CAUTION/ TAHADHARI:
MPENZI MSOMAJI USOMAPO HADITHI HII JUA KUWA HII NI HADITHI TU KAMA HADITHI ZINGINE
NI MOJA KATI YA BURUDANI ZILIZOPO DUNIANI
TAFADHALI USICHUKULIE BINAFSI (PERSONAL)
___________
Duniani kuna Mahusiano meeeengi sana, mazuri, mabaya, yakutisha yakufurahisha, yakufedhehesha, yakutia moyo, yakushangaza, yakuhuzunisha, yakutamanika, yakuchukiwa na ya-kuigwa!
MPENZI MSOMAJI USOMAPO HADITHI HII JUA KUWA HII NI HADITHI TU KAMA HADITHI ZINGINE
NI MOJA KATI YA BURUDANI ZILIZOPO DUNIANI
TAFADHALI USICHUKULIE BINAFSI (PERSONAL)
___________
Duniani kuna Mahusiano meeeengi sana, mazuri, mabaya, yakutisha yakufurahisha, yakufedhehesha, yakutia moyo, yakushangaza, yakuhuzunisha, yakutamanika, yakuchukiwa na ya-kuigwa!
Raha ya hadithi ni kusikia mahusiano ya watu wengine waliokutangulia/waliopita!
Hadithi hii ya Mahusiano itaongelea Mahusiano ya kweli ya vijana waliojulikana kama vijana wa kizazi cha kati (wa miaka ya 1990-2000) ambao walihisi kufahamiana vya kutosha lakini kila mtu alikuwa na tabia yake iliofichika...
Natumai utajifunza Mengi kupitia Hadithi hii;
SEHEMU YA 1
"MCHUNGAJI PAPAA"
"MCHUNGAJI PAPAA"
"... sijamwona Patric sikunyingi tangu tumemaliza kidato cha sita!
Patric namwelewa kuliko maelezo, ni wale marafiki wa kweli (best friend) wa zamaaani kabla sijaolewa nikiwa chautundu... Patric alikuwa ni noumeeer alikuwa na roho ngumu vibaya mnooo...
Darasani Patric alikuwa Kilaaaazaaaaa
(hana akili), tukifundishwaaa ikija mitihani anafeli, akawa ananiomba nimfundishe twisheni muda wa masomo kuisha, akija kurudia mitihani anafauluuu...
Tulipomaliza form 6 sikumwona tena... nikafaulu ila yeye hakufaulu alipata divishen 0, nikafaulu kwenda chuo lakini yeye sikumwona tena wala mawasiliano hatukuwa nayo. nyumbani kwetu hakupajua na kwao sikujui! Urafiki wetu ulikuwa wa kishule shule zaidi ila tukiwa shuleni tulikuwa mabest sana...
Baada ya mwaka mmoja kupita tangu kumaliza kidato cha sita, nikiwa natokea ofisi moja mjini, nikamwona mtu kama yeye anatembea na vijana wengine 3!
walikuwa wamevaa suti nyeusi wapendeeeza wenyewe utadhani ma-Meneja wa ofisi flani hivi, kwanza sikuamini, nikahisi labda namfananisha ila roho ikawa inakataa!
nikaamua kumsogelea ingawa alikuwa anatembea na wenzake kwa haraka ibadi nimkimbilie,
Kwa mazoea ya shuleni tuliozoeana sikuona ajabu kumwita hadharani tena bila wasiwasii
Nikaita kwa nguvu: "wewe PAPAAAAA" hakugeuka!
Nikarudia tena hakugeukaaa!
Nikaamua kumwita kwa nguvu kwa mara ya mwisho huku watu wananiangalia na kunishangaa "PATRIIIIIIIC!" akageuka, akaniangalia lakini hakushtuka, akaondoka! kama hanijui, nilichokaa!
(hana akili), tukifundishwaaa ikija mitihani anafeli, akawa ananiomba nimfundishe twisheni muda wa masomo kuisha, akija kurudia mitihani anafauluuu...
Tulipomaliza form 6 sikumwona tena... nikafaulu ila yeye hakufaulu alipata divishen 0, nikafaulu kwenda chuo lakini yeye sikumwona tena wala mawasiliano hatukuwa nayo. nyumbani kwetu hakupajua na kwao sikujui! Urafiki wetu ulikuwa wa kishule shule zaidi ila tukiwa shuleni tulikuwa mabest sana...
Baada ya mwaka mmoja kupita tangu kumaliza kidato cha sita, nikiwa natokea ofisi moja mjini, nikamwona mtu kama yeye anatembea na vijana wengine 3!
walikuwa wamevaa suti nyeusi wapendeeeza wenyewe utadhani ma-Meneja wa ofisi flani hivi, kwanza sikuamini, nikahisi labda namfananisha ila roho ikawa inakataa!
nikaamua kumsogelea ingawa alikuwa anatembea na wenzake kwa haraka ibadi nimkimbilie,
Kwa mazoea ya shuleni tuliozoeana sikuona ajabu kumwita hadharani tena bila wasiwasii
Nikaita kwa nguvu: "wewe PAPAAAAA" hakugeuka!
Nikarudia tena hakugeukaaa!
Nikaamua kumwita kwa nguvu kwa mara ya mwisho huku watu wananiangalia na kunishangaa "PATRIIIIIIIC!" akageuka, akaniangalia lakini hakushtuka, akaondoka! kama hanijui, nilichokaa!
Baada ya lile picha, nikaamua kujiondokea zangu kurudi nilipotoka,
Baada ya mwezi mmoja, nikapokea simu ya mezani pale nyumbani,
Simu: we PAPAA mamboooo?!
Money Penny: Poa nani mwenzangu? (najikausha)
Simu: Ulikuwa wapi wewe, nakutafuta mwaka mzima haupatikani?
Money Penny: Samahani nani mwenzangu?
Simu: We sio Penny? au nimekosea namba?
Money Penny: Nani wewe?
Simu: Mimi Patric... a.k.a Papaaa!
Money Penny: doooh! we kilaza! upoo?
tukaongea weeee karibia nusu saa! Baada ya kumsema alivyonichunia mjini akaomba tuonane siku fulani na saa fulani, nikamkubalia akakata simu
Lakini sikuelewa Patric alipata wapi namba ya simu ya pale nyumbani kwetu.
Baada ya mwezi mmoja, nikapokea simu ya mezani pale nyumbani,
Simu: we PAPAA mamboooo?!
Money Penny: Poa nani mwenzangu? (najikausha)
Simu: Ulikuwa wapi wewe, nakutafuta mwaka mzima haupatikani?
Money Penny: Samahani nani mwenzangu?
Simu: We sio Penny? au nimekosea namba?
Money Penny: Nani wewe?
Simu: Mimi Patric... a.k.a Papaaa!
Money Penny: doooh! we kilaza! upoo?
tukaongea weeee karibia nusu saa! Baada ya kumsema alivyonichunia mjini akaomba tuonane siku fulani na saa fulani, nikamkubalia akakata simu
Lakini sikuelewa Patric alipata wapi namba ya simu ya pale nyumbani kwetu.
Siku ya tukio nikajongea fastaaa Serena Hotel!... tukasalimiana, tunakumbatiaaaanaaaa, tunachekaa kama mitotooo!
baada ya kula na kunywa Patric akafungukaaa
Papa: Penny unajua umeniharibia sana pale umeniita nilikuwa kazini, sasa hivi marafikizangu wananiita PAPAA kwasababu yako Penny, ujue Penny mimi na wewe tulikuwa vinaiva sana tulipokuwa shuleni, mpaka kunipa jina la Papa na kuwaambiwa office mate waniite papa yote ni kwa ajili yako,
Money Penny: ah na wewe, najua! enhe niambie unafanya kazi wapi? umepataje kazi wakati sisi bado tupo chuo tunasoma tunasotaaa!
Papa: we acha tu! si unajua form 6 nilipataga div 0.. nikatoka pale nikakaa tu mtaani, mara nauza uza vibiashara vidogo dogo nikasota mwaka na nusu ndio mzee mmoja akaja kuniambia kuna kazi mahali maana aliniona mimi sio mtu wa makundi makundi mtaani, akanisoma kuwa nina akili ya maisha japo za darasani sina!
Nikasubiri muda wowowte napata kazi lakini haikuwa hivyo! Nikakaa tena mtaani mwakaa! nikijua nimeshatapeliwa na yule mzee nikaendelea na vibiashara vyangu mara nauza mbogamboga, mara nauza matunda nikapanda nikaenda kwenye mitumba ya jumla nikanunua banda ilala boma, maisha yakaendelea!
Baada ya mwaka mmoja mbele sasa, nikakutana tena na yule mzee! akaniambia nisamehe mwanangu niliumwa nikapoteza simu, nikaulizia ulizia kwa watu wa pale hawakujui, jana nikakuona kwa mbali nikawa nimesimama na mtu nikamwuliza yule kijana anaitwa nani akaniambia unaitwa Papaa!
ndio jina linajulikana mtaani! mimi nilikuulizia kwa jina la Patric bwana ndio maana sikufanikiwa kukupata!
Nikaulizia ulizia nikajua nyumbani kwenu wakaniambia umehama unakaa kwako, ndio nimekuja leo.
Pole sana kijana wangu, najua umevumilia mno! ila kazi yako bado ipo
Akanielezea kuhusu kazi nikakubali, kesho yake akanipeleka kwenye hio kazi nikafanyiwa interview nikaonekana nimefaulu... nikaambiwa nije kuanza kazi j3 yake nipo kwenye majaribio!
Baada ya miezi 6 nikaajiriwa,
Money Penny: Unafanya kazi gani, kampuni gani?
Papaa: kazi za masoko, Kampuni moja ya wachina mpya, .... uje unisalimie. Akanielekeza ofisini kwao akaniambia atasafiri kwenda China akirudi atanialika niende!
ndio jina linajulikana mtaani! mimi nilikuulizia kwa jina la Patric bwana ndio maana sikufanikiwa kukupata!
Nikaulizia ulizia nikajua nyumbani kwenu wakaniambia umehama unakaa kwako, ndio nimekuja leo.
Pole sana kijana wangu, najua umevumilia mno! ila kazi yako bado ipo
Akanielezea kuhusu kazi nikakubali, kesho yake akanipeleka kwenye hio kazi nikafanyiwa interview nikaonekana nimefaulu... nikaambiwa nije kuanza kazi j3 yake nipo kwenye majaribio!
Baada ya miezi 6 nikaajiriwa,
Money Penny: Unafanya kazi gani, kampuni gani?
Papaa: kazi za masoko, Kampuni moja ya wachina mpya, .... uje unisalimie. Akanielekeza ofisini kwao akaniambia atasafiri kwenda China akirudi atanialika niende!
Money Penny: nikachokaa! kilaza kawa mtu mkubwa! anasafiri kwenda Ulaya! anavuta hela ndefuuu! macho yakanitokaaa!
Nikamuomba nikimaliza Chuo anipatie ajira,
Nikamuomba nikimaliza Chuo anipatie ajira,
Papa: akacheka sanaa aaah Penny weee! ila nimekumiss sana. Maliza tu shule nitakusaidia!
Baada ya usiku ule hatukuonana tena.. ikapita mwaka 1 nikapata tena simu, nikajua tu ni yeye, akaniambia njoo Kilimanjaro Hotel nimekumiss mtoto mzuri, ah! ngoja kwanza nitakupigia simu ikakatwa, sikumsikia tena nikaja kumsikia miezi 6 mbele baada ya kunipigia simu na kuniambia mimi ni PAPAAA njooo Kanisa flani nakusubiria ukichelewa naondokaaa!
Money Penny: nikachokaaa! nikaamua kwenda!
Nikachukua Taxi sehemu yenyewe ipo ndani ndani huko uswahilini! dah kufika naona Kanisa la udongoo nikachokaa!...
Namwuliza wewe Papaaa, vepee? mbona upo huku kuna nini? au mchina kakuagiza uje ufanye Marketing huku?
Nikachukua Taxi sehemu yenyewe ipo ndani ndani huko uswahilini! dah kufika naona Kanisa la udongoo nikachokaa!...
Namwuliza wewe Papaaa, vepee? mbona upo huku kuna nini? au mchina kakuagiza uje ufanye Marketing huku?
Papa: kama kawaida yake ya kucheeekaaa!
"Penny bwana, karibu! nikapewa kigoda nikakaa.
Mara watu wanaingia wanamsalimia shikamoo Mtumishi, Shikamoo Mchungaji!
"Penny bwana, karibu! nikapewa kigoda nikakaa.
Mara watu wanaingia wanamsalimia shikamoo Mtumishi, Shikamoo Mchungaji!
Papa anawakaribisha na maneno ya kilokole mimi hoi! Kweli Marketing ya Kichina hii hahahahahaha!
Money Penny: Hivi huyu divishen 0 kachanganyikiwaa au?
hapo natamani kucheka kwa nguvu sina mbavu! Najiuliza huyu Papaa kawa Mchungaji saa ngapi?
Papa: unajua Penny mimi sasa hivi nimeshakuwa Mchungaji, tena Mchungaji Msaidizi
Money Penny: eh! tenaaa?! na kazi za Masoko ushaacha?
Money Penny: eh! tenaaa?! na kazi za Masoko ushaacha?
Papa: Penny ile kazi nilishaiacha inanipa stress kibao nikaamua kumrudia Mungu, riziki popote bwana, kule sikuwa na amani hapa nina amani tele japo mshahara mdogo! Mungu atanitunza
Money Penny: doh! hongera sana kwahiyo sasa Mama Mchungaji hapa yupo wapi? namaanisha mkeo
Papa: hilo ndio nimekuitia best wangu najua una akili sana na nataka unisaidie, kuna dada mmoja nimemwona hapa Kanisani Nimempenda sana, nataka unisaidie kumchunguza, ila niletee habari zake za ukweli, ukinidanganya tutagombana sana!
Mara akaingiza mkono mfukoni akatoa picha ya dada muhusika, huyu hapa anaitwa ANITA!
Mara akaingiza mkono mfukoni akatoa picha ya dada muhusika, huyu hapa anaitwa ANITA!
Money Penny: doh! kweli sasa Papaa naona akili zimeisha! mimi nimchunguze huyu mrembo kwani mimi polisi? si uende polisi wakusaidie?! kwanza unamchunguzia nini? we si ukae nae mwenyewe umchunguze bwana yani mpaka mke nikutafutie mimi?!
alafu! hehehehe! Ivi Papaa huyu demu nae kaokoka kweli? mbona mzuri sana?
alafu! hehehehe! Ivi Papaa huyu demu nae kaokoka kweli? mbona mzuri sana?
Papaa: ndio nataka umfuatilie kama kweli kaokoka kweli au la! kabla sijaoa binti nataka kujua habari zake sanaaa nimchunguze sana, wewe fanya upande wako na mimi nafanya wangu..
anafanya kazi sehemu flani, kwenye mapokezi!
Money Penny: embu ngoja kwanza unaniagiza kama nani yako labda? nimeshakuwa secretary? asee this is a sick joke! we Papaa naona umeshanisahau ee?!
Papaa: nakukumbuka sana na najua hii kazi utaiweza sana
Money Penny: sasa mimi nafanyaje urafiki na mtu alieajiriwa?! mimi mwanafunzi yeye mfanyakazi!
Papaa: hilo nakuachia, usijali nitakuwa nakulipa kama hautaniletea maelezo ya uongo!
Money Penny: kusikia Pesa, nikauliza Shilingi ngap utanilipa?
Papaa:
akaingiza mkono mfukoni akatoa ATM card ya benki akanipa, tumia hii bank card password ni **** jilipe unavyotaka!
Ila fanya urafiki na huyu dada, jina lake ni ANITA, mpatie anachotaka mfanye awe rafiki yako wa karibu akupe siri zake za zamani na mpaka sasa, tutakuwa tunawasiliana kwa namba hii akanipa business card imeandikwa Mchungaji Msaidizi Patric!
anafanya kazi sehemu flani, kwenye mapokezi!
Money Penny: embu ngoja kwanza unaniagiza kama nani yako labda? nimeshakuwa secretary? asee this is a sick joke! we Papaa naona umeshanisahau ee?!
Papaa: nakukumbuka sana na najua hii kazi utaiweza sana
Money Penny: sasa mimi nafanyaje urafiki na mtu alieajiriwa?! mimi mwanafunzi yeye mfanyakazi!
Papaa: hilo nakuachia, usijali nitakuwa nakulipa kama hautaniletea maelezo ya uongo!
Money Penny: kusikia Pesa, nikauliza Shilingi ngap utanilipa?
Papaa:
akaingiza mkono mfukoni akatoa ATM card ya benki akanipa, tumia hii bank card password ni **** jilipe unavyotaka!
Ila fanya urafiki na huyu dada, jina lake ni ANITA, mpatie anachotaka mfanye awe rafiki yako wa karibu akupe siri zake za zamani na mpaka sasa, tutakuwa tunawasiliana kwa namba hii akanipa business card imeandikwa Mchungaji Msaidizi Patric!
Alafu naomba, hapa usiwe unakuja kuja tena, maana nitaonekana vibaya na haya mavazi yako ya Vimini mara Jeans na vimini huku usije nayo, ukija uku utafute Mashuka uvae au vitenge!
kwaheri mimi naingia kwenye ibada... fanya kazi yangu kama nilivyokuagiza plz usiniangushe maana haukuwahi kuniangusha sikuwahi kufeli mitihani nilipokuwa shuleni ukinifundisha ila ule mtihani wa Taifa tu wa form 6! Tafadhali nenda tutawasiliana.
akainuka akaingia ndani, mimi nikatoka nikasimama kwenye ukuta wa majani ya pembeni kuna dirisha namwangalia mwenyewe anaongoza ibada, nilichokaaa!
Mara anene kwa lugha! doh mapicha kibaoo! yani bonge la sinema!
Nikajisemea kweli huyu muhuni kawa Mchungaji?! hahahahaha nikaondoka njia nzima nacheka... nikiwa njiani nikapitia Bank kabisaaa Tomaso mimi sitaki ujinga, nijaribishe nione kama hii kadi ya kweli au feki.
Mara anene kwa lugha! doh mapicha kibaoo! yani bonge la sinema!
Nikajisemea kweli huyu muhuni kawa Mchungaji?! hahahahaha nikaondoka njia nzima nacheka... nikiwa njiani nikapitia Bank kabisaaa Tomaso mimi sitaki ujinga, nijaribishe nione kama hii kadi ya kweli au feki.
kuangalia, uuuuwi Yeeeesu wangu na mariaaaa... akaunti ina milioni 80, doh nilitetemekaaa! nikaogopa, nikahisi nimekosea nikaomba Balance! nikarudia tena kuangalia kweli ipo Milion 80
Nikaanza kuhisi labda Patric ameiba hela kwenye ile kampuni ya Wachina aliosema anafanya kazi, ndio kaja kujificha na kujifanya mlokole sijui mchungaji kumbe muhuni tu! doh! Nikaamua kuchukua hela kidogo kama laki 1 nikaondoka!
Njiani najiuliza, hivi kweli Nchi hii mtu kama Patric anamiliki Mil 80? tena ilikuwa mwaka wa 95... niligandaaa! nikatamani nizipige zile hela nihame nchi nikaona sio shoo yangu, sijafikia level hizo za ujesusi na utapeli!
Nikakumbuka shule yangu ya Chuo iko ukingoni kuisha huenda akanisaidia kupata ajira sio kwa hela hizi
Nikaanza kuhisi labda Patric ameiba hela kwenye ile kampuni ya Wachina aliosema anafanya kazi, ndio kaja kujificha na kujifanya mlokole sijui mchungaji kumbe muhuni tu! doh! Nikaamua kuchukua hela kidogo kama laki 1 nikaondoka!
Njiani najiuliza, hivi kweli Nchi hii mtu kama Patric anamiliki Mil 80? tena ilikuwa mwaka wa 95... niligandaaa! nikatamani nizipige zile hela nihame nchi nikaona sio shoo yangu, sijafikia level hizo za ujesusi na utapeli!
Nikakumbuka shule yangu ya Chuo iko ukingoni kuisha huenda akanisaidia kupata ajira sio kwa hela hizi
nikarudi nyumbani kichwa chamoto nikalala!
Jioni akaingia dogo mmoja dogo wangu sanaaa, namkubali sanaa dogo ana akili kinyama ila yeye hakufanikiwa kusoma aliingia kwenye biashara, dogo ana pesa zake ana biashara zake mtu mzuri sana,
tukaongea ongea stori za hapa na pale, mambo kibao ananitania Penny ukimaliza tu shule nakuajiri kwenye kampuni zangu mimi namcheka namwambia huna hela ya kunilipa bwana acha kelele... tukaongea sana akaniambia Penny tena nimekumbukaa, naomba unisaidie kitu kimoja
kuna demu nimemzimia nataka kumuwooowaa! nilikutana nae wakati naweka hela bank, yeye alikuwa mapokezi!
nikampenda ghafla mzuri sanaa!
nimemfukuzia sana lakini naona hatuelewani anasema sijui kaokoka sijui hataki kuchezewa dah ananichanganya sana....ngoja nitoe picha yake nikuonyeshe... akatoa picha akanionyeshaaa kuangalia tobaaa ndio yule yule ANITA nilipopewa na Pastor Papaaa! nikachoka ndani kwa ndani heee! kwani leo kuna nini? Mbona miujiza imekuwa Mingi?!
yule dogo akaniambia huyu hapa Penny unahisi ataweza kunikubali? mimi sina mvuto ila nikizaa na huyu mrembo watoto watatoka vizuri sana sana... sasa unanisaidiaje? nimejaribu kila njia nimeona haiwezekani ananichomoleaaa,
Money Penny: nikajikaza nikamwuliza wewe Aloyce, huyu dada hana mtu kweli mbona mzuri sana?
Aloyce: hana bwana nimemfuatilia mpaka polisi nimemcheki ila kwao mambo safi flan hivi, babake maarufu flan hivi, huenda ndio inampa kiburi au sijui ndio huo ulokole, we nisaidie Da Penny nakuombaa! nakuachia namba yake ya simu, na anapofanya kazi adress anapoishi na majina ya marafiki zake! plz nyie wanawake mnajuana wenyewe mnavyoweza kutoana taarifa nisaidie kama ananifaa nimuwowe fasta nisije nikawahiwa!
Money Penny: nikachokaaa hii ya leo ni Mungu kanishukia au Malaika ananitafutia neema ... uuuuwi mbona sheedah
Kwani wewe Aloyce baada ya kuonana na huyu demu, ulitumia njia gani ya kumtongoza?! labda kuna sehemu unakosea nikusahihishe unajua urafiki na huyu demu bwana staki shida tayar nina shida za kunitosha,
Aloyce: akaanza kuniadithia jinsi show ilivyokuwa"
TUONANE TAR 17 MARCH 2018 SAA 2 USIKU YA TZ KUJUA JINSI GANI ALOYCE ALIVYOMFUKUZIA ANITA
________________________________________________________________________________
ALoyce: Kusema kweli Penny Anita nilimwonaga bank pale Posta.. nilikuwa naweka hela nilipomaliza kuweka nikaenda ATM kujua kama imeingia kweli.. nikakuta mlolongo mreeefu wa watu nikakosa pozi basi nikaamua kwenda reception kuulizia balance ndio namkuta mrembo Anita akanikaribisha vizuri sana maskini sauti nyororo ya upole anasauti nzuri ya kuvutia kama kindege
Alipomaliza kunihudumia nikamwomba namba ya simu akaniambia hana simu kwa sasa ... nikaondoka zangu saa 12 nipo mlangoni namwona anatoka anaenda Posta kupanda daladala nikamfuata mpaka na daladala zinapoenda kila daladala ikisimama na mie nasimama mbele ya daladala na gari yangu namwangalia kwa kioo cha nyuma anashuka au anaendelea
Nikamfukuzia akashuka bamaga akapanda la kwenda sinza akashuka kijiweni akaanza kutembea anaingia ndani ndani sasa huko gari haifiki
Kifupi nimemfuatilia mwenzi mzima kuna siku nimemchukua rafkiangu akawa anaendesha gari mimi nimekaa seat ya abiria aliposhuka kijiweni nikamfuata kwa nyuma hauwezi amini huyu Anita alienda kuingia kwenye kanisa moja kichafu kichafu cha udongoo kibayaaa doh nilichoka akakaa huko mpaka saa 1 usiku akatoka akaenda kupanda daladala mpaka mwenge akashuka akapanda la tegeta akashuka Tangibovu akaenda kwao
Sikuelewa kwanini alikuwa anajitesa lakini ni mtoto wa kishua na sijajua kwanini ameenda kwenye kanisa chafuchafu
Sasa Penny naomba uwe rafkiake kwa sasa akishakuamini utaachia ngazi mimi nitaingia kuendesha gari unasemaje?!
Money Penny: nikahisi Mungu ameamua kunitembelea kipekee nikamjibu kwa haraka natafuta tempo job shule imeshaisha nataka nikafanye katempo job mpaka nigraduate unaonaje ukinitafutia tempo anapofanya Anita hapo itakuwa rahisi kumzoea Anita
Aloyce: mmmh ngoja niongee na rafkiangu tuone cha kukusaidia
Money Penny: kingine kabla sijasahau... hela unanilipa ngapi maana hii ajira no 2... nahitaji mshahara kila week sio unanimaliza nguvu tu hapa staki kuzeekea kwenye kazi yako pia ukimpata Anita au la sio shauriyangu ni wewe na udomo zege wako maana kwa maelezo yako huyu Anita haujawahi hata kuongea nae zaidi ya pale Benki
Sasa ukimkosa usinilaumu na chenji sirudishi na nikimaliza tempo field nataka ajira full staki ujinga
Aloyce: hamna shida Penny tupo pamoja akaingiza mkono mfukoni akanipa lakini 5 kafanye shopping na nauli ya kuanza Tempo kesho nakuja nikuelekeze upeleke barua ya maombi...akaondoka zake me nacheka kimoyomoyo sijui itakuwaje kama sijaja kuuwawa baaaas tena Mungu atakuwa amenisimamia sana
Kesho kweli akaja nyumbani akachukua barua yangu akaondoka nayo
Baada ya wiki 1 akaja Penny umeshapata field unatakiwa kesho saa 3 interview ndogo nenda benki ya Anita ... nikaelekezwa pale na lakini 5 ingine nikapewa hata ile ya Kwanzaa sijamaliza kuila
Kesho nikaondoka mzee dada kufika nakutana na warembo kibao wameshikilia makaratasi wanasoooma wenyewe wanaambiana hili swali lazima tuulizwe embu nielezee wanajazana ujinga na kuogopeshana
Pembeni yangu kulikuwa na mdada mwengine anaitwa Subira... mimi na yeye tulikuwa sawa tunawashangaa hawa mademu vepe mbona imani hawana?! Tukawa tunaangaliana tunaishia kucheka
Baada ya nusu saa wakaingia kwanza wale warembooo walipotoka wanasubiriana kuulizana mmeulizwa nini kumbe wanayoyasoma hamna hata waliloulizwa wanalalamika interview ngumu mshahara mdogo doh nikachokaaa
Akaja mdada akamwita subira nikabakia pekeyangu wa mwisho subira akakaa nusu saa hatoki uoga na shetani wakaandamana ndani ya akili yangu. .mara akaja kijana akaniuliza we ndio Penny nikamjibu ndio akaniambia nimfuate nikamfuata kuingia namwona subira amezungukwa na grup la mabosi kama 5 naulizwA maswali nikachokaaa
Nikaketi chini na yule kaka nikashangaa yeye ndio ananiuliza maswali ya interview... maswali yenyewe sasa bora yangekuwa maswali basi... nimeishia kuulizwA maswali ya kiboya unaitwa nani. .. unamchumba. . Umeolewa.. mbona mzuri sana.. kwenu mnahela ua.. unauhakika hauwezi iba hela ukakimbia utadhani nafanya interview ya ukahaba ... baada ya interview ya kikahaba nikapelekwa reception naambiwa hapa ndio utakuwa unafanya kazi kwa mwenzi huu mwenzi ujayo utahamishwa huyu hapa ndio mwenzio mtakuwa nae anaitwa Anita. .. kazi ndio imeanza mama kabla ya lunch uje Usain mkataba na mshahara
Kweli sikuielewa ile kazi lakini nikapotezea maana ajira yenyewe nimewekwaaa tu kwan tsh ngap?!
Nikapewa Anita kama Supervisor wangu anifundishe kazi basi rohoni nacheka kweli kwa Mungu hakuna kubwaa ananifundisha sauti nyororo kama sololist wa kwaya
Kabla ya lunch nikaenda kusaini mkataba nashangaa kukuta mkataba wa internship na ni miezi 6 doh nilichoka. ..mshahara sasa doh sikuamini niliona kama nimependelewa kwakweli lkn unafanyaje sasa hakuna!
Kurudi namkuta mrembo Anita amekaa sikuhio wateja hamna basi tukaanza kuongea kufahamiana akaniuliza naishi wap nikamwambia naishi upanga mtaa wa lugalo akaniambia yeye anaishi kunduchi beach nikashtuka moyoni heee?!
Tukaongea mambo ya kawaida tu na mambo ya kazi na nini siku ikaisha. ..wiki ikaisha wiki ya 2 nipo na Anita, mchangamfu mwenyewe mrembo sana.. nikagundua vitu vingi kuhusu Anita
Moja wapo ni mdada msiri sana.. na usiri wake unamfanya aonekane wa mawazo moyoni
Siku moja pale kazini alikuja libaba limoja.. akaja mapokezi akamwambia atone nje kwa kumeamrisha
Anita akatoka akakaa kama dk 10 akarudi analia nikashangaa kulikoni anazidi tu kulia
nikambembeleza pale nikamwingiza ndani akawa analia sana.. baada ya dk 5 boss akaja kuna nini wateja wanasubiria sana nyie mko huku mmefiwa au?!
Penny nikamtetea kuwa anaumwa tumbo la siku ndio boss akapoaaa akamweka mtu mwengine mapokezi akaniambia mpeleke hospital kesho asije kazini apumzike siku 5
Tukaondoka mapema wote kufika nje akachukua taxi akaniambia twende Penny nisindikize mahali nikajongea Taxini zamani ilikuwa hotcake kama sasa hivi useme Uber
Akamwelekeza DerevA Taxi iende Upanga mtaa wa Lugalo nikashtuka kujua Anita anakumbuka napoishi
Tukafika nyumbani kwetu uzuri wangu ni kwamba nilikuwa naishi na dada lkn nyumba ilikuwa ya wazee hawashindi hapo kabisa
Kufika Anita akaniambia Penny naomba nihamie kwako tafadhali. .. kumwuliza kwanini hataki kwenda kwao Kunduchi akafungukaaa
ANITHA: Penny ndugu yangu, mimi sina wazazi... wazee wangu wote walishakufaga kwenye ajali ya gari nikiwa nasoma sekondari form 4 nilipomaliza tu maisha ya kijijini yakanishinda nikauza mali zote za wazazi nikaja kuishi Dar pale Sinza Mori .. nikawa najisomesha kwa hela za wazee nikachukua certificate baadae nikajisomesha diploma
Katika soma soma yangu Darasani nikapendwa na lile libaba lililokuja leo ofisini.. mapenzi kolea akanihamisha sinza akanipeleka kwake Tangibovu nikawa naishi nae
Tulianza mapenzi yetu yalikuwa maziri sana akawa analipa ada zangu zote, ananipa hela ya matumizi akaninunulia usafiri wa gari nikawa sijui kuendesha akanipeleka Veta nikaenda kusoma mpaka nikaweza kuendesha gari...zile hela za wazee zikawa zimekaa tu kwenye sanduku ndio akanifundisha kuweka hela banki nikaziweka zile za wazee bank tena kwa siri asijue kwenye fixed deposite
Nilipomaliza shule akanitafutia ajira pale bank nikaanza
Money Penny: oh jamani! sasa tatizo lipo wapi?!
