, kufanya kambi. Saa 4 asubuhi team nzima imejaa, wakapika chakula cha mchana, wakamsaidia kufanya usafi, wakasubiri kuhusu kungwi kufika.
Carrie akamwuliza Adrienne mama umepata bwana?
IJUMAA asubuhi wakakutana kwa Adrienne, kufanya kambi. Saa 4 asubuhi team nzima imejaa, wakapika chakula cha mchana, wakamsaidia kufanya usafi, wakasubiri kuhusu kungwi kufika.
Carrie akamwuliza Adrienne mama umepata bwana?
Adrienne: sijapata wa maana ni wale wale.
Carrie: una maana gani wale wale?
Adrienne: ah! kuna mshenzi mmoja ananiganda me simjui.
Doreen: mshenzi gani huyo?
Adrienne: Nilikutana nae the Kilimanjaro Hotel, akaning’ang’aniaaa, akaishia kuniwekea business card yake kwenye maziwa tena kinguvu.
Carrie: woyoooooo! mpaka kwenye maziwa mmefika? Shogangu iko wapi iyo business card kwanza?
Carrie: woyoooooo! mpaka kwenye maziwa mmefika? Shogangu iko wapi iyo business card kwanza?
Adrienne: hata sikumbuki niliitupa kwenye droo hapo,
Chanel: akainuka akaenda kuichukua, akakuta imeandikwa anaitwa Safaree Business Consultant akawaonyesha Doreen na Carrie.
Carrie: akachukua simu ya Adrienne akamtext Yule kaka, mambo Safaree, mimi ni Yule dada tulionana the Kilimanjaro, ukaniwekea business card yako kwenye maziwa, mpaka leo sijaweza kuitoa kifuani mwangu, tunaweza kuonana leo saa 1 jioni unitoe?
Mimi naitwa Adrienne naishi Mikocheni akamtumia na address ya mahali anapoishi.
Adrienne: hapo kafuraje, kanunaje, wenzake wakaanza kumcheka wenzake.
Adrienne: Doreen na wewe unanichekea nini wakati hata bwana hauna?
Carrie: akadakia, Doreen hana? Heee, Doreen sio mwenzio tena, leo usiku Doreen anaenda kupikiwa Dinner na James, imagine, hata Doreen amekushinda.
Carrie: kuhusu bwana, nataka niskie kwa shoga Chanel, naamini maujuzi yangu uliyatumia vizuri, Yule pedeshee vepee? Milifika wapi na mpaka leo mmeishia wapi?
Carrie: kuhusu bwana, nataka niskie kwa shoga Chanel, naamini maujuzi yangu uliyatumia vizuri, Yule pedeshee vepee? Milifika wapi na mpaka leo mmeishia wapi?
Naamini leo hautalala mwenyewe usiku.
Chanel: akaanza kuwaadithia yaliyompata na kumshukuru sana Carrie kwa ile seminar fupi maana ilimtunuku million 5 toka kwa pedeshee.
Wote: wakacheka, hahahaaaa, haloooooo, enhe hizo hela unazifanyia nini shoga unauhakika hana ukimwi? Maana no man leaves money on the street, only the HIV Positive ones, akajibu Carrie.
Chanel: nani anacheza mpira wa mguu miguu peku jamani, tulitumia condom.
Doreen: Enhe kikatokea nini baada ya kubeba burungutu?
Chanel: Sikumuona tena Yule bwana mpaka wa leo, ila J3 usiku nilipata sms, sikuisoma nikaja kuisoma leo wakati nakuja huku, si unajua tena shogangu ubize na kazi za watu? Kumbe ile sms ilikuwa ya yule kaka wa kunduchi beach, anataka tuonane leo, sikumjibu mpaka jana nilipoongea na bibie Doreen akanishauri nimwambie aje nyumbani kwangu, ndio nimetoka kumjibu tuonane usiku wa leo lkn nyumbani kwangu.
Chanel: Sikumuona tena Yule bwana mpaka wa leo, ila J3 usiku nilipata sms, sikuisoma nikaja kuisoma leo wakati nakuja huku, si unajua tena shogangu ubize na kazi za watu? Kumbe ile sms ilikuwa ya yule kaka wa kunduchi beach, anataka tuonane leo, sikumjibu mpaka jana nilipoongea na bibie Doreen akanishauri nimwambie aje nyumbani kwangu, ndio nimetoka kumjibu tuonane usiku wa leo lkn nyumbani kwangu.
Carrie: Bravoo Chanel! ila nashangazwa na majibu ya Mama Theresa Doreen, sikuhizi umekuwa mimi?
Nilijua Doreen atakwambia achana nae mpotezee, kweli mama kungwi akija mambo yatakaa sawa usiku wa leo.
Wote wakamwangalia Carrie wakisubiri yeye aseme usiku wa leo atakuwa na nani?
Carrie: akauchuna ikabidi wamwulize, akawajibu yani hapa mie mkaaavau sina hata mtu. Nahisi nitarudi nyumbani kulala tu.
Doreen: Na George leo yupo wapi?
Carrie: Amesharudi Afrika ya kusini, najua kesho asubuhi wote mtaamka mamilionea sio kwa somo hili la kungwi.
Enhe niambieni, Jumamosi na j2 usiku tunaenda wapi?
Enhe niambieni, Jumamosi na j2 usiku tunaenda wapi?
Wote: wakakaa kimya hawakujua wataenda wapi.
Baadae wakasikia hodii, kungwi keshafika kwa ajili ya somo.
Somo la kungwi likakolea, kungwi kapiga pindi la kufa mtu kwa upande wake, akawa na kipindi cha wao kuonyesha kwa vitendo walichofundishwa, kila mmoja kwa mahali pake, carrie akachagua dirishani, Chanel akachagua kitchen table, Adrienne akachagua kitandani, Doreen akachagua kwenye sakafu, somo somoni pindi limekolea.
Wakafundishwa:
Wakafundishwa:
1. jinsi ya kuongea na mpenzi
2. jinsi ya kumlisha, kumbembeleza, kumpetipeti, kumwogesha.
3. Msikremu mapenzi kuwa ni kitandani tuu, sehemu zipo nyingi sana, mfano kwenye bustani, swimming pool kama mnayo lkn, sakafu, meza ya jikoni, barazani, kwenye gari, mbele ya gari, kwenye buti la gari, etc etc.
4. Mpunguze maneno mengi wakiwa na wapenzi wenu, wale supportive maana wanaume wengine wanakuwa wamevurugwa na familia, kazi, wake, wapenzi, michepuko nakadhalika wa kadhalika.
5. Akawafundisha kucheza na kukatika kwenye chuma kwa wakati mmoja, kama wanawake wa Las Vegas Casino.
5. Akawafundisha kucheza na kukatika kwenye chuma kwa wakati mmoja, kama wanawake wa Las Vegas Casino.
Wakamwuliza kungwi kuhusu kuvaa shanga, kungwi akawaambia kama ni mara ya kwanza usivae shanga, usije ukamshtua mwanaume wako maana sio wote wanaopenda, kama amekwambia anapenda atakuletea utaivaa.
6. Pia ukikutana na mpenzi wako naomba msivae makofia yenu ya kulala na pajamas, hizo nywele za kichwani mzichane vizuri kama mnatoka out.
6. Pia ukikutana na mpenzi wako naomba msivae makofia yenu ya kulala na pajamas, hizo nywele za kichwani mzichane vizuri kama mnatoka out.
7. Fanyeni waxing, haya mambo ya viwembe yamepitwa na wakati, lazima uwe wa tofauti kabisaa.
Wote: wakamgeukia Doreen wakamwambia Mama mchungaji umesikiaaaaaaa?
Doreen: akacheka sana.
Carrie: Kungwi unajua Doreen ana Adrienne ni mabikira? Hawajaguswa sikunyingi sana, huyu miaka 5, Doreen miaka 13.
Kungwi: Doh! Hatari, hongereni sana warembo, sasa hapo itabidi mniongeze hela nitoa darasa la mabikira.
Wote: wakacheka,
Chanel: akatoa laki 2 tena akampa kungwi aongeze maujuzi kwa Doreen na Adrienne.
Darasa likaendelea zaidi kungwi ni noumer, maujuzi kebekebe, alipokaribia kumaliza akawaambia tafadhali naomba kwenu na vyumbani mwenu muwe wasafi, hamna mwanaume anaependa uchafu hata kama mwanaume ni mchafu hatotaka mwanamke mchafu, nawatakia mafanikio mema ma bibi harusi wangu watarajiwa.
Walipotoka kwenye pindi la kungwi kila mtu aliitafuta waxing therapy ilipo, wote wakaenda Upanga kwa wahindi wote kwa pamoja, walipotoka hapo wakarudi saloon kutengeneza nywele na baadae wakarudi nyumbani kufanya usafi, hapo saa 12 jioni.
Walipotoka kwenye pindi la kungwi kila mtu aliitafuta waxing therapy ilipo, wote wakaenda Upanga kwa wahindi wote kwa pamoja, walipotoka hapo wakarudi saloon kutengeneza nywele na baadae wakarudi nyumbani kufanya usafi, hapo saa 12 jioni.
Baadae text kwenye simu ya Adrienne ikaingia ikisema I won’t miss at all.
Chanel: Akapata sms kuwa Mark hajisikii vizuri, kwahiyo anaomba aende nyumbani kwake akampe kampani.
Doreen: nae akiwa anajamba jamba, hajui itakuwaje, akawa amejiandaa vizuri, akajaza ma condom kwenye droo ya kitanda chake amejaa hofu utadhani anataka kupasuka.
Carrie: akiwa anawaza atafanya nini usiku ule, hana bwana, hana friend with benefit, hawezi rudi kwa ex wake, akakumbuka kuwa boss wake ofisini alikuwa anamsumbu sumbua sana, mara amtake mara nini, na yeye akiwa anataka promoshen kazini kwake akaona aitumie fursa ipasavyo akamualika nyumbani kwake, maana mdogowake alikuwa hayupo amefunga shule ameenda kuwasalimia wazazi wake kijijini Moshi.
Chanel: Akapata sms kuwa Mark hajisikii vizuri, kwahiyo anaomba aende nyumbani kwake akampe kampani.
Doreen: nae akiwa anajamba jamba, hajui itakuwaje, akawa amejiandaa vizuri, akajaza ma condom kwenye droo ya kitanda chake amejaa hofu utadhani anataka kupasuka.
Carrie: akiwa anawaza atafanya nini usiku ule, hana bwana, hana friend with benefit, hawezi rudi kwa ex wake, akakumbuka kuwa boss wake ofisini alikuwa anamsumbu sumbua sana, mara amtake mara nini, na yeye akiwa anataka promoshen kazini kwake akaona aitumie fursa ipasavyo akamualika nyumbani kwake, maana mdogowake alikuwa hayupo amefunga shule ameenda kuwasalimia wazazi wake kijijini Moshi.
Niseme nini juu ya hawa vijana ambao wanakaribia kukamata mioyo ya hawa warembo?
Mark: tajiri kiasi, very smart, mweupe, ana urefu wa futi 5'6, anajiamini sana, miaka 44, Mkristo-mlutheri, ana watoto 2 mapacha wa kike na kiume, Mtalakalieshinda custody ya watoto maana mkewe alikuwa mlevi sana, anaishi Mikocheni, Mpare.
George: Wealthy, Smart, mweupe ana macho ya brown, urefu wa futi 5'8, got balls, 42yrs, Christian Lutheran, kabila la Kimakua, Anaishi Africa ya Kusini, Tanzania, SINGLE!
Safaree: ana heeeeelaaa, yani ana heeeelaaa mpaka Serikali inamfuatilia maana hela zake hazieleweki zinatokea wapi (mission town au kwa jina linguine wanajulikana kama smooth operator), maji ya kunde, urefu wa futi 5'7, miaka 40, Mpagani, Mrangi, anaishi Posta mpya, Dodoma, Mwanza na Arusha, SINGLE!
Pedeshee Marion: Mfupi, maji ya kunde, miaka 43, anaishi Mogadishu, Tanzania, Africa Kusini, Accra Ghana, Dubai, Singapore, Mkristo, Mlugulu,Single, very smart.
Lucifer: alikuwa ni rubani wa ndege, urefu wa futi 5'8, Wealthy, Maji ya kunde, Gorrilla body, Mkristo- Catholic, Miaka 42y, Mmakua, anaishi Oysterbay, Posta mpya, Angani, ana mtoto m1 wa kiume, Single , very smart.
Chris: Mzungu, Consultant na Mfanya Biashara Geneva Switzerland, Miaka 43, mrefu wa futi 6’0, Divorced (MTALAKA), hana mtoto.
Shawn: Rafiki yake Lucifer, miaka 41, Single, Smart, anaishi Ocean road, Dodoma, Arusha, Mmasai,rich,
ITAENDELEA TAR 2 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA, USIKOSE!
_________________________________________________________________________________
SEHEMU YA 2
A. SHULE YA KUNGWI IMEKOLEA
KWA CHANEL:
Usiku ukatimia, Chanel akaonekana amebeba chupa ya wine, kava kimini cha gauni na viatu virefu, amewaka kweli kweli, anaelekea nyumbani kwa Mark. Hodiii, maana alipiga kengele kwa muda hamna mtu, kumbe Mark alikuwa nje, akaamua kugonga, hamna anayefungua, akaamua kupiga ngumi, tututu, hodiiiiiiii, eh mara Mark huyo katoka nyuma ya nyumba, karibu sana Chanel, hakuamini kama ni Chanel alieyeonana nae Kunduchi Beach, akamkaribisha ndani akiwa amechangamka kweli kweli.
Chanel: akahisi huu ugonjwa atakuwa kafekisha,
Mark: karibu ukae sebuleni.
Chanel: Mrembo akakaa sebuleni, nyumba nzuri sio mchezo, sebule kama paradise, kwa miaka ya 2007 sebule ilikuwa bombastic fantastic.
Mark: “nikuletee kinywaji gani mrembo?”
Chanel: Nitakunywa wine, John Walker on rocks please” akaletewa kinywaji.
Mark: akaonekana anakunywa Sprite!
Chanel: naona kweli leo haupo vizuri, mpaka unakunywa sprite!
Wote: wakacheka wakaendelea na maongezi kwa muda wad k 45 mpaka Chanel alipokuwa comfortable.
KWA DOREEN:
“Piiiiip peeeeeep!” Honi ya gari ikapigwa kwa Doreen, Doreen akatoka na kanga moja kwenda kufungua gate maana alikuwa bado hajamaliza kujiandaa.
James: kumwona na kanga moja na ule mshepu, akajaa kwenye gari.
Doreen: akamkaribisha ndani akamwonyesha jiko lilipo akamuacha anapika yeye akaingia chumbani kujiandaa. Alipoingia chumbani, James akaona hapa hapa akamfuata kwa nyuma, akilini mwake anajiambia kwani mimi chef, sikuja kupika nilikuja kula akawa ananyatia chumbani kwa Doreen, akakuta mlango wazi, Doreen alikuwa utupu, kama Eva kwenye Bustani ya Eden,
James: kumwona tu kachanganyikiwa.
Doreen: akahisi kama mtu ameingia, kugeuka nyuma James keshamvamia kwa mabusu.
Mama mchungaji anashindwa kupumua, maana mabusu yalikuwa sio ya nchi hii,
James Mungu anakuooonaa, mama wa Yesu yupo hoi, nguvu zimemwisha, James yupo buzy kutoa huduma … uzuri wa Doreen hakuwa mpiga makelele makuuuuubwa kama Carrie na Chanel, kimya kimya kama alikuwa silent killer, hehe, James buzy anataka kuanza kumjaza eh kuja kushtuka kumbe Doreen ni Bikra Maria, akashtuka Doreen anapiga makelele kwa nguvu Yesuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu inauma kaka naomba niache,
Sasa James keshakolea hata ungemchoma kisu amwachie Doreen hata asingesikia, kwahiyo yale makelele ya Doreen yalikuwa ni bure,
Kwichi kwichi za hapa na pale za muda na za nguvu James akamaliza. Doreen hapo amevimba balaa, kawa mwekundu, ameumia, hana hamu, akaamua kulala, hapo saa 3 usiku.
Saa 9 usiku, Doreen akashituka akajiuliza kwanini nimesikia maumivu sana kuliko kawaida? Au ndio Mungu ananiadhibu kwa kuzini.
Saa 9 usiku, Doreen akashituka akajiuliza kwanini nimesikia maumivu sana kuliko kawaida? Au ndio Mungu ananiadhibu kwa kuzini.
Akamuamsha James, James amka!
Doreen: we vipi jamani, yani umenipanda utadhani fundi wa gereji au dereva wa daladala unawahi abiria, sijasikia raha yoyote na umeniletea maumivu mengi sana!
James: akawa anajifikisha toka usingizini, akawa hamwelewi Doreen, kwani wewe ni bikira? Kwanza ujue sikuamini kukukuta nayo! Inawezekanaje kwanza?!
James: akawa anajifikisha toka usingizini, akawa hamwelewi Doreen, kwani wewe ni bikira? Kwanza ujue sikuamini kukukuta nayo! Inawezekanaje kwanza?!
Doreen: Habari ndio hio!
James: akachoka kusikia ana deal na bikira, lkn akajiambia sio mbaya, basi mpenzi ngoja turudie tena, nahakikisha sitakuumiza tena.
Mechi ya marudiano ikarudiwa, kweli bwana James akafanya kama alivyoahidi, akampeleka Doreen mpaka Mbingu ya 10.
Doreen: akafurahi ingawa maumivu yalikuwa kidogo yamebakia lakini sio kama ya mara ya kwanza.
Doreen akafungwa magoli 5 bila na Kijana wa Songea.
KWA CARRIE:
kwa Carrie kukawa kumenuna, akalaani sana kwanini aliituma ile sms, akiwa katika malumbano ya hoja na kichwa chake, akasikia mlango unabishwa, kufungua Boss kubwa kafika, hapo hapo mlangoni akamrukia Boss wake wakaanza game, hawakufika mbali waliishia sebuleni sakafuni wakamalizana kila kitu.
kwa Carrie kukawa kumenuna, akalaani sana kwanini aliituma ile sms, akiwa katika malumbano ya hoja na kichwa chake, akasikia mlango unabishwa, kufungua Boss kubwa kafika, hapo hapo mlangoni akamrukia Boss wake wakaanza game, hawakufika mbali waliishia sebuleni sakafuni wakamalizana kila kitu.
Boss hakuamini macho yake, wakainuka wakakaa wakaanza kuangaliana na kucheka. Baada ya mchezo, Carrie akaanza kushangaa mbona boss hakutoa ahadi yoyote kwenye game, au Boss ni fundi kuliko yeye, au darasa halikukolea, mbona boss alikuwa mkavu sana?
Wakati anaendelea kujiuliza, Boss akamwambia unajua mimi nimeoa sio? Mkewangu anafanya masters India na watoto 3 wapo boarding Moshi, so I hope no strings attached.
Carrie: moyo ukampasuka pah! Kweli Boss alikuwa fundi, akatafuta mbinu ya pili kumfanya boss atoe ahadi, akaenda bafuni akafungua maji kwenye bath akavua nguo zote akakaa huku anakunywa champaigne.
Boss akasubiri sana sebuleni, mbona Carrie harudi labda kuna sehemu nimekosea au, akaamua kumfuata huko huko bafuni, akamkuta Carrie amelala kwenye bath analia. Boss akaanza kumbembeleza,
Carrie: unajua am not happy kazini, wale wafanyakazi wenzangu pale kazini wananiwekea vizingiti na mimi nataka kupanda cheo nashindwa, huku analia.
Kwa boss Carrie alionekana analia kwa uchungu,
Kwa Carrie, alikuwa anajifekisha kupata anachokitaka, chezea Mmachame wewe!
Wakaanza kubembelezana, Carrie akamkaribisha boss kwenye bath, boss akarukia kama samaki, huko huko Carrie akaanza kumshughulikia Boss huko huko boss akawa laini kama matembele, hoi mpaka kutoka kwenye bath ikawa ngumu Carrie akamsaidia!
KWA ADRIENNE:
Safaree nae alionekana kuwahi kwa Adrienne nusu saa kabla ya muda aliopangiwa kufika, yaani saa 12 nanusu yupo mlangoni. Akafika amebeba chupa za wine 2 na vikapu viwili, kimoja kimejaa biskuti, keki,chocolate na kikapu cha pili kimejaa matunda.
KWA ADRIENNE:
Safaree nae alionekana kuwahi kwa Adrienne nusu saa kabla ya muda aliopangiwa kufika, yaani saa 12 nanusu yupo mlangoni. Akafika amebeba chupa za wine 2 na vikapu viwili, kimoja kimejaa biskuti, keki,chocolate na kikapu cha pili kimejaa matunda.
Adrienne: akampokea kwa mashaka, maana alimdharau sasa anaona mwanaume ameleta u classic hakuelewa.
Akamkaribisha sebuleni, wakaongea huku wanakunywa na kufurahi, akamkaribisha chakula, wakala, baadae Safaree akaomba aende msalani, kufika msalani, Safaree akapiga simu, simu ikaita kwa muda mrefu kama dk 3 haikupokelewa, ikapigwa tena baada ya dk 3 ndio ikapokelewa, Haloo, Boss Safaree samahani nilikuwa mbali na simu,
Safaree: we fala acha ujinga ujue, enhe lile dili limeenda sawa au umeshaanza kuleta mambo ya kifala ujinga hapa unajua hilo dili lina mil 100, Boss Kimaro hataelewa kabisa kama hela haijapatikana
Stan: Ondoa shaka boss, mambo yako vizuri uwe na amani
Safaree: ah afadhali, sasa nenda pale kwangu, kazifiche hizo hela kwenye kabati, fungua chukua pale chini ya carpet nimeweka, uziweke hizo hela ndani ya kabati langu la nguo na ulale hapo hapo mpaka nitakapokuja kesho
Stan: sawa boss Safaree, kwani haupo nyumbani?
Safaree: sipo nipo kwa mtoto mmoja ndio naskilizia kama nitapata mchezo kidogo si unajua kazi zetu hizi hata stimu za michezo hamnaga.
Stan: hehehehe, kweli kweli boss wangu, we komaa hapo kwakweli, yani nyauka kabisa ukiamka asubuhi fresh utanikuta chalii yako nimekusubilia hapa kwako
Simu ikakatwa.
Huku nyuma Adrienne anashangaa huyu mtu kaanguka chooni au? Mbona ametumia dk 20 kukaa huko? Na wala simuoni? Akainuka kurudisha sahani jikoni na glass chafu akaona mtu anamshika mabegani anambusu, Adrienne akajua mechi ndo imeanzia jikoni lakini yeye kuwa a classy lady akaona jikoni ni pabaya, Safaree akamgeuza Adrienne akaanza kumbusu, akambeba juu juu akamlaza kwenye meza ya jikoni, akaanza kumfanyia massage ya miguu,
Safaree anaonekana alikuwa na nguvu, maana alipombonyeza tu mguu kumfanyia massage Adrienne hoi, akamfanyia masaage miguu akamgeuza mgongoni, Adrienne anasikia raha za kufa mtu, Adrienne yupo hoi, nadhani alikuwa on Cloud 9 maana sio kwa raha ile alokuwa anasikia. Safaree kwa kweli utadhani alisomea degree ufuska, maana hakuna sehemu aliyomshika akamwangusha Adrienne. Mechi ikaanza, Safaree akaongeza speed, Adrienne hoi anataja majina yooote ya miungu mpaka farao, hehehehehe. Mechi ya Bao la kwanza ndani dakika ya 45.
Saa 8 usiku Adrienne akashituka, amejaa kweli kweli huku anajiuliza ivi kungwi alitufundishaje kuhusu kumwamsha mwanamume kwenye usingizi, akakumbuka akaanza movement za darasani, akaamshwa na mabusu ya Adrienne kwenye usingizi akamkuta Adrienne ameshakamata tarumbeta yake anataka kuipuliza, weee. Adrienne nae hakubali lazima school fees ifanye kazi kisawasawa, Safaree wa watu hoi, Mrangi wa watu anaongea lugha zote za kirangi, Adrienne hajui aache au aendelee.
Safaree: we fala acha ujinga ujue, enhe lile dili limeenda sawa au umeshaanza kuleta mambo ya kifala ujinga hapa unajua hilo dili lina mil 100, Boss Kimaro hataelewa kabisa kama hela haijapatikana
Stan: Ondoa shaka boss, mambo yako vizuri uwe na amani
Safaree: ah afadhali, sasa nenda pale kwangu, kazifiche hizo hela kwenye kabati, fungua chukua pale chini ya carpet nimeweka, uziweke hizo hela ndani ya kabati langu la nguo na ulale hapo hapo mpaka nitakapokuja kesho
Stan: sawa boss Safaree, kwani haupo nyumbani?
Safaree: sipo nipo kwa mtoto mmoja ndio naskilizia kama nitapata mchezo kidogo si unajua kazi zetu hizi hata stimu za michezo hamnaga.
Stan: hehehehe, kweli kweli boss wangu, we komaa hapo kwakweli, yani nyauka kabisa ukiamka asubuhi fresh utanikuta chalii yako nimekusubilia hapa kwako
Simu ikakatwa.
Huku nyuma Adrienne anashangaa huyu mtu kaanguka chooni au? Mbona ametumia dk 20 kukaa huko? Na wala simuoni? Akainuka kurudisha sahani jikoni na glass chafu akaona mtu anamshika mabegani anambusu, Adrienne akajua mechi ndo imeanzia jikoni lakini yeye kuwa a classy lady akaona jikoni ni pabaya, Safaree akamgeuza Adrienne akaanza kumbusu, akambeba juu juu akamlaza kwenye meza ya jikoni, akaanza kumfanyia massage ya miguu,
Safaree anaonekana alikuwa na nguvu, maana alipombonyeza tu mguu kumfanyia massage Adrienne hoi, akamfanyia masaage miguu akamgeuza mgongoni, Adrienne anasikia raha za kufa mtu, Adrienne yupo hoi, nadhani alikuwa on Cloud 9 maana sio kwa raha ile alokuwa anasikia. Safaree kwa kweli utadhani alisomea degree ufuska, maana hakuna sehemu aliyomshika akamwangusha Adrienne. Mechi ikaanza, Safaree akaongeza speed, Adrienne hoi anataja majina yooote ya miungu mpaka farao, hehehehehe. Mechi ya Bao la kwanza ndani dakika ya 45.
Saa 8 usiku Adrienne akashituka, amejaa kweli kweli huku anajiuliza ivi kungwi alitufundishaje kuhusu kumwamsha mwanamume kwenye usingizi, akakumbuka akaanza movement za darasani, akaamshwa na mabusu ya Adrienne kwenye usingizi akamkuta Adrienne ameshakamata tarumbeta yake anataka kuipuliza, weee. Adrienne nae hakubali lazima school fees ifanye kazi kisawasawa, Safaree wa watu hoi, Mrangi wa watu anaongea lugha zote za kirangi, Adrienne hajui aache au aendelee.
KWA CHANEL:
Huku kwa Chanel, baada ya Mark kumwona Chanel yupo comfortable, akamkaribisha kwenye garden yake iliokuwa imepambwa kwa taa za usiku, maua na vyakula.
Akatengeneza sehemu kama picnic, kaweka mito na matunda ya strawberries na chocolate kwenye Vibakuli. Wimbo wa sexy love by Neyo ukiwa umewekwa kwa mbaaali, mandhari nzuri inavutia, Chanel akasema leo ndio leo, wakaka kwenye picnic, Mark sijui ndio kuonekana sexy boy akamlisha strawberry aliochovya kwenye chocolate
Chanel: taamu
Mark: akaanza kumbusu na malavi davi ya romance, mechi ikaanza Mark akafunga goli la kwanza.
Chanel: akakumbuka darasa la kungwi nae hakukubali akahakikisha nae amerudisha bao, Mark akapagawa anachizika mtoto anazidi kumpa maraha na mautamu akawa anapiga makelele washindathe, washindathe, washindathe, Mpare amekamatika kwa dozi ya mtoto mtamu wa Tabora.
Wakati bado anaendelea kupewa mechi baadae akasikia Daddy Daddy uko wapiiii? Watoto wake mapacha walisikia makelele wakaanza kumtafuta. Chanel kuona watoto mapacha akachoka kabisa!
ITAENDELEA KESHOOOOOO TAR 3 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
B. MAPICHA PICHA NA UKWELI HALISI!
Chanel: akachukua simu kumpigia Carrie kujua anaendeleaje.
ITAENDELEA KESHO TAR 4 AUGUST 2018 SAA 1 JIONI YA TANZANIA
Mark &Channel: Wakakurupuka, kurupuka na wewe maana bado Mark alikuwa ndani ya Chanel, wakajificha kila mmoja kwenye maua yake.
Mark: akavaa kama amefumaniwa, akakimbilia kwa watoto wake, akawabeba na kuwapeleka chumbani kwao
Twins: Daddy tumesikia kama watu wanapiga makelele wanalia tukaogopa…
Mark: basi basi baby, pole pole, calm down, hamna mtu nimeshamwondoa aliekuwa anapiga makelele!
Twin1: Akikuwa ni mwizi Daddy?
Twins: Daddy tumesikia kama watu wanapiga makelele wanalia tukaogopa…
Mark: basi basi baby, pole pole, calm down, hamna mtu nimeshamwondoa aliekuwa anapiga makelele!
Twin1: Akikuwa ni mwizi Daddy?
Mark: ndio nilikuwa namkimbiza alafu nilipomkamata akaanza kupiga makelele, nikawa namchapa akaniponyoka vuuuuuuuuuuuuuum akakimbia, niliposikia mnalia nikaja kuwachukua niwafiche
Twin 1 akamwambia twin 2: I told u that was a thief, and you said no.
Twin 2: noo that was a voice of a crying big baby, like a big lady!
Twin 1: Is not
Twin 2: Is too
Twin 1: Is not
Twin 2: Is too
Twin 1: you are such a dummy
Twin 2: No am naaat
Mark: ok ok, no one is dummy here, stop, tulale sasa
Twin 2: Daddy mimi siwezi kulala, naogopa itabidi tukalale wote
Twin 1: you are such a chicken, kwaaaaak kwaaaak kwaaaak kwaaaaaak, anamtania mwenzake
Mark: haya jamani no one is a chicken here, tulale tafadhali, Twin 2 leo utalala na kaka yako Jose.
Twin 2: Basi baba tusomee bed time story
Mark: akiwa amechoka kimtindo akakubali ombi na mtoto wake, akaanza kuwasomea stories
Huku nyuma bibie Chanel hakuamini kama Mark ameoa na ana mtoto, akavaa haraka haraka kwa hasira akakusanya kila kilicho chake akataka kuondoka, kichwani anajisemea, eh jamani hii mbona kali, kumbe mtu ameoa alafu ananileta nyumbani kwakwe mpaka nafumaniwa na watoto sasa ni mambo gani haya? Hii ni dharau sana, he’s such a looser, du sijawahi ona mshenzi kama Mark. Katika kufunga funga akasikia watoto wanagombana, akakusanya kila alicho nacho aondoke, akaona kama watoto wanazidi kugombana, akataka kwenda kuchungulia, kufika karibu na mlango akakuta mlango upo wazi, akajibanza pembeni, akasikia Twin 2 anamwambia Daddy tusomee bed time story, Mark akaanza kuwasomea stori wakawa wapo kimya, mpaka wakalala, akaona Mark anawafunika shuka na kuzima taa, akakimbilia sebuleni.
Mark akafunga mlango, akawa anarudi kuelekea nje.
Twin 1 akamwambia twin 2: I told u that was a thief, and you said no.
Twin 2: noo that was a voice of a crying big baby, like a big lady!
Twin 1: Is not
Twin 2: Is too
Twin 1: Is not
Twin 2: Is too
Twin 1: you are such a dummy
Twin 2: No am naaat
Mark: ok ok, no one is dummy here, stop, tulale sasa
Twin 2: Daddy mimi siwezi kulala, naogopa itabidi tukalale wote
Twin 1: you are such a chicken, kwaaaaak kwaaaak kwaaaak kwaaaaaak, anamtania mwenzake
Mark: haya jamani no one is a chicken here, tulale tafadhali, Twin 2 leo utalala na kaka yako Jose.
Twin 2: Basi baba tusomee bed time story
Mark: akiwa amechoka kimtindo akakubali ombi na mtoto wake, akaanza kuwasomea stories
Huku nyuma bibie Chanel hakuamini kama Mark ameoa na ana mtoto, akavaa haraka haraka kwa hasira akakusanya kila kilicho chake akataka kuondoka, kichwani anajisemea, eh jamani hii mbona kali, kumbe mtu ameoa alafu ananileta nyumbani kwakwe mpaka nafumaniwa na watoto sasa ni mambo gani haya? Hii ni dharau sana, he’s such a looser, du sijawahi ona mshenzi kama Mark. Katika kufunga funga akasikia watoto wanagombana, akakusanya kila alicho nacho aondoke, akaona kama watoto wanazidi kugombana, akataka kwenda kuchungulia, kufika karibu na mlango akakuta mlango upo wazi, akajibanza pembeni, akasikia Twin 2 anamwambia Daddy tusomee bed time story, Mark akaanza kuwasomea stori wakawa wapo kimya, mpaka wakalala, akaona Mark anawafunika shuka na kuzima taa, akakimbilia sebuleni.
Mark akafunga mlango, akawa anarudi kuelekea nje.
Chanel: don’t bother, nataka kuondoka.
Mark: akashituka. samahani sana kwa yaliyo tokea, hata mimi sikujua kama watashtuka, huku anamshika mkono, leo mambo yalikuwa amazing, asante huku anambusu mikono.
Chanel: narudi nyumbani kwangu, niitie teksi, sasa hivi saa 8 usiku asije kuamka na mkeo bure ikaleta kizaa zaa.
Mark: hapana usiende mpenzi wangu, nakupenda.
Chanel: akashangaa kuambiwa nakupenda, akaanza kutoa macho huku anajikausha, hajawahi kuambiwa nakupenda tangu wazazi wake walipofariki hajasikia neno nakupenda tena. Akamjibu Mark, fuck love I need to go home.
Mark: Mpenzi, mimi sina mke, mke wangu tulishatengana miaka 3 iliopita na ameshaolewa na bwana mwengine sema tu mimi nilifaulu kupata watoto wangu Mahakamani, sasa hivi ndio nawalea.
Moyo wa chanel ukatulia ingawa akawa na mashaka, itakuwaje sasa kutumikia mabwana wa 3 na yeye alishazoea kutumikia bwana mmoja kwa mpango, siku na masaa tofauti.
Mark: Twende tukalale chumbani kwangu.
Mark: Twende tukalale chumbani kwangu.
Chanel: Huna guest room nikalale, maana this time watoto wakiota watakuja direct chumbani kwako.
Mark: akakubali watalala guest room wote.
KWA CARRIE:
Alfajiri Boss akashtuka, alikuwa anaota anakimbizwa na majitu asiyoyajua, saa 11 alfajiri akashituka, kaaanza kuhema kwa mdomo.
Alfajiri Boss akashtuka, alikuwa anaota anakimbizwa na majitu asiyoyajua, saa 11 alfajiri akashituka, kaaanza kuhema kwa mdomo.
Carrie: akashituka, eh vipi tena mpenzi, pole kwa kuota, huku anamfuta majasho.
Boss akakaa kitandani kwa dk 3 yupo kimya anawaza.
Carrie akaona huyu hayupo sawa akaenda kumletea maji ya kunywa, akampa akawa anakunywa, akawa anamfuta futa jasho akaenda akawasha A/c.
Boss akaanza kufunguka, unajua mke wangu tangu asafiri sina raha, nahisi wapo kwenye mahusiano na Yule boss wake kazini, maana hii ya kwenda kusoma masters nje ameenda kusoma kiaina hata sielewi.
Carrie: akazidi kutega sikio, “ ah lakini to hell, hakuna kilichoharibika, nikifika mwisho namuacha, ila nikifikiria hawa watoto kuwasumbua waende mara kwa mama yao mara kwa baba yao hata sipendi kabisa, ila ngoja nikimfumania tu lazima custody ya watoto niinyake.
Na kuhusu wewe kupandishwa cheo labda nikupeleke branch uwe branch Meneja, lakini Makao Makuu pale pamebana” akasema Boss.
Carrie: akafurahi akaona kweli Mbingu imefunguka nusu, akamjibu sawa nitashukuru.
Boss: J3 kuna kikao na wakuu, nitaongelea swala lako ili uhamishwe haraka.
Carrie: kusikia haraka akafurahi, mmachame alikuwa serious, akaona muda ndo huu wa kutoa shukrani kabla hakujakucha akaanza kumdandia boss na kumpa mauno ya kimachame, yeleuuuuwi Boss analia.
KWA DOREEN:
Saa 12 asubuhi Doreen akaamka, akamkuta James yupo fofofo, akajikagua akakuta bikra iyooo imeshatoka, akasikia kuchoka sana mgongo, kiuno, akashindwa hata kusogeza mguu, dah akamtamani sana James lakini akashindwa cha kufanya. Akaamua arudi kulala, saa 3 aliposhituka akakuta James hayupo, akachoka, wakati anamaliza kuchoka akaona mlango unafunguliwa, James kabeba breakfast kwenye tray, anamletea.
Saa 12 asubuhi Doreen akaamka, akamkuta James yupo fofofo, akajikagua akakuta bikra iyooo imeshatoka, akasikia kuchoka sana mgongo, kiuno, akashindwa hata kusogeza mguu, dah akamtamani sana James lakini akashindwa cha kufanya. Akaamua arudi kulala, saa 3 aliposhituka akakuta James hayupo, akachoka, wakati anamaliza kuchoka akaona mlango unafunguliwa, James kabeba breakfast kwenye tray, anamletea.
James: Good Morning Love!
Doreen: akashangaa, kumbe James yupo romantic ee? Akamwekea breakfast kwenye miguu akaanza kumbusu, kuangalia chini, mwanamke kavuja damu, akaweka chai pembeni akamtoa kitandani akamweka kwenye kiti, akatoa mashuka, yote, akaenda kuyaloweka, akaenda akajaza maji ya moto kwenye huku anaendelea kutandika kitanda, Doreen akadhania anaota, maana ilikuwa zaidi ya movie, akafikicha tena macho akajua kweli haoti. James kashughulika kisawa sawa, akaja akambeba Doreen akamweka kwenye maji yaliyojaa akaanza kumwogesha, anamkanda, huku anambusu baada ya kuoga, akambeba akampeleka kitandani, akamkausha maji, akamvalisha nguo akamwekea chai, akarudi kufua mashuka kwenye washing mashine. Doreen hoi, akawa anasema kimoyomoyo, Dear God, wake me up when this is over!
KWA ADRIENNE:
Safaree nae hakuwa wa masihara, saa 12 asubuhi akakutwa anapika chai, Good morning akasikika Adrienne, Good morning Love akajibu Safaree. Huku anamchumu Adrienne kwenye mashavu huku anaendelea kutengeneza Pancakes. Wakakwa wanaongea huku wanakunywa chai, jumamosi asubuhi.
Safaree nae hakuwa wa masihara, saa 12 asubuhi akakutwa anapika chai, Good morning akasikika Adrienne, Good morning Love akajibu Safaree. Huku anamchumu Adrienne kwenye mashavu huku anaendelea kutengeneza Pancakes. Wakakwa wanaongea huku wanakunywa chai, jumamosi asubuhi.
Safaree: Leo unakwenda wapi?
Adrienne: akajibu leo nipo tu ndani, naona nikae tu ndani naona nimechoka baada ya zoezi la jana.
Safaree: kumbe wewe ni noma kwenye haya mambo ee, maana mara ya mwisho nilivyokuona ulionekana uptight kama bikra flani na machunusi yako, embu niyaangalie, unaona yameisha.
Hahahahahah : wote wakacheka!
Safaree: Leo jioni nataka nikutoe dinner saa 12 jioni nakuja kukupitia ujiandae, akambusu Adrienne akamwambia ngoja niende kuna simu ya kazi nimepigiwa natakiwa saa 1 niwe pale, akaaga akaondoka.
IKAWA USIKU, IKAWA ASUBUHI SIKU YA JUMAMOSI.
Alipomaliza chai Doreen akarudi kulala, akidhani anaota ngoja alale akiamka atakuwa kweli haoti. Ikafika saa 5 asubuhi akaamka, usingizi umemwisha na mwenye nguvu tele, akajisogeza kabatini akatafuta nguo ya kuvaa akiwa amesahau kama James yupo.
Akavaa lingerie zake za mwenyewe mwenyewe, kufika sebuleni sasa anamkuta James anaangalia news za hapa na pale, akajifunika na robe yake akamsalimia.
James: anamshangaa beibe amepona, alijua leo anafanya kazi ya kulea bikra iliopotea.
Wakakaa wanaangalia news pamoja, Doreen akiwa amemlalia James mapajani huku wanaongea.
KWA CHANEL:
KWA CHANEL:
Saa 2 asubuhi wakasikia Daddy Daddy uko wapi?, Chanel akashituka, akamwamsha Mark, watoto wanakuita,
Mark: akasmile, watoto ee, akaondoka guest room akawafuata chumbani kwake,
Watoto: Daddy ulikuwa wapi maana tumekutafuta tangu saa 1 asubuhi, hauonekani, akawaambia nilitoka nje kwenda kununua gazeti, sijapata, mmeamkaje?
Wakaanza kusalimiana na watoto wake,a akaenda kuwaogesha akaandaa chai wakawa wanakunywa. Wakati wanakunywa akawaambia watoto wake, kuna mgeni nataka kuwatambulisha kwenu, Twin 2 akauliza ni nani? Akawaambia ngoja nimlete mumuone, kufika guest room Chanel hayupo, kamtafuta nyumba zima, hajamwona, eh akaenda nje hayupo, kuangalia begi lake halipo, kumbe wakati Mark ameenda kuwaogesha watoto, Chanel alivaa nguo haraka haraka akakimbia akaondoka pale?
Chanel kufika nyumbani akawa amepumua kidogo, mara simu inaita kuangalia ni Mark, akapokea
Mark: uko wapi mpenzi
Chanel: nipo kwangu
Mark: umeondoka saa ngapi mbona bila taarifa?
Chanel: ulipokuwa unawaogesha watoto wako
Mark: una maana watoto wetu?
Chanel: Poteto potato!
