BORA MCHAGA MWIZI KULIKO MPARE BAHILI....
- August 15, 2017
- By Money Penny Tz ~ Stories
- 2 Comments
SEHEMU YA 1
A. MAMA SITAKI KUOLEWA NA WACHAGAA
MANKA:
Yani mama mimi sipendi kabisa kuolewa na hawa ma shemeji zako wa kichaga, unajua sielewi kwanini uliolewa nao mama; kwanza ilikuwaje ukaolewa na wachaga!?
Mama Manka: ah acha tu mwanangu, ila baba yako nampenda sana
Manka: du kweli una moyo! sio kwa maisha haya tunayoishi asee. Mzee ana hela ana mali lakini tunaishi kama mafukara machokoraa wa kutupwaa!
Angalia familia ya akina Eliza na akina Ngosha pale angalia akina Lulu wanavyoishi.
Huyu Mumeo sijui yupoje!? kwanza amerudi? maana akiniskia nitakomaa
NKAKENI: kwanza Mama hii Tabia ya Baba kila akirudi nyumbani watoto tunamwogopa kama Mungu ni nini lakini?!
Kwanini tusiwe kama akina Ngosha Baba yao akija tu wanamkimbilia wanamkumbatia wanaenda nae ndani.
Sisi Baba akija kila mtu anakimbilia kulala na hapo uwe umefanya homework zote umemaliza, Baba yako mzazi anakuwa kama shetani wa kuzimu bwana! Mimi haya maisha siyapendi hata kidogo yani wachaga nimewachukia hakuna mfano wake! siwapendi na sidhani kama nataka hata kuolewa nao, wanaanzaje labda? na ikitokea siku mmeamua kula mahari ya mchaga kisa mnanioza mimi, mtajiju, nitafanya mpango huo mtanikuta nimeshaolewa sehemu nyingineee... yani kuolewa na mchaga! Bora nikaolewe na Mpemba au Mwarabu anigeuze jinsia lakini sio Mchaga, Never!
Manka: alafu Tabia ya kutulazimisha kwenda Moshi, kila mwezi wa 12 kama wafungwa nimeshachoka sitaki.. sasa hivi nimemaliza sekondari naenda chuo nataka uhuru wangu. Nimefaulu form 6 sawa naenda hapo Ifm kusoma kwanza nataka nikae hostel, niishi maisha ambayo Mungu amenipangia kuishi sio haya ya Mungu-shetani-Binadamu
Mungu akitokea shetani anakimbia
Shetani akitokea Binadamu anakimbia nimeshachoka Mama
Nataka nikienda chuo niende kujirusha nakula bata na kuku mzima, sio hapa nyumbani ni vipapatio tangu tupo wadogo mpaka wakubwa ni nini hiki?
Mimi mpaka sahivi sina bwana, sijui hata kupenda, sijui chochote kuhusu wanaume, wanaume nawaona kama mashetani maisha gani sasa haya!? yani wanaume siwapendi kwasababu ya huyu anayeitwa Baba yetu, mshenzi sana ni katili wa kufa mtu!
Nkakeni: kuhusu kula kuku, kwanza mpaka twende sabasaba au twende Moshi Krismas ndio tunakula paja na mgongo ila hapa nyumbani vipapatio kwenda mbele yani mama ni aibu sana!
Alafu Mama nimesahau kukwambia, nimepata mchumba Mama yangu, natamani nije kumtambulisha ila nawaza naanzaje, wakati baba namwona kama Chui
Mama; oh mwanangu umepata mchumba, jamaani hongera sana, anaitwa nani, kabila gani, anaishi wapi, anafanya wapi kazi? analeta lini mahari? !
Nkakeni: mahari?! Mahari nani analeta nimempiga stop staki mahari maana ni aibu na huyu baba yetu ushenzi mtupu! Mama sio kwa mateso ya hapa nyumbani
Huyu mzee ni dictator wa kufa mtu, alafu mama mumeo nitakuja mfanya kitu kibaya mpaka arudishe namba kwa Mungu!
Mama: kwaiyo unataka kumwuua baba yako?!
Nkakeni: simuui ila nitamfanya kitu mbaya mpaka ajute kuzaliwa ataondoka mwenyewe atuachie sisi tuishi vizuri.
watu tunaishi kama tupo mafia au Sudan kusini kwenye vita kumbe tunaishi kwa wazazi
Pendo: Hivi Mama, huyu mumeo anajua kupenda kweli?
Kwanza ulimpatia wapi maana wewe sio wa kabila hili wewe ni mtu wa Dodoma
Mama: mh jaman mbona mmeniandama hivi?!
Wewe Nkakeni unataka kuolewa wakati shule ndio kwanza form 4 umemaliza acha ujinga, soma mpaka chuo upate kazi. Baba yako hatopokea mahari bora umrudishe huyo mchumba wako
Manka: dada Pendo, unakumbuka tuliendaga Moshi juzi kati kwa ajili ya christmass, si shangazi akawa anaongea na marafkizake anawaambia wifi yake ni Chyasaka?!
Pendo & Nkakeni: eh niliskia nilitamani kumpiga shangazi na jiwe kama sio kaka kunistopisha! alinikera sana shangazi
Pendo: Hawa wachaga mimi siwapendi hata tone
Embu angalia Baba ana hotel 3 Dar es salaam. .. Ana hotel 1 Moshi. .. Ana nyumba 3 dar za kupanga, anafanya kazi serikalini ni boss lakini watoto wooote tumesoma shule za kayumba kuanzia vidudu mpaka chuo labda kama Nkakeni atapata bahati ya kusomeshwa shule za uzunguni za ulaya
Mimi kama dada yenu Pendo sitaki kabisa kusikia habari za kuolewa.
Kama wanaume wote wapo kama baba yangu, basi wakae na madyu dyu yao sitaki kabisa kuwaona! bora nife na bikira yangu nirudi Mbinguni niitwe Mtakatifu kuliko kumpa mwanaume usichana wangu alafu aje anitese kama Baba alivyomtesa Mama, sitaki huo ujinga hata kusikia!
Mama: akainama chini, mchozi ukaanza kumtoka mama wa watu, wakawa wanambembeleza ikabidi Mama yao afunguke kabla mumewe hajarudi
Unajua nimeumia sana pale Pendo aliposema hataki kuolewa tena imeniuma sana. Pendo naomba ufute hio kauli haraka sana maana itakutesa maisha yako yote hata kama utaolewa au laa
Miaka ya 70 nilipomaliza shule form 6, wazazi wangu wote walifariki katika ajali ya bus, wakitokea dodoma kwenda Dar.
Wazazi wangu walikuwa wanapendana sana sana sana hamna mfano wake!
Tangu hapo nikaja kulelewa na jamaa ya baba alikuwa Mchaga, alinitesa sana hakunijali alinifanya kama kijana wa kazi... kuamka asbh saa 12 kukatia ng'ombe majani na kurudi kukamua maziwa mpaka uje kunywa chai ni saa 4 asbh, chakula cha mchana saa 9 jioni cha usiku saa 5 usiku Kuamka asbh saa 10 asbh
Maisha yakawa magumu Elimu yangu ya form 6 ikaishia hapo hapo sikuweza kwenda national service wala wapi nikawa mkatia ng'ombe majani wa jamaa alienichukua.
Kwetu nimezaliwa mtoto peke yangu, sikuwa na ndugu na wazazi walipokufa nikabaki mwenyewe
Nikaishi na wale watu kwa muda wa miaka 5, siku moja akaja Baba yetu toka kijiji kingine cha huku Moshi, akaniona akanipenda akawa ananitaka mimi namkataa kwasababu sikuwahi kuwapenda wachaga kabisaa kwa yale mateso ya yule Baba na mkewe
Hapo natamani kutoroka sipati nafasi, kila nikijaribu nakamatwa basi nikakata tamaa nikaamua kukaa tu sasa sina msaada hakuna kitu, kanisani siendi maana nimeshakuwa dada wa kazi wa ile nyumba.
Nikaona bora nijifunzage na kichaga nikaanza kujifunza nikaweza!
Yule baba alienichukua aliniwekea ulinzi mkali na akahakikisha watu wote pamoja na majirani kuwa mimi ni mtoto wake.
Maisha ykawa yanazidi kuwa magumu kwangu kweli kweli, tena sana nikawa navumilia navumilia nahisi 40 yangu ikafikia tamati.
Siku 1, ilikuwa usiku wa mwaka mpya pale kijijini kwetu Kilimanjaro, wakawa wanachoma matairi shangwe za hapa na pale, wanapika pombe za makunduuu (makunduu ni ndizi za kupikia pombe 😂)
Nikakaa kwenye kijiwe naangalia watu wanasherehekea mwaka mpya wa 1978
Sipo mbali na mlango wa nyumbani nikaamua kuonja na pombe ya makunduuu
Mara naskia mtu ananikaba shingo alafu akaniziba mdomo sikukumbuka kitu kingine tena baada ya hapo!
kuzinduka niko kwenye chumba nisicho kijua, kuna kitanda kimoja basi.
Nikajua naota nikarudia kulala, kuzinduka tena baadae kweli sipo nyumbani kwetu, nikaanza kupiga kelele;
Mara akaja kijana mmoja nisiemjua akanifokea unanini wewe mwanamke shida nini?!
Hujui kuwa umeshaolewa?!
Nikamwuliza nimeolewa?! kivipi?!
Kijana: nimekuoa jana usiku nimekuiba kwenye mkesha wa mwaka mpya na leo yameshapita masaa 18 yakifika 48 hawakuoni nyumbani basi wanajua ushaolewa
Eh kuskia hivyo nikapiga makelele zaidi, ili majirani waje lakini hamna cha majirani wala nini!
Kumbe kanificha porini hamna watu mpaka utembee km 5, alifanya makusudi akijua kule watanitafuta akaamua kunificha mbali.
Kweli masaa 48 yakapita kweli, nikawa rasmi mke wa mtu nisiemjua kwa kuibwa baada ya siku 3 nikarudishwa kijijini kwao Machame.
Nikakaa mke wa mtu, nina uchungu sina raha naona dunia yote imeniangukia mimi, kadri siku zilivyozidi kwenda nikaikubali ile hali kuwa basi nimeshaolewa! ila kwa yule bwana nilikuwa nimeruka majivu kwa kukanyaga motooo
Miezi 9 ikapita nikamzaa kaka yenu huko kijijini, baadae maisha yakawa magumu mume wangu ambae ni Baba yenu akaumwa sana karibu ya kufa, wazee wa baba yenu wakakaa kuumizana kichwa na kufanya maombi ya kimila wakajua aliniiba mkesha wa mwaka mpya, wakamwambia mrudishe mtoto wa watu ukamuoe vizuri kwa upya, uombe na msamaha umekosea sana, mizimu ya kwao inaita haraka arudishwe mtoto wa watu kwao.
Ndio hapo nikapona kwa kurudishwa kwa yule baba jamaa na kakaenu,
Yule baba alipotuona alifurahi sana na mke wake, wazee wakaongeaaa wakaomba msamaha yule baba alienilea akakubali akasamehe wakalipa faini ya ng'ombe 30, mbuzi 20 na kondoo 5, zikaletwa ndani ya siku 3, wakaomba dua, basi mume wangu akaanza kupona, baada ya wiki akawa mzima kabisa.
Wakatufungisha ndoa baada ya wiki 2 ndio nikaolewa sasa na baba yenu rasmi huku nimeshazaa mtoto wa kwanza kaka yenu
Baada ya siku 5 za mila na ndoa tukarudi kijijini kwetu Machame kwa mume pamoja na wazee na kakayenu..
Tulipofika baada ya mwezi mmoja Baba yenu akapigiwa simu amehamishiwa kikazi Dar es salaam ndio tukaingia Dar es salaam mwaka wa 79, kaka yenu akiwa na mwaka mmoja tukaingia kwa baraka za wazazi wote
Nyumba ya kwanza tulioishi ilikuwa Kijitonyama, tukaanza maisha hapo akazaliwa Pendo, ukaja Manka ukaja Nkakeni ndio tukahamia Upanga.
Tukaishi Upanga sana mpaka mwaka wa 2000 tukahamia Mbezi Beach enzi hizo Mbezi Beach ilikuwa hot cake sana, lakini ilikuwa inasikika kama Mbezi Beach ya majambazi
Ndio mpaka leo tupo hapa; mmezaliwa mmekulia, mmesoma Dar, wengine kuanzia nursery mpaka Chuo mpo hapa.
Ila ndio hivyo kuwachukia kwangu wachaga hakujasaidia maana ukatili niliofanyiwa na baba yenu ndio niliofanyiwa na baba mlezi wangu
Sikutamani kuolewa kabisa lakini nikaishiwa kuolewa na wachaga hao hao niliowachukia
Sasa nyie watoto mnataka kuleta mapinduzi yapi tena wakati maisha yenyewe ndio haya haya,
Zikubalini hali zenu jamani, acheni ujinga na tamaa watoto
Mnanicheka mimi angalau mimi nafaidi vinono kama kawaida
Baba yenu akiacha paja la kuku nakula.
Na nyie subiri mkiolewa mtakula vinono vyenu msinisumbue mimi
Pendo tema mate chini tafadhali, maneno yasijekukurudia! kiru... wai!
Maisha haya tulionayo ni mazuri sana kuliko yale niliokuwa naishi mimi.
Manka: haya sio maisha Mama, wewe ulivyokuwa na huyo mlezi wako ulikuwa unamwangalia kama Mungu flani na kumwogopa!?
Chakula hamli pamoja, mnawekwa jikoni, kumwona baba mpaka sikukuu haya ni maisha gani jamani Mama?
Mama: ndio, tena bora nyinyi mimi nilikuwa nakula jikoni na mbwa na ng'ombe si bora nyie mnakula chumbani kwenu au jikoni hapa pazuri kabisa!
Mshukuru Mungu basi na hivi mimi ni mama wa nyumbani hata sijui mtafanyaje.
Lkn angalau mmesoma mpaka chuo na kaka yenu anayo ajira angalau mtanisaidiaga huko baadae
Manka: Thats Bullshit Mama! naona Baba keshakuharibu na wewe umeshaanza kufanana nae, hapa lazima baba tumweke sawa haya sio maisha
Si ndio dada zangu au Mnasemaje? !
Mimi bado naendelea kusema sitakaa kuolewa na mchaga kama dada Pendo sijui Nkakeni. Mimi wachaga sitaki hata kuwaona na hapa wamenifuata wachaga kibao nimewakaaaajee sasa sipendi ujinga na ushenzi na wachaga kabisa mama.