Anita:yani we acha! tu tatizo yule baba simwelewi unajua ukiishi na mtu ndio unajua kila kitu chake
Yule Baba nilikuja kumkuta ni mvuta bangi mkubwa. .. anakikundi cha vijana majambazi wanafanya na utapeli wanaibia watu kuna siku waliweka kikao pale Tangibovu nikiwa nimelala alfajiri saa 10
Kushtushwa na kelele zao nawsikia wanapanga maovu ya kuvamia watu huku wanavuta vitu vyeupee ...niliishiwa usingizi mpaka leo pale Tangibovu nakuona pachungu
Vile vikao havikuisha wale vijana wa yule baba wakawa wananitaka kimapenzi wakilewa wanafanya fujo zilishawahi pigwa risasi mule ndani baada ya yule baba kunifumania nimeshikwa kiuno na kijana wake mmoja asikwambie mtu sijui niliponaje
Baada ya miaka 3 kupita nikaenda bank kuangalia hela yangu nikakuta imeongezeka ... na kwasababu maisha ya pale Tangibovu yalishanishinda nikachukua hela nikanunua kiwanja Kunduchi Beach
Nikawa najenga mdogo mdogo kwa siri sana na kujiiba sana... mpaka leo nyumba imeshasha ina vyumba 3.. master room 1 na vyumba vya kawaida 2 ..kuna jiko na choo na bafu na sebule.. nyumba ya mlinzi na garage bila yule baba kujua na mpaka hapa nakuambia hajui kitu
Nyumba ilipoisha nikaipangisha kwa muda wa miaka 2 sasa. . Hela naweka bank na wapangaji risiti wananiletea hapa kukiwa na shida wanakuja pale kazini naenda kurekebisha haya ndio maisha yangu Penny
Sasa ugomvi mkubwa ulitokea miezi 6 iliopita. ..mwanaume akawa mbogo analeta wanawake ndani haniheshimu tena wakati yeye ndio alinibikiri nikamuonya na kumsihi aache tabia yake mbaya lkn hakusikia
Nikaja kuchukua hela aliziweka kwenye droo nikaenda kupanga mtaa wa 5 Tangibovu akanitafuta sana lkn hakujua napoishi baadae vijana wake wakamtonya nilipo akaja kunichukua rudi rudi kibaoo
Maisha na yule bwana yakanishinda siku nimekaa kituoni naskia watu wanahubiri habari za Yesu wadada wazuri kweli wakanipa kipeperushi wananikaribisha kwenye semina nikaenda
Kufika kwenye seminar neno la Mungu likanijaaa nikaokokaa wakanikaribisha kanisani kwao sinza tandale ndani ndani
Nikawa kila week nikitoka kazini naenda kanisani hata kama hamna seminar naenda tu ilimradi nipoteze mawazo siwezi kwenda baa wala night club maana nimeokoka na nyumbani yule bwana simwelewi kawa kama amechanganyikiwa nalala na mabastola masigara mabangi yani kama nipo kuzimu
So nikitoka tu kazini naenda kanisani narudi Tangibovu kwa yule bwana maana kule nilipopanga alinihamisha kwa nguvu nikifika namkuta hayupo naingia kuoga nalala
Akija analala kalewaaa alfajiri naamsha popo nawahi kazini
Sasa Jana jumamosi nikashinda kanisani Kurudi tumegombana anagomba sana ananiambia wewe naskia umeokoka sikuhizi vipi umechanganyikiwa?! acha ujinga
Nikamtemea cheche zangu kuwa simpendi tena nataka kuondoka kwenye maisha yake akanitishia kuniua nikakimbia nikaenda kujifungia stoo akaja akanipiga sana mateke na mangumi... ona hapa kwenye kifua nimekuwa mwekundu ona mbavu zangu hazifai hata hivyo nimejikaza sana kuja kazini leo
Alivyonipiga vile mimi nakohoa damu akaondoka nikakaa sana pale chini kuja kushtuka ni j2 asbh saa 10 alfajiri...uzuri nilikuwa na namba ya taxi dreva nikakusanya kila kitu changu nikaondoka kwenda kanisani sinza akanipokea Pastor Papaa kuona nakohoa damu akanipeleka hospital pamoja na shemasi wa kike yeye akarudi kuendelea na ibada
Nikakaa hospital mpaka mchana nikarudi kanisani ibada imeshaisha nikaongea na mchgj Papaa akaniambia hamna shida uwe unalala kanisani
Jana nimelala kanisani... asbh nikasema nijikaze nije kazini lile libaba lililonipiga ndio limekuja pale linaniambia nirudi nyumbani la sivyo ataniachisha kazi sijui nitaenda wap kazi ndio kila kitu kwangu ni kweli ni yeye akanitafutia lkn Kurudi Tangibovu sirudi Penny naomba niishi hapa kwako mpaka akili ikae sawa
Money Penny nikamhurumia sana Anita.. ila sikuwahi na uhakika sana na ukweli wa maneno yake si unanijua me Penny nilivyokuwa mbishi mpaka nichunguze mwenyewe ndio niamini
Nikamkaribisha kwa mikono 2 nikamwelekeza pa kulala nikamwambia kanisani asiende kwanza tutatafuta simu ya pastor Papaa tumwambie unaishi hapa kwa sasa mpaka baadae akakubali
Tukashinda nyumbani pale tunapika tunakula na kucheka nikiwa na maswali mengi itakuwa kama Aloyce atakuja hapa amkute atakuwa amejiharibia vibaya mno...
TUONANE TAR 18 MARCH 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
-------------------------------------------------------------
B. SUBIRA SUBIRA - MUNGU ANAKUONA SUBIRA!
Basi baada ya lile janga la jana Anitha akawa anaishi kwetu na dada yangu na wanawe ... asbh tunaondoka wote tunaenda kibaruani tukirudi tunamkuta anaangalia Tv tuuu Dada akakosa pozi na hivi mkali akaongea nae
Dada: hapa nyumbani tunaishi sio walemavu, nakupa siku 3 uwe umerecover kwenye ujinga ujinga wako urudi kazini, hamna kudeka na hamna kwenda kanisani unashinda kanisani kwani wewe Mchungaji?
Kanisani weekend tu,.. hii nyumba yangu kurudi mwisho saa 2 usiku kurudi na hakuna kulala nje kama sina taarifa, labda kuwe na harusi kama hauwezi masharti yangu hama mama
Ikabidi Anita awe mpole akubali si anashida?!
siku nilioenda kazini nikastaajabu sana kumwona SUBIRA.. si mnamkumbuka Subira tulikuwa tunafanya nae Interview nikashangaa kumwona... tena anafanya kazi kwenye Counter la hela, nikamsubiria kazi zilipoisha nikaenda kumsalimia.. si akaanza mapozi kama hanijui nikasema kimoyomoyo anhaaaa! sauwa mimi ndio Penny kama utaskia salamu yangu basi Yesu atakuwa ameenda kujisaidia kidogo!
Nikapiga kazi siku ya 2... siku 3 reception pekeyangu makazi kibao.. siku ya 4 Anita akarudi mzigoni, tunapiga kazi na nini mara akaingia Aloyce, nikamwona toka mbali nikajikausha, nikajifanya nipo buzy na kupanga makaratasi ya bank kwenye bixi akaja kumsalimia Anita
Aloyce: Anita habari dada mrembo leo umependeza sana
Anitha: kimyaa, anamwangalia kama zombie
Aloyce: Anita nakusalimia mama
Anitha: unasemaje nikusaidie nini?
Aloyce: nataka kujua Balance ya akaunt yangu
Money Penny: kimoyomoyo nachekaje! maana huu utongozaji sio wa nchi hii
Anitha: akafanya yake akamuandikia salio lake
Aloyce: akawa analiangalia, huku anamwangalia Anita, Anita wa watu yupo buzy mwenyewe anaongea na wateja wengine,
Aloyce: akaingiza mkono mfukoni akatoa business card, alipoona Anita hana mteja akamfuata, Dada samahani, unajua nimekupenda sana, naomba nikupatie hii business card yangu tuwe tunawasiliana
Anita: nashukuru Kaka siku njema
Aloyce: samahani je naweza kupata namba yako ya simu?
Anita: sina simu
Aloyce: kweli?
Anita: anamdokolea mimacho
Aloyce: basi hamna kilichoharibika, akaondoka zake
Anitha: akaichukua business card akaitupa kwenye dust bin
Money Penny: vp mama mbona unatupa neema kwenye ndoo ya uchafu?
Anita: neema gani? hawa wanaume wote sawa, yani ungejua
Money Penny mimi sina hata hamu na wanaume tena.. nipo nipo kama zombie ilimradi siku ziendi
Money Penny: ila huyu kaka anaonekana anakupenda, maana amekupa business card huku mikono inatetemeka,
Anita: hamna kitu bwana hawa ndo hawa hawa
Money Penny: au unamtu huko kwa
Kanisa?
Anita: akacheka akanyamaza
tukaendelea kupiga mzigo, lunch ikapita ilipofika saa 9 akaingia Pastor Papaa! akaja moja kwa moja Reception,
Pastor Papaa: habari za mchana mrembo
Anita: alivyoamka kwenye kiti utadhani kamuona Yesu, haraka haraka utadhani mfuasi wa Kakobe wakimwona Kakobe wanavyomkimbilia... nilicheka kimoyomoyo maana sio kwa upumbavu ule wa kupokea Pastor... akaenda wakaongea nae mimi nawazoom tu
baadae naskia Penny njoo msalimie Mchungaji wangu
Money Penny: kucheka nataka kulia nataka, wai eti mchungaji wangu .. mchungaji mwenyewe sasa ni best yangu wa kale...Papaa
nikajongea kumsalimia Pastor, habari kaka Bwana Yesu Asifiwe
Papaa: Amina dada na wewe umeokoka?
Money Penny: hapana sijaokoka ila nipo njiani kuacha dhambi
Papaa: akaanza kuhubiri hapo wee mimi nakufa mbavu kwa ndani najiuliza hivi Papaa ameanza lini uhunii?
doh mpaka anamaliza kuhubiri mimi sijasikia kitu naitikia tu Amen
Anita: we Penny Pastor kakuuuliza umekula? AMEN hiyo vepe?
Money Penny: ah sorry Pastor sijala, nina njaa sana alafu leo sina hata mia.. ndio nimejibanza hapa kwenye kazi, haya Pastor kwaheri ngoja niendelee na kazi
Papaa: ah pole sana basi twende mkale hapo nje na Anita au?
Anita: hapana Mchungaji kutoka nje leo ni ngumu kazi nyingi tunashukuru
Money Penny: au ukatununulie utuletee maana hata nguvu za kutembea sina leo
Papaa: oh hapana nawahi maandalizi ya ibada si unajua leo jumatano? basi Penny twende maramoja na Taxi ukachukue nitakurudisha, sawa
Money Penny: nikajifanya nasita sita Anitha ananibembeleza nikaamua kwenda tu shingo upande..
Papaa: akamuaga pale Anita macho kamlegezea mimi moyoni nacheeeka kweli fake Pastor
Tukaondoka na Pastor Papaa kumbe kaja na usafiri wa Kanisa nimeingia ndani jamani nilicheeeekaaaa nilicheeeka mpaka akanizaba kibao haki Papaa nini unafanya haya sasa jamani?
Papaa: Penny wewe umepataje kazi hapo Bank tena upo na Anita, au ni hela nilizokupa umeanza kuzitumia vibaya umehonga?
Money Penny: weweee tulia, sasa niambie hujambo?
Papaa: Penny, nimechoooka kazi ni ngumuuu nipe taarifa basi
Money Penny nikampa mkanda mzima kuhusu Anita,
Papaa: Akawa anashangaa anaishi na mwanaume tena jambazi? no wonder nilikuwa simwelewi elewi akija kuongea na mimi analia lia tu simwelewi elewi
Money Penny: nacheeekaaa, nacheeekaaa uuuwi kweli Pastor kakamatika kibarua kimeota nyasi
Sikia Papaa rafkiangu, kwanza sikuelewi lakini nahisi kama nakuelewa
huyu demu mimi naona kama mwenzako anakuchezea akili... kifupi mnafanana mambo yenu hayo ambayo siyaelewi bado nayatafutia jina
msikute wote mnafanya kazi sehemu moja mnatuvuruga tu sisi ila mimi muda ninao si nalipwaa! alafu hela yako bado sijaanza kuila tena ngoja leo niitoe pale bank nianze kupanga masafari na Anita
Papaa: Penny nipo serious, alafu bora umenikumbusha, chukua hizi simu 2 moja yako moja ya Anita
Money Penny: Mbona ya Anita nzuri hivi jamaa wakati mimi ndio nazungukia mchezo mzima?
Alafu Mlokole unampaje simu nzuri? haujui kuwa ni anasa? hii nzuri nipe mimi mbovu mpe demu wako
Papaa: haki we Penny una shida! sawa.. tutakuwa tunawasiliana penny kukiwa na chochote
Money Penny: mbona hujaniambia what next mkeo anaishi kwetu sista kampiga biti hamna kuja chachi mpaka weekends afanye kazi.. kwahiyo nafanyaje?
Papaa: acheni akae kwenu kwanza mpaka nitakapokwambia pa kumpeleka
Money Penny: nakula chips kuku na yule mlokole mchukulie makande au wali mchicha, kumpa chips kuku anasa
Papaa: akashuka akaenda kutoa oda akaja na chips kuku mbili, unajua roho mbaya sio nzuri penny mwache mke wangu
Money Penny: alafu demu wako anafuatiliwa na wana kibao unauhakika utampata?
Papaa: kwanini nimkose wakati stering wangu upo?
Money Penny: kweli wanaofaidi nchi sio wakuu ni wasaidizi,sikufichi nakula hela tofauti na wewe, kwahiyo mwenye kisu chake pale ndio atashinda
Papaa: kazi umeipataje?
Money Penny: kuna rafiki wa shemeji yangu kwa dada amenitafutia
Papaa: asije akawa ni boya anamtaka ndio kakuweka karibu yake
Money Penny: umejuaje? mimi nimeshakwambia mpo wengi wewe ondoka huko Kanisani njoo ukamatie chako shauriyo!
Papaa: nikiondoka kanisani nitakula wapi?
Money Penny: kwa Kaisari kumbe unataka kula wapi?
hivi Papaa huyu demu unampenda kweli au? wewe si uliniambia unanipenda mimi?
Papaa: kweli Penny mimi sijawahi kuacha kukupenda ila una mapozi sana.. sijui unataka wanaume wa aina gani maana kama hela ushaona ninazo na hio ni akaunt moja nina akaunti 3 kwa sasa
Money Penny: ahahahaha akyanani kweli domo zege kafungukaaa.. mimi siwezi kumpenda mtu mnafiki leo anavaa suti nyeusi kesho Mchungaji, nikueleweje?
Papaa: ahahahaha... nimeshakuumiza kichwa ee?
Money Penny: we ngoja tu Anita lazima akupasue kichwa na mimi nitakuwa pembeni nacheka tu kuna mjanja huko ana mifweza yake anafukuzia chombo shauriako.. haya asante kwa chakula na simu tutawasiliana
nikaingia ndani Anita ananjaa kweli kweli, nikampa chips kuku anafukia kama hajala miaka 10... tulipomaliza nikampa simu, anaishangaaa tochi ya Nokia, hee Penny umeninunulia simu?
Money Penny: ndio nimekupa zawadi na mimi yangu hii hapa
Anita: akafurahi mwenyewe, anachekelea hapo simu simu dah kweli usanii haujawahi kumwacha mtu salama,
Money Penny: anajidai anaishangaa simu ananiletea mimi usanii wakati ameshakalia pesa kwa bwanake wa Tangibovu?!
nikaona nimvuruge kwanza nione atasemaje maana huyu demu simwelewi kabisa unajua?!
Anita nina kitu nataka kukwambia, kuna demu kaingia anaitwa SIKITU, sijui umemwona?
Anita: yah namjua alikuwaga anafanya kazi hapa akaondoka kiaina
Money Penny: hee kwanini?
Anita: hata sijui alikuwa analala na maboss apandishwe cheo akaja CEO akamtoa sa sijui huko mtaani katembea na nani naona karudishwa tena
Money Penny: ivyo ee? kwahiyo ni rafkiako?
Anita: sio sana zaidi ya salamu anajiskia sana ananata
Money Penny: mmmh unaweza kumfanya akawa rafkiangu, mimi nimempenda sana mzuri mwenyewe
Anita: mmh haya nitajaribu.. ila penny hata wewe mbona mzuri kuliko yeye
Money Penny: ila staki ajue kama namwona mkali, nataka wote 3 tuwe marafiki
Anita akamubali pale na nini,... tukaendelea na kazi.. baada ya wiki 1 mbele nikashangaa Subira amekuja ananisalimia ananichangamkia nikasema Yees deal limetiki kudadeki,.. basi kila weekend tunatoka warembo 3... ijumaa mpaka j3.. j2 Anita anaenda kanisani sie tunaenda kutembea beach na bishouger SUBIRA
Tukawa zaidi ya mabest akaanza kufunguka kuhusu siri zake, anatembea na HR, anatembea na CEO ndio maana kazi karudishiwa, anatembea na Bank Manager kwa ufupi anatembea na kila mtu na wote hawajuani nikasema Yeees hapa hapa
nikamwomba anisaidie kitu kimoja, kama anaweza kumrubuni mchungaji mmoja hivi boya boya
Subira: poa Penny nitakusaidia, utanilipa?
Money Penny: alipoongelea hela nikajua tu demu mwenyewe njaa tu, typical midemu ya kibongo kutanguliza pesa mbele kuliko utu.. haiwasumbui kutoa chiu kama pesa ipo
sasa best utaweza kwenda kanisani?
Subira: naweza mimi mamangu mkristo baba ndio mwislam, nikasema ohoo! sheedah tayar
Money Penny: basi uwe unaenda na Anita church kwao kuna handsome mmoja nataka umkamate kiakili umchanganye vbaya mno mpaka adate
Subira: poa Penny mil 2 utanipa?
Money Penny: doh nitakupa usijali ila parefu?
Subira: basi fanya mil 1
Money Penny: Laki 5 je?
Subira: nguo na vitendea kazi kama nauli za kwenda Kanisani vepe? vitendea kazi muhimu kwani kazi ya muda gani hii?
Money Penny: miezi 2 mpaka 3
Subira: mil 1.5 itanitosha maana ni kazi ngumu sana
Money Penny: sawa best, tukarudi kila mtu na kwake maisha yakaendelea baada ya wiki 1 nikampa Subira mil 1 akaanza kwenda kanisani kwa akina Anita, kwanza utamjua sasa? akivua shungi anakuwa mrembo kama mkristo vilee!
Subira alifanya kazi mpenzi msomaji sikuamini ndani ya wiki 2 ananiambia Penny yule handsome wako ni yule Pastor Papaa?
Money Penny: kwanini?
Subira: hakuna boya wa mapenzi kama yule Pastor kwani anafanya nini pale kanisani mbona handsome sana
Money Penny: kaokoka yupo kwa Yesu anamtumikia Mungu
Subira: Mungu yupi sasa? yani nimeingia pale kanisani kila mwanamke anampenda yule kaka mpaka Anita kafa kaoza wanamnyeyekea kama Mungu
Money Penny: enhe nipe umbea shoger angu me nakupendea hapo tu
Subira: Pale Penny hamna Pastor, yule jamaa nakuhakikishia kalala na kila demu pale kanisani kasoro subira na Anita
Money Penny: kwanini unasema hivyo?
Subira: Penny mimi mtu mzima najua, sasa kukuhakikishia kuwa Anita kafa kaoza kwa Mchungaji ni juzi sasa
nikaenda ofisini kwa Mchungaji kuongea nae mambo ya councelling nikawa najisexisha kwake najichekesha nasogeza nguo mchungaji udenda unamtokaaa, nikasogeza paja mchungaji anatetemeka, bado kidogo anile akaingia shogako Anita ..
Alipoona Pastor kaniwekea mkono kwenye kiuno na paja akajikausha haraka haraka akawa kama amenuna lakini hakuondokaaa!
Money Penny: enhe ikawaje ahahahahahahaha uuuwi kweli kila mkali ana mkali wake
Subira: Anita yule ni kichaa sijawahi kuona wala hakuondoka Penny! akaingia akakaa.. akaanza kuhubiri Pastor unafanya dhambi sio vizuri huyu ni mwongofu mpya
mimi nikajichatua akili, kwani shida iko wapi, nikaloki mlango wa ofisini kwa mchungaji, nikaenda kumchika Pastor kimahaba zaidi, Anita anaangalia lakini unamwona kabisa kinamuuma, nikaanza kumbusu Pastor mashavuni mbele yake, Anita haondoki nikasema anhaa kumbe anapenda sasa ngoja nimwonyeshe mimi nani
nikamlaza Mchungaji wenu boya kwenye meza anajifanya kukataa kataa nikambana sehemu ambayo hawezi kuchomokaaa.. nikampanda, mara namwona Anita anainuka ananitoa sio vizuri ananiambia!
Anita: hivi mnavyonifanyia sio kabisa au mmepanga nini?
Pastor huku chini keshakolea muda wowote anaangusha wazungu hana nguvu
Anita: yani kweli Pastor wa kutembea na rafkiangu? wakati umeshaniahidi utanioa na mimi nakusubiri alafu leo unataka kuzini na rafkiangu mbele yangu? huku analia shogako mjinga sana
Subira: nikamwona Anita jinga sana, nikaondoka juu ya Pastor wenu nikaenda kumbembeleza, bembeleza na wewe nikaamua kumbusu mdomoni Anita, na yeye akarudisha..,.ukaenda na kupapasana, Pastor akaja akaturukia ilipigwa three some ya kufa mtu Penny kwenye ofisi ya Kanisa, kila mtu aliondoka kajazwaaa na Pastor wako
lile lipastor kubabeki lishenzi na lihuni sijui linafanya nini pale! kwanza alivyo handsome Penny lazima katembea na wamama na wadada wa pale wote!
Alafu ana Mashine ya kufa mtu.. kaja kumwaga maji ya baraka ya moto yakamdondokea shogako Anita.. sio kwamba nilitaka aniangushie mimi hapanaaa, ila wale wawili kwako kwenye mapenzi mudaaaa na sijaelewa kwanini umeniagiza kwao?
Au unampenda mchungaji nini penny?
Money Penny: nilichokaaa! nikawa bubu ghafla ina maana hawa watu wananichanganya wanajuana au?
Subira: we penny, pennyy mbona hauongei heee umekuwa bubu ghafla au umekufa tayar we peeeniiiiii weeeee huku ananitingisha
Money Penny: nikamuangalia Subira, nikatabasamu, unajua Subira sikuelewi mmefanya three sum na nani?
Subira: Mchungaji wenu boya na huyo Mlokole fake Anita
Money Penny: doh, hongera sana wewe ni mwanamke shujaa, je mnaweza kurudia tena? ila this time nataka itokee hotelini plz plz plz na nataka urekodi!
Subira: akashangaa na majibu yangu poa hamna shida! lini unataka shoo ianguke
Money Penny: nendeni mdogo mdogo kwa sasa mtengeneze penzi la kuwapelekea kwenye tendo la ndoa kwa haraka, alafu natafuta hotel nitakwambia lini
Subira: poa boss mimi naenda zangu tutawasiliana, nitakupigia
Money Penny: nikakaa nimeduwaa, kama akili yangu ilivyoniambia hapa kati kuna mchezo unafanyika na sasa nimeujua embu niumize kichwa nipate proove nitajua cha kufanya
TUOANE TAR 19 MARCH 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
______________________________________________________
C. MAPICHA PICHA HAYAJAWAHI KUMWACHA MTU SALAMA
Baada ya lile tukio buana la wale majingas kujamiiana wakiwa kwenye team ya watu wa 3 nikaamua kupumzisha akili yangu maana ilinasaaa
shukuru Mungu wiki hio ilikuwa wiki ya sikukuu za nanenane na sikukuu za idi zikaongozana kuanzia alhamisi mpaka j3 kwahiyo kazini ikawa jumanne
Baada ya kupata ule mkanda mzima kuwa Anita nae ndio wale wale, nikamuaga sista nasafiri kidogo we kaa na huyu Bi-Lucifer naenda kujipumzisha Arusha kazini narudi jumanne akiniulizia mdanganye mwambie nimeitwa na wazee Arusha
Sister hakunielewa ila akiwa hanielewi elewi anaona mapicha mapicha kwangu anajua lazima naenda kuwasha moto sehemu akaniambia Mungu akutangulie usijali huyu bishetani nitakaa nae tu
Kabla sijaondoka nikapita ATM nikazikuta zile Milion 80, nikachomoa mil 1 kwanza zikakubali
nikahamia ATM nyingine nikavuta mil 1 ingine
Nikahamia ATM nyingine Masaki nikavuta Mil 1 ikakubali
Nikahamia mwenge nikavuta Mil 1 ingine ikagoma, nikasema tobaaa nishakamatwa ... nikaenda kupanda bus ubungo nimebeba milion 3 pesa nyingi sana kwa mwaka 1995...nikadondoka Arusha mojaa kwenye hotel ya hadhi kubwa ...nikaomba chumba Expensive sana sana sana nikalipia...nikakaa pale siku ya kwanza alhamisi chakula naletewa chumbani naumiza kichwa nawaza naangalia DSTV labda nipate maujanja lakini wapi doh akili imeganda sikuelewa kunanini nikaanza kusali sali na wewe hapo saa 10 jioni akili imesimama kinoma mara nikapata simu ya Papaa.. sikuipokea akapiga mara ya 1... akapiga mara 2... akapiga mara 3 ya 4 ya 5 kimya siipokei akaacha
ikapita kama dk 10 nikaja kugongewa mlango kufungua hotel manager binti salama? kuna simu yako naomba uje, nikashangaa nani ananipigia tenaa, kwenda kupokea ni Papaa
Papaa: we mama unataka kuifunga akaunt yangu ya bank au mbona unachukua pesa ovyo ovyo?
Money Penny: kuna kingine?
Papaa: Arusha unafanya nini?
Money Penny: Najiuza
Papaa: doh ahahahaha, sawa naomba hela toa vizuri mimi nashangaa napigiwa simu naulizwa hizi hela unatumia kwenye nini
Money Penny: nikakata simu mxiiuuuu nikamwambia Manager sitapokea tena simu yeyote na wala sitegemei kupata mgeni msinisumbuee
kabla sijamaliza kuongea na Manager naskia makelele kuna binti anakuja anagooomba kweli kweli sijui alikuwa nani yule?
kuangalia namwona binti anakuja anamfokea mhudumu yupo very rude nikamshangaa huyu demu wa wapi alafu sasa mshamba kavaa kiajabu lakini ana command balaa!
akafika pale reception kaniona nimesimama kaja kanisogelea akanikanyaga na mibuti yake ya kishumundu, sikuondoa mguu nikamwambia kwa upole tu anti unanikanyaga
Binti: akanifokea kwenda zako nimekukanyaga wapi?
Money Penny: kwa hasira nikakasirika nikampiga kibao cha shavu puuuuu akaanguka chini... wahudumu sasa wamegoma kuja kumsaidia manager kachanganyikiwa anajaribu kumnyanyua anakataaa asishikiliwe nikawa namsubiria sasa aje nimwongeze ya pili maana akili yangu ilishavurugwaa
Binti: we dada wa wapi unanipiga unanijua? nikamuongeza nyingine ya pua akawa anatoka damu akaanza kulia hotel manager akaja akaamulia pale yeye anadai anaita polisi mimi namwangalia tu mshamba mkubwa
Binti akalia pale akanyamazishwa mimi nimesharudi chumbani nawaza,
mara naskia hodi, kuja kufungua namwona hotel manager na yule binti
Hotel Manager: oh samahani madam hiki chumba ni cha huyu dada ulipewa kimakosa,
Money Penny: makosa hayo vepe? kwani anaitwa Money Penny kama mimi?
Hotel Manager: anaitwa Money Stars
Money Penny: kwahiyo?
Hotel Manager: aliekupokea amesema ulipotaja money akajua ndio yeye kwahiyo naomba umpishe huyu dada maana hata yeye analipiaga kwa gharama kubwa sana
Money Penny: wewe nyau na huyu mbuzi mtajua pa kumweka huyu ushuzi mimi hapa sitoki, labda kama kuna chumba kingine mkamweke huyu mavi sitoki
Hotel Manager akachoka, kweli kwa upande wao wanamakosa we unaona jina Money una assume ndio huyu kwanini haukuulizia vizuri nikafunga mlango nikarudi kulala
Baada ya dk 30 naskia hodi kufungua ni yule kichaa binti niliempa ngumi
Money Penny: nikamuangalia like what's up?
Money Stars: am sorry my dia kwa yaliyotokea pale chini but mimi sina hotel ya kwenda hotel zote tumejaribu zimejaa na sina pa kulala, plz naomba nilale hapa kwako, sikuoni kama ni mtu mbaya ndio maana nimekuja kuongea na wewe, plz my dia nitakulipa nusu gharama ya chumba... miaka yangu yote nakuja kwenye hii hotel sijawahi kukikosa hiki chumba plz naomba nisadie
Money Penny: nikamuangaliaaaaa nikamwambia kamwite manager aje na karatasi uandike ulichoandika na kitambulisho chako kiwe attached ndio nitakukubalia
akafanya kama nilivyomwelekeza, akaenda kweli akaja na Manager wake nawaangalia wanaandika hapo mara akapewa kitambulisho akaenda kutoa kopi nikaona huu msala sasa nimekuja kukaa mwenyewe naletewa masumbufu dah, kazi kweli kweli
baada ya barua na viambatanisho na kopi kutolewa akaja akanipa nusu hela ya chumba nikaweka nikamwambia upande wake huu wangu huu situmii tv na staki makelele ya mziki unaishi kwa rules zangu
Money Stars: sawa mama hamna neno akatua pochi akaenda kuoga hotel manager ananishukuru mara mia mia maana angemshitaki kibarua hanaaa.. akaondoka baba wa watu nikarudi kukaa kitandani nawaza na kuwazua wee lakini wapi hainiji kila nachopanga kinanasa, uuuwi Penny nimenaaasaaa.. mara bibie akatoka uchi anatafuta taulo kwenye sanduku lake doh
Money Penny: we mama unanikalia uchi kwani nimekwambia mimi msagaji?
Money Stars: oh sorry unajua nimezoea pekeyangu sorry mama nachukua taulo fasta
Money Penny: namwangalia namshangaa huyu demu vepee?
akavaa nguo zake pale me namwangalia tu, ila kila nikimwangalia naona anafanana na Anita kwa kila kitu, mwili, shape, sura, sikuelewa nikamwuliza
unaitwa nani?
Money Stars: Money Stars
Money Penny: namaanisha jina lako la kweli sio la usanii
Money Stars: ndio hilo hilo akatoa kitambulisho kumbe kweli doh nilichoka tumekuwa ma twin saa ngapi?
Money Penny: unaishi wapi unafanya kazi wapi?
Money Stars: naishi Arusha, London, USA Arusha... mimi ni ARUSHA sitokagi ndani ya ARUSHA... nafanya biashara zangu tu mwenyewe nilishamalizaga shule wmaka juzi nikaamua kufanya biashara nina hotel.. na hii hotel ninamiliki hisa 61... pia nina maduka ya nguo Arusha... kwanini?
Money Penny: akili ikanifunguka, mmmh! kwenu umezaliwa pekeyako?
Money Stars: hapana tulizaliwa mapacha! ila doto mwenzangu mama aliniambia alipotea aliibiwa tukiwa wachanga... kuna majambazi walikuja nyumbani wakamteka nyara doto mpaka leo hajafanikiwa kurudi
Money Penny: Uuuuwi Money Penny nikapata nguvu kuliko maelezo like hii safari ya Arusha nililetwa na Mungu mwenyewe... Yeeesu na Maaariaaa na Yooooseeefuuu uuuwiiii!
nikazidi kumwuliza maswali akaniambia
Money Stars: Baadae wazazi wake walizaa watoto 2 wakiume so wakike akabaki mwenyewe wazazi wake wanahisi doto alishakufa na wale majambazi hawakukamatwaa tena si unajua Tz yetu tena wameamua kuachilia tu
Money Penny: oh poleni sana... na wewe haujaangaika kumtafuta pacha wako?
Money Stars: nitamjuaje sasa huenda alikufa kweli
Money Penny: ok
nikamuacha anaendelea kujiandaa akamaliza akapiga simu wakamletea chakula akaja akakaa anakula, alipomaliza ananiuliza we mbona hauongei?