Mark: Umefika salama lakini, maana nilitaka kukutambulisha kwa watoto wetu ukawa haupo wanashangaa wanahisi nimechanganyikiwa
Chanel: pole nimefika salama, next time then, akakata simu.
Chanel kufika nyumbani akawa amepumua kidogo, mara simu inaita kuangalia ni Mark, akapokea
Mark: uko wapi mpenzi
Chanel: nipo kwangu
Mark: umeondoka saa ngapi mbona bila taarifa?
Chanel: ulipokuwa unawaogesha watoto wako
Mark: una maana watoto wetu?
Chanel: Poteto potato!
Mark: Umefika salama lakini, maana nilitaka kukutambulisha kwa watoto wetu ukawa haupo wanashangaa wanahisi nimechanganyikiwa
Chanel: pole nimefika salama, next time then, akakata simu.
Chanel: akachukua simu kumpigia Carrie kujua anaendeleaje.
Carrie: Mje kwangu leo niwape umbea saa 8 mchana. Wakakubaliana, akawapigia Doreen na Adrienne kuwa wakutane kwa Carrie saa 8 mchana kupewa ma stori ya town.
ITAENDELEA KESHO TAR 4 AUGUST 2018 SAA 1 JIONI YA TANZANIA
________________________
C. SMOOTH OPERATOR!!
Safaree: buenos dÃas senore Lucifer
Lucifer: buen dÃas
Safaree: cómo estás (how are you)
Lucifer: ¿tiene mi 90 millones en efectivo (Unazo milion 90 zangu?)
Safaree: sà señor
Lucifer: Good. Wire them to my Swiss bank account today.
Safaree: sà señor, buen dÃa señorSIMU IKAKATWA.
Carrie: how was it?
Adrienne: Safaree atakuja kumpitia hapo kwa Carrie saa 12 jioni wanatoka out, wakafurahi finally Adrienne kapata mwanaume wa maana lakini kumbe ukweli wa Safaree anaujua mwenyewe Safaree!
Adrienne: jamani kabla hatujatawanyika, jumapili usiku kunapigwa mziki wa reggae pale billcanas, twendeni basi, Carrie akasema nimesikia hata mimi, this time twendeni na wapenzi wetu, tukacheze na George anakuja kesho mchana itakuwa raha sana.
ADRIENNE & SAFAREE:
Chanel: akiwa njiani akafungua simu, akampigia Mark, samahani simu ilizima, uko wapi?
Asubuhi saa 12 Chanel akashituka akamkumbuka Pedeshee akaingiwa na huruma akawa anatoka kitandani ananyata ili aondoke Mark akamwona anamwuliza unanikimbia Tena au?!
________________________
C. SMOOTH OPERATOR!!
Simu ikapigwa , ikaita:
“Guantanamera, guajira guantanamera
Guantanamera, guajira, guantanamera
o soy un hombre sincero, de donde crece la palma
Yo soy un hombre sincero, de donde crece la palma
Y antes de morir yo quiero cantar mis versos del alma”
Haikupokelewa akapiga tena ikawa inaita:
“Guantanamera, guajira guantanamera
Guantanamera, guajira, guantanamera
Cultivo una rosa blanca, en julio como en enero
Cultivo una rosa blanca, en julio como en enero
Para el amigo sincero, que me da su mano franca
Guantanamera, guajira guantanamera
Guantanamera, guajira, guantanamera
Mi verso es de un verde claro, y de un carmÃn encendido
Mi verso es de un verde claro, y de un carmÃn encendido
Mi verso es un ciervo herido, que busca en el monte amparo”
Baada ya dk 5 ikapokelewa:
“Guantanamera, guajira guantanamera
Guantanamera, guajira, guantanamera
o soy un hombre sincero, de donde crece la palma
Yo soy un hombre sincero, de donde crece la palma
Y antes de morir yo quiero cantar mis versos del alma”
Haikupokelewa akapiga tena ikawa inaita:
“Guantanamera, guajira guantanamera
Guantanamera, guajira, guantanamera
Cultivo una rosa blanca, en julio como en enero
Cultivo una rosa blanca, en julio como en enero
Para el amigo sincero, que me da su mano franca
Guantanamera, guajira guantanamera
Guantanamera, guajira, guantanamera
Mi verso es de un verde claro, y de un carmÃn encendido
Mi verso es de un verde claro, y de un carmÃn encendido
Mi verso es un ciervo herido, que busca en el monte amparo”
Baada ya dk 5 ikapokelewa:
Safaree: buenos dÃas senore Lucifer
Lucifer: buen dÃas
Safaree: cómo estás (how are you)
Lucifer: ¿tiene mi 90 millones en efectivo (Unazo milion 90 zangu?)
Safaree: sà señor
Lucifer: Good. Wire them to my Swiss bank account today.
Safaree: sà señor, buen dÃa señorSIMU IKAKATWA.
Sarafee akasema Yeeeees, akatuma zile hela zote kwenye akaunt ya Kimaro ambae yupo Dubai, Kimaro akazituma kwa Lucifer siku hiyo hiyo.
Safaree akafurahi sana.
Safaree akafurahi sana.
Nyuma ya pazia la kicheko cha Safaree ni kwamba kila mwaka wanapewa gawiwo la pesa wanatakiwa walete kwa Lucifer, mwaka 2007, alitakiwa apeleke mil 200 kama agent mdogo wa Lucifer, na wakiweza kufikia kiwango kilichowekwa kila agent atapandishwa cheo.
Safaree alikuwa ana vyeo viwili, kwanza amepata mil 10 ya ziada, na pili amemaliza kiwango alichowekewa, akarudi kwa Stan,
Safaree: Asee Mangi, we chukua hiyo mil 5 nenda kapendeze Christmass hii, tunasikilizia makao makuu wanatupa ramani gani kwa mwakani.
Stan: nashukuru boss Safaree, nakutakia, Christmass njema. Ikiwa ni saa 8 mchana tu, Safaree akaamua akatoe shukrani kwa babu mganga, akaingia Bagamoyo one time, kwa mganga MAMBOYOTE. Babu mzee wa miaka 79, kipofu, mfupi, anatembelea fimbo akiwa peku, anaishi mistuni tu, lakini ukiwa unatokea Dar unaenda kuonana nae anajua kuwa unakuja, ni noumer, babu mwanga hataree, babu mchawi, babu nuksi, akikutaka anakupokea, asipokutaka haufiki kwake.
Safaree alikuwa na Boooonge la tatuu la Chatu mkuuubwa mgongoni, limesimama linatoa ulimi, kama alama ya kikundi chao, wakifika makao makuu Mexico wanaingia na chupi tu, na mgongo wazi kuonyesha kuwa ni memba. Pia ana tatoo ya Mbwa mwitu mweusi kwenye makalio, na kwenye kifua chini ya maziwa ana tatoo ya kunguru mweusi.
Kila tatoo ilikuwa na maana yake, Mbwa mwitu ni mzinzi, Kunguru mweusi ni wakala wa uchawi na joka ni shetani mwenyewe (wakala wa shetani).
Kila tatoo ilikuwa na maana yake, Mbwa mwitu ni mzinzi, Kunguru mweusi ni wakala wa uchawi na joka ni shetani mwenyewe (wakala wa shetani).
Kwenye game la smooth operation, ukiingia kiboya boya ni rahisi sana kukamatwa na kufungwa maisha, lakini sio rahisi kabisa kugundulika.
Smooth operator ni mtu ambae amepewa kukamilisha kazi fulani kiumakini katika neema lazima uwe mtaalamu wa kucheza na akili za watu na kutafsiri mahusiano, kwa kidhungu wanamwita a skillful, manipulative person, con-artist, or clever scoundrel. Kibongo bongo wanafanana na majambazi, wauza madawa ya kulevya, punda, mtu feki, mjanja mlaghai, na wakadhalika.
Kwa Safaree haikuwa rahisi sana kwake kukamatwa, maana alijipanga sana, amemtumikia Kimaro na Boss Lucifer kwa miaka zaidi ya 20, tangu akiwa na miaka 20 aliingia kwenye game chini ya uangalizi wa Kimaro.
Pili alibatizwa kwenye uchawi, ilibidi atembee na madawa, akaacha dini yake ya kikristo akaingia kwenye uchawi.
Akawekwa kwenye mafunzo miaka 5 na uangalizi wa majaribio kwa miaka 10 ndio kupewa stanslaus am-coach awe kama yeye.
Amekaa na stana kwa miaka 5 akimfundisha tu na stan hajamwangusha bado, ingawa ni mwaka wa 5 sasa anamuandaa.
Akarudi nyumbani kuchukua asante ya babu mganga, akiwa anabadilisha nguo avae nguo chafu chafu, akawa anajipaka mafuta akaona rangi ya tattoo ya mbwa na kunguru zimekuwa nyekundu zinawaka kama damu, akageuka nyuma akaona tatoo ya joka imekuwa nyekundu inawaaka sana, ishara ya kuwa mganga babu anamuita haraka, akajua eh leo miungu ipo pamoja nae, akavaa haraka haraka akakimbia kwa mganga.
Akarudi nyumbani kuchukua asante ya babu mganga, akiwa anabadilisha nguo avae nguo chafu chafu, akawa anajipaka mafuta akaona rangi ya tattoo ya mbwa na kunguru zimekuwa nyekundu zinawaka kama damu, akageuka nyuma akaona tatoo ya joka imekuwa nyekundu inawaaka sana, ishara ya kuwa mganga babu anamuita haraka, akajua eh leo miungu ipo pamoja nae, akavaa haraka haraka akakimbia kwa mganga.
Huku kwa Careen, Boss akaondoka akarudi nyumbani kwake, Careen akaanza kufanya usafi akijiandaa na wageni, akapika akafua akawasubiri warembo waje na ubuyu. Mara akasikia hodii, Chanel ameshafika na Adrienne, wamependeza wenyewe wamepiga jeans matata na vitopu juu ya tumbo. Wakasalimiana wakawa wanamsubiria mama Theresa Doreen.
Huku wa Doreen, James hataki kuondoka, Doreen akamwambia mimi nahitajika upanga kwa marafiki zangu kuna kitu nataka kufanya.
Huku wa Doreen, James hataki kuondoka, Doreen akamwambia mimi nahitajika upanga kwa marafiki zangu kuna kitu nataka kufanya.
James: Issue gani, maana unaumwa leo?
Doreen: ah! wananisaidia ku apply kazi na kuna nguo natakiwa kuchukua kwa Carrie.
James: Kuhusu issue ya kazi January kuna kampuni inafunguliwa na Cv yako nimeshaipeleka, watakuita interview lakini nina uhakika utapata.
Doreen: Unamjua nini mwenye kampuni?
James: Namfahamu nilisomaga nae sekondari na chuo, ameishi sana Ulaya ndio anataka kurudi nyumbani.
Doreen: akashukuru, asante sana Nepotizer wangu kwakuniunganishia kazi, akambusu shavuni, akaenda kujiandaa. Saa 8 nanusu anataka kutoka, mara akasikia ngoja nikupeleke alafu baadae nitakuja kukuchukua, wakaondoka wakaenda mpaka kwa Carrie, akawasalimia warembo, mkimaliza nipigie anitakuja kukuchukua. Alipoondoka, wakaanza kumtanmiia, uuuuu naona mambo yamekuwa mazuri, James kawa shemeji au? Wanamchokoza mara wamfinye mara wamkague wowowo mbona limepungua, mara wampanue miguu, ah bikra ishaenda kwao Singida huku wanacheka, ahahahahaahaha umekuwa Jezebel sasa uyooo mtenda dhambi kama sisi!.
Stori zikaanza:
Doreen: Jamani, mimi naona nimeshakuwa Maria Magdalena kabla hajampata Yesu; wenzake wanacheka hatari,
Stori zikaanza:
Doreen: Jamani, mimi naona nimeshakuwa Maria Magdalena kabla hajampata Yesu; wenzake wanacheka hatari,
Wote: enhe kwaiyo sasa hivi we kama sisi tu?
Doreen: Nimepata amaumivu kama nachomolewa mguu, kha! hapana bora ningebakia kama zamani tu.
Carrie: how was it?
Doreen: Painful and painful, nimemfinya kaka wa watu, nimemng’ata kwenye bega nahisi nimemjeruhi. Kwanza mshenzi sana ananipanda kama farasi wa maonyesho, sijui alikuwa hajui anachokifanya?
Adrienne: kwani ulimwambia kabla kuwa wewe ahaujaguswa miaka mingi?
Doreen: Niliona aibu shongangu naanzaje kwanza maana alinivamia tu chumbani wakati navaa.
Wote: hehehehe, haloooooo!
Doreen: Basi akamaliza, akalala, na mie nikawa naugulia maumivu, ilipofika saa 9 usiku nikamuamsha, nikasema Mungu sifi pekeyangu.
Carrie: eh! Bikra huyu wa mwendo kasi balaa, mbishi kama nini! Sasa wewe mlokole mpaka na Mungu ukamkumbuka umezini?
Doreen: akapotezea maneno ya Carrie, akaendelea na story, nikamweleza alichofanya sio sawa, akanielewa tukarudia mechi ndio nikasikia afadhali, to make the long story short asubuhi nikapikiwa breakfast, nikaogeshwa, nikafuliwa mashuka na lunch nimepikiwa ndio maana nimechelewa kuja hapa shogazangu, na kazi nishatafutiwa nikaambiwa January nitaitwa.
Wote: wakampigia makofi, bravooo ex mama wa Yesu bravooo new Mary Magdalene, huraaaay!
Adrienne: eh mimi ya kwangu yaacheni hata sitaki kuongea.
Adrienne: eh mimi ya kwangu yaacheni hata sitaki kuongea.
Wakamwuliza kwanini?
Adrienne: ah! sikuona raha yoyoote mpaka leo asubuhi, kesi yangu kama ya Doreen lakini alikuwa very classic.
Wote: wakauliza how?
Adrienne: Mwenzenu nimeliwa jikoni kwenye meza, nimeliwa kitandani, nimeliwa kwenye sakafu, eh mpaka papuchi imeomba poo.
Wenzake wanacheka..
Enhe fundi Carrie tupe ubuyu.
Enhe fundi Carrie tupe ubuyu.
Carrie: Nothing much, sikuwa na date so nikampigia my boss aliekuwa ananisumbua sumbua akaja tukaanzia kulana mlangoni, kwenye sakafu, bafuni, kitandani, na asbh pia show ikapigwa ikabidi nimpe lakini hakuwa mtamu kiviiile kama George, no wonder mkewe ana mcheat, mwanamke anakaa kama gogo mimi nikafanya kazi zote, ah! baadae akanieleza bull shit za ndoa yake, akaniahidi napandishwa cheo ila nahamia branch naenda kuwa Branch Meneja.
Na mimi ndicho nilichokuwa nakihitaji.
Wenzake wakachoka kwa maelezo.
Wakamwangalia Chanel, mama leo mbona uko kimya sana?
Wakamwangalia Chanel, mama leo mbona uko kimya sana?
Chanel: Akacheka! bwana mimi nitaongea sikuingine, wakamlazimisha aongee, akasema ivi mnajua Mark ana watoto?
Wote: WATOOOOTOOOO?’’
Chanel: Ndio tena mapachaaaa, wakashangaa kila mmoja kwa lugha yake, mwiingine kiruuu, mwingine shenzi, mwingine majanga.
Carrie: Enhe ikawaje?
Chanel: Si tukafumaniwa wakati nimempanda Mark, aibu sasa, sidhani kama wale watoto hawajatuona, itabidi awapeleke hospitali wakachekiwe akili, maana duh! Akaendelea kuwapa ubuyu, asubuhi ilipofika nikakimbia wakati anawaogesha watoto wake, ila namwona ashaanza kusema watoto wetu, hiii wetu wetu situation jaman hata siielewi, wanaume bwana sijui vipi, michezo yao ya kuaminisha mtu na baadae wanakutupa nje hata siiwezi.
Carrie na Adrienne: Lakini Mark anaonekana ni keeper. Sio muhuni.
Carrie: Kwahiyo kati ya Pedeshee na Mark nani mkali?
Chanel: akacheka hakujibu maana hata yeye hakujua nani mkali maana kila mmoja alikuwa na utamu wake!
Adrienne: Safaree atakuja kumpitia hapo kwa Carrie saa 12 jioni wanatoka out, wakafurahi finally Adrienne kapata mwanaume wa maana lakini kumbe ukweli wa Safaree anaujua mwenyewe Safaree!
Adrienne: jamani kabla hatujatawanyika, jumapili usiku kunapigwa mziki wa reggae pale billcanas, twendeni basi, Carrie akasema nimesikia hata mimi, this time twendeni na wapenzi wetu, tukacheze na George anakuja kesho mchana itakuwa raha sana.
Chanel: Sasa tunakutana huko huko au tunapitiana?
Carrie: bwana tukutane mlangoni mwa Billcanas.
Wakasikia mziki unaimba kwenye redio, Carrie akaongeza sauti, wakaanza kucheza mziki wa mwana mama Chakka Khan:
“Ain't nobody (nobody)
Loves me better (loves me better)
Makes me happy
Makes me feel this way (nobody)
Ain't nobody (ain't nobody)
Loves me better than you (huku wananyoosheana vidole)
I wait for night time to come
And bring you to me
Can't believe I'm the one
I was so lonely
I feel like no one could feel
I must be dreamin'
I want this dream to be real
I need this feelin'
I make my wish upon a star
And hope this night will last forever
Oh oh oh oh
Ain't nobody (nobody)
Loves me better (better than me)
Makes me happy (feel this way)
Makes me feel this way
Ain't nobody (nobody babe)
Loves me better (nobody babe)
Ain't nobody
Loves me better (than you)”
Wakasikia mziki unaimba kwenye redio, Carrie akaongeza sauti, wakaanza kucheza mziki wa mwana mama Chakka Khan:
“Ain't nobody (nobody)
Loves me better (loves me better)
Makes me happy
Makes me feel this way (nobody)
Ain't nobody (ain't nobody)
Loves me better than you (huku wananyoosheana vidole)
I wait for night time to come
And bring you to me
Can't believe I'm the one
I was so lonely
I feel like no one could feel
I must be dreamin'
I want this dream to be real
I need this feelin'
I make my wish upon a star
And hope this night will last forever
Oh oh oh oh
Ain't nobody (nobody)
Loves me better (better than me)
Makes me happy (feel this way)
Makes me feel this way
Ain't nobody (nobody babe)
Loves me better (nobody babe)
Ain't nobody
Loves me better (than you)”
ITAENDELEA KESHO TAR 5 AUGUST 2018 SAA 8 MCHANA YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
D. LESENI YA KICHAWI (LICENCE TO WITCH-CRAFT)
Kwa mganga Safaree akafika saa 11 jioni, mganga hayupo kumbe yupo, baadae akaona wingu jeusi linakuja, likafika karibia na yeye akapiga magoti, mara wingu likageuka babu na kifimbo, babu haoni, ila anatembea mwenyewe.
Akamgusa mgongoni ile rangi nyekundu ikatoweka, Safaree akasimama akamfuata, wakafika misituni kwa mguu mwendo wa nusu saa.
Akamgusa mgongoni ile rangi nyekundu ikatoweka, Safaree akasimama akamfuata, wakafika misituni kwa mguu mwendo wa nusu saa.
Mganga: Kaa kwenye jiwe nikuonyeshe maisha yako ya mbeleni (future yako). Akapiga fimbo angani, akaonyeshwa future yake, akaambiwa una safari 3 tu kwako.
Safari ya kwanza:
Utaenda Mexico utapandishwa cheo kumzidi Kimaro kuonana na Lucifer.
Safari ya pili:
Utakuwa Boss wa Kimaro na utakuwa na hela sana, Lucifer atakupenda sana, Kimaro atakuchukia sana, jihadhari na kimaro.
Safari ya tatu:
Tutaungana kuzimu yaani Utakufa.
Safari zako 2 tu Duniani, umepewa miaka 5 na Muumba mbele yako itumie ipasavyo.
Kuna Lucifer wa aina mbili, Lucifer 1 na Lucifer 2 wote utawaona ukiwa hai na ukiwa kuzimu.
Safaree: kajaribu kumwekea zile hela miguuni kama kawaida yake, mganga akamwambia rudi kwako hela yako siitaki, kwasababu umeunganika na mwana wa Nuru Adrienne, mwili wako unang’aa kwasababu ya mambo mliofanya jana kutwa, MAPENZI yameshakubadilisha, umekuwa dhaifu sasa, sikatai hela kwa ubaya, baada ya miaka 4 ndio urudi, nitakuita kama nilivyokuita leo, akampa cheni ya dhahabu orijino, akamwambia ukiwa unafanya mapenzi na mwana wa Nuru ivae, itakukinga, ukimaliza ivue, angalia usikosee masharti tena, akampiga kichwani na fimbo yake Safaree akajikuta yupo nyumbani kwake kwenye kochi amelala.
Kushituka saa 12 nanusu akakuta missed call za Adrienne kama kumi na sms 5 zinazouliza uko wapi? Akampigia simu, nitakuja kukuchukua saa1 pole kwa usumbufu.
Huku nyuma James akapokea simu toka kwa Lucifer
James: Heloo Mkuu
Lucifer: Za Tanzania
James: Salama Mkuu
Lucifer: Umeniandalia kila kitu?
James: Ndio Mkuu
Lucifer: January nikute kila kitu kipo kama tulivyoongea
James: Sawa mkuu, umepata Cv za waomba kazi?
Lucifer: Ndio, na nimekujibu watu ninaowataka, naamini ulifanya kama nilivyokwambia kwa Doreen!
James: Ndio Mkuu
Lucifer: Nimekuwekea Milion 300 kwenye akaunt yako na maelezo yako kwenye email, Christmass Njema!
SIMU IKAKATWA.
Akamwona Doreen anakuja, kutoka kwa Carrie, saa 1 usiku, akaingia kwenye gari wakarudi nyumbani.
James: Heloo Mkuu
Lucifer: Za Tanzania
James: Salama Mkuu
Lucifer: Umeniandalia kila kitu?
James: Ndio Mkuu
Lucifer: January nikute kila kitu kipo kama tulivyoongea
James: Sawa mkuu, umepata Cv za waomba kazi?
Lucifer: Ndio, na nimekujibu watu ninaowataka, naamini ulifanya kama nilivyokwambia kwa Doreen!
James: Ndio Mkuu
Lucifer: Nimekuwekea Milion 300 kwenye akaunt yako na maelezo yako kwenye email, Christmass Njema!
SIMU IKAKATWA.
Akamwona Doreen anakuja, kutoka kwa Carrie, saa 1 usiku, akaingia kwenye gari wakarudi nyumbani.
James: Nimeshanunua chakula tutaenda kula nyumbani, leo nasikia kukaa na wewe tu nikupende, kesho tutaenda wote Kanisani kumshukuru Mungu amenipa mtoto mzuri Doreen, huku anamshika shika mapaja nini, dah mtoto mlaini wewe, kwani wewe ni kabila gani?
Doreen: wewe unaonaje, embu otea basi mimi kabila gani?
James: kama sio Mmeru basi Mgogo!
Doreen: akacheka sana, yani mimi omba omba sio?
James: hahahahah, nakutania bwana nawe hautaniwi?
Doreen: basi na mimi sikwambii kabila gani.
James: akambembeleza Doreen na kumtania mpaka akalainika, kufika nyumbani akambeba toka kwenye gari mpaka chumbani, akaanza kumfanyia massage.
Doreen: leo nimechoka tuache mpaka kesho, nataka nikaoge. Akainmgia bafuni akaanza kuoga, James akamfuata huko bafuni mechi ikaanza, refa akawa mwenyezi Mungu maana magoli zaidi ya 5 yalifungwa tena kizembe zembe tu si unajua Doreen mgeni kwenye haya mambo, na notes za kungwi zote zimeyeyuka kichwani maana James alimuweza kweli. Doreen alikoma, akaamua apande kitandani alale maana alihisi anakatika.
ADRIENNE & SAFAREE:
Dinner ikawa dinner, Safaree anawaka kapendeza kwenye kivazi chake na Adrienne kapiga umini na maziwa nusu yapo nje, wakaenda Kunduchi beach hotel, wakala wakafurahi wakaenda kutembea kwenye maji huku wanaongea na kupanga mipango mbali mbali, ambayo wanatarajia kufanya pamoja.
ADRIENNE & SAFAREE:
Dinner ikawa dinner, Safaree anawaka kapendeza kwenye kivazi chake na Adrienne kapiga umini na maziwa nusu yapo nje, wakaenda Kunduchi beach hotel, wakala wakafurahi wakaenda kutembea kwenye maji huku wanaongea na kupanga mipango mbali mbali, ambayo wanatarajia kufanya pamoja.
Safaree akawa anamchora tu maana alishaambiwa safari zake ni miaka 4 tu, akawa anamwitikia tu ndio.
Safaree: January nasafiri, naenda kuonana na boss wangu Mexico, nimepewa promoshen ofisini,
Adrienne: Unafanya kazi wapi?
Safaree: akakohoa kidogo, nafanya kazi kwenye kampuni ya Bima (Insurance), makao makuu yao yapo Mexico.
Adrienne: akiwa msomi na mwenye akili, akamwuliza jina la kampuni yenu linaitwaje?
Safaree: Phoenix Insurance.
Adrienne: akanyamaza.
Safaree: alipoona anauliza maswali mengi, akaamua kumbusu ili anyamaze, wakati wanapeana raha, Safaree akakumbuka kuwa ameiacha cheni kwenye gari, akamwachilia Adrienne kwa haraka kama amerushwa na umeme, unajua sasa ni usiku sana acha twende nyumbani.
Adrienne: akashangaa haelewi maana walipokuwa wanaeleleke palikuwa pazuri.
CHANEL NA PEDESHEE:
Chanel akarudi nyumbani yupo lonely, mara simu inapigwa, kuangalia ni Pedeshee Marion, akaipokea
Pedeshee: Mambo mrembo? Upo?
Chanel: Poa, nipo
Pedeshee: nimekumiss sana nimeona kimya, uko wapi?
Chanel: nipo nyumbani kwangu
Pedeshee: naweza kuja kukuona, nielekeze unapokaa nitakuja
Chanel: Mbezi Beach Tangi Bovu, karibu, akamwelekeza
Pedeshee: nakuja baada ya dk 50, maana ndio nimeshuka toka airport.
Chanel: karibu sana, akajua leo kuna mechi ya kufa mtu.
Pedeshee: asante, akakata simu.
Chanel: akaenda kuoga, akimsubiria Pedeshee mapesa aje. Alipotoka kuoga, akaona simu imepigwa na sms, kuangalia missed calls 5 za Mark, na sms anataka kumuona, doh akachoka, akampigia, Mark akamwuliza uko wapi? Nataka kuja kwako leo kulala, watoto wapo kwa bibi yao alikuja kuwachukua na mimi nipo pekeyangu, dah Chanel akachoka zaidi hakujua ajibu nini.
Chanel akarudi nyumbani yupo lonely, mara simu inapigwa, kuangalia ni Pedeshee Marion, akaipokea
Pedeshee: Mambo mrembo? Upo?
Chanel: Poa, nipo
Pedeshee: nimekumiss sana nimeona kimya, uko wapi?
Chanel: nipo nyumbani kwangu
Pedeshee: naweza kuja kukuona, nielekeze unapokaa nitakuja
Chanel: Mbezi Beach Tangi Bovu, karibu, akamwelekeza
Pedeshee: nakuja baada ya dk 50, maana ndio nimeshuka toka airport.
Chanel: karibu sana, akajua leo kuna mechi ya kufa mtu.
Pedeshee: asante, akakata simu.
Chanel: akaenda kuoga, akimsubiria Pedeshee mapesa aje. Alipotoka kuoga, akaona simu imepigwa na sms, kuangalia missed calls 5 za Mark, na sms anataka kumuona, doh akachoka, akampigia, Mark akamwuliza uko wapi? Nataka kuja kwako leo kulala, watoto wapo kwa bibi yao alikuja kuwachukua na mimi nipo pekeyangu, dah Chanel akachoka zaidi hakujua ajibu nini.
Akaikata simu akaizima kabisaa. Kule Mark anapiga simu haipatikani, nyumbani kwa Chanel hakufahamu, akawa kama amechanganyikiwa hajui afanyaje.
Pedeshee kafika yupo nje anapiga honi kaletwa na taxi, Chanel katoka mbio mbio kwenda kumfungulia kama mwizi.
KWA CARRIE SASA:
Carrie: nae akabakia pekeyake baada ya kuachwa na marafiki zake, akaona nikikaa hapa ndani nitakufa bure, akimpigia Doreen na Chanel simu haipokelewi, akajua wapo buzy, akaona bora ajifungie kwenye viporo vya kazi, maana sio kila siku NI za Mechi na starehe tu! nisijeishia kuwa changudoa bure!.ADRIENNE & SAFAREE:
Wakafika nyumbani, Safaree akachukua ile cheni akaivaa wakati Adrienne ameenda kuoga, akakaa sebuleni anatafakari maneno ya mganga, safari zake 5, Lucifer 2, atamuita mwaka wa 4, kuna nini haelewi, wakati akiwa bado kwenye wimbi la mawazo, akamwona Adrienne amemsimamia utupu,
Adrienne: mpenzi unakuja kitandani au tuanzie hapa hapa sebuleni?
Safaree: akamwangalia kwa huruma akamwambia leo sipo vizuri wewe nenda kalale tu.
Adrienne: akashushuka na hivi alikuwa amejaa, doh akajiuliza eh kuna nini leo? Akaenda zake kulala, ikafika saa 8 usiku hamwoni Safaree, akatoka kumwangalia sebuleni, hamwoni mtu, kamtafuta nyumba nzima akakuta hayupo, akatoka nje kwenda kwenye gari anamkuta Safaree anajipiga punyeto kwa picha ya Adrienne, akachoka! Hakuelewa kuna nini! Akagonga kwenye kioo, Safaree kumkuta ni Adrienne akajichekesha, akafungua kioo, anamchekea leo haulali?
Adrienne: we mjinga sana, fungua mlango.
Safaree: kufungua mlango ni kama amekosea, Adrienne akamvuta miguu akamrukia huko huko kwenye gari, uzuri Safaree alikuwa ameivaa chain aliopewa na mganga MAMBO YOTEE, mechi ikaendelea, Safaree anapiga makelele, mpaka mbwa nje ya nyumba yao, wale mbwa koko wasio na makwao wana bweka woooooo woof, wooooooo woooooo,
Adrienne: kimoyo moyo anajisemesha leo nitakuonyesha mpaka nyota Mbinguni zitadondoka, alimnyoosha Safaree akawa hoi,
Safare: Adrienne basii nakupendaaa, niacheee, sikupenda kujipiga punyetoo, ni mganga aliniambiaaa, nisamehe,
eh Adrienne anashangaa huyu anaongea nini, akamwachia katikati akakimbia ndani chumbani akajifungia mlango kwa funguo, akawa anaogopa huyu na mganga inakuwaje? yani sikuhizi nimekosa thamani mpaka naendewa kwa waganga ndio nipate mpenzi?
Kwakweli sidhani kama nitakaa nijisamehe, kha! huu ni uchafu asee, na kwanini nimeingizwa kwenye mambo ya waganga?!
Akachoka akasema this is bull shit akapanda kitandani akawa anaomba na kukemea shindwa pepo shindwa! sasa kila akiomba ile cheni inamwunguza Safaree, alipomaliza maombi akalala, maumivu ya cheni yakamwachia Safaree.
Safaree usiku ule kitanda chake kilikuwa ni gari, akalala fofofo kwenye gari mpaka asubuhi.
CHANEL & PEDESHEE:
Pedeshee nae akaja amechoka sana, hataki mechi,
Chanel: kajitahidi kumrubuni lakini wapi mwisho wa siku akaamua azimalizie hasira zake kwenye maswali,
Chanel: hizi hela umenipa ni za nini?
Pedeshee: nimekupa zawadi mpenzi kwa mambo ulionipa
Chanel: unafanya kazi gani, maana hamna mwanaume aliyewahi kunipa hela nyingi tangu nimekuja Duniani
Pedeshee: mimi nimekupenda nikaona nikupe tu, usijali, dah nimechoka sana leo!
Chanel: Love my foot, au wewe jambazi unamwaga mwaga hela tu?
Pedeshee: hapana mpenzi tulale basi nimechoka sana
Chanel: lala mwenyewe, akachukua pochi na simu akabamiza mlango akaondoka
Pedeshee: akashangaa, kumfuata haoni mtu, akajua ni hasira tu akarudi kulala
Chanel: hizi hela umenipa ni za nini?
Pedeshee: nimekupa zawadi mpenzi kwa mambo ulionipa
Chanel: unafanya kazi gani, maana hamna mwanaume aliyewahi kunipa hela nyingi tangu nimekuja Duniani
Pedeshee: mimi nimekupenda nikaona nikupe tu, usijali, dah nimechoka sana leo!
Chanel: Love my foot, au wewe jambazi unamwaga mwaga hela tu?
Pedeshee: hapana mpenzi tulale basi nimechoka sana
Chanel: lala mwenyewe, akachukua pochi na simu akabamiza mlango akaondoka
Pedeshee: akashangaa, kumfuata haoni mtu, akajua ni hasira tu akarudi kulala
Chanel: akiwa njiani akafungua simu, akampigia Mark, samahani simu ilizima, uko wapi?
Mark: Nipo kwangu
Chanel: Nakuja. Baada ya nusu saa mrembo yupo mlangoni mwa Mark.
Mark alipofungua Chanel akaingia kama mwizi, Mark anamshangaa, Chanel akamdanganya nahisi kuna mwizi ananikimbiza.
Mark: akaanza kumpooza, akambeba juu juu mpaka chumbani kwake, mechi ikaanza, watoto hawapo, fundi Chanel katika ubora wake, anayarudi mauno kama feni mbovu!
Mark: akaanza kumpooza, akambeba juu juu mpaka chumbani kwake, mechi ikaanza, watoto hawapo, fundi Chanel katika ubora wake, anayarudi mauno kama feni mbovu!
Mark sasa, hana hamu anapiga mikelele kweli kweli maana anajua wapo wawili tu.
Chanel: akalipia mahasira ya Pedeshee, maupwiru na kila kitu kwa Mark.
Mark: nae akaona mimi team simba, nafungwaje kiboya boya, akaamua kufanya yake, Chanel yupo hoi kama chapati ya maji.
IKAWA USIKU IKAWA ASUBUHI SIKU YA JUMAPILI.
Asubuhi saa 12 Chanel akashituka akamkumbuka Pedeshee akaingiwa na huruma akawa anatoka kitandani ananyata ili aondoke Mark akamwona anamwuliza unanikimbia Tena au?!
Chanel: hapana naenda kuchukua maji ya kunywa
Mark: usijali, ngoja nikakuletee siwezi kukubali unikimbie tena leo itabidi turudi wote nyumbani kwako!
Chanel: akachoka sio kidogo akikumbuka nyumbani kamuacha nani, akajiambia hizi nyege jamani zitaniua sasa.
Akaletewa maji akanywa Wakarudi Kulala, lakini Chanel hakupata usingizi alikuwa anamsubiria Mark alale anyate aondoka.
Mark alipoanza tu kukoroma, Chanel akanyata tena akaweza kutoka nje akakimbia, chukua taxi akarudi kwake, akafungua ndani akamkuta Pedeshee anaoga,a akaingia akabadilisha nguo fasta akaenda kupika chai, ili ajulikane amelala ndani, Pedeshee kutoka chumbani anamkuta mtoto ameshasafika, anakunywa chai, akakaribia chai bila kukaribishwa.
akaanza kumpoza hasira Chanel,
akaanza kumpoza hasira Chanel,
Pedeshee: Unajua mpenzi jana nilichoka sana haukupaswa kuelewa vibaya, sio kwamba sipendi mchezo lakini nimechoka hatari huku anamshika shika Chanel.
Chanel: hataki anaondoa mikono, akawa anajaribu kumbembeleza, dah Chanel akakumbuka mil 5. akasema ah ngoja nirudishe tu moyo, akaanza kutabasamu.
Pedeshee: akaanza kufunguka kuhusu mambo yake na safari zake, mimi ni mfanyabiashara, nina kampuni Mogadishu nazisimamia, boss wangu yupo likizo anarudi mwakani, na kazi zimekuwa nyingi.
Chanel: wewe ongea yote lakini hizo ni hela nyingi sana umenipa Pedeshee, naomba nikurudishie, sijawahi kushikilia pesa zote tangu kuzaliwa (huku kichwani anamng'ong'a anatamani apewe zingine),
Pedeshee: akajitoa ufahamu, kuna zingine hizi hapa nimekuletea zawadi, zikusaidie maisha yako maana nikiondoka tena kurudi ni baada ya miezi 6 ijayo.
Chanel: hapo hoi
Doreen & James:
Huku nyuma Doreen akashtuka saa 11 asubuhi, akatoka chumbani akaenda kukaa barazani, anawaza mbona huyu mwanaume amenijaa sana nyumbani kwangu, kwanza ni nani? anaishi wapi? na kwanini kila mechi mimi yanga lazima nishindwe? au mchawi nini? mbona anaenda kanisani ila hata shetani anaingia Kanisani ujue, Doreen na serikali ya kichwa chake, inajiuliza maswali na kujijibu, akiwa kwenye wimbi la mawazo akatafakari mbinu za kufanya na kumtoroka James, kumbe ni saa 1 asubuhi,
James kuamka akamkuta Doreen analia,
James: vipi mbona unalia?
Doreen: Natakiwa nirudi kijijini j3 mama anaumwa sana,
James: akambembeleza wee, baadae akamwambia basi nitakusindikiza kijijini.
Doreen: akatoa macho, akamjibu hapana natakiwa kwenda mwenyewe.
James: akakomaa lakini mwisho wa siku Doreen akashinda.
Kichwani kwa Doreen kukatia tiki.
Baadae akamweleza James kuhusu ile ishu ya Billcanas j2 usiku, wanatakiwa kwenda wote, wakakubaliana wakajiandaa kwenda Kanisani.
CHANEL & PEDESHEE:
Wakati Chanel anaongea na Pedeshee sebuleni, huku wanapendana, akainuka sasa aende jikoni mara anamwona Mark amesimama mlangoni anawaangalia.
Wakati Chanel anaongea na Pedeshee sebuleni, huku wanapendana, akainuka sasa aende jikoni mara anamwona Mark amesimama mlangoni anawaangalia.
Mark: akamwuliza Chanel unafanya nini? kumbe hapa ndio nyumbani kwako? mbona umenitoroka kwangu, tumelala wote usiku vizuri asubuhi najikuta mwenyewe.
Pedeshee: macho yanamtoka!
Chanel: ameishiwa nguvu.
Mark: akawa anamwuliza huyu ni nani na kwanini anakushika kama mpenzi wako?
kumbe wakati Chanel anafikiri Mark amelala fofofo na anakoroma, akajua amelala, lakini Mark alikuwa anamtegea, alipoondoka tu kwa Mark, Mark nae akanyata kwa nyuma akawa anamfuatia kwa nyuma, mpaka nyumbani kwa Chanel, alipofika akakuta mlango wa kuingia umefungwa, ikabidi atumie waya kuufungua mlango wa Chanel, ndio akaweza kuingia ndani na kuwakuta wanaongea na kushikana na kubembelezana.
Pedeshee: Wewe unamwuliza mke wangu kama nani?
Pedeshee: Wewe unamwuliza mke wangu kama nani?
Mark: he!, kumbe Chanel umeolewa? Mbona umeniambia upo singo juzi na jana hata leo? kumbe ndio maana unanikimbia, kila ukija kwangu una haraka sana, basi nimeelewa.
Chanel: kachoka akakosa na nguvu kabisaa, akawa kama anataka akujielezea hawamruhusu, akawa anapata shida ya kupumua, akaanguka chini akazimia.
ITAENDELEA LEOOOOO TAR 5 AUGUST SAA 1 USIKU YA TANZANIA
________________________
E. NDOTO NA MAISHA HALISI!
Chanel: akashtuka, eh kumbe ni ndoto, akawa anasema kama anakimbizwa na simba pori, akaanza kujipepea kwa mikono, akashuka kitandani huku anahema, akaangalia saa saa 12 asubuhi, akiangalia nyumba sio yenyewe, eh akaanza kuchanganyikiwa nipo hospitali au?
Mbona kama nyumba ya mtu, akaangalia pembeni hamwoni mtu, eh huku wapi tena? Akili ikamruka, akaenda kunawa uso, akarudi kukaa kitandani akaona mlango unafunguliwa, baadae akaona mtu anafungua mlango, akajifunika kwenye shuka, baadae anasikia Mark anaongea, amka sleeping beauty, unywe chai, ujiandae ili twende Kanisani, alafu tukitoka tunaenda kuwachukua watoto kwa bibi yao tunawapeleka kutembea.
Chanel: roho ikamtulia akasema eh, afadhali kumbe ilikuwa ni ndoto mbaya, akatulia.
KWA ADRIENNE SASA:
Adrienne nae akashituka, kuangalia saa saa 1 asubuhi, akaanza kukumbuka kizabi zabina cha jana, akaogopa hata kutoka nje akachungulia dirishani akamwona Mwanga yupo kalala bado kwenye gari, akachukua simu akampigia Doreen, yani nina dharura kali naomba uje nyumbani kwangu umtoe mwizi, njoo hata na polisi.
Doreen: akashituka.
Adrienne: yani hapa nimejifungia bedroom nashindwa hata kutoka kabisa, naomba uje na polisi majambazi bado wap.
Adrienne akaona haitoshi akampigia na Carrie akamweleza ivyo ivyo, alipompigia Chanel simu haipatikani.
Doreen huku wanajiandaa kwenda kanisani anamwambia James rafkiangu Adrienne amevamiwa na majambazi anataka nika riport polisi twende nao nyumbani kwake maana bado wapo kwake.
Doreen huku wanajiandaa kwenda kanisani anamwambia James rafkiangu Adrienne amevamiwa na majambazi anataka nika riport polisi twende nao nyumbani kwake maana bado wapo kwake.
James: akashituka, majambazi wanavamiaje nyumba kumeshakucha? embu twende wote hamna haja ya polisi sasa hivi ni asubuhi polisi wa nini kwani hawezi piga hata kelele majirani wakatoka?
Doreen akambishia James, lakini James akakataa kwenda kuchukua polisi, Doreen hakuelewa kwanini James amekataa, wakaondoka kuelekea kwa Adrienne.