Pendo & Nkakeni : ndio je, ngoja kaka aje tuongee nae tuongee na baba kuwa haya maisha hatuyataki tunataka kumfahamu Baba yetu
Sio kumwona Baba kama kituo cha polisi
Wote wakakubaliana kumpindua Baba yao huku wanacheka, Mama yao anawaangalia tu anajua hapa hamna kitu!
Mara wakasikia honi ya gari ikapigwa peeeeee peeeeeeee
Watoto wakapiga yowe Baba huyoooo basi kila mmoja akakimbia na njia yake kulala, nduki kitandani walishasahu wanataka kuongea na Baba yao.
Mama yao akacheeeeka, akajisemea kweli hapa bado sana akaenda kumkaribisha Mume wake, Mzee wa Kichaga!
Tuonane tar 17 August, saa 8 mchana ya Tz
-------------------------------------------------------
B. WAPARE ON FLEEK
Sisi wanatuitaga Pare sisters ila sisi tunajiita Dante sisters
Sisi ni wapare wa Mwanga, sisi sio wabahili kama wale wa Same
Kwanza wapare wa Mwanga ni wazuri, wameumbika kama midoli, wana mashepu kama akina Beyonce, K.Michelle, Nicki Minaj, kifupi sisi ni wazuri, alafu sisi ni watumiaji wa hela, tupo proud, tunajiskia, tunanata si hela ipo, tofauti na hawa ndugu zetu chokambaya wa Same, alafu tunajua kujipenda, tunavaaje na kupendezaje sasa
Kitandani ndio usiseme, Mpare anatoa darasa kwa Mhaya na Mchaga; Mpare akimkamata mumeo, mke atasubiria sana
Nashangaa watu wanasema wanawake wa Singida wakimkamata mumeo hawachomoki ila wamesahau wapare ndio no 1
Sasa madada wa Singida anajuaje kuhusu Class?! wakati wamezaliwa huko porini na manyani na mbuga za wanyama kibao, wanavyovaa nguo zao kwa rangi za ajabu ajabu kama wanyasa au upinde wa mvua?!
Sisi wapare ni kiboko, wanatuita weka mbali na watoto
Lakini ambacho nashindwa kuwaelewa wa Tanzania wenzangu ni kwanini wanapenda kutuita wabahili, tuna kula ugali na picha ya samaki
Wapare sio wote wabahili; kuna wapare wabahili ila sio wote, labda wapare wa Same ila sio wa Mwanga.. sisi tunatumbua maisha kwa kwenda mbele
Ndio Upareni hapajajengeka kiviiile kama kwa Wachaga, Waarusha, Wasukuma na Wahaya, lakini ipo sababu mtaijua tu mbeleni
Kwa jina naitwa Omana, mrembo wa kipare, kwa wazazi wangu tumezaliwa wadada 3, ila mimi ni mzaliwa wa mwisho, dada yangu wa kwanza anaitwa Jomana, wa pili Noelina
Tumekulia kijijini Mwanga, tumesomea Mwanga kuanzia vidudu mpaka darasa la 7
Baada ya hapo Baba akapata Biashara Dar ikabidi tuhamie Dar, tukatua Keko Magurumbasi tukaanza shule keko form 1 mpaka form 4 Baba akapata channel kubwa ya biashara tukahamia Mikocheni B.
Baada ya hapo Baba akapata Biashara Dar ikabidi tuhamie Dar, tukatua Keko Magurumbasi tukaanza shule keko form 1 mpaka form 4 Baba akapata channel kubwa ya biashara tukahamia Mikocheni B.
Hapo ndipo maisha yetu yalibadilika, naongelea maisha ya familia yangu mimi ya kipare.
Shule tukahamishwa tukaanza kusoma za kizungu kama Academic schools, tukaanza kula bata mjini, tukaanza kuishi maisha mazuri, shopping kila mwezi tunapelekwa Woolworth, tunaenda Kenya enzi hizo Kenya ni Hotcake, kusema kweli ukisema Wapare wabahili mimi siwezi kukuamini maana wazazi wangu hawakuwa wabahili tangu tupo kijijini
Sijui wengine maisha yao yalivyo na wala siwezi kuwasemea
Manka:
Yani wewe Omana kwa kujisifia umeshida,
Mwone kwanza huna lolote
Huyu mwoneni hivi hivi kuna vitu havisemi anajipaisha paisha bure tu hapa
Mwone kwanza huna lolote
Huyu mwoneni hivi hivi kuna vitu havisemi anajipaisha paisha bure tu hapa
Wewe Omana wewe, kwanini dada yako Jomana haolewi? Ameshaposwa mara 3 lakini wanaume wanakimbia!
Ina maana mzee wako kazi yake ni Kupokea mahari? Au anawafanya mabinti zake kitega uchumi cha kupatia hela?!
Ina maana mzee wako kazi yake ni Kupokea mahari? Au anawafanya mabinti zake kitega uchumi cha kupatia hela?!
Omana:
Wewe Manka mbona dada zako hawaolewi?! si bora wangu wanachumbiwa?!
Wewe Manka mbona dada zako hawaolewi?! si bora wangu wanachumbiwa?!
Manka:
Sasa yupi afadhali?! Mwenye dada asiechumbiwa na hajaolewa au mwenye dada anaechumbiwa na kuwekewa gundu na wanaume alafu haolewi?! Eti Money Penny tuambie!
Sasa yupi afadhali?! Mwenye dada asiechumbiwa na hajaolewa au mwenye dada anaechumbiwa na kuwekewa gundu na wanaume alafu haolewi?! Eti Money Penny tuambie!
Money Penny Tz:
Nikanyamaza kwa muda kidogo, baadae nikamwuliza Manka, kwani kuolewa na kutoolewa kunaingiliana nini na Upare?!
Nikanyamaza kwa muda kidogo, baadae nikamwuliza Manka, kwani kuolewa na kutoolewa kunaingiliana nini na Upare?!
Manka:
Wapare bwana mashauzi kibao lakini hawana kitu, sijui wapoje, mimi kila siku namwambia Omana acha kujishaua kujipaisha wala maisha yenu hayapo ivyo!
Wapare bwana mashauzi kibao lakini hawana kitu, sijui wapoje, mimi kila siku namwambia Omana acha kujishaua kujipaisha wala maisha yenu hayapo ivyo!
Money Penny, huyu Omana, Babake sasa hivi hana hata hela kwa taarifa yako, ndio zamani walikuwa na hela, wakasomeshwa vizuri sana mpaka chuo, kazi dada zao wanafanya mabenki, wana nafasi nzuri ndio wanafunika wazee wao na hata hapo Mikocheni wameshahama wanaishi Kunduchi Beach kiwanja ambacho Baba yake alipewa zawadi na rafiki yake ndio wakajenga hapo kwa mkopo wa benki dada zake Omana wamechukua.
Wakajenga nyumba ya vyumba 3 wakahamia hapo, vinginevyo wangerudi Same sijui Mwanga sijui Moshi Kijijiniiii, huyu Mashauzi mwongo sana hana lolote.
Wakajenga nyumba ya vyumba 3 wakahamia hapo, vinginevyo wangerudi Same sijui Mwanga sijui Moshi Kijijiniiii, huyu Mashauzi mwongo sana hana lolote.
Money Penny Tz:
Sasa Manka mbona unaonekana kama una hasira na Omana au una hasira na Wapare? ! Unanichanganya ujue! kuna nini hapa kati ambacho sikielewi!
Sasa Manka mbona unaonekana kama una hasira na Omana au una hasira na Wapare? ! Unanichanganya ujue! kuna nini hapa kati ambacho sikielewi!
Omana:
Ndioooo mwambie dada penny, ahahahaha uuuwi kweli wachaga na wapare hawawezi kaa chungu kimoja ndio maana mababu wakatufanya kuwa watani ili kumaliza ugomvi
Ndioooo mwambie dada penny, ahahahaha uuuwi kweli wachaga na wapare hawawezi kaa chungu kimoja ndio maana mababu wakatufanya kuwa watani ili kumaliza ugomvi
Manka:
Yani dada penny ngoja nikueleze ukweli wa Omana,
huyu bibie anapenda maisha flani ambayo kwao yalishaisha, huyu mwone hivyo hivyo ni kahuni balaa!
Yani dada penny ngoja nikueleze ukweli wa Omana,
huyu bibie anapenda maisha flani ambayo kwao yalishaisha, huyu mwone hivyo hivyo ni kahuni balaa!
Tena usijejiloga penny ukamwonyesha Mumeo utajuta!
Yani weka mbali na mume huyu anaitwa!
Yani weka mbali na mume huyu anaitwa!
Omana wewe si unaendaga na kwa waganga wewe au sio?!
Juzi kati kaenda bagamoyo, hapo kuna mume wa mtu alimpata ana vihela, haka ka-Omana kanapenda mabonge ya bwana hataki kukubaliana na hali ya familia yao anataka mambo makubwa tu na hata Baba yake alishamweleza ila ni kichwa panzi hasikii
Kamwendea Baba wa watu kwa mganga Bagamoyo, uzuri mke wa huyo Baba ni Mlokole, Omana akashindwa
Alipoona ameshindwa akakaa kimya akaachana na yule Baba.
Baadae akaja kupata bwana mwengine mfanya biashara Mkinga ana maduka kkoo, akafanya vile vile kwa kumwendea kwa mganga ila safari hii hakwenda bagamoyo akaenda kwao Mwanga, sasa huo ugomvi wake sikuhio tupo pale chuoni Ifm kwenye discussion usiku, akaja Mkinga wake kwa jazba anamwita, akajua kimenuka
akaniomba Manka nisindikize nikija kuuawa wewe shahidi.
Kwenda kuskiliza ugomvi nikajua kuwa Mkinga nae ni mchawi vile vile. Akamwambia Omana wewe mwanamke unataka kuniloga mimi utakufa wewe kabla yangu, mimi nimekupenda kama ulivyo na wala sijatumia dawa nina mke na watoto nyumbani lakini nimekupenda sijakuzuilia kupata vijana wenzako kabisaa wala sijakuendea kwa waganga
Sasa kama unataka kuniloga utakuwa chizi, utajuta kuzaliwa naweza hata kukugeuza mbwa nikakukula mshenzi mkubwa wewe! Akaondoka Mkinga wa watu mimi namshangaa na kucheka Omana anajiliza.
Ndio siri ikatoka Omana anapenda kwenda kwa waganga tangu sikuhio Omana hana mashauzi tena kwangu, kama anaendesha maisha yake na masomo kwa nguvu za giza asithubutu kuniloga mimi half-cast wa kichaga.. wagogo kwa mama wana dawa kuliko wapare na wamachame ndio usiseme
Ndio siri ikatoka Omana anapenda kwenda kwa waganga tangu sikuhio Omana hana mashauzi tena kwangu, kama anaendesha maisha yake na masomo kwa nguvu za giza asithubutu kuniloga mimi half-cast wa kichaga.. wagogo kwa mama wana dawa kuliko wapare na wamachame ndio usiseme
Ndo ivyo penny hawa wapare hamna kitu ubahili tu na ulimbukeni unawasumbua
Kwanza penny huyu Omana ni mbahiiiiliiii hakuna mfano alafu ana roho mbaya sana, nadhani dada zake wapo hivyo hivyo ndio maana wakichumbiwa wanaume wanawakimbia
Roho mbaya na uchoyo kwa wapare unawafanya waitwe wabahili.
Ngoja nikwambie kwanini Dada Penny, juzi kati nilipoteza hela pale chuoni nikampigia simu Omana nikamwomba anisaidie kwa kunikopa elfu 30 nimalizie mitihani nikirudi nyumbani nitamrudishia, huwezi amini Penny alinikatalia katu katu!
Basi nikamwomba dada mwengine akanifadhili na elfu 20 nikapumua.
Baada ya nusu saa Omana akaja chumbani akaweka wallet kwenye kitanda akasema anaenda chooni.
Nikaichungulia wallet yake, kuangalia nakuta ana laki 3, nikachukua elfu 30 nikajikausha
Akaja toka chooni, anajiongelesha oh mimi sina hela, nisamehe Manka ningekuwa nayo ningekupa
Mimi namwangalia tu Omana ananiadithia sijui karudiana na Bwana wake Mkinga, sasa mambo ni shwari ameshasahau blah blah blah kibao
Mimi namwangalia tu Omana ananiadithia sijui karudiana na Bwana wake Mkinga, sasa mambo ni shwari ameshasahau blah blah blah kibao
Baada ya lisaa limoja Omana akaondoka hajui kama nimemwibia elfu 30, wewe Omana mchoyo sana na una roho mbaya mtoto wa kipare na ukiendelea hivi utakufa vibaya kama mbwa na ulimi nje.
Omana:
ahaa! kumbe ndio wewe uliniibia elfu 30 yangu ee, kweli nimeamini wachaga wezi, bora umejisema nipe hela yangu haraka
ahaa! kumbe ndio wewe uliniibia elfu 30 yangu ee, kweli nimeamini wachaga wezi, bora umejisema nipe hela yangu haraka
Manka: wala sikupi kwanza, maana sina
Omana: nipe bwana tutagombana!
Manka: mmmh wapare bwana, njaa tu zinawasumbua yani wewe kunisaidia elfu 30 ninakufa na shida unashindwa?!
Omana: kama wewe ulivyo na njaa mpaka ukaniibia, mwizi mkubwa wewe nipe elfu 30 yangu
Manka: akatoa elfu 30 akampa na akatoa na elfu 10 akamrushia usoni, hio utakunywa soda maana umetoa povu sana kila mtu hapa hotelini anakushangaa
Money Penny nikacheeeka nikacheka mpaka Omana akaamua kuondoka kwa aibu na ile elfu 10 kaichukua, cheza wapare wewe 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Shikamoo Wapare!
Tuonane Tar 18 August saaa 12 jioni ya Tanzania.
---------------------------------------------------
SEHEMU C. TEA PARTY
PALM BEACH Hotel
Kila baada ya miezi 3 warembo 5 hukutana kwa ajili ya tea party, si unajua tena mambo ya kikundi 😂
Katika warembo hao walikuwepo Omana, Manka, Doreen na Elizabeth
Omana na Manka kama unavyojua ni wapare na wachaga, Doreen ni Mpare na Elizabeth ni Msukuma
Basi wanakutanaga kwenye Tea Party wanadiscuss mambo yao ya kikundi na maendeleo, wanaongea mambo mengi ya masomo na maisha Baada ya masomo na mambo ya mapenzi na mengine mengi!