Money Penny: sikuja kuongea nimekwambia nimekuja kuwa alone mama
Money Stars: awkay sorry ma! akachukua simu yake akaweka headphones masikioni anasikiliza huku anaangalia dirishani,
Money Penny nikaingia kulala, asbh nikashtuka namwona Money Stars anakunywa chai kucheki saa saa 4 asbh , nikajiandaa kama kawa nikaamua kwenda restaurant kunywa chai maana bi kiwingu keshakuja
nilipomaliza chai nikaenda kukaa swimming nachezea maji Money Penny natunga sheria ya jinsi ya kumuunganisha Money stars na Anita na je nikifanya itanisaidia nini? maana wanaonekana wote hawana shukrani ila lazima nimwonyeshe Papaa mimi ni dume jike vile vile mjinga sana!
huku namwazia Aloyce, Aloyce akijua kuwa Anita ana pacha wake si atakufa moyo?! uuuwi ni sheedah hii Arusha imenipendaaa! nikaingia nikapiga maji weee akili ikanijaaa... nikarudi Restaurant nikaagiza chakula ile nasubiri namwona Money Stars anakuja hee best umekaa hapa ngoja nijiunge na wewe!
akakaa tukaongea vitu vingi nikajua kuwa Money Stars ni Kipanga kichwani kweli kweli ina maana na Anita lazima atakuwa kipanga tu alikuwa ananichezea akili!
Pia nikajua kuwa Money Stars alikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini kavurugwaa! sasa hapo ndipo nilikuwa napataka mimi
Money Stars: are you in any relationship?
Money Penny: hapana mimi nipo single kabisaa
Money Stars: du unawezaje kukaa mwenyewe na umri huo
Money Penny: shit happened, now nipo likizo
Money Stars: hata mimi my dia wanaume watu wa ajabu sana, ila ndio hivyo hivyo nimeamua kupambana
akanielezea jinsi alikuwa kwenye mahusiano na kaka mmoja, walianza vizuri tu wakakaa kwenye mahusiano miaka 2 mwanaume akaanza kumbadilikia hakujua kwanini, kila kitu walikuwa wanafanya na wanafanya pamoja hakuna siku aliwahi kumzuilia kwenye mapenzi lakini mwanaume mwenyewe sijui ndio kipara kile hata sielewi ni nini hajisomi kipara kikiwaka moto anabadilika anamletea mapicha mapicha mara tuachane kipara kikipoa anataka turudiane
kwahiyo nikaamua nikae pembeni siwasiliani nae akawa anapiga simu wee sipokei, mpaka leo nina miezi 6 sijawasiliana nae nafanya mambo yangu
Money Penny: pole sana wajina pole, huyo shemeji anaishi Arusha
Money Stars: hapana anaishi kwenu Dar, anafanya biashara zake mwenyewe yupo vizuri nilimfundisha biashara sasa hivi anahela ameanza kunidharau nimeona niachane nae
Money Penny: oh jaman pole sana
Money Stars: na wewe what happen nimekuona wewe sio mwongeaji sana kama mimi..
Money Penny: mwanaume niliempenda alimpenda rafiki yangu zaidi
Money Stars: oh jaman pole, unajua sijawahi kumfumania ex wangu so sijui jinsi ya kukusaidia wewe pole sana
anyway ngoja nikuonyeshe ex wangu
akatoa wallet yake akaniaonyesha, Mungu waaangu weee kuangalia ile picha nikachoka mpenzi msomaji
Ile picha buana ulikuwa picha ya Aloyce! Aloyce rafiki yangu aliekuja kuniambia anamtaka Anita, nilichokaaa! sikueleewaaa kuna nini?! Aloyce kama ana mahusiano na bimdashi stars alikuwa anataka nini kwa Anita akili ikanigomaaaa
nikabaki nimeduwaa kwenye picha mbona wiki hii imekuwa ngumuu?!
Money Stars: Penny, we Penny, twin mbona umeduwaa unamjua au?
Money Penny: hapana simjui nimemfananisha labda na mtu mchumbaako handsome jaman sasa kwanini msirudiane jaman
Money Stars: hapana kwakweli ameni traumatize vya kutosha
nimeamua kubaki mwenyewe
Basi tukaongea wee hapo na nini, tukarudi chumbani kulala, nikawa namwuliza kwahiyo tangu Aloyce aondoke kwenye maisha yako haja zako za kimwili anakutimizia nani au kuna shuga daddy umempata?
Money Stars: akacheka sana akanyamaza basi mimi nikapanda kitandani nikalala, yeye akawa amekaa tu anakula mziki
lakini nikawa nawaza haya mapicha pichaaa nimekutana nayo mbona yamezidi kuwa mengi?
nikawaza je haya mapichaa yataniacha salama kweli?
TUONANE TAR 21 MARCH 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
________________________________________
D. MONEY PENNY WEWE NI MAFIA
Siku iliofuata ilikuwa j2, asbh nikashtuka saa 11 sina usingizi naona mapichaa yamenivuruga tuu sielewi cha kufanya kwani shetani amepata wapi nafasi kwenye maisha yangu
nikaamka kwenda kujiandaa saa 12 nipo restaurant nakunywa chai, j2 Arusha sijui naenda wapi maana makanisa yenyewe yapo kushoto tuu sijui wapi nikawa nawaza na kuwazua jinsi picha lilivyokaa nikaona hapa hapana asee kuna mkono wa mutu kama sio kichwaa! na mtu mwenyewe lazima atakuwa Papaa, nakumbuka nilimwomba ajira nikimaliza shule sasa nahisi nimeingizwa kazini bila kujijua,.. papaa hayupo hivi buana lakini ngoja nimkomeshe asinizoee me nimeomba ajira za kawaida za kwetu sisi kwa sisi sio ajira za akina nanilihuu staki kabisaa sasa kama yeye ana akili kuliko mimi ataisoma namba
nikarudi chumbani na kumkuta bimdashi Money Stars anajiandaa namwuliza kanisani wapi akaniambia vaa haraka twende nimepigiwa simu baba anaumwaa plz naomba unisindikize, nikaona kwanini nibaki nwakati Arusha mimi mgeni, nikauvalia kigauni flan hivi amaizing kimenishika flan hivi, kichwani nasema mgonjwa leo lazima afufuke
Tukaamsha mpaka Olasiti Arusha mojaaa, kufika bonge la mjumbaaa, miaka ya 95 mtu anamiliki storey house(ghorofa 2) magari sasa yakila aina, ma 5 yamepangwaa buna BMW... JEEP...FORD RANGER...JAGUAR... DISCOVERY... doh nikachoka kichwani nasema ndio maana Doto Anita alikuwa na haki ya kutekwaaa
Kuingia ndani tukasikia surpriiiiiiseeeee... eh nini tena kumbe ilikuwa surprise birthday ya Money Stars! doh watu nyomi ya kufa mtuu!
nikatambulishwa pale Money Penny watu wanashangaa wanatuita ma twin! shughuli ikaendelea nikapelekwa kumsalimu mama ya Money Stars mzurije sasa mweupee kama panadol... nikapelekwa kutambulishwa kwa mzee Don Mwenyewe baba ya Anita na Money Stars baba mweusiiii usiku utasubiria sana alafu handsoooooome wale mababa handsome flan hivi u know!
Baba Anita ananisalimia huku ananikagua mbele na nyuma nikasema kweli vipusa walizaliwa tangu Adam na Eva walivyofukuzwa bustani ya Eden
tukaondoka kwenda kujimix na watu wengine lakini baba ya Money Stars akawa ananiangalia sana kama vile ananifahamu or something
kuangalia kukazidi nikaamua kwenda kuongea nae
Money Penny: Mzee how r u?
Baba Money Stars: am fine dear, sijui wewe mtoto mzuri
Money Penny:nikajua ohooo ndio wale wale baba bombaa!... nikawa namwangalia tu
Baba Money Stars: mtoto una macho na kiuno na mgongo mzuri.. mwanangu umemjua wapi
Money Penny: aliniletea vurugu hoteli flani nikamtwanga ngumi akaamua kuniganda mpaka leo
Baba Money Stars: ahahahaha una vichekesho pia sio? hio hotel mimi siwezi kuja kukukaribisha Arusha labda tukutane hotel flani, akatoa business card ya hio hotel, usiku wa leo saa 6 nitakuwa hapo ukifika waambia chumba namba 24 cha Don watakupatia funguo utanisubiria hapo tutakuja kuyajenga
Money Penny: nikachoka lakini moyo uliendelea kutembea kuyajenga ndio nachotaka lakini huyu Don buana ku deal na ma Don kuna mawili.., kushinda na kushindwa, unaweza kushindwaa ukaangukia kuzimu saa chache za mbeleni sana na unaweza ukashinda ukaangukia Peponi(Mbinguni) ukaishi maisha mazuri milele na mwokozi hicho ndicho kilikuwa kinaniogopesha.. nikamuangalia usoni kwa macho ya genye, macho kama kungu Don kachanganyikiwa basi tuonane saa 4 usiku saa 6 naona mbali maana macho yako yananiita tayari... nikazidi kumkolezea mimacho, akacheka basi saa 12 jioni uwe pale hamna shida
Money Penny: usichelewe kesho narudi kwetu Dar mara akaja Money Stars Penny twendeni tukakate keki tafadhali, nikavutwa mikono huyoo mpaka kwenye keki
akaimbiwa pale mwenyewe anaskia rahaa, ametimiza miaka 25 doh kweli kawa mkubwaa
baada ya kula keki na kukaa kuongea na mama Money Stars akaniambia aliwazaa mapacha na mwanae Doto alitekwa nyara mpaka leo hawajamwona nikawa natamani sana nimweleze lakini roho inakataa
nikahamisha topic nikamwambia mama natafuta ajira nakaribia kumaliza shule unaweza nisaidia?
Mama Money Stars: hamna neno akatoa business card yake, nitumie CV zako ukimaliza shule na ukishapata cheti nikuangalizie kazi UN kuna posts watatoa
Money Penny: kusikia UN macho yakanitoka maana kupata kazi UN miaka yetu shavu dodo sijui miaka hii
nikamuaga naenda toilet maramoja, nikaingia toilet nikawa nachungulia pale nikajua Money Stars alipo na babake na mamake nikapita mlango wa nyuma nikakimbia nikaenda kuchukua taxi nikadondokea hotelini kusanya nguo zangu zote nikaaga reception narudi DAR nimepata zarura nduki nikaingia hotel ya DON hapo saa 11 nanusu jioni
Nikakaaa weeee saa 12 hajaja mtu nikaona sasa hii set up nisije nyongwaa nikachukua simu nikampigia Aloyce hakupokea, nikasema leo ni leo siku ya kufa nyani miti yote huteleza yule baba sio mjinga kuniambia tuonane ma DON buana wapo kama amshetani muda wowote wanabadilikaga
nikaamua niyamalize na Papaa nikampandia hewani, simu ikaita sana ikakatika, ikaita tena mara ya pili ikakatika hajapokea, nikaona hapa sio kwa kukaa nitachunwa ngoziii miaka hiyo ya 95 mademu kibao walikuwa wanabakwa na kuchunwa ngoziii, nikaona hapa nafwaaa.. nakusanya kila kitu nikasema ngoja nipige kwa mara ya mwisho hapo saa 1 usiku tayari nikampandia hewani papaa, simu wakati inaita nikaskia mlango unafunguliwaa kuangalia ni DON, na huku simu ikapokelewa haloo haloo Penny haloo, nikaikata!
Don kuniona kafurahi midadi sijui ndio midadi hata simwelewi! doh Penny wa watu nilikumbatiwaje! mzee ana mahaba balaaaa
Baba Money Stars: mtoto mzuri siamini kama kweli umekuja, yani tangu nimekuona nikakupenda bure, masifa kibao kaaaaaa... akaanza kunivua nguo nikamwambia aaaa.. ngoja kwanza embu kaa
Money Penny: Mimi sikujui siwezi tembea na wewe na wewe ni baba wa rafiki yangu haitakuwa vizuri
Baba Money Stars: akacheka sanaaa! ni kweli unachokisema mrembo lakini wewe sio mavi yangu sijakuzaa
Money Penny: naogopa leo nafwaa!
lakini mimi sina tabia ya kutembea na baba za watu.. Mungu hapendi ni dhambi na mimi sio changudoa!
Baba Money Stars: aisee, ur soo childish! wenzio wanazitafuta hizi nafasi hawazipati... ila watu kama nyie wasumbufu mnakuwaga watamu na kuna kitu mnakuwa mnataka
Money Penny: mavi yakanibana, leo nafia Arusha najutaaa kuja!
wala sitaki kitu kwako
Baba Money Stars: kwanini umekuja huku sasa
Money Penny: mwanao ana mikelele sana kama mtoto wa nursery, nimemkimbia na nilishapanga kumkimbia, ila kwasababu umenipa mualiko nimekuja ila sikuja kukuvunjia ndoa yako!
Baba Money Stars: hahaha na msimamo unao, mwanangu kweli kapata rafiki, akaniangalia weeee, akasema, lakini sijui kwanini nimetokea kukupenda tangu nimekuona nimekupenda sana!
sawa mimi nalala au una kingine cha kuniambia
Money Penny: nikajiona mjinga sana ni sawa na kupewa YESU alafu akija unamwangalia kama TV, huu ndio ulikuwa wakati wangu wa kumaliza shida zangu zote.. yule mkewe sidhani kama atanitafutia kazi kama alivyosema najua alikuwa anataka nikae mbali na mumewe sasa hapa lazima nicheze faulo!
nilikuwa naongea na mwanao na mamake akasema ulikuwa na twins
Baba Money Stars: Yes dear alitekwa nyara
Money Penny: haukufanikiwa kumpata kabisa?!
Baba Money Stars: hapana nilijaribu kila kitu enzi hizo sikuwa na pesa mtoto mzuri kama sasa hivi, ndio maana nilishindwa, niliuza kila kitu mwanangu apatikane lakini hakupatikana... hicho ni kidonda ambacho sijui ni lini kitaponaa mrembo huku anakunywa whisk kavu doh kweli Mzee alikuwa na maumivu sio kitoto!
nikimpata binti yangu nitafurahi sana sana, sisi tulishajua alishakufa no mama yake alishajua amekufa ila mimi moyoni bado kunaniambia mtoto wangu yupo hai na ni mkubwa sasa
Money Penny: unahisi nani atakuwa amekutekea nyara? maana uhasama unakuja pale unapokuwa umemzulumu mtu..
Baba Money Stars: akacheka tu huku anakunywa! mrembo una maswali sana kama afande, ila wewe sio afande, ngoja nikueleze
Nilikuwa nafanya biashara na bwana mmoja ya madini huku Arusha alikuwa Mtz anaeishi Kenya, biashara miaka ya 80 mpaka 90 ilipofika mwaka 91 haikuwa nzuri, nikamwomba anikopeshe hela nikaoe, kama milion 10 za kitz...
Money Penny: nikatoa macho hawa watu wapo serious au? doh mil 10 miaka ya 91 kweli kazi ipo
Baba Money Stars: akanikopesha nikamwoa mama wa rafkiako, nikamfanyia sherehe kubwa sana Arusha, tukaenda Honey Moon Uingereza, tukakaa kama miezi 6 akapata na ujauzito! tukapanga kurudi, ikashindikana maana alikuwa anaumwa na kutapika sana, wakashauri ajifungulie uingereza ijapokuwa hawakupenda sana lakini watafanyaje, mkewangu akajifungua watoto mapacha kulwa na doto nikawaita Anija (Kulwa) na Anita(Doto)
ikabidi tukae sana tukamaliza miaka 2.. watoto wakawa raia wa huko Uingereza, nikaamua kutafuta vibarua sasa huko huko uingereza nikapata kazi, nikafanya kama miaka 3 mbele ya pale.. nikapata hela nikijua nkitaenda kumrudishia yule bwana zake na kufanya biashara zangu mwenyewe
kurudi Tz watoto wana miaka 5, nikamtafuta yule bwana, sikumpata nikaenda mpaka nyumbani kwake nikaambiwa hayupo alishahama anaishi Tz, jinsi ya kumpata hawakuwa wanajua
nikaenda mpaka kwenye vyombo vya dola namtafuta hakuna hilo jina kumbe alishabadilisha jina
nikaendelea na maisha mpaka watoto wakakua wakawa na miaka 7, nikawaanzisha shule, kumbe yule bwana alishafilisika vibaya mno akaja Arusha kunitafuta hakunipata akaja kuishi Dar, sijui wapi,
watoto wakaanza shule safi mwaka wa 1 nursery ukaisha walipoingia miaka 8 wakaonekana wanaakili sana wakarukishwa darasa, wakaingia la 2 mimi nikaendelea na biashara zikakubali sana sio za madini tena zingine tu, siku narudi nyumbani naambiwa watoto walikuwa wanacheza shuleni akaja kijana kuwachukua kulwa akawa analia anasema hamjui ikabidi wamuache kwanza akae, yule kijana akaondoka na doto maana doto hakuwa na shida na yule kijana!
ndio mpaka leo sijamwona tena Doto wangu.. Anita nina uhakika ipo siku nitaonana nae tu
Money Penny: mmmh! kichwani najiambia mbona hii hadithi kama haijakaa sana,,, yule Money Stars amesema walitengana wakiwa wadogo chini ya miaka 5 baba mtu anasema miaka 8 doh mbona sheedah
pole sana Mzee, pole ila kama unaamini moyoni mwako kama yupo basi atakuwepo haina shida
Baba Money Stars: huku anameza whisky yake, yes mrembo ngoja nilale kesho naenda kazini saa 2 nina kikao na mheshimiwa
Money Penny: unaweza mkumbuka jina la huyo business partner wako unaehisi amekuchukulia mtoto?
Baba Money Stars: ah sijui kama anatumia hilo jina tena mara waseme amekufa hata sielewi anywho if it helps you to sleep anaitwa.... la kisanii... la kwake kabisa ni ...
Money Penny: mmmh sio lile jambazi linalomtesa kweli Anita Dar? hapa kuna kitu sio buree!
Baba Money Stars: njoo tulale basi mrembo
Money Penny: mimi sina usingizi Mzee
Baba Money Stars: usiniite mzee tena bwana, niite mpenzi.. kwani mimi nimekuzaa?
Money Penny: ngoja nikae kwanza nina mawazo sana,
Baba Money Stars: njoo ulale ujue mimi nakupenda sana mrembo ivi unaitwa nani?
Money Penny: hahaha kweli napendwa hata mimi naona! ungekuwa unanipenda ungeshajua jina langu
ngoja kwanza nina stress za kufa mtu
Baba Money Stars: shida nini mrembo mtoto mzuri kama wewe unashida gani, au ni ki boyfriend kinakusumbua? achana nacho ur too beautiful to be stressed, uwe na mimi basi nikupe maisha
Money Penny: wakristo tunaruhusiwa kuoa mara 2
Baba Money Stars: hahahaha ur soo funny, mimi nalala upande huu ukimaliza kuwaza uje upande huu
Money Penny: ukiamka hautanikuta narudi Dar naingia kazini j4 asbh
Baba Money Stars: akaanza kukoroma kumbe hajasikia ninachoongea
Money Penny: doh hii ya leo ni zaidi ya sinema... ningekuwa mwandishi ningeandika hadithi! sasa hili zee linidanganye inisaidie nini.. nimwamini nani sasa?! mbona kiza kinene?!
nikatoka chumbani nikaenda kutafuta mpira reception, hapo roho inaniuma kweli kweli.. doh! kutembea na mizee inakuwekea nuksi kweli kweli, namuwaza yule maza na wale mapacha wake
nikajikaza moyo. mimi ndio penny, wanasema siri zinatokaga kwenye mechi, ngoja nikajaribu huenda nikajua ukweli wa mambo yote!
kufika namkuta Don anakoroma hatari ikabidi nilale, genye zote zikazodokaaa! usingizi hauji nikaamua kupaki, nikaenda kuoga nikashuka kula hapo saa 6 usiku! doh ni sheedah! nawaza na kuwazua nikarudi kulala saa 8 usiku
saa 10 asbh Don akaniamsha kwa mahaba, doh nilijuta kumfahamu!
nilipigwa show mpaka nikaomba poo!
Mzee lakini sio mzee kweli, jina la DON linamfaa! mzee kijanaa.. mzee ana show hatarious, waswahili tunaziita show za kifalme!
Baba halali masaa 2 mzee yupo fiti mimi kijana nikachukue kozi!
mpaka kuja kukaa sawa ni saa 12 asbh nimechoookaaa nataka kulala tuu! nikalala
kushtuka saa 4 asbh naona kushaletwa breakfast, nikasimama siwezi naona naumwa show ya jana ilikuwa sio ya kitoto alafu DON alikuwa wa moto sikuelewa kwanini! japo mechi ilichezwa na mpira lakini sio kwa joto lile, utadhani nilikaliwa na moto kifuani.. huenda Mr and Mrs Don hawapo vizuri au Mr Don mwogaaa!
nikalala tena lisaa 1 nikasikia simu inapitwa, kuinuna nakuta Papaa..
Papaa: we penny uko wapi?
Money Penny: kwanini?
Papaa: nipo hotelini kwako sikuoni
Money Penny: nikakata simu nikarudi kulala, baada ya lisaa li 1 simu ikapigwa, kuangalia ni Papaa, nikakataa
kucheki saa saa 6 mchana tobaa nikaenda kuoga, kurudi nafungua breakfast nakuta hela mil 5, na kinoti toka kwa DON
Baba Money Stars: Mrembo wangu, nakushukuru sana kwa kunifanya kijana tena, sitaki kukuacha nakupenda, hii ndio business card yangu na nauli ya kurudia Dar, tuwasiliane! Nimekupenda sana hauna mambo mengi, nanilihii yako imesema yote!
Money Penny: nikachoka, nikavaa nguo haraka haraka! nikaziweka zile hela kwenye sanduku nikakaa kunywa chai huku nasonya mimi kuambatana na mizee ni ushuzi mtupu ataniletea manuksi mimi bado mdogo buanaaa!
katika waza na kuwazua, mara naskia hodi!
nikainuka kufungua namkuta ni Papaa! doh huyu Mchungaji kageuka mzuka au
kuingia na kuingia akanishambulia na mabusu motomoto!
Penny nimeamka na nyota ya Jahaa! nanihii moja yote itumikie mabwana wawili ngumu jamaaa! nikastopisha show za mabusu
Money Penny: wewe na Arusha wapi na wapi?
Papaa: Mama mimi nimekuja Arusha kwa ajili ya swala moja tu kukwambia ukweli
Money Penny: upi?
Papaa: unajua Anita ni mzuri sana ila sio mzuri kama wewe Penny!
Money Penny: doh! imekuwaje tena?!
Papaa: ndio maana nimefanya yale yote, nimekupa akaunt yangu ya bank, nimeongea na Aloyce akutafutie kazi Bank
Money Penny: heee! Aloyce pia unamjua?!
Papaa: nimekuachia akaunt yangu ya bank kwani wewe ulikuwa unadhani nini?
Money Penny: bwana wee skiliza..
Papaa: Penny mimi nakupenda wewe!
Money Penny: eh tenaa?!
Papaa: kweli Nakupenda sana! naomba unikubalia ombi langu la kuwa mpenzi wako, nitakupa maisha yote unayotaka!
Money Penny: nawaza, kwani leo nimeamka na Yesu au? mbona mapicha picha tuuu!
Papaa: akaanza kunichum chum palee weee penny nikakolea na hivi nilishasimuliwa kuwa ana mzigo wa haja nikaona nihakikishe!
katika fukua fukua za hapa na pale doh kweli Subira hakuwa amekosea, nikiangalia jana usiku nimesimamia show matata ya Don sidhani kama naweza endelea tena
nikajinyofoa kwa Papaa lakini Papaa hakubali! alitaka show idondoke siku hio hio, saa hio hio kang'ang'ania weee ikabidi nimwambie lete mpira la sivyo mechi haichezwi
papaa wa watu kaenda kutafuta mpira pharmacy nje ya hotle akaja, nilidungwaaa doh kweli mzigo wa haja alikuwa nao
tatu bila, Penny nikatoka kapa, si jana yule mjinga Don kanimaliza nguvu! doh nilipigwa show mpaka nikaomba poo! huyu mjinga Pastor alitaka kukiacha kitu kwangu ambacho hata nikipata mwanaume mwengine niwe namkumbuka yeye tu! mjinga sana!
baada ya masaa 4 simu yangu ikapigwa nikaangalia namba sijui kupokea kumbe ni Don!
Don: mrembo umeamkaje umesharudi Dar?
Money Penny: salama, shikamoo, bado
Don: shikamoo kampe Babako Dar kwani unaninyima nini?
kama haujaondoka usiondoke nimeambiwa niende Dar kesho asbh nina kikaao usiondoke tafadhali
Money Penny: sawa nakusubiria
Don: nakupenda mrembo
Money Penny: mhh! nikakata simu, sasa kumtoa nyoka Papaa hapo ilikuwa mbindee, nikaenda kuoga fasta nikajirembaaa! nikakusanya kila kitu changu na chake, nikamwambia jiandae basi tukakaa nje tuyajenge akaamini akaoga fasta, ile amemaliza kuvaa mimi nishatandika kitandaa, tunataka kutoka naskia mtu anafungua mlango tobaaa, Papaaa anashangaa nani huyu anafungua mimi namjua anaefungua
Akafungua akaingia Don, baba ya Anita na Money Stars! nikasema leo nafwaa, uzuri Papaa hakuwa amenishikilia kimahaba nikazuga fasta
Money Penny: oh baby! umerudi nampa mabusu kibao, karibu!
Papaa: macho yanamtoka! kabla hajauliza huyu nani maana hasira ishamjaa
Money Penny: Baby, huyu ni kakangu anaitwa Patric amekuja kikazi Arusha akaona aje kunisalimia, huku namkonyeza Papaa kwa jicho moja huku naomba kwa Mungu asije akapandisha mashetanii nimekufaa
Papaa akaniaangalia akamuangalia na yule mzee, akamsalimia ah salama sijawahi kukufahamu wala kukusikia wewe ni?
Don: mimi ni shemeji yako mtarajiwa, naona imekuwa mapema sana kuonana na wewe, ila nashukuru kwa kuja, naona mlikuwa mnatoka!
Papaa: ndio tulikuwa tunaenda kula,
Don: basi hamna shida twendeni wote maana ndege inaondoka saa 1usiku na hapa ni saa 8 mchana najua tutakuwa na muda mwingi wa kuongeaaa
Money Penny: nikashukuru Mungu Papaa kunielewa ila alikuwa na hasira sana, hakutaka hata kuongea na yule bwana kufika chini akajifanya anapokea simu akaongea wee sisi tumekaa tunamsubiria, akaja akaaga nimeitwa mahali kuna dharura, shemeji nimefurahi kuonana nawe some other time tutaongea, namba yako nitachukua kwa Penny
Don: ah hapana bwana basi iandike, akamtajia pale akaandika
Money Penny: nacheeeeka kimoyomoyo kweli Mungu yupo, leo nimemkomesha Patric a.k.a fake Pastor!
Papaa: akaaga pale akaja akanikumbatia madai mzungu ushuzi mtupu akaondoka
tukala msosi na Don tukarudi chumbani akanirudia kwa mpira lakini maana Penny mimi mkorofi hakuna mechi inachezwa bila mpira zee la watu likanielewa!
Don akanishindilia kweli kweli utadhani alihisi kuna mtu amenipitia siku hio au alitonywaa! kanikamua kweli kweli kuja kushtuka saa 11 jioni tukaoga fasta Aiport moja tukapanda ndege mpaka Dar!
Dar nikatua akakuchukua Taxi mpaka Kilimanjaro Hotel, doh! bonge la room kama zile vyumba wanakaa maraisi!
Tulipoamka mechi ikapigwa tena, hapo Penny Nimechoka kweli kweli, baada ya lisaa limoja akaniaga naenda kwenye kikao na mimi nikamuaga naenda kwetu, akaniomba nikae hotelini nikitoka kazini nirudi hotelini, nakataaje kwa mfano?!
Money Penny nikaingia kazini! namkuta bimdashi Anita a.k.a mtekwa nyara
mxiiiiuuuuu ushuzi mtupu!
Kumbe juzi jana na leo nimetoka kukalia mashine ya faza wake, angejua angeniua!
Woyoooo Money Penny sina roho mie,
Mafia wanachukuaga kozi kwangu!
TUONANE TAR 24 APRIL 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
_______________________________________
E. MWANZO WA MAMBO YOTE
Kufika ofisini sikumkuta bi Anita nilipoulizia nikaambiwa ameenda likizo fupi ya wiki 2… nikashukuru Mungu maana angenisemea
kwa sista chaumbea yule!
Nikaendelea na kazi lunch time akaja Subira,
Subira: Mrembo mzima? sijakusikia sikukuu zote
hizi vipi mama ulifichwa?
Money Penny: wala sikufichwa nilikuwa tu mwenyewe ndani
napunguza mawazo
Subira: naona bibie kaomba likizo, lazima aombe likizo sio
kwa lile tukio la majuzi kati
Money Penny: tukio gani tenaa?
Subira: mmmh!
We acha tu Penny kwani Anita hakai
kwenu? ungemwuliza yaliotokea
Money Penny: mmh mbona yupo poa tu lakini ameondoka
amesafiri kasema kaenda Bagamoyo kujipumzisha
Subira: Bagamoyo tena? Walokole nao wanaendaga
kujipumzisha?
Hahaha kwani ameondoka lini Money Penny?
Money Penny: mmmh tangu sikukuu ya majuzi iishe ile ya Nane
Nane (hapo namdanganya mimi sijui kitu nabahatisha)
Subira: Basi mama Yule shogako ni Malaya hakuna mfano hata
sijui anafanya nini huko Kanisani
Money Penny: Malaya tena?
Kwani kuna nini mbona unanirusha
roho?
Subira: sikuile nilipokupa ule mkanda wa Fake Pastor na bi
Anita unakumbuka?
Tukajaga kuondoka kila mtu kajazwa!
Basi Penny mimi nikaamua
kuendeleza u-snitch nijue nini kinaendelea kati ya wale wawili kwahiyo sikuacha
kwenda pale anaposalisha Yule mjinga
Nikawa nawahi sikosi ibada nakaa na washarika, sikumoja
nimewahi namkuta msharika analia katika ongea ongea nae, akaniambia ana
ujauzito wa Yule fake Pastor wenu!
Sikuamini, maana mademu wa kule wana siri
nyingi nikambana kwanini aseme ni ujauzito wa Fake Pastor?
Yule binti kakomaa ni wake akanieleza mara ngapi ametembea
na Yule Muhuni, tena sikunyingine ibada za j2 zikiisha tu, watu wakishaondoka
wanaonana usiku nyumbani kwa Yule mjinga!
Sikuamini na wala sikutaka kuamini, nikaendelea kumdodosa
maana kwanza kale kademu kanaonekana macho juu juu huenda anapepo la ukahaba!
Akawa anang’ang’ania ni ya Yule Pastor ni ya Yule Pastor
nikaamua kumuaribia Anita kuupata ukweli wote wa fake Pastor wako!
Nikamwambia Yule binti unajua Yule Pastor anataka kufunga
ndoa haya maneno unayaongea unauhakika ni ya kweli?
Maana mkewe mtarajiwa yupo
hapa hapa Kanisani, akashtuka anataka nimwambie ni nani?
Nikakataa kumweleza akanibana niambie tafadhali, nikamtaja
Dada mwingine kabisa, akashtuka haiwezekani Yule mbona ana Bwana wake anahesabu
sadaka na wamepanga kuoana mwakani kumbe anamzunguka alafu huyo unayemtaja ni
best yangu sana
Nikasema enhe bibie kafunguka, nikachokoza tena kumbe yule
muhesabu sadaka anamuoa yule best yako
… akajibu ndio
.. nikamwambia mbona
muhesabu sadaka anatembea na kademu kamoja kanaitwa Anita?!
Yule dada alichokaaa!
Anita huyu huyu ninayemjua au?
Mungu
wangu weee!
Nikamwuliza vipi mbona unaguna mama?
Akaniambia yule muhesabu sadaka ana ukimwi!
Na
nilishatembeaga nae sana kabla hajawa na best yangu huyu ambae anataka kuolewa
na Pastor na kama Anita ametembea nae ina maana Anita anaukimwi
Nikamwuliza kama wewe umetembea nae ina maana unao pia
kwanini unashangaa ya Anita?!