Huku nyuma Carrie akakimbia Polisi kwenda kuwakusanya mapolisi, mchaga tena, yupo serious, wakafika nyumbani kwa Adrienne kwa wakati mmoja, Doreen na Carrie na James, wakampigia tupo nje na mapolisi 5.
Adrienne: akafurahi, akatoka nje, akamkuta Safaree ndio anatoka kwenye gari bado anajinyoosha na mausingizi mengi na tongotongo kibao usoni, akakimbia kwa nguvu akampita akaenda kufungua geti, walipoingia akawaambia mapolisi, huyu hapa ndo mwizi wenu.
Mapolisi wakaimvamia Safaree wa watu, wakamzoa zoa na kumfunga pingu.
Mapolisi wakaimvamia Safaree wa watu, wakamzoa zoa na kumfunga pingu.
Safaree: haelewi kuna nini, anashangaa tu anazongwa zongwa,, na kumsikia Adrienne anasema mwizi huyu mimi simjui na mchawi mkubwa.
ah, Safaree anashangaa haelewi, mapolisi kweli wakimwangalia mgongoni tattoo kubwa ya joka na kwenye kifua ya kunguru mweusi wakajua mwizi kweli, wakaanza kumchapa. Pigwa pigwa na wewe, mpaka Safaree akaomba poo. James akimwangalia haoni kama ni mwizi, akawaambia mapolisi tafadhali embu mwacheni kwanza ajieleze, akawekwa chini akaambiwa ajieleze, huku majirani sasa washaanza kujaa, ikabidi mapolisi wengine wafunge geti waanze kumsikiliza Safaree.
Polisi wa 1: ehee unatafuta nini kwa huyu dada?
Safaree: mimi huyu ni mpenzi wangu
Adrienne: Muongo mimi simjui, huku ameshikiliwa na Carrie.
Polisi wa 3: akampiga konde na teke, sema ukweli we boya!
Safaree: kweli, sasa mwizi gani analala kwenye gari lakini? Mimi ni mpenzi wake acheni basi kuniumiza jamaa mbona hamnitendei haki?
Polisi wa 2: arooo, nyamaza we ni mwizi tu
James: samahani polisi mbona kama huyu kaka jina lake sio ngeni kwenye masikio yangu, we Doreen huyu si uliniambia ni mpenzi wa Adrienne jana usiku wewe?
Doreen: Kimya anamwangalia Carrie na Adrienne hajui cha kufanya.
Safaree: ndio si unaona afande hata huyu kaka anajua, mimi mpenzi wake na hawa ni mashemeji zangu sema tu jana usiku tulikosana nikaamua kulala nje kwenye gari
Polisi wa 2: we mama haya maelezo ni ya kweli?
Adrienne: ndio afande lakini kuna kitu kibaya amenitenda huyu Safaree ndio maana nikamwitia polisi
Polisi wa 1: amekufanyaje?
Adrienne: alitaka kunibaka
Safaree, Polisi 1-4, Doreen, Carrie, James: wote wakachoka. Wakamwuliza Adrienne kwa pamoja? Ulitaka kubakwaa? Huku wanashangaa.
Polisi wa 3: ebwana ee, hii ni kesi ya mapenzi, mnatusumbua tu, hizi kesi za mapenzi msiwe mnatuletea polisi bwana embu tuondoke, mapolisi wakamwambia Safaree aondoke asionekane tena eneo hilo la sivyo tutakufunga.
Wakaondoka mapolisi na Safaree, Adrienne akaendelea kulia huku amekumbatiwa na Carrie, akamwingiza ndani akampeleka chumbani.
James akafunga geti akaingia ndani akakaa sebuleni wakati Doreen na Carrie wapo chumbani na Adrienne.
We Adrienne, mambo gani ya aibu umeleta sasa? Anaulizwa na Doreen, huyu si mpenzi wako sasa imekuwaje unamwitia mwizi? Ikabidi Adrienne awaeleze ukweli, huku nyuma James akanyata mpaka chumba cha Adrienne, akawa anasikiliza ukutani karibu na mlangoni.
We Adrienne, mambo gani ya aibu umeleta sasa? Anaulizwa na Doreen, huyu si mpenzi wako sasa imekuwaje unamwitia mwizi? Ikabidi Adrienne awaeleze ukweli, huku nyuma James akanyata mpaka chumba cha Adrienne, akawa anasikiliza ukutani karibu na mlangoni.
Adrienne akamaliza wenzake wanashangaa, sasa kusema mganga ndio umetuzoa zoa kutufanya tukalete polisi? Hawakumwelewa kuwa amechanganyikiwa au shida ni nini? Akasikia James anaita Doreen mko sawa?
Doreen akamwambia Adrienne sasa mimi nawaacha, Carrie ubaki na huyu bibie me naenda kanisani na James nitawapigia baadae kujua mnaendeleaje, alafu mtaniambia kama tunaweza kutoka usiku wa leo. Doreen akaondoka na James wakaelekea kanisani kwenye ibada.
Doreen akamwambia Adrienne sasa mimi nawaacha, Carrie ubaki na huyu bibie me naenda kanisani na James nitawapigia baadae kujua mnaendeleaje, alafu mtaniambia kama tunaweza kutoka usiku wa leo. Doreen akaondoka na James wakaelekea kanisani kwenye ibada.
Ibada haikuendeka kwa Chanel na Mark, maana hakuwa na nguo za kubadilisha za heshima za kwenda Kanisani, akamwambia Mark mimi sijisikii vizuri wewe nenda tu kawachukue watoto mimi naomba unipe lift nirudi nyumbani kubadilisha alafu mtanipitia nyumbani kwangu.
Mark akamuacha Chanel nyumbani kwake, akaondoka ndio Chanel akaingia ndani. Kufika anamkuta Pedeshee amekaa sebuleni anaangalia tv, akakumbuka ile ndoto yake akahisi kama inatimia, akaufunga mlango kwa funguo, akafunga na grill la nje akaenda kukaa na Pedeshee.
Pedeshee: ulikwenda wapi umeniachia mjengo pekeyangu, ningetaka kukaa kwenye mjengo si ningeenda hotelini?
Chanel: nilienda kulala hotelini kwa niaba yako. Ya nini kulala na mwanaume sifanyi nae kitu na mimi nishakwambia hali yangu kuwa nilikuwa na hamu na wewe ukaniletea za uchovu.
Pedeshee: ah pole, sana mpenzi, akawa anamshika mikono, anambusu busu, Chanel akakumbuka ile ndoto akajichomoa kwa Pedeshee akakimbia chumbani
Chanel: akaenda akajifungia bafuni akawa analia, akaingia kuoga
Pedeshee: akaja anagonga mlango,Chanel hafungui wala nini anasikia tu analia, mama unalia nini, yani una hamu na **** kiasi hicho mpaka unalia?
Chanel: akanyamaza kimyaa, akawa anaoga zake, alipomaliza akawasha simu akakuta missed calls za Adrienne na Carrie, akampigia hakupokea, akaamua kumpigia Carrie kuna nini?
Carrie: akawa anaongea polepole kama hataki kusikika, shoga kama hauna kitu cha kufanya njoo kwa Adrienne tukae nae kumpa support maana nahisi anachanganyikiwa sasa huyu shogayetu,
Pedeshee: honey fungua basi mlango tafadhali?
Chanel: Carrie nakuja maana huku nako mingo ni mbaya, nitakuja kukuelekeza, akakata simu akatoka bafuni.
Pedeshee: Mpenzi wangu mimi nakupenda huku anambusu busu,mara amshike, mara amvue nguo, Chanel akawa anajitoa kwa penzi la Pedeshee.
Pedeshee: ulikwenda wapi umeniachia mjengo pekeyangu, ningetaka kukaa kwenye mjengo si ningeenda hotelini?
Chanel: nilienda kulala hotelini kwa niaba yako. Ya nini kulala na mwanaume sifanyi nae kitu na mimi nishakwambia hali yangu kuwa nilikuwa na hamu na wewe ukaniletea za uchovu.
Pedeshee: ah pole, sana mpenzi, akawa anamshika mikono, anambusu busu, Chanel akakumbuka ile ndoto akajichomoa kwa Pedeshee akakimbia chumbani
Chanel: akaenda akajifungia bafuni akawa analia, akaingia kuoga
Pedeshee: akaja anagonga mlango,Chanel hafungui wala nini anasikia tu analia, mama unalia nini, yani una hamu na **** kiasi hicho mpaka unalia?
Chanel: akanyamaza kimyaa, akawa anaoga zake, alipomaliza akawasha simu akakuta missed calls za Adrienne na Carrie, akampigia hakupokea, akaamua kumpigia Carrie kuna nini?
Carrie: akawa anaongea polepole kama hataki kusikika, shoga kama hauna kitu cha kufanya njoo kwa Adrienne tukae nae kumpa support maana nahisi anachanganyikiwa sasa huyu shogayetu,
Pedeshee: honey fungua basi mlango tafadhali?
Chanel: Carrie nakuja maana huku nako mingo ni mbaya, nitakuja kukuelekeza, akakata simu akatoka bafuni.
Pedeshee: Mpenzi wangu mimi nakupenda huku anambusu busu,mara amshike, mara amvue nguo, Chanel akawa anajitoa kwa penzi la Pedeshee.
Pedeshee: akamkomalia ilimradi ampe kitu roho inapenda, Chanel akawa hataki tena, akavaa nguo akaweka baadhi ya nguo kwenye begi na mswaki na hela kidogo na pochi la ofisini akawa anataka kutoka, Pedeshee anashangaa anamzuia asitoke, Chanel akachukua viatu akavaa akawa anaelekea sebuleni, Pedeshee akamkimbilia amevaa kikaptura kifua wazi, Chanel akaangalia saa muda wa saa 3 asubuhi na wameahidiana na Mark wanakuja saa 6 mchana.
Pedeshee: anamwuliza sasa ugomvi wetu ni nini? Mbona sikuelewi?
Chanel: kimya, baadae akamjibu naenda kukaa hotelini, wewe baki hapa, ukinihitaji utanipata The Kilimanjaro hotel, niache.
Dah, Pedeshee akajiambia moyoni sikuja Tz kulalia nyumba za watu, mimi nimeacha nyumba yangu nzuri na warembo kibao Mogadishu kwa ajili ya huyu alafu ananiletea madharau.
Pedeshee: Chanel, ukiondoka hautaniona tena,
Chanel: akamwangalia, akamhurumia.
Pedeshee: akamfuata Chanel akaanza kumshika shika akambusu, shingo, kifua, alipofika kifuani akamgeuza Chanel kwa nyuma, akaanza kumbusu mgongoni, alipoona Chanel amelegea akambeba juu juu akampeleka kitandani, mechi ikaanza,
Pedeshee akampa mrembo mechi ya kihuni, mpaka Chanel akaomba poo, magoli ma 3 yakafungwa. Wakapumzika.
Chanel akaangalia saa saa 4 kasoro, akaona nikiendelea kukaa ndoto itatimia, akaanza kumpa mautamu Pedeshee, Pedeshee nae anapagawa kwa mauno ya Chanel, Chanel akatia jitihada za kufa mtu mpaka Pedeshee akaomba poo, akamfunga magoli 5, Pedeshee hoi, mtoto wa Igunga tabora anamchanganya. Wakamaliza, wakalala lakini Chanel hakulala, akanyata mpaka bafuni akanawa fasta, akaandika kinoti, akanyata akaondoka na begi akakimbia akaenda kukaa kwa Adrienne.
Ibada kanisani kwa Doreen ikaisha wakaamua warudi tu nyumbani kama jioni watatoka. Walipofika nyumbani James akaingia jikoni akaanza kukarangiza mapochopocho, James alikuwa noma kwenye sekta ya tumbo. Walipomaliza kula yakaanza maswali
James: ivi rafkiako mbona kamfanyia hivyo mpenzi wake?
Doreen: hata sijui na mimi nimeshangaa, sijawahi kumwona hivi maskini Adrienne, sijui kapatwa na nini?
James: mlipomwuliza akasemaje?
Doreen: akasema walipokuwa wana Do, Safaree akamwambia hata mganga alisema! Ndipo alipochoka akakasirika akijua kwamba penzi la Safaree ni la ndumba sio la kweli nayeye rafkiangu alishatendwa na ex wake akajua huyu ni wa tofauti kumbe yale yale,
James: anahasira sana rafkiako ee?
Doreen: mh! Hapana sijawahi kuona, ila ya leo ni kituko, wakabakia wanacheka.
Doreen: James, kazini kwako utanikaribisha lini?
James: ivi rafkiako mbona kamfanyia hivyo mpenzi wake?
Doreen: hata sijui na mimi nimeshangaa, sijawahi kumwona hivi maskini Adrienne, sijui kapatwa na nini?
James: mlipomwuliza akasemaje?
Doreen: akasema walipokuwa wana Do, Safaree akamwambia hata mganga alisema! Ndipo alipochoka akakasirika akijua kwamba penzi la Safaree ni la ndumba sio la kweli nayeye rafkiangu alishatendwa na ex wake akajua huyu ni wa tofauti kumbe yale yale,
James: anahasira sana rafkiako ee?
Doreen: mh! Hapana sijawahi kuona, ila ya leo ni kituko, wakabakia wanacheka.
Doreen: James, kazini kwako utanikaribisha lini?
James : hata kesho ukitaka tunaweza kwenda.
Doreen: ah, huko wizarani hapana, sasa utanitambulisha kama nani?
James: kama mkewangu? Kesho njoo lunch time basi, asubuhi nipeleke urudi na gari alafu mchana uje lunch time. Doreen akakubali.
Huku kwa Adrienne nako kumewaka, Carrie keshachoka kusikiliza malalamiko ya Adrienne, mara anasikia hodi, akaenda kufungua mlango, kumbe ni Chanel
Carrie: Shogangu afadhali umekuja nimechoka kusikiliza upuuzi
Chanel: kwani kuna nini?
Carrie: njoo umsikilize anavyotema mate yake yani ni sheedah,
Chanel: akaenda kwa Adrienne, akampa pole akaelezewa kilichotokea, Chanel akawa anacheka kimoyomoyo hajui Adrienne amepatwa na nini? Akamwambia Carrie tumpe dawa ya usingizi alale, wakakubaliana Adrienne akalala.
Wakiwa wanaongea, Chanel akamuelezea kuhusu Mark na Pedeshee walivyomganda.
James: kama mkewangu? Kesho njoo lunch time basi, asubuhi nipeleke urudi na gari alafu mchana uje lunch time. Doreen akakubali.
Huku kwa Adrienne nako kumewaka, Carrie keshachoka kusikiliza malalamiko ya Adrienne, mara anasikia hodi, akaenda kufungua mlango, kumbe ni Chanel
Carrie: Shogangu afadhali umekuja nimechoka kusikiliza upuuzi
Chanel: kwani kuna nini?
Carrie: njoo umsikilize anavyotema mate yake yani ni sheedah,
Chanel: akaenda kwa Adrienne, akampa pole akaelezewa kilichotokea, Chanel akawa anacheka kimoyomoyo hajui Adrienne amepatwa na nini? Akamwambia Carrie tumpe dawa ya usingizi alale, wakakubaliana Adrienne akalala.
Wakiwa wanaongea, Chanel akamuelezea kuhusu Mark na Pedeshee walivyomganda.
Carrie: Chanel eh umetisher! ina maana wote wamekuzimikia, kwahiyo tusubirie kuwa bride’s maid sio?
Chanel: akacheka tu maskini, sasa sijui nafanyaje na nawafichaje wasijuane.
Carrie: ila shogangu wewe jasiri, unatembea na wanaume wawili kwa mpigo ? una uhakika hauna mapepo? Huku anamcheka. Sasa utamfanyaje na hii love triangle ulioianzisha Chanel?
Chanel: akawa hajui atafanyaje, na hapo alionekana amekuja na begi lenye nguo, akaulizwa kwahiyo ndio umehamia kwa Adrienne sio?
Chanel: akasema wala, hapa anakuja kunichukua Mark saa 9 twende na wanae huko kutembea.
Carrie: ila shogangu love triangle ni mbaya kama ukiwaonyesha wanaume wooote unapokaa, ingekuwa kila mtu hajui unapoishi ingekuwa poa, ila umeshaharibu, sasa tunafanyaje? Tukutafutie nyumba nyingine mwakani uhamie au?
Carrie: ila shogangu love triangle ni mbaya kama ukiwaonyesha wanaume wooote unapokaa, ingekuwa kila mtu hajui unapoishi ingekuwa poa, ila umeshaharibu, sasa tunafanyaje? Tukutafutie nyumba nyingine mwakani uhamie au?
Chanel: Nitashukuru ila this time nataka nikae maeneo ya huku, kule mbali jamani.
Carrie: haina neno j3 naongea na dalali atakutafutia nyumba nzuri tu hapa ukae karibu na huyu kichaa Adrienne, maana ameniaibisha leo sio kitoto.
Niambie mami kati ya Mark na Pedeshee, yupi mtamu, mkali, ameuteka moyo wako?
Niambie mami kati ya Mark na Pedeshee, yupi mtamu, mkali, ameuteka moyo wako?
Chanel: tangu nikutane na huyu Mark na kuwaona hao watoto nikahisi kumpenda Mark zaidi ya Pedeshee, ila Pedeshee ana miheeeeraaa, mihela sio kitoto jana nikaletewa hela zingine tena mil 10.
Carrie: eh! Na bado ukakimbia mil 10 ukaenda kulala na baba wawili, kweli mapenzi ni bure,
Wote wakacheka.
Carrie: unajua kuushikilia moyo wako? Kwa maana ya usimpende mwanaume yoyooote kati ya hao wawili?
Chanel: hapana sijui hata, kwani unafanyaje?
Mara wakasikia Adrienne ameamka anawaambia hata mimi nataka kujua unafanyaje.
Mara wakasikia Adrienne ameamka anawaambia hata mimi nataka kujua unafanyaje.
Wakashangaa kwani haujalala mwenzetu? Adrienne: wala sina usingizi, enhe nafanyaje na mie nishaumizwa tena.
Carrie: moyo wako hamishia kichwani kwako,
Chanel & Adrienne: enhe!
Carrie: alafu waone wote kama kaka zako. Usijiwekee kama ni wapenzi wako, yani ni kama vile ambavyo hauwezi lala na kaka yako ivyo ivyo wafanyeni mabwana zenu kama kaka zenu au wadogo zenu (kwa wewe unae date wanaume umri mdogo)
Chanel & Adrienne: du, enhe!
Carrie: wakati wa ku-do! Nyie jifanyeni kama machangudoa, changudoa analala na kila mtu unajua, ndio maana hawezi kupenda!
Chanel & Adrienne: wakacheka wote, du hii kali, kwahiyo sisi ni makopo hatuna hisia (feelings)?!
Carrie: mfano wewe Adrienne ushawahi kutendwa na pupils, fanya kama ulibakwa alafu ile chuki ilete kichwani uwe unamchukia Safaree lakini unalala nae baaasi tu lakini walaa humpendi, fanya kama unasubiria ile mil 10 Chanel kwa Pedeshee, ni kama mteja amekupa hela kuuubwa sasa unaifurahia hela na tendo sio mapenzi.
Chanel & Adrienne: dah hii kweli Darasa, haya kungwi ndo maana na wewe hunaga anaekusumbua ee?
Carrie: alafu utaniambia kama haijafanya kazi, wao wanaume ndio wanaanza kuchizika alafu hapo ndio utajua mwanaume yupi ubaki nae yupi anakupenda kweli, yupi miyeyusho! ila wanaume wana akili nyingi, msishangae mkajikuta game limewaangukia nyie, akabakia anacheka tu.
Chanel na Adrienne wakaona kama ni plan waanze kuifanyia mazoezi.
Carrie: moyo wako hamishia kichwani kwako,
Chanel & Adrienne: enhe!
Carrie: alafu waone wote kama kaka zako. Usijiwekee kama ni wapenzi wako, yani ni kama vile ambavyo hauwezi lala na kaka yako ivyo ivyo wafanyeni mabwana zenu kama kaka zenu au wadogo zenu (kwa wewe unae date wanaume umri mdogo)
Chanel & Adrienne: du, enhe!
Carrie: wakati wa ku-do! Nyie jifanyeni kama machangudoa, changudoa analala na kila mtu unajua, ndio maana hawezi kupenda!
Chanel & Adrienne: wakacheka wote, du hii kali, kwahiyo sisi ni makopo hatuna hisia (feelings)?!
Carrie: mfano wewe Adrienne ushawahi kutendwa na pupils, fanya kama ulibakwa alafu ile chuki ilete kichwani uwe unamchukia Safaree lakini unalala nae baaasi tu lakini walaa humpendi, fanya kama unasubiria ile mil 10 Chanel kwa Pedeshee, ni kama mteja amekupa hela kuuubwa sasa unaifurahia hela na tendo sio mapenzi.
Chanel & Adrienne: dah hii kweli Darasa, haya kungwi ndo maana na wewe hunaga anaekusumbua ee?
Carrie: alafu utaniambia kama haijafanya kazi, wao wanaume ndio wanaanza kuchizika alafu hapo ndio utajua mwanaume yupi ubaki nae yupi anakupenda kweli, yupi miyeyusho! ila wanaume wana akili nyingi, msishangae mkajikuta game limewaangukia nyie, akabakia anacheka tu.
Chanel na Adrienne wakaona kama ni plan waanze kuifanyia mazoezi.
Carrie: Sasa swala la Safaree unalimalizaje maana ushamharibu kisaikolojia mwenzio ukoo, shauri yako, afu huyu Safaree anafanya kazi gani? Mbona matatuu kama jambazi?
Adrienne: anashangaa maana hajui mengi kuhusu Safaree na mahusiano yao yalikuwa ni mpya.
Carrie: akaaga, ngoja nikampokee George airport, tuonane Billcanas saa 2 usiku kwenye parking, msikose tafadhali,
Carrie: akaaga, ngoja nikampokee George airport, tuonane Billcanas saa 2 usiku kwenye parking, msikose tafadhali,
We Adrienne uje na huyo Safaree, fanyeni kama nilivyowaambia mkifanikiwa mje mnitunze jamani me mchaga ivoo, Carrie akaondoka wakabakia wawili wakiangaliana wafanyaje kuhusu wapenzi wao.
ITAENDELEA KESHO TAR 6 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
F. BURUDANI YA ASALI!
Chanel akamwambia Adrienne amtafute Safaree kokote alipo aje nae Bill Canas usiku, mimi naelekea kwa Mark ku-baby-seat maana hao watoto washakuwa wetu wote, Mark akaja kumchukua wakaondoka.
Huku nyuma Adrienne akampigia Safaree, akamwuliza uko wapi? Safaree akamwambia pale pale uliponiacha siku ya kwanza, Adrienne akamwambia nakuja my love usiondoke, akaenda aka book chumba akamwita aje chumbani, Safaree akamwuliza unauhakika hautaniitia mwizi tena?
Huku nyuma Adrienne akampigia Safaree, akamwuliza uko wapi? Safaree akamwambia pale pale uliponiacha siku ya kwanza, Adrienne akamwambia nakuja my love usiondoke, akaenda aka book chumba akamwita aje chumbani, Safaree akamwuliza unauhakika hautaniitia mwizi tena?
Adrienne: usijali.
Adrienne: akajikaza roho akaanza kukumbuka yale yoote aliyoambiwa na Carrie akarudisha moyo kichwani akasema this is it.
Safaree kama kawa akajitosa chumbani, yeye si mwanaume anajiamini bwana, hana shida yoyote, kufika anamkuta mtoto Adrienne amekaa kitandani, amevaa lingerie ya kufa mtu. Akataka kumshika akamwambia hapana kaa chini, anza kuongea, huyo mganga ndio nani na kwanini mimi niingizwe kwenye mambo ya kiganga?
Safaree: akamwangalia tu hakumjibu. Wakabaki wanaangaliana tu sasa kama tv na binadamu kila mtu anasubiria mwenzie aongee.
Adrienne: akajiuliza ivi kwanini nakazana na huyu mavi, ngoja niondoke zangu.
Akaenda akamfuata Safaree, akamwambia samahani kwa nilichokutendea, lakini sijapenda kulogwa wala mapenzi ya ndumba, huku ameshikilia roho, kama hautaki kuongea naomba uondoke. Safaree akamwangalia tu.
Adrienne: akatamani amdunde ampe kipigo cha kufa mtu, tena hapa hotelini hakuna atakayejua.
Safaree: akasimama akamshika mkono akamshika mkono mwingine shingoni akawa kama anataka kumkaba, akamwangalia Adrienne machoni, akaona innocence yake, akaamua kumbusu tu huku anamkaba shingo,
Adrienne akakumbuka maneno ya Carrie, akajikaza huku anamtoa Safaree mkono wake shingoni, Safaree niachie, huku Safaree akiendelea kumbusu, Adrienne akaendelea kuhangaika kumtoa mkono wake uliopo shingoni, Safaree akizidi kukaza mkono wake shingoni mwa Adrienne na kumbusu mashavuni, Adrienne akapandisha mguu akampiga Safaree kwenye dyu dyu yake, Safaree akaamwachia akaweka mikono yote kwenye machine yake, wakati anasikilizia maumivu, Adrienne akachukua mto akaanza kumpiga mgongoni, alipoona haitoshi akampiga na chumba Safaree mgongoni, Safaree akaanguka chini, akachukua simu akapiga room service kuna moto unawake chumba namba fulani harakisha, huku Safaree anajiandaa kuamka chini, Adrienne akakimbia akampita, Safaree akamshika mguu, hataki kumwachia, Adrienne akawa anajaribu kujitoa mguu kwa Safaree, laini wapi Safaree kakomaa, Adrienne akasikia hodi, room service akaanza kupiga makelele nisaidie nakufaa jamani bomoeni hata mlango, room service akafungua mlango anakuta watu wamelala chini, akaita wenzake mwiziiii jamani security mwiziiii!
Wakaja security, wakamshika Safaree, na dada wa room service akamshika Adrienne, security wakauliza kuna nini hapa jamani?
Mbona mnapigana?
Adrienne: naomba mumtoe huyu kaka hapa sitaki kumwona amekosea chumba ameingia chumba changu sasa naona anataka kunibaka. Wakamtoa Safaree nje yeye akabakia ndani, akaanza kulia anajiuliza hili sasa balala gani, mbona Mungu ananitesa namna hii, akaingia bafuni kuoga, akaangalia saa saa1 nanusu usiku. Akajiandaa haraka ili afike pale Bill Canas.
MARK & CHANNEL:
Huku nyuma Mark na Chanel wakaonekana wapo Kunduchi Beach na watoto mapacha, watoto wakampenda sana Chanel, Daddy your girl friend is beautiful like ana angel,
Huku nyuma Mark na Chanel wakaonekana wapo Kunduchi Beach na watoto mapacha, watoto wakampenda sana Chanel, Daddy your girl friend is beautiful like ana angel,
Chanel: akatabasamu tu akashukuru, lakini moyo ameupandishwa kichwani kama alivyofundishwa na Carrie, wakakaa mpaka saa 12 nanusu, Chanel akamkumbusha Mark kuhusu outing yao, wakawarudisha watoto nyumbani kwao wakahakikisha wamelala wao wakaja mpaka BillCanas.
Saa 2 usiku wote wakakutana, wakafurahi ila wakashangaa Adrienne kuja pekeyake na amevimba mdomo kama umevia damu, wakajua tu Safaree karudi wakadundana, baadae wakatambulishana couples kwa couples, wanaume wakaenda kuleta vinywaji, Adrienne akawamwagia ubuyu wa kwanini amekuja mwenyewe na mdomo kuvimba, wakamhurumia rafiki yao sana, wakamwambia usijali Mungu atakulipia achana na huyoshetani hana hata akili, usikute ni jambazi maana sio kwa mi-tatoo ile, wakaanza kucheka.
Baadae couples ikanoga.
Saa 2 usiku wote wakakutana, wakafurahi ila wakashangaa Adrienne kuja pekeyake na amevimba mdomo kama umevia damu, wakajua tu Safaree karudi wakadundana, baadae wakatambulishana couples kwa couples, wanaume wakaenda kuleta vinywaji, Adrienne akawamwagia ubuyu wa kwanini amekuja mwenyewe na mdomo kuvimba, wakamhurumia rafiki yao sana, wakamwambia usijali Mungu atakulipia achana na huyoshetani hana hata akili, usikute ni jambazi maana sio kwa mi-tatoo ile, wakaanza kucheka.
Baadae couples ikanoga.
James: Adrienne Yule kaka alirudi tena? Ikabidi Adrienne awahadithie tena wanaume ambao walikuwa hawapo.
James: Kwani wewe umemtoa wapi?
Adrienne: alining’ang’ania kweli pale The Kilimanjaro Hotel, nikaona ah labda nimpe nafasi.
James: hapana, mwanaume akikupenda hafanyi hivyo, mwanaume wa kukutana nae tu anakung’ang’ania kibabe ivyo wewe unadhania ni romantic alafu unamkubali sio kwa karne hii ya ishirini, majambazi wamekuwa wengi, Doreen akamwangalia tu James, kimoyomoyo anajisemesha wewe mbona uliniganda?!
James: Inabidi Adrienne ukaangalie afya yako,
Doreen: akamfinya James. James akaendelea maana huenda jamaa ana miwaya, eh
Adrienne: akachoka, akaona usiku mrefu, baadae Adrienne akaomba aende msalani kidogo, ili tu aondokane na ile topic, wakati anatoka msalani akaenda kukaa bar akawa anapata kinywaji, maana alishachoka mahubiri ya James hata hivyo, hakuwa tayari kuhubiriwa tena kuhusu Safaree na afanye nini?
Akiwa kwenye wimbi la mawazo akasikia kwa mbaali mtu anaongea hii seat ina mtu? Adrienne hakujibu, huyo kaka akajikaribisha kwenye seat, Adrienne anaendelea kupata kinywaji chake.
Akiwa kwenye wimbi la mawazo akasikia kwa mbaali mtu anaongea hii seat ina mtu? Adrienne hakujibu, huyo kaka akajikaribisha kwenye seat, Adrienne anaendelea kupata kinywaji chake.
Kaka: Samahani mrembo nakusalimia, mwishowe akawa anaongea mwenyewe.
Adrienne: kimya anawaza maisha yake.
Kaka: akawa anamwuliza maswali utadhani anaongea na jini Lakini Adrienne kimyaa. Baadae akaja Doreen, vepe Adrienne bado umekasirika?!
Adrienne: akamwangalia akaanza kulia, jamani Sasa haya maisha gani lakini mbona nazidi kudidimia mimi mpaka kuishi kwangu Sasa naogopa huku Doreen anambembeleza yule kijana akawa anawasikiliza kama hasikii wakaongea weee, Adrienne akasema mimi nahama hapo Leo nalala hotelini kilimanjaro mpaka nitakapopata nyumba nyingine nitaenda na polisi kuhamisha vitu vyangu. Doreen akawa anamwitikia tu Sawa tutafanya hivyo.
Huku kwa wapendanao mambo yanazidi kunyooka stori stori, Mara ukaja usiku wa Raggae zikapigwa nyimbo za old school, ikabidi Carrie ainuke akacheze na Baby wake George.
Huku kwa wapendanao mambo yanazidi kunyooka stori stori, Mara ukaja usiku wa Raggae zikapigwa nyimbo za old school, ikabidi Carrie ainuke akacheze na Baby wake George.
Nae Chanel akainuka kwenda kucheza na Mark.
James akabakia pekeyake akawa anamtafuta Doreen hamuoni anashangaa ameenda wapi!? Akaanza kumtafuta Doreen wake wakarumbe reggae. Akamwona kwa mbaali amekaa na Adrienne anambembeleza akawafuata.
Yule kijana alipomwona James amekuja akageuka upande mwengine kana kwamba asionekane.
Doreen akamwambia James, tumrudishe Adrienne hotelini hayupo Sawa, wakaondoka wakampeleka Adrienne hotelini Kulala wao wakarudi BillCanas kucheza raggae.
“Heads High...Kill Dem Wit It Now
Just Mek A Bway Know You Nah Blow
Heads High... Kill Dem Wit It Now
No Bway Ain't Got No Secret Fi Yow
Heads High... Kill Dem Wit It Now
Just Mek A Bway Know You Nah Blow
Heads High.. Kill Dem Wit It Now
Tell Dem Vegas Say So”...
Yule kijana aliekuwa anamsemesha Adrienne alafu haitikiwi akageuka kukaa kama mwanzo akaona Adrienne amesahau pochi yake. Akasema Yes hapa hapa ngoja nimpelekee. Wakati anatoka Akamwona James anarudi na Doreen akajificha pembeni ya mlango, walipopita nayeye akatoka.
Mziki unazidi kuwa mtamu:
“Mr Loverman ... Shabba
Mr Loverman ... (Shabba)
Mr Loverman ... Shabba”
“Heads High...Kill Dem Wit It Now
Just Mek A Bway Know You Nah Blow
Heads High... Kill Dem Wit It Now
No Bway Ain't Got No Secret Fi Yow
Heads High... Kill Dem Wit It Now
Just Mek A Bway Know You Nah Blow
Heads High.. Kill Dem Wit It Now
Tell Dem Vegas Say So”...
Yule kijana aliekuwa anamsemesha Adrienne alafu haitikiwi akageuka kukaa kama mwanzo akaona Adrienne amesahau pochi yake. Akasema Yes hapa hapa ngoja nimpelekee. Wakati anatoka Akamwona James anarudi na Doreen akajificha pembeni ya mlango, walipopita nayeye akatoka.
Mziki unazidi kuwa mtamu:
“Mr Loverman ... Shabba
Mr Loverman ... (Shabba)
Mr Loverman ... Shabba”
Raggae likachezwa, kila mtu na mpenzi wake, wengine wanakatikiana, wengine wanashikana, wengine humo humo wanadandiana Mara mabusu Mara Carrie kabebwa na George, Dah iyo inaitwa Bad Raggae.
Yule kijana aliekuwa anaongea na Adrienne akatoka akamfuata Adrienne hotelini, akaona sio vema kumgongea nae akabook chumba hapo hapo hotelini akalala.
Wakaondoka wa Kwanza Chanel na Mark, wakiwa wamechoooka Chanel akasema Leo sidhani kama Kuna mechi maana Mark namwona ameshapendeza usoni anacheka cheka tu akasema Sasa huu ndio Wakati wa mimi kutengeneza palipobomoka. Walipofika nyumbani Mark anaimba imba tu Ile miziki ya Disco akawa anamnyamazisha, shhhhh watoto wamelala bwana akawa ananyamaza anarudia kuimba Mara ananyamaza basi sheedah tupu.
Alipomlaza Mark akachukua nguo zake zooote alizobeba kwenye begi akafunga mlango akaondoka akaenda kukaa kunduchi beach hotel alafu akamwita Pedeshee.
Wakaondoka wa Kwanza Chanel na Mark, wakiwa wamechoooka Chanel akasema Leo sidhani kama Kuna mechi maana Mark namwona ameshapendeza usoni anacheka cheka tu akasema Sasa huu ndio Wakati wa mimi kutengeneza palipobomoka. Walipofika nyumbani Mark anaimba imba tu Ile miziki ya Disco akawa anamnyamazisha, shhhhh watoto wamelala bwana akawa ananyamaza anarudia kuimba Mara ananyamaza basi sheedah tupu.
Alipomlaza Mark akachukua nguo zake zooote alizobeba kwenye begi akafunga mlango akaondoka akaenda kukaa kunduchi beach hotel alafu akamwita Pedeshee.
Baada ya Nusu saa Pedeshee akaingia ndani ya chumba, kumkuta kimwana mtoto mzuri ngozi ya asali Chanel amekaa kwenye kiti amepiga bonge la lingerie, chupi kali juu kifua wazi, eh pedeshee kumwona tu akajaa, akawa anamsogelea Chanel ampe raha, akamwambia naomba nione mpira kwanza, maana huko unakokwenda sikujui.
Pedeshee akamwonyesha Condom aina kumi, mechi ikaanza, hapo hapo sakafuni mwa kitanda, Pedeshee akafanya yake Chanel hakuwa na nguvu ya kurudisha majeshi, huenda ni zile pombe walikunywa disco hakuelewa.
James na Doreen nao wakasonga kwao, kufika nyumbani Doreen analeta pozi, kwanza ndio nini kumsema rafiki yangu kipenzi namna ile jamani, mimi hata sijapenda.
James na Doreen nao wakasonga kwao, kufika nyumbani Doreen analeta pozi, kwanza ndio nini kumsema rafiki yangu kipenzi namna ile jamani, mimi hata sijapenda.
James: akiwa kapendeza usoni anajaribu kumbembeleza Doreen lakini wapi, Doreen akamshinda nguvu akamsukuma, James akaanguka chini, akaanza kutapika mipombe aliokunywa, Doreen akakasirika akamuacha hapo hapo akaenda kulala chumba cha pili.
Carrie nae alikuwa sio wa masihara, George sio mnywa pombe saana na Carrie akiwa na anahamu zake, mechi ikapigiwa Sheraton Hotel alipofikia George.
Carrie nae alikuwa sio wa masihara, George sio mnywa pombe saana na Carrie akiwa na anahamu zake, mechi ikapigiwa Sheraton Hotel alipofikia George.
Carrie sasa kwa mauno utadhani mtoto wa kizaramo kumbe ni mchaga yeleuuwi.
George alipewa shoo mpaka akomba poo, George analia machozi mpaka yakamkauka, kapiga kelele sauti zote zimekata, akabakia tu na sauti iliokauka anasema nakufaaaaa niacheeeeeeee, Carrie yupo buzy anazidi tu kukazia dozi, akamfunga magoli 7 kijana George yupo hoi, wakalala.
Saa 9 usiku Doreen akashituka, kuangalia hamna James, akaona amemmiss sana beibe wake, akaenda chumbani kwao akakuta bado amelala pale pale chini masikini, akamwinua akampandisha kitandani akamfunika, akaanza kufuta yale matapishi, akadeki chumba,
Saa 9 usiku Doreen akashituka, kuangalia hamna James, akaona amemmiss sana beibe wake, akaenda chumbani kwao akakuta bado amelala pale pale chini masikini, akamwinua akampandisha kitandani akamfunika, akaanza kufuta yale matapishi, akadeki chumba,
akawasha feni pakakauka, akarudi akalala, saa 11 asubuhi James akashituka akajikuta yupo kitandani akamwamsha Doreen, Doreen alikuwa fofofo hana hali alipoona amechoka sana akajikausha hakumwitikia,
James amejaa lakini Doreen haamki, akimsikilizia mapigo ya moyo anaona anapumua kama kawaida akajua amechoka akamwacha akalala, Doreen akatabasamu akijua amesha-win kutokutoa mechi.
Saa 11 asubuhi Chanel akaamka, akakuta amechooka na kichwa kinamuuma, eh akiangalia Pedeshee anakoroma, akainuka kwenda kunywa dawa, akapiga mswali akawa amekaa kwenye kiti anawazua tu, itakuwaje hii triangular love yake na mabwana wawili, je mwisho wake ni nini? Akakumbuka mafundisho ya Carrie akapandisha moyo kichwani, mara Pedeshee ameamka anapapasa hamwoni Chanel, akaamka kumwangalia anamkuta hayupo, eh akamcheki kwenye kiti akamkuta amekaa,
Saa 11 asubuhi Chanel akaamka, akakuta amechooka na kichwa kinamuuma, eh akiangalia Pedeshee anakoroma, akainuka kwenda kunywa dawa, akapiga mswali akawa amekaa kwenye kiti anawazua tu, itakuwaje hii triangular love yake na mabwana wawili, je mwisho wake ni nini? Akakumbuka mafundisho ya Carrie akapandisha moyo kichwani, mara Pedeshee ameamka anapapasa hamwoni Chanel, akaamka kumwangalia anamkuta hayupo, eh akamcheki kwenye kiti akamkuta amekaa,
Pedeshee: akamwuliza vipi tena mbona haulali?
Chanel: hakumjibu.
Pedeshee: akamfuata hapo hapo kwenye kiti akawa anamrudisha aje kulala.
Chanel: akainuka wote wakiwa uchi wa mnyama.
Chanel akamsukuma Pedeshee akaangukia kwenye kiti, mechi ya alfajiri ikaanza.
Chanel alikuwa hodari wa kucheza na gololi, nadhani hiyo ilikuwa zawadi yake toka kwa muumba maana kila akimkamatia Pedeshee mahali hapo Pedeshee lazima agande, akawa amshamjulia wapi pa kumkaba, akawa anacheza na ulingo mmoja, mechi ikaenda wee, Pedeshee Mlugulu wa watu anaongea kilugha Chanel hata haelewi, Chanel anazidi kukazana tu, baadae akapumzika kama dk 15 akaja akamuwashia feni Pedeshee kwenye kiti cha hotel. Feni ikawaka mpaka speed no 5, Pedeshee hana kauli, Dada wa watu kama Yondo sista mara Mbili ya Beli anaongeza speed anapunguza, Shala Mwana style,
Pedeshee akaona anazidi kupaa kwenda juu mara 2 kiti kikavunjika wote wakaanguka chini, ikawa usiku ikawa asubuhi saa 12 asubuhi..
Itaendelea keshoo, Tar 7 August 2018 saa 3 usiku wa Tanzania, usiku mwema perverts!
_________________________________________________________________________________
G. UTAMU WA ASALI
Mark akaamka kwenye usingizi mzito kumtuka Chanel hayupo, akacheki nyumba nzima akakutana na watoto wake wameshaandaliwa kwenda shuleni, akashangaa imekuwaje maana hakuna mtu aliemwona isipokuwa mlinzi tu alimwona akiondoka usiku usiku hakuweza kumwuliza kwanini, Mark akimpigia simu hapatikani.
James akaamka ili kuwahi kazini, majukumu ya taifa, anaipenda kazi yake, saa1 asubuhi ameshafika ofisini.
Doreen amelala, amekimbiwa kwenye ahadi yao ya Doreen kwenda kufahamu ofisini kwake.
Carrie akajikuta ameamkia kwenye ubavu wa George, saa 12 nanusu asubuhi, akakurupuka kwenda kujiandaa na shughuli, maana anaikumbuka ile ahadi yake na Boss kuhusu kupandishwa cheo na leo ndio kikao kinakaliwa kumjadili, ni lazima awahi ofisini kuonyesha uaminifu kwenye kazi.