Wakiwa katika kikao kirefu, Manka akamchokonoa Omana kwa kumpitia Eliza na Doreen
Manka:
Eliza shemeji hajambo?!
Eliza:
mh hamna cha shemeji, mimi ni kama nipo single kwa sasa
Omana:
mmmh totoz kama wewe unakuwaje single?!
Eliza: akacheka tu, si unajua tena Eliza mpole, ila watu wapole ni wa kuogopwa maana wanabeba siri kubwa
Manka:
Alafu Eliza nimekumbuka, juzi kati nimekuja chuo kwenu Udsm nakuona unaingia kwenye shangingi moja la hatari, yule alikuwa baba yako au mjomba wako? Maana ilikuwa saa 3 usiku?!
Elizabeth:
akatabasamu lakini hakujibu,
Omana na Doreen na Manka wakaanza kuangaliana leo Eliza vipi? iyo mood vepee, wakaamua kumuacha maana anaonekana kama anapoteza network vile
Manka:
Doreen hawajambo nyumbani kwako?! Shemeji nae mzima?
Doreen:
Nyumbani wazima nitaenda baadae kuwasalimia,
Shemeji yenu hajambo ila yule wa last time nimeshapiga chini sasa hivi nipo na mwengine ila wapo 2
Omana & Manka: wawili?!
Doreen:
Ndio, mimi nimechoka na watanzania wanasumbua tu, nimeamua kutoka nje ya Tz
Manka na Omana: kama wapi?!
Eliza:
Uarabuni na China
Ikabidi wote wacheke, haaaaa! Doreen unabwana wa kichina?! Waarabu sawa tunawaelewa ngoja tukuweke kiporo ila wa kichina hili tunaanza nalo
Doreen:
jamani mabwana wa kwangu mimi nyie inawashangaza nini?!
Manka:
Ndugu yetu huyu bwana wa kichina anajua kizungu au mnaongea kichina?!
Eliza:
Mmh! hajui kizungu wala kiswahili hapo ni ububu mwanzo mwisho
Omana:
Hahaha hii kali, kwahiyo sasa ulimkubaliaje mpaka mkawa wapenzi?! maana hio inaitwa Lugha Gongana!
Manka:
Mmeshapigana mechi au bado?!
Doreen:
Tayar kila kitu, tena ananipeeendaa kweli kweli
Manka:
Oh jamaani! Akyanani ivi kwanza huyu mchina anafanya shughuli gani nchini au ndio anauza vigae na mapazia kariakoo?!
Doreen:
Ana biashara yake Kawe pale kuna garage kabla haujavuka daraja la kwenda kawe wamefungua garage
Manka:
Mmmh, haya mlikutana wapi embu tupe basi mkanda mnzima maana kukuuliza uliza kama mapolisi tunachoka
Doreen akaona aibu kujielezea ikabidi Eliza aingilie kati aongee
Eliza:
Nyie hamjui huyu ndugu yenu Doreen niwaambie mambo anayofanya ya aibu kabisaa
Doreen :
Eliza maliza tu kuongea na mie nayaweka yako hewani malizia tu
Eliza:
Weka, kha! Yangu yana afadhali kuliko ujinga unaoufanya
Basi niwaambie siku moja tupo Mlimani city pale tunasubiria kuingia kwenye Cinema, mara akaja mchina nae anakata tiketi, nadhani alichagua movie ya Skyfall ya James bond
Doreen na upare wake sijui njaa akaniambia huyu mchina handsome, very handsome amejazia ... angalia simu anayotumia ngoja niende kumsalimia
Nikamzuia lakini wapi hataki kuelewe akaenda akajigongesha kwa mchina wa watu, akajiangusha chini, ikabidi mchina amuokote na kumwomba samahani, hapo ndipo walianza kuongea
nikawa nawaangalia Doreen nikijua Mchina anajua kidhungu, kumbe bi Doreen hapa anamuongelesha kwa vitendo, mchina anaitikia kwa kichwa kama Mbwa
Wakaenda mpaka kwenye movie wote, nikaachwa kwenye mataa, ikabidi nikakae seat ya Mchina, Mchina akakaa siti yangu
Movie imeisha sijawaona akina Doreen nikaamua kuchukua bajaj kurudi chuo. Kufika nampiga simu hapatikani; aliniweka sana roho juu maana sikujua yupo na hali gani huko alipo!
Naulizia kwa roommate zake wanasema hajaja, nikarudi chumbani nakuta sms yake nipo na Mchina tuonane kesho simu imeisha chaji wewe rudi tu chuo.
Nikazima simu nikalala
Akaja kesho yake saa 6mchana kachokaa anaona hata aibu kwenda room kwake akaja room kwangu kuomba aoge alafu alale ndio arudi kwake
Nikamuhifadhi bibie si unajua mimi sina choyo mtoto wa kisukuma
Alipoamka na kujiandaa akaanza kunipa stori ya bwana wake wa kichina
Ananiambia jana usiku tukaenda nyumbani kwa mchina mikocheni, kufika show za awali zilikuwa nzuri
Cha kushangaza wakati namvua namkuta Mchina wa watu ana kidyudyu kidogo (kibamia) najaribu kukivaa kibamia kinapwaya hamna raha karaha mwanzo mwisho
Eliza nikacheeeka sio kwa kupatikana huku kwa Doreen akome kudandia wanaume namna ile, nikamwuliza ivi Doreen Tabia yako ya kutafuta mabonge ya bwana utaacha lini?! Kwanini unakuwa na tamaa kiasi hiki kwenu mpoje lakini?!
Doreen: akaniambia kuwa yeye hana wazazi ni yatima
Nimeelewa na mtu baki ambae alinitesa sana pale kijijini, nilipovunja ungo, akawa ananitaka kila siku, nikamtishia nakusemea kwa mkeo akaona namtania nilipoenda kumsemea kwa mkewe; mkewe akacheka, akaniambia wewe mtoto si ushakuwa mkubwa, sasa nakwambia utoke kwangu ukatafute bwana wako naona unanizengea mume wangu eti anakutana, akutake wewe una nini?! Jinsia tatu au?!
Nikafukuzwa nikaondoka kwenda kukaa kwa jirani? hapo nimemaliza darasa la 7
Nikaishi kwa jirani muda mrefu ila jirani alikuwa jirani wa mbali, majibu yakatoka nimefaulu darasa la 7, jirani akafurahi na mkewe wakakubali nisome kidato cha kwanza ila nikae boarding, Jirani akanifadhili nikasoma form 1 mpaka form 4, nikamaliza nikarudi pale kwake nikakaa nisubiri majibu ya form 4,
Katika shughuli za hapa na pale sikumoja yule akapita yule ambae nilikuwa naishi nae mwanzo mumewe akanitaka wakanifukuza, akaleta fitina kwa mama mwenye nyumba, yule mama jirani akaanza kuamini akaanza kunifanyia vituko si kajazwa maneno kwanini nimeruhusiwa kukaa hapa miaka yote hii?! akamwambia yule mama mwenye nyumba kuwa natembea na mume wake! mpaka nimesomeshwa lazima natembea nae!
ikabidi niondolewe pale kwa jirani, jirani akaniuliza unataka kwenda wapi sasa?!
Nikaumiza kichwa spati jibu mara naskia wimbo kwenye redio wa Mr Nice, Unaitwa Wawaaa
Unaimbwa hivi
kuku kapanda baiskeli🎵 bata Kavaa raizoni 🎵 daresalaam wawaaaa, ikooo🎵 ikikoo ikooo kokokokokoo ikooo ikikoo shangiliaaa🎵 shangilia wewe, wawaaaa🎼
Nikamwambia yule baba anataka kwenda Dar es salaam, sina hili wala lile sina 100 sijui naanza wapi maisha, hata matokeo yangu ya form form 4 hayajatoka.
Yule jirani akanipa hela kwa siri akanipeleka kituo cha bus, akanilipia usafiri wa kwenda Dar es Salaam, akanipa Tsh laki 3, akaniaelekeza Dar es salaam jinsi ya kufika, nikifika ubungo napanda daladala za kwenda sinza Kijiweni, nikifika Kijiweni niulizie chumba za kupanga lazima nitapata
Basi nikamuaga, nikaondoka Same kuja Dar, kufika nikafuatisha kweli maelekezo ya yule jirani, nikatua Sinza, nikashushwa kijiweni nikaakaa muda mrefu pale kituoni baadae nikamwona mama mtu mzima mwenye hekima zake nikamwuliza natafuta vyumba vya kupanga, akaniambia twende mwanangu mimi mwenyewe natafuta mpangaji, naona ni Mungu amekuleta ndio nikapata chumba na hifadhi Dar es salaam, kilikuwa chumba ki1 choo cha nje si unajua tena sinza palivyo, huyo mama alikuwa na nyumba kubwa mbele yetu sisi tukawa tunakaa kwa nyuma, tulikuwa wapangaji wa5, nikalipa kodi ya miezi 6, enzi hizo kodi alinifanyia elfu 40
Maisha yanaenda sina kitu zaidi ya nguo, najifungia tu ndani nikitoka nakula chips vibandani narudi kulala
Sikumoja Baba mwenye nyumba akaambiwa mimi naishi kwa kula chipsi vibandani akanichukua na mkewe wakaenda kuninunulia jiko la mchina na sufuria 3 na mwiko na mchele, mafuta, sukari, chumvi, maji ya kupikia, maji ya kunywa, viungo vya kupikia mboga, nyama, samaki, na mazagazaga yote ya upishi unayoyajua wewe ila hapo ni baada ya kuwaelezea nilipotoka na kuwa mimi ni yatima, wakanihurumia
Nikatafutiwa na kubarua cha u secretary kwa jamaa ya baba mwenye nyumba pale mwenge steshenari imagine graduate wa form 4 ... kweli usipokuwa na wazazi hata kama una degree hamna atakaekuangalia mara 2
Nikapiga mzigo mwenge steshenari, kwa muda wa miezi 3 naondoka asbh saa 12 narudi saa 2 usiku nalala sipiki nanunua msosi vibandani naingia kulala
Nikapiga kazi pale steshenari kwa muda wa miezi 6 nikaielewa dsm vizuri sana weekend j2 nazunguka mitaani makariakoo sijui wapi kote nazungushwa na majirani zangu mpaka nikauelewa mji wa dsm ulivyo kwa daladala
Baada ya miezi 8 majibu ya form 4 yakatoka, kwenye redio wakatangaza mwaka huu wamefanya vibaya sana kimatokeo nikajua na mie ndio baaas basi tena
Nikakaa mwezi mzima sijachungulia majibu, basi akaja baba m1 pale steshenari anataka kumwangalizia mwanae matokeo nikamfungulia akaangalia akafurahi mwanangu amefaulu jamani, mimi natamani kumwomba nashindwa
Akaja boss wangu pale anampa hongera, Boss akaniuliza wewe Doreen umeshacheki majibu yako, angalia sasa hivi mtandao naona hausumbui nikaingia kucheki matokeo roho yaniuma najua nimeshafeli, ile nafungua kudadeki nina div 1 ya mwisho nilifurahije sasa nikajua hapa sasa nitapata form six kama sio
Nikaamua kwenda kujiunga na chuo CBE diploma, nikapata masomo ya jioni nikapewa ruhusa na boss jioni naondoka saa 9 nanusu naenda kusoma diploma narudi home saa 4 usiku najisomea mpaka saa 6 kila siku nalala saa 6 kama sio saa 7, saa 12 nipo macho saa 1 asbh nipo mzigoni mwenge kwa muda wa miaka 2, nikafaulu vizuri sana sana sikuwahi kusapu! miaka miwili ya dimploma ikaisha, nilikuwa najisomesha kwa hela zangu na zingine mama mwenye nyumba ananisaidia kulipa kwa miaka 2 shule ikaisha, nimefaulu nikaona bora nije kujaribu bahati yangu kwa kusoma degree nione kama nitapata, nikaomba chuo IFM na UDSM na ST. Augustine maana niliskia mikopo inatolewa nikaenda kuomba kule Bodi ya Mikopo!
Kweli baada ya miezi 6 nikapata chuo Udsm kozi ya BCOM, nikaomba na hostel nikapata baada ya miezi 2 nikaanza chuo nikahama pale sinza, wale wenye nyumba walilia na majirani maana tumezoeana sio kitoto! wapangaji wenzangu hawataki niondoke wameshanipenda, mwenye nyumba akaamua kunihifadhia vitu vyangu vya jikoni ambavyo sikuweza kubeba hostel nikaondoka nimepata mkopo asilimia 100, nikapata nikaanza maisha yangu chuoni Udsm kwa upya
Mwaka wa kwanza nilikaa Mabibo hostel, kule ndio nilijua maisha ya mziki, tunatoka usiku tunaenda disco, maisha ya hostel za mabibo ni ya vituko, tunalala kitanda cha dabo deka, mwenzio analala juu na bwana wake wewe umelala chini unaskilizia wenzio wanapigana mechi na hamna kusema kwa mtu
Akyanani maisha ya mabibo yalikuwa ni nyokoo
Nikapataga kibwana kimoja cha kichaga nilipoenda disco, huyo bwana anaitwa kimaro mfanya biashara basi kila weekend tupo billcanas mara maisha club mara sijui wapi shule nikaona chungu nikajua lazima nita disco
Kimaro hakuwa mbahili alikuwa ananipa hela kila week na hivi alijua mimi ni yatima basi ana toa hela kama mchanga, ndio alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, basi mapenzi kem kem.
Kila weekend kwangu ilikuwa kama cinderela movie, lazima nifatwe na Prado ijumaa kurudishwa j3 asbh darasani
Kila mtu alijua huyu bwana atanioa, mwaka wa kwanza ukaisha nikafaulu sana kuliko nilivyotegemea
Nikaenda mwaka wa 2, nikahama mabibo nikahamia Udsm hostel za ndani kule nipo tu na kimaro wangu
Watu wakajua kimaro kimaro ndio atanioa nyooo
Ile mwaka wa 2 nimeshapiga pepa zote nasubiria matokeo bado nakaa hostel za chuo maana sina pa kwenda nikamfanyia surprise kimaro nyumbani kwake kufika si namkuta anamkung'uta demu kitandani mwake, kha! Nilichoooka ghaflaa nguvu zikaniisha,
Nikawa nimeganda nawaangalia machozi yananitoka mpaka wanakuja kumaliza wanashangaa mtu ameanguka chini puuu
Kuja kuzinduka nipo hospital na kimaro pembeni!