Akanyamaza kwa muda huku amefura hasira nikajua tu hapo kuna
kitu either mimba sio ya Fake Pastor au Anita hana ukimwi na hili jingas
litakuwa lina mimba ya muhesabu sadaka.. basi ibada ikaanza bimdashi mwenye
ujauzito akatoka nje
Ibada ikaisha kama kawa Bi Anita akabakia kumsubiria Fake
Pastor, mimi nikaondoka moja kwa moja ofisini kwa Fake Pastor, nikauiba ufunguo
mmoja wa nyumba ya Fake Pastor!
Nilifika nyumbani kwa Fake Pastor, saa 1 usiku alirudi
nyumbani saa 4 usiku tena wapo na Anita!
Si unakumbuka Penny, uliniambia ile ishu ya Hotel
nikajiandaa kabisa na vifaa nikavitegaa!
Nina kikamera change cha Canon
nilipewaga na bwana mmoja kadogo aliniletea toka Uingereza nikakiegesha mahali
ambapo fake Pastor hatojua!
Wakaingia wenyewe wanabebana wanacheka wanafurahi stering
nipo chumbani mtupu! Wakanikuta nimekaa kitandani kimahaba zaidi wakashangaa!
Anita akaanza kufoka hapo unafanya nini chumbani kwangu? Si
unanijua mimi mafia sijibu ujinga nikamwambia nimekuja kuchukua mrejesho leo
siku yangu ya mrejesho wewe nenda uje kesho!
Fake Pastor alichokaaa! Nikamwambia wewe mjinga sijui Mchungaji ahadi yangu unaikumbuka lakini ndio leo uliniambia nije skunyingine
nimeshakuja!
Doh Pastor ikabidi awe mpole, akubaliane na ombi langu yani
pale Penny hamna Mchungaji kuna lihuni toka Kuzimu!
Akamwambia Anita aende tu
nyumbani wataonana kesho Anita akakataaa analia nikainuka kitandani
nikambembeleza bi Anita, basi hamna shida tufanye shea kama skuile Kanisani,
Akawa anakatakaa mi nikaendelea kumtega Mchungaji akalainika
nikamwambia Anita either uje au uendelee kutuangalia, sijui li Anita likaona
nafaidi si likaja!
Ikapigwa Three sum ya kufa mtu Penny huku Camera inarekodi!
Kama kawaida kila mtu aliondoka amejazwa!
Asbh yake ilikuwa sikukuu ya Eid, nikajifanya nimechoka,
Anita akaondoka wa kwanza, fake Pastor akamfuata!
Mimi nikanyanyuka nikaitoa
ile Camera nikaiweka kwenye pochi, sikuoga nikavaa Faster nikaondoka, kwahiyo
mrejesho wako Penny huu hapaaa, akatoa Memory Card ya Camera akanipa, kama
hauamini iweke kwenye computer hapa uhakikishe
Money Penny: nikachokaa! kweli SUBIRA Mafia!
Kuangalia
kwenye Desk top ni sheedah! Nikamchukuru Mno!
Kabla sikitu hajaondoka, akaniambia lakini sijui kama
shogako atakuwa na mahusiano tena na lile huni!
Maana asbh aliamka kwa hasira
wakaongozana na Yule Muhuni anambembeleza, naskia wamegombana me sijui lakini
naskia wamegombana sana, mpaka Yule Pastor sijamwona tena kanisani juzi na jana
hakuwepo mara naambiwa kasafiri kikazi hata sielewi mimi niliopoona kazi yangu imeisha
nikarudi zangu mtaani kuwa SUBIRA tena!
Kwahiyo mtafute shosti yako najua kaomba likizo makusudi
anafikiri mimi nitamtangaza hapa ofisini lakini wala siko hivyo!
Money Penny: nikamshukuru sana SUBIRA, sikuamini, Movie ile
inahitaji malipo makuu sana!
Sikuhio hio nikaenda kwenye Bank akaunt ya Fake Pastor
nikatoa Mil 1 nikaja kumpa Subira akafurahi sana!
Subira: Penny ukipata kazi zingine naomba uniambie maana
doh sio kwa mihela hii
Money Penny: Poa boss yake usikonde mimi na wewe tena?!
Nikaendelea na kazi zilipopungua nikamcheki Anita hakupokea
simu, nikamcheki Sister akaniambia
shogako ameondoka hajaaga hapa tangu majuzi sijui kaenda wapi mtafute mwenyewe,
nikamwomba anisaidie kumpigia maana kwangu hapokei hata simu ya mezani hapokei!
Nipo buzy na shughuli
zangu namwona Aloyce anaingia anatabasamu, kaja kumwona mpenzi wake Anita!
Nikamwambia hayupo yupo likizo, ila sikuhizi ana simu namba
yake ni hii embu mtafute ujue yupo wapi niende maana kwangu kaondoka siku 2
zilizopita!
Aloyce kama kawaida na midadi yake akamcheki hewani, woi
kwani Anita anapokea sasa simu walaa utadhani imeibiwa kumbe anayo mfukoni
Nikampigia PAPAA akapokea
Papaa: shida?
Money Penny: Anita
Papaa: kwani mimi mzazi wake
Money Penny: nipe niongee nae
Papaa: simjui wala sijui alipo
Money Penny: wewe ndio mtu wa mwisho kuonekana nae, nipe
bwana acha ujinga
Papaa: akakata simu
Money Penny: nikasema ahaaa! Kumbee ndio michezo yenyewe
basi hamna shida!
Nikaendelea na kazi jioni nikarudi hotelini kwa DON, hayupo!
Doh ya leo kali nikalala, asbh DON hayupo nguo zake zote zipo sikujua
alipoenda, simu yake haipatikani, nikaulizia Reception naambiwa alirudi
akaondoka tena hajaja tena
Nikawaza atakuwa wapi nikaenda kazini, Mchana Don akaja kuni-surprise akaomba tuende lunch, njia nzima anaomba radhi kwa kutolala Hotelini
jana,
Money Penny: ikabidi nitabasamu feki, lakini kama hajalala kwako anajua alipolala na mimi
haikunisumbua maana wanaume wote baba yao mmoja (shetani)!
Baada ya chakula cha mchana ikabidi kila mtu arudi kazini kwake, jioni
wakati natoka Kazini namwona Bi Anita nje ya mlangoni, nadhani alikuwa ananisubiria
Kumwangalia naona kama analia, kumwangalia vizuri naona amevimba usoni kweli kweli, nikamhurumia, nikamkumbatia, nikamwomba
aniamini anifuate tukarudi hotelini Kilimanjaro Don akiwa hayupo!
Kufika ikabidi afunguke kuhusu ya Papaa, kuwa alikuwa
anampenda sana, haijawahi kutokea blah blah kibao, na jinsi amemuumiza kwa
kutembea na SUBIRA, zaidi ya mara 2 na jinsi three sum ilivyoenda mara 2 na
hajui cha kufanya akaomba msamaha kuondoka kwetu bila kuaga akaogopa kurudi
akaamua kuja kuniona ofisini,
Yani Anita akiongea utadhania Malaika wa Nuru kumbee!
Baada ya kunieleza makorokocho yake yote ambayo nayajua
akaniuliza nafanya nini hapa, nikamdanganya nimekuja kujipumzisha, pia kuna
kabiashara nataka kukafanya Arusha, kuna mwekezaji amekuja jana naonana nae
hapa ndio nimekuja kulala huku hamna jinsi,
Money Penny: usijali utarudi kuishi na sisi, tunakupenda,
sasa ulienda wapi ulijificha wapi Dada ananiambia haukuonekana siku 4 hizi
Anita: sikwenda Bagamoyo! ukweli ni kwamba nilirudi kwa Yule Mpenzi wangu libaba la Tangibovu, nilitaka kumwambia kuwa aache kunifuatilia, nimeshapa mtu
mwingine napendana nae,
Kumweleza vile ni kosa, akaamua kunipiga, alinipiga sana sana sana na baada ya hapo alifosi kulala na mimi,
Money Penny: sasa ulifikaje ofisini leo jioni,
Anita: aliniambia nisahau kurudi kwa huyo ninayempenda,
akanifungia siku ya 1, ya 2 ikabidi nipige simu kuomba likizo ofisini maana
sikujua nitarudi au la, siku ya 3 nikamdanganya nampenda, tusahau yaliopita,
tuendelee najua hakuamini lakini ilibidi ajifanye ameniamini, nikazidi
kumwaminisha, siku 3 hizi akajisahau nikatoroka ndio nikakimbilia kwako
Money Penny: yani Anita ni mwongo mzuri, nimemsikiliza nimeskia kuchoka tu na hivi nimetoka kazini chokest anazidi kuniongezea uchovu!
Dah! kazi kweli kweli, bora angesema ukweli lakini kunifanya mimi jingas, leo haitaisha nitamchosha tu!
Anajaribu
kunidanganya hata na mimi kweli shetwain mkubwa!
Kama mwanaume anakupiga
kwanini unaendelea kwenda kwake kila mara? Sio kweli, nikajisemesha moyoni,
nikapiga simu kuomba msaada wa kuponya jeraha la Anita pale mapokezi,
Msaada ulipokamilika ikabidi Anita alale, nikabaki nawaza
itakuwaje DON akimkuta mwanae hapa?
Nikiwa katika kuwaza mara naona Don anafungua mlango anaingia
nikamkimbilia, nikampokea kwa mabusu tele Don akakolea!
Kusogea kitandani akamwona Binti amelala,
DON: Huyu ni nani tena?
Money Penny: Don, naomba tukaongee nje tafadhali kuhusu huyu Dada! Ni rafiki yangu
anaumwa amelala..
Tukatoka nje ya mlango ikabidi nimweleze ukweli wote, na
jinsi nilivyokutana na Anita na maneno alionielezea Money Stars na jinsi
walikuwa wanafanana, nikajua tu kuwa huyu ni mtoto wako!
Lakini sikuwa na njia
ya kuwakutanisha na wala sikupanga kuwa kwenye mahusiano na wewe Don, nisamehe!
Lakini sasa nadhani ni muda muafaka wa kukutana na binti
yako, anaitwa Anita..
Don: alichanganyikiwa hakuamini maneno yangu ikabidi aingie
ndani akamkuta
Anita ameamka!
Anashangaa huyu baba wa wapi?
Anita: Penny huyu nani mbona unaingiza wanaume chumbani
Money Penny: nilikuwa na wakati mgumu kumweleza Anita kuwa
Don ni Baba yake Mzazi, kwanza hakuamini maana alijua hana wazazi tena haya
mapicha yameinuka wapi?
ikabidi Don atoe picha zake za utotoni na Money Stars!
Akamweleza kila kitu, Anita anashangaa baadae akaamini, wakakumbatiana wote
wanalia!
Mimi nimekaa pembeni nazoom movement zote! Money Penny tena!
Mwisho wa siku Anita amekutana na Baba yake Mzazi tena kwangu, hii ilikuwa inatosha kabisa! mambo mengine yote
hayajalishi tena kwangu!
Anita: Mbona Yule Baba wa Tangibovu alisema alinitoa kwa
watoto yatima?
Don: Baba yupi?
Anita: akaongea ukweli wote, Don akaomba kama ana picha ya
huyo Baba amwonyeshe,
Anita akaitoaa, kuangalia doh ni Yule Partner wake
aliemteka nyara wanae Anita, Don akachokaa
Tukamwuliza unamjua akasema ndio ndio aliemteka nyara Anita
akiwa shuleni ndio Business Partner wake wa zamani Kabla hajaenda Uingereza
kutafuta maisha, akamwelezea Anita kwa upya kuhusu Yule Baba wa Tangibovu!
Anita akachokaaa! Akaniangalia akawa kama haelewi kama mtu
Aliechanganyikiwa, Japo mimi nilihisi ila Anita alichoka mara 2, akawa kama
amechanganyikiwa, akashika kichwa kama kinamuuma, mara akaanza kuskia kutapika!
Akainuka akakimbilia bafuni akatapika bwaaa! Tukawa
tunaangaliana na DON kutapika huku vepe?!
Moyoni nikajisemea, hii mimba ya ANITA sasa itakuwa ya nani sasa; ya PAPAA, Baba wa Tangibovu au?
Money Penny maswali hayakuniisha kichwani, tangu lini mtoto wa miaka 7 atekwe nyara asikumbuke kuwa alikuwa na wazazi, mtoto wa miaka 7 anakumbuka kila kitu hawa wajinga wanacheza na akili yangu na mimi sikubali kushindwa, hapa kati kuna kitu na mimi ninao muda woooote wa kusubiria kujua nini kinaendelea kwani napungua kitu gani?
sijui wewe mpenzi msomaji!
F. MIMI NI NANI?
Baada ya tapiko lile, ikabidi tumpeleke Anita hospitali nikiwa na baba yake Don mwenye furaha kumpata mwanae Doto, baada ya masaa 3 ya Hospital majibu yakaonyesha kuwa Anita ni mjamzitooo! wa mimba changaa!
Money penny nikagandaa, utadhani nimepigwa risasi moyoni! akili ikasimama, nikawa nimeduwaa kwa dk za kutosha badala ya kufurahi kama Don ambae alikuwa amefurahia kupata mjukuu,
Anita alifurahi pia, tena sana, sana sana, ni kama alikuwa anahisi au amepanga maana huyu mrembo ni sheedah, ukumbuke Don alizaa watoto mapacha wenye akili nyingi na naamini Anita alikuwa na zake pia kama Doto!
Don kudadeki anafurahi kamumbatia mwanae doh anacheka mpaka michozi inamtoka! we Don sijawahi kumuona kwa rangi ile! ile rangi ni ya upendo, ni ya Baba mwenye mapenzi ya kweli, ni rangi ya Pekee, nilijiskia raha sana kuona Baba anaewapenda watoto wake kwa dhati, sio kama Babas wengine, mwanae kawa mjamzito hajaolewa mbona mtoto angezaliwa kabla ya miezi 9? cha mtemakuni angekiona (ingekuwa ni baba wengine lakini sio Don).
Nikakaa chini kusikia Anita Mjamzito, akili ikanituma moja kwa Moja ni ya Papaa! doh Money Penny weee, nafanyaje jomooon!
Walipomaliza kufurahiana wananiangalia nimekaa chini sina raha wakaniuliza nini? uzuri nilikuwa nimeshika simu yangu ya tochi mkononi, wakawa wanashangaa kwanini nimekosa raha ghafla?
Don & Anita: Mama vipi mbona hivi?
Money Penny: nimepata habari sio nzuri sana, natakiwa nirudi nyumbani, Anita nisamehe hongera sana kwa ujauzito, sana sana sana, lakini natakiwa kurudi nyumbani
Anita: kuna nini Penny ni dada au?
Money Penny: Don nimefurahi umempata Anita usimwachie tena nenda nae Arusha usimwache akae Dar tena, tutawasiliana
nikanyanyuka kwenye kiti nikakimbia wanashangaa huyu mama niaje?!
Nikadondoka kwa hotel nikapaki kila kilicho changu nikampigia simu Dada, nikamwarifu akipata simu ya mtu yeyote asipokee wakimwuliza kuna tatizo aseme ndio na akate simu ila asiongelee tatizo lenyewe! nikija nitakueleza kuna mahali nitalala wiki hii nitarudi nyumbani wiki ijayo, ila kazini sitakosa!
Sister tena? anavyonipenda na kuniamini kama roho yake kwanini asikubaliane na mimi? like how?
kwa mshangao zaidi baada ya dk 20 nikaingia nyumbani,
Dada: wewe si ulisema unarudi wiki ijayo?
Money Penny: na hii mizigo siwezi, ngoja niiache,
Dada: mama hapa hautoki mpaka uniambie kila kitu, sasa hivi ni saa 3 nanusu usiku , shida ipo wapi?
Uzalendo ukanishinda ikabidi nimweleze ukweli wote, sister wangu ni best yangu sana, tunapendana sana kama mapacha, hakuna tunafichana, akachokaaa akakaa chini, nikaingia kujiandaa nikatoka na kipochi kidogo nimevaa kwenye tumbo, akanistopisha mama niite nani akusaidie?
Money Penny: usiiste mtu, we tulia nitakupigia kwa namba yeyote hata kama sio yangu kwa sasa nataka niende mahali nikaweke mambo sawa!
Money Penny nikadondoka huyooo mpaka kwa Aloyce! usiku wa saa 5, anashangaa Penny kuna nini, tena hakujua nimepajuaje kwake kwenye nyumba yake ya Kimara Baruti...
Aloyce: Mama vepe? Mbona tunavamiana usiku usiku?!
Money Penny: Mbaya eh namtafuta Patric
Aloyce: Patric ndio nani?
Money Penny: my dia huu sio wakati wa kucheza na akili yangu si unaniona nimekuja kama nilivyo; niitie Patric, tusigombane mimi na wewe tumetoka mbali
Aloyce: akakataa katu katu hamjui
Money Penny: ikabidi nifanye msako, msako msako na wewe nyumba nzima hamna mtu!
Aloyce: mama umechanganyikiwa au?
Money Penny: usiponipa Patric nitakuchanganya mpaka na wewe!
Aloyce: Mama skuelewi leo umelogwa au umeshalewa pombe kali maana!
Money Penny: nikakaa kwenye kochi nahema kama nataka kufa, akaja kukaa pembeni yangu, my dia leo kuna nini au umefumania mtu anaitwa Patric nini?
Money Penny: umemjuaje Patric kwanza, embu niambie ukweli!
Aloyce: mimi sijui unaongea nini leo huyu Patric ni nani?
Money Penny: nikamwangaliaaa kimoyomoyo nikasema ahaa kumbe unajifanya humjui Patric leo ngoja nikuonyeshe ni nani, nikafungua zipu ya kipochi nilichokivaa nikatoa ile memory card ya Card ya Camera! nikamwuliza kwa mara ya mwisho, Patric unamjua au humjui?
Aloyce: Kweli simjui nakushangaa unashida gan
Money Penny: sawa niwashie computer au niweke nikuonyeshe Patric ni nani, akaenda akawasha desk top yake mwenyewe, anahaha hajui kinachoendelea!
nikamwuliza, bado unampenda Anita?!
Aloyce: sana na kazi nilikupa haujaifanya kabisaa!
Money Penny: oh nimeifanya! nimeifanya vizuri sana sijui utanilipa bei gan?
Aloyce: hata milion 5 nikimpata Anita!
Money Penny: kailete sasa hivi nikuonyeshe Anita ni nani kabla sijakuonyesha Anita ni nani na Patric ni nani
Huwezi amini Aloyce aliingia ndani akaitoa Mil 5 Cash, doh huyu dogo kama mwanga anatembea na fedha taslimu nyingi namna hii!
Nikazigawanyisha pesa mara 3, zingine nikaziweka kwenye kifua changu ndani ya brazia, nyingine katikati ya skintaiti iliokuwa na mifuko miwili Aloyce anashangaa huyu mrembo leo kaamka na shetani au?
Tukazama kwenye computer nikamwekea ile memory card niliokopi toka kwenye memory card ya Subira nilioiacha nyumbani!
Aloyce kuona zile video alikuwa amesimama akakaaa! akashika kichwaa! akalia sana sana sana! akalia kama mtoto mdogo anagalagala chini! anaitwa
"uuuuuwi Money Penny" nitaenda wapi joooomooooonii, Money Penny mimi huyu mrembo nimempenda sana, nimemfuatilia zaidi ya miaka 2 Penny, Money penny weee kwanini unajua kuniumiza lakini, Peeeeeniiiii uuuuuwi nakufa mimi roho imeshaondokaaaaaa
sikuwahi kuona ile rangi ya Aloyce, alilia na mikamasi juu! anagalagalaa anapiga mikono chini, analia sana sana sana! ikabidi nisave ile video kwenye desk top yake nichomoe memory card nikae pembeni nimwangalie
alipomaliza kulia akakaa ananiangalia kama mtu alieduwaaa, baada ya dk kama 3 akaanguka chini!
Mavi yakaanza kunibana! heee amsha masha Aloyce hapumuiii!
uuuwi nikaanza kulia nikamnyanyua nikamweka kwenye gari mpaka hospital! njia nzima nalia jaman Aloyce weee kwanini lakini!
Kufika hospital mjini, wakamuwahisha theater, nikawa nafanya malipo
wakati nasubiria nikachukua simu ya Aloyce ambayo niliiona wakati wanamvua shati apate hewa, nikapiga namba ya Patric ikatokea jina, ikaitaa sana hakupokea
nikapita tena mara ya pili hakupokea, mara ya 3 akapokea anafoka unataka nini?
Money Penny: we mbwa njoo hospital fulani, Aloyce hatuponae shenzy kabisa! nikakata simu
nikakaa nisubirie majibu toka kwa dokta hakuja, baada ya nusu saa namwona Papaa Patric anaingia nikamwangaliaaa kwa dharau nikamwona mjinga mpuuzi kabisa, miaka yote ile nilidhani namfahamu Patric lakini sasa namwona kama shetani wa kuzimu
watu wa mapokezi wamwambia mbona mke wake ameshamleta yule pale amekaa kuangalia ni mimi akachokaaa!
akaja mwenyewe mikono nyuma kama mtu mzuri kumbe joka la kukimbiwa!
Papaa: Penny imekuwaje?
Money Penny: namuangalia tu!
Papaa: akaongea sana, anajikosha nisamehe
Money Penny: namuangalia tu
Mara dokta akaja Mrs Aloyce, njoo ofisini tuongee, nikaondoka Papaa akanifuata nyuma, kufika kwa dokta na yeye anataka kuingia anamdanganya dokta kuwa Aloyce ni mdogowake!
ikabidi Dokta akubaliane nae akatueleza kuwa amejitahidi sana kuokoa maisha ya Aloyce, ila hakufanikiwa kwa asilimia 100 amefanikiwa kwa asilimia chache
Money Penny: moyo ukatuliaa! doh!
Dokta: Aloyce amepata mshtuko! nadhani kuna kitu aliona au alipata habari mbaya, tutamlaza kwa muda kwa ajili ya uangalizi, ila hajapata mshituko mkubwa, tunamshukuru mke wake hapa asingewahi ameupata mkubwa au nusu mwili!
Money Penny: nikashukuru kwa ajili ya maisha ya Aloyce, kwakweli sikutaka mambo yafike huku ila hii mijitu akina Anita na Patric ni watu selfish sana ... Dokta akaomba turudi nyumbani asbh tuje saa 12 na mchana saa 7 na jioni saa 12 kwa sasa anawekwa ICU hatatoka kwanza atakaa kwa muda, akasema twende mapokezi tukapewe bili tukalipie!
Nikaondoka kufika Mapokezi Papaa anataka alipie yeye matibabu, mimi nikaondoka njiani sikujua pa kwenda, ikabidi nirudi Kimara kwenye nyumba ya Aloyce na kurudisha gari yake!
Kufika nikafanya usafi, nikaanza kupekua nyumba nzima ya Aloyce, sachi sachi na wewe sipati kitu
Nikarudi kwenye kompyuta ya Aloyce anikarudia kuiangalia tena na tena na tena, baadae nikataka kuifuta ile video mara naona mtu anafungua mlango nikajificha, kuchungulia kumbe Papaa! doh nikachoka Papaa anafanya nini huku?
nikaona kujificha ni upuuzi, nikatoka akashtuka Penny unafanya nini huku nani kakuleta au wewe na Aloyce... kabla hajamalizia nikamwuliza wewe unafanya nini kwenye nyumba ya mdogowangu?
Papaa: mdogowako? kivipi?
Money Penny: embu toka
Papaa: wewe ndio utoke hii ni nyumba yangu, Aloyce mdogo wako kivipi na uongo wako...
Money Penny: nikamdanganya, mtoto wa shangazi
Papaa: yupi?
Money Penny: unataka kuujua ukoo wangu kama nani?
Papaa: akanisogelea, akaniangaliaaa na mimi namkazia macho nimenunaje!
akanibeba juu juu huku nampiga anishushe chini nikabebwa kama gunia nikabwagwa kitandani kwa ... hata sijui kitandani kwa nani tena maana alishasema ile nyumba ya kwake!
akawasha taa, doh picha kila sehemuuuu ukuta umejaa picha kibaoooo picha zangu, picha za Aloyce, Picha za Anita, Picha za Don, picha za baba mwingine nisiemjua, picha za Subira na michoro kibaooo! ni kama walikuwa wanapanga kitu!
akachukua kiti akakaa ananiangalia huku anacheka!
Papaa: Penny Penny Penny! leo ndio mwisho wako ... ulinizoea vibaya ukidhani mimi ni Papaa wa High School sio leo nitakuonyesha mimi ni nani!
Money Penny: nikachokaa nikajua leo narudisha namba, Patric nini hiki na picha zangu za nini? mbona sikuelewi?!
Papaa: leo nitakueleza kila kitu utaamua mwenyewe
Money Penny: doh! nashangaa na Don ameingiaje huku, mbona sielewi! na Money Star nae yupoo! uuuuwi leo nafwaaa Mungu weee huyu Papaa ni muuaji kama sio jambazi nilisali sala zote huku papaa ananichekaa
Money Penny: nikataka kuinuka niondoka akanikamata,
Papaa: leo hautoki mama, mpaka kieleweke!
nadhani ni wakati umefika ujue mimi ni nani sio?
Money Penny: ikabidi nikae sasa nimsikilize makorokocho yake yote, moyo unaenda mbio nasema leo sister atakuja kuchukua maiti yake uuuuwi nikaanza kutubu kwa Mungu kimoyo moyo
Papaa: akacheka sana, mwone kwanza na mimacho yake mikubwa kama gololi!
mtoto una macho mazuri ila leo yatakusaidia kuona rangi zangu zote usijali!
Money Penny: Aloyce ni zaidi ya rafiki yangu ni ndugu yangu, alichukuliwa kwenye kituo cha watoto yatima na wazazi wangu tangu tupo wadogoo! akawa anaishi kwetu! ni mdogo wangu kabisaa, sijui umemfanyaje leo mpaka umemweka kwenye stroke, leo utanieleza
umemfanyaje Aloyce Penny?!
Money Penny: nikatoa ile memory card nikamrushia usoni, akaichukua akaiweka kwenye kompyuta iliokuwa pembeni yake! akaifungua kuangalia alichokaa! akaniangalia kwa hasira nikajua leo nafwaaa!
Papaa: nini hiki na umetoa wapi penny?
Money Penny: Aloyce ni mtu mzima wewe ndio umemfanya awe kwenye stroke! wewe ni mtu mbaya sana Papaa, nilidhani nakufahamu kumbe najidanganya, umekuwaje Patric? wewe sio Patric wa shuleni umekuwa jini mkata kamba, jini muua watu! mpaka mdogowako unataka kumuua, alimpenda sana Anita, sana sana kukuta ametembea na kaka yake ndio maana imemuumiza sana!
Papaa: aisee ndivyo amekwambia sio?
Money Penny: nakuchukia sana Patric, nikiondoka hapa hautaniona na wala sitakutafuta tena
nilidhani...
Papaa: ulidhani nini? ulidhani ukimweleza Aloyce itakusaidia kujua Anita ni nani au kujua nilipo?
akafungua kompyuta yake akanionyesha, ona, tangu unaingia hapa ndani nimekuona hii nyumba ina kila kitu ni vile haujui,
unataka nini Penny?
ndio Anita ananipenda kwahiyo? na kwanini utembee na Baba yake? wewe ni mwanamke mbaya sana haujajijua sana!
Money Penny: hata sielewi nafanya nini na wewe hapa nikanyanyuka nataka kutoka akanirudisha tena nikabwagwa kitandani buuu
Papaa: sasa niskize!
Money Penny: hapana wewe ndio uniskilize, usinizoee tena, usinifuate tena, sikupendi na wala sitaki kukuona!
na huyo mwanamke wako Anita ana mimba yako uende Arusha ukadai chako!
Nimeshamkutanisha na Baba yake Mzazi Don, wanaondoka Asubuhi na ndege kwenda Arusha unachokifanya sikielewi ila naomba uache unajipotezea muda endelea na maisha yako, na hii michoro michoro hapa hata siielewi na wala sitaki kuielewa
Kuanzia leo naomba uachane na mimi, you are very stupid, eti Mchungaji... Fake Pastor mkubwa wewe!
Kama haukujua sasa Mimi ndio kiboko yako Patric, hakujawahi tokea mwingine tangu tulipokuwa Sekondari na hapata tokea mwingine, bora ucheze karata zako vizuri, hichi unachokipanga mimi nilishakipangua muda...
Nakutakia Uuguzaji mwema wa Aloyce akiamka mpe salamu zangu... divisheni 0 mkubwa wewe!
Nikainuka nikavaa viatu nikachomoa memory Crad memwacha Patric ameduwaaa! anashangaa Anita ana Mimba yake?! kivipi haelewi... hehehe ataelewa tu mbeleni embu mimi nirudi zangu kwa sister!
Nikabamiza Mlango nikaondoka!
TUONANE TAR 28 APRIL 2018 SAA 1 USIKU YA TANZANIA
________________________________________
SEHEMU YA 2
A. NIENDE NA NANI? WOTE NAWAPENDA
Money Penny: mimi? Nimefanyaje?
Baada ya siku 2 nikadondoka Arusha kwenye hotel ile ile ya Don
Money Penny nikapewa funguo kama mfalme
Nikasindikizwa mpaka chumbani nikaingia chumbani kimepambwaje kama bi harusi anaingia honey moon, ma-chocolate sasa kibao ma ice cream gonjwa langu sasa nikaanza kula ice cream, hata kabla sijamaliza naskia hodi nikajua ni Don kaja nikajiweka sawa si unajua tena beibe ndio kaweka show nzima ya mimi kuwa pale
Kufungua tobaaaa ni Papaa eh huyu jamaa kama mwanga
Money Penny: nikusaidie na nini Bwana Harusi? !
Papaa: Bwana Harusi?! Wa wapi tena au ndio mnaniita jina hilo sasahivi
Money Penny: unataka nini?!
Papaa: nimekuona hapo Chini unaingia kwa kunyeyekewa nikasema lazima nikamsalimie Malkia Wa Hotel
Money Penny: Hello, Bye! Nikataka kufunga mlango akafungua kwa nguvu akaingia ndani
Papaa: akajiwahisha kupakua ice cream na chocolate huku anaangalia angalia chumba huku anakula akachukua kiti akakaa akaweka ice cream huku anakiangalia chumba... kwakweli nakupongeza Penny, huyu Bwana sio Wa mchezo ... kakuandalia chumba kizuri namna hii, tena bure na nje kaweka tangazo do not disturb.. ulimpa nini penny huyu Babu Wa watu?!
Money Penny: nipo buzy nakula ice cream kama simsikii
Papaa: akaongea wee alipoona simsikizi akaamua kunifuata na kunishika mabega... Mama upoo?
Money Penny: nikamtolea mimacho kaka Bundi
Papaa: vp umepaliwa mbona unanitolea macho
Money Penny: nikazidi kumtolea macho kama Bundi msubiri majini nianze kulia
Papaa: eh haya!
Sana sana sana,
Money Penny: kama kawaida naendeleza Ubundi
Papaa: any who mimi nilikuja kukusalimia tu kwavile nimekuona staki kukuharibia starehe zako zilizokuleta... karibu kwenye harusi kesho itafanyika kanisa. ...saaa... mpaka saa... baadae nyumbani kwa Don saa...mpaka asbh
Money Penny: asante
Papaa akainuka akatoka lakini hakutoka akarudi kunikuta nimejilaza kitandani akapiga magoti Penny naomba nisamehe mama najua nimekuudhi mpaka umerudisha kadi ya bank kwa Aloyce sijaelewa kwa nini
Nimeambiwa umemaliza shule na unatafuta kazi, kazi nitakupatia usijali
Lakini mimi bado nakupenda...