Kwa Adrienne kukakucha ingawa aliona ni usiku bado, hataki kuamka akakumbuka kuwa ni j3 muda wa kazi, akaamua kupiga simu ofisini kwa boss kuwa anaumwa, hajawahi kutega kazini hata siku moja ofisini wakajua hii ni serious wakampa likizo ya wiki 2. Saa 4 asubuhi akashuka restaurant kunywa chai angalau akutane na jua limpige tu afufuke maana alihisi amekufa.
Akiwa bado anaendelea kunywa chai akaja Yule kijana wa jana wa kule Bill Canas, akaomba kukaa nae, Adrienne akamwangalia hakumjibu, Kijana akajisogeza kama kawaida, akajikalisha, akaanza kumwongelesha, Adrienne ameendeleza ububu.
Kijana hakukata tamaa, Adrienne kimya anakunywa chai kama hamsikii, Kijana akazidi kubwabwaja na kujichekesha na kumchekesha lakini Adrienne bado kaweka uso wa mbuzi.
Baada ya nusu saa Kijana akaitoa ile pochi ambayo Adrienne alikuwa ameisahaua jana usiku, Adrienne hata hakujua kuwa kama ameisahau, akahisi huyu nae mwizi mwingine, akampokonya pochi yake akakuta kila kitu kipo sawa ndani, akamshangaa!
Kijana akamweleza wapi ameitoa ile pochi.
Adrienne akamshukuru akanyamaza.
Kijana bado anazidi kujiongelesha na maswali, Adrienne kimya! Ni kama hamsikii anavyoongea.
Adrienne akawa anapanga yake kichwani, jinsi atapata wapi nyumba ya kuishi, na jinsi ya kuhama pale na kadhalika wa kadhalika.
Mara akasikia habari Kaka, Adrienne mambo? Unaendeleaje? Akaangalia kumbe ni Doreen akafurahi sana.
Doreen anashangaaa Adrienne na huyu kaka, akasogeza kiti cha tatu akakaa akawa anaongea na Adrienne.
Adrienne: Bora umekuja.
Doreen: naona umepata mchumba mwengine, eh upo fasta!
Kijana: akawa anacheka tu anaangalia pembeni
Doreen: samahani kaka, sijapata kufahamu jina lako unaitwa nani?
Kijana: Naitwa Shawn
Doreen: naona umepata mchumba mwengine, eh upo fasta!
Kijana: akawa anacheka tu anaangalia pembeni
Doreen: samahani kaka, sijapata kufahamu jina lako unaitwa nani?
Kijana: Naitwa Shawn
Doreen: oh! habari Shawn, samahani rafkiangu hajisikii vizuri, pole kama amekuboa
Shawn: hapana hajaniboa, niliiokota pochi yake jana Billcanas, nikamletea
Doreen: jana? inamaana umemfuatilia toka jana mpaka huku hotelini umpatie?
Adrienne: akasubiri kusikiliza jibu la Shawn.
Shawn: hapana mimi sio stalker, nikwamba tumekutana hapa hapa hotelini, niliitaka kuipeleka polisi hata hivyo ila na mimi nalala hapa hapa, chumba no … akakitaja
Doreen: oh! Asante kaka Shawn, basi tutaonana tena nadhani!
Shawn: namba yangu hii hapa kama kuna chochote kimepungua au kimepotea mtaniambia nipo tayari kulipa na kujibu tatizo yote.
Shawn akaondoka zake, huku Doreen akamwambia Adrienne jamani hata kumsalimia kaka wa watu amekutunzia pochi yako, eh we Msukuma una roho ngumu jamani?
Adrienne: Bwana niache, kwanza sasa hivi akili yangu haijatulia, nimeshachukua likizo ofisini nitafute nyumba nihame pale siwezi tena kukaa. Naomba nihamishie vitu kwako Doreen mpaka nitakapopata nyumba tafadhali.
Shawn: hapana hajaniboa, niliiokota pochi yake jana Billcanas, nikamletea
Doreen: jana? inamaana umemfuatilia toka jana mpaka huku hotelini umpatie?
Adrienne: akasubiri kusikiliza jibu la Shawn.
Shawn: hapana mimi sio stalker, nikwamba tumekutana hapa hapa hotelini, niliitaka kuipeleka polisi hata hivyo ila na mimi nalala hapa hapa, chumba no … akakitaja
Doreen: oh! Asante kaka Shawn, basi tutaonana tena nadhani!
Shawn: namba yangu hii hapa kama kuna chochote kimepungua au kimepotea mtaniambia nipo tayari kulipa na kujibu tatizo yote.
Shawn akaondoka zake, huku Doreen akamwambia Adrienne jamani hata kumsalimia kaka wa watu amekutunzia pochi yako, eh we Msukuma una roho ngumu jamani?
Adrienne: Bwana niache, kwanza sasa hivi akili yangu haijatulia, nimeshachukua likizo ofisini nitafute nyumba nihame pale siwezi tena kukaa. Naomba nihamishie vitu kwako Doreen mpaka nitakapopata nyumba tafadhali.
Doreen: akakubali wakatafuta dalali awasaidie kupata nyumba. Wakaenda kuchua polisi escot wakahamishia vitu vya Adrienne kwenye nyumba ya Doreen. Wakiwa katika hamisha hamisha
Carrie pale ofisini wafanyakazi wenzake, wale wazee wakaja juu kusikia promoshen yake.
Carrie pale ofisini wafanyakazi wenzake, wale wazee wakaja juu kusikia promoshen yake.
Wafanyakazi wazee: Yani haka katoto kajuzi kameshakuwa Branch Meneja mara hii, sisi tupo hapa bado tuna supervise tu maanake nini?!
Au kaliwa na boss maana hivi vitoto ndio vilivyo tena muone alivyokaa nusu uchi utadhani anakuja kujiuza.
Sikuhiyo Carrie alienda ofisini amepiga umini wa kufa mtu. Kikao kikaisha, boss akamtumia sms mambo yako vizuri kesho unahamia Branch unakuwa Branch Meneja.
Carrie kafurahi, si unajua kupandishwa cheo ni kupandishwa mshahara! Sio kwamba alikuwa na shida saana na hela ila cheo ndio kila kitu kwake, alipenda power!
CHANEL & PEDESHEE:
Mechi ilipoisha, wakaamka wakaoga wote, kila mtu anamwogesha mwenzake, Pedeshee amekolea kwa Chanel hasikii, haambiwi, mechi ya marudiano ikafuata bafuni ila safari hii hawakufunja bomba.
Wakati breakfast Chanel akarudisha mechi, baada ya kunywa chai akachagua kumla pedeshee. Mapenzi yalikuwa juu ya dari, hakuna aliyetaka kumwachia mwenzie hata kwa sekunde. Chanel kuangalia saa, imeshakuwa saa 2 asubuhi, eh akakumbuka anaingia saa 4 ofisini, ikabidi aage anaenda ofisini na jioni atarudi hapo hapo.
Pedeshee: J4 nasafiri nitarudi tar 23 Disemba kabla ya Christmass.
Chanel: Hivi unafanya kazi wapi? Na kazi gani?
Pedeshee: Mimi ni mfanya biashara, nasambaza Pamba nchi nne za Africa, Tanzania ikiwa moja wapo pia anaenda Singapore na Dubai.
Chanel: roho yake ikapumua, lakini hakujua nyuma ya pazia ya hizi biashara anazofanya kuna nini!
Pedeshee akatoa Cheni ya Dhahabu orijino, akamvalisha Chanel, wakati napita Dubai nikaiona, nikakukumbuka nikakununulia, hii ni zawadi yako.
Chanel: akashangaa akaona kama Mungu ameshuka, akambusu akamkumbatia, tuonane jioni natoka saa 4 usiku, naamini utaniandalia dinner.
Pedeshee: naomba nikupeleke ofisini kwako na pia nije kumchukua jioni, sipendi kuona ukiwa unateseka kwenye madaladala kila siku.
Chanel: akakataa akijua tu atakamatwa na Mark siku moja.
Pedeshee: akazidi kukazana kumpeleka, Chanel nae anakomaa hapana nitapanda tu daladala.
Pedeshee: mke wangu hawezi panda daladala hata sikumoja.
Chanel: akakasirika akamsukuma akachukua pochi akakimbia.
Pedeshee: anashangaa kwanini kila akimwambia Chanel kuwa anampenda au akimwita mke wake anakataa, akaduwaa anamwangalia kwa dirishani akitembea kwenda kupanda daladala.
Safaree akaonekana Sea Cliff, amekaa anakunywa na kulewa, akaja Stan kumsalimia.
Stan: Vipi boss Safaree, niaje
Safaree: anamwangalia tu
Stan: boss sasa move ipo wapi leo?
Safaree: ngoja kwanza Christmass ipite nitakuambia maana nasubiria simu kwa Kimaro kwanza
Stan: Sawa boss kwahiyo naruhusiwa kwenda Moshi kuhesabiwa na mimi? Nataka nikawaone wazee kidogo niache hela ya maharage kidogo nichukue na Baraka zao si unajua kazi zetu tunaonekana majumbani kwa nadra sana!
Safaree: sawa wewe nenda tu, ila usiropoke unafanya kazi wapi, waambie unafanya kazi kwenye kampuni ya bima.
Stan: sawa boss nashukuru sana, nakutakia sikukuu njema
Baadae saa 7 mchana, akiwa ofisini bize anafanya kazi zake, akasikia meneja anamwita, Chanel kuna mgeni wako, akafika akakuta ni Pedeshee, akamvuta nje akamwuliza umekujaje huku? Umenifuatilia au?
Pedeshee: ndio nimekufuatilia usije ukadhurika
Chanel: akakasirika, haya niambie unataka nini?
Pedeshee: twende sehemu moja kuna kitu nataka kukuonyesha.
Chanel: hapanaa mimi nipo ofisini sitaweza, unajua hii kazi ndio kila kitu kwangu.
Pedeshee: akambembeleza sana mpaka Chanel akakubali, wakaondoka hao kuelekea Posta Mpya. Njia nzima Chanel analalamika sasa huku posta unanichelewesha hata sijala lunch jamani saa 8 natakiwa ofisini
Safaree akaonekana Sea Cliff, amekaa anakunywa na kulewa, akaja Stan kumsalimia.
Stan: Vipi boss Safaree, niaje
Safaree: anamwangalia tu
Stan: boss sasa move ipo wapi leo?
Safaree: ngoja kwanza Christmass ipite nitakuambia maana nasubiria simu kwa Kimaro kwanza
Stan: Sawa boss kwahiyo naruhusiwa kwenda Moshi kuhesabiwa na mimi? Nataka nikawaone wazee kidogo niache hela ya maharage kidogo nichukue na Baraka zao si unajua kazi zetu tunaonekana majumbani kwa nadra sana!
Safaree: sawa wewe nenda tu, ila usiropoke unafanya kazi wapi, waambie unafanya kazi kwenye kampuni ya bima.
Stan: sawa boss nashukuru sana, nakutakia sikukuu njema
Baadae saa 7 mchana, akiwa ofisini bize anafanya kazi zake, akasikia meneja anamwita, Chanel kuna mgeni wako, akafika akakuta ni Pedeshee, akamvuta nje akamwuliza umekujaje huku? Umenifuatilia au?
Pedeshee: ndio nimekufuatilia usije ukadhurika
Chanel: akakasirika, haya niambie unataka nini?
Pedeshee: twende sehemu moja kuna kitu nataka kukuonyesha.
Chanel: hapanaa mimi nipo ofisini sitaweza, unajua hii kazi ndio kila kitu kwangu.
Pedeshee: akambembeleza sana mpaka Chanel akakubali, wakaondoka hao kuelekea Posta Mpya. Njia nzima Chanel analalamika sasa huku posta unanichelewesha hata sijala lunch jamani saa 8 natakiwa ofisini
Pedeshee: akaanza kumbusu busu, tulia mpenzi tunakaribia kufika.
Chanel: amevimba kanuna anajiambia hizi mechi za mchana bwana ni sheedah
Chanel: amevimba kanuna anajiambia hizi mechi za mchana bwana ni sheedah
Walipofika wakashuka, eh kumbe ni CMC Landrover, Chanel akachoka, wakaingia ndani, kumbe Pedeshee ameshafanya malipo ni yeye tu kuchagua gari, Chanel kusikia ameambiwa kuchagua gari, kizunguzungu kikamshika akazimia akaanguka chini.
NAWATAKIA SIKUKUU NJEMA YA NANE NANE WATANZANIA WOTE
#HAPAKAZITU!
_________________________________________________________________________________
SEHEMU YA 3
A. LIMAO NA 40 YA FUMANIZI
Chezea CMC Land Rover wewe!
Chanel mtoto wa Igunga Tabora, CMC kwake ni kama kupelekwa Macca au Mbinguni. Hajawahi hata kufikiria kuwa ataingia humo lakini sasa ananunuliwa gari hapo ndio alizidi kuchoka.
Staff wa CMC pamoja na Pedeshee wakaonekana wakimpepea Chanel ili aamke wakisahau ofisi zao zina a/c kubwa kama a/c ya mochwari.
Pedeshee amechanganyikiwa akidhania Chanel amekufa, akaanza kuhaha, baadae Chanel wa watu akazinduka akapewa maji ya kunywa akakaa kwanza apumue, alipochangamka ikabidi Pedeshee amweleweshe pole pole kama mtoto wa chekechea, ndio akaelewa akaenda akachagua Land Rover Discover 3.
Mtoto wa Tabora hakuamini, alijua kama anaota ile ndoto ya mara ya kwanza, akarudishwa ofisini anatetemeka, maana alishapanga anahama ile nyumba aliokuwa anakaa ili asiwagonganishe wale wanaume wawili.
Doreen na Adrienne walipomaliza kuhama, Adrienne akamwuliza nasikia unaenda kijijini? Waenda lini? Doreen akajibu tarehe 23 natakiwa niwe nyumbani.
Doreen na Adrienne walipomaliza kuhama, Adrienne akamwuliza nasikia unaenda kijijini? Waenda lini? Doreen akajibu tarehe 23 natakiwa niwe nyumbani.
Adrienne: naomba nikusindikize maana sina cha kufanya na wazazi hawapo na kukaa hotelini bora niende na wewe nipate kampani, wakakubaliana Adrienne akarudi hotelini.
Huku Sea Cliff Safaree akakutwa na Shawn, wakafurahi kuonana, wakasalimiana kumbe wanafahamiana, ila hawajui kama wanamfahamu mtoto Adrienne. Wakiwa katika maongezi yao ya kukumbushana ya nyuma tangu walipoonana na nini Shawn akamwambia unatakiwa kwenda Dubai kwa Kimaro tarehe 24, akampatia na ticket za ndege za watu 2 kwenda Dubai na ticket za kwenda Mexico atazikuta kwa Kimaro, maana January 2 alitakiwa Mexico wakashikilie na Kimaro kwani Lucifer anakuja huku Tanzania. Akamwambia utaenda na mwanao Stan, mimi nabakia huku na agent mwingine ambaye yupo tayari siku nyingi tunaandaa ofisi ya boss.
Huku Sea Cliff Safaree akakutwa na Shawn, wakafurahi kuonana, wakasalimiana kumbe wanafahamiana, ila hawajui kama wanamfahamu mtoto Adrienne. Wakiwa katika maongezi yao ya kukumbushana ya nyuma tangu walipoonana na nini Shawn akamwambia unatakiwa kwenda Dubai kwa Kimaro tarehe 24, akampatia na ticket za ndege za watu 2 kwenda Dubai na ticket za kwenda Mexico atazikuta kwa Kimaro, maana January 2 alitakiwa Mexico wakashikilie na Kimaro kwani Lucifer anakuja huku Tanzania. Akamwambia utaenda na mwanao Stan, mimi nabakia huku na agent mwingine ambaye yupo tayari siku nyingi tunaandaa ofisi ya boss.
Safaree: akawa anatamani kumjua agent huyo ni nani?
Walipoagana Safaree akaondoka akaenda nyumbani kwa Adrienne kufanya vurugu ya mwisho, akakuta hamna mtu na nyumba iko tupu, baadae anaona mlinzi wa nyumba na mwenye nyumba wanakuja kufanya usafi na wamama wa usafi na mafundi,
Mwenyenyumba: nikusaidie nini kaka naona upo kwenye nyumba yangu
Safaree: namwulizia huyu dada aliyekuwa hapa, jana nilikuwa nae leo imekuwaje
Mwenyenyumba: sijui, mpigie simu.
Safaree: oh! Haya asante, akaondoka zake, huku anawaza atampata wapi Adrienne amfanyie tukio la mwisho akiamini hatomwona tena.
Walipoagana Safaree akaondoka akaenda nyumbani kwa Adrienne kufanya vurugu ya mwisho, akakuta hamna mtu na nyumba iko tupu, baadae anaona mlinzi wa nyumba na mwenye nyumba wanakuja kufanya usafi na wamama wa usafi na mafundi,
Mwenyenyumba: nikusaidie nini kaka naona upo kwenye nyumba yangu
Safaree: namwulizia huyu dada aliyekuwa hapa, jana nilikuwa nae leo imekuwaje
Mwenyenyumba: sijui, mpigie simu.
Safaree: oh! Haya asante, akaondoka zake, huku anawaza atampata wapi Adrienne amfanyie tukio la mwisho akiamini hatomwona tena.
Akaona bora aende kule kule Kilimanjaro hotel akamcheki, huenda atamwona lakini hakumwona akaamua amsubirie.
Kumbe Adrienne alikuwa ameshafika amelala chumbani kwake hataki usumbufu anawazua itakuwaje.
Ahaa, Bwana Safaree, kumbe na wewe unaweka kambi hapa? Sikujua unakaa chumba gani? Safaree kugeuka kumbe ni Shawn, akajikausha hapana kuna mtu nimekuja kumwona simpati hata kwenye simu, wakawa wamekaa wanakunywa mpaka saa 5 usiku wakaondoka kila mtu na kwake, lakini Safaree hakuondoka alijificha hapo hapo hotelini akiwa na hamu na Adrienne amharibu bila mafanikio.
Ahaa, Bwana Safaree, kumbe na wewe unaweka kambi hapa? Sikujua unakaa chumba gani? Safaree kugeuka kumbe ni Shawn, akajikausha hapana kuna mtu nimekuja kumwona simpati hata kwenye simu, wakawa wamekaa wanakunywa mpaka saa 5 usiku wakaondoka kila mtu na kwake, lakini Safaree hakuondoka alijificha hapo hapo hotelini akiwa na hamu na Adrienne amharibu bila mafanikio.
Safaree: Demu mngese sana huyu, kaniitia polisi, je ningewekwa ndani ingekuwaje? Si ningekamatwa maana sura yangu ipo wanted huko Polisi.
Carrie akarudi hotelini kwa George kumwambia amepandishwa cheo, wakafurahi wote.
Carrie akarudi hotelini kwa George kumwambia amepandishwa cheo, wakafurahi wote.
George: kweli huu ni muda wa celebration, wakaagiza Champaigne wakanywa huku wanagonga cheers to the New Branch Manager.
Carrie: ama kweli mauno ni noma kama utajua kuyatumia.
Katika maongezi yake na George;
George: sasa bebii mimi nimeshafikia umri wa kuoa, nimechoka kukimbia hapa na pale, nataka ni settle down, unaonaje mpenzi wangu.
Carrie: akapaliwa, sio kwa lile proposal, akamwangalia tu akamwitikia mhh!
George: kama tutaoana mwakani 2008 na Mungu akatujalia watoto wa kike na kiume itakuwa raha, tutakuwa tunaishi Tanzania na Africa Kusini! Kule nina nyumba na partner wa hotel 3 kubwa, unaonaje Christmass twende wote Afrika kusini ukafahamu mali zako?
Ikiwezekana Weekend hii, maana j3 ni sikukuu tukiondoka jumamosi.
Carrie: akamkatisha hapo hapo, kusema kweli jumamosi nina harusi ya rafiki yangu Caroline, haitawezekana kwenda jumamosi labda j2. Wakakubalia..
Bibie mashepu Doreen akaonekana nae amejaa mawazo nyumbani kwake akimhurumia Adrienne na mambo yaliyompata, akaumia kweli, akiwa amekaa barazani, akaja James kutoka kazini ameshikilia dinner mkononi!
Bibie mashepu Doreen akaonekana nae amejaa mawazo nyumbani kwake akimhurumia Adrienne na mambo yaliyompata, akaumia kweli, akiwa amekaa barazani, akaja James kutoka kazini ameshikilia dinner mkononi!
Doreen: amekasirika kwanini James kamkimbia asubuhi hakumpeleka ofisini kwake.
James: akaomba msamaha lakini wapi, Doreen kajivimbisha kwa kununa.
James: amechoka anajaribu kumbembeleza, unajua kazini wiki hii nipo buzy boss anakuja Januari ndio naweka mambo sawa, hata muda wa kukuonyesha mazingira sina!
Doreen: anamwangalia tu. Akaishia kumwambia asante kwa chakula lakini sina njaa nimeshakula nilikuwa na Adrienne ameleta vitu vyake viko garage namhifadhia mpaka atakapopata nyumba na pia j5 anahamia hapa kwetu, kwahio tutakuwa na mgeni mpaka January.
James kusikia vile akachoka kabisa!
Doreen: Tar 23 nasafiri naenda kwetu Singida, naomba unisaidie milioni 3 nikale sikukuu na wazazi.
James: mmh! sawa mpenzi.
Doreen: akaingia kulala akamwacha James anamshangaa!
Mchana kutwa alionekana Mark akimtafuta Chanel bila mafanikio, alifika nyumbani kwake akakuta hayupo, kuwauliza majirani akaambiwa hayupo alitoka na kijana mwingine akatoka baadae hawajarudi tena.
Mark: akashtuka kijana? akawauliza yupoje? Wakajaribu kumwelezea lakini wapi! Akaomba namba ya Yule jirani akapewa akaacha na namba yake kwa jirani kuwa wakifika tu ampigie atakuja akaachiwa elfu 20, jirani akafurahi sana akaona hapa hapa!
Mark: Saa 2 usiku akampigia Chanel akampata, mpenzi uko wapi sijakusikia tangu jana?
Chanel: nimetoka kazini naelekea nyumbani?
Mark: utafika saa ngapi?
Chanel: baada ya nusu saa nitakuwa hapo. Mark akatangulia kwa Chanel, alipofika tu Chanel anashangaa kumwona Mark mlangoni;
Chanel: vepee mbona upo mlangoni kama mlinzi.
Mark: leo nimekuja kulala kwako.
Chanel: akachoka, mbona kama ndoto yake inatimia tenaa!
Mark: alikomaa kubaki kwa Chanel, watoto wameachwa na bibi yao nyumbani kwake, walipoingia ndani Mark akaingia kuoga, kuangalia kabatini anakuta begi lina nguo za kiume, akamwuliza hizi nguo za nani?
Chanel: nguo za kaka yangu!
Mark: alikomaa kubaki kwa Chanel, watoto wameachwa na bibi yao nyumbani kwake, walipoingia ndani Mark akaingia kuoga, kuangalia kabatini anakuta begi lina nguo za kiume, akamwuliza hizi nguo za nani?
Chanel: nguo za kaka yangu!
Mark: kaka yako yupi nilidhani kuwa wewe ulizaliwa mwenyewe?
Chanel: mtoto wa baba yangu mkubwa amekuja kunisalimia
Mark: yuko wapi sasa?
Chanel: ameenda kwa shangazi yake kusalimia, moyoni anaomba Mungu Pedeshee asirudi.
Mara anaona Chanel amevaa chain ya dhababu, akamwuliza na hii umepata wapi?
Chanel: mtoto wa baba yangu mkubwa amekuja kunisalimia
Mark: yuko wapi sasa?
Chanel: ameenda kwa shangazi yake kusalimia, moyoni anaomba Mungu Pedeshee asirudi.
Mara anaona Chanel amevaa chain ya dhababu, akamwuliza na hii umepata wapi?
Chanel: akamdanganya amenipa Adrienne zawadi yangu ya Christmass.
Mark akamwangalia tu, maana majibu yake hayaeleweki.
Simu ikawa inapigwa ya Chanel, Mark akamwambia leo hata simu yako unaogopa kupokea? Pokea basi!
Simu ikawa inapigwa ya Chanel, Mark akamwambia leo hata simu yako unaogopa kupokea? Pokea basi!
Chanel: ah! iache kuna dada ofisini ananibipu nilimwambia anibipu nitaisave namba yake.
Mark: anamwangalia tu. Simu imepigwa zaidi ya mara 10, Chanel anaiangalia kumbe ni Pedeshee, akawa anasali Pedeshee asije pale.
Huku nyuma Pedeshee akawa amempitia ofisini Chanel kwa muda alioambiwa, kumbe Chanel ameshafika nyumbani, akaenda kumwangalia ofisini akaambiwa ofisi ishafungwa muda sana.
Huku nyuma Pedeshee akawa amempitia ofisini Chanel kwa muda alioambiwa, kumbe Chanel ameshafika nyumbani, akaenda kumwangalia ofisini akaambiwa ofisi ishafungwa muda sana.
Pedeshee: ah! sasa huyu mtoto kaenda wapi au karudi nyumbani nini? Akaona ngoja kwanza aende hotelini kumcheki akimkosa atarudi nyumbani kwa Chanel. Kufika hotelini Chanel hayupo, kurudi nyumbani kwake Chanel akakuta taa zinawaka akajua yupo, Yule jirani akamwona Pedeshee akachukua simu yake haraka akamtumia meseji Mark.
Jirani: we kaka, kaka Yule kijana niliemwona na Chanel yupo nje anaingia ndani sasa hivi kwa Chanel.
Mark: akaisoma akaingia bafuni kuoga kabisa, akakaa bafuni hakutaka kutoka.
Chanel: anapaniki afanyaje, mara akasikia mlango wa chumbani walipo unafunguliwa.
Pedeshee huyo akaingia, ah mpenzi kumbe uko huku, mbona haujapokea simu?!
Chanel: kesha changanyikiwa hajui ajibu nini, mara Mark anatoka uchi wa mnyama bafuni anasema baby naomba taulo hapo kwenye kabati nimesahau. Mh! Chanel nguvu zikamwisha ikabidi akae kitandani.
Mark: anashangaa kuna mwanaume mwengine chumbani, eh kuna nini? na huyu nani? Kaka mbona unavamia nyumba za watu? We ni nani?
Pedeshee: mimi labda nikuulize wewe ni nani unafanya nini chumbani kwa mke wangu?
Mark: mke wako? Kwani Chanel umeolewa?
Chanel: kimyaa anawaangalia kama tahira, hana la kusema, kuzimia anataka lakini hazimii ila leo Mungu naona alimpa kisogo.
Mark: kaka embu toka bwana au nikuitie mwizi?
Pedeshee: mimi sitoki hapa ni kwangu, si unaona hizi nguo kabatini zote ni zangu
Wote wakawa wanamwuliza Chanel huyu ni nani lakini mbona anatuingilia, Chanel kimya, wanamshangaa we vipi leo hauongei umekuwa bubu?!
Mark: anashangaa kuna mwanaume mwengine chumbani, eh kuna nini? na huyu nani? Kaka mbona unavamia nyumba za watu? We ni nani?
Pedeshee: mimi labda nikuulize wewe ni nani unafanya nini chumbani kwa mke wangu?
Mark: mke wako? Kwani Chanel umeolewa?
Chanel: kimyaa anawaangalia kama tahira, hana la kusema, kuzimia anataka lakini hazimii ila leo Mungu naona alimpa kisogo.
Mark: kaka embu toka bwana au nikuitie mwizi?
Pedeshee: mimi sitoki hapa ni kwangu, si unaona hizi nguo kabatini zote ni zangu
Wote wakawa wanamwuliza Chanel huyu ni nani lakini mbona anatuingilia, Chanel kimya, wanamshangaa we vipi leo hauongei umekuwa bubu?!
Chanel: kimya, baadae akaona ukimya hausaidii, akaamua kuwa mkweli, nyie wote ni wapenzi wangu!
_________________________________________________________________________________
B. LIMAO YA FUMANIZI NA ASALI YA NDOA
Pedeshee & Mark: yani sisi wote wapenzi wako? Kivipi?
Unawezaje kutuchanganya wanaume wawili kwa wakati mmoja
Chanel: Ndio hivyo! Kabla sijakutana na Pedeshee nilishamfahamu Mark ana akawa amenipenda, nilipokutana na Pedeshee akanipenda pia nikashindwa kujigawa!
Pedeshee: mamii upo sawa kweli? Akaenda kumshika mkono Chanel, ina maana mimi sitoshi mpaka umeenda kumchukua huyu bwege
Mark: oya wee usinizingue, nani bwege? Embu mwachie mke wangu, Chanel embu mwondoe huyu house boy wako hapa.
Pedeshee: nani house boy? akamshika Mark akaanza kumpiga
Mark: ndio wewe ni houseboy mnuka mikojo tu, huku wanarushiana ngumi
Pedeshee & Mark: ngumi zikapigwa za kufa mtu, taulo la mark chini, Pedeshee anataka kumchapa ngumi kwenye machine ya Mark, Mark akamponyoka, Pedeshee akapigwa ngumi, ngumi zikaendelea mara kitandani mara ukutani mara chupa mara taa ya mezani wanarudhiana, Chanel akaona isiwe shida akatoka chumbani akaenda kukaa sebuleni.
Baada ya nusu saa akatoka Pedeshee akabakia Mark chumbani, wote wameumuka usoni kama wacheza mieleka, Pedeshee akamfuata Chanel ili aongee nae.
Pedeshee: umeona vituko unavyovifanya, mimi sijawahi kumpigania mwanamke yoyote tangu kuzaliwa kwangu, umeona nilivyoumizwa
Chanel: akataka kuongea mara Mark nae huyo ameshavaa nguo anajiandaa kutoka anamalizia kuvaa kiatu
Mark: hauwezi kunichanganya na huyu mchimba chumvi kwanza ananuka, mimi sigombanii mwanamke mbele ya mwanaume mwenzangu, wewe kama vipi baki na huyu emolo wako, utanitafuta nakwambia.
Pedeshee: akawa anamwangalia Mark anavyomwongelea vibaya, we boya unajua nitakuchapa kama Goliath wewe niletee urefu wako nitakuumiza hautanisahau, kwenda zako umaskini tu unakusumbua, kwanza una kitu gani cha kumpa huyu binti, hii ndio nyumba unajitambia umempangishia? Huna maana mtoto kama huyu unamwekaje nyumba ya kupanga? kama kweli wewe mwanaume mnunulie nyumba basi, sio anateseka na jua, huo ndio uanaume, sio wewe jike dume!
Mark: kumbe huyu umempendea hela?, basi mimi naondoka na umasikini wangu kaa na tajiri yako kafupi kama msukule akutoe kafara na usinitafute tena. Akatoka nje akaondoka.
Pedeshee: Nenda bwana, hauhitajiki hapa, Pedeshee kujifanya yeye kidume anamsogelea Chanel anaanza kumbembeleza. Baby samahani kwa fujo zilizotokea, mimi nakupenda kweli hata sijui kwanini ulikuwa unapoteza muda na huyu zuzu, kwanza hakusaidii chochote anakuzeesha mtoto mzuri kama wewe haifai kuzeeka bado mbichi, huku anampeti peti Chanel.
Chanel: yupo kimya. Baada ya muda akaamua kuongea, Pedeshee, naomba utoke kwangu kwa sasa nataka kukaa pekeyangu, kakae hotelini nitakutafuta nikitulia sasa hivi nataka kulala nimechoka
Pedeshee: mpenzi siwezi kukuacha pekeyako na huyu jambazi atarudi kukumaliuza maana anaonekana ana uchu sana. Alafu baby ile gari yako ipo tayari risiti hii hapa kesho tutaenda wote kuichukua pale cmc
Chanel: ivi Mario haunielewi au? Naomba uondoke sitaki kukuona, nenda na magari yako ondoka, akaanza kumfukuza, anamsukuma atoke nje, akarudi chumbani akaenda kubeba nguo zote za Mario akamtupia nje, sitaki kukuona toka, majirani wamejaa nje wanashangaa leo kuna nini kwa Chanel, amepata mashetani au?
Pedeshee: sawa mpenzi nitakutafuta pole kwa usumbufu, akaiacha ile risiti mezangu akabeba nguo zake akaondoka.
Yule jirani aliopewa hela na Mark akamfuata Mark wakati anatoka akamwuliza vipi kaka kuna nini mbona tunasikia kelele?
Mark akampita Yule jirani kama hamjui akawasha gari akaondoka.
Pedeshee nae ikabidi arudi tu hotelini akaenda akiwazua huku anaumia; kwakweli ulikuwa usiku wa giza nene kwa Pedeshee na Mark ingawa Chanel kwake haikumsumbua kabisaa, akafunga mlango wake akaingia kulala.
Usiku ulipoingia, George akaoda special service ya massage kwa Carrie kule hotelini, wakaja wakafanyiwa massage baadae wakazama kwenye Jacuzzi hot tub, malavi davi yakaanza, carrie kama kawaida mauno kwa kwenda mbele humo humo kwenye Jacuzzi, huku wanapata champaigne, mauno yakampagawisha sana George mechi ikaanza Carrie akamfunga George magoli 3, George hoi. Carrie alifurahi sana kupata kile cheo akaona arudishe shukrani na furaha yake kwa kumweka sawa George asigundue chochote.
Wiki ikaisha, Doreen ahajawasiliana na James tena, kwa maana tangu amnunie siku ile James hakurudi tena kwa Doreen, Adrienne nae alijifungia hotelini kwa hofu ya Safaree, akamwomba Doreen akae nae hotelini mpaka siku ya kuondoka kwenda kijijini.
Chanel nae hakuwatafuta wapenzi wake tena, akawa anaenda kazini asubuhi na daladala anarudi usiku na taxi.
Carrie kwa malavi davi yake yakamchanganya George wake, Branch Manager kapata dhahabu mbili kwa wakati mmoja.
Weekend ikawadi: harusi ya Caroline na bonge la bwana, Carrie akawa anahamu sana ya kwenda kwenye harusi kuliko Doreen, Adrienne na Chanel kwasababu sasa alikuwa amepata bonge la bwana kuliko Caroline, akawa na usongo wa kumringishia, wenzake walikuwa hawataki hata kwenda, basi tu na hivi hata hawana mabwana wakajivuta hivyo hivyo wakaishia kukaa meza moja ya wadada singo wakati Carrie kawekwa meza ya couples na George.
Bonge la harusi, harusi ina bendi, Mc mchangamfu, Diamond Jubilee VIP Hall, Carrie anajishaua miziki yote anaenda kucheza mbele na George ilimradi tu bwana harusi aone alichomiss kwake, huku Doreen, Chanel na Adriene wanatamanai waondoke maana wanaona kizunguzungu.
Baadae Carrie akaja kukaa nao anawauliza wanaendeleaje, akawaeleza amepata promoshen ofisini amekuwa Branch Manager na pale Makao Makuu amehamishwa.
Wenzake wakamwonea raha, wakampongeza, akawaeleza kuhusu mahusiano yake na George ipo exclusive na ameshamuandika kuwa mrithi wa mali zake Africa kusini kwahiyo soon wataoana.
Wenzake wanamwangalia tu wameduwaa wanatoa hongera huku wana machungu yao, akawa anawashangaa mbona hawana raha?
Doreen: Wiki ijayo naenda kijijini kuona wazazi.
Adrienne: Na mimi naenda nae nikikaa huku Dar nitakufa, Safaree ananitafuta maana alitaka kuninyonga hotelini.
Wote: Wanashangaa, alitaka kukunyonga? Ukafanyaje?
Adrienne: Nikaita watu wa hotel wakaja wakamtoa nikabadilisha chumba nilichokuwa nalala, akawahadithia mpaka alipoenda kuhamisha vitu akapeleka kwa Doreen ila anashindwa kuhamia na Doreen kwasababu ya mahubiri ya James, anaona hatoweza kuharibu uhusiano wa Doreen na James.
Chanel: doh pole sana, by the way, nina cha kuwaeleza, nadhani nimeshakuwa singo tena, akawaeleza kuhusu fumanizi lake na wanaume wake wa 2.
Wenzake wakamshangaa, wakamwuliza ukafanyaje?
Chanel: Akawaeleza alichokifanya, wakamwuliza sasa umebakia na nani?
Carrie: akadakia na hilo gari vepee? Kama haulitaki nipe mimi!
Chanel: akacheka sana, naomba nikalichukue uendeshe, mimi nataka kwenda na akina Doreen kijijini maana huku mjini kushanuka, nikapanue akili.
Carrie: lakini umenunuliwa gari unajua kuendesha? kama unajua kuendesha au mmoja wenu anajua nendeni na hilo gari basi!
Wote: Tuende Singida na Land Rover? Na ule Mlima Kitonga je?!
Chanel: Never kwanza hata gari sijui kuliendesha, j3 naenda kulichukua nakukupatia Carrie upige nalo round unitunzie mpaka nitakapojua kuendesha nitalichukua, wakakubaliana siku ikaisha.
Safaree akaonekana airport akisafiri na mwanafunzi wake Stan wanaondoka kuelekea Dubai, Safaree amejaa furaha anaona ndoto yake inatimia na maneno ya mganga yanatimia.
Stan hajawahi kupanda ndege ndio mara yake ya kwanza, wanacheka cheka tu na kuongea kidhungu kama sio watanzania, Shawn akawasindikiza akawapa tafu, wakaagana akarudi hotelini kumtafuta mrembo Adrienne.
Kufika hotelini akamkuta Adrienne anakunywa chai, akamganda tena, anamwongelesha weee Adrienne anamwangalia kama sanamu hamjibu, Shawn anazidi kukomaa na Adrienne lakini wapi! Baadae Shawn akaamua kumchekesha Adrienne ikabidi acheke tu, ndipo hapo walianza kuongea na Shawn, wakaanza urafiki, wakawa wakionekana kwenye Dinner, Lunch, Mjini, wanazunguka wote wanaongea wanataniana wanacheka.
Adrienne akaanza kupata nuru usoni maana alikuwa amevimba na kulia kila siku kama mjane, akashukuru kumfahamu Shawn kwa kipindi kile kigumu.
Jumapili Carrie na George haooo wakadondoka kuelekea Kusini mwa Africa, wakiwa Airport ya Afrika kusini wanasubiri mizigo yao itoke, George akapiga goti akamwomba Carrie amuoe, Carrie akashtuka, watu pembeni wanamwangalia, wengine wanapiga makofi, picha.
Carrie: hakuamini, anaona kama anaota, akakubali, Yes, of course I will marry you.
George akafurahi, waka-kiss.
TUONANE LEO TAR 10 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
________________________________________________________________________________
Adrienne: Shawn mimi nasafiri na marafiki zangu kwenda kijijini kusalimia wazazi wa Doreen.
Shawn: Mnaendaje?
Adrienne: Tunaenda na mabus ya mkoa,
Mmasai Shawn kupenda masifa akamwomba awapeleke na gari, Adrienne akakataa, mmasai aka-insist awapeleke.
Adrienne: Lakini safari ni ndefu utaweza kweli kuendesha gari?
Shawn: anajigamba mimi tena, hapa ni full mass nondo, wakacheka.
Adrienne: Ngoja nitaongea na Chanel naona ana gari jipya kama atakubali twende nalo.
Adrienne: Ngoja nitaongea na Chanel naona ana gari jipya kama atakubali twende nalo.
AFRIKA KUSINI
Huko bondeni malavi davi kwa sana, George hataki kumwachia Carrie na hivyo hivyo kwa Carrie utadhani bolt na nut, wamegandana kama bigijii na meza.
Huko bondeni malavi davi kwa sana, George hataki kumwachia Carrie na hivyo hivyo kwa Carrie utadhani bolt na nut, wamegandana kama bigijii na meza.
Carrie ameshaonyeshwa mali zote za George za Africa kusini, kesharithishwa kila mali za George.
Carrie akamwelezea kuhusu assets zake za Tanzania.George akamtania kumbe na mimi mkali ee? Akawa anajitamba.
George akamwelekeza ku invest katika hisa, akamwambia kuna hisa zinauzwa Tanzania nataka kwenda kuzinunua, unaonaje ukiuza bar zako nakampuni ya usafi ukaziweka baadhi ya pesa kwenye hisa na ukanunua nyumba ukapangisha? Maana umesema kuendesha bar inakusumbua na watu wa usafi sio yakinifu katika kazi, we mtoto mzuri hautakiwi kukaa kwenye jua tena na huu mri wako, unatakiwa uwe na akaunt Swizz Bank tayari, Invest Big achana na akili ndogo.
Carrie akawa mdogo anasikiliza darasa, mmakua ana nondo za investment kama nini.
Carrie: Sasa tunafanyaje na harusi? Inafanyika Tanzania au hapa? Maana hata sijawaambia wazazi wangu na lazima nikupeleke kijijini kwetu wazazi wakakuone na dada zangu.
George: Wazazi wangu watafurahi kuja Tanzania wamekaa huku zaidi ya miaka 20, na nimeshawanunualia nyumba Tanzania, harusi itabidi ifanyike Tanzania lakini Mwakani, kwa sasa tumeshachelewa kujipanga, ila Christmass itabidi tule wote huku na wazazi wakufahamu mkwe wao, wakapanga na kupangua na mechi juu.
Doreen: akaonekana amekaa mwenyewe nyumbani, upweke umemjaa, imeshapita wiki hajamsikia James, akitaka kumpigia roho inasita, akakumbuka zile mil 3 alizomuomba, akaona akipiga kumkumbushia mil 3 ataonekana low class na yeye hakutaka, akampigia Adrienne kumwomba amsaidie mil 3.
Doreen: akaonekana amekaa mwenyewe nyumbani, upweke umemjaa, imeshapita wiki hajamsikia James, akitaka kumpigia roho inasita, akakumbuka zile mil 3 alizomuomba, akaona akipiga kumkumbushia mil 3 ataonekana low class na yeye hakutaka, akampigia Adrienne kumwomba amsaidie mil 3.
Adrienne: Poa, alafu Shawn anataka kuja kwenye safari yetu, amekubali kutuendesha mpaka Singida ila na mimi nitamsaidia ongea na bibie Chanel twende na gari yake.
Doreen: Shawn yupi tena?
Adrienne: akamkumbushia.