Kimaro: oh ulizimia baby nimekuleta hospital pole sana, kama sikumbuki alichonifanyia nikajifanya fala ili alipe bili ya hospital na kunirudisha chuoni
Kufika hostel nikamwambia bro mimi na wewe basi tena,
Kimaro hakuamini alilia kama mwenda wa zimu, hakutaka tuachane kabisaa nikamfukuza akaondoka ila ndio kila siku simu sms simu sms,
Wakati naugulia maumivu na machungu wakaja watu wa supplimentary shuleni kusoma, nikawa nimekaa kwenye ngazi nalia najiona maisha ndio basi tena akaja bibie Eliza hapa anaenda kusoma kafeli anawahi diskashen
Akanikuta nalia akaanza kunibembeleza jaman usilie pole sana akasahau na kwenda discussion akanipeleka chumbani kwake ikabidi nilale pale
Asbh akaamka akaondoka amefunga chumba kaweka namba yake ya simu ... akarudi saa 5 asbh bado nimelala akaniamsha kwa fujo nikaamka si unajua kwa watu tena, nikamwelezea yalionikuta maskini anaskitika usijali wanaume ndio walivyo wewe hauwajui achana nae blah blah blah kibao mimi namwangalia kama mahindi ya kuchoma
Akanitengenezea chai, akanipa panadol nikanywa nikala nikarudi kulala yeye buzy na kusoma
Baada ya siku 3 namwuliza Eliza unasoma nini?!
Akaniambia amefeli, anasoma sijui somo gan ambao mimi nimepata A
Nikampiga pindi anashangaa mambo marahisi wakati discussion anaiona chungu... hapo ndio nikapata rafiki wa kwanza wa kike anaitwa Eliza... alipomaliza mitihani ya supplimentary tukaenda kuomba tukae chumba kimoja kwa matron akakubali akahamishiwa chumbani kwangu tukawa marafiki tangu siku hio mpaka sasa
Kabla ya shule kuanza tukawa tunazurura, Eliza enzi hizo ana kibwana chake kinampeenda mimi namwangalia tu namhurumia nikijua lazima atapigwa tu sikumoja asiingize miguu na mikono yote kwa huyo bwana
Eliza akawa hasikiii, bwana mwenyewe mpare na mimi wapare nawajua vitombi hatari Eliza kakolea sijui yule bwana kamwekea dawa hata sielewi
Kabla hatujafungua chuo bwana wa Eliza asinitake nisimrekodi video kwenye simu na kumtishia namwonyesha Eliza utumbo unaoniambia akaacha ujinga wake ila mimi nilijua Eliza kuna sehemu atatundikwa tu msalabani, ila kwa sasa ngoja afaulu kwanza sapu na amalize shule maana atajiua Msukuma kama mhehe akipenda hehe 😂😂😂
Mimi nikakaa single kwa muda mpaka tunafungua chuo nikaja kupata bwana pale pale chuo lecturer ila anafundisha corse nyingine, nikawa natoka nae kisiri siri Eliza hajui wala nini, shule ikaanza na mambo ya field na project bado nipo na lecturer Eliza hajui wala nini, hata tunaachana na lecturer Eliza hajui
Nikaja kupata mume wa mtu, kanikuta tu mlimani city ananitaka nikamsikiliza mume wa mtu ananipa hela mpaka nikawa namhurumia mkewe kuja kufanya uchunguzi naambiwa yule bwana ana mawe hatari, yani pale mimi nile navyotakaaa ila kuna tetesi yule bwana ni positive
Eh kusikia positive nikampiga hela nikakimbia na hivi sina makazi maalum alinipata wapi labda?!
Haya Eliza inatosha, nirudi kwako na wewe kupenda kuhadithia ya watu, je umewaeleza akina Omana ulivyotendwa na kaka zake?!
Doreen: Miezi 3 iliopitaa, Eliza alikuja kwangu analia, oh bwana wangu wa kipare nimemfumania anatembea na yule demu chumba cha tatu pia anatembea na lecturer wetu yule kadada ah Eliza aliumiaje Manka?!
Hapa kapona ndio maana mnamwona hivi ndio anapona pona ivoo, Eliza hakuwahi kuwa muhuni, Uhuni kaanza juzi mbonaa, ni sheedah, niseme nisiseme Eliza? !
Eliza huyu mnamwona hapa alishasema mapenzi basi, Msukuma kasusaaa...sasa hivi analipiza kisasi na kulenga tu hataki ujinga
Basi akaja kumpata huyo bwana sijui kamtoa wapi kudadeki, anamsaidia kutafuta wanaume... yupo kama dalali flani, anaitwa dalali nani we Eliza? ! 😂😂😂😂
Wenzake wanacheka hawana mbavu hio dalali vepee! ?
Eliza amenunaje sasa siri imetoka, prostitute la kisukuma Umeona wapi Eliza wewe- akajisemea Manka
Doreen:
Mimie simhukumu najua mapenzi yanauma sana, hasa unapokuwa umependa mazima mazima kama bibie ila hili la kuuzwa na huyo dalali nani tena, ah nimekumbuka Dalali Michael...
Manka na Omana:
Michael? ! Huyu Michael maarufu?!
Doreen:
Huyo huyo mnaemjua
Manka na Omana:
My dia ondoka kwa huyo kaka kabla hayajawa mabaya my dia, utajipatia maukimwi huko sijui utawaambia nini wazazi wako
Eliza:
mniacheeeee!
Pain changed me
Manka na Omana:
Haya mama tumekuacha, wewe endelea tu na dalali Michael tutakuja kukuletea juice na misosi hospital na maua kaburini kwako.
Manka:
Sasa naelewa kwanini nilikukuta unaingia kwenye gari kali nilipokuja chuoni kwenu Udsm usiku ule, kumbe shoga ulikuwa unaenda kutoa huduma?!
Unaenda kazini!
Haya unalipwa bei gani sasa?!
Eliza:
Kwa usiku m1 dola 300
( hapo dola 1 inasoma 2000)
Manka:
Tobaaaaaaa yani unaenda kutumika kwa laki 6 ambayo wewe unapata kwenye boom?! makubwaaa!
Mimi nakwambia Eliza kama rafi yako uko mbele utakuja kuozaaa, ukidhani unakomoa wanaume kumbe unajikomoa mwenyeweee
Chiu itaisha hio utakaa kama wa bibi mzee, itafika kipindi watakulipa hata dola 5000 wakufanye kinyume na maumbile mambo ya sodoma na gomora utaweza wapi shoga yangu wewe msukuma tangu lini akageuzwa kinyume na maumbile, unatia aibu ujue!
Wengine watakupa hata mil 100 wakuharibu tu, wanaume hawana maana, ukija kwenye kuzaa itabidi ujifungue kwa kisu kama utataka kwa njia ya kawaida itabidi wakuwekee magozi kama waarabu maana kusukuma mtoto sio mchezo.
Lakini nyie mademu wa Udsm wajinga sana, na wewe Doreen
Na hao waarabu vepee?! Usikute na wewe unageuzwa kinyume na maumbile unajishaua tu hapa
Doreen : Kimyaaaa!
Omana:
Doreen mpenz, usimsikilize mchaga mshenzi tu huyu hana ishu, nyuma au mbele mwili ni wa kwako, embu niambie hawa waarabu unawapata wapi?!
Na wewe Eliza nipe namba ya dalali Michael nataka mteja mie naona umezubaa, mwili wangu utauzwa mil 10 kwenda mbele sitaki ujinga
Manka:
Oh my gooood! Nilijua tu bibie huyu wa kipare na njaa zake lazima arukie tenda ahahahahahaha, haki ya Mungu mimi nawaambia mtanikumbuka maneno yangu na kwenye upuuzi wenu msinishirikishe, vitu gani lakini mnafanya?!
We Doreen hata kama ni yatima lakini Mbona Mungu amekusaidia umefaulu umepata mkopo haujawahi kufeli darasani, kitu gani kinakufanya mkajiuze uze namna hii
Mbona hamna dignity kabisa?! Class ya kipare imeenda wapi labda?!
We Eliza kwenu si mna hela lakini?! Unajiuza kwasababu mwanaume amekuumiza?!
Get over it sio wa kwanza kuumizana, my gaaad!
embu mimi nirudi hostel naona mnaniboa tu hapa na ujinga wenu
Manka akainuka huyooo akaondoka zake kawaacha warembo wanashangaa
Tuonane Tar 19 August saa 12 jioni
-----------------------------------------------------
SEHEMU D: WACHAGA UTAWATOFAUTISHAJE?
CLARA
Bwana bwana asikwambie mtu watu mtagombaaaaana huku duniani mtakimbizaaaaaana huku duniani lakini Mchaga wa Marangu mwisho waambo yote
Kwanza ni wazuri, weupeeee wengi wetu ni weupeee, wachache ni weusii
Ukimkuta Marangu mweusi ni mweusi mzuri ananata, laini kama asali, soft kweli kweli mtamu, ameumbikaaa mshepu kama QueenVeeBosset wa Kenya kama sio Beyonce au Nick Minaj, wazuuuriiii kweli kweli
Wale weupe bwana ni moto wa kuotea mbali kabisa
Totoz wa kichaga wa Marangu kwanza tunajijua, tunanataaa, hatupaparikii wanaume, wanaume wanatupaparikia sisi.
Hivi ulishawahi kutana na wachaga wazuuuuuriiiiiii si nyie watanzania mnasemaga wachaga huwa ni wazuri ambacho hamjui ni kwamba wachaga wazuuuuuuri ni wa Marangu tu sio wamachame wala Kibosho wala kishumundu, nooo
Wamachame bwana wale mimi naogopa hata kusema ujue sijazaa bado wala kuolewa, wachaga wa kimachame Penny ngoja nikufundishe jinsi ya kuwajua
1. Juu wanene chini wembamba na viguu vyembamba kama fidodido au chelewa za mifagio alafu weusiiii
ila wanakuwaga na baby face za hatariii ila orijinal mmachame, anakuwa na maziwa makuuubwa juu chini hana shape wala nini yani tunawaitaga alama P.
Sikuhizi kuna wale wamachame waliochanganya changanya kama akina Manka na dada zake, waliochanganya makabila labda unakuta Mama kabila lingine Baba Mmachame
Hao ndio wanakuwaga na mashepu kama nguva wa baharini au kama wale nguva katuni za watoto hao ndio wamachame ni hao tu.
Ni ngumu sana kumkuta mmachame Original amegawanyika kishaepu hamna wote wana shape P
Alafu wamachame wale bwana tunawaita wapalestina,
Yani ukiwakosea tu kidogo wanakuua, wana hasira wale binadamu wale, wewe acha kabisa
Unajua historia ya wamachame imetokea Sudan Kusini, watu hawajuani tu sijui kwanini wanawaitaga wapalestina, si unajua zamani watumwa walikuwa wanasafirishwa sana toka Tz kwenda nchi zingine watumwa mwengine wanatokea Moshi Kilimanjaro, sasa ma chief waliotokea Machame bwana walikuwa wanatokea Sudan kusini ebana ee wale watu wana hasira, alafu wana hela alafu wana mila alafu ni wafanya biashara wazuri sana!
Hivi Ulishawahi ona kuna mtz yeyote akacheza na mali ya mchaga wa machame akabakia salama!?
Yani mali ya machame haichezewi ovyo, wale wajinga wana mila nchi zima wataenda kusoma kozi pale. Wamachame wana mila sana kuliko wachaga wote mkoa wa Kilimanjaro. Usicheze na mali yoyote ya mmachame kuanzia mke mpaka watoto mpaka materials (mali).
Wamachame wa kiume hawanaga shida kama atakuoa wale wakaka ni wapole sana sana, ila gusa mali yake baba weweee, utanasa na kufa hapo hapo
Ila wachaga wakike mama,
hao huwa wanasifa moja sana tu: ni wachapa kazi hakuna mfano, hawachagui kazi kwanza, yani ukimwajiri mmachame kampuni yako itafanikiwa sana lakini mwisho wa zote utakuja kumkuta kajenga kwao ghorofa, Hehehe chezea mmachame wewe,
sawa nakuzalishia ila jua mwisho wa siku kwetu lazima nirudishe mrejesho
Wamachame wote wakike au wa kiume ukiwaajiri tu, mwisho wa siku Kubali matokeo kama wewe utakuwa na gorofa 2 yeye analo 1 na nyumba ndogo 2
Hautajua amekuibia saa ngapi na wapi, ila wamachame wezi bwana kha!
Ila hawa wamachame waliochanganya makabila sio wezi maana hawajui mila, mila zinafundishwa na mama sana sana, sasa kama mama sio mchaga mila inakufa ndio maana wachaga wa kale hawakupenda sana kaka zao wakaoe mikoa mingine na wale walioolewa uchagani waliisoma namba. wanasemwaa vibaya ili waondoke na wasipoondoka wanateseka sana na mila za kimachame ni ngumu mno
Sasa hawa kuku wa kidhungu wa kimachame hawajui hata mila, mama zao si sio wachaga, basi wapo wapo ila ni wafanyakazi na wachapa kazi wazuri sana.
Pili hawa wachaga wa kichotara hawajui kuiba
Ni wasema ukweli, ni wa kweli na katika wachaga waaminifu na wanaojitunza ni wadada wa kimachame, awe pure mmachame au amechanganya umachame
Wamachame wale orijinal mama na baba, waliozaa watoto wakike wakaja wakaolewa zamani inasemekana walikuwa wanaua waume zao pale mwanaume akiwa na mali nyingi, anamuua ili azimiliki yeye arudishe moshi mahesabu ila sio kweli kabisa,
Hawa wa mwendo kasi waliozaliwa kuanzia miaka ya 80 hawapo ivyo, na wamachame sio gold diggers ni hard workers, hasa hawa waliochanganya wanaojiita machotara wa kichaga (half-cast wa kichaga)
Kingine mimi ninachoona watz hawakielewi kuhusu wachaga ni kwamba, wanasema usioe mchaga mmachame atakuua amiliki mali sio kweli
Kama kweli unataka kuoa mchaga kaoe umachameni, trust me najua nachokwambia Penny, hawa wanawake ni fighter
Ushawahi skia wachaga kwa pesa bwana ndo wenyewe, wanawake wa kimachame humkuti akikaa ndani amejibweteka anasubiri hela kwa mume kama wadada wa kimarangu
Wao wanafanya kazi kwa bidii hata kama ana degree au masters atauza nyanya, vitenge, dagaa, vocha, tigo pesa, atalima vitunguu, karanga, viazi, atauza chakula, hawachaguagi kazi wamachame wote wakike na kiume hawana kinyaa na kazi au biashara
yani zile biashara za kijinga jinga wao ndio wanafanya kwaiyo ukioa mmachame bwana ujue umeoa a Gold Medal Lady, an Iron Lady! hamtakaa mfe maskini wala mlale na njaa, hakuna!