Money Penny: Kimya
Papaa: na najua unanipenda
Money Penny: Kimya
Papaa: tafadhali nikubalie ombi langu la mimi kuwa na wewe, akaingiza mkono mfukoni akatoa pete tafadhali naomba ukubali ombi langu la kukuwowa
Nitakupa maisha yeyote unayoyataka, nitakupenda maisha yangu yote, nitakuheshimu, nitakutumikia kama Malkia Mke wangu, bado sijaacha kukupenda tangu tunasoma mpaka sasa, nakupenda
Inaniumiza kuona unahangaika na hili zee tena mume wa mtu, haya sio maisha yako sijui umekuwaje.. hauna tabia wala historia ya kuvunja ndoa za watu, umepatwa na nini Penny
Ila mimi haya siangalii nachojua nakupenda Penny
Unataka kuoa wanawake wangapi Papaa au unanifanya mimi mjinga!?
Mimi sikuwahi kukupenda na sitakaa kukupenda akiwa mzee akiwa kijana mimi ndio nimemchagua vp kwani?!
Embu achana na mimi, toka, nikamfukuza toka na pete yake nzuri kweli kweli doh sijui ilikuwa diamond sijui nini Ila nzuri sana.. nikamfukuza na mahasira yangu ya kuchaga Kwanzaa akaanguka chini akajizoa zoa hapo nikamfukuzia nje hata sikumpa nafasi ya kuongea nikabana mlango
Nikapanda kitandani nawaza huku nacheka na kumcheka jinsi gani alivyo mshenzi na jinsi gani plan B yangu imetimia ...... nikalala hapo hapo
Kuja kushtuka saa 1 asbh siku ya harusi... tangu nimelala jana jioni sikuamka hata kidogo kuangalia Don hayupo nikahisi labda nilibana mlango lakini hapana
Nikaoga fasta kwenda kula breakfast restaurant kwa pozi kwani harusi yangu, yakabaki masaa 3 ibada ifungwe
Nikajiandaa nikajipodoaa podooo na kiwalo changu nilinunuliwa na Don Nairobi totoz nawakaa nimetokeleza nilihisi namfunika bi harusi
Baada ya nusu saa nikaita taxi ikanipeleka Kanisani hapo inanisuburia ( nishailipa hela ya siku nzima) Dereva Taxi ndio Date wangu kwenye harusi
Nikawa naona watu wanavyoingia mimi nipo tu kwenye taxi
Ibada ikaanza maharusi wakaingia namwona Money Star(Kulwa) kama Maid of Honor namwona Subira nae Kasimamia harusi, mara akatokea Mrs Don na wakweze. .. Finally akatokea Don na Mwanae Anita wamependeeeza Don anafuraha anacheka jino la mwisho
Nashindwa... nikasubiri kabisa niskie Mchungaji anatangaza wavishane pete nikaingia ndani nikakaa nyuma kabisa si unajua tena akina back benchers tulivyo! Nikajificha nyuma kabisa kwenye nguzo ya kanisa hamna wa kuniona kwa urahisi
Kuangalia tobaaa bwana harusi ni Aloyce!
Eh! ALOYCE tena?! Namwona Papaa kasimama pembeni kama best man na wanaume wengine sikuamini, lakini mpenzi msomaji ni kweli Aloyce alikuwa anafunga ndoa na Anita
Mchungaji akauliza ni nani mwenye pingamizi la ndoa hii aseme sasa au akae kimya milele
Watu wakaangaliana hapo akaonekana hamna, mchungaji akataka kuongea mara Pacha wa Anita akaongea kwa nguvu mimi hapa
Watu wakaanza kunong'ona eh nini tena?!
Alipoulizwa kuna nini
Money Stars: nina ujauzito wa Bwana Harusi
Watu hoiii wanashangaaa Don kachoka, Anita kachoka Subira anacheka Aloyce kichwa kichi anaona aibu, mimi huku nyuma nacheka eh ya Leo kali
Mchungaji: ujauzito wa Bwana Harusi kivipi
Money Stars(kulwa): nimekuwa kwenye mahusiano na Bwana Harusi kwa miaka 5 sasa, na alikuwa hajui kuwa mimi nimekuwa na Pacha amekuja Kujua mwezi uliopita alipokuja nyumbani kutambulishwa nikamsihi sana asifunge ndoa akawa hakubali anakataa anaona aibu na mimi siwezi kumwachia amwaribie maisha ndugu yangu
Anita: akazimia
Mimi nipo nyuma nashangaa tu nikaona watu wanaanza kutoka nikakimbilia kwenye taxi najificha
Nikamwambia dereva Taxi akamwite Subira akawa, anataka kupiga makelele alivyoniona nikamtuliza
Subira: shogaaa upoooo jamaaan umepotea mbaya ofisini wanakutafuta wakuajiri we mama umefichwa wapi?!
Money Penny: nipo mpenzi, kuna nini mbona naona watu wanatoka?!
Subira: shogaaa ulipitwa na mengi hapa ofisi ya mchungaji inawaka moto wa jehanam mapacha wanataka kuuwana huko havieleweki
Aloyce kagonganisha mademu akiulizwa anasema hakujua mana wamefanana sana na ukiangalia ni kweli wamefanana
Money Penny: mapacha wa Anita ni wa nani kwani?!
Subira: kwani wapo sasa Penny? ! Woooo walishakufaa
Money Penny: kufa?!kivipi tena?!
Subira: yule shogako Anita anavisa! Mimba ilikuwa ya yule Bwana wa Tangibovu
Yule Baba wa Tangibovu akaingia na vijana wake na risasi wakaanza kupiga, majirani wa Arusha si unawajua walivyo sharp wakaita mapolisi
Vijana wake wakakamatwa baadhi wapo ndani
Money Penny: lakini wale si watoto wa Papaa
Subira: wapi penny, sio wa Papa, ni wa lie libaba maana wiki 1 kabla papaa alikuja wakafanya DNA test hapa hapa nyumbani kwa Anita wakaonekana watoto sio wake
Ndio wiki iliofuata wakaja wale majambazi
Rafkiako Anita alilia kama chizi na sasa kujua tena Aloyce sio wake naona atakuwa kichaa
Money Penny: kwani inamaana Anita alikuwa anamjua kweli Aloyce au ni roho yake mbaya tu alikuwa nayo? !
Subira: penny nilishakwambia Rafkiako sio mzima kichwani yani Kwanzaa amenifosi nimsimamie harusi amenilipa mil 3 nakatAaje yule sio mtu mzuri nadhani lile libaba limemfundisha vbaya tangu amteke nyara utotoni
Tukiwa katika maongezi mengi mara tukaskia risasi zinapigwa ndani ya Kanisa
Watu walipoisha mara tunamwona Papaa anataka amemshikilia Aloyce mguu unatoka damu, Subira akataka kutoka nikamkataza,
Mara Mrs Don anatoka analia ameshikiliwa na wamama wenzie mara naona Anija (Kulwa) anatoka analia ameshikiliwa na Don wote wanalia wanaingia kwenye magari aiseee jamaaan inatia huruma asikwambie mtu, Anita ndio huyo amekufaaa. ..
Mara tunaona mapolisi wanatoka na zee moja amemweka pingu wakampakia kwenye difenda wakaondoka
Kuwa shahidi wa haya mauaji kwani wewe umefikia wapi?!
Subira: nimefikia Hotelini akataja ila jana tulikuwa kwa akina Subira, doh majanga
Nikampa Lift mpaka kwa akina Don, nikampatia namba yangu tuwasiliane
Niliporudi nikafungasha vilango Dar siku hio hio staki ujinga
Nikakaa Dar wiki 2 nikapaki simu ya Subira nae amerudi Dar anataka tuonane nikaenda kuonana nae Sheraton Hotel akanipa tukio zima la tangu tulipoachana Arusha wiki 2 ziliopita
Mmoja mzee Mmoja kijana
Mzee anadai kuwa zile Mali walichuma na Don, Don kamzurumu anatakiwa amlipe pesa kataja nyingi eti kapiga mahesabu tangu miaka ya 80 mpaka Leo mjinga kweli
Ndio Anita kumtaja jina yule mzee kuwa anamfahamu yule kijana wa mzee akamnyooshea Bastola kuwa abakie pale pale asifurukute la sivyo atamshoot
Huku Don kanyooshewa bastola kichwani huku Anita kanyooshewa Bastola na kijana wa Mzee
Mchungaji akamwuliza yule mzee unataka ulipweje
Mzee akasema nataka Leo Leo nampa masaa 12 awe ameleta hela hapa hapa kanisani bila kuita polisi bila kuita nani na watu wasijue
Ikabidi mchungaji akubaliane nae amwambie Papaa na Don waondoke wakalete hela, Mchungaji atoke na Mrs Don ili awaambie watu pa kwenda alafu wabakie Anita Aloyce na Anija
Wakatoka Don na Papaa,
Wakati mchungaji anataka kutoka Aloyce sijui mashetani akamrukia yule kijana Bastola ikafyatuliwa Ndio ikampata Anita kwenye kifua. ..
Aloyce kuona anita Kapigwa akamrukia tena yule kijana wakaanza kuvaana vaana na wewe Huku Anija amemshikilia Anita alikuwa anamiminika Damu mara akaingia Papaa na Don yale makelele ya risasi kumbe Mzee alikuwa pembeni,
Huku Aloyce ameweza mshikilia yule kijana Mzee akamtishia Don bastola, akamwambia Aloyce mwachie kijana wangu, Huku Anija analia
Zote mpaka sasa na hao mapacha walikuwa ni wa kwangu sio wa mwingine
Yule mzee kaongea sana akajisahau Ndio Papaa kumnyatia na kumsukuma Don akala sahani moja na Mzee
Papaa akamkamata Mzee akamshikilia wakachukua joho la mchungaji wakamfunga mikono... wakamweka kwenye kit. . Hapo Anija (money Stars) analia kweli kweli pacha wake kamtoka
Kijana anapambana na Aloyce Ndio Don kufyatua risasi juu ya dari 3 wakatulia
Yakabakia kwa Don na Kijana kila mtu ana bastola matumizi sasa, Ndio Aloyce akamkata tama kijana la Mguu akaanguka chini Don kwa bahati mbaya akaifyatua risasi akampiga yule kijana wote kimyaa
Ndio mapolisi wanaingia kumbe Mchungaji alienda kupiga polisi sio kufukuza watu
Kuja wanakuta maiti 2 wakazizoa zoa wakaweka sehemu 1 wakafunika na shuka jeupe lililokuwa kanisani mapolisi wengine wakamkamata Mzee wakamweka pingu Papaa akaelezea kila kitu Mchungaji akaingia na First Aid kit akawa anamhudumia Aloyce
Ni sheedah ndio Wakatoka wakaelekea hospital wengine nyumbani wengine mochwari wengine jela
Usiku wakarudi nyumbani kukuta wageni waalikwa kibao wanawasubiria mana sio harusi tena ni msiba
Papaa: Penny mbona maswali mengi umekuwa afande?! Nisafiri kwenda wap tena?!
Mrs Don ndio nini sijakuelewa mimi nishakwambia mimi nakupenda wewe ukorofi wa nini unatafuta statistics hadi za Marehemu? ! Haha haha Penny Bwana
Money Penny: sawa endelea kujikausha alafu usinisumbue nikawa naondoka akanidaka kuinoni juu juu nikabebwa kama kigunia akanitupa kitandani doh nilishasahau kuhusu Papaa na jinsi alivyo
Akayararua mavazi yake fasta mimi huku najiandaa kumponyoka nikavutwa na kurudishwa kitandani akasema leo nitakuonyesha Nani nampenda zaidi, Nani mtamu zaidi
Money Penny nikapewa raha ya kikubwa doh Papaaa ananikamua kweli kweli hajui mimi nishakuwa bimdogo wa Don
Siwezi kusahau sikuhio kuna watu Mungu kawapendelea kusini na Papaa ni mmoja wapo ...
Wanaimbaga mwanaume Machine lakini ya Papaa ni zaidi ya Machine ule ni Mnara
Baada ya show kuisha tukalala Baada ya masaa 2 nikashtuka kuangalia ni saa 9 jioni, nikakimbia kuoga Papaa akanifuata huko huko nikapewa mnara mwingine, jamaa huyu sijui ndivyo alivyo au alimeza vidonge hachokiii uuuuwi kutoka bafuni anataka tena eh nikamchomolea staki kanifosi show ikaendelea mijitu mingine sijui vipi hata haijui kuskiliza mwenzake
Kuja kushtuka saa 2 usiku, ikabidi ninyate nikaoge huku nimebana mlango, nikavaa haraka haraka kutoka namkuta amejilaza ananiangalia
Papaa: unaenda wapi mpenz
Money Penny: mimi nadhani uchukue ajira yako ya miaka 15, Siwezi kuchangia Bwana na wake za watu
Papaa: wewe mbona upo na mume wa mtu
E. MWISHO WA MAMBO YOTE
Papaa: Penny mbona maswali mengi umekuwa afande?! Nisafiri kwenda wap tena?!
Mrs Don ndio nini sijakuelewa mimi nishakwambia mimi nakupenda wewe ukorofi wa nini unatafuta statistics hadi za Marehemu? ! Haha haha Penny Bwana
Money Penny: sawa endelea kujikausha alafu usinisumbue nikawa naondoka akanidaka kuinoni juu juu nikabebwa kama kigunia akanitupa kitandani doh nilishasahau kuhusu Papaa na jinsi alivyo
Akayararua mavazi yake fasta mimi huku najiandaa kumponyoka nikavutwa na kurudishwa kitandani akasema leo nitakuonyesha Nani nampenda zaidi, Nani mtamu zaidi
Money Penny nikapewa raha ya kikubwa doh Papaaa ananikamua kweli kweli hajui mimi nishakuwa bimdogo wa Don
Siwezi kusahau sikuhio kuna watu Mungu kawapendelea kusini na Papaa ni mmoja wapo ...
Wanaimbaga mwanaume Machine lakini ya Papaa ni zaidi ya Machine ule ni Mnara
Baada ya show kuisha tukalala Baada ya masaa 2 nikashtuka kuangalia ni saa 9 jioni, nikakimbia kuoga Papaa akanifuata huko huko nikapewa mnara mwingine, jamaa huyu sijui ndivyo alivyo au alimeza vidonge hachokiii uuuuwi kutoka bafuni anataka tena eh nikamchomolea staki kanifosi show ikaendelea mijitu mingine sijui vipi hata haijui kuskiliza mwenzake
Kuja kushtuka saa 2 usiku, ikabidi ninyate nikaoge huku nimebana mlango, nikavaa haraka haraka kutoka namkuta amejilaza ananiangalia
Papaa: unaenda wapi mpenz
Money Penny: mimi nadhani uchukue ajira yako ya miaka 15, Siwezi kuchangia Bwana na wake za watu
Papaa: wewe mbona upo na mume wa mtu
Mimi sijakulalamikia na upo mtamu vile vile?!
Money Penny: tatizo lako sio msikilizaji masihara umeweka mbele
Nakaa Arusha mwezi m1 narudi Dar ukiamua kumuoa Mrs Don poa ukiondoka kikazi poa hainihusu tena nimeshakupa unachokitaka niache niishi maisha yangu
Papaa: Penny kuna vitu vingi hajui kuhusu mimi, akawa anataka kunieleza simu yangu ikapigwa kuangalia ni Subira
Money Penny: Subira nitakupigia
Subira: Penny uko wapi mwezio nimechanganyikiwa
Money Penny: Nipo Arusha kwa akina Anija
Subira: nakuja kesho tafadhali
Money Penny: karibu.. simu ikakatwa, enhe ulitaka kusemaje mana nikikutwa huku sitaeleweka
Papaa: akatoa tena Pete, will you marry me?!
Money Penny: he'll no! Hapana .. naolewaje na kipusa?! Anaetembea na mke wa Don
Papaa: lakini mimi nampenda msichana Anaetembea na Don
Money Penny: No, kwaheri na kesho nahamia kwa demu wako naona huko ndio nitakuwa nakupiga chabo usiku wa manane na show zenu za kijinga
Papaa: Penny Mrs Don ni boss wangu
Money Penny: nikasimama.. Boss kivipi?! Kwahiyo Mrs Don ni Mchungaji Mkuu au Askofu Mkuu au?!
Papaa: inabidi nitengeneze kwa boss ili nipate promotion
MONEY penny: Kwahiyo wewe kila ukitaka promoshen lazima utembee na maboss wako si utakufa na ukimwi?! Inamaana haunifai basi haya maisha gan yatakuwa
Papaa: penny hautanielewa kwa sasa plz nikubalie ombi langu tafadhali
Money Penny: nikatoka nikamuacha ananiita kufika chumbani namkuta Don hapo saa 1 usiku nimechoka kiuno kinaniuma dah Don nae alivyomwehu lazima atanihitaji
Don: mpenzi umerudi, nikakumbatiwa mabusu kibao unaona kabisa Don amekumiss na anakuhitaji
Money Penny: ngoja Kwanzaa kuna kitu nataka kukwambia
Don: baadae huku ananichum
Money Penny: kesho nahamia nyumbani kwako Anija ameniomba nikae nimsaidie maandalizi ya harusi
Don: najua ameniambia nimefurahi kuwa unamsaidia, binti yangu anakupenda sana
Money Penny: Kwahiyo tutakuwa tunaonana wapi sasa?!
Don: mmmh! Kuna kitu nataka kukweleza... niligombana na mke wangu baada ya msiba anasema anataka talaka, alinifumania na mwanamke m1 zamani kabla sijakutana na wewe
Huyo mwanamke alishaoa
Kwahiyo ameshaandika talaka kesho natakiwa ni saini... watoto tumeshaongea nao hawajafurahi lakini nafanyaje sasa?! Mama yao ndio anataka nimeona nimpe anachotaka
Money Penny: nikajifanya kushangaa, nikamsihi sana wasiachane mana wameshakuwa watu wazee sasa na wajukuu wanao na wanakuja
Don: akakataa katu katu, nataka niachane nae nikuoe wewe
Money Penny: tobaaaa (kimoyomoyo) heee? ! Mimi niwe mama mdogo wa Anita?!
Don: hatutaishi hapa nataka nihamie Switzerland moja kwa moja nikamalizie uzee wangu kule ... nitakuwa nafanya biashara zangu kule na wewe ukiwa pembeni yangu
Money Penny: nikachoka wanaume 2 niliowapenda wote wanahama nchi na wanataka wanioe doooh!
Lakini mimi naipenda Tanzania yangu, sijawahi kujiona naishi nje ya Tanzania maisha yangu yote, kwahili nitakuangusha Don
Tafadhali usiachane na mke wako
Don: nimeshaachana nae muda tulikuwa tunakaa kwa ajili ya watoto na sasa sioni sababu
Money penny: nikamhurumia kwakweli miaka yote 25 ya ndoa inakuja kupasuka njiani namna hii sio vizuri
Don samahani siwezi kuolewa na wewe nisamehe sitaki kuonekana ni moja ya sababu ya kuvunjika ndoa yako
Don: aliliaaa kama mtoto mdogo, akanibembeleza masaa 3, akanionyesha na plan zake mimi bado mbishi nakataa hapana siwezi naipenda Tz naipenda Tz.. hehehe
Nikamuaga naondoka naenda kulala kwako
Akaniomba anipe mavituz ya mwisho mwisho kwa ukumbusho nikamhurumia nikampa huku najikaza Don mwenyewe anatoa huduma kwanguvu ili nibadilishe mawazo Penny mwenyewe kichaa mzalendo halisi ulaya kitu gan buana tutaendaga tu kutembea
Asbh nikashtushwa na simu ya Subira, ananiuliza nipo wapi nikamuelezea.. akaja baada ya dk 45 nikamwacha Don amelala
Subira akanieleza jinsi gan amegombana na bwanawake anatamani kuolewa blah blah kibao hana raha anajiskia kufa hajui afanyaje umri umeenda amejitoa sana kwa yule bwana lkn wapi
Nikamnyamazisha nikamwambia twende tukaenda chumba cha papa
Subira anashangaa papaa a nafanyaje huku tena
Money Penny: Pastor naomba ukae na huyu mtu maramoja nakuja ole wako umtafune utanikoma
Papaa anashangaa Penny na Subira wap na wapi, Subira akaingia akakaa kwenye kitanda akalala
Nikatoka nikarudi chumbani kwa Don, namkuta amekaa anaangalia TV nikaenda kumkalia Mapajani
Money Penny: Don naomba nikuombe ombi langu Tafadhali naomba unikubalie
Don: kwa furaha ombi gani tena? ! Umebadilisha mawazo tunaondoka wote?
Money Penny: hapana, ila nataka kukuozesha kwa mtu wangu
Don: eh?! Uniozeshe?! Akacheka Penny umekuwa Pimp saa ngapi?
Money Penny: nikamchumu plz my love, ni mdogo wangu namfahamu na najua atakuwa mke mzuri kwako.. plz plz... naona atakuwa salama akiwa na wewe mana wewe ni mtu mzuri sana na utampenda kama na zaidi ya ulivyonipenda mimi, kwani tatizo liko wapi? Ni mdogo wangu mtoto wa Shangazi yangu(namdanganya)
Don: OK OK... yupo wapi? Una picha nimuone
Money Penny: usiniangushe saw a? !
Nikapaki mizigo yangu nikaitoa nje... nikarudi nikamkumbatia Don, nikamshukuru kwa msaada wake wote, nikamsihi asimwambie huyu dogo kama nilikuwa nae kimapenzi,
Hakuelewa lakini akakubali
Nikamchumu kwa mara ya mwisho nikamwambia nakuja nisubirie hapa
Nikaondoka na mabegi mpaka reception nikayaweka nikapanda mpaka kwenye chumba cha Papaa nikamkuta Subira amelala nikamuamsha mama twende Papaa anashangaa hawa vepe, nikamwambia Papaa nakuja usitoke huku
Nikaingia chumba cha Don namkuta ameshavaa nguo anasubiri, nikamtambulisha Subira kwa Don, Subira anashangaa vp penny
Money Penny: huyu ni
Subira: Babake na Anita unanileta kwake kwanini? !
Money Penny: anahitaji mke, na wameachana na mkewe
Subira: heee
Money Penny: ongeeni, pendaneni mimi naenda nyumbani kwa Don nitakuwa naishi kule, nikamnong'oneza Subira (usiniangushe nakuaminia chance ndio hii changamkia tenda)
Nikamkumbatia Subira nikaondoka nawaacha wanashangaana
Kurudi kwa Papaa ananiuliza vp penny mbona skuelewi?!
Money Penny: muoe mke wa Don lakini unipe kazi ya maana
Papaa: hapana penny mimi simpendi
Mrs Don bwana Acha kuzingua
Money Penny: na mimi naipenda nchi yangu, sipo tayari kuishi nje ya hapa japo kwa sasa labda miaka 5-10 baadae
Nachotaka ni ajira, kazi ... kama hauwezi basi
Papaa: penny upo serious kweli?!
Money Penny: ndio nipo Serious wewe nenda kwenye kazi yako mimi nabaki na kazi yangu, it's a win win situation kwetu wote si ndio?!
Nikaondoka nimemwacha ameduwaa
Nikaingia kwenye Nyumba ya Don kama mfalme nakaribishwa kama mfalme, nikapewa chumba nikaanza kuishi
Nikaishi kwa Don wiki 3, sikuskia toka kwa Don wala Subira wala Papaa .. nikafundishwa Biashara na Anija kwa level ya kitaifa na kimataifa, nikajiona mjinga kwanini sikukubali Ofa ya Papaa na Don.. nikaanza kupenda kujiajiri na sio kuajiriwa
Siku ya mahari ya Anija (Money Stars) akaja Don kupokea na Papaa lakini Subira hakuwepo na wazazi wa Aloyce na ndugu wengi walikuwepo
Siku ya harusi ya Anija ikatimia Harusi ikafungwa nyumbani kwa Don... lakini zilifungwa harusi 2
Harusi ya Anija na Aloyce
Harusi ya Don na Subira
Na mimi kama Matron of Honor wa Harusi zote mbili
Kwenye kufunga harusi sikumwona Papaa na Mrs Don alionekana mnyonge sana na mpweke alafu wala hakujali kuwa mumewe anaoa
Subira akanishukuru Sana kumkutanisha na Don akasema Don ni mwanaume alietamani kuwa nae na aliekuwa akimwomba Mungu ampatie miaka yake yote
Sikuile niliowakutanisha walipendana ingawa alimwona Don kuwa mtu alieumizwa akamwambia kuwa alipenda wanawake 2 wasiompenda na mmoja na mkewe ila mwingine hakumtajia mana alishakufa
Money penny: nikajisemea moyoni tobaa nimeshauwawa marahii?!
Sherehe ilikuwa nzuri sana, Aloyce alifurahi kumuoa Anita aliekuwa na ujauzito wa miezi 5
Wakaondoka wote wakaenda Honey Moon
Tukabakia nyumbani pale na Mrs Don
Nikakaa kae Siku 2 nikaamua kumuaga narudi Dar nyumbani
Akanipa Bahasha 2..moja ilikuwa na hela nyingi sana, nyingi kwa kipindi kile cha miaka ya 90
Nikaikataaa akaniambia wewe ni kama Binti yangu kabisa hio hela ni ndogo sana
Money Penny: utafanyaje sasa umebaki pekeyako huku ndani au utaenda kuishi na watoto wako wa kiume?!
Mrs Don: wala usijali, wapenzi wangu 3 wameondoka maishani mwangu lazima maisha yangu yaendelee
Anita ameondoka nimeshaachilia
Don ameondoka nimefurahi amepata mtu wa kula nae uzee
Na mpenzi wangu ameondoka sitamwona tena mpaka miaka 20 ipite
Money Penny: miaka 20?! Yote hio utamsubiria?!
Mrs Don: Mungu atanipa saizi yangu wa uzee wangu
Money Penny: nikamhurumia Mrs Don, kweli yule mama ana moyo na roho ya tofauti, nikamkumbatia nikamshukuru kwa kila kitu
Nikamwuliza vp kuhusu kazi?!
Mrs Don: Bahasha ya pili umeifungua?!
Money Penny: nikafungua haraka haraka he he he hizi kazi hizi zitatuua kuomba omba sio kuzuri wooo
Kufungua nikaona barua ya kuanza kazi mwezi ujao. .. natakiwa ni report Singapore siku 5 mbeleni, na tiket nimeshakatiwa na hotel room nimeshalipiwa Jesus bonge la muujiza
Tena kampuni ya kimataifa, naenda kufanya kazi za International Business miaka 3 Singapore miaka 3 Korea, miaka 3 London na miaka 3 Geneva Switzerland
Ni programme imeshaandaliwa na watu wa UN kwa vijana na haibadiliki mpaka mikataba iishe
Nilichizikaa Money Penny kwenye payroll ya UN, OMG bonge la Muujiza
Nikambusu Mrs Don, kweli ukikaa na uaridi utanukia, Mrs Don akawa anacheka tu,
Tukala chakula cha pamoja usiku huo asbh akanipeleka Airport nikarudi Dar na mafuraha nikamweleza sister akafurahije
Nikawa nasubiria siku ya kuondoka sasa, si unajua Singapore hatukuwa na Balozi Tz miaka hiyo,
Nikapanda moshi kuaga wazee, wakafurahi kweri kweri Yeesu na Maria mwanetu anakwea pipa Yeleuuuwi
Wakaongea kichaga halo nikaitiwa na mchungaji ibada ikafanyika siku za mbeleni nikaombewa hapo na sister alikuja Sherehe kila leo
Siku 3 kabla ya safari Mrs Don akaniambia natakiwa niende Nairobi kwa ajili ya kukutana na wenzangu kuondoka pamoja nikawaaga wazazi nikasindikizwa mpaka KIA watu kibao, baba, mama, dadas, shangazi, wajomba, Mama wadogo, mama wakubwa, baba wakubwa, baba wadogo yani ilibakia kidogo nibebeshwe na mgomba hahahaha
Nikatua Nairobi nikapokelewa nikapelekwa hotelini nikapewa chumba changu mwenyewe nikalala
Asbh nikaamshwa nikaenda kuonana na wenzangu tukafahamiana tupo 10 nchi mbalimbali lakini Tz nilikuwa pekeyangu ... tukaongea tukafahamiana tukala, tukafurahi, tukacheza ilikuwa rahaje
Kesho yake tukakwea pipa mpaka Singapore kuzurije sasa, woi kuzuri macho yakanitoka nakwambia kama mjusi kabanwa na mlango kiru mchaga kaja uraya!
Kifupi niseme kuwa maisha yangu ya Singapore yalikuwa mazuri sana, kwenye kazi na maisha ya kila siku...
Sikuwahi kuwasiliana tena na Papa ila Anija niliwasiliana nae akasema Papa alikwenda kuwasalimia Tz na Aloyce walipopata mtoto wa kiume
Nilipomwuliza Papa anafanya wapi simu ikakatika sikupewa jibu
Miaka 3 ya Singapore ikaisha nikaenda Korea, miaka 3 ya Korea ikaisha nikaenda London, miaka 3 ya London ikaisha nikaenda Geneva nikakutana na Subira na Don, wana mtoto m1 wa kiume.. muda mwingi nilikuwa naspend nao hasa weekends
Huwezi amini Subira alishabatizwaga akawa Mkristo anaitwa Helena sasa anajua Biblia kuliko shetani mwenyewe
Don alikuwa na Uzee mwema kwasababu ya Helena kwenye maisha yake, nikaamini kuwa hakunaga Mtalaka wa kiume wengi wao huishia kuoa. .. wanaume hawawezagi kukaa pekeyao
Miaka 3 ya kazi Geneva ilivyoisha nikaambiwa nichague kokote kufanya kazi Duniani nitapelekwa nikaona nirudi Tz nikakae na wazee huenda nitapataga bwana wa kunioa
Nikapangiwa Tz nikarudi kama kawa lazima urudishe heshima Moshi kwa wazee, kama kawa Sherehe kubwa Mchungaji wa kuombea, pombe kwa sana, etc etc
Nikarudi kuanza kazi Dar sasa, siku nipo weekend Sea Cliff Hotel nikakutana na Papaa tena sikumuona yeye ndio aliniona akanifuata akanibeba juu juu!
Yeesu nilichokaa huyu si alisema anaenda ulaya miaka 20 mbona ni miaka 12 tu tangu tuachane?!
Tukaongea sana, akaniambia hakuwahi kuoa, mahusiano yake na Mrs Don yaliendelea kwa miaka 5 akawa anasafiri anaenda kwa Papaa anakaa mwaka anarudi... lakini baadae hawakuendelea Mrs Don alipata Mzee mwenyewe wakaoana
Papaa: wewe je Penny umeolewa na watoto?!
Money penny: sijaolewa na sina watoto am still single
Papaa: haiwezekani umekuwa sister ee? ! Hata wa kuwasha na kuzima moto hauna? ! Akawa ananitania kweli papaa habadiliki yupo charming vile vile
Money Penny: hahaha nimeshakuwa bikra mwenzio
Tukaongea sana, tangu siku ile tukawa marafiki zaidi ya marafiki. . Ndio zaidi ya marafiki na bikra ya uzeeni akanitoa yeye
Tukapanga kuoana bwana, kila kitu kikawa tayari, keshalipa mahari bado wiki moja tuoane
Sikumoja tukapanga kukutana kwa ajili ya fitting ya nguo za harusi na mengineyo si unajua ukiwa unaolewa bwana harusi anakuwa anakusindikiza kununua kila kitu aangalie anachokipenda kama hajapenda nguo za ndani unaacha kama kapenda unachukua
Tukachagua weee akaniambia penny ngoja nikanunue vocha hapo dukani nimpigie dereva aje na wewe simu yako imeisha vocha
Akatoka ikabidi avuke barabara ndio akutane na duka la vocha
Akavuka fresh kurudi sijui hakuangalia maskini pande zote likaja fuso lipo speed likamngonga buuuuum pale pale kwisha habari yake
Huwezi amini nilipiga makelele mana show nzima nilikuwa naiona lakini nipo ndani ya duka lina a/c hasikii
Woi mchaga nililiaaa nilijaza watu mwenye fuso kakimbiaaa ikabidi watu wanipeleke kwenye maiti ikabebwa na msamaria mpaka hospital wakapigiwa ndugu zangu akaja Dada, yani sitaki kukumbuka ile siku ni kama movie vile
Baadae ya wiki 1 Papaa akazikwa kwao Kagera, msiba ulijaaje watu, ndio siku niliojua kazi aliokuwa anaifanya Papaa, alikuwa mtu mkubwa sana Nchini, na kama ageoa angepandishwa cheo
Zaidi
Watu kibao nakwambia wengine Hata sikutarajia kama watakuja walikuja mana walikuwa watu wakubwa sana...