Doreen: akacheka sana, shogangu una kismati, juzi tu hata wiki 2 hazijapita ulikuwa kama mjane unalia lia leo unacheka, mmeshakulana nini!?
Adrienne: bwana tutaongea tukionana mpenzi, kwahiyo kesho kutwa safari saa ngapi?
Doreen: alfajiri saa 12 na uache uvivu uamke mapema huyo bwana akuamshe mapema, kule ni mbali. Mimi nitakuwa na Chanel hapa kwangu maana kesharudisha nyumba anatafuta nyumba nyingine, kwa sasa amelala, mchana anaingia kazini, leo siku ya mwisho kwake anachukua likizo kesho akiamka nitampa ujumbe wako. Wakamaliza kuongea simu ikakatwa.
Adrienne: bwana tutaongea tukionana mpenzi, kwahiyo kesho kutwa safari saa ngapi?
Doreen: alfajiri saa 12 na uache uvivu uamke mapema huyo bwana akuamshe mapema, kule ni mbali. Mimi nitakuwa na Chanel hapa kwangu maana kesharudisha nyumba anatafuta nyumba nyingine, kwa sasa amelala, mchana anaingia kazini, leo siku ya mwisho kwake anachukua likizo kesho akiamka nitampa ujumbe wako. Wakamaliza kuongea simu ikakatwa.
Chanel: nikiamka utaniambia nini? Anamwuliza Doreen
Doreen: akamwelezea yote ambayo Adrienne alimwambia, unajua Adrienne keshapata bwana wa Kimasai anaitwa Shawn, na amejitolea kutuendesha na gari yako mpaka Singida na kurudi
Chanel: akaweka mikono kichwani, che! Si juzi tu alikuwa analia? Kweli huyu Msukuma ana nyota kali! Am happy for her lakini, gari ipo kwa Carrie ila ameniachia funguo ya nyumba yake, itabidi nikachukue funguo wa gari nyumbani kwa Carrie nimpelekee Adrienne nikamwone na huyo shemeji wa wiki 1. I hope hatozingua tena huyu shogako Adrienne
Doreen: Na wewe inakuwaje? kuhusu issue yako? Unataka kuwa bibi kizee (spinster) kama mimi?
Chanel: bwana sitaki kuongelea hili swala la hao mabwana, nimewarusha ndege wote juu atakayerudi atakuwa wa kwangu. Mara simu ya Chanel ikaita, kuangalia ni Pedeshee, akaipokea akamweka loud speaker, nambie Marion, naona leo umenikumbuka.
Pedeshee: baby sijalala wiki nzima nakuwaza wewe tu, sina raha kabisa, yani nakupend…. Ile hajamalizia sentensi Chanel kusikia neno nakupe… akamkatia simu.
Doreen: wewe vipi mbona umemmkatia simu mwenzio? Una kichaa au?
Chanel: yani nikilisikia neno Nakupenda kwa mara nyingine tena nahisi ningetapika, what is Love?! am beginning to resent LOVE!
Doreen: mwenzetu una trust issues ikija kwenye swala la mapenzi!
Haya mapenzi yamekufanya nini lakini rafiki yangu?
Chanel akamwelezea wapi waliagana na neno nakupenda. Na hakutaka kuonana nalo tena maana lilimtesa vibaya mno, yeye yupo radhi ale raha ila asiambiwe nakupenda.
Doreen akajaribu kuongea nae na kumwelewesha kuhusu mapenzi na upendo na yafananayo, akamwambia sasa ulienda kumwomba Mungu akupe gogo au chuma? Utaingiaje kwenye ndoa kama haupendwi, kwani wewe ni mtumwa au changudoa?,
Doreen akajaribu kuongea nae na kumwelewesha kuhusu mapenzi na upendo na yafananayo, akamwambia sasa ulienda kumwomba Mungu akupe gogo au chuma? Utaingiaje kwenye ndoa kama haupendwi, kwani wewe ni mtumwa au changudoa?,
Chanel darasa likaanza kumkolea, kwahiyo ukiambiwa nakupenda unajibuje tena huku anacheka?
Doreen: unajibu nakupenda pia.
Chanel: mbavu hana!
Doreen: Unaona sasa? Kumbe sio mbaya ee si unaona mpaka unacheka unapendeza usoni unang’aa.
Niambie, kati ya hawa mabwana wawili nani anakupenda zaidi?
Chanel: kiukweli Pedeshee naona ananipenda zaidi, ila sasa sijui ukweli kuhusu biashara zake, asije akawa jambazi maana zote anazifanyia nje ya Tanzania, sasa sijui kama ni halali, ila Mark siuelewi upendo wake, labda nimtafute baby mama wake niongee nae nijue kwanini wameachana, maana muda mwingi yupo controlling, kila kitu nifanye kwakufuatia anachotaka yeye, najiona kama sina uhuru kwake, ila kwa Marion, huku anatabasamu,
Chanel: kiukweli Pedeshee naona ananipenda zaidi, ila sasa sijui ukweli kuhusu biashara zake, asije akawa jambazi maana zote anazifanyia nje ya Tanzania, sasa sijui kama ni halali, ila Mark siuelewi upendo wake, labda nimtafute baby mama wake niongee nae nijue kwanini wameachana, maana muda mwingi yupo controlling, kila kitu nifanye kwakufuatia anachotaka yeye, najiona kama sina uhuru kwake, ila kwa Marion, huku anatabasamu,
Doreen: anamwangalia huku anacheka.
Chanel: Yule mlugulu ni noma hata hanisumbui, nikiwa nae nakuwa myself, naweza hata kujamba na nisiogope ila kwa Mark ah yule mkali hata simwelewi, naona upendo zaidi kwa Mario lakini sio Mark, ila Marion mfuuupi mpaka naona aibu.
Doreen: haya mama nadhani umeshajijibu na utajua cha kufanya, mimi nataka uwe happy umelala wiki 2 unalia huku ndani usiku kucha nakusikia, nikija kukugongea unanyamaza, mtafute Mario wako akufute machozi kabla hatujaenda Singida usije ukaenda kubaka wanyama na wana kijiji buree!
Doreen: haya mama nadhani umeshajijibu na utajua cha kufanya, mimi nataka uwe happy umelala wiki 2 unalia huku ndani usiku kucha nakusikia, nikija kukugongea unanyamaza, mtafute Mario wako akufute machozi kabla hatujaenda Singida usije ukaenda kubaka wanyama na wana kijiji buree!
Ila usije ukawa unampenda Marioo kwa pesa zake maana hizo uwa zipo na zinaweza kukata muda wowote, am just saying, haya mapenzi ya pesa ndio siyawezi kabisa, lakini hauwezi uzuia moyo, umpende akiwa nazo na asipokuwa nazo, kuzijue mali zake zipoje sio mbaya, msije mkatuletea aibu hapa kama ni punda ujing’atue mapemaa maana hilo litakuwa balaa, kuhusu ufupi sasa hapo sijui waswahili wanasema ukipenda boga penda na maua yake..mfupi mfupi kwani umempima?!
Chanel: hahahaha eti umempima, we mama una mashauri mengi James umembwaga wapi sasa? Sijamwona tangu nije hapa!
Doreen: huyu nae nadhani anafanana na huyo Mpare wako Mark, controlling na mimi siwezi kabisa mwanaume wa ivyo, nilimpa uhuru wangu kidogo akaanza kunicontrol na kuniendesha kama mtumwa, nikaamua kumkazia akanuna, ndio kaondoka. Mxiuuu stupid man, nilimwomba mil 3 kumtest mpaka leo kimya sijui napeleka nini kwa wazee hii aibu.
Chanel: hahahaha eti umempima, we mama una mashauri mengi James umembwaga wapi sasa? Sijamwona tangu nije hapa!
Doreen: huyu nae nadhani anafanana na huyo Mpare wako Mark, controlling na mimi siwezi kabisa mwanaume wa ivyo, nilimpa uhuru wangu kidogo akaanza kunicontrol na kuniendesha kama mtumwa, nikaamua kumkazia akanuna, ndio kaondoka. Mxiuuu stupid man, nilimwomba mil 3 kumtest mpaka leo kimya sijui napeleka nini kwa wazee hii aibu.
We Mama embu jiandae uende ofisini ukaombe ruhusa uonane na huyo Mrs Shawn na Mrs Mark mimi nipo tu ndani leo hata sitoki nitakuwa napaki hapa.
Chanel akaenda ofisini akaomba likizo ya wiki 2, akaenda nyumbani kwa Carrie akachukua funguo wa gari yake akampelekea Adrienne akamkuta yupo na Shawn wanakula hotelini. Adrienne alikuwa na furaha sana, akashangaa huyu Shawn amemlisha nini, ndani ya wiki mbili rafkietu anacheka, kweli huu ni zaidi ya mwujiza, akawasogelea we Adrienne nimekupigia wala haupokei kumbe unatongozwa kimwili na huyu bwashee, mambo bwashee, unaitwa nani huku anamkumbatia Adrienne!
Adrienne: my friend huku anambusu shavuni, karibu, karibu ukae.
Chanel akaenda ofisini akaomba likizo ya wiki 2, akaenda nyumbani kwa Carrie akachukua funguo wa gari yake akampelekea Adrienne akamkuta yupo na Shawn wanakula hotelini. Adrienne alikuwa na furaha sana, akashangaa huyu Shawn amemlisha nini, ndani ya wiki mbili rafkietu anacheka, kweli huu ni zaidi ya mwujiza, akawasogelea we Adrienne nimekupigia wala haupokei kumbe unatongozwa kimwili na huyu bwashee, mambo bwashee, unaitwa nani huku anamkumbatia Adrienne!
Adrienne: my friend huku anambusu shavuni, karibu, karibu ukae.
Chanel: anashangaa Adrienne umekuwaje?! Akatambulishwa Shawn and vice versa!
Chanel: nimefurahi kukufahamu Shawn, karibu kwenye ukoo wetu wa marafiki wa 4, sasa Adrienne mimi sio mkaaji sana, nimekuletea funguo wa gari tunasafiri keshokutwa saa 12 alfajiri, mkachukue gari nyumbani kwa Carrie, maana mimi mweupee sijui chochote kuhusu magari, I hope kila kitu kitakuwa sawa! Gari mpya hio sidhani kama inatakiwa kwenda garage ila mnaweza kuipeleka kwa kuepusha shari, lkn ipelekwe CMC na sio kwa mafundi wa mtaani, akambusu Adrienne kichwani akamwambia am happy for you Chicca! Bye Shawn, nimefurahi kukufahamu.
Chanel: nimefurahi kukufahamu Shawn, karibu kwenye ukoo wetu wa marafiki wa 4, sasa Adrienne mimi sio mkaaji sana, nimekuletea funguo wa gari tunasafiri keshokutwa saa 12 alfajiri, mkachukue gari nyumbani kwa Carrie, maana mimi mweupee sijui chochote kuhusu magari, I hope kila kitu kitakuwa sawa! Gari mpya hio sidhani kama inatakiwa kwenda garage ila mnaweza kuipeleka kwa kuepusha shari, lkn ipelekwe CMC na sio kwa mafundi wa mtaani, akambusu Adrienne kichwani akamwambia am happy for you Chicca! Bye Shawn, nimefurahi kukufahamu.
AFRICA KUSINI
Bondeni mapenzi yakawa mapenzi, Carrie kaenda kutambulishwa kwa wazazi kabla ya Christmass kufika maana sio kwa mauno aliompa George. Wazazi wakafurahi kuletewa Mkwe wa Kitanzania, ndio ilikuwa ndoto yao na maombi yao, wakampenda Carrie alivyo, anavyoongea dissent kama kweli hehehe… Carrie akawaletea na zawadi za KiTanzania, wazazi wakachizika, jamani Mkwe anaupendo, mtoaji mzuri, kweli mwanetu yupo pazuri.
HUKO TANZANIA:
James akaonekana yupo buzy na kuandaa mazingira ya Lucifer January, moyoni anamkumbuka Doreen anaumia lakini wapi, anajikaza kiume, kila akitaka kumpigia simu kumwambia amem-miss anashindwa, sio kwa madharau yale aliomuonyesha, nimehangaika kumletea chakula anajua natoa wapi hela, akaweka simu pembeni akaendelea na kazi huku anakula mziki.
HUKO TANZANIA:
James akaonekana yupo buzy na kuandaa mazingira ya Lucifer January, moyoni anamkumbuka Doreen anaumia lakini wapi, anajikaza kiume, kila akitaka kumpigia simu kumwambia amem-miss anashindwa, sio kwa madharau yale aliomuonyesha, nimehangaika kumletea chakula anajua natoa wapi hela, akaweka simu pembeni akaendelea na kazi huku anakula mziki.
Baadae akaona simu inaita, namba ngeni, akapokea, akasikia sauti ya mwanamke akamwuliza wewe ni nani? Akajibu mimi Chanel, nahitaji kukuona tafadhali, uko wapi?
James: Nipo ofisini,
Chanel: Naweza kuja?
James: Karibu, akamuelekeza.
Chanel akatua kwenye mjengo anaofanyia kazi James, pazuuuri kweli anapashangaa, akamwona James anamsubiri reception, wakasalimiana wakaingia ndani.
Chanel akatua kwenye mjengo anaofanyia kazi James, pazuuuri kweli anapashangaa, akamwona James anamsubiri reception, wakasalimiana wakaingia ndani.
Chanel: hakumpendaga James kwasababu ya majibu yake ya kishenzi kuhusu Adrienne lakini akajikaza ivyo ivyo akaenda kuongea nae.
James: alimpenda sana Chanel, anamwonaga mjanja, mkali, bingwa, hajazubaa, sio kwa kuwa na wanaume zaidi ya mmoja alafu hawajuani wala nini, akamkaribisha ofisini kwake kwa moyo mmoja!
Chanel: ofisi yako nzuri jamani utadhania ulaya
James: akawa anacheka asante, karibu.
Chanel: shemeji yangu wewe umepotea sana, sikuoni nyumbani au umepata nyumba nyingine?
James: ah! Hapana siwezi kurudi huko, rafiki yako hajisomi hajielewi, nimeamua kumuacha kwanza aendelee na maisha yake!
Chanel: jamani shemeji, rafiki yangu hana raha amekumiss, anakupenda si unajua wewe ndio ulikuwa mwanaume wake wa kwanza, Tafadhali usimtese hivyo rafiki yangu? Au unataka afe? Akamdanganya usiku hata halali analia tu, wiki ya pili, nikienda kumgongea mlango hafungui ananyamaza kimya, jamani shem si mrudiane tu lakini au unataka rafiki yangu awe kichaa? Yule ameshakuwa ndugu yangu kabisaa sitaki kumpoteza.
James: si ameenda kwao Singida sijui Mtwara
Chanel: ai James jamani yani hata kujua anaenda wapi hujui?!
Chanel: ofisi yako nzuri jamani utadhania ulaya
James: akawa anacheka asante, karibu.
Chanel: shemeji yangu wewe umepotea sana, sikuoni nyumbani au umepata nyumba nyingine?
James: ah! Hapana siwezi kurudi huko, rafiki yako hajisomi hajielewi, nimeamua kumuacha kwanza aendelee na maisha yake!
Chanel: jamani shemeji, rafiki yangu hana raha amekumiss, anakupenda si unajua wewe ndio ulikuwa mwanaume wake wa kwanza, Tafadhali usimtese hivyo rafiki yangu? Au unataka afe? Akamdanganya usiku hata halali analia tu, wiki ya pili, nikienda kumgongea mlango hafungui ananyamaza kimya, jamani shem si mrudiane tu lakini au unataka rafiki yangu awe kichaa? Yule ameshakuwa ndugu yangu kabisaa sitaki kumpoteza.
James: si ameenda kwao Singida sijui Mtwara
Chanel: ai James jamani yani hata kujua anaenda wapi hujui?!
Lakini unajua sielewi mligombana wapi?
James: akawelezea
Chanel: akacheka sana, yani msosi ndio mmefanya mnanuniana?! Sasa na wewe kwanini ulimdanganya haukutimiza ahadi
James: akajieleza kwa upande wake ikaonekana sawa
Chanel: ila usijali bwana unatakiwa umzoee Doreen, ndivyo alivyo sasa ukimkalia kimya unamwumiza! We msamehe bwana!
James: amekutuma nini maana sio kwa kumtetea namna hii!
Chanel: kwanza akijua nipo hapa tutagombana milele, wala usimwambia kabisa!
James: usijali shem!
Chanel: haya bwana mimi ngoja niende, tunaondoka kwenda Singida kesho kutwa, mtafute umuage, uje kabisa kulala tunakupenda, karibu sana, huku anaondoka
James: asante shem, nitafikiria karibu sana na safari njema.
James: asante shem, nitafikiria karibu sana na safari njema.
HUKO DUBAI:
Safaree na Stan wameshafika Dubai, Kimaro kawapokea, karibuni sana vijana, karibuni huu ndio mjengo wangu, nimeununua wiki 2 zilizopita.
Safaree na Stan wameshafika Dubai, Kimaro kawapokea, karibuni sana vijana, karibuni huu ndio mjengo wangu, nimeununua wiki 2 zilizopita.
Akina Safaree wanapashangaa pazuuuri kama jumba la mfalme, kweli kazi inalipa, wakaonyeshwa pa kulala kila mtu na pake, baadae wakaitwa kula chakula, usiku wakatoka kwenda Mziki, kila mmoja akaandaliwa demu wa kutanua nae.
Safaree anafurahi maisha ndio haya.
Stan anaona kama muujiza, kha pazuri Dubai kweli hii ndio Middle East, pazuri sijui Ulaya patakuwaje?
Vijana wakala bata kama hamna kesho, kwenye strip clubs wanamwaga hela kama Jay Z, Safaree amechizika mademu wa kila aina, wanamwaga mahela kama kwenye miziki ya mamtoni, wanakunywa ma-wine expensive, Kimaro anawaangalia anacheka, kuleni vijana mnastahili mmezifanyia kazi kwa shida!
SAFARI YA KIJIJINI:
Safari ikawadia ya kwenda kijijini Singida, wasafiri wamejiandaa wameshapendeza, Shawn kaja kwa Doreen kuwapitia akiwa na Adrienne, wanapendaana wenyewe utawajua?
Chanel: Adrienne ushalala na huyu bwana au bado uko bikira?
Adrienne: akatabasamu, labda mechi ya kwanza itakuwa kijijini porini. Wote wakacheka!
Wakapaki mizigo kwenye gari Shawn anawasaidia, wakamaliza wanataka kutoka, mara wanamwona James huyo anaingia na sanduku.
James: Jamani na mimi mnataka kuniacha? Hamjui kuwa safari haitanoga bila mimi?
Doreen: kumwona akafurahi, akamkimbilia akamkumbatia.
Doreen: kumwona akafurahi, akamkimbilia akamkumbatia.
ITAENDELEA KESHO TAR 11 AUGUST 2018 SAA 8 MCHANA YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
D. ASALI YA UCHUMBA NA LIMAO YA KAZI
Doreen: Jamesi umekuja? huku anambusu, karibu, umejuaje kama naondoka leo? Samahani sana kwa kukununia, nimefurahi umekuja huku anamsaidia James sanduku, kumbe zito kidogo aanguke chini James akamsaidia wakalipandisha kwenye gari.
Doreen: Umebeba mahari nini mbona sanduku gumu kubeba hivyo?
wenzake wakawa wanacheka.
Chanel: shem nakuona mambo yako sio ya mchezo mchezo, karibu Singida, wakasalimiana wote Adrienne akamtambulisha Shawn kwa James
James: kumwona Shawn akashtuka akajikausha! akamwuliza ivi nimeshawahi kukuona wapi kaka, maana umri wangu sasa unaenda huenda nakuchanganya na mtu nimemwona Mexico.
Shawn: hapana labda umenichanganya mimi ni wa hapa hapa Dar, basi wakasalimiana wakaingia kwenye gari dereva Shawn amejipanga, hatolala njiani, safari ya wanaume wa 2 wanawake wa 3.
Chanel akatamani Pedeshee angekuwepo lakini ndio ivyo tena.
Wakafika karibu na dodoma, wamechoka kweli kweli wengine wamelala, mara dereva nae hana support ya maongezi akaanza kusinzia kushituka anataka kugonga mbuzi mbele.
Wakafika karibu na dodoma, wamechoka kweli kweli wengine wamelala, mara dereva nae hana support ya maongezi akaanza kusinzia kushituka anataka kugonga mbuzi mbele.
Chanel: akamshtua we Shawn unagongaa, Shawn kapiga breki watu wote waliolala wakaamka waaa.
Wote: kuna nini, eh jamani mmegonga?
Shawn: Hapana bwana nimemkwepa huyu mbuzi hapa poleni sana.
James: Bwana Shawn kama umechoka nikusaidie bwana.
Shawn: hapana ngoja niende mpaka Dodoma mjini nitakuachia.
James akazidi kumsihi msaidie Shawn akakubali, akampa aendeshe mpaka Singida mjini walale alafu asubuhi ataendesha mwenyewe kuelekea kijijini!
James na Doreen wakahamia mbele na Shawn na Adrienne wakarudi seat ya abiria.
Huko seat ya abiria wakaanzisha vurugu mtindo mmoja mara wanaangaliana huku wanacheka mara wanashikana mikono kama mapenzi ya kihindi.
Chanel anawapiga kijicho anawatamania anakumbukia mapenzi yake na vijana wake wawili, anaumia kishingo upande afanyaje sasa! Wakafika mbele ya safari Chanel akaanza kuimba, wakaimba wote kwa pamoja.
Doreen sauti ya kwanza, Chanel sauti ya pili pamoja na Adrienne, James sauti ya Nne, Shawn akawa anaibia ya 3 lakini ni ya nne, mara nyimbo za dini, mara nyimbo za kidunia, mara za kimila, mara za shule ya msingi, mara za sekondari, kila mtu kwa raha zake, safari ikanoga sana mara hao washafika Singida mjini.
Wakatafuta Hoteli walale usiku huo maana ishakuwa giza sana na hawawezi kwenda kijijini usiku hawaruhusiwi na Serikali kusafiri usiku.
DUBAI MPAKA MEXICO:
DUBAI MPAKA MEXICO:
Trip ya kwenda Mexico ikawadia, smooth operators wamejipanga wako makini kwenda kumsujudia Lucifer wao, wakafika Mexico, Spanish yenyewe hawajui sana labda cha kusalimia senora senora!, kingereza shida basi tu Kimaro akawa anacheeeka machalii wameingia Macca ya magaidi!
Walipofika State ya Lucifer ni bonge la Mansion dadeki booooonge la jumbaaa, jumba kuanzia Mwenge mpaka Tegeta, hapo wanatembea na gari tu, ulinzi wa kufa mtu, bonge la entrance na ukiingia kwa Lucifer unaingia uchi, wakafika kuikaribia nyumba wakaambiwa watembee kwa miguu kilometa 5 kuifikia nyumba, kizaa zaa kwa Stan hajazoea ikabidi ajikakamue maana hajui akianguka chini kusema amechoka anaweza akauawa, sikuhiyo hawakuwa wao tu, ni smooth operators woote Dunia nzima walialikwa na Lucifer kula na kunywa na kusheherekea Christmass na Mwakampya! Watu wapatao elfu 1 wanaenda kum-hiji Lucifer.
Walipofika State ya Lucifer ni bonge la Mansion dadeki booooonge la jumbaaa, jumba kuanzia Mwenge mpaka Tegeta, hapo wanatembea na gari tu, ulinzi wa kufa mtu, bonge la entrance na ukiingia kwa Lucifer unaingia uchi, wakafika kuikaribia nyumba wakaambiwa watembee kwa miguu kilometa 5 kuifikia nyumba, kizaa zaa kwa Stan hajazoea ikabidi ajikakamue maana hajui akianguka chini kusema amechoka anaweza akauawa, sikuhiyo hawakuwa wao tu, ni smooth operators woote Dunia nzima walialikwa na Lucifer kula na kunywa na kusheherekea Christmass na Mwakampya! Watu wapatao elfu 1 wanaenda kum-hiji Lucifer.
Stan: yeeeesu na maria, anashangaa, mamake kudadeki, boonge la jumba Boss Safaree utadhani tuko kwa Yesu mwenyewe kiruuu, yeleeeuuuuuwi, cha!
Wakaingizwa kwenye jumba la kifahari kama movie vile, wakanza kukaguliwa kwa machine kulingana na tattoos ulizopewa, hakuna mtu anamwonea aibu mwenzake, wanaume kwa wanawake wamechanganywa wote pamoja.
Wakapewa malazi wakapumzika, jioni ilipofika kila mtu akaletewa chakula chumbani kwake na mwanamke wa kulala nae kwa usiku ule, asubuhi walitakiwa wawahi kuamka sana kikao na Lucifer ni saa 12 kamili asubuhi mpaka saa 7 mchana, mchaka mchaka tu, kwa ajili ya kupanga mikakati ya maendeleo ya biashara yao kwa mwaka 2008.
AFRIKA KUSINI:
Huko Bondeni nako kwa wakwe, Carrie akapendwa sana, hasa na Baba mkwe, akamsifia sana kwa mwanae.
Baba Mkwe: Mwanangu unajua kweli kuchagua, huyu mwanamke kabila gani?
George: Mchaga.
Baba Mkwe: oh! Safi sana mwanangu, wachaga wazuri wanapenda maendeleo hamtakufa masikini hata, nyumba yenu na watoto wenu, umuheshimu sana mkeo na watoto wako, usituletee aibu mimi na mama yako, basi mawaidha kibao pale mzazi akayamwaga kwa jembe lake George.
Huko jikoni, Mama mkwe na Carrie wanapika, Pilau wanatengeneza kachumbari, wanakumbushana ya Tanzania, wanaongelea miziki, siasa, biashara, makanisa na utamaduni basi full shangwe na mama mkwe.
Baadae wakaaga, wanataka kuondoka, mama mkwe kakomaa hapana hamuondoki hapa mpaka siku ya Christmass kupita ndio mtaondoka, wewe Carrie utalala chumba cha wageni, George utalala na mdogo wako chumbani, hamna kulala wote.
Carrie: kimoyo moyo anasema eh huyu maza mkwe vepee, hajui mimi nina nyege za kupaisha leo usiku anataka kunianika gizani nitalia na nani usiku?!
Wakajaribu kuomba lakini mama mkwe kakomaa, mnataka kwenda kulala hotelini mnapoteza tu hela, sisi tunataka kumfahamu mkwe wetu na jinsi alivyo, hatutaki matatizo mbeleni, eh! basi ikabidi wakubali kishingo upande wakijua mechi itapigwa mwaka mpya kama sio mwaka 2008.
KIJIJINI SINGIDA:
KIJIJINI SINGIDA:
Wakatua Singida mjini, wakakodi vyumba vitatu vya hotelini, kila couple chumba kimoja, na bibie Chanel chumba chake peke yake,
Adrienne akaomba alale na Chanel kwani relationship yao haikuwa kubwa kiasi cha kulala na Shawn,
Shawn: Akachoka sio kwa kupigwa chini kule,
Chanel: We mama nenda kalale na bwana ako usiniletee aibu, embu toka usinifuate huku anamfukuza.
Adrienne: akakomaa bwana niache, eh wakaishia kulala chumba kimoja.
Shawn: usingizi hauji, maana alijua hapa hapa ndo pakula nyama kumbe anakula baridi la Singida!
James na Doreen wakajikumbushia pale walipoachia, sasa hivi Doreen hakuwa na choyo tena maana yupo kwao kabisaa, ikabidi amkaribishe vizuri James Mkoani kwao.
James na Doreen wakajikumbushia pale walipoachia, sasa hivi Doreen hakuwa na choyo tena maana yupo kwao kabisaa, ikabidi amkaribishe vizuri James Mkoani kwao.
James: akafikiri labda Doreen amesahau mechi, lakini mama utadhani mizimu ya singida iliamshwa, kiuno kama feni mbovu, James iyo mikelele sasa kwanza hakuamini kama leo yupo chini ya mamlaka ya Doreen. Akafungwa magoli 3 na hivi alikuwa dereva wa msafara akaamua kulala tu!
Adrienne: nae ugwadu ukamshika, baridi kali anataka joto, atafanyaje na hawajazoeana kihivyo na Shawn.
Adrienne: nae ugwadu ukamshika, baridi kali anataka joto, atafanyaje na hawajazoeana kihivyo na Shawn.
Kamiss machine, akaona isiwe shida nisije nikaumwa ngiri ya kike bure akaondoka kitanda alicholala, akaenda chumba alicholala Shawn, Mmasai hakuamini kama Adrienne amekuja chumbani kwake, kufungua mlango ni kama amefungulia jambazi kuja kuiba, hapo hapo karukiwa juu, wakabiringitana mpaka kwenye sakafu. Usiku huo ulikuwa na baridi kali lakini kwao ilikuwa kama wapo Dar es salaam kwenye joto.
Michuano ya mechi kati ya Adrienne na Shawn ikaanza, Shawn anachizika, hajawahi kutana na mzinga kama kule maishani mwake hasa akiwa amependa, Mmasai anafungwa kiboya boya tu mara hoi.
Adrienne: alikumbuka notes zote za kungwi Dar es salaam, Mmasai analia kimori mori, yerooo suvai ahahahaha.
Adrienne akaongeza spidi ya feni yake no 1 mpaka 5, Mmasai kaongea Kimasai chote kamaliza, mikelele sasa maskini, watu wamelala wanasikika wao tu wanapokezana zamu na akina James, si unajua kijijini kulivyo kimya usiku ukiwadia, sasa ile mikelele waliokuwa wanapiga utadhania ni band ya twanga pepeta imehamia mkoa wa Singida! Doreen na Adrienne walikomesha.
Chanel: akawa anaskiza bendi kati ya Doreen na Adrienne raha hana! Hataree! akajisemea eh wanaume wengine bwana, utadhani simba wala damu, wanalizwaje na wanawake?! Akajifunika shuka lake la hotelini akalala usingizi hamna lakini akajikaza mpaka ukaja.
Asubuhi wakaamka saa 3, wakiwa restaurant wanakunywa chai, Chanel akaanza kuwatania,
Chanel: akawa anaskiza bendi kati ya Doreen na Adrienne raha hana! Hataree! akajisemea eh wanaume wengine bwana, utadhani simba wala damu, wanalizwaje na wanawake?! Akajifunika shuka lake la hotelini akalala usingizi hamna lakini akajikaza mpaka ukaja.
Asubuhi wakaamka saa 3, wakiwa restaurant wanakunywa chai, Chanel akaanza kuwatania,
Chanel: Mmelalaje wapendwa.
Wenzao wakaangaliana wakacheka.
Chanel: akawatania, itabidi tukiondoka, James na Shawn mkaongeze hela kwa mlinzi wa hotel, maana amewasitiri alifikiri watu wanauana jana usiku, huku anacheka.
Wakawa wanaona aibu!
James: Shem na wewe mchokozi unapenda sana utani ee?
Adrienna na Doreen: wanaangaliana wanaona aibu wanacheka chini chini.
Wakiwa kwenye maongezi Carrie akapiga simu kwa Chanel.
Carrie: hamjambo jamani sijawasikia wapendwa wangu, wakaweka loud speaker, wakawa wanasalimiana kila mtu anaongea na kumshambulia Carrie, we mtoto unazingua, mwingine anasema we mama umeenda kuibwa ushaolewa mwengine anaulizia mbona haujatuaga umekimbia jamani, eh basi carrie akachoka akawaambia jamani simu yangu kabla haijakatika naomba niwape good news, mwenzenu nimekuwa engaged na George, kwahiyo nikirudi tunaoana mjiandae my brides’s maid sawa ee na hao mabwana zenu mtasimamia nao.
Wote: wooow, Engaged?!
Wote: wooow, Engaged?!
Carrie: ndio engaged na George hamuwezi hata amini, hapa nilipo nimeshakaa siku 3 kwa wakwe naangaliwa na kuchunguzwa, marafikizake wakashangaa na kumfurahi, wakampa pongezi na hongera nyingi!
Carrie: Msinitegemee mpaka January 5 Mungu akipenda nitaingia Tz, simu ikakatika.
Saa 6 mchana safari ya kwenda Nkinto Isanzu ikafika wakaondoka kuelekea kijijini kwa wazazi wa Doreen.
Saa 6 mchana safari ya kwenda Nkinto Isanzu ikafika wakaondoka kuelekea kijijini kwa wazazi wa Doreen.
ITAENDELEA LEO TAR 11 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
________________________________________________________________________________
E. ASALI YA WAKWE
Wakafika kwa wazazi wa Doreen, huko wilayani Mkalama, kata ya Isanzu Nkinto, wakaingia mpaka nyumbani kwao, njiani wana kijiji wanawashangaa hawa wazungu wa wapi tena, walipoingia nyumbani kwa Doreen, baba yake na Doreeen alikuwa bomani anakatia ng’ombe majani hakuwaona wakati wanaingia ila mama alikuwa jikoni anapika, saa 8 mchana, alipoona gari mama akatoka nje hakujua wamevamiwa na majambazi au mwenyekiti wa serikali kaja na polisi hawakuelewa, wakati anatoka nje na baba yake Doreen akasikia kishindo cha gari akatoka, si unajua mambo ya kijijini tena, gari kama kashuka Raisi! Kuku na mifugo yote inasogea kwenye gari, hehe chezea kijijini wewe, majiranai ndio kabisa, watoto wa shule nao wapo hapo wanachungulia kwenye mipaka ya nyumba wanataka tu kuona nani kaja, akatoka Doreen akamkimbilia mama yake, Mama, mama kumwona mwanae hakuamini, mwanangu umekuja jamani, kakimbia mpaka kanga ikamdondoka, wakakumbatiana huku wanalia, mama anamshika mashavu mwanae haamini kama amekuja, wakaanza kusalimiana kilugha,
Mama: Olee!
Doreen: Ozaa, Shikamoo Mama yangu mzuri, unazidi kuwa mzuri tu mreembo wangu
Mama: huku anacheka, marahaba mwanangu mzuri
Doreen: Willile Olee
Mama: Willile Ozaa Udu
Doreen: amefurahi kumwona mama yake analia tu, mama anamkumbatia.
Mama: Olee!
Doreen: Ozaa, Shikamoo Mama yangu mzuri, unazidi kuwa mzuri tu mreembo wangu
Mama: huku anacheka, marahaba mwanangu mzuri
Doreen: Willile Olee
Mama: Willile Ozaa Udu
Doreen: amefurahi kumwona mama yake analia tu, mama anamkumbatia.
Baadae akamwona baba yake amesimama pembeni ya mama yake akamsalimia huku anapiga magoti, wenzake wanamshangaa, hee Doreen anapiga goti,
Adrienne: Naona Doreen kageuka Msukuma kijijini, Mzaramo mjini, wote wakacheka kimya kimya.
Akamkumbatia baba yake huku analia, mzee amejaa majani kichwani, mgongoni, mchafuu na mitope kibao yupo kazini bomani na shambani, mkulima stadi, akamkaribisha mtoto wake nyumbani, karibu mwanangu, tumefurahi sana kukuona, tunakupenda umepotea sana, simu haupigi kwanini?!
Doreen: wala msijali tutaongea, bado nipo sana hapa, cha muhimu nimefika salama nimewaona. Wakamwuliza na hawa ni nani? Oh! Mpaka nimewasahau, akageuka kuwatambuliha, huyu ni Adrienne na Chanel ni marafiki zangu, na huyu ni kakae Adrienne na rafkiake kakake Adrienne, che! Wanaume wakachoka! Wakakaribishwa vizuri kwenye vigoda!
Akamkumbatia baba yake huku analia, mzee amejaa majani kichwani, mgongoni, mchafuu na mitope kibao yupo kazini bomani na shambani, mkulima stadi, akamkaribisha mtoto wake nyumbani, karibu mwanangu, tumefurahi sana kukuona, tunakupenda umepotea sana, simu haupigi kwanini?!
Doreen: wala msijali tutaongea, bado nipo sana hapa, cha muhimu nimefika salama nimewaona. Wakamwuliza na hawa ni nani? Oh! Mpaka nimewasahau, akageuka kuwatambuliha, huyu ni Adrienne na Chanel ni marafiki zangu, na huyu ni kakae Adrienne na rafkiake kakake Adrienne, che! Wanaume wakachoka! Wakakaribishwa vizuri kwenye vigoda!
Wanaume wakapewa benchi la kukalia wakaanza kuongea, baadae mama akakumbuka kabandika sufuria la maji ya ugali, ikabidi akimbilie jikoni,
Doreen akamfuata, Chanel na Adrienne wakamkimbilia, wakabaki wanaume watupu wanaongea, wakawa wanapiga stori za mjini Darisalamu, hehe Mzee anapewa mistori, baadae ikabidi mzee wa Boma akawaonyeshe mahali pa kupumzikia, nyie mtalala hapa wale dada zenu watalala chumba cha wasichana!
Shawn na James wanaangaliana kucheka wanataka duh! Dada zetu?!
Baadae wakaitwa kula chakula, Ugali wa mtama, Ikuluga (Mlenda), Nsansa.
Shawn na James wanashangaa kweli wako kijijini, maana hizo mboga hawazielewi, kwakuwa walipenda boga wakavumilia wakala..
Bondeni nako Carrie alishayazoea mazingira ya wakwe, akawa anaomba Mungu sikukuu ipitage tu mapema warudi, maana sio kwa kuwekwa bikira namna ile, mechi alikuwa ameimiss sio kitoto, kuna wakati waliaga wanaenda mjini, mama mkwe akaomba nayeye aende maana alikuwa anashughuli kule, kufika mjini mama mkwe anawaganda wasikae wawili pekeyao, eh kila wakitaka kutoroka, wanafumaniwa, mara na baba mkwe, mara mdogowake George, mara jirani anawaona anawasimamisha anawaalika kwao kula, yani ni balaa tu, Carrie akawa anajiambia moyoni jamani nisipopata machine kabla ya sikukuu nahisi nitamvamia hata baba mkwe, maana huu ukame ni sheedah.
Akamtumia sms George sasa leo tunajificha wapi maana nimezidiwa nahisi kupasuka.
George: Doh! vumilia tu maana hapa mzee kaalikwa Soweto na marafiki zake tunaenda kukaa huko for Christmass, huko ndio balaa yani hata kushikana mikono ni sheedah.
Carrie akaona hii ishakuwa usiku wa jua nene, lakini akifikiria wakwe anakuwa mpole wakati mwengine anahisi angenunuaga tu Dildo (Vibrator) kabla hajafika kwa wakwe ingemsaidia kupunguza stress.
Mexico City kulinoga, akina Safaree na Stan wanaingia kikaoni, kwenye Bonge la hall, kikao kikafanyika baada ya kuwekwa sawa na mwenyekiti wa kikao, kuhusu agenda za mwaka 2008, baada ya masaa 5 akatokea Lucifer, wakasimama wakainama chini ishara ya kumpokea, alipopiga kengele wakakaa chini, kwa mara ya kwanza Stan na Safaree wanamwona Lucifer, wanashangaa, mbona Lucifer mweusi kama sisi, tulijua Lucifer atakuwa m-Mexico au mzungu wa Marekani anayeishi Mexico hawakuelewa wakawa wapole.
Mexico City kulinoga, akina Safaree na Stan wanaingia kikaoni, kwenye Bonge la hall, kikao kikafanyika baada ya kuwekwa sawa na mwenyekiti wa kikao, kuhusu agenda za mwaka 2008, baada ya masaa 5 akatokea Lucifer, wakasimama wakainama chini ishara ya kumpokea, alipopiga kengele wakakaa chini, kwa mara ya kwanza Stan na Safaree wanamwona Lucifer, wanashangaa, mbona Lucifer mweusi kama sisi, tulijua Lucifer atakuwa m-Mexico au mzungu wa Marekani anayeishi Mexico hawakuelewa wakawa wapole.
Lucifer akasalimiana na watu wake kwa kila lugha na taifa, ilipofika kwa waTanzania akawaambia Mambo vipi wabongo?!
Stan kajibu poa chalii mambo shega Boss Kubwa.
Safaree akajibu haina noma, shwari kabisa babake.
Lucifer akawaangalia akatabasamu! wakaendelea na kikao mpaka saa 1 jioni wakatoka kwenda kula, baadae akaonekana Lucifer na Kimaro wanaongea, Safaree akatamani awasogelee Lucifer na Kimaro akawa anazuiwa na mabodi guard, ah basi akapotezea.
Kijijini nako usiku ukawa umeingia, watu wote wanatakiwa kulala, si unajua kijijini saa 2 usiku watu wamelala, lakini wana darisalama wako macho, wanatoa mimacho, hawalali, wazazi wa Doreen wakawaelewa wakawaambia tu wajihadhali na vibaka na wanyama wakali, wakiingia kulala tu wafunge milango.
Wakawa wamekaa wote wanaongea, huku wanacheka wanamtania Doreen kwenu kuzuri umepajenga kama mjini, hongera sana inaelekea familia yako inakupenda sana, maana wazazi wanafuraha kweli ulipokuja utadhani kaja raisi wa marekani, Doreen akawa anacheka.
Baadae James akaonekana amekaa na Chanel wanaongea, Doreen amekaa na Adrienne na Shawn wanaongea.
Wakawa wamekaa wote wanaongea, huku wanacheka wanamtania Doreen kwenu kuzuri umepajenga kama mjini, hongera sana inaelekea familia yako inakupenda sana, maana wazazi wanafuraha kweli ulipokuja utadhani kaja raisi wa marekani, Doreen akawa anacheka.
Baadae James akaonekana amekaa na Chanel wanaongea, Doreen amekaa na Adrienne na Shawn wanaongea.
James: akaanza kumwuliza Chanel kuhusu mahusiano yake na wale jamaa wawili,
Shemeji vipi mbona sioni wenzangu umewaacha wapi au wanaogopa kuja au wameenda kuhesabiwa vijijini mwao?
Chanel: ah we acha tu shem, ndio maana nimekuja kupumzika huku kijijini akili itulie maana sio kwa yalionikuta
James: yamekukuta nini tena shem!
Chanel: akamwelezea kila kitu
Shemeji vipi mbona sioni wenzangu umewaacha wapi au wanaogopa kuja au wameenda kuhesabiwa vijijini mwao?
Chanel: ah we acha tu shem, ndio maana nimekuja kupumzika huku kijijini akili itulie maana sio kwa yalionikuta
James: yamekukuta nini tena shem!