Imani ya wamachame ni moja tu kama pesa ipo hata Tsh 10 usiiachie, si ni pesa? !
Ndio maana wanaume wa kimachame wanakuwaga matajiri sana maana ni watafutaji, hata dada zao ni hivyo hivyo!
Na kwasababu ni watafutaji sana imefika sehemu dada zao hawataki kuolewa kwao wanataka kuolewa kwengine ambao watazalisha zaidi yao basi tu wanataka sifa wadada wa kimachame
si unajua mafahari wawili hawakai zizi moja?!
Ikafika sehemu sasa wanaume wa kimachame wakaamua kutoka na kuoa nje ya uchaga na kuleta makabila tofauti na ya kwao uchagani, ndio tukaishia kuwapata hawa akina chotara wa kichaga wanaringa ringa huku kwenye mitandao kama akina naniliuuuu
Nawashauri wale waoaji wangeaza kubadilisha upepo, mademu wa kimachame ni wachapakazi wafanyakazi wazuri sana na hamtakaa mfe maskini
Na kwasababu watu wengi hawajui wanawakimbia wachaga wa kimachame hawataki kuwaoa mwisho wa siku wadada wa kimachame wanaolewaga na wazungu
na wengi kwasababu wanakuwa na misimamo sio walegeza kamba; wengi wao wanaolewaga wakiwa mabikra...
Hakuna mwanaume anaetaka kuoa jike dume, wanaume wanawaitaga wanawake wa kimachame kuwa ni majike dume maana ni wachapakazi na watafutaji, ndio maana wadada wengi wa kimachame wanachelewa kuolewa wanaanza kuolewa miaka 33 hata 50 bado anakuwa anaolewa wengine hata 60, si wanajua kutafutaaa?! Na wazungu wanawapenda sana mwanamke mchapa kazi...upo penny?!
Money penny Tz:
Nipo Clara! enhe endelea best!
Clara:
Wamachame wengine wengi kwasababu ya uchapaji kazi wao, wengi wamekuwa madaktari, wafanya biashara wakubwa wakubwa,
kama umeshawahi kusikia Dokta Massawe, Dokta Shoo, Dokta Lema, Dokta Ndossi, Dokta Swai, au ma Profesa wengi wanakuwaga wachaga wa machame maana ni wanachapa kazi alafu wanakuwaga madokta wazuri sana....imagine penny sisi age yetu tuliozaliwa miaka ya 80 mpaka 90 wanaotutibia watoto wetu ni ma senior dokta hao wa kimachame, ukajiloga ukajipeleka kwa junior umeumiaaaa
Madokta wachache sana utakuta ni wa Marangu awe mzuri, wachache sana
Ukiskia mchaga mwizi basi ujue huyo mmachame kamili kwa baba na mama,
Wachaga wengine wezi ni wakibosho ila wakibosho wana roho mbaya sana na pia kwa wakibosho kuna kuwaga na madokta
Ila wa kibosho wana roho mbaya sana, wana tamaa sana ila hawana tamaa kama wamarangu
Manka:
akakohoa, bora uongee ukweli kabla sijaingilia kati, tena umwambie ukweli dada penny na mimi nitafunga mjadala mwishoni
Clara:
Wezi wengine ni warombo, hawa ni wapole ila ndio wale wafanya biashara wa maduka ya rejareja akina Mangi 😂😂😂😂
Ukiskia naenda dukani kwa Mangi ujue huyo mrombo
Yani mrombo dukani kwake bwana unaweza cheka upasuke, duka la kuuza nafaka atauza na pampers atauza na mafuta ya taa, vibatari, always, vocha, pupils, biscuit, chokoleti, soksi za shule, siksi za kuvaa wanaume, madaftari, peni, ufutio, tigopesa, mpesa, atapika na chips nje kama sio mama ntilie, atauza na soda na bia yani duka la nafaka na mini bar hapo hapo ni sheedah!
hata wa kibosho pia wanauzaga maduka kama haya, ila mrombo ni noumer!
Mrombo atauza hata kadi za krismas na za pasaka za besdei atauza na mashuka na mikeka atauza na mapazia duka moja ilo yani mvurugano wa kufa mtu 😂😂😂😂
ila kwasababu watu hawajui kutofautisha wanaishia kutusema duka la mchaga bwana ni sheedah, hauwezi kosa kitu dukani kwa Mangi,bora duka la Mangi kuliko la Mzaramo, duka la Mangi haliishiwi vitu mpaka anajenga ila mzaramo atafilisika Mchaga atasonga mbele!
Warombo wanaume ni wapole sana, hata wanawake wao wapole sana wengi wao wanakuwaga manesi wanapenda kusomea unesi Muhimbili, Mwananyamala Hospitals wamejaa kibao ma Nurse In charge wengi wao ni warombo 😂😂😂😂
Turudi kwa wamarangu hao ndio moto wa kuotea mbali penny, tena uandike vizuri watu waelewe usiache hata kimoja
Ushaskia penny wanaume wanalalamikaga wachaga wanapenda hela, mademu wa kichaga wanapenda sana hela?!
Money penny Tz: ndio boss nimeskia sana tena wanaume wananilalamikia nyie wachaga mnapenda sana hela hapa Dar Wachaga wameshaza dhaulika sana
Clara:
Basi sio hivyo ni vile tu hawaelewi maskini
Sikatai ni kweli kila mtu anapenda hela, sio mchaga tu wanaopenda hela kila mtu sasa hivi anapenda hela hata msambaa anapenda hela hata mgogo anapenda hela, sema waliowahi kuijua hela ni wachaga
Sasa wamarangu mama hao ndio sheedah
Wanaume wa kimarangu hawa hawana shida, ni wapole sana na wanajua kupenda sana sana sana ila sio fighter kama wanaume wa kimachame.
Kama unataka kupendwaaa dada kaolewa Marangu utabebwa juu juu kupetiwa petiwaaa kama Malaika, ndio zao
Wanaume wa Kimarangu kwanza wanajipenda kama wakongo, wanaoga kutwa mara 2 au 3 ni ma handsome balaa
Ila ndio vitombi hapa mjini hatarious na ni wapole sana .
Wanaume wa kimachame sio watu wa kupetipeti sijui kukupenda hawanaga iyo hao na warombo na wa kibosho hawana huo muda wao wanawaza pesa pesa, duka duka, mali mali, ndio maana dada zao wanaolewa tanga, Iringa, Usukumani, Uhayani, Zanzibar, hawataki ujinga wa kuzalishwa kama kiwanda.
Wanaume wa kimachame wanafanyaga wake zao kama kiwanda cha kufyatulia watoto na kulea, yeye akishaleta chakula nyumbani ndio kajiona kidume, akishalipa ada za watoto kwake ndio kakupenda, hawajali kama una feelings, sijui kupetipeti na usiombe mumeo wa kimachame akapata ajali ukasema unaenda kumsalimia na kumwonyesha mapenzi yote weeeee, utajuta kuzaliwa, kwanza atakuuliza lile duka umemwachia nani, zile mali anasimamia nani? biashara umemwachia nani upo hapa masaa yote unakuja kuniangalia kwani mimi Tv, embu nenda ondoka ndio maana tunaibiwa mwanamke hauna akili kabisa wewe
Mwanaume wa Kimachame hana akili wala staha anaweza akakugombeza mbele ya ndugu zake na akaona ni sawa kabisaa, ila ndio walivyo na wanajiona wapo sawa, akili zao zawaza pesa pesa pesa ni sheedah kwa mtu anayetafuta mapenzi kwa Mmachame hawezi pata! 😂😂😂
Ila sio wanaume wa kimarangu... ukimpata mwanaume wa kimarangu dada utatumbua wewe mkija kushtuka hamna hata mia, gari, nyumba, bado mmepanga, yani ni raha na shida juu ila kama unataka mapenzi kama wanaume wa kikongo au wa Kitanga au kizanzibari mama nenda kwa wamarangu ila ujue fyucha yako itakufa mapema, yani wewe utakuwa na mali na mumeo mwanzoni mkifika miaka 48 mpaka 55 hapo wote mnapanda daladala mpaka mnakufa 😧
Ila mmachame akikuoa utaendesha gari kuanzia unaolewa hata kama ni suzuki au passo au vits mpaka unakufa unaendesha Discovery 4, Jaquar, ila karaha lake baba weee, hehe kama tanuru la moto wa kuzimu ule wa siku za mwisho hata hizo mali hautazifurahia, wenzio nje watakuona mama nanihii ana raha anaendesha Jaguar kumbe wewe unakufa ndani kwa ndani hauna raha!
Sijui wale wanaoitwa viasaka wanaoolewa na wamachame inakuwaje na wanavumiliaje Mungu anajua.
Pili wanaume wa kichaga wanapenda show off hasa wa Kimachame, yani anaweza akasaidia ndugu zake asilimia 100 lakini wewe mke tangu amekuoa hajawahi kukununulia mafuta ya kupata, hajawahi kukupeleka saloon, hajawahi kukununulia gauni tangia amekuoaa mpaka mna ndoa ya miaka 30 mwanamke akatafute hela yake awe na ya kwake na mie nina yangu na watoto wangu
Ndugu wakija wanasaidia mamilioni hata 10 au 20 ila mke omba hata elfu 10 hayo majibu yake hautakaa uombe siku nyingine
Kingine wanaume wa Kimachame wanapenda sana kunyanyasa wake zao, naomba hii niiseme vizuri na Penny naomba uiandike sio kwa ubaya bali kuwafundisha na kuwaelimisha maana siku zote wanajionaga wapo sawa, jaman wanaume wa kimachame wamezidi kunyanyasa wake zao, kama nilivyoeleza hapo juu hawajui kumwangalia mwanamke, akishakuoa na sherehe kubwa mjini au kujijini kununuliwa hereni, kufu, simu, pochi, shopping yeyote kwa mwanaume wa kimachame inaishaga pale mnapokuwa mmeshazaa mtoto 1, hapo mama sahau kununuliwa chochote na mumeo, na hili linajulikana sana waulize wanawake wote walioolewa umachameni, wametesa sana wake zao hawawajali kihisia wala kifedha wao wanajua kuleta chakula tu nyama na ndisi na mchele na mboga za majani spinach sijui sukumawiki, amesomesha mtoto akijitahidi sana privte schools kamaliza au kasogea sana amekupeleka ulaya au asia kusomesha watoto
ila bwana Mwanamke yeyote hapa duniani kazi yake sio kuzaa na kula wali maharage, ndizi mshale na nyama ya kuku na mbuzi na ngombe je vepe kuhusu mahitaji ya kila siku baada ya chakula, wao wanajua kututafutia chakula na makazi je mavazi? mimi nakwambia Penny dada yangu ameolewa kwa Wamachame huu mwaka wa 25 wa ndo anajinunulia mwenyewe nguo za ndani, mafuta ya kujipaka, saloon anajipeleka mwenyewe na watoto anawagaramikia mwenyewe, mumewe kazi yake ni kununua magari na kujenga nyumba na kuleta chakula nyumbani, na ukimwuliza shemeji kwanini unamnyanyasa dadangu anakwambia nimemnyanyasa kivipi kwani hali chakula hapa ndani? haendeshi gari yani wamachame ni sheedah, na usiombe mkiwa na magari mawili, lake likaharibika, hajali anachukua gari anaondoka nalo wewe panda daladala hakusubiri
Ndio maana wadada wengi wa Kimachame hawaolewi kwao Machame, baba zao wameshawaharibu kisaikolojia atatake kurudi kwenye maisha ya mateso ambayo mama yake aliteseka?
na mimi sikudanganyi Penny,dada yangu mimi anawaambiaga watoto wake wa kike msikubali kuolewa na wachaga WOTE!
ndio maana wadada wa kichaga sikuhizi wanaolewa Mwanza, Shinyanga, Tanga, Bukoba, lakini nje ya Kilimanjaro na Moshi sheedah wanaijua ilipo ni wachache sana wameolewa makwao Moshi wachache sana.
Kwa kumalizia kabisa penny wadada wa kimarangu hao mama yangu acha kabisa
Naomba nikueleze kwa mafungu
1. Wanapenda hela
Ukiskia wachaga wanaopenda hela mademu, ni mademu wa kimarangu, kwao kufanya kazi ni mzigo, na kwasababu ni wazuri sana sana wanaona ah kwanini nifanyaje kazi kama DUME wakati mimi mwanamke mrembo nitachoka sana, wakati mwanaume yupo mimi nitaolewa tu.
Wahenga wa kichaga walikuwa na usemi huu, ukitaka kujua tofauti kati ya dada wa Kimachame na Kimarangu
"chukua kioo, lipstic, rangi za kucha, makeup, dictionary, simu ya Nokia tochi, Samsung Note 5, weka kwenye chumba
Mwingize dada wa kimarangu na kimachame afu waambie wachague vitu wanavyovipenda utajionea,
Dada wa kimachame atachagua dictionary, Nokia tochi, atajiweka kwenye kona ataanza kusoma
Demu wa kimarangu atamuangaliaaa demu wa kimachame atasonya Mxiiiiuuuuu, atachukua kioo atajiangalia kama lipstic imepungua atapaka atachukua na makeup atapaka, atachukua rangi ya kucha atapaka weee, mwisho kabisa atachukua simu atawasha atafacebuka na instagram na snapchat weee sasa ukifika usiku, zima umeme, utaona mmarangu anavyosonyaaa simu imeisha chaji atajilaza
Mmachame atawasha tochi ataendelea kusoma dictionary yake"
Nadhani hapo Umenielewa Penny😂😂
Wamarangu Mungu kuwapa uzuri imekuwa kosa la jinai, hawataki kufanya kazi kabisaa, na tabia hio imepelekea kuanza kutumia nguvu za giza kushinda kwa waganga wapate bwana wa kuwapenda, wapate bonge la bwana, wao wanapenda kuolewa na matajiri tu! Ndio kauli mbiu yao! Wanataka wanaume wa kuwajali kuwaprovidia, wanapenda maisha ya juu juu kabisaaa maisha malaini malaini, hawataki washuke wala kuhangaika...
wengi sana wanaolewaga mapema miaka 24-27 hapo amechelewa maana anapiga mahesabu by miaka 30 nina watoto 2 by 35 nimefunga uzazi nakula maisha 😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zamani walikuwa wanaoana wao kwa wao baadae wakaja kujua wanaume zao kama wakongo na mafahari wawili hawakai zizi moja wakaamua kuolewa njeeee kwa wasukumaaa huko babaaa ni sheedah, na hivi wasukumaaa wanapendaga totoz ngozi nyeupe walipatikanaje sasa?!