Aloyce alikuwepo na Anija
Mrs Don alikuja na huyo bwanake Mpya
Familia yangu ilijaa toka uchagani mweee sio kwa sifa ya mahari alioionyesha Papaa alipoends kulipa kila mtu alimpends kule uchagani
Upande wa Familia yao ndio usiseme nyomi kijiji kizima kudadeki
Wakazika salama na respect kibao Money Penny nashangaa uuuwi ningekuwa Mrs Respect eee? !
Walipomaliza mazishi nikaondoka kwenda kukaa na wazee sijui mila kurudisha mahari niachwe huru mana sikuolewa yakafanyika ya kufanyika kimila baada ya tanga wafamilia na mimi tukaondoka
Dar ilikuwa chungu kwangu nikatamani niombe uhamisho nikakae nje kila siku kwangu ilikuwa msiba
Kila siku nilikuwa namwota Papaa, imagine kila siku naona kama anakuja naongea nae anaondoka,
Anakuja tunapiga stori, wakati mwingine dada ananiuliza unaongea na nano namwambia si papaa huyu hapa kwani haumwoni?! Akawa ananiona kama nimechanganyikiwa
kwa muda wa miaka 3, sikuwa na hamu ya mwanaume yeyote Hata waliokuja niliwakataa Hata walioenda kulipa mahari kwa nguvu walifukuzwa nilipoulizwa unamkubali mtu huyu
Baada ya miaka 3 nikapewa promotion kazini ya kwenda kufanya kazi popote napotaka ila nikihama nchi kurudi ni baada ya miaka 5 ndio itatokea tena nikaambiwa chagua kwa makini
Nikapiga akili wee na sister akanisaidia akaniambia Penny kwa umri wako na nini nakushauri uende Marekani utapata wa kukuoa mtu mweusi kama wewe
Nikakubali nikaomba
Niende Marekani, wakaniambia nafasi Marekani imejaa ila kuna nafasi Canada Nikakubali
Nikaenda kuanza maisha Upya Mjini Toronto Canada,
Baada ya mwaka m1 nikakutana na mtanzania mwenzangu anayeishi Canada alizaliwa huko akakulia huko akasoma huko, Babake ni Mtz mamake ni Mcanada. .. ndio nikafungua moyo kwa mara ya kwanza tukaanza mahusiano
Haikuchukua miezi 3 nikaolewa huko huko Canada na Dadangu akiwa matron of Honor wa harusi..
Nikaja kuwaalika wazazi baada ya miezi 6 wakaja kufanya Sherehe na kutambua wakwe na wapi mwanao kaolewa. ..
Baada ya mwaka m1 nikapata watoto mapacha wote wakiume .. wote raia wa Canada kwa kuzaliwa kama Baba yao
Mume wangu alinipenda mara mia ya Papaa, wakati mwingine nilikuwa nahisi Papaa amekaa ndani ya Mume wangu. ..
Mume wangu alifanana sana na Papaa kwa kila kitu kasoro sura.. urefu, rangi, maongezi, anavyoongea nadhani ndio kilichonivutia kwa Mume wangu. .. Papaa ndani ya Mume.
THE END
ASANTE SANA KWA KUSHIRIKIANA NAMI NA KUSOMA HADITHI HII YA MAHUSIANO.. MUNGU AKUBARIKI
NIKIJAALIWA NITAILETA TENA HADITHI YA MAHUSIANO YA WATU WENGINE. .. WATANZANIA WENGINE
TUONANE TENA TAR 15 MAY 2018 KWENYE HADITHI MPYA YA KWANINI UPO SINGO?!
KITABU CHA MAHUSIANO NITAKITOA ILA BAADAE KIDOGO
Baada ya lile sakata la mimi ni nani, nikarudi nyumbani kwa sister saa 10 alfajiri anashangaa kuona nguo nimechaniwa nywele zimevurugwa sikutaka kuongea nikaingia kulala maana asbh ni ofisini
Kufika ofisini nikapaona patupu, Subira hayupo kachukua likizo kaenda Zanzibar, Anita hayupo kaenda Arusha kwao na mimi nipo Mapokezi mwenyewe, nikaamua kujikita kwenye kazi angalau inapunguza stress za maisha mengine yaliyopita
Baada ya Miezi 7 kuisha, akaja Anita kazini moja kwa moja akaongea na Boss kuwa anaacha kazi, anaondoka hatokuwa anaishi Dar tena, mimi sikumuona alionwa na wafanyakazi wengine nikaulizwa rafkiako kaja kwa Boss na mimba kuuubwa ameolewa lini?
Nikakosa jibu na mimi nashangaa
Baada ya dk 20 Anita akaja mapokezi
Anita: Hauna viti kwa wajawazito wakae? Nahitaji huduma yako mami
Money Penny: kuangalia ni Anita, nikafuraaaahi nikamkimbilia kumkumbatia tobaaa tumbo kubwa kama nyumba ya ghorofa! Dooooh kweli Patric alimuamulia!
Aniiiiitaaa nimekumisss jamaan we mbaya wewe! Hata kunipigia simu, njoo ukae huku ndani bwana
kwani wewe si mwenyeji au?
Anita: Penny nimeacha kazi, nimesharudisha kila kitu kwa Boss,
Money Penny: njoo bwana ukae bado wewe ni staff mpaka utoe mguu nje, akakubali kuja kukaa, basi tukaongeaa akija mteja namhudumia, au na yeye anasimama anahudumia kama mhudumu kweli, Uzuri wa Anita alikuwa sio mvivu mchapa kazi hatari!
Wateja wakiondoka tunapiga umbea tunajikumbushia kuanzia niwakutanishe na baba yake mpaka leo mimba ya miezi 7, mpaka leo!
Umbea umbea ikafika Lunch time, Boss akaja
Boss: naona Anita leo atajifungulia Bank, kweli nawaona leo ni kupiga umbea tu mabest mmekutana, Money Penny leo nakuruhusu ukapumzike siku 3 hizi umefanya kazi sana, na kwa vile unamalizia internship yako acha uje kazini j3 ijayo asubuhi, hapo ni j5 mpenzi msomaji
Money Penny nikafurahi, tukaondoka na Anita mpaka hoteli aliofikia, Sheraton Hotel ambayo kwa sasa inaitwa Serena Hotel
Money Penny nilikuuuula, nilikuuulaaaaa yani unaambiwa kula kila kitu!
Anita: we agiza tu Penny mimi nitalipa, anaongea na litumbo lake likubwa utadhani anajifungua kesho kumbe mimba ya miezi 7
Baada ya kushiba na kuvimbiwa, tukaanza kupiga umbea, Anita alikuwa na mengi ya kunieleza! Akaniomba nilale pale pale maana jumamosi anaondoka kurudi Arusha na amekuja mwenyewe kwahiyo tutalala wote hotelini, eh kusikia Hotelini tena tena papya nakwambia huduma zipo juu juu hadi raha,
Anita akanipa maelezo yote ya jinsi alivyokaribishwa Arusha:
1. Usiku ule Penny ulipoondoka, tukashangaa kwanini ulinuna, tukajua labda ni simu tu, tulipotoka hospital tukaamua kwenda na Baba kwa Dadako, tukagonga sana lakini hakutufungulia ingawa taa ndani ilikuwa inawaka tukaamua kurudi, kukupigia simu haipo hewani ya dada inaita haipokelewi tukaamua kuondoka
Asbh tukaenda Arusha, Airport tu Penny nikapokelewa na watu 20, Mama yangu mzazi, Pacha wangu Anija, kaka zangu 2, wajomba shangazi, babu, bibi, majirani, marafiki wa familia utadhani kaja kupokelewa mfalme watu wanatushangaa na vigelegele wanapiga mama analia akanikumbatia haamini mwanae kumbe nipo hai, miaka 18 hajaonana na mwanae
Nikatambulishwa kwa pacha wangu Anija (Kulwa), doh! Kulwa tunafanana kama mayai!
Money Penny: najua nimeshaonana nae akanidanganya anaoitwa Money Stars! Nikamuamini, nipo hapo nakula ice cream naskiliza story!
Nikasalimiana na kaka zangu na babu na bibi na wajomba na shangazi tukapiga picha tukadondoka nyumbani, nyumba nzuri sana kubwaaaaa magari sasa kibaooo nikaingia kama mfalme nakwambia nashangaaa pazuri sana sijawahi kuona nyumba nzuri kama ile!
Nikaonyeshwa chumba change kimepambwa doh kama cha mfalme hakuna mfano wake!
Tukala sherehe kubwa wakaleta na Mchungaji akaja kutuombea kuunganika kule, sherehe kubwa
watu wakajaaa watu kama 100 magari nje mpaka mtaa wa 2 Don mwanae amepatikana baada ya miaka 18 wakijua amekufa watu kibao marafiki wa Baba wameleta mazawadi na pongezi sitasahau sikuhio
Basi baada ya ile sherehe tukaendelea kuishi, wiki ya 1 wiki ya 2 wiki ya 3 kitumbo kikaanza kutokeza, na nilivyokuwa najificha kutapika nakimbilia chumbani sikumoja mama akanibamba kumbe alishaambiwa na Baba kuwa ninayo mimba!
Basi mi-care kila saa naangaliwa attention yote inahamia kwangu toka kwa mama,
Baadae nikaulizwa baba mtoto ni nani?? Nikasema sijui hata ikabidi nimwelezee historia yangu Mama ya Yule Baba wa Tangibovu niliekuwa naishi nae, lakini stori yangu haikueleweka maana mimba mbona change inawezekanaje? Mama akipiga
mahesabu anaona haiji akasema subiri uzae utajua tu Baba mtoto ni yupi
Money Penny: lakini Anita, Baba Mtoto ni yupi kwani maana hata mimi sielewi
Anita: mimi najua asilimia zote ile mimba ni ya Patric, maana Yule baba wa tangibovu mbona nimetembea nae sana sijapata mimba sikuzote ndio mwishoni niipate sio kweli na kwa mahesabu niliopiga inaelekeza siku zile nilikuwa natembea nae Kanisani huenda ikanasa!
Money Penny: ulishawahi ongea na Patric kuhusu mzigo wake akasemaje?
Anita: ndio maana nipo hapa kwa muda, nataka nimweleze kuwa hii ni mimba yake ila simpati kwenye simu, nimempigia sana simpati labda kama amebadilisha namba kwani wewe haujaonana nae hata siku moja?
Money Penny: mmh Yule mchungaji mimi namjuaje tangu amekuja pale benki sijamwona tena,
Anita: embu ngoja nijaribu tena kumpigia huenda ikakubali, akapiga haikuita! Akakata ah! Ngoja niende kwanza msalani nitakuja jaribu baadae
Alipoingia chooni, nikaichukua simu yake nikaangalia namba ya Patric kumbe ni ya zamani, nikambadilishia nikaweka ya Aloyce maana najua kwa vyovyote vile Aloyce atapokea ile namba ya Anita
Alipotoka chooni akaja kulala, baadae akaipiga tena akapokea Aloyce
Anita: naongea na Patric?
Aloyce: ah hapana hii sio namba yake
Anita: unaweza nipatia namba yake
Aloyce: sawa una peni uandike? Akaitaja namba zilikuwa 2 tofauti
Anita: anashangaa hii namba aliopiga sasa ni ya nani? Akamwuliza nani mwenzangu unaongea
Aloyce: naitwa Aloyce kwani wewe nani?
Anita: akakata simu maana anamkumbuka Aloyce kama msumbufu flani hivi!
Money Penny: kwahiyo? Ushapata namba ya shemeji?
Anita: ndio akampigia namba ya kwanza haipo, akaipiga namba ya pili ikaita ikapokelewa
Papaa: haloo nani mwenzangu?
Anita: (akabadilisha sauti) Bwana Yesu asifiwe mchungaji?
Papaa: Amen nani mwenzangu
Anita: Mimi nimepewa namba yako na mama mmoja ulimwombea akapata motto, na mimi ninatatizo la ugumba, tunaweza onana ukaniombea?
Papa: pole sana Mama Mungu anaweza, utapata mtoto karibu kanisani kwetu akataja uje tuombe
Anita: mmh hapana mchungaji mimi nipo Hotelini nimekuja kikazi muda mwingi tunavikao kasoro jioni unaweza kuja hapa tafadhali ukaniombea?
Papaa: sawa mama nipe maelekezo nitakuja
Money Penny: hapo nacheeeka nikasema leo mtu anaingizwa mjini
Anita: akamuelekeza na muda wa kuja ni usiku huo saa 1 usiku
Alipokata simu tukacheeka eti mama hazai uuuwi kweli Patric mjinga na bado anafanya shughuli za kanisani uuuwi kweli maisha magumu
Nikafurahi kumsikia Aloyce ina maana ameshapona mpaka anapokea na simu roho yangu ikafurahi ikapumua
Saa 1 kamili juu ya mjengo, Papaa apiga simu amefika!
Anita akamwambia Panda juu chumba no Fulani, nipo na wamama wenzangu utuombee akakubali heheh
Kugonga mlangoni, kufungua tobaaa ni Anita! Kidogo adondoke! Aibuu!
Anita: karibu ndani
Money Penny: nimejificha chooni
Papaa: akaingia ndani, wakaongea sana na Anita, Anita anamwambia huu ujauzito ni wako sina mwanaume mwingine zaidi yako Patric haongei ni kama alijua kuna mtu mwengine kajificha
Anita: nimekuita nikueleze hayo kama haumtaki mtoto mimi nitaondoka kwenye maisha yako kabisa nisikuharibie maisha yako
Papaa: Anita, najua tulichofanya kanisani tulikosea sana, na mimi sikuwa nakupenda lakini huyu mtoto hana hatia kukosa wazazi, sijajua kama kweli huyu ni wangu au la maana na wewe upo na baba mwengine sijui wa wapi
Anita: na wewe umetembea na Subira sijalalamika
Papaa: lakini anita hayupo na ujauzito wangu nikamkatalia
Anita: kwahiyo unasemaje?
Papaa: nakubali huyo mtoto ila akizaliwa nataka tupime DNA!
Anita: sawa (kwa sauti ya unyonge)
Money Penny: nipo chooni najiambia si aseme anamuoa basi!
Anita: kwahiyo ina maana tutaendelea kuwa wapenzi au?
Papaa: Anita embu ngoja kwanza mtoto azaliwe, tutaongea kwanza, hii namba umenipigia ni yako au?
Anita: ndio
Papaa: basi nitaisave, kama kuna kingine unataka nikusadie tunaweza ongea hapa hapa
Money Penny: nikawa namsikia Papaa kama hana raha, yupo yupo tu anajibu tu lakini hana raha!
Anita: lakini mimi nakupenda Patric, kwani wewe haunipendi? Au umepata mwanamke mwengine?
Papaa: mimi siwezi kupenda na mtu kwa sasa nina mambo mengi
Anita: kwahiyo unasemaje haunipendi? Kwanini haunipendi mbona mimi nakupenda?
Papaa: kimya! Akachukua karatasi akaandika address anapokaa, huku ndipo napoishi na hii ndio namba yangu, ukitaka kuonana nami napatikana huku… usiku mwema… akaondoka!
Anita akachokaa! Akawa analia, nikatoka bafuni kama sijui kitu kumbe chaumbea nimeskiliza kila kitu, namkuta bimdashi analia, nini mama usije ukajifungua siku hazijafika!
Anita: Papaa anitaki anaonyesha hanipendi kwanini hata hajafurahia kusikia mimi mjamzito?
Money Penny: atakuwa ameshituka, wanaume waoga kuhusu watoto na ujauzito, mpe muda huenda ameshtuka
Anita: kweli Penny ee?
Money Penny: kweli mama, wala usilie utaona ukijifungua mtoto atakuja na mapenzi 100
Anita akapoaa, basi chakula kikaja tukala tukalala
Kesho yake tukaenda kwa Dada akamsalimia akamweleza kila kitu akamwomba msamaha, akaamua kukutoa out maskini, tukaenda Kunduchi Beach Hotel, tukala tukanywa, swimming, good time kibao mtoto wa DON tenaa! Mwana anamihela kweli kweli!
Jumamosi ikafika
Anita: tukatoka hotelini kwenda Aiport tukiwa njiani akaanza anajiskia vibaya!
Eh tumbo linauma Penny! Uuuwi naumwaa naumia Penny twende hospital, ikabidi turudi hospital
Dokta anashangaa miezi 7 tuu au anadanganya? Watoto wapo tayari kutoka muite mume wake, nikakataa nikampa namba dada wa mapokezi ampigie Papaa aje mkewe anakaribia kujifungua!
Baada ya Lisaa limoja la Anita kuwa theater ndio Papaa akaja! Ananikuta nimekaa kwenye benchi nasubiria kwa hamu kujua mtoto gani kazaliwa!
Papaa: Penny?
Money Penny: eh Papaa upoo? (najikausha)
Papaa: nimeambiwa Anita anajifungua leo ndio nimekuja
Money Penny: hata mimi nimeambiwa hivyo ndio nimefika muda sio mrefu, ngoja tusubirie
Dokta akaja, ah bora nimekuona Money Penny, huku Papaa anashangaa hee huyu si kasema amefika dokta anamjuaje?
Money Penny: Dokta huyu ni baba mtoto anaitwa Papaa
Dokta: sawa sasa, Anita ameshindwa kusukuma mtoto tumemfanyia opereshen, ni kweli alikuwa miezi 7 ujauzito? Maana hata record zake za hapa zinaonyesha miezi 7 ilishapita au aliwadanganya?
Money Penny: we mume embu mjibu dokta?
Papaa: Dokta hata mimi sijui kaniambia jana huyu Anita
Dokta: kwahiyo opereshen imeenda sawa, amepata watoto mapacha! Wakike na kiume!
Tukashangilia aaaaaa, mapaaaachaaa! Anita katotoa mapacha wenzieee! Woooow jamaani, Papaa alifurahi mpaka amnibeba juu juu
Dokta: hongereni sana, sasa mtamwona baada ya masaa 2 mwache apumzike hapa ila msiondoke
Tukasubiria mimi nampongeza Patric hongera finally umekuwa baba tena wa mapacha! Hongera sana
Papaa: anafurahi huwezi amini furaha yake!
Tukakaa tukaongea weee tangu tumeachana skuile akaniomba msamaha kwa yaliotokea akaniambia Aloyce anaendelea vizuri alishapona ilikuwa stork ndogo sana anaendelea vizuri na ameshanisamehe na ameshamsahau Anita na ameshakubaliana na hali yake kuwa hapendwi na Anita
Money Penny: oh ok! That’s nice, naweza kuja kumwona Aloyce?
Papaa: poa hamna shida tunaishi pale pale ulipotuacha usijali, now nipo focus na watoto wangu siamini kama nina watoto tena mapacha!
Patric alikuwa na furaha, sijawahi kumwona na ile furaha! At least amepata mtu wa kupendana nae kwangu ilikuwa relief
Masaa 2 kupita tukaitwa kuwaona mapacha! Wazurije sasa! Uuuwi wakike na kiume, mimi nikabeba wa kike Papaa akabeba wa kiume Anita anafurahi kumwona Papaa anafuraha ya kweli
Ila mimi nilikuwa na wasiwasi na Papaa sio kwa ile michoro nilioiona sikuile, ile michoro ya kijesusi anaweza akabatuliwa mtu hivi hivi na mie nilishaona mapicha mapicha
Tukakaa tukaongea muda wa kuona wageni ukaisha, ikawa sasa kazi ya kuletea mgonjwa msosi na kuwapigia wazazi wa Anita,.. Papaa akawa analeta chakula kila siku alfajiri, mchana na jioni baada ya siku 1 wazazi wa Anita wakaja wakashikilia zamu za kuuguza wakiwa hotelini pale pale Serena,
Don alipomwona papaa Akamwuliza
DON: samahani wewe ni nani hapa?
Anita: Baba huyu ndio baba watoto
Don: oh ok hongera sana bwana nani?!
Papaa: naitwa Patric
Don: ok, mmh lakini mbona hii sura yako kama nimeshawahi kukuona mahali
Papaa: mimi?! Hapana mzee labda utakuwa umenifananisha!
Don: hapana nimekuona maeneo ya nyumbani, ah embu ngoja ni kumbe, Don akaumiza kichwa lakini wapi!
Mmh labda kweli nimekufananisha ila sura sio ngeni kabisa nitakumbuka tu
Hongera sana Bwana Patric na karibu sana kwenye familia yetu
Papaa: hapo roho Inataka kumtoka anatamani mzee asikumbuke na akashukuru wakati ule hakukumbuka!
mimi nikawa naenda kwa siku mara moja si unajua nipo ajirani tena naitaka maana internship ndio inaisha ivoo! Lazima ujikombe kombe shule ikiisha uajiriwe!
Lakini Don hakuwahi kuniuliza kuhusu Baba mtoto wa Anita labda kwasababu tulikuwa tunapigana chenga muda mwingi hatuonani
Basi sikumoja nipo nyumbani weekend Anita ameshatoka kwa hospital wamesharudi kwao Arusha kulea mapacha, napokea simu namba nisioijua, kuskiliza ni Aloyce ananiambia Penny naomba tuonane tafadhali uje nyumbani kwetu, nikakataa mtaniua nikija huko akaniomba tafadhali njoo na watu hata ikibidi.. nikamkubalia
Nikaongea na sister nikamuelekeza, yakizidi masaa 8 sijakupigia njoo na Polisi nisije uwawa buree!
Nikampigia Subira akakubali tukaja kwenda kwa Aloyce, kufika namwona Aloyce ameponaa! Yupo vizuri kweli, tukaongea sana baadae akaomba aongee na mimi chemba, akanipeleka kile kile chumba alinipelekaga Papaa, nikawa nasita akaniomba nisiogope nikaenda
Kufika sikuikuta ile michoro tena!, akachukua bahasha kubwa iliokuwa mezani, akasema Penny rafikiyako ametudanganya
Money Penny: nini tena na nani kawadanganya subira au?
Aloyce: hapana chukua haya majibu usome
Money Penny: kuangalia tobaaa ni DNA test za Anita na mapacha wake na Papa… sikuelewa kwani walifanya saa ngapi DNA test Papaa na Anita? Au ndio michezo yenu tena?
Aloyce: hii ilifanywa kisiri, Papaa aliongea na Nurse mmoja pale hospital akaomba afanye DNA test za wale mapacha na Patric majibu ndio haya
Money Penny: mmmh hapa mbona hakuna ukweli, sasa unanionyesha mimi kwani mimi Anita au wazazi wa Anita?
Aloyce: well tatizo lipo sehemu yako Penny
Money Penny: mimi? Nimefanyaje?
Aloyce: Tatizo Papaa anakupenda sana! Ila ndio hivyo unamringiiia
Money Penny: uuuwi kwahiyo akatumia DNA fake kuniambia ananipenda? Kweli hili ni zuzu la kutupa, kwanza yupo wapi? Kwanini akuambie wewe hayupo serious alafu Papaa anautoto mwingi sana, hakui! Unamtumiaje mdogowako kueleza hisia zako kwa mwanamke anaempenda?
Aloyce: bwana miswali kibao kama afande, mimi sijui, kaenda Arusha leo asbh alipopata yale majibu kasema anaenda kuongea na Anita na wazazi wake kwanini amemdanganya
Money Penny: uuuwi tobaaa, kweli I wish ningekuwa Arusha! ahahahaha
Aloyce: ndio hivyo
Money Penny: na wewe si ulikuwa unampenda Anita? Sasa unakubalije kakako akupite?
Aloyce: tatizo ni nini Penny mimi najua ile Mimba sio ya Papaa wala sio ya lile faza la Tangibovu, ile mimba ni yangu ila kwa sasa ngoja bro aweke sawa mambo yake Arusha mimi nitamtafuta Anita kwa wakati wangu
Money Penny: heee! Mimba yako kivipi tena?
Aloyce: kuna vitu ambavyo nyie woooote na kaangu hamvijui
Kaka anajua mimi naishi upanga na hapa, lakini nina nyumba yangu Kunduchii
Money Penny: tobaaa ile nyumba Anita alisema ameijenga?
Aloyce: ajenge atoe wapi hela? Kwa mshahara upi kwanza? Kwahiyo miaka yoote ulisikia Anita anaenda Kunduchu alikuwa anakuja kwangu!
Ila skuile uliniumiza sana Penny ukanionyesha video ya Kaka na Anita ulinivuruga vibaya mno, ila nakushukuru sana, sikujua kuwa Anita yupo vile na sasa nimejua… ataniheshimu na kunipenda hawezi rudi kwa Papaa tena
Kwahiyo hii ni nafasi yako kama unampenda Papaa, nenda nae kama haumpendi achana nae, maana unamwumiza sana, sikunyingine anakunywa anatukana analia, anasema mimi nafanya haya yote kwa ajili ya Money Penny lakini hanielewi anaenda kutembea na Baba wa Anita aliniudhi sana!
Money Penny: nikachoka na zile habari, sikujua kama ni za kweli au za uongo, ila tangu nimfahamu Aloyce hajawahi kuwa mwongo labda awe amenza sasa!
Nikakaa chini maana nilikuwa nimesimama, sikujua cha kufanya! Papaa ananipenda sio kwamba nilikuwa sijui lakini sikuwa na uhakika wa asilimia zote, LAKINI, mimi nilishaanza kumpenda DON!
Hata sijui kwanini, Tangu DON akutane na Anita nam-miss sana sana sana! Na sijawahi kukutana nae tena kimwili
Aloyce amenichanganya sana, Moyo wangu upo kwa DON ila roho yangu ipo kwa Papaa hata sijui nimpende nani zaidi!
TUONANE TAR 30 APRIL 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
-------------------------------------------#-------------------------------------------------
B. PLAN A
Baada ya maelezo yale toka kwa Aloyce nikaamua kumbana Aloyce
Money Penny: haya ulionieleza ni ya kweli kweli au?
Aloyce: kweli sikudanganyi
Money Penny: Aloyce sikuelewi ina maana wewe na Anita miaka yooote mlikuwa kwenye mahusiano alafu unanidanganya nikuangalizie akiwa bank na internship ukanitafutia? Kwani kuna nini hapa kati mbona mnanichanganya sana?
Aloyce: kwakweli skuile nilipokuomba kweli sikuwa kwenye mahusiano naye mpaka ulipoanza kazi pale bank nikajaga mara ya kwanza akakataa kupokea business card yangu … jioni nikamtafuta akiwa anaelekea Kanisani kwa Papaa, nikambana nikambembeleza nikampa hela nyingi tu kama mil 2, akazipokea nikajua tu huyu njaa nikamkabithi business card yangu anitafute siku yeyote akiwa na shida anitafute
Anita akaondoka akaingia kanisani, sikumwona tena mpaka wiki mbili zilipoisha akanitafuta mwenyewe kuwa ana matatizo makubwa anaomba nimsaidie
Money Penny: wiki mbili gani wakati Anita ameishi kwetu sio kweli
Aloyce: kabla hajaishi kwenu alikuwa anaishi na jitu moja pale Tangibovu! Linamsumbua kweli lile lijitu, ndio kwa kukimbilia ikawa Kanisani au kwangu Kunduchi!
Money Penny: mmmh! Enhe endeleza mada
Mara akaja Subira, we Penny mimi naondoka zangu nachukua Taxi naona hapo mnataka kupeana raha siwezi waingilia, nitakupigia usiku kabla haujalala, Bwana mwenyewe anasafiri usiku huu lazima nikampe mrejesho na sasa ni saa 10 jioni
Subira akaondoka tukahamisha kambi ya stori sebuleni kwa Aloyce akanipa taswira lote la Anita nikachokaa! Ni jinsi wamekuwa kwenye mahusiano ya kimwili bila Papaa kujua lakini Aloyce hakuwa anajua kama Papaa anamla kisirisiri Anita!
Safari ya Mahusiano kati ya Anita na Aloyce ikaendelea, ndio siku moja walikorofishana huko kanisani na marafkizake, Anita akakimbilia pale kwake Kunduchi, kufika anataka kujiua hakujua alikuwa na mahusiano na Papaa, akambembeleza sana sana, na sikuhio alihakikisha anamjaza sana Anita ili kama hata kuna mjinga kanisani akirudi amkumbuke Aloyce
Money Penny: tobaaa! Kwahiyo Jaza ujazwe sio?
Aloyce: hahahaha Penny bwana, unavituko kweli,
Akakaa kwangu wiki ndio akarudi kwako na mimi sikutaka kuingilia maana mimi nilishamwambia ukiwa na shida njoo ukae hapa au hamia kabisa usipate shida hata usafiri nitakununulia usijali!
Ila Yule mtoto sijui ndio tamaa au sijui pepo la ukahaba anakimbilia kwa Yule baba wa Tangi Bovu! Ni sheedah!
Unajua kupenda nako ni kazi Anita nimetokea kumpenda sana, namkubali sana san asana, ndio maana nilikwambia tangu mwanzo ile Mimba ni yangu, na tangu nimepona stroke sikumweleza kitu Papaa kuhusu ile tape, nikakaa kimya, unajua Papaa namheshimu sana sio mtu mbaya kwao walinichukua tangu mdogo nampenda kama kaka wa Damu yangu sikutaka kumvunjia heshima ndio maana nilishtuka sana kwa lile nililoona kwenye compyuta!
Aliponionyesha majibu juzi kwasababu mimi ndio nilieyafungua alikuwa anapaniki sana, nikasoma nikamwambia mtoto sio wako hakuamini akasoma akacheka sana na akafurahi san asana sana!
Alishangilia anapiga makelele sikuelewa kwanini alafu akakutaja Money Penny
Nikamshikilia Kaka unachizika au?
Papaa: Money Penny! Money Penny, Penny
Nikamwuliza Penny kafanyaje sasa?
Papaa: Penny nampenda sana, she is my soul mate! Ananionaga boya lakini hajui ukweli wote!
Sasa naweza kumwendea na kumwomba nafasi kwenye maisha na moyo wake! Now am freee! Thank you God am Freee! Haleluya!
Aloyce: namshangaa tu huyu Patric vipi tena?
Patric akanikaba, Aloyce Money Penny nampenda sana sasa ataniamini ndio maana sikuwa na furaha kusikia Anita ana mimba nikawa nahisi ndani yangu kuwa nimechakacchuliwa!
Aloyce: skiliza Patric hauwezi anzisha safari ya mahusiano na mwanamke mpya wakati haujalimaliza na mpenzi wako wa zamani
Papaa: kwahiyo unasemaje?
Aloyce: Nenda kwa Anita kaongee nae mbele ya wazazi, kama haya majibu ni kweli watamwita dokta usiondoke kwao mpaka mmepima na majibu yametoka! Na wazazi wamethibitisha kweli wale mapacha sio wako!
Ulimalize ndio urudi Dar kuanza na Money Penny, hakuna mwanamke anaependa kuvuruga mahusiano ya rafiki yake at least sio Money Penny!
Papaa: akawaza akaniambia kweli kaka hilo uliloongea ni point mbaya mtu wangu, ngoja nijiandae na safari niondoke le oleo
Aloyce: ndio akaondoka jana asubuhi leo nampigia anasema aliongea na wazazi wa Anita kabla ya anita wakamwita Dokta kwa siri akawapima watoto Anita akiwa amelala maana waliogopa reaction ya Anita, hawakutaka kumpoteza tena mtoto waon wa Miaka Mingi na hawakutaka kuonekana wapo upande wa Papaa
Kwahiyo Kesho asbh Dokta atakuja nyumbani kwa DON kuonyesha majibu!
Money Penny: siamini! Nikachokaaaa! Kwanini sasa ulimfanyia mwenzio hivyo?! Si ungemwambia ukweli maana hampendi Anita!
Aloyce: Papaa sina wasiwasi nae maana najua siku zote anakupenda wewe tangu mnasoma, lakini mimi nilitaka kumfundisha Anita, hata kama ametembea na kaka yangu lakini bado nampenda sana
Money Penny: nikachoka kweli natamani ningepata mwanaume kama Aloyce! Unapenda vibaya kama mwanamke we jamaaa! Doh wanaume kama wewe wapo wachache!