Chanel: akamwelezea kila kitu
James: akacheka sana, dah kweli iyo kali, akamwuliza sasa ukafanyaje?
Chanel: wakaanza maswali mimi nipo kimya mara wakaanza kutukanana wenyewe, mimi kimya nikakaa kwenye kiti mara ngumi, kitandani, mara chini eh mie nikatoka kwenda kukaa sebuleni maana nisije tolewa chongo buree.
James: eh wakapigana mbele yako, kweli hawa wanaume wanakupenda, na umewaumiza vibaya sana Chanel, dah fumanizi umeondoka bila chongo we noma!
Chanel: akampa stori nzima, James akamtania ila shem hapo umeniangusha, ungewaambia mfanye three sum yaishe!,
Chanel: wakaanza maswali mimi nipo kimya mara wakaanza kutukanana wenyewe, mimi kimya nikakaa kwenye kiti mara ngumi, kitandani, mara chini eh mie nikatoka kwenda kukaa sebuleni maana nisije tolewa chongo buree.
James: eh wakapigana mbele yako, kweli hawa wanaume wanakupenda, na umewaumiza vibaya sana Chanel, dah fumanizi umeondoka bila chongo we noma!
Chanel: akampa stori nzima, James akamtania ila shem hapo umeniangusha, ungewaambia mfanye three sum yaishe!,
Chanel akacheka kwanguvu mpaka Doreen akaja, sssshhh! Mtaamsha wazee jamani mnaongea umbea gani kwani mbona Chanel anacheka sana?! Huku anamkalia James kwenye mapaja.
Chanel akamwelezea James alivyosema na Doreen akacheka kwa nguvu ikabidi Adrienne na Shawn wawasogelee kusikiliza nini wanachocheka, walipoambiwa wakacheka wote kwanguvu mpaka Mama Doreen akatoka nje, punguzeni sauti, baba amelala, wakaomba msamaha Mama Doreen akarudi ndani... Shawn akamwuliza Chanel asasa utafanyaje shem, umeamua kuwa na nani?
Chanel: yani hata sijui ila nampenda sana Marion, ni mtu mzuri sana ndio alieninunulia hilo gari, ila naogopa sijui anafanya shughuli gani maana shughuli zake nyingi zipo nje ya Tanzania.
James: anaitwa Marion nani?
Chanel: akamtajia full name yake, pamoja naya Mark, hata sijui wanafanya shughuli gani ndio maana naogopa kuji-committee nisije nikaumbuka na utu uzima huu.
Adrienne akakatisha stori, enhe we mwana nini kumtambulisha Shawn kama kaka yangu, nikikutwa nimempandia je utajibuje?
Chanel: yani hata sijui ila nampenda sana Marion, ni mtu mzuri sana ndio alieninunulia hilo gari, ila naogopa sijui anafanya shughuli gani maana shughuli zake nyingi zipo nje ya Tanzania.
James: anaitwa Marion nani?
Chanel: akamtajia full name yake, pamoja naya Mark, hata sijui wanafanya shughuli gani ndio maana naogopa kuji-committee nisije nikaumbuka na utu uzima huu.
Adrienne akakatisha stori, enhe we mwana nini kumtambulisha Shawn kama kaka yangu, nikikutwa nimempandia je utajibuje?
Doreen: ah! mimi hata sikuelewa hilo neno nimelitoa wapi lilikuja tu.
Adrienne: kwakweli mimi sijui kuhusu kaka, lakini leo mimi nalala kwa Shawn sasa sijui James atakuwa na three sum session na Chanel na Doreen hata sijui, mtajiju.
Doreen: yani kwanza naomba msimwambie mama chochote kuhusu mahusiano yangu tafadhali, naogopa na hivi sina kazi watazidi kuwa na wasiwasi naishije mjini, mbaki tu kimya mimi nitaongea na wazazi wangu mwenyewe.
Chanel: akainuka, nimechoka jamani nataka kwenda kulala, sasa kesho basi, wenzake wakaitikia sawa usiku mwema!
Shawn: akambeba Adrienne wake mpaka chumba walichopewa na James, wakabakia James na Doreen wanaangaliana hawajui watalala wapi, usiku wa giza nene saa 6 usiku,
Chanel: akainuka, nimechoka jamani nataka kwenda kulala, sasa kesho basi, wenzake wakaitikia sawa usiku mwema!
Shawn: akambeba Adrienne wake mpaka chumba walichopewa na James, wakabakia James na Doreen wanaangaliana hawajui watalala wapi, usiku wa giza nene saa 6 usiku,
Doreen akamshika mkono James, akamwuliza unajua kuogelea?
James: hapana (alimdanganya)
Doreen: Twende nikakufundishe, wakaingia mtoni wakawa wanaogelea.
ITAENDELEA KESHO J2 TAR 12 AUGUST 2018 SAA 8 MCHANA YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
F. ASALI YA KRISMAS
Mto ukawa mto, mwanafunzi na mwalimu akawa fundi, James anamchora tu Doreen anavyomfundisha, baadae akawa anajidai ameelewa, akaanza kuchechemea mtoni, akapigwa pindi akaweza.
Doreen: eh mwanafunzi umetisher! umeshaweza mara hii, wakakimbizana mpaka kwenye maji mengi na kurudi, mechi humo humo mtoni, kila mtu kwa raha na sauti yake, wakasikika mbwa wakiwasindikiza kulia. Baadae mechi ikahamia kwenye vichakani, mara chini ya muembe, mara chini ya mkungu, huku popo wanawaangalia wakiwa juu chini, 6-6 yaani bila bila.
Kurudi nyumbani wakaona mtu amesimama kwa mbaali, ikabidi James atangulie, akamkuta Baba mzazi wa Doreen amesimama nje anashangaa wameacha moto unawake hawajauzima.
Baba Doreen: ulikuwa wapi?
James: Nilikuwa naogelea mtoni, sikuwa na usingizi.
Baba Doreen: Usiku ni hatari sana kijana, jihadhari huko mtoni sio pazuri kabisa, wakazima moto wakaingia kulala, mlango wa nyumba kubwa ukawa umefungwa ikabidi Doreen akalale na akina James, Shawn na Adrienne, angalau walikuwa wamemalizana.
Adrienne na Shawn nao mambo hayakuwa mabaya, Shawn aliweza kujizuia sauti si unajua tena pale kaambiwa ni kakake, sasa akianza kuimba hip hop italeta balaa kwa wazazi wa watu. Kwahiyo mechi ilipigwa polepole, mpaka James na Doreen wanarudi walishalala kila mmoja ameridhika.
Chanel: hakulala kabisa usiku akawa amekaa tu kitandani anawazua na kuwaza, hajui atafanya nini na hakuyapenda maisha ya kuwa pekeyake, akachukua simu ampigie Pedeshee Marion network ikawa haipo, akijaribu kumpigia Mark network hamna, ah akaona huenda Mungu amezuia, akakaa analia, mara asali, mara acheke utumbo alioufanya mara anarudi kulia basi tu ilimradi chumbani yupo pekeyake.
SIKUKUU YA KRISMASS
Christmass ikawadia, pale kijijini wazazi wa Doreen wakaandaa ubwabwa na mbuzi wawili na kuku na ng’ombe nyama za kila aina, pilau, akina James wako kwenye nyama choma, warembo wako jikoni wanapika pilau si unajua kijijini tena pilau ndio sikukuu yenyewe, soda, togwa, pombe, mazagazaga yaani Doreen alichafua pale kwao ikabidi sasa hata mwenyekiti wa kijiji akaribishwe kama mgeni wa sikukuu, sherehe ikasogea na majirani wakasogea, si unajua za kijijini tena, pilau ikavuta mpaka mtaa wa tatu, watoto wa shule wote wapo hapo mlangoni wanasubiri nyama na pilau, sherehe ikasogea ikabidi mwenyekiti wa kijiji alete mziki, miziki ikapigwa old school (miziki ya zamani) ya akina pepekale, indemoni kwa sana, akina koffi olomide, kwasakwasa nyingi sherehe ikawa sherehe. Kanda bongo mani nae hakukosa, miziki ya miaka ya 90 kijijini ndio yenyewe, ukipiga twangapepeta kijijini wanakuangalia kama mti wa mpera wakisubiria uangushe, hakuna anaecheza!
Wakiwa kwenye sherehe, Mama Doreen akamwuliza mwanae hawa wanaume ni kaka zake Adrienne kweli?
Adrienne na Shawn nao mambo hayakuwa mabaya, Shawn aliweza kujizuia sauti si unajua tena pale kaambiwa ni kakake, sasa akianza kuimba hip hop italeta balaa kwa wazazi wa watu. Kwahiyo mechi ilipigwa polepole, mpaka James na Doreen wanarudi walishalala kila mmoja ameridhika.
Chanel: hakulala kabisa usiku akawa amekaa tu kitandani anawazua na kuwaza, hajui atafanya nini na hakuyapenda maisha ya kuwa pekeyake, akachukua simu ampigie Pedeshee Marion network ikawa haipo, akijaribu kumpigia Mark network hamna, ah akaona huenda Mungu amezuia, akakaa analia, mara asali, mara acheke utumbo alioufanya mara anarudi kulia basi tu ilimradi chumbani yupo pekeyake.
SIKUKUU YA KRISMASS
Christmass ikawadia, pale kijijini wazazi wa Doreen wakaandaa ubwabwa na mbuzi wawili na kuku na ng’ombe nyama za kila aina, pilau, akina James wako kwenye nyama choma, warembo wako jikoni wanapika pilau si unajua kijijini tena pilau ndio sikukuu yenyewe, soda, togwa, pombe, mazagazaga yaani Doreen alichafua pale kwao ikabidi sasa hata mwenyekiti wa kijiji akaribishwe kama mgeni wa sikukuu, sherehe ikasogea na majirani wakasogea, si unajua za kijijini tena, pilau ikavuta mpaka mtaa wa tatu, watoto wa shule wote wapo hapo mlangoni wanasubiri nyama na pilau, sherehe ikasogea ikabidi mwenyekiti wa kijiji alete mziki, miziki ikapigwa old school (miziki ya zamani) ya akina pepekale, indemoni kwa sana, akina koffi olomide, kwasakwasa nyingi sherehe ikawa sherehe. Kanda bongo mani nae hakukosa, miziki ya miaka ya 90 kijijini ndio yenyewe, ukipiga twangapepeta kijijini wanakuangalia kama mti wa mpera wakisubiria uangushe, hakuna anaecheza!
Wakiwa kwenye sherehe, Mama Doreen akamwuliza mwanae hawa wanaume ni kaka zake Adrienne kweli?
Chanel: akasikia akamwuliza kwanini mama? Mama Doreen: juzi nimemwona huyu Shawn na Adrienne pale kwenye mahindi shambani, nikafikiria labda kuna mnyama amemkamata ng’ombe wangu nikasogea na silaha, kuchungulia nakuta wanafanya mapenzi sasa hawa ni kaka na dada kivipi? alafu wameangusha mahindi yangu yote chini.
Chanel na Doreen wakacheka kwanguvu sana, Chanel kidogo aanguke chini ikabidi akae tu chini huku anacheka, eti sijawahi kucheka tangu nimetoka Dar leo mama umenipatia.
Mama wa watu yupo serious kakomaa anauliza, Doreen akamwambia mama bwana tutaongea sikunyingine, ila hao ni wapenzi nimeona aibu kukwambia mbele ya baba.
Mama Doreen: Waambie basi wavumiliane mpaka mrudi nyumbani, maana huku kijijini mtaniletea aibu.
Chanel anacheka kama hadija kopa, eh hii kali mpaka kichaka cha mahindi watu wamo, kweli kijijini pazuri, hahahahaha.
Doreen: Basi yaishe usije jaza watu hapa Chanel.
Chanel: anazidi tu kucheka haelewi anyamazaje.
SOWETO BABY:
Carrie na George wapo huko Soweto, eh pazuri wadada wazuri akajiona kama sisimizi kwa tembo, mashepu kama Doreen wamechongeka akawa anajiuliza ivi George amefuata nini kwangu mbona hawa warembo sana, du! Akawa haelewi kwanini!
Baadae kusikiwa wanawake wa Soweto wahuni, wengine wana ukimwi, wanawaendesha wanaume hata thamani hawana, wanaume wao wamewashindwa wanawaangaliaga tu ila kwa uzuri wazuri bwana hakuna wa kufanania wapo kama wale wadada kwenye miziki ya R&B mamtoni, wazuri kweli kweli akawa ameduwaa anashangaa tu.
Christmass ikaenda vizuri, baadae akamwona George anakuja anamwambia njoo huku, akamfuata, akamwambia unawaona wazee washalewa, hapa leo tunalala hapa mpaka mwakampya, we twende zetu hotelini la sivyo tutaitwa tukawabebe mgongoni wakalale, wakaingia kwenye gari hao hotelini, Carrie akashukuru, akaona kama Mungu kamkumbuka, kufika hotelini George kajiandaa na show, wakati Carrie alikula mavyakula ya huko Soweto, eh! Si unajua mkwe tena unaambiwa onja hiki na kile hawezi kukataa, alipofika tu hotelini akaishia kuharisha, hamu na George ikaisha, George kasubiri weeee, lisaa 1 mtu analala chooni akiamka tu anaharisha anarudi kukaa chini, George akachoka akaenda kumtafutia dawa ya kuzuia kuharisha akaja kumpatia, akanywa likatulia ikabidi tu walale maana mgonjwa keshafelisha mechi. Uwanja wa mpira umeingia mafuriko!
Christmass ikaenda vizuri, baadae akamwona George anakuja anamwambia njoo huku, akamfuata, akamwambia unawaona wazee washalewa, hapa leo tunalala hapa mpaka mwakampya, we twende zetu hotelini la sivyo tutaitwa tukawabebe mgongoni wakalale, wakaingia kwenye gari hao hotelini, Carrie akashukuru, akaona kama Mungu kamkumbuka, kufika hotelini George kajiandaa na show, wakati Carrie alikula mavyakula ya huko Soweto, eh! Si unajua mkwe tena unaambiwa onja hiki na kile hawezi kukataa, alipofika tu hotelini akaishia kuharisha, hamu na George ikaisha, George kasubiri weeee, lisaa 1 mtu analala chooni akiamka tu anaharisha anarudi kukaa chini, George akachoka akaenda kumtafutia dawa ya kuzuia kuharisha akaja kumpatia, akanywa likatulia ikabidi tu walale maana mgonjwa keshafelisha mechi. Uwanja wa mpira umeingia mafuriko!
CHRISTMASS YA MEXICO!
Mexico nako akina Safaree wanakula bata la Christmass, pale walipokuwa wanaishi Lucifer alifanya bonge la show, akaalika wanamziki wote maarufu wa ki-mexico, wakaja na bendi kuimba mara mmoja mmoja akaleta wadada wazuri wa kuwahudumia wanaume wa pale na wanawake wakapewa wanaume wazuri wa kuwahudumia, bata la kufa mtu akina Stan na midadi yao ya kichaga Yesuu na maria warembo wazuri sana anachanganyikiwa wengine wana ma-wowowo kama waafrica akawakamatia hao hao, siku hiyo Stan alilala na wanawake watano, mara three sum mara two sum kila mwanamke anafanya yake, Stan ushamba ukamtoka akajiona kidume kweli kweli.
Huku kwa Safaree nae akapewa ma beibe ila stimu ikamkata, akamkumbuka Adrienne na yale mambo wamefanyiana ah akaona wanawake sio issue, akala na kunywa akaingia kulala, Christmass kwa Safaree haikuwa kiviiile maana alilala muda mwingi, hakuwa hata na hamu ya mwanamke.
Kimaro nae amezungukwa na wanawake 6, Big Don, Big Man, ameshapendeza usoni kwa pombe kali na ma-sigar, pati pati kweli watu wanafurahia mwaka wao wa mafanikio, biashara imeenda vizuri dunia nzima, party mpaka asubuhi.
Asubuhi mlango wa Safaree ukafunguliwa akaingia Lucifer, eh Safaree akadhania anaota bwana, akafikicha macho kuangalia kweli Don Lucifer yupo hapo amekaa na mabodi-guard 10,
Lucifer: Amka we mshamba, unalala kama una mimba
Safaree: eh! Anashangaa akafikisha tena macho, Lucifer anaongea Kiswahili kama amekulia huko!
Lucifer: We Bwashee amka, sina muda wa kupoiteza, mara body guard mmoja akam-mwagia maji usoni akiwa kitandani
Safaree: akazinduka kabisa maana alihisi anaota
Lucifer: nimekuja kukupa taarifa, ukirudi Tanzania wewe ndio utashika usukani, Kimaro kuna mambo hajaweka sawa, naona amezeeka sasa hayupo makini na kazi ila wewe nakuona una umakini na upo serious, nataka ukamate behewa lote la Tanzania, msaidizi wako atakuwa Stan na Kimaro, kimaro namshusha sana cheo atakuwa anawapa ushauri ila mshahara wake ni mkubwa sana kwenu wote, nenmda polepole na Kimaro usimpelekeshe, ni vile amezeeka tu lakini ni mtu mzuri hajawahi kuniangusha
Safaree: Sawa Mkuu nashukuru
Lucifer: kuna vijana wangu 3 wapo Tanzania sasa hivi watakua wanakuangalia utendaji kazi wako na Stan na Kimaro, mkizingua mkaniharibia nawaangamiza wote, sinaga masihara kwenye kazi
Safaree: Sawa Mkuu,
Lucifer: January 3 tunaondoka kurudi Tanzania wote, nimeshafungua ofisi, Tar 10 naenda kuifungua ofisi yangu nataka uwepo
Safaree: Sawa Mkuu
Lucifer: siku njema! Akaondoka na ma body guard wake
Safaree akafurahi sana, akakumbuka yale maneno ya mganga, akaona kweli Mungu anacheka nae mwaka 2007-2011 ndio miaka yake ya kujidai, akaamua kufanya kufuru ya maisha bongo, akapania kuwateka wote waliomdharau, wote waliomwona mshenzi wakamdharau, che akampania hadi Adrienne mtoto wa kishua, akasema moyoni kwake nikirudi atanikoma.
Huku kwa Safaree nae akapewa ma beibe ila stimu ikamkata, akamkumbuka Adrienne na yale mambo wamefanyiana ah akaona wanawake sio issue, akala na kunywa akaingia kulala, Christmass kwa Safaree haikuwa kiviiile maana alilala muda mwingi, hakuwa hata na hamu ya mwanamke.
Kimaro nae amezungukwa na wanawake 6, Big Don, Big Man, ameshapendeza usoni kwa pombe kali na ma-sigar, pati pati kweli watu wanafurahia mwaka wao wa mafanikio, biashara imeenda vizuri dunia nzima, party mpaka asubuhi.
Asubuhi mlango wa Safaree ukafunguliwa akaingia Lucifer, eh Safaree akadhania anaota bwana, akafikicha macho kuangalia kweli Don Lucifer yupo hapo amekaa na mabodi-guard 10,
Lucifer: Amka we mshamba, unalala kama una mimba
Safaree: eh! Anashangaa akafikisha tena macho, Lucifer anaongea Kiswahili kama amekulia huko!
Lucifer: We Bwashee amka, sina muda wa kupoiteza, mara body guard mmoja akam-mwagia maji usoni akiwa kitandani
Safaree: akazinduka kabisa maana alihisi anaota
Lucifer: nimekuja kukupa taarifa, ukirudi Tanzania wewe ndio utashika usukani, Kimaro kuna mambo hajaweka sawa, naona amezeeka sasa hayupo makini na kazi ila wewe nakuona una umakini na upo serious, nataka ukamate behewa lote la Tanzania, msaidizi wako atakuwa Stan na Kimaro, kimaro namshusha sana cheo atakuwa anawapa ushauri ila mshahara wake ni mkubwa sana kwenu wote, nenmda polepole na Kimaro usimpelekeshe, ni vile amezeeka tu lakini ni mtu mzuri hajawahi kuniangusha
Safaree: Sawa Mkuu nashukuru
Lucifer: kuna vijana wangu 3 wapo Tanzania sasa hivi watakua wanakuangalia utendaji kazi wako na Stan na Kimaro, mkizingua mkaniharibia nawaangamiza wote, sinaga masihara kwenye kazi
Safaree: Sawa Mkuu,
Lucifer: January 3 tunaondoka kurudi Tanzania wote, nimeshafungua ofisi, Tar 10 naenda kuifungua ofisi yangu nataka uwepo
Safaree: Sawa Mkuu
Lucifer: siku njema! Akaondoka na ma body guard wake
Safaree akafurahi sana, akakumbuka yale maneno ya mganga, akaona kweli Mungu anacheka nae mwaka 2007-2011 ndio miaka yake ya kujidai, akaamua kufanya kufuru ya maisha bongo, akapania kuwateka wote waliomdharau, wote waliomwona mshenzi wakamdharau, che akampania hadi Adrienne mtoto wa kishua, akasema moyoni kwake nikirudi atanikoma.
Mimi ndio Safaree the Don sasa hivi, wote chini yangu.
Baada ya Christmass na Boxing day wakarudi tena kazini kwenye mafunzo ya biashara yao, mafunzo mazuri na makali, hadi kupigana wakapewa elimu, jisni ya kutokamatwa na mapolisi.
KIJIJINI SINGIDA:
Baada ya Christmass na Boxing day wakarudi tena kazini kwenye mafunzo ya biashara yao, mafunzo mazuri na makali, hadi kupigana wakapewa elimu, jisni ya kutokamatwa na mapolisi.
KIJIJINI SINGIDA:
Kijijini mambo yakanoga, James na Shawn wakaonekana wanalima, wanachunga ng’ombe, wanakatia majani Ng’ombe, Mbuzi, Kondoo, eh mpaka hata kusaidia kuzalisha wanyama waliweza, hata kukamua maziwa walipiga kazi sio kitoto, basi tu kupoteza muda si unajua kijijini muda hauendi, mara wamechinja ng’ombe mara wameteka maji mtoni, usafi, wa hapa na pale, wazazi wa Doreen wakawafurahia, wakawa muda mwingi wamekaa chini wamepumzika. Mama Doreen akawaambia Doreen na Chanel na Adrienne watakaokuwa waume wa hawa watu wata-enjoy sana life, warembo waka angaliana wakacheka, mama akawauliza mnacheka nini? Mnawajua nini? Au wapo hapa? Wakaishia kucheka tu wote.
HUKO SOWETO:
Fundi Carrie tumbo limekuja kupona wamesharudi kwa wazazi wanasubiri usiku washeherekee mwaka mpya, show kwao ilienda likizo ikabidi wakubaliane tu na hali halisi, ila Carrie alikuwa analaani sio kitoto, yani naingia 2008 bikira, uuuwi nahisi nitakufa sio kwa kuwekwa huku!
Usiku wa kuukaribisha mwaka mpya, kijijini kunafanyikaga sherehe, wanaletwa wachungaji na mashehe wanafanya ibada hapo wanaomba, wanaukaribisha mwana alafu wanabakia vijana wanakula bata, pombe, wengine wanapiga baruti, wengine wanachoma matairi, fujo mtindo mmoja, wameupokea mwaka 2008, furaha na fujo, wazazi wa Doreen wakaona isiwe balaa sisi twarudi kulala ilimradi tumeshauona mwaka ngoja tukalae, wakabakia vijana wa kazi, Shawn kalewa utadhania ni siku yake ya ndoa, Adrienne anashangaa mbona Shawn anafuraha sana, kumbe Shawn anafuraha ya mambo yake ya kikazi kwa mwaka 2008.
Chanel akakutwa amekaa mwenyewe na James , shemeji ushaanza kulia lia kama muhindi tena!? Nini shida?
HUKO SOWETO:
Fundi Carrie tumbo limekuja kupona wamesharudi kwa wazazi wanasubiri usiku washeherekee mwaka mpya, show kwao ilienda likizo ikabidi wakubaliane tu na hali halisi, ila Carrie alikuwa analaani sio kitoto, yani naingia 2008 bikira, uuuwi nahisi nitakufa sio kwa kuwekwa huku!
Usiku wa kuukaribisha mwaka mpya, kijijini kunafanyikaga sherehe, wanaletwa wachungaji na mashehe wanafanya ibada hapo wanaomba, wanaukaribisha mwana alafu wanabakia vijana wanakula bata, pombe, wengine wanapiga baruti, wengine wanachoma matairi, fujo mtindo mmoja, wameupokea mwaka 2008, furaha na fujo, wazazi wa Doreen wakaona isiwe balaa sisi twarudi kulala ilimradi tumeshauona mwaka ngoja tukalae, wakabakia vijana wa kazi, Shawn kalewa utadhania ni siku yake ya ndoa, Adrienne anashangaa mbona Shawn anafuraha sana, kumbe Shawn anafuraha ya mambo yake ya kikazi kwa mwaka 2008.
Chanel akakutwa amekaa mwenyewe na James , shemeji ushaanza kulia lia kama muhindi tena!? Nini shida?
Chanel: akacheka! ah shem hamna silii, nakumbukia ya mwaka jana tu
James: achana na huo ujinga huu mwaka mwengine, we focus na life yako ya mbele achana na hao watu
Chanel: ila sasa mimi sio roboti nilipenda na nilimwomba Mungu jamani, naumia kuona nimeumiza wanaume wa2 ambao wapo innocent, dah nitakuwa nimefunga milango kwa wanawake wenzangu watakaokuja kwenye maisha yao baadae
James: ah we potezea ya mbele ya Mungu hayakuhusu, Ila inaelekea wote walikuchanganya sana shem, kati ya hao wawili nani mkali zaidi nani mkali zaidi?
Chanel: ah, mkali Marion, si unajua watu wafupi walivyo watamu?!
James: ina maana mimi sio mtamu nini kwasababu ni mrefu? Ah shem au ndio rafkiako kakwambia ivyo au?
Chanel: hapana bwana, unajua kila mtu ana utamu wake sijauliza kuhusu wewe ila inawezekana wewe noma zaidi maana sio kwa kulia kule kwa Doreen usiku wa manane tulipokuwa Dar.
Wote: wakacheka wakainuka kwenda kucheza utamaduni na bolingo uwanjani.
James: achana na huo ujinga huu mwaka mwengine, we focus na life yako ya mbele achana na hao watu
Chanel: ila sasa mimi sio roboti nilipenda na nilimwomba Mungu jamani, naumia kuona nimeumiza wanaume wa2 ambao wapo innocent, dah nitakuwa nimefunga milango kwa wanawake wenzangu watakaokuja kwenye maisha yao baadae
James: ah we potezea ya mbele ya Mungu hayakuhusu, Ila inaelekea wote walikuchanganya sana shem, kati ya hao wawili nani mkali zaidi nani mkali zaidi?
Chanel: ah, mkali Marion, si unajua watu wafupi walivyo watamu?!
James: ina maana mimi sio mtamu nini kwasababu ni mrefu? Ah shem au ndio rafkiako kakwambia ivyo au?
Chanel: hapana bwana, unajua kila mtu ana utamu wake sijauliza kuhusu wewe ila inawezekana wewe noma zaidi maana sio kwa kulia kule kwa Doreen usiku wa manane tulipokuwa Dar.
Wote: wakacheka wakainuka kwenda kucheza utamaduni na bolingo uwanjani.
Mziki mpaka saa 12 asubuhi wakarudi kulala wapo hoi wakajitupa kitandani wuuuuuuuuuu!
ITAENDELEA LEO J2 SAA 2 USIKU YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
G. LIMAO YA MWAKA
2008
Mwaka wa maraha, mwaka mpya, mwaka wa kuanza upya, mikakati, majukumu kuwekwa sawa, kurekebisha matatizo nakadhalika wa kadhalika.
Bondeni vijana wakaaga kuwa wanarudi Bongo, basi tu wameshachoka kukaa na wakwe na hawajala raha, wakwe wakawaaga pale nini, wamefungashiwa mazawadi, mama mkwe jamani karibu tena mwanangu tutaonana Dar es Salaam, jamani nakupenda mwanangu uje tena na tena hata kabla hatujaleta mahari uje tu, Carrie anacheka tu sawa mama hamna neno asante sana, karibuni Tanzania, hao wakasalimiana wakaondoka. Wakaingia Capetown kujirusha, Carrie na George wakapumua, eh afadhali maana sio kwa kibano hiko, mara Carrie anataka kumpandia George yani ni sheedah safari ikawa ndefu ghafla. Wakafika hotelini, mechi ya fujo ikaanza kama ya simba na yanga, nguo hazitoki mara imechanika kila mtu anang’ang’ania kumtoa nguo ya mwenzake, kila mtu alijaa uchu na minyege hawakufika kitandani wakaishia sakafuni, wakatoka hapo kila mtu anapumulia mdomo na maskio sio kwa mwendo kasi ule, wakalala hapo hapo chini sakafuni.
Wale wa kijijini nao safari ikawadia, Tar 2 haooo wakasepa wakielekea Dar es salaaaam! Kwenye gari wanakumbushiana vituko vya kijijini, eh! Mara Chanel kafanya kituko hiki, mara Adrienne kafumaniwa na mama Doreen, Mara Shawn kaitwa kaka mtu, akaulizwa ivi ulijiskiaje kuambiwa demu wako ndio kakako?
Bondeni vijana wakaaga kuwa wanarudi Bongo, basi tu wameshachoka kukaa na wakwe na hawajala raha, wakwe wakawaaga pale nini, wamefungashiwa mazawadi, mama mkwe jamani karibu tena mwanangu tutaonana Dar es Salaam, jamani nakupenda mwanangu uje tena na tena hata kabla hatujaleta mahari uje tu, Carrie anacheka tu sawa mama hamna neno asante sana, karibuni Tanzania, hao wakasalimiana wakaondoka. Wakaingia Capetown kujirusha, Carrie na George wakapumua, eh afadhali maana sio kwa kibano hiko, mara Carrie anataka kumpandia George yani ni sheedah safari ikawa ndefu ghafla. Wakafika hotelini, mechi ya fujo ikaanza kama ya simba na yanga, nguo hazitoki mara imechanika kila mtu anang’ang’ania kumtoa nguo ya mwenzake, kila mtu alijaa uchu na minyege hawakufika kitandani wakaishia sakafuni, wakatoka hapo kila mtu anapumulia mdomo na maskio sio kwa mwendo kasi ule, wakalala hapo hapo chini sakafuni.
Wale wa kijijini nao safari ikawadia, Tar 2 haooo wakasepa wakielekea Dar es salaaaam! Kwenye gari wanakumbushiana vituko vya kijijini, eh! Mara Chanel kafanya kituko hiki, mara Adrienne kafumaniwa na mama Doreen, Mara Shawn kaitwa kaka mtu, akaulizwa ivi ulijiskiaje kuambiwa demu wako ndio kakako?
Shawn: ah! nilipotezea tu si unajua kwa wakwe bwana lazima ukubali yote, ila niliumia kimtindo lakini moyoni najua ukweli uko wapi.
Wakapiga mastori, mara wanaimba, mara wanalala, mara wanapiga picha, mara wanakumbushana stori za movies, safari ikawa ya raha, kuchoka kukawa sio sana kama walivyokwenda, wakaingia Dar, kila mtu akashushwa kwake, gari ikakomea kwa Doreen ambapo Chanel alikuwa amehifadhiwa.
Wakakaa siku mbili ndani wakati James alirudia kazini kuandaa mazingira ya Lucifer.
Akina Safaree ndani ya Bongo na Don Lucifer, Lucifer mwenyewe ukimwona supa duba, Gorilla body yani wa ukweli afu maji ya kunde, wakatua Tz wakaingia Oysterbay wamepokelewa nakwambia kama wafalme, Safaree na Stan wanafurahia maisha yao yanaenda kubadilika, wakarudi kulala kwao Lucifer akaenda kwake Oysterbay. Akapokelewa na mwanae wa kiume ana miaka 5, anaongea English ya kufa mtu, mtoto wa International School of Moshi,
Baby Ivan: Daddy, Daddy you came hooome, I miss you
Lucifer: I miss you too Son!
Wakasalimiana wee, mtoto amefurahi anadai zawadi akapewa kigari toy na kibaiskeli toy, helikopta toy, na machocolate akawa anafurahia mtoto, wakakaa wanaongea na mwanae, basi mambo mazuri, mara akatokea mama yake mzazi wakasalimiana pale nini, baadae akaingia James, wakaanza kuongea biashara na mipango mikakati, wakashinda kwa Lucifer siku 5 bila kuonana na Doreen, Doreen akipiga simu haipokelewi, mara haipatikani imezimwa.
Doreen anahaha kwa Chanel sasa hii tabia gani mtu simpati kwenye simu tangu juzi, Chanel pale anaanza kumtia moyo na kumbembeleza, usijali wangu yupo kazini atarudi tu vumilia.
Lucifer akamwuliza James, Doreen vipi? Anaweza kuanza kazi tar 5?! James akajibu ndio
Lucifer: ile ishu yetu umemweka sawa?
Jame: Ndio
Lucifer: Naweza kutembea nae sasa?
James: Ndio hana shida
Lucifer: Umetumia condom? sitaki apate mimba, ukimpa mimba nitakubadilikia rangi utajuta kuzaliwa
James: Ndio Mkuu, kila kitu nimezingatia, ila moyoni mwake anaogopa, maana kuna mida alipita na Doreen kavu sasa haelewi kama ameshanasa mimba au? Si unajua mambo ya mkuu ukivurunda unanyongwa!
Lucifer: leo ndio siku ya mwisho kuonana na Doreen, kesho unaondoka kurudi Mexico mpaka nitakapokuita, kafanye yako yooote na Doreen mwambie tar 5 aje aanze kazi, alfajiri ndege inaondoka utasimamia Mexico nitamleta Kimaro baadae, usivurunde kazi yangu kule, mimi nitaendelea na Doreen kuanzia Tar 5.
James: Sawa Mkuu
Lucifer: Siku njema, wasalimie Mexico.
James akaondoka roho inamuuuma, alishaanza kupendana na Doreen wake maskini, dah akifikiria kazi ni ya mkuu anachoka, akimkimbia Doreen anaumia lakini ndio katumwa kazi afanyaje. Akarudi nyumbani kwa Doreen akiwa na sanduku, Doreen akamzaba vibao, ulikuwa wapi, Chanel ikabidi aondoke akajifungie chumbani.
Akina Safaree ndani ya Bongo na Don Lucifer, Lucifer mwenyewe ukimwona supa duba, Gorilla body yani wa ukweli afu maji ya kunde, wakatua Tz wakaingia Oysterbay wamepokelewa nakwambia kama wafalme, Safaree na Stan wanafurahia maisha yao yanaenda kubadilika, wakarudi kulala kwao Lucifer akaenda kwake Oysterbay. Akapokelewa na mwanae wa kiume ana miaka 5, anaongea English ya kufa mtu, mtoto wa International School of Moshi,
Baby Ivan: Daddy, Daddy you came hooome, I miss you
Lucifer: I miss you too Son!
Wakasalimiana wee, mtoto amefurahi anadai zawadi akapewa kigari toy na kibaiskeli toy, helikopta toy, na machocolate akawa anafurahia mtoto, wakakaa wanaongea na mwanae, basi mambo mazuri, mara akatokea mama yake mzazi wakasalimiana pale nini, baadae akaingia James, wakaanza kuongea biashara na mipango mikakati, wakashinda kwa Lucifer siku 5 bila kuonana na Doreen, Doreen akipiga simu haipokelewi, mara haipatikani imezimwa.
Doreen anahaha kwa Chanel sasa hii tabia gani mtu simpati kwenye simu tangu juzi, Chanel pale anaanza kumtia moyo na kumbembeleza, usijali wangu yupo kazini atarudi tu vumilia.
Lucifer akamwuliza James, Doreen vipi? Anaweza kuanza kazi tar 5?! James akajibu ndio
Lucifer: ile ishu yetu umemweka sawa?
Jame: Ndio
Lucifer: Naweza kutembea nae sasa?
James: Ndio hana shida
Lucifer: Umetumia condom? sitaki apate mimba, ukimpa mimba nitakubadilikia rangi utajuta kuzaliwa
James: Ndio Mkuu, kila kitu nimezingatia, ila moyoni mwake anaogopa, maana kuna mida alipita na Doreen kavu sasa haelewi kama ameshanasa mimba au? Si unajua mambo ya mkuu ukivurunda unanyongwa!
Lucifer: leo ndio siku ya mwisho kuonana na Doreen, kesho unaondoka kurudi Mexico mpaka nitakapokuita, kafanye yako yooote na Doreen mwambie tar 5 aje aanze kazi, alfajiri ndege inaondoka utasimamia Mexico nitamleta Kimaro baadae, usivurunde kazi yangu kule, mimi nitaendelea na Doreen kuanzia Tar 5.
James: Sawa Mkuu
Lucifer: Siku njema, wasalimie Mexico.
James akaondoka roho inamuuuma, alishaanza kupendana na Doreen wake maskini, dah akifikiria kazi ni ya mkuu anachoka, akimkimbia Doreen anaumia lakini ndio katumwa kazi afanyaje. Akarudi nyumbani kwa Doreen akiwa na sanduku, Doreen akamzaba vibao, ulikuwa wapi, Chanel ikabidi aondoke akajifungie chumbani.
Doreen anafoka kama nguruwe!, anampiga mangumi mgongoni, hao Malaya wako ulioenda kulala nao huko rudi huko huko sitaki hata kukuona.
James: anazidi kuumia maana ndio mara ya mwisho kuonana nae, alafu demu analeta mambo ya namna gani vipi akachoka mara 2, anafokewa anamwangalia tu, abaadae akaona giza linaingia akaenda chumbani kwao.
James: anazidi kuumia maana ndio mara ya mwisho kuonana nae, alafu demu analeta mambo ya namna gani vipi akachoka mara 2, anafokewa anamwangalia tu, abaadae akaona giza linaingia akaenda chumbani kwao.
Doreen akamfuata anazidi kufoka.
James: akachukua kanga mbili, akatengeneza kama kanga, akamshika Doreen akawa anambusu, akaichukua ile kanga akamfunga mikono, Doreen akajua mechi ya style mpya imeanza. anamwangalia tu, baadae akamuweka Doreen kwenye kochi akamfunga kanga ya pili miguu, na ya tatu akaufunga mdomo.
Doreen: keshakasirika anapiga makelele Chanel aje lakini hasikiki, baadae James akaingia kuoga Doreen anajaribu kujisogeza mpaka mlangoni, mara kiti kinaangushwa mara chupa inaanguka, Chanel anasikia akajua ah mechi kweli imekolea mpaka vyupa vimeangushwa na viti akajua leo Doreen lazima apate mimba. Akiwa anatoka kuoga, akabaki na boxer akaanza kuongea na Doreen, nilikuwa kikazi nakuhangaikia na wewe upate kazi, tar 5 uende sehemu fulani kazi yako imepatikana, siku zote nimekuwa kimya niliitwa na boss wangu mkubwa sikutakiwa kuwa hewani, acha kunisumbua unapiga kelele mwanamke hauna hata nukta.
Nimerudi kwa mke wangu tuongee vizuri tupange tunafanya nini kuhusu penzi letu unaniwakia, sasa mimi kesho naondoka kikazi narudi baada ya miaka 5, nimekuja kukuaga lakini unanipigia kelele sikuelewi, akamfungua mdomo, na mikono na miguu akaingia kulala.
Doreen macho yanamtoka, miaka 5, sitamwona tena, mbona sielewi, kwani anafanya kazi wapi?
Akamwamsha James, James amka tafadhali tuyaongee, samahani nimekubwatukia, sasa unaenda wapi mbona sikuelewi, inamaana umekubalije kuondolewa kazini ukakae nje miaka mi5 bila kunishirikisha kwanza, yani kwenye akili yako sikuwepo unakubali kubali tu kuondoka na kuacha kila kitu tulichokuwa nacho
James: akaamka, Doreen kazini kwetu tunafuata oda, oda oda, boss akiongea hamna kupinga wala kuuliza wala ku-bargain, ni oda kwenda mbele, kwa hapo nimeshindwa mami, siwezi kwenda kuomba waniongezee muda.
Doreen: basi niende kuongea na boss wako labda atanisikia, yani miaka mi 5 nakusubiria pekeyangu una maana gani? Huku analia
James: akamwangalia tu anamhurumia, hajui anamsaidiaje, akawa anambembeleza, kesho itabidi unipeleke airport maana natakiwa airport kabla ya saa 11 asubuhi ndege inaondoka.
Doreen: anazidi kulia tu, maana hapo ni saa 4 usiku akaona kama usiku, kwani unafanya kazi gani iyo huyo boss ni jini au mpaka anashindwa kuelewa una mke wako nyumbani?! Huku analia maskini Doreen wa watu miaka mitano ni nusu karne, akifikiria hajui mwanaume mwengine zaidi yake, akawa kama amechanganyikiwa, akatoka kukaa sebuleni huku analia.
Chanel: akatoka kuchukua maji ya kunywa akamkuta Doreen analia, mama unalia nini tena? Akamwelezea,
Doreen macho yanamtoka, miaka 5, sitamwona tena, mbona sielewi, kwani anafanya kazi wapi?
Akamwamsha James, James amka tafadhali tuyaongee, samahani nimekubwatukia, sasa unaenda wapi mbona sikuelewi, inamaana umekubalije kuondolewa kazini ukakae nje miaka mi5 bila kunishirikisha kwanza, yani kwenye akili yako sikuwepo unakubali kubali tu kuondoka na kuacha kila kitu tulichokuwa nacho
James: akaamka, Doreen kazini kwetu tunafuata oda, oda oda, boss akiongea hamna kupinga wala kuuliza wala ku-bargain, ni oda kwenda mbele, kwa hapo nimeshindwa mami, siwezi kwenda kuomba waniongezee muda.
Doreen: basi niende kuongea na boss wako labda atanisikia, yani miaka mi 5 nakusubiria pekeyangu una maana gani? Huku analia
James: akamwangalia tu anamhurumia, hajui anamsaidiaje, akawa anambembeleza, kesho itabidi unipeleke airport maana natakiwa airport kabla ya saa 11 asubuhi ndege inaondoka.
Doreen: anazidi kulia tu, maana hapo ni saa 4 usiku akaona kama usiku, kwani unafanya kazi gani iyo huyo boss ni jini au mpaka anashindwa kuelewa una mke wako nyumbani?! Huku analia maskini Doreen wa watu miaka mitano ni nusu karne, akifikiria hajui mwanaume mwengine zaidi yake, akawa kama amechanganyikiwa, akatoka kukaa sebuleni huku analia.