Sasa kule mademu wa kimarangu walienda na kauli mbiu moja, tujionyeshe tunafanya kazi sana, sisi sio wavivu kama wanavyotufikiria ili tupendwe sana, tuaminiwe mpaka tushirikishwe kwenye mali za wasukumaaa tukishazipata tu tunawaloga paaa mali zinarudi kwetu tunaanza kuzimiliki na kuzitumbua 😂😂😂😂
Bila kujua Msukuma halogwi, mali ya msukuma hailogeki, Mhehe halogeki, Mkinga halogeki, hakuna Mtz ana dawa kama Msukuma ila kwasababu ya kupenda huenda wasukumaaa hawana kauli kwa totoz na wake zao na huenda wanalogeka!
Na wadada wengi walioolewa usukumani wanaisoma namba sasa hivi sio kitoto!
Wadada wa kimarangu hawana kitu, wavivuuuu sio wachapa kazi kama wamachame....Na akiwa mchapa kazi ujue ana malengo uwe macho nae.
Na sikuhizi kwasababu maisha yamekuwa magumu sana wengi wao ambao hawajaolewa wanaishia kujimaliza kwa kutoa miili yao kinyume na maumbile yao kwa kulipwa mil 5 au mil 10, ndio maana watu wanaishia kusema wachaga wanapenda sana hela ndio maana wanaishia kufirwa! kama hauamini kaulize wapemba juu ya wachaga watakwambia wachaga wanapenda sana hela ndio maana tunawageuza!
na ukiwauliza wavhaga wapi wanapenda hela watakwambia wa kimarangu sio machame, machame ni ngumu kuwapata wale wajinga sijui kwanini hawapatikani kirahisi kama wa Marangu
We unadhani wamachame wanageuzwa? !
Wapi uliona? wapi ulisikia?! 😂
Hamna mmachame bwege hata siku 1, anageuzwaje kwanza labda umbake?!
Alafu wala hawajali ....
Ajali ili iweje kama mtu anaishi peponi akiwa duniani ana hasara gani?!, nyie wanaume wapasueni tu marinda anajua atakapokulipizia maumivu yake, kwenye pesa zako kama sio mali zako na akikukamata na uchawi wake mama hauchomoki!
Atakula raha milele hana shida... hiyo ni long term investment ooo! Italipa. .. wanasema the higher the risk the higher the return!
2. Wadada wa kimarangu wachoyo wana roho mbayaaa sana
Ni ule uzuri tu unawafunika ila ukikaa nao vizuri na kuishi nao hakuna dada wa kimarangu utakula hela yake, hakuna labda awe mzaliwa wa kwanza wa kimarangu, hao ndio wana roho nzuri ila hao akina Manka na wengine hamna kitu, ni sheedah usoni mzuri rohoni mbaya sana kama hamuamini waulizeni wasukuma kama wanaoa wachaga tena 😂 washashtukia dili 😂 sikuhizi wasukuma wanaoa watoto wa Ki-Iraki kuleee Meru kule juu warembo wa Kiiraki wazuri kama nini, wamarangu hawawafikii hata kwa tone.
3. Wadada wa kimarangu wahuni sana
Yani kuanzia amevunja ungo mpaka anaolewa mama anaweza akawa amejaza timu 5 za wacheza mpira kwa idadi ya wanaume alitembea nao
Ila wamachame sio wahuni, hata wa wakibosho, warombo hawana Uhuni ila wamarangu baba ni moto wa kuotea mbali
4. Washirikina
Wanapenda kwenda kwa waganga wadada wa kimarangu tofauti na wamachame
Wamachame wengi wanapenda kushika dini na ndio maana walokole wengi ni wamachame na kibosho na rombo sio wamarangu
Ukimkuta mmarangu kaokoka huyo yupo kwenye mishen, kajifunika mwamvuli wa wokovu lakini muasili haiachi asili yake wanapenda kwenda kwa waganga sana ndio raha na ndoano yao ya kukamatia wanaume wanye hela
5. Ni malimbukeni
Kama mtu anakaa kwenye kioo masaa 100 anapata wapi literate extra? ! Na kwasababu hawana ile elimu ya juu kama wanazo pata wamachame kwa kujitosa wanakuwa very defensive kwenye maongezi,
utaskia mimi mume wangu ana hela, wewe mpaka leo hajaolewa, lazima atafute kitu cha kukuumiza ujiskie vibaya, ulimbukeni wa kutumia mgongo wa bwana wake mwenye hela au mume wake mwenye hela ni ujinga wakupitiliza, unaishia kumgrup kama classless creature!
Kujitangaza tangaza mali alizokuwa nazo kama limbukeni hata haujamuuliza keshajitangaza eh jamani wadada wa kimarangu acheni ujinga
Mbona wamachame wana mali na hautakaa uzijue mpaka uzeeni mwao au mpaka serikali iwatangaze hawalipi kodi wanawafilisi mali zao?!
Kwanza umeulizwa kuhusu mali za mumeo jamani?!
basi atakufanya ujikite vibaya kama haumjui lakini, na kujiona duni kumbe wewe upo better off kuliko yeye. Hii kama haujaishtukia hawa viumbe watakutesa ila kama umewajua wala hawakusumbui.
6. SIO MARAFIKI WA KWELI
Hakunaga Urafiki kati ya mmachame na mmarangu, hata sikumoja, kwasababu ya ulimbukeni wa wadada wa kimarangu na mashauzi ya kijinga.
Na Tabia zao chafu za kimalaya, kutanguliza uchi mbele kuliko Mungu na kutumia akili zako ni ujinga wa hali ya juu, yani wewe hauna tofauti na changudoa pale kona bar sinza au ohio street!
Ulimbukeni huu umewafanya wamachame na wamarangu kutofautishwa kwenye mambo mengi
Ukiwa uliza wadada wa kimarangu kwanini hawapatani wala kufanana na wamachame Watakwambia wanatuonea wivu, sisi wazuri zaidi yao, kwanza ni malugha lugha hata kuvaa hawajui (ambayo ni kweli wadada wa kimachame hawajui kuvaa)
Urafiki kati ya wadada wa wakibosho na kimachame asee ni MGUMU sana, ni kwasababu ya historia mbaya iliokuwepo miaka ya zamani enzi za mababu wetu wa kale, hiyo historia ipo hivi;
"Hapo zamani za kale za wazee, kulikuwa na vita uchagani, kati ya wamachame na kibosho, vita ilivyoisha makabila mengine wakawapatanisha, walivyowapatanisha wakaambiwa wasameheane, wamachame waliwasamehe kweli ila wakibosho nadhani hawakuwasamehe,
Basi wamachame waliwapenda sana wakibosho, siku moja wakibosho walisubiri mpaka wamachame wamelala wakawachoma moto wamachame wote wakafa kijijini, hii ni historia ya kweli na imetokea kweli kijijini moshi kilimanjaro kama una babu au bibi kamwulize!
Tangu sikuhio wamachame waliobaki wakaapa kuanzia leo na kwa mila yetu, hatuna urafiki na wakibosho, wakaweka agano la damu na maombi ya kimila pale, sijui ndio laana ikatolewa angani kwa vizazi mpaka vizazi
Tangu siku hio wamachame na wakibosho urafiki nao ni mgumu sana haupo genuine!
Na wale waliojaribu kuwa positive wakaoana waliishia kuzaa watoto walemavu, wana matizo na watoto wao walikufa baadae! Nini shida ni mila baba mila!
Ila kwasabahu watoto wa 4g hawajui hizi mila wanaona kama wanaonewa au wamelogwa ila ukweli ni ukikaa na wazee wanaongea ukweli wote
Maana kwenye ile laana ilishasema hakuna mkibosho atakuwa rafiki na mmachame na wakioana ndoa isidumu na wakizaa watoto wasikue wafe so laana inafuatilia siku zote
Kama hauamini kaulize wazee wako watakwambia ndio maana urafiki kati ya kibosho na machame huwa haipo labda mfosi ila mwisho wa siku wanaishia kubaya!
Eh Money Penny nimechoka embu twende kwa Mangi tukanywe pombe basi nipoze koo nimeongea sana leo
Manka:
Ah leo Clara pamoja na u-marangu wako umeongea kweli, na Mungu Akubariki kwa kuwa mkweli
Penny mimi Manka nakwambiaga kila siku hawa wamarangu ndio wanaotuharibiaga mitaani, wachaga wote tunaonekana mbuzi tu kumbe sio.
Si unajua samaki moja akioza wanaozaga woteeee
Kingine! Ukiskia ma gold diggers, sasa wadada wa kimarangu ndio gold diggers wakubwa hawana mpinzani
Money penny: nikachoka, nikaishiwa kujibu kweli Manka Kweli
Wacha movie iendelee Tar 12 OCTOBER 2017
----------------------------------------------------
SEHEMU E: OPPORTUNITY COST (GHARAMA YA FURSA)
Usilolijua ni kama usiku wa giza, nani angeweza kujua kuwa nyuma ya pazia Pendo alikuwa na mpenzi wake wa siri?
Binti wa kichaga alieichukia ndoa kuliko neno chuki, alionekana mitaa ya Jolly Club au unaweza iita Isumba Lounge kwa sasa, na KIBOPA Mume wa mtu
wazungu wanasema ukiwa na Daddy Issues (Matatizo na Baba yako) lazima utatafuta bwana ambae ni mume wa mtu kujaza nafasi ya Baba yako kukipata usichokipata kwa baba yako
Ijumaa usiku wa saa 3, Pendo alionekana Jollys Club pale Aghakan Upanga na kibopa wa nguvu, kipoba maarufu, kibopa manyotaaa, mzazi ana mawe mjini kuliko maelezo
Sasa ngoja tuangalie ilikuwaje mpaka Pendo mama msimamo, akaamua kukata uzi,
Ilikuwaje mpaka ndege mjanja wa miaka 35 akaamua kunaswa kirahisi?
Kwa habari za ukweli na za kuaminika toka kwenye midomo ya waliohusika; miaka 3 iliopita kwenye maisha ya Pendo na wadada wenzake, wadada wa makamo, baada ya kuona maisha yao ya sekta ya ndoa hayajawanyookea, waliunda kikundi cha kujifariji na kufanya maendeleo, walikuwa wadada wa 5, wachaga na wapare kwa ujumla! Kikundi kilikuwa kinaitwa RIPACH's(Maanake ni Rich Pare and Chaga's)
Kuna kitu kilikuwa kinakosekana kwenye maisha yao ambacho ni mapenzi na ndoa, na RIPACH'S ilikuwa kona yao ya kujifariji!
Wadada walikuwa wazuri sana sana, si unajua mademu wa kichaga walivyo wazuri na wadada wa kipare walivyo nomaa.
Ikatimia miaka 3 ya kusheherekea kuanzishwa kikundi hicho, wakaamua kujipeleka Zanzibar Vacation, kwa ajili ya mapumziko na kusheherekea birthday ya kikundi cha Ripach's
Katika maongezi na kutalii na kula na kunywa na kupiga picha na maongezi marefu Zanzibar, wakagundua kweli wanahitaji waume, wakiangalia vikundi vingine vyooote zinaozesha, vinafanya sherehe za anniversary za ndoa, vinafanya baby showers, sendoff, bridal showers, wakaamua kukata mzizi wa fitina.
Unajua Mpare bwana ni mpare tu, katika hicho kikundi alitokea Dada wa kipare na kutoa ideas mpya, ideas pasua kichwaaa, ideas za kimalaya, ideas za kukemea kama upo kwenye sehemu ya dini, ideas za kuchoma moto na kutupa kule, ideas mbayaaaaa
embu msikilize mpare alichoongea kwa kuwashauri wenzake:
Jomana: Jaman hili likundi lina nuksi, itabidi tuongezage members ambao wameolewa watutoe nuksi sasa, maana hata mabwana hatuna
Pendo: Ni kweli kabisa, huenda tukapokea upako kwa wenye ndoa, mimi najua kuna mahali tunakosea kuwajibu wanaume, mimi siamini kama hatukosi wanaume, mimi wanaume nawapata sana ila sijaelewa wapi nakosea labda katika kauli, sielewi au ni kwasababu nawachukia wanaume sana, naishia kuwajibu vibaya alafu mwisho wa siku nikija kutafakari wanakuwa wameshaondoka, nimewafukuza.
Jomana: mimi wanaume nawapata ila kwa kadri tunavyozidi kwenda tukifika karibu na mwisho wa safari wanatoweka, nimeshachumbiwa mara 3 mpaka sasa sijaolewa! naona nina nuksi kama sio ndugu sijui nifanyaje, hapa nina miaka 35 sielewi wapi nakosea, labda tukiwapata hao wake za watu huenda wakatuelekeza maana nimeshachoka
Mjumbe no 3: Hilo ni wazo zuri, lakini kuingiza watu ambao hatuwajui kwenye kikundi kwasababu tu ya kutaka kuolewe sioni kama ni suluhu, tuangalie kwanza dhima na dira ya kikundi inasemaje, kama tunataka mshauri wa ndoa tunaweza ajiri mmama akatusikiliza akatushauri tukamlipa ila kikundi hiki kumbukeni tulianzisha kwa ajili ya maisha yetu sisi single ladies, na vile tunajuana sana tangu utotoni hatuwezi kuongeza strangers watatusumbua maana hatuwajui
Mjumbe no 4: Ni kweli tumtafute tu mshauri atushauri, mama mtu mzima atusikilize wapi tunakosea akae nasi hata miezi 3 atuangalie maisha na nyendo zetu alafu atajua pa kutukosoa kwa kwanza, hamna haja ya kuweka watu wasiojulikana humu,
Mjumbe wa 5 (Mpare): Hapana mimi naona nina jicho la tofauti katika hili, niwaambie ukweli, hakuna mtu alietaka suluhu ya wanaume kama mwanamke ambae ameenda umri akaambatana na mwanamke mwenzake ili amshauri akafanikiwa
dawa ya moto ni moto, kama unataka kuolewa kaa na wanaume, wanawake sio sana, mimi kusema kweli tangu tumeachana mara ya mwisho nilifikiria sana sana kuona kwanini wadada wazuri kama sisi tuna hela, kazi, maisha mazuri hatuolewi.
Nikakaa nikatafakari nikaangalia kwanini wadada na wamama ofisini wanalalamikia ndoa zao na waume zao, nikajua tatizo ni sisi wanawake. kwanini wanaume watoke nje ya ndoa?Au na hilo hamlijui jamani? maana tusililie ndoa kumbe Mungu ndio amezuia tusiolewe, umri sio kitu hapa!