Aloyce: wazungu wanasema ukimpenda sana mtu mwachilie aende zake, kama ni wako atarudi tu na mimi Anita akirudi nitampokea kwa mikono na miguu
Money Penny: inakuwaje wewe una akili kuliko Papaa? Yani wewe una akili za maisha za darasani inakuwaje? Kweli wa moja ni wamoja tu hawawezi kuwa wa mbili… yani Patric ni sifuri kama divishe alioipata form 6
Aloyce: Divishen sifuri ipi? Nani kapata Divishen 0?
Money Penny: si kakako Mchungaji Papaa?
Aloyce: Penny! Nani kakuambia Papaa alipata Divishen 0?
Money Penny: si niliona kwenye ubao wa matangazo shuleni na kwenye magazeti
Aloyce: kweli? Uliangalia jina gani?
Money Penny: si Patric kwani we haujui kuwa Patric ni kilaza?
Aloyce: akacheka sanaaa! Wewe Penny unamchanganya Patric huyu na mtu mwengine au?
Papaa alipata Divishen 1 ya 3 form 6 yenu yeye na dada mmoja waliongoza ndio ukaja wewe na div 1.5
Hio 0 ya nani wewe? Akaingia chumbani akatoa majibu ya dform 6 ya Necta! Akaniambia anagalia! Hili sio jina la Patric?
Money Penny: nikashangaa kwani imekuwaje tena? Mbona niliona divishen 0?
Aloyce: shuleni kwenu kuna mgeni alikuja mwishoni alikuwa anasoma masomo sawa na Patric huyu, ila sijui urafiki wenu na huyu Patric wetu ulikuwaje kwani haujui last name yake?
Money Penny: si anaitwa Patric Masanja?
Aloyce: hapana anaitwa Patric Benard, na huyu wa Divishen 0 anaitwa Patric Mashaka!
Money Penny: nikachokaaa1 ilikuwaje sikujua kuhusu last name ya Patric kweli mimi ndio kilaza, nikaanza kucheka na Aloyce akaanza kucheka wote tukabakia tunacheka!
Money Penny: Aloyce, asante sana kwa kunifungua macho, ila hii haijabadilisha kuwa mimi nitakuwa na Patric maana mimi simpendi kwa vituko alivyovifanya anamambo mambo meengi siyaelewi sijui mchawi hata simwelewi
Aloyce: akageukia pembeni, akaguna mmh!
Money Penny: vp mbona unaguna tena?
Aloyce: mimi nadhani mnatakiwa mkae wawili muongee, mimi kuongea kwangu kumeishia hapa! Zaidi ya hapa sitaweza tena kuendelea na mazungumzo labda tuongee kuhusu kazi na mambo mengine ya biashara, vipi shule lakini una graduate lini?
Money Penny: bado ndio namaliza internship wiki ijayo nirudi kwa Kitabu tena! Ndio shule iishe
Tukaongea wee saa 1 akanirudisha nyumbani,
Tukiwa njiani nikamshukuru sana kwa kunitafutia internship pale bank, nikatoa kwenye pochi kadi ya bank ya Patric, nikampa Aloyce naomba umpatie Patric nilitumia hela sio nyingi sana zimebakia mil 75
Pia akija mpatie hii simu mwambie mimi ni mwanafunzi sihitaji simu, simu kwangu ni anasa, nikimaliza shule nikapata kazi nitanunua ya kwangu!
Aloyce anashangaa doh haamini! Kweli Money Penny ni Money Penny mil 75 kazirudisha?! Doh!
Nikafika nyumbani nikajifungia chumbani sikutaka kuongea na sister maana habari nilizopewa zimenipofusha maskio na macho! Sikujua cha kufanya tena, nikawaza na kuwazua nikapanga na kupangua kila plan ninayoipanga naona kama naifeli
Lakini nikajitia moyo nikapanga plan 3… zikifeli hizi zote basi!
J3 ikafika sijawasiliana na Aloyce wala Papaa wala Anita nikarudi kumalizia Internship yangu pale kazini nikaagwa nakwambia kama katoto ka mfalme, nikapewa mazawadi nyingi zilikuwa hela, mtoto nikaondoka na milioni 2, Boss akaniambia ukimaliza kazi ulete barua tutakuajiri ushakuwa mwenyeji sasa!
Nikakaa wiki nzima sina mawasiliano na mtu maana tena, na hamna aliekuja nyumbani kwetu kuniulizia, nikarudi shuleni kuendelea na Masomo, shule ikaisha, nikakusanya ile project, mitihani nikaifanya majibu yakatoka kama kawa nimefaulu, kuangalia project niliofanya nimepata A, mambo yakawa yananiendea vizuri!
Nikakaa mwezi 1 nyumbani sitoki nakaa tu ndani, nikamwambia sister nataka kwenda Kilimanjaro kwa wazee nikitoka naenda Nairobi alafu nitarudi kwa sasa si-apply kazi akili yangu imejaa madudu mengi ngoja nikapumzike kwanza
Dada akanihurumia, akanipa hela nyingi nyingi sana nikadondoka Kilimanjaro Mojaaa, wazee wakanipokea napikiwa misosi mi-ndisi, mimbege sasa na mipombe ndio mahala pake, mwanetu amemalisa shule kweri kweri si unajua wachaga tena
Ikanibidi nikae pale kijijini miezi 2… hilo badiri lake sasa doh ndio lilinisaidia kupunguza stress!
Baada ya miezi 2 nikaaga narudi Dar nimepata kazi, kumbe mwongo nikadondoka Kenya, Nairobi mjini,
Nikakaa hotelini siku ya 1.,.. 2.,… 3… 4 najifungia tu chumbani sitoki siku ya 5 nikatoka kwenda kukaa kwenye swimming pool!
Mara naona mtu ananishika bega, sikutaka kuangalia huenda ni bahati mbaya nimeshikwa!
Nikaskia Penny upo?
Kugeuka ni DON!
Money Penny: roho ilinipasuka paaaa! DON?! Nikasema
Don: we mrembo umeamua kutukimbia wote sio? Rafikiyako Anita anakutafuta sana, mke wangu anakutafuta akupe ajira aliokuahidi… Anija anakutafuta mfanye biashara simu umepeleka wapi wewe?
Money Penny: nikamkumbatia DOOOON!
DON: anacheeka my princess nimefurahi kukuona na wala sitakuachia tena
Money Penny: nimekumiss Don nisamehe sina simu sina chochote na shule nimemaliza sina hata mia, ndio nime… kabla sijamaliza kuongea Don akanivamia na mabusu! Kama nilivyotegemea DON haachi uhuni leo wala kesho… ni Gigolo (kipusa) la kufa mtu
Waswahili wanasema ng’ombe hazeeki maini DON hakuwa na maini kabisa ya kuzeekea!
Nikabebwa juu juu mpaka chumbani kwa DON toka kwenye swimming pool mpaka chumbani watu wanashangaa hawa vipi nchi za watu tunajiachiiia kama kwetu!
Nilipigwa show ya kufa mtu! Don atabakia kuwa DON utamua wa Don naujua mwenyewe siwezi kuuelezea, hatumii Viagra wala dawa za kichina, Baba wa miaka 65 lakini doh! Sijui kwakweli kama mwangaaa!
Hachokii anapiga round hata 2 na hajachoka!
Siku hio tulikaa chumbani siku nzima chakula kinaagiziwa chumbani, akaamua kwenda kuhamisha vitu vyangu chumbani kwangu akavileta kwake! Nikasema nikitoka Nairobi narudi na mimba ya mtu,
Uzuri Don anajipenda na anakuskiliza, nikimwambia mechi haichezwi bila mpira anakubalia
Mapenzi yakaendelea kwa siku 3 mfululizo ahadi sasa nazopewa utadhani malkia Fulani hivi!
Baada ya siku 3 za mahaba na ahadi nyingi akaamua tutoke kwenda hospital kupima, mimi natetemeka sasa najua doh kama sijanasa kwa Papaa nimenasa kwakwe
Kwenda kupima majib hapo hapo chezea Nairobi wewe hamna cha kusema atahonga au atapita pembeni kubadilisha hapo hapo!
Majibu yakatoka wote tupo safi, nikamwona kabisa DON anapumua maana anajijua yupo kichecge!
Tukazunguka Nairobi nzima tunafanya tour wiki nzima ni kuzunguka tu utadhani tupo honey moon ila mimi naogopa nikifumwa na wanae nitaongea nini?! Maana ni aibu sana!
Nafanyiwa shopping sasa nikanunuliwa simu, laptop, camera dah mavitu kibao! Nguo, viatu kila kitu na mavazi ya kila aina hii ilikuwa fairy tale yangu sikuwahi kuwaza hivyo!
Baada ya wiki ya mahaba na ahadi na good time na DON sikuwahi kumuuliza juu ya familia yake
Nikaamua kumwuliza maana kesho yake alikuwa anaondoka
Money Penny: familia hawajambo?
Don: wote wapo salama nilikuja kibiashara huku kesho lazima nirudi Arusha! Anita anaolewa wiki ijayo lazima nimsaidie na maandalizi
Money Penny: wow hongera sana Don! Anaolewa na Yule Baba mtoto sio?
Don: mmmh hapana! Kwani hajakwambia?
Money Penny: sijaongea na Anita muda nilipoteza simu
Don: oh umeniambia! Tena nipe simu yako, akasave namba ya Anita!
Money Penny: so anaolewa na nani niambie
Don: unajua nini bora nisikuambie, uje Arusha ufikie kwangu uone bwana harusi ni nani
Money Penny: mmh kwako tena? Hapana nitafikia hotelini staki mkeo aanze kuhisi vinginevyo ujue kazi ya UN naitaka sana
Don: mke wangu anakupaje kazi wakati ni mama wa nyumbani, mimi nitakupa kazi hata tukifumaniwa! Mtoto kama wewe sikuachii bora nioe wake wawili kuliko kukuacha wewe
Kwahiyo sasa utaivaa hii nguo kwenye harusi ya Anita akatoa akanichangulia, nataka nikikuona tu niweze kukuvua kwenye macho yangu!
Money Penny: doh kweli DON ni Gigolo (Kipusa) … sawa mpenzi nitakuja
Don: usikose kabisa, kwanza nataka umfanyie surprise kuwa unakuja kwenye harusi ikiwezekana uje siku ambayo harusi inafungwa siku hio hio sawa?
Money Penny: sawa mpenzi
Don: akaingia kulala maana alfajiri alikuwa anasafiri kurudi Arusha
Nikalipiwa chumba kile wiki nzima na tiketi ya ndege kurudi Arusha nikapewa, na masharti ya kufikia kwenye hotel yake na chumba chake kile kile tulipokutania mwanzo!
Nikabaki nawaza, Anita anaolewa? Kweli kuirudisha simu kumenikosesha mambo mengi
Sasa nani atakuwa anamuoa? Papaa au Aloyce? Je Baba wa Tangi bovu wamelimalizaje?
Anyway angalau Plan Ayangu imetiki sasa imebakia Plan B, ngoja niendage kwenye harusi nijioneevituko vya wanandoa!
TUONATE TAR 7 MAY 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
----------------------------------------------------------------------------------------------
C. PLAN B
Baada ya siku 2 nikadondoka Arusha kwenye hotel ile ile ya Don
Money Penny nikapewa funguo kama mfalme
Nikasindikizwa mpaka chumbani nikaingia chumbani kimepambwaje kama bi harusi anaingia honey moon, ma-chocolate sasa kibao ma ice cream gonjwa langu sasa nikaanza kula ice cream, hata kabla sijamaliza naskia hodi nikajua ni Don kaja nikajiweka sawa si unajua tena beibe ndio kaweka show nzima ya mimi kuwa pale
Kufungua tobaaaa ni Papaa eh huyu jamaa kama mwanga
Money Penny: nikusaidie na nini Bwana Harusi? !
Papaa: Bwana Harusi?! Wa wapi tena au ndio mnaniita jina hilo sasahivi
Money Penny: unataka nini?!
Papaa: nimekuona hapo Chini unaingia kwa kunyeyekewa nikasema lazima nikamsalimie Malkia Wa Hotel
Money Penny: Hello, Bye! Nikataka kufunga mlango akafungua kwa nguvu akaingia ndani
Papaa: akajiwahisha kupakua ice cream na chocolate huku anaangalia angalia chumba huku anakula akachukua kiti akakaa akaweka ice cream huku anakiangalia chumba... kwakweli nakupongeza Penny, huyu Bwana sio Wa mchezo ... kakuandalia chumba kizuri namna hii, tena bure na nje kaweka tangazo do not disturb.. ulimpa nini penny huyu Babu Wa watu?!
Money Penny: nipo buzy nakula ice cream kama simsikii
Papaa: akaongea wee alipoona simsikizi akaamua kunifuata na kunishika mabega... Mama upoo?
Money Penny: nikamtolea mimacho kaka Bundi
Papaa: vp umepaliwa mbona unanitolea macho
Money Penny: nikazidi kumtolea macho kama Bundi msubiri majini nianze kulia
Papaa: eh haya!
Nimekumiss sana rafkiangu Wa miaka
Sana sana sana,
Alafu nimekutafuta kweli kwenye simu haupatikani, kwenu nikaja nikaambiwa haupo nikakufuatilia wiki nzima haupo mwezi miezi nikapotezea kumbe umefichwa Arusha na Don?!
Money Penny: kama kawaida naendeleza Ubundi
Papaa: any who mimi nilikuja kukusalimia tu kwavile nimekuona staki kukuharibia starehe zako zilizokuleta... karibu kwenye harusi kesho itafanyika kanisa. ...saaa... mpaka saa... baadae nyumbani kwa Don saa...mpaka asbh
Money Penny: asante
Papaa akainuka akatoka lakini hakutoka akarudi kunikuta nimejilaza kitandani akapiga magoti Penny naomba nisamehe mama najua nimekuudhi mpaka umerudisha kadi ya bank kwa Aloyce sijaelewa kwa nini
Nimeambiwa umemaliza shule na unatafuta kazi, kazi nitakupatia usijali
Lakini mimi bado nakupenda...
Money Penny: Kimya
Papaa: na najua unanipenda
Money Penny: Kimya
Papaa: tafadhali nikubalie ombi langu la mimi kuwa na wewe, akaingiza mkono mfukoni akatoa pete tafadhali naomba ukubali ombi langu la kukuwowa
Nitakupa maisha yeyote unayoyataka, nitakupenda maisha yangu yote, nitakuheshimu, nitakutumikia kama Malkia Mke wangu, bado sijaacha kukupenda tangu tunasoma mpaka sasa, nakupenda
Inaniumiza kuona unahangaika na hili zee tena mume wa mtu, haya sio maisha yako sijui umekuwaje.. hauna tabia wala historia ya kuvunja ndoa za watu, umepatwa na nini Penny
Ila mimi haya siangalii nachojua nakupenda Penny
Unasemaje?!
Money Penny: nikageuka kumwangalia nimchambe nakuta analia michozi inam-mwagika moyoni nasema doh kweli sanaa ina wenyewe
Unataka kuoa wanawake wangapi Papaa au unanifanya mimi mjinga!?
Mimi sikuwahi kukupenda na sitakaa kukupenda akiwa mzee akiwa kijana mimi ndio nimemchagua vp kwani?!
Embu achana na mimi, toka, nikamfukuza toka na pete yake nzuri kweli kweli doh sijui ilikuwa diamond sijui nini Ila nzuri sana.. nikamfukuza na mahasira yangu ya kuchaga Kwanzaa akaanguka chini akajizoa zoa hapo nikamfukuzia nje hata sikumpa nafasi ya kuongea nikabana mlango
Nikapanda kitandani nawaza huku nacheka na kumcheka jinsi gani alivyo mshenzi na jinsi gani plan B yangu imetimia ...... nikalala hapo hapo
Kuja kushtuka saa 1 asbh siku ya harusi... tangu nimelala jana jioni sikuamka hata kidogo kuangalia Don hayupo nikahisi labda nilibana mlango lakini hapana
Nikaoga fasta kwenda kula breakfast restaurant kwa pozi kwani harusi yangu, yakabaki masaa 3 ibada ifungwe
Nikajiandaa nikajipodoaa podooo na kiwalo changu nilinunuliwa na Don Nairobi totoz nawakaa nimetokeleza nilihisi namfunika bi harusi
Baada ya nusu saa nikaita taxi ikanipeleka Kanisani hapo inanisuburia ( nishailipa hela ya siku nzima) Dereva Taxi ndio Date wangu kwenye harusi
Nikawa naona watu wanavyoingia mimi nipo tu kwenye taxi
Ibada ikaanza maharusi wakaingia namwona Money Star(Kulwa) kama Maid of Honor namwona Subira nae Kasimamia harusi, mara akatokea Mrs Don na wakweze. .. Finally akatokea Don na Mwanae Anita wamependeeeza Don anafuraha anacheka jino la mwisho
Wakaingia ndani mimi roho yaniumaa kushuka kwenda kushuhudia harusi ya mtu alieikamata roho yangu ngumuuu Nikawa natamani kuondoka
Nashindwa... nikasubiri kabisa niskie Mchungaji anatangaza wavishane pete nikaingia ndani nikakaa nyuma kabisa si unajua tena akina back benchers tulivyo! Nikajificha nyuma kabisa kwenye nguzo ya kanisa hamna wa kuniona kwa urahisi
Kuangalia tobaaa bwana harusi ni Aloyce!
Eh! ALOYCE tena?! Namwona Papaa kasimama pembeni kama best man na wanaume wengine sikuamini, lakini mpenzi msomaji ni kweli Aloyce alikuwa anafunga ndoa na Anita
Mchungaji akauliza ni nani mwenye pingamizi la ndoa hii aseme sasa au akae kimya milele
Watu wakaangaliana hapo akaonekana hamna, mchungaji akataka kuongea mara Pacha wa Anita akaongea kwa nguvu mimi hapa
Watu wakaanza kunong'ona eh nini tena?!
Alipoulizwa kuna nini
Money Stars: nina ujauzito wa Bwana Harusi
Watu hoiii wanashangaaa Don kachoka, Anita kachoka Subira anacheka Aloyce kichwa kichi anaona aibu, mimi huku nyuma nacheka eh ya Leo kali
Mchungaji: ujauzito wa Bwana Harusi kivipi
Money Stars(kulwa): nimekuwa kwenye mahusiano na Bwana Harusi kwa miaka 5 sasa, na alikuwa hajui kuwa mimi nimekuwa na Pacha amekuja Kujua mwezi uliopita alipokuja nyumbani kutambulishwa nikamsihi sana asifunge ndoa akawa hakubali anakataa anaona aibu na mimi siwezi kumwachia amwaribie maisha ndugu yangu
Anita: akazimia
Ikabidi wamzoezoe mpaka ofisi ya mchungaji
Mzee wa kamati akaomba udhuru watu wasubirie kwa muda mpaka watakapotangaziwa
Mimi nipo nyuma nashangaa tu nikaona watu wanaanza kutoka nikakimbilia kwenye taxi najificha
Tukasubiri Lisaa1 mara namwona Subira anatoka
Nikamwambia dereva Taxi akamwite Subira akawa, anataka kupiga makelele alivyoniona nikamtuliza
Subira: shogaaa upoooo jamaaan umepotea mbaya ofisini wanakutafuta wakuajiri we mama umefichwa wapi?!
Money Penny: nipo mpenzi, kuna nini mbona naona watu wanatoka?!
Subira: shogaaa ulipitwa na mengi hapa ofisi ya mchungaji inawaka moto wa jehanam mapacha wanataka kuuwana huko havieleweki
Aloyce kagonganisha mademu akiulizwa anasema hakujua mana wamefanana sana na ukiangalia ni kweli wamefanana
Money Penny: mapacha wa Anita ni wa nani kwani?!
Subira: kwani wapo sasa Penny? ! Woooo walishakufaa
Money Penny: kufa?!kivipi tena?!
Subira: yule shogako Anita anavisa! Mimba ilikuwa ya yule Bwana wa Tangibovu
Yule Bwana aliposkia kuwa Anita kajifungua akapanda mpaka kwa Babake Anita skuhio alipanda na mabody guard wake, uzuri hawakuwepo nyumbani lakini watoto walibakia na dada wa kazi
Yule Baba wa Tangibovu akaingia na vijana wake na risasi wakaanza kupiga, majirani wa Arusha si unawajua walivyo sharp wakaita mapolisi
Wakamtishia msichana wa kazi aachie watoto la sivyo watamdhuru Ikabidi aachie wakazomba mapacha wakawa wanatoka vijana wakawahi kwenye magari akabakia yule Baba, mapolisi wakaja wakawa wapiga risasi kutishia, yule Baba hakuachia watoto, akapigwa ya Mguuni kumtuliza wale vijana wake wengine wamekimbia wamekimbizwa na mapolisi limebakia gari la yule Baba na ndio aliwashika watoto
Alipoona hawezi kimbia akawaua wale mapacha wote pale pale wakafa vijana wake wakasogeza gari wakamuingiza haraka wakakimbia nae ...sijui alikuwa anafanya kisasi hata sielewi mapolisi wakawafukuzia
Vijana wake wakakamatwa baadhi wapo ndani
Money Penny: lakini wale si watoto wa Papaa
Subira: wapi penny, sio wa Papa, ni wa lie libaba maana wiki 1 kabla papaa alikuja wakafanya DNA test hapa hapa nyumbani kwa Anita wakaonekana watoto sio wake
Ndio wiki iliofuata wakaja wale majambazi
Rafkiako Anita alilia kama chizi na sasa kujua tena Aloyce sio wake naona atakuwa kichaa
Money Penny: kwani inamaana Anita alikuwa anamjua kweli Aloyce au ni roho yake mbaya tu alikuwa nayo? !
Subira: penny nilishakwambia Rafkiako sio mzima kichwani yani Kwanzaa amenifosi nimsimamie harusi amenilipa mil 3 nakatAaje yule sio mtu mzuri nadhani lile libaba limemfundisha vbaya tangu amteke nyara utotoni
Tukiwa katika maongezi mengi mara tukaskia risasi zinapigwa ndani ya Kanisa
Watu wanakimbia wanatoka nje Ikabidi na sisi tujifiche chini ya nyuma ya seat Subira anacheka hahahaha uuuwi hii harusi au?!
Watu walipoisha mara tunamwona Papaa anataka amemshikilia Aloyce mguu unatoka damu, Subira akataka kutoka nikamkataza,
Papaa na Aloyce wakaondoka na wazazi wao... baada ya nusu saa tunaskia mapolisi wanakuJa wanatoa mwili hatujui wa nani
Mara Mrs Don anatoka analia ameshikiliwa na wamama wenzie mara naona Anija (Kulwa) anatoka analia ameshikiliwa na Don wote wanalia wanaingia kwenye magari aiseee jamaaan inatia huruma asikwambie mtu, Anita ndio huyo amekufaaa. ..
Mara tunaona mapolisi wanatoka na zee moja amemweka pingu wakampakia kwenye difenda wakaondoka
Money Penny: Subira mama mimi narudi Hotelini staki
Kuwa shahidi wa haya mauaji kwani wewe umefikia wapi?!
Subira: nimefikia Hotelini akataja ila jana tulikuwa kwa akina Subira, doh majanga
Nikampa Lift mpaka kwa akina Don, nikampatia namba yangu tuwasiliane
Niliporudi nikafungasha vilango Dar siku hio hio staki ujinga
Nikakaa Dar wiki 2 nikapaki simu ya Subira nae amerudi Dar anataka tuonane nikaenda kuonana nae Sheraton Hotel akanipa tukio zima la tangu tulipoachana Arusha wiki 2 ziliopita
Kufahamu kilichoendelea tuonane tar 8 May 2018 saa 1 usiku ya Tz
--------------------------------------------------------------------------------------
D. PLAN C
Subira: shogaaaa upoooo?! Ahahahahahahaha uuuwi yani ukanisusia Arusha we mbaya wewe nakugawa buree
Hapo anaongea kwa nguvu kila mtu anamshangaa..kashikilia glass ya champagne kavaa miwani meusi, minywele imevurugika tabu tupu.. demu kichwa kibovu hatari
Money Penny: ikabidi nicheke mana kila mtu alikuwa anatuangalia
Nambie mpenz ZA Arusha poleni na msiba
Subira: asante boss.. kwakweli, akavua miwani, huwezi amini Anita hatunae tena tulizika siku 2 baadae pale pale nyumbani kwao watu kibaoo nakwambia
Hadi Aloyce alikuja.. Pastor Papa alikuwepo Pachawake aliliaje sasa, mama mtu aliliaje sasa, Don alilia kama mtoto mdogo...yani huruma
Money Penny: doh poleni sana,
Subira: asante darling
Money penny: sasa ikawaje alipigwa risasi au
Subira: tulipomaliza msiba Penny, nikamtafuta Fake Pastor akiwa hotelini na Aloyce. . Bwana harusi anatembelea magongo utamjua?!
Nikawauliza kulikoni wakaniambia
Papaa: Subira Acha tu mpaka naogopa ile familiar sijui itanionaje hasa walipojua Aloyce ni ndugu yang wangeona kama kuna chezo nimelifanya ila najikaza kiume tu yaishe
Tulipoenda ofisi ya mchungaji Anita akawa analia kama Anija pacha wake amemdhalilisha kwanini kamuharibia ndoa kwanini amezaa na mumewe
Ndio Anita kuelezea mkasa wote Aloyce akaonekana na makosa kwamba alijua
Aloyce akajitetea hakujua kajua alipokuja Arusha wiki 2 kabla ya harusi maana wamefanana sana
Papaa nae akaulizwa akasema mimi kama Aloyce sijui kitu wazee na mchungaji wanashangaa
Wakati mchungaji anataka kuongea mara wakaingia watu 2 wameshika bastola wanamnyooshea Don
Mmoja mzee Mmoja kijana
Mzee anadai kuwa zile Mali walichuma na Don, Don kamzurumu anatakiwa amlipe pesa kataja nyingi eti kapiga mahesabu tangu miaka ya 80 mpaka Leo mjinga kweli
Ndio Anita kumtaja jina yule mzee kuwa anamfahamu yule kijana wa mzee akamnyooshea Bastola kuwa abakie pale pale asifurukute la sivyo atamshoot
Huku Don kanyooshewa bastola kichwani huku Anita kanyooshewa Bastola na kijana wa Mzee
Mchungaji akamwuliza yule mzee unataka ulipweje
Mzee akasema nataka Leo Leo nampa masaa 12 awe ameleta hela hapa hapa kanisani bila kuita polisi bila kuita nani na watu wasijue
Ikabidi mchungaji akubaliane nae amwambie Papaa na Don waondoke wakalete hela, Mchungaji atoke na Mrs Don ili awaambie watu pa kwenda alafu wabakie Anita Aloyce na Anija
Wakatoka Don na Papaa,
Wakati mchungaji anataka kutoka Aloyce sijui mashetani akamrukia yule kijana Bastola ikafyatuliwa Ndio ikampata Anita kwenye kifua. ..
Aloyce kuona anita Kapigwa akamrukia tena yule kijana wakaanza kuvaana vaana na wewe Huku Anija amemshikilia Anita alikuwa anamiminika Damu mara akaingia Papaa na Don yale makelele ya risasi kumbe Mzee alikuwa pembeni,
Huku Aloyce ameweza mshikilia yule kijana Mzee akamtishia Don bastola, akamwambia Aloyce mwachie kijana wangu, Huku Anija analia
Ndio mzee kujielezea mimi Ndio nimeua mapacha wajukuu wako... na mwanao Anita nimeishi nae miaka yote nimemfanya vyevyote nilivyokuwa nataka mimi kwa staili
Zote mpaka sasa na hao mapacha walikuwa ni wa kwangu sio wa mwingine
Yule mzee kaongea sana akajisahau Ndio Papaa kumnyatia na kumsukuma Don akala sahani moja na Mzee
Huku Aloyce nae anakula sahani moja na kijana wa mzee
Ngumi Ngumi na wewe Bastola ya Mzee ikaanguka alizidiwa nguvu na Papaa, Don akaiwahi akaiokota akawa anamnyooshea Don na Yule kijana
Papaa akamkamata Mzee akamshikilia wakachukua joho la mchungaji wakamfunga mikono... wakamweka kwenye kit. . Hapo Anija (money Stars) analia kweli kweli pacha wake kamtoka
Kijana anapambana na Aloyce Ndio Don kufyatua risasi juu ya dari 3 wakatulia
Kutulia yule kijana wa mzee akaona Aloyce yupo yupo akamfyatulia risasi ya mguu Aloyce chini
Yakabakia kwa Don na Kijana kila mtu ana bastola matumizi sasa, Ndio Aloyce akamkata tama kijana la Mguu akaanguka chini Don kwa bahati mbaya akaifyatua risasi akampiga yule kijana wote kimyaa
Ndio mapolisi wanaingia kumbe Mchungaji alienda kupiga polisi sio kufukuza watu
Kuja wanakuta maiti 2 wakazizoa zoa wakaweka sehemu 1 wakafunika na shuka jeupe lililokuwa kanisani mapolisi wengine wakamkamata Mzee wakamweka pingu Papaa akaelezea kila kitu Mchungaji akaingia na First Aid kit akawa anamhudumia Aloyce
Ni sheedah ndio Wakatoka wakaelekea hospital wengine nyumbani wengine mochwari wengine jela
Usiku wakarudi nyumbani kukuta wageni waalikwa kibao wanawasubiria mana sio harusi tena ni msiba
Tukalia pale wazee majirani wakajaa wakafanya yao Anija alilia mpaka wakamchoma sindano akalala. . Mrs Don vile vile
Don amekaa hata kuongea hawezi
Akina Papaa wako nje na wazee Aloyce yupo hospital
Baada ya siku 2 tukazika.. Usiku huo huo nikakutana na Akina Papaa Hotelini wakanielezea tukio zima.. wakasema wanabakia kwa wiki nyingine tena mimi kesho yake nikaamsha zangu na ndege mpaka hapa
Money Penny: doh poleni sana me naona hata aibu, itabidi nipande Arusha tena nikawape pole..
Subira: yah uende mwaya.. watafurahi Anita alikuwa shogako nenda ukaone alipozikwa
Basi tukaongea wee Baada nikarudi nyumbani nikamweleza sister akasema mimi ningekusindikiza ila ajira yangu mama naagaje we nenda tu au nikutaftie mtu uende nae?!
Money Penny: nikijua jinsi gani nina vipisi vya sigara nimeviacha Arusha doh nikaona niende mwenyewe tu... nasindikizwaje labda huko Arusha kwani mimi biharusi?!
Nikatulia wiki ikapita sikutaka kuonana na Akina Papaa nikapanda tena Arusha moja kwa moja kwenye hotel ya Don, nikifikaga tu naweka chumba kile kile hehe cha urithi
Kufika ndani namkuta Don amelala
Tobaaa nilitamani kurudi Kwanzaa nikahisi mkewe yupo ndani pale doh lakini wale vijana mapokezi wasingeruhusu niingie nikajipa moyo
Nikanyata nafanya search kweli hamna mtu zaidi yangu na yeye, nikabana mlango kabisaa staki surprise
Nikaenda kumwamsha Mzee wa siku Don, kuamka na kunikuta ni mimi Don alifurahi akaanza na kulia Hapo Hapo analaumu amenimiss hujui yalioyotokea. .. hujui nilivyoumia kuona mtoto wangu wa miaka mingi niliemtafuta ameondoka akalia paleee nikafanya kazi ya kubembeleza doh bembeleza nusu saa
Mpaka tukaingia mechini
Mzee ana maugwadu balaa na mihasira yote ya Kufiwa nikamaliziwa nayo mimi
Kweli mechi za wanaume haziangalii msiba wala sherehe wala furaha wala huzuni ilimradi upo mpira unachezwa
Tukalala kushtuka Don kalala nikaingia kuoga nitoke niende kwake kuwapa pole
Namaliza kujiandaa nataka kutoka Don akaniuliza unaenda wapi tena
Money Penny: naenda nyumbani kwako kuwapa pole Anija atajiskia vibaya sana
Don: akakataa nisiende nikamsihi acha niende nitarudi akakataa katu katu ikabidi nibaki unafanyaje Mzee mjengo ndio ameongea
Lakini Usiku wa manane ulipotimia nikashtuka roho inaniuma sikujua kwanini, kuangalia pembeni namsikia Don anakoroma nikanyata nikaondoka mpaka nyumbani kwa Don mlinzi ananijua akanifungulia Hapo saa 8 usiku
Nilikuwa na funguo ya Don nikafungua kuingia kimyaa nikapanda ngazi nielekee chumba cha Anija (Money Stars) naskia watu wanacheka kufungua mlango naona Anita na Aloyce wapo kwenye mahaba nikaona nisiingilie watu na raha zao wakiwa utupu ...nisijeitwa mwanga bure
Nikaenda chumba cha Anita nikaona kipo kimeachwa picha za Anita tangu utotoni mpaka walipikutana na wazazi wake doh mpaka anafungiwa ndoa kanisani mpaka mazishi doh
Nikaskia watu wanacheka chumba cha pili tofauti na cha Anita na Aloyce, nikavua viatu ninyate shilawadu nikachungulie saa 9 usiku Hapo mpenzi msomaji
Kuchungulia hamaaadi namwona Papaa na Mrs Don wanavinjari roho ikanifanya paaa kama nimepigwa na umeme na ile roho kuuma ikaacha mana nishakamata mwizi wangu
Nikasimama pembeni nimepigwa bumbuwazi sio la kitoto machozi yakaanza kunitoka sikujua yanatokea wapi, kurudi kuchungulia tena Papaa Kweli yupo buzy kimahaba na Mrs Don
Ikabidi nijibanze niskilize wanachoongea
Mrs Don: nataka niachane na mume wangu nije kwako.. mume wangu ana wanawake wengi alafu anapenda vitoto vidogo umri na mwanae
Papaa: akaangalia pembeni kama hataki
Mrs Don: vp mbona umekasirika au umeshapata mwanamke mwengine unajua uliniahidi baada ya haya mambo kuisha utanioa?!