Chanel: akatoka kuchukua maji ya kunywa akamkuta Doreen analia, mama unalia nini tena? Akamwelezea,
Chanel: Pole jamani haya maisha sio fair, akamnong’oneza nenda kalale nae upate mimba yake, Doreen akamwangalia kwa mshangao alafu nani atailea wewe au Pedeshee?
Chanel: Unampenda James au? Wewe niskilize mengine baadae.
Doreen akarudi kulala lakini hakulala, akajaribu kutoa mechi James akakataa, anajaribu mumfosi lakini wapi, akazidi kumfosi James akamhurumia akakubali mechi ikapigwa goal keeper wetu Doreen,
Doreen akarudi kulala lakini hakulala, akajaribu kutoa mechi James akakataa, anajaribu mumfosi lakini wapi, akazidi kumfosi James akamhurumia akakubali mechi ikapigwa goal keeper wetu Doreen,
James akikaribia kutoa anatoa nje, Doreen anashangaa kwanini unafanya ivyo? Au hautaki tupate watoto?
James: kwa sasa hapana, Mungu akipenda tutapata mtoto ila sio kwa sasa, sasa narudi kazini, Doreen akazidi kuchizika.
Saa 10 asubuhi James akaamka akajiandaa, akamuamsha Doreen amsindikize, wakaondoka haoo mpaka Aiport na Chanel, kwenye gari ukapigwa wimbo wa Michael Jackson, you rock my world, James akaongeza sauti maana hakutaka kuongea akaona bora Michael Jackson aimbe tu amsaidie kumwelezea, Chanel anaangalia tu anaona movie la leo la kichina.
kufika aiport ikabidi waagane haraka haraka, James akimwangalia Doreen roho inamwuuma vbaya mno, akamkumbatia akambusu kwenye shavu, Doreen analia haamini atamwona James ndani ya miaka 5 ijayo,.
Saa 10 asubuhi James akaamka akajiandaa, akamuamsha Doreen amsindikize, wakaondoka haoo mpaka Aiport na Chanel, kwenye gari ukapigwa wimbo wa Michael Jackson, you rock my world, James akaongeza sauti maana hakutaka kuongea akaona bora Michael Jackson aimbe tu amsaidie kumwelezea, Chanel anaangalia tu anaona movie la leo la kichina.
kufika aiport ikabidi waagane haraka haraka, James akimwangalia Doreen roho inamwuuma vbaya mno, akamkumbatia akambusu kwenye shavu, Doreen analia haamini atamwona James ndani ya miaka 5 ijayo,.
James: Chanel Pedeshee hana neno nenda nae mpaka mwisho ila Mark nina mashaka nae, tulia na Marion, akamkumbatia shemeji yake Chanel akaondoka.
Huku nyuma kumbe alikuwa amesimama Lucifer na team yake, eh wanahakikisha kama James kaondoka kweli au? Akawa anawasiliana na mtu wa aiport ndani ahakikishe amepanda ndege ameondoka alivyoondoka na yeye akaondoka, akawa anamwangalia Doreen anavyolia na Chanel amemkumbatia, akawa anaongea polepole, finally nitampata Doreen wangu! wakaondoka na mabody guard wake!
Huku nyuma kumbe alikuwa amesimama Lucifer na team yake, eh wanahakikisha kama James kaondoka kweli au? Akawa anawasiliana na mtu wa aiport ndani ahakikishe amepanda ndege ameondoka alivyoondoka na yeye akaondoka, akawa anamwangalia Doreen anavyolia na Chanel amemkumbatia, akawa anaongea polepole, finally nitampata Doreen wangu! wakaondoka na mabody guard wake!
ITAENDELEA KESHO TAR 12 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
SEHEMU YA 4
A. LIMAO NA ASALI YA MSAMAHA
Kurudi nyumbani Doreen hakutaka kula, kuongea akaingia kulala, huku analia mpaka usingizi ukamchukua.
Chanel akajiandaa kwenda kazini maana ishakuwa asubuhi, kabla hajaondoka akatengeneza chai akamwekea mezani Doreen akiamka anywe, akaacha kinoti kuwa ameenda kazini kukiwa na tatizo ampigie au ampigie Meneja wake atarudi.
Wakiwa wanarudi nyumbani kumbe Lucifer aliwafuata kwa nyuma, akawaona wanaingia ndani, akamwambia Dereva shika hii njia siku sio nyingi utanileta, Dereva akajibu sawa Mkuu.
Adrienne akarudi hotelini The Kilimanjaro, wakawa wanaishi na Shawn huko, Shawn akienda kazini kwa Lucifer, asubuhi anarudi jioni.
Wakiwa wanarudi nyumbani kumbe Lucifer aliwafuata kwa nyuma, akawaona wanaingia ndani, akamwambia Dereva shika hii njia siku sio nyingi utanileta, Dereva akajibu sawa Mkuu.
Adrienne akarudi hotelini The Kilimanjaro, wakawa wanaishi na Shawn huko, Shawn akienda kazini kwa Lucifer, asubuhi anarudi jioni.
Lucifer akamwuliza unaishi wapi?
Shawn: Naishi hotelini.
Lucifer: Kwa kazi yako hauwezi kuishi hotelini nakutafutia nyumba uwe unaishi na wafanyakazi wenzako.
Shawn: Mkuu mimi napenda kuishi pekeyangu, kuishi na watu sio vizuri.
Lucifer: Tafuta nyumba ndani ya wiki hii, uwe umeshahamia.
Basi Shawn akafanya yake anahangaikia kutafuta nyumba.
Siku moja Adrienne akamshusha ofisini Shawn akawa anataka kutoka aende ofisini kwake, akiwa anatoka na gari mara Safaree huyoo anaingia, alipomwona tu kasheshe ikaanza, Safaree akashuka kwenye gari anamfuata, Adrienne akarudisha gari nyuma, akawa anakimbia kurudi ofisini, akampigia simu Shawn kuna mtu anataka kunidhuru, Shawn akashuka alipomwona ni Safaree akawaita security waje wamtoe Adrienne maana vile vita sio vya kitoto.
Security wa Lucifer wakaja kumshika Safaree, Safaree akawa anajitoa kwa Securities lakini wakamshinda nguvu, akawa anatoa bastola anataka kumpiga Adrienne, ikamkosa kosa ikapiga kwenye kioo cha gari.
Shawn anashangaa imekuwaje hawa wanajuanaje? Lakini hakutaka kuingilia akawa anachungulia kwa dirishani tu.
Adrienne hakuamini, roho inamwenda mbio mapigo ya moyo anashangaa Safaree anafanyaje pale na kwanini wale walimshika akawa ana wasiwasi, kuna uhusiano gani kati ya ofisi ya Shawn na Safaree? Hakuelewa akabakia kushangaa.
Kurudi jioni Chanel akaikuta chupa kama ilivyokuwa, akaenda kumwangalia Doreen hapumui, eh akadata, Kumshika tena hapumui akaangalia pembeni anaona vidonge vingii vimewekwa pembeni, kumbe Doreen alishameza dawa ajiue.
Kurudi jioni Chanel akaikuta chupa kama ilivyokuwa, akaenda kumwangalia Doreen hapumui, eh akadata, Kumshika tena hapumui akaangalia pembeni anaona vidonge vingii vimewekwa pembeni, kumbe Doreen alishameza dawa ajiue.
Chanel: hakujua alipopata nguvu, lakini alimbeba mpaka nje akamwita mlinzi akodi taxi, akiwa anampepea na kummwagia maji taxi ikaja akakimbizwa hospitali, madokta wakafanya yao akawahiwa kutolewa zile dawa, wakamlaza waangalie hali yake.
Chanel akampigia Adrienne na Shawn wakaja, wanashangaa imekuwaje Chanel akawahadithia mkasa wote wa James.
Shawn: maskini Doreen na juzi tumetoka kwa wazazi wake jamani, kwani James kaenda wapi?
Chanel: Kaenda Mexico kikazi atarudi baada ya miaka mitano.
Shawn: duh, kimoyomoyo anasema huyo kurudi majaliwa itabidi Doreen aendelee tu na maisha yake atafute bwana mwingine, maana James kurudi ni majaliwa ya mwenyezi Mungu, akiwa katika mawazo ya kichwa chake, Adrienne akamwuliza una waza nini baby?
Shawn: yani namhurumia Doreen maskini dah, wakawa wanasikitika.
Carrie na George wakarudi Dar es salaam, wote wakiwa na furaha, hawataki kuachana wamegandana kama Bigjii na meza ya mbao, hawakuwa tena na cha kufichana ikabidi George akaishi kwenye nyumba ya Carrie na mdogowake, ingawa alikuwa hajarudi kutoka Moshi likizo, siku za mwanzoni nyumba ilikuwa ya moto moto, mapenzi yanafanyika kokote, ukutani, dirishani jikoni, sakafuni, mezani jikoni, kibarazani, sebuleni kwenye kochi, mchaga hakuwa wa mchezo ikija kwenye swala la mapenzi, kokote pale yeye mechi inapigwa.
Carrie na George wakarudi Dar es salaam, wote wakiwa na furaha, hawataki kuachana wamegandana kama Bigjii na meza ya mbao, hawakuwa tena na cha kufichana ikabidi George akaishi kwenye nyumba ya Carrie na mdogowake, ingawa alikuwa hajarudi kutoka Moshi likizo, siku za mwanzoni nyumba ilikuwa ya moto moto, mapenzi yanafanyika kokote, ukutani, dirishani jikoni, sakafuni, mezani jikoni, kibarazani, sebuleni kwenye kochi, mchaga hakuwa wa mchezo ikija kwenye swala la mapenzi, kokote pale yeye mechi inapigwa.
Kuna siku wakaenda kutembea Coco Beach mechi ikapigwa kwenye gari, wakialikwa kwenye harusi wanaenda pamoja, wakirudi mechi inapigwa kwenye gari, wakienda kulala Bagamoyo wanapaki njiani mechi inaanza.
Wakienda kuogelea mechi inapigwa ufukweni Kha, hawachoki! Kuna siku walipiga mechi hawakujua kama dogo wa Carrie anarudi maana alikuwa na funguo wa nyumba akawakuta wamegandana mezani mwa chakula, sahani zote chini, dogo ikabidi afunge macho wakakimbia wote chumbani, aibu!
Carrie: akajibaraguza akamwomba msamaha dogo, wakaamua sasa wahamie kwenye nyumba ya George maana sasa ilikuwa kama ulevi. Akawa akitoka kazini anafikia kwa George kama mke na mume, siku walipokuja wazazi wake Tz, Carrie akawaambia wazazi wake kuwa anakuja kutolewa mahari wajiandae. Carrie akawatafuta marafiki zake maana ilikuwa kama amewasahau, akaambiwa na Chanel yaliompata Doreen, akasikitika sana akaamua wote wakutane weekend kushinda kwa Doreen na Adrienne aje alale pale waongee mpaka j2 warudi makwao.
Chanel alikuwa analala hospitali kumhudumia shogake, baada ya siku 3 Doreen akaruhusiwa kurudi nyumbani, ikabidi Chanel achukue tena likizo ya wiki 2 ya kumwuguza shoga-ake.
Chanel alikuwa analala hospitali kumhudumia shogake, baada ya siku 3 Doreen akaruhusiwa kurudi nyumbani, ikabidi Chanel achukue tena likizo ya wiki 2 ya kumwuguza shoga-ake.
Doreen: akashukuru kupata rafiki kama Chanel, wakawa wanapiga stori wanacheka wanafurahi, wanakula Doreen akaanza kupata nuru usoni, akaanza kuchangamka, siku zikasogea sogea, siku moja Chanel akapigiwa simu na Pedeshee, Doreen akamwambia pokea hizo ndio Baraka za kuniuguza, Chanel akawa hataki lakini akapokea
Pedeshee: mpenzi uko wapi nimekutafuta tangu mwaka jana? Nimekumiss nakupenda,
Chanel: aliposikia nakupenda akataka kukata simu Doreen akamzuia akamwambia umeanza ee, acha ujinga wewe ongea.
Pedeshee: mpenzi uko wapi nimekutafuta tangu mwaka jana? Nimekumiss nakupenda,
Chanel: aliposikia nakupenda akataka kukata simu Doreen akamzuia akamwambia umeanza ee, acha ujinga wewe ongea.
Chanel: Asante, nipo naishi na Doreen kwa sasa ni mgonjwa namhudumia.
Pedeshee: oh! Poleni sana, jamani basi nakuja nyumbani hapo, nipe lisaa limoja nitakuwa nimefika.
Kweli baada ya lisaa limoja Pedeshee ndani ya nyumba ya Doreen, kabeba mavyakula, matunda, majuice mazaga zaga kibao,
Pedeshee: oh! Poleni sana, jamani basi nakuja nyumbani hapo, nipe lisaa limoja nitakuwa nimefika.
Kweli baada ya lisaa limoja Pedeshee ndani ya nyumba ya Doreen, kabeba mavyakula, matunda, majuice mazaga zaga kibao,
Doreen: anashangaa, eh! kimoyomoyo anasema mwanaume anajali huyu huku anamwangalia Chanel, huku anamshukuru Pedeshee asante sana shemeji,
Pedeshee: anacheka hamna neno usijali, wakaongea sana na Doreen baadae Doreen akaomba apumzike amechoka, wakatoka chumbani wakamuacha Doreen amelala ila hawakufunga mlango.
Chanel: akamwelezea Pedeshee matatizo ya Doreen, Pedeshee akasikitika sana, basi atapata mwanaume mwengine mbona bado mdogo anajikatia tama namna hii!
Chanel: akamwelezea Pedeshee matatizo ya Doreen, Pedeshee akasikitika sana, basi atapata mwanaume mwengine mbona bado mdogo anajikatia tama namna hii!
Na wewe umekuwa rafiki mzuri sana wa Doreen la sivyo mngempoteza, kaa nae mtie moyo atasahau yote.
Chanel: akawa na wasiwasi itakuwaje kazini muda wa kuitwa ulifika akapigiwa hakwenda maana alikuwa amelazwa sasa sijui watampokea akipona?! Wakamwamini Mungu kama kazi yake itakuwepo tu.
Pedeshee: Chanel bado unanipenda?
Pedeshee: Chanel bado unanipenda?
Chanel: hakuwa na jibu akanyamaza, baadae akamjibu nakupendaje wakati mlileta vita vya maji maji nyumbani kwangu? Nyie watu wazima sana mnagombania mwanamke, mwanamke mwenyewe mimi, wanawake wamejaa kibao huko mnaning’ang’ania.
Pedeshee: sio mwanamke mwenyewe wewe, tunampigania totoz wewe, mtoto mzuri, mtoto ng’aring’ari unawaka kama jua la saa 8, usiku wewe ndio nuru yangu, naoga kiza bila wewe… dah Pedeshee ana maneno mluguru huyu ni hataree!
Pedeshee: sio mwanamke mwenyewe wewe, tunampigania totoz wewe, mtoto mzuri, mtoto ng’aring’ari unawaka kama jua la saa 8, usiku wewe ndio nuru yangu, naoga kiza bila wewe… dah Pedeshee ana maneno mluguru huyu ni hataree!
Chanel: akacheka sana.
Pedeshee: akaendelea kumwaga ung’eng’e wa mapenzi na sumu.
Chanel: akacheka, na ule ufupi akawa anamwona kituko zaidi.
Pedeshee: Sasa mimi na wewe si tupo biyee, yani tupo poa sio? Huku anamshika mikono, mamii alafu nimekumiss kweli mpenzi wangu, leo si naruhusiwa kulala hapa?
Chanel: poa, ila itabidi upikie mgonjwa, umpakulie, usafishe nyumba, lakini utalala hapo kwenye kochi maana mimi sasa hivi sitoi huduma yoyote nipo kwenye maombi namwomba Mungu anisaidie nipate Mume. Huku anainuka kwenda chumbani kwake, vyombo hivyo uoshe, na chakula cha usiku nakula chipsi mgonjwa uji wa sembe na maziwa na karanga na umwekee asali na uji uwe mwepesi sana, ukimaliza njoo niambie niamke kula, mimi nakula kuku.
Pedeshee: akachoka sio kwa maelezo hayo, akimwangalia mtoto Chanel anaelekea chumbani mate yanamtoka, utadhani Simba dume kaona simba jike. Akamtania ah Chanel wewee, mwondoko wako mimi hoi, hata mwezi mzima nakupikia haina neon, kufunga si kuna kufungulia pia, ukifungua lazima tupate chakula cha kimwili icho cha kiroho wala sikufosi we endelea kumwomba Bwana azidi kunipa kibali machoni pako.
Chanel: hahahahha uuuuwi utajiju ahahahha embu niache mimi nilale nikiamka nikute futari yangu, hapo saa 10 jioni.
KWA ADRIENNE:
KWA ADRIENNE:
Jioni alipotoka ofisini akarudi nyumbani kwa Shawn maana alishapata nyumba, akamwelezea kasheshe iliomkuta ofisini kwake, akawa akamwuliza kama anamjua huyo Safaree.
Shawn: akakataa, lakini moyoni anajua kuwa anamjua ila hataki kujulikana anafanya kazi na Safaree atamkosa Adrienne.
Adrienne: akalalamikia sana, akamwambia sasa kwa usalama wangu itabidi nisije hapo ofisini kwako, labda wewe uwe unanipeleka kwanza mimi au kila mtu awe na usafiri wake.
Shawn: Poa mpenzi, nitapeleka na kuja kukuchukua, tutaishi hapa mpaka tutakapooana, hamna haja ya kutafuta nyumba nyingine, vitu vyako vyooote kwa Doreen kavilete hapa.
Adrienne: akamwaangalia huku anacheka, nashukuru kwa offer.
Chanel: akashtuka saa 12 nanusu jioni akamkumbuka Doreen akashuka haraka haraka kitandani kwenda kumcheki, akakuta anacheka amekaa jikoni mezani na Pedeshee anamalizia kupika, anashangaa eh Pedeshee bado yupo?! Akachukua kiti akakaa.
Chanel: akashtuka saa 12 nanusu jioni akamkumbuka Doreen akashuka haraka haraka kitandani kwenda kumcheki, akakuta anacheka amekaa jikoni mezani na Pedeshee anamalizia kupika, anashangaa eh Pedeshee bado yupo?! Akachukua kiti akakaa.
Chanel: Doreen naona umeshapona mpaka unacheka.
Doreen: Huyu shemeji yangu ananichekesha sana ana vituko kweli.
Chanel: akaletewa uji wa dona akanywa fasta, Pedeshee na Doreen wanamshangaa, eh wewe haujawahi kufunga nini mbona unafakamia uji kama haujala mwaka, huku wanamcheka mwenyewe hata hajali anafukia uji na chapati tu.
Kabla hawajaenda kulala Doreen akapokea simu, akawa anashangaa namba haionyeshi imeandikwa private no, akawa hataki kuipokea Chanel akamwambia mama ukute watu wa kazi wanakuita, akapokea haraka haraka
Doreen: Hello
Private No: naongea na Doreen
Doreen: ndio
Private No: unatakiwa uje kesho saa 4 asubuhi, akatajiwa sehemu kwenye interview ya kazi
Doreen: akashangaa huku anacheka, sawa
Private No: ikakatwa
Doreen: Finally nimeitwa interview lakini hakujua ni kampuni gani, akaonekana amechangamka machoni mwa Pedeshee na Chanel.
Kabla hawajaenda kulala Doreen akapokea simu, akawa anashangaa namba haionyeshi imeandikwa private no, akawa hataki kuipokea Chanel akamwambia mama ukute watu wa kazi wanakuita, akapokea haraka haraka
Doreen: Hello
Private No: naongea na Doreen
Doreen: ndio
Private No: unatakiwa uje kesho saa 4 asubuhi, akatajiwa sehemu kwenye interview ya kazi
Doreen: akashangaa huku anacheka, sawa
Private No: ikakatwa
Doreen: Finally nimeitwa interview lakini hakujua ni kampuni gani, akaonekana amechangamka machoni mwa Pedeshee na Chanel.
Wakala chakula wakaingia kulala, lakini Chanel na Pedeshee hawakulala, wakawa wamekaa wanaangalia Tv.
Tv ilipowaboa, Pedeshee akamwambia nimechoka, leo nimefanya kazi kama mtumwa naomba nilale basi wewe kalale chumbani kwako.
Tv ilipowaboa, Pedeshee akamwambia nimechoka, leo nimefanya kazi kama mtumwa naomba nilale basi wewe kalale chumbani kwako.
Chanel: akaondoka akaingia chumbani kwake lakini hakufunga mlango, aliuacha wazi makusudi akijua akili ya Pedeshee atakuja tu kuchungulia.
Pedeshee: nae hakulala, akaona ngoja akabahatishe bahati yake kwa Chanel hata kama atanuna potelea pote maana alikuwa na uchu wa kufa mtu. Kufika akakuta mlango upo wazi, eh akaona hapa hapa, akaanza kunyata.
Chanel: kamuona, we Pedeshee si nimekwambia nataka kulala mbona unaninyatia? Unaniletea michezo ya kizamani ya kidali poo ee?
Pedeshee: mpenzi nielewe nimekumiss mbaya.
Chanel: sawa lakini naomba ukaoge, mimi msafi mwenzio.
Pedeshee: akaingia bafuni kama anaingia swimming fasta kaoga keshajikausha mara huyo katoka, kurudi Chanel ameshalala usingizi anakoroma.
Pedeshee: eh Chanel mambo gani tena haya? Kumsogelea kumwangalia kumbe amelala kweli, akachoka. Na mimi leo sikubali nalala hapa hapa, akapita upande wa pili akalala.
Usiku saa 9 wakasikia Doreen anapiga makelele, wakaenda kumwangalia kumbe anaota, anamwota James kwanini umeondoka umeniacha mwenyewe nateseka.
Chanel akataka kwenda kumwamsha Doreen, Pedeshee akamwambia muache alale, hawezi kudhurika wakawa wanamwangalia tu anavyohangaika huku wanamhurumia wanaangaliana, alipoacha kuota na kupiga makelele akashtuka akaona hamna mtu yupo pekeyake akanywa maji akaanza kusali, akarudi kulala, wenzake wanamwangalia tu ila Doreen hakuwaona maana walikuwa wamejificha.
Chanel: akarudi kulala Pedeshee anamfuata.
Chanel: akarudi kulala Pedeshee anamfuata.
Chanel: eh! wewe unaenda wapi au umesahau unapolala?
Pedeshee: si uliniruhusu jamani au umeshasau?
Chanel: enye kochi, mimi nimefunga, akawa anakimbia, Pedeshee akamkimbilia akambeba juu juu huku anambusu, Chanel akamhurumia akawekwa kitandani, Chanel akajifanya amelala, Pedeshee akamtekenya, Chanel akacheka kwanguvu, shughuli ikaanza.
Usiku huo Chanel alikuwa mtakatifu akaamua kumwachia uwanja Pedeshee amalizie anachotaka, Pedeshee akaitumia vizuri nafasi yake maana sio kwa uchu aliokuwa nao.
Chanel akafikishwa Mbingu ya 10, kweli watu wafupi watamu asikwambie mtu, maana sio kwa mikelele alikuwa anaipiga Chanel, Pedeshee akamfunga goal 7 bila, kweli Chanel alipoteza ufundi kijijini, maana alikuwa amekaa kama au ndio mfungo hakuna ajuae!.
Upande wa pili palipopigwa simu, akaonekana Lucifer
Lucifer: umeshaifanya kazi yangu?
Private No caller: akajibu ndio kesho saa 4 atakuwa hapa
Lucifer: good huku anatabasamu, at last naonana na Doreen uso kwa uso.
ITAENDELEA KESHO TAR 14 AUGUST 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
B. LUCIFER NI NANI?
Kazi ikawa kazi kweli, kwa Karne yetu ya 2018 tunasema Hapa Kazi tu!, lakini haikuwa kwa Doreen, kwa siku zake ilikuwa Maisha bora kwa kila Mtanzania!
Doreen akatua kwenye mjengo wa Lucifer, eh pazuri kama Ulaya hakutegemea.
Lucifer: akawa anamchungulia kwenye computer kupitia camera za ofisi, totoz wa ukweli, Totoz mashaalah, totoz amejaa, mtoto msambwanda, utadhani Beyonce miksa Jlo wa zamani. Sio kwa uzuri ule wa Doreen, toto la Singida, toto linawaka.
Doreen: Kufika akapelekwa ofisi ya Human Resource kufanyiwa interview, interview zenyewe ndo izo izo za kiboya, umefanya kazi kabla, wewe ni Mtanzania, mbona hauonekani kama Mtanzania upo kama umechanganya na Mzungu, unauhakika wewe sio mmarekani? Au wewe Mrwanda! Interview flani za kiduwanzi za ki-aflela ulela mshikaji kuwa msela zile!
Doreen: anashangaa huyu kaka vepee mbona interview ya kupetipeti au ndio James alivyowaambia?
Interviewer: Hii kazi utaiweza kweli, maana wewe mrembo sana, tunaogopa boss wetu kicheche.
Doreen: ikabidi awe mpole aipate kazi maana hana pa kuhemea, chezea kuwekwa bench miaka 5 wewe! Kabla interview kuisha hawakumwuliza swali la mshahara, baadae Doreen akauliza mshahara Tsh ngapi nitakuwa nalipwa?
Interview: Wewe ulitaka upewe ngapi maana hapa tulishaandaa kwa scale yako utapewa mil 5 kwa mwezi, Mil 5 cash hapo imeshatolewa makato.
Doreen: miguu ikaganda, hajui asemeje akasema sawa nashukuru hio inatosha, interview ikaisha akaondoka.
Njiani akaona kama Mungu kashuka, mshahara mil 5 alafu Cv inaonyesha hana experience, ah! Mambo gani haya mbona kama kuna chezo limefanyika nisije nikaishia kufanya kazi wiki 2, kwanini Yule ****** kaniuliza habari ya kutakwa na boss, ah akawa haelewi lakini akajipa moyo.
Kabla hajafika nyumbani akaambiwa arudi pale alipofanyiwa interview akaanze kazi. Macho yakamtoka, ikabidi arudi.
Njiani akaona kama Mungu kashuka, mshahara mil 5 alafu Cv inaonyesha hana experience, ah! Mambo gani haya mbona kama kuna chezo limefanyika nisije nikaishia kufanya kazi wiki 2, kwanini Yule ****** kaniuliza habari ya kutakwa na boss, ah akawa haelewi lakini akajipa moyo.
Kabla hajafika nyumbani akaambiwa arudi pale alipofanyiwa interview akaanze kazi. Macho yakamtoka, ikabidi arudi.
KWA CARRIE:
Carrie akaanza kazi, Branch Manager vepe?
Mchaga anajitapa, anafanya kazi kwa bidii si unajua tena wamachame walivyo na bidii ya kazi!
Carrie alikuwa na bidii ya kazi, baada ya siku nyingi za mbeleni Branch ikaanza kunona, wafanyakazi chini yake wakawa wanampenda, wanamfurahia, mambo yanaenda vizuri upande wake, Mungu amemneemekia maana sio kwa mibaraka ile, mshahara ukapanda lakini tangu upande hajawahi kuutuumia anacheza na pesa ya George.
Wakanunua hisa na George za TBL, Swissport, TCC, Twiga Cement, Carrie akauza biashara zake zote akapata hela yake akaitumbukiza kwenye hisa, nyingine akanunua nyumba Mikocheni akamweka mdogowake aishi huko lakini yeye alikuwa anaishi na George.
KWA SAFAREE:
Safaree akawa anawaza kwenye kichwa chake, Adrienne amemfuata nani pale, kwanini security walimzuia wakati yeye ni boss, au analiwa na Lucifer, lakini hakujua kuwa juu yake kuna maboss 3 akadhania yeye ndio top baada ya Lucifer, kwenda kuulizia kwa wenzake akaambiwa jioni kuna kikao cha kutambulisha wafanyakazi wapya, kikao kikakaliwa, anashangaa kumwona Doreen eh, kuna nini leo? Don Lucifer hakuwepo akamtuma Shawn akaongee kwa niaba yake, Doreen anashangaa Shawn? Yani Shawn ndio boss wangu, huyu shemeji mshenzi I can’t wait kumwadithia Adrienne maana sio kwa interview ile ya kiboya.
Shawn: akafanya yake ya ukaribisho, utambulisho na maelekezo ya kiofisi, Safaree anashangaa, baadae wakaweka video Lucifer anataka kuongea, Lucifer akaonekana amevaa miwani meusi kama jini, amebeba paka mweupee mwenye manyoya mengi, chee!
Doreen anamwangalia anashangaa kumbe huyu ndio Lucifer amemsikia wakimwongelea ni mkali sijui nini! Lucifer akawasalimia na kutoa mipango na madaraka,
Lucifer: kuanzia leo namtambulisha Shawn kama boss wenu wote, nikitoka mimi anafuatia Shawn, na pia nilikuwa nahitaji PA kwa ajili yangu, yaani Personal Assistant, kwahiyo namteua Doreen kuwa PA wangu, watu wote mtafanya kazi chini ya Shawn mpaka nitakapobadilisha uongozi, nawatakia kazi njema kikao kikaisha.
Doreen anashangaa ah! Akasema moyoni mwake ngoja nikamsalimie Safaree, akamfuata Safaree, eh Safaree ananata kama hajamwona, wakasalimiana vizuri si unajua ugomvi wa Doreen na Safaree haukua juu yao bali ni juu ya Adrienne, baadae wakaagana
Doreen anashangaa ah! Akasema moyoni mwake ngoja nikamsalimie Safaree, akamfuata Safaree, eh Safaree ananata kama hajamwona, wakasalimiana vizuri si unajua ugomvi wa Doreen na Safaree haukua juu yao bali ni juu ya Adrienne, baadae wakaagana
Doreen: aya bwana mimi kama ulivyosikia PA wa Lucifer.
Safaree: Mpendwa uko pazuri umewekwa karibu na Mbingu enjoy life to the fullest.
Doreen: Anashangaa hakuelewa ana maana gani, wakaachana nae.
Doreen akawa anamtafuta Shawn amwulize kulikoni, akawa hampati mara anaambiwa haoni mtu mara katoka, mara yupo kwenye kikao, akaitwa na Secretary wa Lucifer akakabidhiwe kazi zake.
Adrienne alikuwa amejifungia kwenye makazi mengi, mara anaona simu ya Doreen akaanza kumpa umbea wa ofisini kwake, yani huwezi amini boss wangu ni Shawn.
Adrienne alikuwa amejifungia kwenye makazi mengi, mara anaona simu ya Doreen akaanza kumpa umbea wa ofisini kwake, yani huwezi amini boss wangu ni Shawn.
Adrienne: anashangaa! eh sikujua kama Shawn anauboss, enhe umbea ukaendelea Doreen akamweleza umbea wa kupandishwa cheo ndani ya siku 1.
Adrienne: anashangaa! huyu Lucifer ndio nani mbona amejaa vituko ila James atakuwa amekupigania haswaa mpaka umepata kazi karibu na mfalme umetisher wangu sio kitoto wakapeana hongera simu ikakatwa.
KWA CHANEL:
Chanel nako mambo mazuri, Pedeshee anazidi kuchizika na penzi la Chanel, akiwa bado kwenye likizo, wakaenda kujirusha Bagamoyo, Bagamoyo Bagamoyo kweli Chanel akafufua waliolala, mara chini ya mnazi, mara kwenye ngalawa ya wavuvi mara kwenye bahari mara kwenye gari mara nje ya gari, kha!
Mara wafumaniwe wakimbizwe kutumia ngalawa za watu, yani vurugu mtindo mmoja!
Pedeshee akahisi amerefuka maana sio kwa mechi zile, walizopeana wiki nzima ikabidi kikao chao cha kuonana kwa Doreen kiahirishwe kisogezwe mbele na Doreen aanze kuzoea mazingira ya kazi.
Baada ya Doreen kukabidhiwa kazi zake akaitwa na Shawn ofisini, wakasalimiana Doreen akaanza maswali, Shawn akainuka akaenda kufunga mlango, akaanza kumwambia polepole naomba usiseme kama tunafahamiana, tafadhali mtu yeyote asijue, ni James ameniambia nihakikishe unakaa hapa vizuri fanya hatujuani tafadhali utaniharibia kazi, wewe komaa na kazi basi, akamfundisha kazi, na utaratibu, Doreen akapata moyo akijua James yupo nae, akajua yupo salama.
Weekend Adrienne akaandaa dinner hotelini Kunduchi Beach, akamkaribisha Shawn le big boss, ili ampetipeti kujua hatima ya rafkiake Doreen, che! Shawn hakutokea, kabanwa na Lucifer akaomba udhuru Kwa Adrienne, Adrienne kanuna maana sio kwa maandalio hayo aliyoyaandaa.
Saa 1 usiku Doreen akapata simu kwa Lucifer, njoo nyumbani kwangu Oysterbay saa 2 usiku, kuna kazi ya kufanya.
Baada ya Doreen kukabidhiwa kazi zake akaitwa na Shawn ofisini, wakasalimiana Doreen akaanza maswali, Shawn akainuka akaenda kufunga mlango, akaanza kumwambia polepole naomba usiseme kama tunafahamiana, tafadhali mtu yeyote asijue, ni James ameniambia nihakikishe unakaa hapa vizuri fanya hatujuani tafadhali utaniharibia kazi, wewe komaa na kazi basi, akamfundisha kazi, na utaratibu, Doreen akapata moyo akijua James yupo nae, akajua yupo salama.
Weekend Adrienne akaandaa dinner hotelini Kunduchi Beach, akamkaribisha Shawn le big boss, ili ampetipeti kujua hatima ya rafkiake Doreen, che! Shawn hakutokea, kabanwa na Lucifer akaomba udhuru Kwa Adrienne, Adrienne kanuna maana sio kwa maandalio hayo aliyoyaandaa.
Saa 1 usiku Doreen akapata simu kwa Lucifer, njoo nyumbani kwangu Oysterbay saa 2 usiku, kuna kazi ya kufanya.
Doreen: eh kweli mil 5 naitendea kazi saa 2 usiku naitwa kazini, akaondoka akaenda kwa Don Lucifer, kufika akapokelewa na msaidizi wa nyumbani kwa Champaigne kwenye glasi, akamwambia hapana sinywagi wine wala pombe (alimdanganya kwasababu aliitiwa kazi akaogopa kuonekana mlevi), kufika ndani akapelekwa kwenye Garden imepambwa meza nzuri na taa za usiku zinawaka kama mapambo ya Christmass, anashangaa hii kazi gani, kuangalia anaona watu wanaleta chakula, akakaribishwa akakaa.
Amekaa anashangaa palivyo pazuri hata ofisini hapapo hivyo, ulinzi wa kufa mtu utadhani yupo white house, baada ya Dakika tano akasikia mtu anamwambia, umeshakula? Nikianza kazi mpaka asubuhi.
Doreen: Aakasimama kugeuka anashangaa eh, huyu ndio Lucifer!? Mbona namfahamu sana! Tangu lini NGIRI amekuwa Lucifer!
ITAENDELEA KESHO TAR 14 AUGUST 2018 SAA 12 JIONI YA TANZANIA
_________________________________________________________________________________
C. ASALI YA UCHUMBA
Doreen: akawa anacheka, kha! Ngiri anaitwa Lucifer? kweli Dunia ni duara, alipomkaribia, akaacha kucheka akaweka uso wa mbuzi.
Lucifer: akamkumbatia Doreen anamwuliza za miaka?
Doreen: akajua amekumbukwa, akamwuliza unanifahamu?
Lucifer: yani Doreen umenisahau hata mimi?
Lucifer: yani Doreen umenisahau hata mimi?
Mimi si mlikuwa mnanitania Ngiri!
Doreen: akajidai anashangaa, Oh My God! Calvin? OMG! Jamani ni wewe? Hata sijakujua Mungu wangu umekuwa mkaka miraba mine! What happen? Ulikuwa wapi?
Doreen: akajidai anashangaa, Oh My God! Calvin? OMG! Jamani ni wewe? Hata sijakujua Mungu wangu umekuwa mkaka miraba mine! What happen? Ulikuwa wapi?
Oh my God! Umekuwa mkaka mzuuuri, huku anamkumbatia tena, hata sikukutambua, Umekuwa handsome kweli kweli jamani! hongera, na mbona wanakuita Lucifer!?
Lucifer: hahaha, kaa kwanza usije ukaanguka bure, wote wakakaa
Lucifer: hahaha, kaa kwanza usije ukaanguka bure, wote wakakaa
Lucifer: Yes! Lucifer ndio jina langu nilibadilisha Calvin muda asana tangu nimekuwa na biashara najiita Lucifer, na wewe Miss thing!
Haujabadilika umezidi kuwa mzuri, mrembo na hili tako? Mungu wangu! Umelipata saa ngapi au ndio mambo ya Kim Kardashin plastic surgery?!
Doreen: ah wapi hili orijino kabisa plastic surgery bongo?
Stori zikanoga wakaanza kukumbushiana ya utotoni kumbe walikuwa wanasoma wote IST, baadae wakaja kupotezana walipoenda chuoni, wakakumbushiana stori za kale, nani kaoa nani kaolewa nani amefariki nani anaishi, nani anafanya kazi wapi, nani kachaguliwa kuwa Mbunge nani kafulia!
Doreen: ah wapi hili orijino kabisa plastic surgery bongo?
Stori zikanoga wakaanza kukumbushiana ya utotoni kumbe walikuwa wanasoma wote IST, baadae wakaja kupotezana walipoenda chuoni, wakakumbushiana stori za kale, nani kaoa nani kaolewa nani amefariki nani anaishi, nani anafanya kazi wapi, nani kachaguliwa kuwa Mbunge nani kafulia!
Yani stori storini, mwalimu fulani alikufa, mwingine amekuwa Mwanasheria, mwengine bado yupo pale pale, yani stori za maraha na huzuni pia.
Wakala chakula na kunywa huku wanacheka, wale wafanyakazi wanamshangaa Lucifer leo anacheka anafuraha, eh huyu dada atakuwa na nyota kali!
Ikabidi Doreen amshukuru kwa kumpa kazi kinafki si unajua tena anajua James ndio kaweka kila kitu lakini ukweli anaujua Lucifer!
Ikabidi Doreen amshukuru kwa kumpa kazi kinafki si unajua tena anajua James ndio kaweka kila kitu lakini ukweli anaujua Lucifer!
Lucifer: Usihofu ila naomba usiniite Ngiri wala Calvin kabisa, niite Lucifer, hayo majina ya utotoni siyapendi kabisa.
Doreen: akakosa cha kusema akaheshimu boss anataka nini lakini kwa ukubwani kwakweli Lucifer hakuwa Ngiri wa zamani
Ngiri ni jina la utani alilopewa Lucifer, alivyokuwa mdogo alikuwa na mimeno imetokeza mbele kama Ngiri alafu alikuwa msongo kweli kweli (Jomo Kisomo au Geek ma design ya Dextor cartoon), wenzake wanachezea C na B yeye hajawahi kushuka A na A+.
Ngiri ni jina la utani alilopewa Lucifer, alivyokuwa mdogo alikuwa na mimeno imetokeza mbele kama Ngiri alafu alikuwa msongo kweli kweli (Jomo Kisomo au Geek ma design ya Dextor cartoon), wenzake wanachezea C na B yeye hajawahi kushuka A na A+.
Alikuwa nyuma kimaendeleo ya jamii lakini masomoni humpati, Shule nzima wakawa wanamtania Ngiri, alipokuwa mkubwa akapata kazi nzuri sana kwa sababu ya akili za Darasani, akaja kupata na hela akaenda kujibadilisha kila kitu kuanzia meno mpaka mwili, akaanza kupendeza, akafanya revenge kwa watu wote waliomtania Ngiri akahakikisha wote hawamfikii kwenye maisha au wengine watafanya kazi kwake, basi tu si unajua mambo ya utemi.
Ila alikuwa anampenda sana Doreen, Doreen si wa kijijini so hakuwa mkorofi saaana, alikuwa anachunga ulimi wake, Doreen alikuwa mtaratibu, msiri, hana umbea, muda mwingi shuleni alikuwa anakaa pekeyake au na Adrienne!
Na Lucifer alimpendea hicho japokuwa Doreen alikuwa analifahamu sana jina la Ngiri akawa anamchekaga kimya kimya, siku wakiwa na mapati yao ya kufunga shule, Doreen alikuwa akimfuatwa kumwomba kwenda nae kwenye sherehe Ngiri alikuwa anakataa maana alijiona mshamba flani hivi. lakini sasa hivi Ngiri ni hot cake, ukimwangalia tu hivi kama unaroho ya uzinzi unazini nae kwa macho!
Lucifer: enhe! Doreen na wewe unaitwa Mrs nani? (sio kwamba alikuwa hajui basi tu anamchora)
Doreen: oh! Hapana, bado sijaolewa!
Lucifer: ah! Mrembo kama wewe unakosaje Mume? Basi kama sio mume hata watoto basi!
Doreen: Noooo noo noo nooo, No Boyfriend, No Mume, No watoto, nipo kama nilivyo! but Mungu ni mwema kwa wakati wake mambo yatakaa sawa.
Lucifer: una miaka mingapi sasa hivi?
Doreen: 33
Lucifer: du! (kimoyomoyo anajisemesha mmmh, hapa hapa lazima nimpate). Maana kwanza anaonekana yupo desperate akishikwa anaenda akibinywa anazaa, akipewa pete anachizika akizalishwa anakubali), alifikiri anavyowaza itakuwa rahisi kwake kumbe hakujua hii ndio Tanzania, ardhi yenye vidume wengi.
Lucifer: enhe! Doreen na wewe unaitwa Mrs nani? (sio kwamba alikuwa hajui basi tu anamchora)
Doreen: oh! Hapana, bado sijaolewa!
Lucifer: ah! Mrembo kama wewe unakosaje Mume? Basi kama sio mume hata watoto basi!
Doreen: Noooo noo noo nooo, No Boyfriend, No Mume, No watoto, nipo kama nilivyo! but Mungu ni mwema kwa wakati wake mambo yatakaa sawa.
Lucifer: una miaka mingapi sasa hivi?