Wajumbe wote: tunajua sikuhizi wanaume wanatembeza nje kama mvua
Mjumbe wa 5: kwahiyo nikaamua kuanzia siku hio nitembee na waume za watu kwa kufanya research!
Wajumbe wote: heeeee?! huku wanashangaa, we mama imekuwaje?, wengine wanatukana we mpare mshenzi kabisa unaiba waume za watu? Acha umalaya weweee!
Mjumbe wa 5: sikilizeni nyie maboya, kama hamjui basi mnisikilize, hamna haja ya kunihukumu bila sababu!
Wajumbe wote: wakaanza kulalamika hatutaki laana hatutaki laana
Mjumbe no 5: jaman sikilizeni basi kwani tunagombana?
Wajumbe wote: wakakaa kimya!
Mjumbe no 5: Opportunity cost? wangapi wanakumbuka waliposomaga chuo maana ya opportunity cost?
Wajumbe wote: wakakumbuka, wakauliza sasa hii inahusiana nini na waume za watu?!
Mjumbe no 5: kama wake za watu wanalalamika ndoa haziendi, hii ni opportunity kwetu sisi akina single ladies.
kwani sisi tunataka nini, si mume wa kukupenda na kukupa mapenzi, badala ya waume kukitembeza kila mahali, bora sisi tuwasaidie wake zao. Bora wanaume wawe na sehemu 2 za kwenda, mwisho wa siku tutakuwa tumejua jinsi ya kuishi na wanaume na soon tutakuwa na nyumba zetu na waume wetu!
Wajumbe wote: aaah hamnaa, hio laana, we mpare acha ushenzi kabisa hatutaki laana hapa leta idea nyingine mama!
Mjumbe no 5: nyie sikilizeni, ndoa ambayo imekufa inamfanya mwanaume atafute pa kupumulia, pa kupumzika, sasa nyie mnashida gani mkifanyika mapumziko ya waume za watu? kwani mnahamishwa nyumbani? si mnakutana hotelini? mambo yakitiki ukahama nyumbani akataka kuoa inakuwa bahati yako.
Wajumbe wote: wakanyamaza kimya wakasikiliza kwa makini sasa!
Mjumbe no 5: mimi nawajua wadada wamoja, akaanza kutoa hapo ushuhuda wa wale waliofanikiwa kuiba waume za watu wakaolewa wao, wakiwa na miaka 40 na mpaka sasa wamezeeka wote wakiwa na miaka 60
Wajumbe wote: wakanyamaza kimya, wanaskiliza kwa makini mpango mkakati wa mjumbe wa 5
Mjumbe wa 5: sasa ndo hivyo kwa anaetaka kuingia kwenye hili game aseme, ni kwa ajili ya kuwasoma hao wanaume na kwanini hatuolewi basi, ikifika sehemu ukakoleza penzi wanaume akachizika akakuoa basi bahati yako ila hii ni research, tunaenda kwa kujifunza
Wajumbe wote: lakini hii tabia ya kuiba waume wa watu ni mbaya sana, je hao watoto wao wakipata shida hawahudumiwi vizuri kisa wewe unakula raha ina faida gani?
Kwanini tusiwapate wale ambao wameachana au wale wajane wapo kibao tukajifunze huko lakini sio waume za watu?
Mjumbe no 5: ivi unajua moto wa kutembea na mjane, kila siku atakuwa anakuliza kwa kukufananisha na marehemu mke wake, mpaka aje asahau msiba wa mkewe amtoe kichwani mama yangu ushaumia sana, hatokupenda atakuwa anakumega huku akikwambia namkumbuka mke wangu alikuwa mzuri sana akiwa hivi na vile
haya tukirudi kwa mwanaume alie mtalaka, ataishia kukumega akuache, maana mpaka kapata talaka, ina maana yupo huru kwa muda mreeefu sana, na atakuwa na hasira zake kibao juu ya wanawake, hapo sasa ukikaa utaisoma namba
Wajumbe wote: sasa tunawapataje hao waume wawatu, hatutaki waume njaa lakini,
Mjumbe wa 5: akawatajia wababa wenye hela mjini ambao ndoa zao zipo juu ya mawe, wenzake wanashangaa huyu mjumbe amepataje kuwajua hawa?
Akawaeleza sehemu wanaishi, Baa wanazoenda, vitu wanavyopenda, familia zao zinapoishi, nyumba wanazoishi, kazi wanapofanya, yani ni mambo makubwaa wanaelezwa
Wajumbe wote: wakaanza kuwa na wasiwasi na mjumbe no 5 kuwa kama yupo sawa?!
Mwisho wa maelezo yote, akaanza kuwagawa vibopa kwa kila mjumbe kasoro yeye, wakawa wanashangaa, wakamwuliza je wewe umempataje wako
Mjumbe no 5: mimi wangu alikuwa ananisumbua sana akija ofisini benki, nikaamzungusha ila katika kufikiria fikiria kwangu nikaamua kumsikiliza, nawaambia huu ni mwezi wa 3 nipo na yule bwana, mkewe hajui, naishi kwangu anakuja weekend anashinda masaa 12 anarudi kulala kwa mkewe, sasa hivi najua kwanini na wapi wake za watu wanapoharibu, ila siwezi kuwahukumu kabisa wake zao maana majukumu ni mengi na najua hata mimi akikaa nami kwa muda mrefu atanichoka ataondoka atafute kwa mwengine mdogo zaidi yangu amdanganye amchezee amuache...
Nilichoamua kufanya ni kufunga moyo wangu kwa huyo mume wa mtu, nafanya mahusiano nikiwa nimefunga moyo na roho kabisaa, si nipo kwenye reseach ikiisha nambwaga, kwani kuna nini cha maaana ananipa ambacho sina, mimi sio security yake wala nini!
hii miezi 3 nimejifunza mengi sana na namwamini Mungu nitaolewa na nitakuwa na familia yangu!
Wajumbe wote: kiru! je ukipata watoto nae? utafanyaje? maana ajali ni kazini mama!
Mjumbe no 5: kwani single mothers hawaolewi? Wake zao wanavyowa misstreat waume zao na kujitamba kuwa ndio securuity yao kubwa hawajui sisi wa-nje tunavyowashangaaga tu!
Wake zao wakisema mwanaume huyu wa nini, kuna mtu mwengine anajiuliza nitampata lini!
Hio ndio opportunity cost my dears! changamkeni mmekaliza makalio mnalalamika lalamika tu, mnataka Yesu aje awape mabwana mtasubiri sana!
Masaa yanagonga tuna 35 hatuna hata watoto hapa ni kujichatua ufahamu na akili mpaka kieleweke; na hao wake za watu wajifunze kutunza waume zao kwa unyenyekevu sasa ni fundisho kwa wote my dears!
huyu wangu hanisumbui unajua hanisumbui, na nilichokuwa nakikosa kwa ex boyfriend wangu ninakipata kwa huyu maradufu, hata kama halali kwangu lakini ni opportunity ya mimi kupata anaenipenda mbeleni
Wajumbe wote: sasa ukija kukamatwa na mkewe?
Mjumbe no 5: utakuwa ni boya, wewe mke wake unamfuata wa kazi gani labda? unataka nini kwa mkewe? mashindano au ukichaa?
kwani mumewe alivyokutaka alikuja kukutaka na mkewe au?
Huyo mkewe wewe wa kazi gani labda? unamikakati nae kivipi?
Hayawahusu hayo yao na yako ni yako! wewe fanya yako to the fullest achana na mke wake
ikatokea kweli mke wa mtu kakufumania lazima ujibadilishe rangi, jifunze kuichangamsha akili yako, mwizi hata siku 1 akikamatwa hakubali kuwa mwizi na wewe usikubalki kukamatwa kiboya boya, hama mtaa, mji, wilaya, mkoa, Dar es salaam ni kubwa sasa mpaka kibaha mpaka Bagamoyo hamia!
kha!
Wajumbe wote: wakawa wanamshangaa mjumbe no 5 kuwa ni mzima kichwani au?
Jomana: kwahiyo bindada mishen yako yaisha lini? na huyu bwana naanzaje kumtext?
Nampataje? embu tupe mbinu
Mjumbe no 5: akawapa mbinu zote alizotumia yeye wenzake wakamkubali kuwa ni noumer, akawaomba wanunue simu tochi kwa ajili ya kuwasiliana na hao side husband, wa register namba zao za simu kwa majina ya kiume sio ya kike ili kugundulika iwe ngumu,
Wajumbe wenzake wakaguna wengine wakakataa wengine kama mjumbe no 2 na jomana wakakubali ila Pendo alikataa katu katu akaachiwa namba na maelekezo ya kibopa wake!
Waliporudi Bara, wenzake wakafanya yao wakafanikiwa kasoro Pendo, Mjumbe no 5 alipoona pendo anazubaa zubaa, akaamua kununua simu na namba feki, akaanza kumwendea huyo kibopa, kinyume na Pendo, wakawa wanachat kimahaba, Kibopa akaomba waonane, akawa anamzungusha akamzungushaa, mpaka akakubali akaamua kumfuata Pendo na kumweleza ukweli, haya mama simu hio hapo jina la simu limesajiliwa kwa jina la Patric, anataka muonane Jollies Club leo ijumaa, nenda mama kamsikilize, akampa mpango mzima na jinsi ya kuongea nae kama yeye alivyokuwa anaongea nae, Pendo anashangaa tu heee hii ya leo kali, Mjumbe no 5 akamsihi sana aende akajifunze kitu sio lazima alale nae, Pendo akamkubalia poa naenda kesho nitakupigia
Ndio mwanzo wa Pendo Mmachame kuonekana maeneo ya Isumba Lounge, akiwa na Kibopa!
Maongezi maongezi Kibopa akakoleaa!
Kibopa: totoz zuri, tototz laini, totoz umeumbika, totoz nimekupenda unavyonifariji , totoz natamani sasa hivi niende nikakubatize nikuone unavyofanana
Pendo: akawa anacheka ndani kwa ndani anatamani kupasuka kwa kicheko lakini anajikaza, akawa anabaki ana smile, mara atukane kimoyomoyo mjumbe no 5 mshenzi kabisa, yani ananiuza kwa waume za watu aya bwana!
Maongezi maongezi na pombe kali za kutosha, Pendo kucheki muda ni saa 6 usiku, hajawahi kuingia kwao saa 6 akaona hapa ishakuwa msala, akampigia Mjumbe no 5, mama naja lala kwako siwezi rudi kwa mchaga nitakufa kabla sijaingia nyumbani!
Mjumbe no 5: akakubali maana kesho yake ni jumamosi, sawa mama wewe kula nchi ukimaliza njoo kwangu milango na madirisha yote yapo wazi
Usiku huo huo Kibopa akamchukua Pendo mpaka guest house, shughuli shughuli na wewe, Moven Pick moujaaaaaa!
Pendo Binti bikira wa miaka 35 ameenda kuchinjwa na Kibopa!
Shikamoo waume za watu!
kiru, ndoooroooooboooe! ngoja nikanunue gazeti nijipepeeee!
Tuonane Tar 14 October saa 1 usiku ya Tanzania
_____________________________
---------------------------------------------------
SEHEMU C. TEA PARTY
PALM BEACH Hotel
Kila baada ya miezi 3 warembo 5 hukutana kwa ajili ya tea party, si unajua tena mambo ya kikundi 😂
Katika warembo hao walikuwepo Omana, Manka, Doreen na Elizabeth
Omana na Manka kama unavyojua ni wapare na wachaga, Doreen ni Mpare na Elizabeth ni Msukuma
Basi wanakutanaga kwenye Tea Party wanadiscuss mambo yao ya kikundi na maendeleo, wanaongea mambo mengi ya masomo na maisha Baada ya masomo na mambo ya mapenzi na mengine mengi!
Wakiwa katika kikao kirefu, Manka akamchokonoa Omana kwa kumpitia Eliza na Doreen
Manka:
Eliza shemeji hajambo?!
Eliza:
mh hamna cha shemeji, mimi ni kama nipo single kwa sasa
Omana:
mmmh totoz kama wewe unakuwaje single?!
Eliza: akacheka tu, si unajua tena Eliza mpole, ila watu wapole ni wa kuogopwa maana wanabeba siri kubwa
Manka:
Alafu Eliza nimekumbuka, juzi kati nimekuja chuo kwenu Udsm nakuona unaingia kwenye shangingi moja la hatari, yule alikuwa baba yako au mjomba wako? Maana ilikuwa saa 3 usiku?!
Elizabeth:
akatabasamu lakini hakujibu,
Omana na Doreen na Manka wakaanza kuangaliana leo Eliza vipi? iyo mood vepee, wakaamua kumuacha maana anaonekana kama anapoteza network vile
Manka:
Doreen hawajambo nyumbani kwako?! Shemeji nae mzima?
Doreen:
Nyumbani wazima nitaenda baadae kuwasalimia,
Shemeji yenu hajambo ila yule wa last time nimeshapiga chini sasa hivi nipo na mwengine ila wapo 2
Omana & Manka: wawili?!
Doreen:
Ndio, mimi nimechoka na watanzania wanasumbua tu, nimeamua kutoka nje ya Tz
Manka na Omana: kama wapi?!
Eliza:
Uarabuni na China
Ikabidi wote wacheke, haaaaa! Doreen unabwana wa kichina?! Waarabu sawa tunawaelewa ngoja tukuweke kiporo ila wa kichina hili tunaanza nalo
Doreen:
jamani mabwana wa kwangu mimi nyie inawashangaza nini?!
Manka:
Ndugu yetu huyu bwana wa kichina anajua kizungu au mnaongea kichina?!
Eliza:
Mmh! hajui kizungu wala kiswahili hapo ni ububu mwanzo mwisho
Omana:
Hahaha hii kali, kwahiyo sasa ulimkubaliaje mpaka mkawa wapenzi?! maana hio inaitwa Lugha Gongana!
Manka:
Mmeshapigana mechi au bado?!
Doreen:
Tayar kila kitu, tena ananipeeendaa kweli kweli
Manka:
Oh jamaani! Akyanani ivi kwanza huyu mchina anafanya shughuli gani nchini au ndio anauza vigae na mapazia kariakoo?!