Papaa: najua nimekuahidi Lakini mbona mapema sana?!
Mrs Don: mimi nimeshachoka kukaa na huyu Mzee sijawahi kufanya nae tendo la ndoa nina miaka 3 sasa, na Leo wewe ndio umeniamsha nimekusubiria miaka yote hii wala hautokei sijui unasema upo kwenye mishen sijui umepewa kazi, kazi zako hizi hata haziishi
Kesho najitoa ufahamu namweleza mume wangu kuwa nataka talaka sio kwa raha hizi ulizonipa tangu tuzike mpaka Leo na nimeshachoka kujiiba nataka niwe na wewe mtaaani mana nakupenda sana
Papaa: anambembeleza usimwache mumeo tafadhali ndio Kwanzaa mmezika wajukuu na mtoto sio vizuri
Na pia mimi kule kazini wananihamisha napelekwa ulaya kwa miaka 15 sijapangiwa kuoa nitakupeleka wapi?!
Mwezi ujao naondoka kikazi tafadhali usimwache mumeo bora tuendeleze kufanya yetu kwa siri na najua wewe kuja ulaya haitakuwa shida sana
Mrs Don: hakuonekana kufurahia kuondoka kwa Papaa na alionekana kushtuka kwa miaka 15 doh akaamua kulia
Papaa akambembeleza bembeleza na wewe wakazama kwenye mahaba
Money Penny: nikanyata
Nikaenda chumbani kwa Marehemu Anita nikalia nikalia mpaka donge lililokuwa moyoni lilipoisha sikumbuki saa ngapi nililala ila nilishtushwa saa 11 na money stars (Anija)
Anija: Penny ni wewe au naona mzimu?!
Nikashtuka nikamwona Anija amepunguuua tofauti na sikuile nikamkumbatia analia masking pacha wake ameondoka
Tukaongea sana tunacheka tunalia tunacheka mpaka saa 2 asbh ndio Aloyce akaja anashangaa Penny upoo? ! Umepotea sana
Nikamtania Aloyce tukawa tunacheka wote mara akaingia Mrs Don, anashangaa hee kuna mgeni kumbe Penny kariiiibuuu jamaaan huku analia mnafiki mkubwa
Nikawa naangalia angalia labda Papaa atatokea sikumwona hehehe
Tukaenda kunywa chai wote Papaa hayupo
Aloyce yupo fiti anaachia achia magongo kimtindo anafanya mazoezi ya kutembea mwenyewe
Nikawauliza harusi lini wakasema Mwezi ujao Penny uwepo
Aloyce: penny uwepo tafadhali, uwe maid of honor wa mkewangu Anija
Mrs Don & Anija: Kweli Penny plzzz uwepo
Money Penny: doh jaman asanteni ila kama ni mwezi ujayo mimi itabidi nirudi Dar Kwanzaa nikakae nitafute kazi ndio niombe likizo
Mrs Don: oh! shule imeshaisha mwanangu?! Nilikuahidi nitakutafutia kazi
Ngoja nitapiga simu nikuulizie mwanangu basi utakuwa unakaa hapa hapa kwetu uwe unamsaidie Anija (Money Stars) na kazi zake za biashara atakulipa mwenyewe baada ya harusi kazi itakuwa imepatikana
Money Penny: nikamwangalia Mrs Don kwa jicho la Furaha rohoni nina hasira nae vbaya mno
Nikapewa na chumba cha kulala nikasema heee Mwezi utaisha Kweli hapa?! Mume ananitaka Papaa nae ananitaka kufumaniana ndani ya nyumba moja vepe?!
Nikamshukuru nikawaambia Ngoja nirudi hotelini nikapaki mizigo nije
Anija amefurahi Kweli kuniona katumbo kake kameanza kuonekana na hivi ni mwembamba kitumbo kikubwa hadi raha
Nikaondoka pale bila mafanikio ya kuonana na Papaa, kurudi Hotelini namkuta Don hayupo
Nikalala Kwanzaa kuja kushtuka naskia hodi kufungua naona ni Papaa doh huyu mhuni vepe tenaa? !
Papaa: penny ni wewe? Nilidhani nimekosea kukuona
Money Penny: unasemaje fake Pastor?!
Papaa: nataka tuongee akanivuta mkono nikajinyofoa nikafunga mlango akanipeleka chumbani kwake hapo naogopa hotel ya Don wafanyakazi wananijua nishakuwa Alwatan Pale
Kufika chumbani mambo ni yale yale tu anaongea nazidi kumdharau akaanza kunirubuni dah sitaki hata anishike namwona kama uchafu fulani hivi
Nilipoona ananizidi nguvu nikamwuliza, kati ya Subira, Marehemu Anita, Mrs Don na mimi nani unampenda zaidi?!
Nani Mtamu zaidi?!
Nani hauwezi kuishi bila yeye?
Unasafiri miaka 15 kwenda wapi?!
Na ulipanga kuniambia lini kuwa unaenda ulaya for Good?!
Papaa akawa kama amechanganyikiwa haelewi naongea kiswahili au naongea kichina au naongea lugha ya kwao kijijini
Tuonane Tar 10 May 2018 saa 1 usiku ya Tanzania kujua Tamati ya Mahusiano yote
-----------------------------------------------------------------
E. MWISHO WA MAMBO YOTE
Papaa: Penny mbona maswali mengi umekuwa afande?! Nisafiri kwenda wap tena?!
Mrs Don ndio nini sijakuelewa mimi nishakwambia mimi nakupenda wewe ukorofi wa nini unatafuta statistics hadi za Marehemu? ! Haha haha Penny Bwana
Money Penny: sawa endelea kujikausha alafu usinisumbue nikawa naondoka akanidaka kuinoni juu juu nikabebwa kama kigunia akanitupa kitandani doh nilishasahau kuhusu Papaa na jinsi alivyo
Akayararua mavazi yake fasta mimi huku najiandaa kumponyoka nikavutwa na kurudishwa kitandani akasema leo nitakuonyesha Nani nampenda zaidi, Nani mtamu zaidi
Money Penny nikapewa raha ya kikubwa doh Papaaa ananikamua kweli kweli hajui mimi nishakuwa bimdogo wa Don
Siwezi kusahau sikuhio kuna watu Mungu kawapendelea kusini na Papaa ni mmoja wapo ...
Wanaimbaga mwanaume Machine lakini ya Papaa ni zaidi ya Machine ule ni Mnara
Baada ya show kuisha tukalala Baada ya masaa 2 nikashtuka kuangalia ni saa 9 jioni, nikakimbia kuoga Papaa akanifuata huko huko nikapewa mnara mwingine, jamaa huyu sijui ndivyo alivyo au alimeza vidonge hachokiii uuuuwi kutoka bafuni anataka tena eh nikamchomolea staki kanifosi show ikaendelea mijitu mingine sijui vipi hata haijui kuskiliza mwenzake
Kuja kushtuka saa 2 usiku, ikabidi ninyate nikaoge huku nimebana mlango, nikavaa haraka haraka kutoka namkuta amejilaza ananiangalia
Papaa: unaenda wapi mpenz
Money Penny: mimi nadhani uchukue ajira yako ya miaka 15, Siwezi kuchangia Bwana na wake za watu
Papaa: wewe mbona upo na mume wa mtu
E. MWISHO WA MAMBO YOTE
Papaa: Penny mbona maswali mengi umekuwa afande?! Nisafiri kwenda wap tena?!
Mrs Don ndio nini sijakuelewa mimi nishakwambia mimi nakupenda wewe ukorofi wa nini unatafuta statistics hadi za Marehemu? ! Haha haha Penny Bwana
Money Penny: sawa endelea kujikausha alafu usinisumbue nikawa naondoka akanidaka kuinoni juu juu nikabebwa kama kigunia akanitupa kitandani doh nilishasahau kuhusu Papaa na jinsi alivyo
Akayararua mavazi yake fasta mimi huku najiandaa kumponyoka nikavutwa na kurudishwa kitandani akasema leo nitakuonyesha Nani nampenda zaidi, Nani mtamu zaidi
Money Penny nikapewa raha ya kikubwa doh Papaaa ananikamua kweli kweli hajui mimi nishakuwa bimdogo wa Don
Siwezi kusahau sikuhio kuna watu Mungu kawapendelea kusini na Papaa ni mmoja wapo ...
Wanaimbaga mwanaume Machine lakini ya Papaa ni zaidi ya Machine ule ni Mnara
Baada ya show kuisha tukalala Baada ya masaa 2 nikashtuka kuangalia ni saa 9 jioni, nikakimbia kuoga Papaa akanifuata huko huko nikapewa mnara mwingine, jamaa huyu sijui ndivyo alivyo au alimeza vidonge hachokiii uuuuwi kutoka bafuni anataka tena eh nikamchomolea staki kanifosi show ikaendelea mijitu mingine sijui vipi hata haijui kuskiliza mwenzake
Kuja kushtuka saa 2 usiku, ikabidi ninyate nikaoge huku nimebana mlango, nikavaa haraka haraka kutoka namkuta amejilaza ananiangalia
Papaa: unaenda wapi mpenz
Money Penny: mimi nadhani uchukue ajira yako ya miaka 15, Siwezi kuchangia Bwana na wake za watu
Papaa: wewe mbona upo na mume wa mtu
Mimi sijakulalamikia na upo mtamu vile vile?!
Money Penny: tatizo lako sio msikilizaji masihara umeweka mbele
Nakaa Arusha mwezi m1 narudi Dar ukiamua kumuoa Mrs Don poa ukiondoka kikazi poa hainihusu tena nimeshakupa unachokitaka niache niishi maisha yangu
Papaa: Penny kuna vitu vingi hajui kuhusu mimi, akawa anataka kunieleza simu yangu ikapigwa kuangalia ni Subira
Money Penny: Subira nitakupigia
Subira: Penny uko wapi mwezio nimechanganyikiwa
Money Penny: Nipo Arusha kwa akina Anija
Subira: nakuja kesho tafadhali
Money Penny: karibu.. simu ikakatwa, enhe ulitaka kusemaje mana nikikutwa huku sitaeleweka
Papaa: akatoa tena Pete, will you marry me?!
Money Penny: he'll no! Hapana .. naolewaje na kipusa?! Anaetembea na mke wa Don
Papaa: lakini mimi nampenda msichana Anaetembea na Don
Money Penny: No, kwaheri na kesho nahamia kwa demu wako naona huko ndio nitakuwa nakupiga chabo usiku wa manane na show zenu za kijinga
Papaa: Penny Mrs Don ni boss wangu
Money Penny: nikasimama.. Boss kivipi?! Kwahiyo Mrs Don ni Mchungaji Mkuu au Askofu Mkuu au?!
Papaa: inabidi nitengeneze kwa boss ili nipate promotion
MONEY penny: Kwahiyo wewe kila ukitaka promoshen lazima utembee na maboss wako si utakufa na ukimwi?! Inamaana haunifai basi haya maisha gan yatakuwa
Papaa: penny hautanielewa kwa sasa plz nikubalie ombi langu tafadhali
Money Penny: nikatoka nikamuacha ananiita kufika chumbani namkuta Don hapo saa 1 usiku nimechoka kiuno kinaniuma dah Don nae alivyomwehu lazima atanihitaji
Don: mpenzi umerudi, nikakumbatiwa mabusu kibao unaona kabisa Don amekumiss na anakuhitaji
Money Penny: ngoja Kwanzaa kuna kitu nataka kukwambia
Don: baadae huku ananichum
Money Penny: kesho nahamia nyumbani kwako Anija ameniomba nikae nimsaidie maandalizi ya harusi
Don: najua ameniambia nimefurahi kuwa unamsaidia, binti yangu anakupenda sana
Money Penny: Kwahiyo tutakuwa tunaonana wapi sasa?!
Don: mmmh! Kuna kitu nataka kukweleza... niligombana na mke wangu baada ya msiba anasema anataka talaka, alinifumania na mwanamke m1 zamani kabla sijakutana na wewe
Huyo mwanamke alishaoa
Kwahiyo ameshaandika talaka kesho natakiwa ni saini... watoto tumeshaongea nao hawajafurahi lakini nafanyaje sasa?! Mama yao ndio anataka nimeona nimpe anachotaka
Money Penny: nikajifanya kushangaa, nikamsihi sana wasiachane mana wameshakuwa watu wazee sasa na wajukuu wanao na wanakuja
Don: akakataa katu katu, nataka niachane nae nikuoe wewe
Money Penny: tobaaaa (kimoyomoyo) heee? ! Mimi niwe mama mdogo wa Anita?!
Don: hatutaishi hapa nataka nihamie Switzerland moja kwa moja nikamalizie uzee wangu kule ... nitakuwa nafanya biashara zangu kule na wewe ukiwa pembeni yangu
Money Penny: nikachoka wanaume 2 niliowapenda wote wanahama nchi na wanataka wanioe doooh!
Lakini mimi naipenda Tanzania yangu, sijawahi kujiona naishi nje ya Tanzania maisha yangu yote, kwahili nitakuangusha Don
Tafadhali usiachane na mke wako
Don: nimeshaachana nae muda tulikuwa tunakaa kwa ajili ya watoto na sasa sioni sababu
Money penny: nikamhurumia kwakweli miaka yote 25 ya ndoa inakuja kupasuka njiani namna hii sio vizuri
Don samahani siwezi kuolewa na wewe nisamehe sitaki kuonekana ni moja ya sababu ya kuvunjika ndoa yako
Don: aliliaaa kama mtoto mdogo, akanibembeleza masaa 3, akanionyesha na plan zake mimi bado mbishi nakataa hapana siwezi naipenda Tz naipenda Tz.. hehehe
Nikamuaga naondoka naenda kulala kwako
Akaniomba anipe mavituz ya mwisho mwisho kwa ukumbusho nikamhurumia nikampa huku najikaza Don mwenyewe anatoa huduma kwanguvu ili nibadilishe mawazo Penny mwenyewe kichaa mzalendo halisi ulaya kitu gan buana tutaendaga tu kutembea
Asbh nikashtushwa na simu ya Subira, ananiuliza nipo wapi nikamuelezea.. akaja baada ya dk 45 nikamwacha Don amelala
Subira akanieleza jinsi gan amegombana na bwanawake anatamani kuolewa blah blah kibao hana raha anajiskia kufa hajui afanyaje umri umeenda amejitoa sana kwa yule bwana lkn wapi
Nikamnyamazisha nikamwambia twende tukaenda chumba cha papa
Subira anashangaa papaa a nafanyaje huku tena
Money Penny: Pastor naomba ukae na huyu mtu maramoja nakuja ole wako umtafune utanikoma
Papaa anashangaa Penny na Subira wap na wapi, Subira akaingia akakaa kwenye kitanda akalala
Nikatoka nikarudi chumbani kwa Don, namkuta amekaa anaangalia TV nikaenda kumkalia Mapajani
Money Penny: Don naomba nikuombe ombi langu Tafadhali naomba unikubalie
Don: kwa furaha ombi gani tena? ! Umebadilisha mawazo tunaondoka wote?
Money Penny: hapana, ila nataka kukuozesha kwa mtu wangu
Don: eh?! Uniozeshe?! Akacheka Penny umekuwa Pimp saa ngapi?
Money Penny: nikamchumu plz my love, ni mdogo wangu namfahamu na najua atakuwa mke mzuri kwako.. plz plz... naona atakuwa salama akiwa na wewe mana wewe ni mtu mzuri sana na utampenda kama na zaidi ya ulivyonipenda mimi, kwani tatizo liko wapi? Ni mdogo wangu mtoto wa Shangazi yangu(namdanganya)
Don: OK OK... yupo wapi? Una picha nimuone
Money Penny: usiniangushe saw a? !
Nikapaki mizigo yangu nikaitoa nje... nikarudi nikamkumbatia Don, nikamshukuru kwa msaada wake wote, nikamsihi asimwambie huyu dogo kama nilikuwa nae kimapenzi,
Hakuelewa lakini akakubali
Nikamchumu kwa mara ya mwisho nikamwambia nakuja nisubirie hapa
Nikaondoka na mabegi mpaka reception nikayaweka nikapanda mpaka kwenye chumba cha Papaa nikamkuta Subira amelala nikamuamsha mama twende Papaa anashangaa hawa vepe, nikamwambia Papaa nakuja usitoke huku
Nikaingia chumba cha Don namkuta ameshavaa nguo anasubiri, nikamtambulisha Subira kwa Don, Subira anashangaa vp penny
Money Penny: huyu ni
Subira: Babake na Anita unanileta kwake kwanini? !
Money Penny: anahitaji mke, na wameachana na mkewe
Subira: heee
Money Penny: ongeeni, pendaneni mimi naenda nyumbani kwa Don nitakuwa naishi kule, nikamnong'oneza Subira (usiniangushe nakuaminia chance ndio hii changamkia tenda)
Nikamkumbatia Subira nikaondoka nawaacha wanashangaana
Kurudi kwa Papaa ananiuliza vp penny mbona skuelewi?!
Money Penny: muoe mke wa Don lakini unipe kazi ya maana
Papaa: hapana penny mimi simpendi
Mrs Don bwana Acha kuzingua
Money Penny: na mimi naipenda nchi yangu, sipo tayari kuishi nje ya hapa japo kwa sasa labda miaka 5-10 baadae
Nachotaka ni ajira, kazi ... kama hauwezi basi
Papaa: penny upo serious kweli?!
Money Penny: ndio nipo Serious wewe nenda kwenye kazi yako mimi nabaki na kazi yangu, it's a win win situation kwetu wote si ndio?!
Nikaondoka nimemwacha ameduwaa
Nikaingia kwenye Nyumba ya Don kama mfalme nakaribishwa kama mfalme, nikapewa chumba nikaanza kuishi
Nikaishi kwa Don wiki 3, sikuskia toka kwa Don wala Subira wala Papaa .. nikafundishwa Biashara na Anija kwa level ya kitaifa na kimataifa, nikajiona mjinga kwanini sikukubali Ofa ya Papaa na Don.. nikaanza kupenda kujiajiri na sio kuajiriwa
Siku ya mahari ya Anija (Money Stars) akaja Don kupokea na Papaa lakini Subira hakuwepo na wazazi wa Aloyce na ndugu wengi walikuwepo
Siku ya harusi ya Anija ikatimia Harusi ikafungwa nyumbani kwa Don... lakini zilifungwa harusi 2
Harusi ya Anija na Aloyce
Harusi ya Don na Subira
Na mimi kama Matron of Honor wa Harusi zote mbili
Kwenye kufunga harusi sikumwona Papaa na Mrs Don alionekana mnyonge sana na mpweke alafu wala hakujali kuwa mumewe anaoa
Subira akanishukuru Sana kumkutanisha na Don akasema Don ni mwanaume alietamani kuwa nae na aliekuwa akimwomba Mungu ampatie miaka yake yote
Sikuile niliowakutanisha walipendana ingawa alimwona Don kuwa mtu alieumizwa akamwambia kuwa alipenda wanawake 2 wasiompenda na mmoja na mkewe ila mwingine hakumtajia mana alishakufa
Money penny: nikajisemea moyoni tobaa nimeshauwawa marahii?!
Sherehe ilikuwa nzuri sana, Aloyce alifurahi kumuoa Anita aliekuwa na ujauzito wa miezi 5
Wakaondoka wote wakaenda Honey Moon
Tukabakia nyumbani pale na Mrs Don
Nikakaa kae Siku 2 nikaamua kumuaga narudi Dar nyumbani
Akanipa Bahasha 2..moja ilikuwa na hela nyingi sana, nyingi kwa kipindi kile cha miaka ya 90
Nikaikataaa akaniambia wewe ni kama Binti yangu kabisa hio hela ni ndogo sana
Money Penny: utafanyaje sasa umebaki pekeyako huku ndani au utaenda kuishi na watoto wako wa kiume?!
Mrs Don: wala usijali, wapenzi wangu 3 wameondoka maishani mwangu lazima maisha yangu yaendelee
Anita ameondoka nimeshaachilia
Don ameondoka nimefurahi amepata mtu wa kula nae uzee
Na mpenzi wangu ameondoka sitamwona tena mpaka miaka 20 ipite
Money Penny: miaka 20?! Yote hio utamsubiria?!
Mrs Don: Mungu atanipa saizi yangu wa uzee wangu
Money Penny: nikamhurumia Mrs Don, kweli yule mama ana moyo na roho ya tofauti, nikamkumbatia nikamshukuru kwa kila kitu
Nikamwuliza vp kuhusu kazi?!
Mrs Don: Bahasha ya pili umeifungua?!
Money Penny: nikafungua haraka haraka he he he hizi kazi hizi zitatuua kuomba omba sio kuzuri wooo
Kufungua nikaona barua ya kuanza kazi mwezi ujao. .. natakiwa ni report Singapore siku 5 mbeleni, na tiket nimeshakatiwa na hotel room nimeshalipiwa Jesus bonge la muujiza
Tena kampuni ya kimataifa, naenda kufanya kazi za International Business miaka 3 Singapore miaka 3 Korea, miaka 3 London na miaka 3 Geneva Switzerland
Ni programme imeshaandaliwa na watu wa UN kwa vijana na haibadiliki mpaka mikataba iishe
Nilichizikaa Money Penny kwenye payroll ya UN, OMG bonge la Muujiza
Nikambusu Mrs Don, kweli ukikaa na uaridi utanukia, Mrs Don akawa anacheka tu,
Tukala chakula cha pamoja usiku huo asbh akanipeleka Airport nikarudi Dar na mafuraha nikamweleza sister akafurahije
Nikawa nasubiria siku ya kuondoka sasa, si unajua Singapore hatukuwa na Balozi Tz miaka hiyo,
Nikapanda moshi kuaga wazee, wakafurahi kweri kweri Yeesu na Maria mwanetu anakwea pipa Yeleuuuwi
Wakaongea kichaga halo nikaitiwa na mchungaji ibada ikafanyika siku za mbeleni nikaombewa hapo na sister alikuja Sherehe kila leo
Siku 3 kabla ya safari Mrs Don akaniambia natakiwa niende Nairobi kwa ajili ya kukutana na wenzangu kuondoka pamoja nikawaaga wazazi nikasindikizwa mpaka KIA watu kibao, baba, mama, dadas, shangazi, wajomba, Mama wadogo, mama wakubwa, baba wakubwa, baba wadogo yani ilibakia kidogo nibebeshwe na mgomba hahahaha
Nikatua Nairobi nikapokelewa nikapelekwa hotelini nikapewa chumba changu mwenyewe nikalala
Asbh nikaamshwa nikaenda kuonana na wenzangu tukafahamiana tupo 10 nchi mbalimbali lakini Tz nilikuwa pekeyangu ... tukaongea tukafahamiana tukala, tukafurahi, tukacheza ilikuwa rahaje
Kesho yake tukakwea pipa mpaka Singapore kuzurije sasa, woi kuzuri macho yakanitoka nakwambia kama mjusi kabanwa na mlango kiru mchaga kaja uraya!
Kifupi niseme kuwa maisha yangu ya Singapore yalikuwa mazuri sana, kwenye kazi na maisha ya kila siku...
Sikuwahi kuwasiliana tena na Papa ila Anija niliwasiliana nae akasema Papa alikwenda kuwasalimia Tz na Aloyce walipopata mtoto wa kiume
Nilipomwuliza Papa anafanya wapi simu ikakatika sikupewa jibu
Miaka 3 ya Singapore ikaisha nikaenda Korea, miaka 3 ya Korea ikaisha nikaenda London, miaka 3 ya London ikaisha nikaenda Geneva nikakutana na Subira na Don, wana mtoto m1 wa kiume.. muda mwingi nilikuwa naspend nao hasa weekends
Huwezi amini Subira alishabatizwaga akawa Mkristo anaitwa Helena sasa anajua Biblia kuliko shetani mwenyewe
Don alikuwa na Uzee mwema kwasababu ya Helena kwenye maisha yake, nikaamini kuwa hakunaga Mtalaka wa kiume wengi wao huishia kuoa. .. wanaume hawawezagi kukaa pekeyao
Miaka 3 ya kazi Geneva ilivyoisha nikaambiwa nichague kokote kufanya kazi Duniani nitapelekwa nikaona nirudi Tz nikakae na wazee huenda nitapataga bwana wa kunioa
Nikapangiwa Tz nikarudi kama kawa lazima urudishe heshima Moshi kwa wazee, kama kawa Sherehe kubwa Mchungaji wa kuombea, pombe kwa sana, etc etc
Nikarudi kuanza kazi Dar sasa, siku nipo weekend Sea Cliff Hotel nikakutana na Papaa tena sikumuona yeye ndio aliniona akanifuata akanibeba juu juu!
Yeesu nilichokaa huyu si alisema anaenda ulaya miaka 20 mbona ni miaka 12 tu tangu tuachane?!
Tukaongea sana, akaniambia hakuwahi kuoa, mahusiano yake na Mrs Don yaliendelea kwa miaka 5 akawa anasafiri anaenda kwa Papaa anakaa mwaka anarudi... lakini baadae hawakuendelea Mrs Don alipata Mzee mwenyewe wakaoana
Papaa: wewe je Penny umeolewa na watoto?!
Money penny: sijaolewa na sina watoto am still single
Papaa: haiwezekani umekuwa sister ee? ! Hata wa kuwasha na kuzima moto hauna? ! Akawa ananitania kweli papaa habadiliki yupo charming vile vile
Money Penny: hahaha nimeshakuwa bikra mwenzio
Tukaongea sana, tangu siku ile tukawa marafiki zaidi ya marafiki. . Ndio zaidi ya marafiki na bikra ya uzeeni akanitoa yeye
Tukapanga kuoana bwana, kila kitu kikawa tayari, keshalipa mahari bado wiki moja tuoane
Sikumoja tukapanga kukutana kwa ajili ya fitting ya nguo za harusi na mengineyo si unajua ukiwa unaolewa bwana harusi anakuwa anakusindikiza kununua kila kitu aangalie anachokipenda kama hajapenda nguo za ndani unaacha kama kapenda unachukua
Tukachagua weee akaniambia penny ngoja nikanunue vocha hapo dukani nimpigie dereva aje na wewe simu yako imeisha vocha
Akatoka ikabidi avuke barabara ndio akutane na duka la vocha
Akavuka fresh kurudi sijui hakuangalia maskini pande zote likaja fuso lipo speed likamngonga buuuuum pale pale kwisha habari yake
Huwezi amini nilipiga makelele mana show nzima nilikuwa naiona lakini nipo ndani ya duka lina a/c hasikii
Woi mchaga nililiaaa nilijaza watu mwenye fuso kakimbiaaa ikabidi watu wanipeleke kwenye maiti ikabebwa na msamaria mpaka hospital wakapigiwa ndugu zangu akaja Dada, yani sitaki kukumbuka ile siku ni kama movie vile
Baadae ya wiki 1 Papaa akazikwa kwao Kagera, msiba ulijaaje watu, ndio siku niliojua kazi aliokuwa anaifanya Papaa, alikuwa mtu mkubwa sana Nchini, na kama ageoa angepandishwa cheo
Zaidi
Watu kibao nakwambia wengine Hata sikutarajia kama watakuja walikuja mana walikuwa watu wakubwa sana...
Aloyce alikuwepo na Anija
Mrs Don alikuja na huyo bwanake Mpya
Familia yangu ilijaa toka uchagani mweee sio kwa sifa ya mahari alioionyesha Papaa alipoends kulipa kila mtu alimpends kule uchagani
Upande wa Familia yao ndio usiseme nyomi kijiji kizima kudadeki
Wakazika salama na respect kibao Money Penny nashangaa uuuwi ningekuwa Mrs Respect eee? !
Walipomaliza mazishi nikaondoka kwenda kukaa na wazee sijui mila kurudisha mahari niachwe huru mana sikuolewa yakafanyika ya kufanyika kimila baada ya tanga wafamilia na mimi tukaondoka
Dar ilikuwa chungu kwangu nikatamani niombe uhamisho nikakae nje kila siku kwangu ilikuwa msiba
Kila siku nilikuwa namwota Papaa, imagine kila siku naona kama anakuja naongea nae anaondoka,
Anakuja tunapiga stori, wakati mwingine dada ananiuliza unaongea na nano namwambia si papaa huyu hapa kwani haumwoni?! Akawa ananiona kama nimechanganyikiwa
kwa muda wa miaka 3, sikuwa na hamu ya mwanaume yeyote Hata waliokuja niliwakataa Hata walioenda kulipa mahari kwa nguvu walifukuzwa nilipoulizwa unamkubali mtu huyu
Baada ya miaka 3 nikapewa promotion kazini ya kwenda kufanya kazi popote napotaka ila nikihama nchi kurudi ni baada ya miaka 5 ndio itatokea tena nikaambiwa chagua kwa makini
Nikapiga akili wee na sister akanisaidia akaniambia Penny kwa umri wako na nini nakushauri uende Marekani utapata wa kukuoa mtu mweusi kama wewe
Nikakubali nikaomba
Niende Marekani, wakaniambia nafasi Marekani imejaa ila kuna nafasi Canada Nikakubali
Nikaenda kuanza maisha Upya Mjini Toronto Canada,
Baada ya mwaka m1 nikakutana na mtanzania mwenzangu anayeishi Canada alizaliwa huko akakulia huko akasoma huko, Babake ni Mtz mamake ni Mcanada. .. ndio nikafungua moyo kwa mara ya kwanza tukaanza mahusiano
Haikuchukua miezi 3 nikaolewa huko huko Canada na Dadangu akiwa matron of Honor wa harusi..
Nikaja kuwaalika wazazi baada ya miezi 6 wakaja kufanya Sherehe na kutambua wakwe na wapi mwanao kaolewa. ..
Baada ya mwaka m1 nikapata watoto mapacha wote wakiume .. wote raia wa Canada kwa kuzaliwa kama Baba yao
Mume wangu alinipenda mara mia ya Papaa, wakati mwingine nilikuwa nahisi Papaa amekaa ndani ya Mume wangu. ..
Mume wangu alifanana sana na Papaa kwa kila kitu kasoro sura.. urefu, rangi, maongezi, anavyoongea nadhani ndio kilichonivutia kwa Mume wangu. .. Papaa ndani ya Mume.
THE END
ASANTE SANA KWA KUSHIRIKIANA NAMI NA KUSOMA HADITHI HII YA MAHUSIANO.. MUNGU AKUBARIKI
NIKIJAALIWA NITAILETA TENA HADITHI YA MAHUSIANO YA WATU WENGINE. .. WATANZANIA WENGINE
TUONANE TENA TAR 15 MAY 2018 KWENYE HADITHI MPYA YA KWANINI UPO SINGO?!
KITABU CHA MAHUSIANO NITAKITOA ILA BAADAE KIDOGO
0 comments