Doreen: 33
Lucifer: du! (kimoyomoyo anajisemesha mmmh, hapa hapa lazima nimpate). Maana kwanza anaonekana yupo desperate akishikwa anaenda akibinywa anazaa, akipewa pete anachizika akizalishwa anakubali), alifikiri anavyowaza itakuwa rahisi kwake kumbe hakujua hii ndio Tanzania, ardhi yenye vidume wengi.
Akabaki anamtia moyo Doreen.
Doreen: akapotezea mambo ya mahusiano akamwuliza ivi ukiacha tulikuwa tunakutania jina la Ngiri, pia kwenu ulikuwa na jina wanakuita, ulikuwa unaitwa nani tena, akawa anajitahidi kukumbuka
Lucifer: PILOT!
Doreen: Ndio, PiLOT.Mama yako alikuja shule mwalimu akakusifia unapenda kusoma, mama akamwambia mwanangu anapenda kuwa Pilot.
Lucifer: akashangaa! wewe ulisikia wapi?
Doreen: mama yako alikuwa anaongea na mwalimu, mimi nilitumwa kwenda darasa la pili, kurudi namkuta mama yako anaongea wanakuita pilot nyumbani ndio nikashika
Lucifer: akapanda bichwa kumbe alikuwa na admirer ambae hata yeye alikuwa anampenda. Akafurahi sana
Doreen: na wewe, mke wako yupo wapi?
Lucifer: Sina mke, ila nina mtoto mmoja wa kiume, anaitwa Ivan, kwa sasa ameenda kwa bibi yake, mama yake tulishindwana ingawa hatukuwa tumeoana, ameshapata bwana mwingine ameolewa na ana watoto wa 3, tunapokezana malezi muda mwingi nikiwa nje ya Tz anaenda kukaa na mama yake, nikirudi mtoto anaishi hapa, bibi yake akim-miss anaenda kumchukua anakaa nae.
Doreen: oh! hongera, wakaongea sana masaa yakaenda sana kuangalia saa mkononi saa 5 usiku, akamwuliza sasa hizi kazi tunazifanya saa ngapi maana ni saa 5 usiku
Lucifer: ah wewe nenda tu nyumbani kalale tutaendelea kesho asubuhi, leo nilitaka tufahamiane lakini sitaki kusikia unaniita pilot au ngiri au calvin hayo majina haya exist ofisini wala nyumbani kwangu
Doreen: sawa nimeelewa, akaondoka kurudi nyumbani kwake njiani akawa anacheka na kujiuliza huyu ndio Lucifer niliskia sauti Mungu akiniambia atamleta kwangu? mmmh Mbona miujiza hii! Hakuamini kama Pilot amekuwa mzuuuuri vile da!
Lucifer: PILOT!
Doreen: Ndio, PiLOT.Mama yako alikuja shule mwalimu akakusifia unapenda kusoma, mama akamwambia mwanangu anapenda kuwa Pilot.
Lucifer: akashangaa! wewe ulisikia wapi?
Doreen: mama yako alikuwa anaongea na mwalimu, mimi nilitumwa kwenda darasa la pili, kurudi namkuta mama yako anaongea wanakuita pilot nyumbani ndio nikashika
Lucifer: akapanda bichwa kumbe alikuwa na admirer ambae hata yeye alikuwa anampenda. Akafurahi sana
Doreen: na wewe, mke wako yupo wapi?
Lucifer: Sina mke, ila nina mtoto mmoja wa kiume, anaitwa Ivan, kwa sasa ameenda kwa bibi yake, mama yake tulishindwana ingawa hatukuwa tumeoana, ameshapata bwana mwingine ameolewa na ana watoto wa 3, tunapokezana malezi muda mwingi nikiwa nje ya Tz anaenda kukaa na mama yake, nikirudi mtoto anaishi hapa, bibi yake akim-miss anaenda kumchukua anakaa nae.
Doreen: oh! hongera, wakaongea sana masaa yakaenda sana kuangalia saa mkononi saa 5 usiku, akamwuliza sasa hizi kazi tunazifanya saa ngapi maana ni saa 5 usiku
Lucifer: ah wewe nenda tu nyumbani kalale tutaendelea kesho asubuhi, leo nilitaka tufahamiane lakini sitaki kusikia unaniita pilot au ngiri au calvin hayo majina haya exist ofisini wala nyumbani kwangu
Doreen: sawa nimeelewa, akaondoka kurudi nyumbani kwake njiani akawa anacheka na kujiuliza huyu ndio Lucifer niliskia sauti Mungu akiniambia atamleta kwangu? mmmh Mbona miujiza hii! Hakuamini kama Pilot amekuwa mzuuuuri vile da!
BAGAMOYO IMEVAMIWA:
Wazee wa Bagamoyo kama kawa, mechi kama za Olimpic haziishi usiku haziishi mchana haziishi asubuhi, wakawa kwenye honeymoon isio na ndoa.
Mtu mfupi Pedeshee anachizika na mauno ya mtoto wa igunga, akaanza kumwonyesha Chanel mali zake alizonazo na biashara zake na kila kitu mpaka bank akaunt Chanel akapewa access, ukisikia njaa hii ATM Card yangu utatumia kwa chakula na matumizi madogo madogo kama shopping, kwenda vacations na wenzako hata Ulaya nenda,
Chanel: kha! yaani kikadi kimoja tu ndio kinanipeleka Ulaya?
Pedeshee: anacheka. Mke wangu bwana nakupenda sana, unajua kunipa raha
Embu nikuulize, mke wangu wewe umesoma mpaka wapi?
Chanel: Darasa la 7, nikachangiwa na Carrie nikasome English course ndio nikaweza kupata kazi Shoprite
Pedeshee: akashangaa kumbe Chanel kilaza! Lakini hakumwambia, akamwambia unaonaje ukisoma elimu ya watu wazima? Form 4 mpaka form 6 mpaka chuo
Chanel: sawa ila nimekaa sana bila kwenda shule sijui itakuwaje huko darasani
Pedeshee: amna utaweza tu, tena ningependa usimame kazi kwanza ujikite kwenye masomo kwanza ukihitaji pesa mimi nitakupatia zipo nyingi sana ila elimu ni ya muhimu kuliko pesa hauwezi jua leo au kesho utakuwa wapi na hio shoprite kama itakuwa hapa hapa Tanzania milele
Chanel: sawa nitajitahidi nisome bebi huku anamchumu!
Pedeshee: na pale kwa Doreen sasa naomba nikuhamishe!, tutafute nyumba ya kuishi tuishi wote ili nayeye apate uhuru na nyumba yake maana naona kama tumembana bana sana, akipata bwana tutaaibika. Kuanzia kesho natafuta dalali atutafutie nyumba ya kuishi pamoja.
Chanel: oh thank you! hamna neno, kichwani mwake anajiuliza na uzee huu nitasoma nini mimi mpaka kichwa kikomae!
WIKENDI:
Weekend ilipowadia, wakakutana wote kwa Doreen, Pedeshee akaomba kwenda kukaa hotelini kwa siku 2 ili awapishe mashosti waongee, umbe umbea ukaanza, kila mtu anaongea yake kwa fujo, mwishowe Carrie akasema jamani naomba aanze Doreen afuate Chanel aje mama kulia Adrienne mimi nitamaliza.
Doreen: akamwaga ubuyu wooooote tangu James wameenda Singida mpaka anaondoka mpaka amepanda ndege, amemtafutia kazi, na kazi ilivyoenda, akataka kuwaambia kuhusu Ngiri akakumbuka ameambiwa asiseme akasema tu Lucifer naskia ni mkali hapendi ujinga ofisini ndio kaniteua kuwa PA wake,
Wenzake: Wakacheka haloooo! PA tunawajua wanakula na mabosi sana tu enhe yupoje huyo Lucifer mzuri ee?
Doreen: yani wooote hapa mkimwona mtakojoa, kasoro Adrienne anaweza kujikaza, jinsi alivyo mashine ya kufa mtu!
Wenzake: wanashangaa huku wanaangaliana, mh! Hapa kuna kazi kweli! Wakawa wanatamani kumuona huyo Lucifer aliesifiwa!
Carrie: Kama mimi ningekuwa Doreen lazima nilipize kisasi kwa James sio kwakuondoka kule, nitahakikisha mpaka namwone James kupitia Lucifer,lazima nilale na Lucifer kujua James alipo alafu nijichangee hela niombe likizo nimfuate hawezi kufanya ujinga kama ule anakuachaje katikati wakati mapenzi yamekolea?
Wote: wakaangaliana wakanyamaza!
Chanel: akaanzia pale kwenye fumanizi lake na wanaume wake 2.
Carrie: ah! Yani Pedeshee ameona yooote bado yupo na wewe, mama mng’ang’anie tena kasome darasa la kukata mauno, umkatikieee mpaka aote mvi za u-senior bachelor, huyo sio wa kuacha, achana na huyo Mark anaevimba kama nguruwe, mwanaume gani anavimba vimba mshenzi tu. Yule mpare hana maana!
Chanel: eh tena anataka kunipeleka darasani nikasome sijui form 4 ya miaka 2 alafu form 6 alafu diploma alafu chuo alafu master maneno hata siyaelewi.
Doreen: akashangaa eh! Mama huyu Pedeshee katoka Mbinguni moja kwa zote, tena kaletwa na wazazi wako kabisaa mng’ang’anie, kubali kila kitu mama,
Chanel: akawaambia wanatafuta nyumba na Pedeshee wahame pale kwa Doreen.
Wote: Wakampigia makofi Bravo! Umetisher mwana yani umeokota embe dodo kwenye mchanga, una nyota kali wetu!
Chanel: Akawa anacheka!
Carrie: Wewe soma iyo form 4 miaka 2 piga mpaka form 6 komaa uende diploma alafu mwombe akusomeshe chuo nje ya TZ upanuke akili na lugha usafishe uwe wa ukweli, utaona maisha yanapanda fasta, we bado mdogo haujachelewa wanasoma wababa miaka 50 utakuwa wewe mtoto wa miaka31.
Wenzake wakamtia moyo huku wanamfurahia.
Akaingia mama wa kulia Adrienne, Carrie akasema jamani huyu atatumia mwaka ngoja nikaongeze champaigne na nikalete napkins maana muhindi ameshapewa uwanja tujiandae kulia
Wote: enhe mama lete utamu!
Adrienne: akaadithia huku anacheka wenzake wanamshangaa, akaendelea tena mpaka wanapigana mechi kijijini kwenye migomba michongoma kando yam to, chumbani, kwenye mahindi ya mamake Doreen yani aibu.
Carrie: eh! salala, huyu ni Adrienne au naota! Uuuwi kweli George kanikosesha utamu.
Adrienne: akaendeleza ubuyu mpaka walipogombana juzi, akasema sirudi mwanaume gani ananiweka kama mahindi ya kuchoma hamna kitu!
Carrie: aaaaaa! hapo sasa ndio unaharibu wewe! Yani unamnunia mwanaume aya wee! Embu acha ujinga akipiga pokea, asee Doreen naomba huyu aje akae hapa umpe kitchen party maana tangu Chanel amekuwa kwako naona mambo mazuri sana,
Unajua Adrienne ushakuwa wewe, acha wazimu, kwani mwanaume si anafanya kazi si ushukuru sasa wako na Doreen kama ana mwanamke mwengine si yeye kwani wewe inakuhusu nini, we haya mimi naolewa mwenzio unaona kidole hiki, akawaonyesha kidole wenzake wakacheka kwanguvu haloo bi harusi wa Mandela tunakuona wakamsifia wakamkumbatia mama tisher sana, wooow pete nzuuuri.
Carrie: akaanza kufunguka tangu wamesafiri, kwa wakwe, walivyobanwa na wakwe, mambo ya upwiru, walipoondoka kwa wakwe kwenda hotelini, waliporudi Tz wakaenda kujifungia Bagamoyo, na alivyouza mali zake akanunua hisa, alafu akawashauri wanunue hisa wawekeze kwenye hisa, akwafundisha jinsi ya kufanya na nani wa kumwona ili wakanunue hisa, akawafundisha jinsi ya kukata mauno na kumtunza mpenzi,
Carrie: Adrienne usikilize kwa makini usiniletee aibu ivoo! Wakawa wanacheka tu. Kushituka saa 6 usiku ikabidi wakalale.
Adrienne na mahasira yake hata baada ya kupewa onyo na Carrie lakini bado akawa amevimba kwa kile kitendo ambacho Shawn alikifanya, kujidai yupo buzy kama Malaika waMbinguni wakati hana lolote, akaanza kusema labda ana mwanamke mwengine, akaamua kurudi kukaa hotelini alipotoka kwa Doreen.
Shawn akimtafuta hapokei simu, anampigia hapokei simu, akimwuliza uko wapi kwa sms hajibiwi, zikapita wiki 1, Shawn akamwuliza Doreen kuhusu Adrienne maana hajaonana nae sasa ana wiki 1 haelewi yupo wapi.
Doreen: Nakuomba shemeji kwa sasa muache kwanza akae hotelini, hapo alipo ana hasira kama Mmasai, nadhani mnafanana, wiki hii ikiisha utamfuata utaongea nae.
Baada ya wiki 2 kupita akiwa amekaa tu nyumbani kwake, akaona simu ya Adrienne inaingia, akapokea haraka haraka,
Adrienne akamwambia njoo hotelini nakusubiri.
Shawn akaondoka fasta kufika hotelini akamkuta mtoto kapendeza, amejipaka perfumes za nguvu ananukia,
Shawn akachizika kufika na kufika akamvaa mtoto wa watu maskini, kabla hawajapiga mechi Adrienne akamwambia atumie Condom maana hana uhakika wiki 2 alikuwa wapi!
Shawn: dah! akakubali tu sasa afanyaje maana anamjua mama kununa, akianza ugomvi hapati kitu, mechi ikaendelea kila kona ya chumba, mezani, dirishani, sakafuni… nadhani Darasa la Carrie lilipanda kwenye kichwa cha Adrienne…
Shawn alipagawa mpaka akaomba poo!
Baadae Shawn akamwuliza mama sielewi ni kipi kinakukimbiza nyumbani mpenzi wangu, nakupenda, rudi tuishi wote.
Adrienne: akiwa anathema kama joka kwa dozi ya mechi, akawa anamwangalia kujibu anataka hawezi.
Shawn: akaamka akaingiza mkono kwenye mfuko wa suruali yake, akatoa pete ya uchumba, akapiga goti akiwa uchi, Adrienne will you marry me?!
Adrienne: hakuamini, akaduwaa
Shawn: akamvalisha pete nzuri sana ilikuwa white Gold with Diamonds Ring.
Adrienne: akaanza kulia, alidhania anaota, akamwangalia Shawn akamjibu Yes I will Marry you!
Shawn: akamkubatia huku anambusu shingoni!
Adrienne: akiwa amekumbatiwa akaiangalia pete machozi yanamtoka, mara akaanza kushindwa kupumua akaanza kulegea.
Shawn: kumwangalia Adrienne anaona kama hapumui vizuri, akimwamsha haamki kumbe Adrienne amezimia muda.
ITAENDELEA KESHO TAR 16 AUGUST 2018 SAA 7 MCHANA YA TANZANIA
_______________________________
D. SOMETHING IN COMMON!
“Adrienne, Adrienne, we Adrienne amkaa!”
Adrienne: akawa anasikia kwa mbali kama watu wanamwita!
Wakazidi kumwita Adrienne, amka, unatusikia, Adrienne?
Carrie: Mwacheni labda bado kalala, wakawa wanapiga zao stori na Shawn wanamuondoa stress,
Saa 10 alfajiri, Adrienne akaamka, akawa anawaangalia, wenzake wanafurahi kaamka.
Carrie: akamtania umesharudi toka Mbinguni
Adrienne: akawa anataka kucheka akaishia kukohoa sana.
Wenzake: basi usicheke kwani haujamzoea Carrie tu,
Adrienne: akawaangalia huku analia, wakampa maji, kunywa maji mpenzi wetu wala usilie.
Adrienne: kwani hapa wapi?
Wakamwambia hospitali.
Adrienne: Nafanya nini?
Wakaanza kuangaliana wakamwambia wewe pumzika sisi tunakusubiria, akalala baada ya Masaa 2 akaamka, akawa anataka kushuka, wenzake wakashtuka, we mama unaenda wapi?
Adrienne: Kumekucha natakiwa kwenda ofisini,
Wote: Wewe lala upo hospitali.
Adrienne: anashangaa nafanyaje huku? akiangalia amevalishwa mawaya ya hospitali akiangalia upande wa pili mashine ya kupumulia na drip,
Carrie: Ulizimia jana usiku,
Adrienne: akakaa kitandani, nilizimia kwasababu gani?
Wenzake: wakaanza kuangaliana, wakamwambia hata sisi hatukuwepo Shawn katupigia simu tumelala tukaja haraka haraka na mabwana zetu kasoro Doreen
Adrienne: Shawn mwenyewe yupo wapi mpaka anawasumbua?
Wote: Yupo nje na Pedeshee na George wanaongea. Wakiwa katika mazungumzo,
Carrie: shogangu ulizimia wakati wa mechi au ulivyovishwa pete?
Adrienne akauliza pete? Pete gani? Akawa haelewi, kuangalia kidoleni bonge la pete, eh!
Wenzake wanamwambia ndio ivyo, naona ushakuwa bi harusi wa 2
Carrie: Plz Plz naomba usubirie mpaka niolewe mimi usiniwekee gundu ukoo, huku anamtania wanacheka, akaiangalia ile pete, ndio akili zinarudi mdogo mdogo, akaanza kuwaadithia kilichotokea.
Carrie: akamwambia kwakweli nimeshangazwa na Adrienne yani Doreen mpaka Adrienne anakupita? Du we kweli umezubaa, yani Adrienne kamkatia mauno Shawn mpaka kavishwa pete, eh kweli naona game langu la mechi nikali upgrade mpaka Adrienne ananishinda?! Haya sasa majanga!
Wenzake: wakawa wanacheka yani Carrie hauishi vituko jamani, kha! Hata kwa mgonjwa.
Adrienne: muacheni bwana kwanza hapa ananifurahisha napenda.
Wakampongeza Adrienne kumsifia na kumtania ilimradi tu acheke apunguze stress,
Adrienne: hata sijui nafanyaje, sijawahi kufikiria kama nitaolewa hivi karibuni jamani naona hata sipo tayari kwa ndoa naogopa sijui itakuwaje? Na Shawn sinae hata zaidi ya miezi 6 tayari anataka ndoa.
Carrie: ndio maana nasema subiri mimi niolewe kwanza nikusimamie harusi sasa haunielewi!
Wakawa wanancheka, wakamwambia ndoa ni kama maisha ya kawaida ya kila siku hamna tofauti wala usiogope.
Carrie akadakia na hiyo pete itabidi niongee na shem kainunua wapi kwakweli nzuri hatari.
Huku nje vijana wanamwuliza mwenzao Shawn imekuwaje bwana Adrienne amezimia, akawa anaona aibu kuongea, wakajaribu kumtania tania angalau achangamke, akawaambia ukweli, wenzake wakaanza kucheka, akaanza kunywea, asee kweli Adrienne atakuwa mtamu, amekuchanganya kwenye game mpaka unatangaza ndoa! Huku wanamcheka ikabidi nayeye acheke, ila hongera sana bra! Maisha ya ndoa sio shida kama unavyodhani ilimradi mmeshajuana haisumbui.
Huku nje vijana wanamwuliza mwenzao Shawn imekuwaje bwana Adrienne amezimia, akawa anaona aibu kuongea, wakajaribu kumtania tania angalau achangamke, akawaambia ukweli, wenzake wakaanza kucheka, akaanza kunywea, asee kweli Adrienne atakuwa mtamu, amekuchanganya kwenye game mpaka unatangaza ndoa! Huku wanamcheka ikabidi nayeye acheke, ila hongera sana bra! Maisha ya ndoa sio shida kama unavyodhani ilimradi mmeshajuana haisumbui.
Wakampa hongera na mausia kibao utadhani wao wameoa, ikawa imeshatimia saa 12 wakasikia akina Carrie wanacheka wakajua mambo mazuri wakaingia ndani wengine wanaaga wanaenda ofisini wakabakia wawili na Shawn.
Adrienne: hajui aseme nini ameduwaa anamwangalia tu, akamwomba amrudishe hotelini maana amechoka kukaa hospital na harufu ya hospital haipendi.
Shawn: hotelini tena, tunarudi kukaa kwetu mpaka tutakapopata nyumba tunayopenda tuishi wote.
Adrienne: akatabasamu. Shawn anakenda kufanya mipango ya kutoka hospitali, baada ya masaa 2 wakaondoka hospitali kurudi nyumbani.
Njiani Pedeshee akamtania Chanel, eh proposal la leo noma, Chanel anacheka,
Njiani Pedeshee akamtania Chanel, eh proposal la leo noma, Chanel anacheka,
Pedeshee: sasa mimi itabidi nikuvishe pete wakati nataka kukojoa, ah ah ah! Nikwambie will yoooou, maaaary, meeee wakati nasikilizia utamu huku nakuja!
Chanel: akacheka mpaka akalala kwenye siti ya gari, du hii kali!
OFISINI KWA DOREEN:
Kazi ikanoga kati ya Lucifer na Doreen, staff wakawa wanashanga imekuwaje Lucifer na Doreen vinaiva mpaka anacheka, wakaulizana au wanajuana, hatujawahi kumwona Lucifer akiwa na furaha hivi.
Siku moja Safaree akamtania Doreen, eh shemeji wangu wa zamani umempa nini Don maana sio kwa matabasamu tunayomwona nayo akiwa na wewe, umemlewesha na papuchi nini?
Doreen: akacheka tu.
Safaree: vipi Adrienne hajambo? Nimemtafuta sana kwenye simu namba haipo hewani nimeenda kwake hayupo, vp kahama?
Doreen: amesafiri kikazi ameenda Marekani anakaa mwaka mzima yani nina mmiss hatari (kumbe anadanganywa).
Safaree akajua kweli akanyamaza.
Doreen kichwani anamng’ong’a iloo jambazi mkubwa wewe nakuchekea tu kwasababu ya kazi vinginevyo wala nisingekuongelesha.
KIJIJINI MOSHIMaisha yakawa mazuri kwa wote, Carrie akapelekewa mahari Moshi kwa wazazi wake, Machame uko Lyamungo, bonge la sherehe wazazi wanafanya kufuru, mipombe, mimbege.
KIJIJINI MOSHIMaisha yakawa mazuri kwa wote, Carrie akapelekewa mahari Moshi kwa wazazi wake, Machame uko Lyamungo, bonge la sherehe wazazi wanafanya kufuru, mipombe, mimbege.
George na wazazi wake wakatia timu kijijini Machame, mambo yalikuwa fayaaa,
Carrie kampambwa kapendeza, mashosti zake wa 3 wanacheka cheka na kumtamania, akina Shawn na Pedeshee wako pembeni.
Sherehe ikabamba, mahari ikalipwa, wanakijiji wakanywa kukufuru, tarehe ya sendoff na harusi ikapangwa,
Carrie anafurahi anaona maombi yake yamejibiwa hakuamini.
Baada ya Miezi mitatu mbele sendoff ikafanyika kijijini Machame.
Mama yake Carrie kafurahi jamani nimeshaozesha watoto wote amebakia wa kiume, huyo sina neno nae ni mwanaume ataoa tu, wazazi wakatoa Baraka zote, mambo yakaenda vizuri ikabakia harusi.
Ndani ya wiki moja harusi ikafungwa Dar ukumbi wa DIAMOND Jubilee Hall, VIP Hall. Harusi kubwa, George alifanya kufuru, kaaliza marafiki zake wooote wa bondeni, walichafua sherehe, wa Nigeria nao walikuwepo wakaanza kumwaga mapesa, mambo ya rain money nini!
Akina Doreen, Chanel na Adrienne ndio maids wakubwa, wamependeza wanawaka waka.
Doreen akamwalika Lucifer, Lucifer akaja na ma board guard wake, sherehe ilipendeza sana, misosi ya kumwaga.
Carrie alilewa wine maana hakujua afanyaje pale mbele, alikuwa na miaibu akaamua kulewa tu aende sawa na sherehe lakini hakuna aliejua kuwa amelewa zaidi ya wazazi wake na marafiki zake.
Baadae ikaja hatua ya kudaka ua la bi harusi, single ladies wote wakaitwa, na wimbo wa Beyonce,
All the single ladies (All the single ladies)
All the single ladies (All the single ladies)
All the single ladies (All the single ladies)
All the single ladies
Now put your hands up
Cause if you liked it then you should have put a ring on it
If you liked it then you should've put a ring on it
Don't be mad once you see that he want it
If you liked it then you should've put a ring on it
Wuh uh oh uh uh oh oh uh oh uh uh oh
Wuh uh oh uh uh oh oh uh oh uh uh oh
Wakakusanyika kina singles na maids wote, Carrie akarusha Ua, likamuangukia Adrienne mkononi, Adrienne akacheka, akacheka kidogo aanguke wenzake wakamkumbatia kweli Mungu kapanga wewe ndio unafuatia.
All the single ladies (All the single ladies)
All the single ladies (All the single ladies)
All the single ladies (All the single ladies)
All the single ladies
Now put your hands up
Cause if you liked it then you should have put a ring on it
If you liked it then you should've put a ring on it
Don't be mad once you see that he want it
If you liked it then you should've put a ring on it
Wuh uh oh uh uh oh oh uh oh uh uh oh
Wuh uh oh uh uh oh oh uh oh uh uh oh
Wakakusanyika kina singles na maids wote, Carrie akarusha Ua, likamuangukia Adrienne mkononi, Adrienne akacheka, akacheka kidogo aanguke wenzake wakamkumbatia kweli Mungu kapanga wewe ndio unafuatia.
Carrie akamkumbatia Shawn, shemeji fanya haraka ua ndio limewaangukia Adrienne, wote wakacheka.
Carrie na George wakafungua mziki bwana!
Carrie na George wakafungua mziki bwana!
MC alijuta kuwafungulisha, mziki wanacheza kama wanabakana, aibu!
Mara Carrie kambinulia makalio George mara George kamkumbatia 0 distance Carrie, kha!
MC akaona hapatoshi akaona aalike couples zingine, wacheze blues na maharusi.
Chanel akajimuvuzisha kwa Pedeshee.
Shawn na Adrienne.
Doreen akaenda kumwinua Lucifer, twende pilot tukacheze, Lucifer akacheka akubali.
Baadae MC akaweka bolingo wageni wote wakacheza, eh kumbe Lucifer anajua kuyarudi ma bolingoo, akakatika kabisa.
Ikabidi MC aweke na twist kuwakaribisha wakwe wacheze, eh Lucifer akayarudi mpaka chini, akina Carrie wanamcheka Doreen, eh boss wako yupo vizuri, umetisher Doreen, mziki unazidi kubamba..
Carrie alilewa sidhani kama alikumbuka alichokuwa anakifanya.
Harusi ikaisha, Adriene na wenzake wawili wakawa wanakusanya zawadi wanawapa Shawn na Pedeshee kupeleka kwenye gari, walipomaliza;
Harusi ikaisha, Adriene na wenzake wawili wakawa wanakusanya zawadi wanawapa Shawn na Pedeshee kupeleka kwenye gari, walipomaliza;
Chanel: jamani tumebakia watatu, siamini Carrie katuacha, nahisi kama tumepungua kitu.
Wenzake: ndio ni kweli ila Carrie atabaki kuwa Carrie sidhani kama ndoa itambadilisha!
Wakaelekea kwenye gari kila mtu na bwana wake, Doreen akiwaangalia anamkumbuka James.
Wakaelekea kwenye gari kila mtu na bwana wake, Doreen akiwaangalia anamkumbuka James.
Doreen: James angekuwepo leo angefurahi sana, akaingia kwenye gari, alipotaka kufunga mlango akaona mkono unamzuia asifunge, kuangalia kumbe ni Lucifer,
Doreen: Oh! Vipi?
Lucifer: Poa
Doreen: leo hauna usafiri?
Lucifer: leo umependeza kuliko siku zote nazokuonaga, embu toka nje ya gari nikuone!
Doreen: akashuka huku anajiangalia anasema hivyo ee sikujua mimi najiona kawaida tu, ila namshukuru Mungu unanilipa vizuri napendeza.
Lucifer: hahahaha, wakaendelea na maongezi, wakiwa wamekaa nje ya gari ya Doreen, Lucifer akaweka muvu kwa Doreen, mara anambusu kwenye shingo, mara kwenye mashavu, fainali mdomoni.
Doreen: akawa anashangaa lakini kiukweli alikuwa anapenda, si unajua ukiwa tena, James amempa taabu sana, wakati huo huo anashangaa wakati huo huo anafurahia akawa anahisi labda DON kalewa.
TUONANE BAADAE SAA 1 USIKU YA TANZANIA
_______________________________
E. UPENDO WAKO NI ASALI MPYA KWANGU
KWENYE PARKING:
Lucifer akazidi kuongeza speed ya malavi davi, eh Doreen uzalendo ukamshinda, akaanza kulegea, Lucifer akataka kumbeba kumwingiza kwenye gari ya seat ya nyuma!
Doreen akaona isiwe tabu akampiga kofi Lucifer,
Lucifer: Mama niongezee na lingine maana unaniamsha kweli hujui tu
Doreen: akajinyofoa kwa Lucifer akamsukuma akaingia kwenye gari, Lucifer akaanguka chini, wakati Doreen anawasha gari aondoke akasahau kuwa mlango wa nyuma haukufungwa, Lucifer akadaka mlango wa nyuma akaingia ndani ya gari seat ya nyuma akakaa chini kabisa huku ameshikilia mlango hajaufunga vizuri.
Doreen: akajinyofoa kwa Lucifer akamsukuma akaingia kwenye gari, Lucifer akaanguka chini, wakati Doreen anawasha gari aondoke akasahau kuwa mlango wa nyuma haukufungwa, Lucifer akadaka mlango wa nyuma akaingia ndani ya gari seat ya nyuma akakaa chini kabisa huku ameshikilia mlango hajaufunga vizuri.
Doreen akaondoka, kufika mbele anaangalia nyuma anaona Lucifer amekaa seat ya nyuma, akaona isiwe tabu, akaanza kuwaka.
Doreen: we mwanaume vipi? Una shida gani na mimi mbona unanifuatilia ivyo? Achana na mimi tafadhali mimi sio Malaya ukinishika tu naenda! unataka mpaka kuyamiliki maisha yangu? Akamtukana Lucifer, Lucifer anamwangalia tu!
Lucifer akaamua kusogea seat ya mbele, akaanza kumbusu mabegani, kwenye mikono Doreen anamsukuma lakini wapi Lucifer hasikii
Doreen: kwa sauti kubwa, Bwana unajua nitagonga niacheeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Lucifer: akaamua kumuacha akaangalia pembeni, baadae akarudi kumuangalia safari imekuwa ndefu ghafla!
Doreen tangu nimekuona moyo yangu hauko vizuri nielewe tu mama kuwa mimi nakupenda mbaya!
Doreen: unanipenda?
Doreen tangu nimekuona moyo yangu hauko vizuri nielewe tu mama kuwa mimi nakupenda mbaya!
Doreen: unanipenda?
Lucifer: sana tu!
Doreen: unanipenda au unanyege? Kuna tofauti kati ya kupenda na kuwa na nyege, we na mapombe uliokunywa ndio yamekusaidia kuongea leo siku zote ulikuwa wapi?
Lucifer: mimi nimekufahamu juzi tu mpenzi, tangu nimekuona umeukamata sana moyo wangu, tafadhali usinitese namna hii, naomba unikubalie ombi langu la mimi kuwa mpenzi wako, unaniumiza ujue!
Doreen: Kweli ee?
Lucifer: Ndio!
Doreen: na unataka kabisa nikukubali?
Lucifer: usipokubali nitakufa!
Doreen: bora ufe tu! Maana hata mimi sioni sababu ya kuishi muda wowote nataka Mungu anichukue
Lucifer: hapana usiseme hivyo mpenzi, usimkufuru Mungu, mtoto mzuri kama wewe unataka kuozea kuzimu?!
Doreen: usijali maana kuzimu ndio unamiliki, usiponipata Duniani utanipata Kuzimu!
Lucifer: Doreen nipo serious ujue!
Doreen: Lucifer plz, nataka kwenda kwangu kulala nambie nikushushe wapi?
Lucifer: kwako!
Doreen: akacheka!
Lucifer: ukicheka unapendeza, na hizi dimples zako mimi hoi!
Doreen: nadhani unijui utalaa na mbwa nje na mlinzi
Lucifer: bora nikulinde kuliko kulindiwa!
Doreen: shenzy zako, mxiuuuuu! Kwanza bora umejileta nikuweke sawa maana umezidi, hivi Lucifer or whatever your new name is, kweli ungekuwa unanipenda ungemuondoa … akaishia hapo akakumbuka Shawn alimwambia asiongee kitu, akanyamaza akaanza kulia
Lucifer: ningemwondoa nani? Mbona sikuelewi?
Doreen: potezea haina shida!
Lucifer: ningemwondoa nani? Mbona sikuelewi?
Doreen: potezea haina shida!
Lucifer: anamwangalia huku anasinzia.
Doreen akafika kwake, akafungua mlango Lucifer bado kalala, akabamiza mlango akamwambia lala hapo hapo kwenye gari nisikuone ndani kwangu
Lucifer: akafungua mlango akamfuata kwa nyuma akaingia nyumbani kwa Doreen akaloki mlango.
Lucifer: akafungua mlango akamfuata kwa nyuma akaingia nyumbani kwa Doreen akaloki mlango.
Doreen akaingia chumbani kwake akaloki, akaenda kuoga anakuta Lucifer anagonga bado mlango amekaa pale pale chini!
Doreen akaingia kulala, alfajiri akashtuka anaota James amerudi, kushtuka hamna kitu, akainuka akaangalia nje dirishani hamna kitu, akaangalia bafuni hamna kufungua mlango anamwona Lucifer amelala hapo mlangoni, akamwangalia kidogo amtemee mate, akamhurumia akakumbuka amemsaidia kazini analipwa mshahara mkubwa akaamua kumtoa pale chini ya mlango akamburuta mpaka kitandani kwake, akamlaza, akatoka akaenda kulala chumba cha wageni.
Usingizi haukuja huko chumba cha wageni, anawaza atamfanyaje Lucifer atamhadaa vipi amweleze James alipo?!
Baadae Doreen akaona isiwe shida, akakumbuka maneno ya Carrie, kuwa atembee na Lucifer kujua James yupo wapi!
Doreen akawaza na kuwazua nini cha kufanya kumtega Lucifer! Katika wazua za hapa na pale usingizi ukampitia kuja kuamka saa 4 asbh anaskia vitu vinanukia, akainuka kuangalia kitanda amelala sio chake, akakumbuka aliondoka usiku, akanyata mpaka jikoni anamwona Lucifer anakarangiza, akanyata kurudi chumbani kwake akajifungia, akapiga mswaki, oga fasta, kava nguo fasta, katandika kitanda, akatoa loki ya mlango akarudi kujilaza, baada ya dk 10 akaskia Lucifer anaimba anakuja kwenye chumba chake, akafungua anamkuta Doreen amelala.
Doreen akawaza na kuwazua nini cha kufanya kumtega Lucifer! Katika wazua za hapa na pale usingizi ukampitia kuja kuamka saa 4 asbh anaskia vitu vinanukia, akainuka kuangalia kitanda amelala sio chake, akakumbuka aliondoka usiku, akanyata mpaka jikoni anamwona Lucifer anakarangiza, akanyata kurudi chumbani kwake akajifungia, akapiga mswaki, oga fasta, kava nguo fasta, katandika kitanda, akatoa loki ya mlango akarudi kujilaza, baada ya dk 10 akaskia Lucifer anaimba anakuja kwenye chumba chake, akafungua anamkuta Doreen amelala.
Lucifer: akaweka chakula pembeni, akamsogelea Doreen, akamwamsha kwa kumbusu shingoni mara mashavuni, mara machoni, akarudi tena shingoni, akawa anashuka sasa kwenye milk!
Doreen: sio kwamba alikuwa hasikii kajikausha, kujikausha kuliposhindikana akajidai kuamka, Lucifer alishafika kiunoni, tobaaa utam kolea!
Breakfast ya wakubwa ikaliwa!
Baada ya masaa 2 Doreen akaamka, kujikagua yupo mtupu! Kuangalia Pembeni Lucifer amelala, akamuangalia na lile Gorilla Body lake kama la 50cent hakuamini! Show imepigwa hata hajajishughulisha kumtega!
Akajiambia inawezekana Lucifer ananipenda kweli au? Maana Dozi niliopewa sio ya nchi hii! Doh! Alafu ana machine balaa, utadhani alikuwa na Mungu wakati anafinyangwa?! Embu angalia bonge la machine huyu mtu amenichana atakuwa mbona naumwa sana jamaa! Doh!
HUKO HONEYMOON:
Carrie na George nao hawakuwa wa masihara, kwanza mechi ilipigwa njiani wakiwa wanaelekea Honeymoon, hawakuwa na dereva wa kuwaendesha mambo ya Kiswahili, Dereva alikuwa George, kufika njiani wakapaki gari pembeni mechi ikapigwa. Kila mtu anagombania kufunga goal, by the time wanafika hotelini wameshachooka wakaishia kulala tu!
HUKU MTAANI:
Chanel na Pedeshee walikuwa kwenye mechi yao, sikuhiyo wakaamua kulala hotelini kusheherekea harusi ya Carrie, Chanel alikuwa dereva wa gari la mechi yao na alihakikisha amemtandika vibaya mno Pedeshee.
Chanel na Pedeshee walikuwa kwenye mechi yao, sikuhiyo wakaamua kulala hotelini kusheherekea harusi ya Carrie, Chanel alikuwa dereva wa gari la mechi yao na alihakikisha amemtandika vibaya mno Pedeshee.
Uzuri Pedeshee usiku ule alikuwa amekunywa sana akaamua kumwachia Chanel amfunge magoli kijinga jinga aliofungwa.
Alfajiri Chanel akaamsha popo, mpira ukapigwa, Pedeshee bado yupo na mausingizi. Chanel alikuwa na ugwadu hataree, asali ya Tabora ya mwilini kwake ilipanda, akaamua kuliamsha dude alfajiri.
HUKU KWINGINE:
Shawn na Adrienne wakarudi nyumbani kwao, kufika mlangoni Shawn akambeba juu juu Adrienne.
Adrienne anacheka tu, ma kiss kiss kama kawa huku wanavuana nguo lakini hazitoki, ikabidi Shawn afanye mechi ya kihuni maana muda wa romance haukuwepo.
Adrienne sikuhizi kawa fundi, anapigwa mechi akiwa amesimama; mechi ikaishia mlangoni 3 bila na wala hawakufika chumbani.
KWA DOREEN:
Doreen akaamka kwenda kula breakfast, hapo saa 6 mchana anakula huku anamwangalia Lucifer anaona aibu, huku anajiongelesha;
Doreen: Mungu wangu nimelala na Ngiri, kweli Dunia duara, yani huyu Ngiri kabisaa nimemfungulia miguu, yeeesu na maria kweli maisha haya sio kabisa. Akimwangalia Don Lucifer handsome kinyama, akikumbuka machine yake anachoka kabisa, hata ya James haikuwa hivi, huyu binadamu au ngiri kweli?
Anajiuliza nitafanyaje sasa mapenzi na kazi zitaendeje? Au ndio nitaachishwa? Kuchanganya mapenzi na kazi ha salama, kazi naipenda sana, au! Au niache hii kazi na je mapenzi na Lucifer yakifa nafanyaje narudi kwenye umaskini tena au? Na James akirudi itakuwaje?!
Akakumbuka James ndio alimsotea kupata kazi, akaona haina haja atavumiliaga tu mbele kwa mbele mpaka kieleweke, akakumbuka hawakutumia kinga na Lucifer akachoka!
Mungu wangu nahisi nitakuwa na ukimwi huyu Lucifer ni kipusa, muhuni atakuwa sasa nafanyaje?!
Akaanza kulia, huku anaongea mwenyewe huku anajipa moyo, akikumbuka mechi ya jana usiku ilivyokuwa hata James hajawahi kumfikisha kileleni namna ile, ila ya jana ilikuwa next level! Kitu WWW Raw Fight! Kha!
Akatamani mechi ijirudie maana sio kwa mautamu yale. Akaingia kuoga fasta fasta ili asikamatwe mara Lucifer huyo akaingia bafuni!
Lucifer: baby unataka kuoga bila mimi? Utatakataje sasa? akaanza kumwogesha mrembo wake.
Doreen: hamu hana! kudadeki nafanyaje hata sina mpira, usoni kajaa mawazo lakini Lucifer akimuangalia usoni anatabasamu tu kama hamna kitu.
Mechi ikapigwa bafuni, Doreen akafungwa goli mbili bila, akanuna kila saa anafungwa yeye tu, kila akipanga mbinu zinavurugwa na mautamu ya Lucifer!
Akawaza jinsi ya kumpagawisha Lucifer amweleze alipo James. Walipotoka bafuni Lucifer akawa anamkausha mgongoni, akashuka mpaka kwenye wowowo, alipomgeuza amkaushe mbele, Doreen akamvamia, Lucifer anashangaa eh huyu demu mechi yote ile bado tu.
Wakahamia kitandani, Doreen anajiambia hii mechi safari hii ni yangu wala sikubali kufungwa kijinga jinga! Mauno yakaendelea si unajua tena mademu wa Singida walivyo hodari kitandani!
Akaanza kushangaa Lucifer analia mara sauti ya 4 anarudi ya 5 anapanda ya 5 hatareee! Basi Doreen anazidi kuvimba kichwa, anaongeza speed kama ya feni mpya!
Mtu mzima analia, uuuwi, eeee, jamaani mara anaongea ki-mexico yani full shangwe!
Doreen alipoona Lucifer anakuja akajitoa, Lucifer akamwaga kitandani.
Lucifer: akashangaa kwanini Doreen anafanya usaniie?
Alipoulizwa akajibu naogopa kupata mimba sijajiandaa!
Lucifer akachoka maana nia yake ni kumpa mimba Doreen! Akabaki ameduwaa machine ikasinyaa ghafla, mishen ishafeli!
ITAENDELEA KESHO TAR 17 AUGUST 2018 SAA 7 MCHANA YA TANZANIA, KUPATA MUENDELEZO WA HADITHI HII HAMIA KWENYE PAGE NYINGINE; ITAENDELEA KAMA PART 2 YA HADITHI HII...
0 comments