Doreen:
Ana biashara yake Kawe pale kuna garage kabla haujavuka daraja la kwenda kawe wamefungua garage
Manka:
Mmmh, haya mlikutana wapi embu tupe basi mkanda mnzima maana kukuuliza uliza kama mapolisi tunachoka
Doreen akaona aibu kujielezea ikabidi Eliza aingilie kati aongee
Eliza:
Nyie hamjui huyu ndugu yenu Doreen niwaambie mambo anayofanya ya aibu kabisaa
Doreen :
Eliza maliza tu kuongea na mie nayaweka yako hewani malizia tu
Eliza:
Weka, kha! Yangu yana afadhali kuliko ujinga unaoufanya
Basi niwaambie siku moja tupo Mlimani city pale tunasubiria kuingia kwenye Cinema, mara akaja mchina nae anakata tiketi, nadhani alichagua movie ya Skyfall ya James bond
Doreen na upare wake sijui njaa akaniambia huyu mchina handsome, very handsome amejazia ... angalia simu anayotumia ngoja niende kumsalimia
Nikamzuia lakini wapi hataki kuelewe akaenda akajigongesha kwa mchina wa watu, akajiangusha chini, ikabidi mchina amuokote na kumwomba samahani, hapo ndipo walianza kuongea
nikawa nawaangalia Doreen nikijua Mchina anajua kidhungu, kumbe bi Doreen hapa anamuongelesha kwa vitendo, mchina anaitikia kwa kichwa kama Mbwa
Wakaenda mpaka kwenye movie wote, nikaachwa kwenye mataa, ikabidi nikakae seat ya Mchina, Mchina akakaa siti yangu
Movie imeisha sijawaona akina Doreen nikaamua kuchukua bajaj kurudi chuo. Kufika nampiga simu hapatikani; aliniweka sana roho juu maana sikujua yupo na hali gani huko alipo!
Naulizia kwa roommate zake wanasema hajaja, nikarudi chumbani nakuta sms yake nipo na Mchina tuonane kesho simu imeisha chaji wewe rudi tu chuo.
Nikazima simu nikalala
Akaja kesho yake saa 6mchana kachokaa anaona hata aibu kwenda room kwake akaja room kwangu kuomba aoge alafu alale ndio arudi kwake
Nikamuhifadhi bibie si unajua mimi sina choyo mtoto wa kisukuma
Alipoamka na kujiandaa akaanza kunipa stori ya bwana wake wa kichina
Ananiambia jana usiku tukaenda nyumbani kwa mchina mikocheni, kufika show za awali zilikuwa nzuri
Cha kushangaza wakati namvua namkuta Mchina wa watu ana kidyudyu kidogo (kibamia) najaribu kukivaa kibamia kinapwaya hamna raha karaha mwanzo mwisho
Eliza nikacheeeka sio kwa kupatikana huku kwa Doreen akome kudandia wanaume namna ile, nikamwuliza ivi Doreen Tabia yako ya kutafuta mabonge ya bwana utaacha lini?! Kwanini unakuwa na tamaa kiasi hiki kwenu mpoje lakini?!
Doreen: akaniambia kuwa yeye hana wazazi ni yatima
Nimeelewa na mtu baki ambae alinitesa sana pale kijijini, nilipovunja ungo, akawa ananitaka kila siku, nikamtishia nakusemea kwa mkeo akaona namtania nilipoenda kumsemea kwa mkewe; mkewe akacheka, akaniambia wewe mtoto si ushakuwa mkubwa, sasa nakwambia utoke kwangu ukatafute bwana wako naona unanizengea mume wangu eti anakutana, akutake wewe una nini?! Jinsia tatu au?!
Nikafukuzwa nikaondoka kwenda kukaa kwa jirani? hapo nimemaliza darasa la 7
Nikaishi kwa jirani muda mrefu ila jirani alikuwa jirani wa mbali, majibu yakatoka nimefaulu darasa la 7, jirani akafurahi na mkewe wakakubali nisome kidato cha kwanza ila nikae boarding, Jirani akanifadhili nikasoma form 1 mpaka form 4, nikamaliza nikarudi pale kwake nikakaa nisubiri majibu ya form 4,
Katika shughuli za hapa na pale sikumoja yule akapita yule ambae nilikuwa naishi nae mwanzo mumewe akanitaka wakanifukuza, akaleta fitina kwa mama mwenye nyumba, yule mama jirani akaanza kuamini akaanza kunifanyia vituko si kajazwa maneno kwanini nimeruhusiwa kukaa hapa miaka yote hii?! akamwambia yule mama mwenye nyumba kuwa natembea na mume wake! mpaka nimesomeshwa lazima natembea nae!
ikabidi niondolewe pale kwa jirani, jirani akaniuliza unataka kwenda wapi sasa?!
Nikaumiza kichwa spati jibu mara naskia wimbo kwenye redio wa Mr Nice, Unaitwa Wawaaa
Unaimbwa hivi
kuku kapanda baiskeli🎵 bata Kavaa raizoni 🎵 daresalaam wawaaaa, ikooo🎵 ikikoo ikooo kokokokokoo ikooo ikikoo shangiliaaa🎵 shangilia wewe, wawaaaa🎼
Nikamwambia yule baba anataka kwenda Dar es salaam, sina hili wala lile sina 100 sijui naanza wapi maisha, hata matokeo yangu ya form form 4 hayajatoka.
Yule jirani akanipa hela kwa siri akanipeleka kituo cha bus, akanilipia usafiri wa kwenda Dar es Salaam, akanipa Tsh laki 3, akaniaelekeza Dar es salaam jinsi ya kufika, nikifika ubungo napanda daladala za kwenda sinza Kijiweni, nikifika Kijiweni niulizie chumba za kupanga lazima nitapata
Basi nikamuaga, nikaondoka Same kuja Dar, kufika nikafuatisha kweli maelekezo ya yule jirani, nikatua Sinza, nikashushwa kijiweni nikaakaa muda mrefu pale kituoni baadae nikamwona mama mtu mzima mwenye hekima zake nikamwuliza natafuta vyumba vya kupanga, akaniambia twende mwanangu mimi mwenyewe natafuta mpangaji, naona ni Mungu amekuleta ndio nikapata chumba na hifadhi Dar es salaam, kilikuwa chumba ki1 choo cha nje si unajua tena sinza palivyo, huyo mama alikuwa na nyumba kubwa mbele yetu sisi tukawa tunakaa kwa nyuma, tulikuwa wapangaji wa5, nikalipa kodi ya miezi 6, enzi hizo kodi alinifanyia elfu 40
Maisha yanaenda sina kitu zaidi ya nguo, najifungia tu ndani nikitoka nakula chips vibandani narudi kulala
Sikumoja Baba mwenye nyumba akaambiwa mimi naishi kwa kula chipsi vibandani akanichukua na mkewe wakaenda kuninunulia jiko la mchina na sufuria 3 na mwiko na mchele, mafuta, sukari, chumvi, maji ya kupikia, maji ya kunywa, viungo vya kupikia mboga, nyama, samaki, na mazagazaga yote ya upishi unayoyajua wewe ila hapo ni baada ya kuwaelezea nilipotoka na kuwa mimi ni yatima, wakanihurumia
Nikatafutiwa na kubarua cha u secretary kwa jamaa ya baba mwenye nyumba pale mwenge steshenari imagine graduate wa form 4 ... kweli usipokuwa na wazazi hata kama una degree hamna atakaekuangalia mara 2
Nikapiga mzigo mwenge steshenari, kwa muda wa miezi 3 naondoka asbh saa 12 narudi saa 2 usiku nalala sipiki nanunua msosi vibandani naingia kulala
Nikapiga kazi pale steshenari kwa muda wa miezi 6 nikaielewa dsm vizuri sana weekend j2 nazunguka mitaani makariakoo sijui wapi kote nazungushwa na majirani zangu mpaka nikauelewa mji wa dsm ulivyo kwa daladala
Baada ya miezi 8 majibu ya form 4 yakatoka, kwenye redio wakatangaza mwaka huu wamefanya vibaya sana kimatokeo nikajua na mie ndio baaas basi tena
Nikakaa mwezi mzima sijachungulia majibu, basi akaja baba m1 pale steshenari anataka kumwangalizia mwanae matokeo nikamfungulia akaangalia akafurahi mwanangu amefaulu jamani, mimi natamani kumwomba nashindwa
Akaja boss wangu pale anampa hongera, Boss akaniuliza wewe Doreen umeshacheki majibu yako, angalia sasa hivi mtandao naona hausumbui nikaingia kucheki matokeo roho yaniuma najua nimeshafeli, ile nafungua kudadeki nina div 1 ya mwisho nilifurahije sasa nikajua hapa sasa nitapata form six kama sio
Nikaamua kwenda kujiunga na chuo CBE diploma, nikapata masomo ya jioni nikapewa ruhusa na boss jioni naondoka saa 9 nanusu naenda kusoma diploma narudi home saa 4 usiku najisomea mpaka saa 6 kila siku nalala saa 6 kama sio saa 7, saa 12 nipo macho saa 1 asbh nipo mzigoni mwenge kwa muda wa miaka 2, nikafaulu vizuri sana sana sikuwahi kusapu! miaka miwili ya dimploma ikaisha, nilikuwa najisomesha kwa hela zangu na zingine mama mwenye nyumba ananisaidia kulipa kwa miaka 2 shule ikaisha, nimefaulu nikaona bora nije kujaribu bahati yangu kwa kusoma degree nione kama nitapata, nikaomba chuo IFM na UDSM na ST. Augustine maana niliskia mikopo inatolewa nikaenda kuomba kule Bodi ya Mikopo!
Kweli baada ya miezi 6 nikapata chuo Udsm kozi ya BCOM, nikaomba na hostel nikapata baada ya miezi 2 nikaanza chuo nikahama pale sinza, wale wenye nyumba walilia na majirani maana tumezoeana sio kitoto! wapangaji wenzangu hawataki niondoke wameshanipenda, mwenye nyumba akaamua kunihifadhia vitu vyangu vya jikoni ambavyo sikuweza kubeba hostel nikaondoka nimepata mkopo asilimia 100, nikapata nikaanza maisha yangu chuoni Udsm kwa upya
Mwaka wa kwanza nilikaa Mabibo hostel, kule ndio nilijua maisha ya mziki, tunatoka usiku tunaenda disco, maisha ya hostel za mabibo ni ya vituko, tunalala kitanda cha dabo deka, mwenzio analala juu na bwana wake wewe umelala chini unaskilizia wenzio wanapigana mechi na hamna kusema kwa mtu
Akyanani maisha ya mabibo yalikuwa ni nyokoo
Nikapataga kibwana kimoja cha kichaga nilipoenda disco, huyo bwana anaitwa kimaro mfanya biashara basi kila weekend tupo billcanas mara maisha club mara sijui wapi shule nikaona chungu nikajua lazima nita disco
Kimaro hakuwa mbahili alikuwa ananipa hela kila week na hivi alijua mimi ni yatima basi ana toa hela kama mchanga, ndio alikuwa mwanaume wangu wa kwanza, basi mapenzi kem kem.
Kila weekend kwangu ilikuwa kama cinderela movie, lazima nifatwe na Prado ijumaa kurudishwa j3 asbh darasani
Kila mtu alijua huyu bwana atanioa, mwaka wa kwanza ukaisha nikafaulu sana kuliko nilivyotegemea
Nikaenda mwaka wa 2, nikahama mabibo nikahamia Udsm hostel za ndani kule nipo tu na kimaro wangu
Watu wakajua kimaro kimaro ndio atanioa nyooo
Ile mwaka wa 2 nimeshapiga pepa zote nasubiria matokeo bado nakaa hostel za chuo maana sina pa kwenda nikamfanyia surprise kimaro nyumbani kwake kufika si namkuta anamkung'uta demu kitandani mwake, kha! Nilichoooka ghaflaa nguvu zikaniisha,
Nikawa nimeganda nawaangalia machozi yananitoka mpaka wanakuja kumaliza wanashangaa mtu ameanguka chini puuu
Kuja kuzinduka nipo hospital na kimaro pembeni!
Kimaro: oh ulizimia baby nimekuleta hospital pole sana, kama sikumbuki alichonifanyia nikajifanya fala ili alipe bili ya hospital na kunirudisha chuoni
Kufika hostel nikamwambia bro mimi na wewe basi tena,
Kimaro hakuamini alilia kama mwenda wa zimu, hakutaka tuachane kabisaa nikamfukuza akaondoka ila ndio kila siku simu sms simu sms,
Wakati naugulia maumivu na machungu wakaja watu wa supplimentary shuleni kusoma, nikawa nimekaa kwenye ngazi nalia najiona maisha ndio basi tena akaja bibie Eliza hapa anaenda kusoma kafeli anawahi diskashen
Akanikuta nalia akaanza kunibembeleza jaman usilie pole sana akasahau na kwenda discussion akanipeleka chumbani kwake ikabidi nilale pale
Asbh akaamka akaondoka amefunga chumba kaweka namba yake ya simu ... akarudi saa 5 asbh bado nimelala akaniamsha kwa fujo nikaamka si unajua kwa watu tena, nikamwelezea yalionikuta maskini anaskitika usijali wanaume ndio walivyo wewe hauwajui achana nae blah blah blah kibao mimi namwangalia kama mahindi ya kuchoma
Akanitengenezea chai, akanipa panadol nikanywa nikala nikarudi kulala yeye buzy na kusoma
Baada ya siku 3 namwuliza Eliza unasoma nini?!
Akaniambia amefeli, anasoma sijui somo gan ambao mimi nimepata A
Nikampiga pindi anashangaa mambo marahisi wakati discussion anaiona chungu... hapo ndio nikapata rafiki wa kwanza wa kike anaitwa Eliza... alipomaliza mitihani ya supplimentary tukaenda kuomba tukae chumba kimoja kwa matron akakubali akahamishiwa chumbani kwangu tukawa marafiki tangu siku hio mpaka sasa
Kabla ya shule kuanza tukawa tunazurura, Eliza enzi hizo ana kibwana chake kinampeenda mimi namwangalia tu namhurumia nikijua lazima atapigwa tu sikumoja asiingize miguu na mikono yote kwa huyo bwana
Eliza akawa hasikiii, bwana mwenyewe mpare na mimi wapare nawajua vitombi hatari Eliza kakolea sijui yule bwana kamwekea dawa hata sielewi
Kabla hatujafungua chuo bwana wa Eliza asinitake nisimrekodi video kwenye simu na kumtishia namwonyesha Eliza utumbo unaoniambia akaacha ujinga wake ila mimi nilijua Eliza kuna sehemu atatundikwa tu msalabani, ila kwa sasa ngoja afaulu kwanza sapu na amalize shule maana atajiua Msukuma kama mhehe akipenda hehe 😂😂😂
Mimi nikakaa single kwa muda mpaka tunafungua chuo nikaja kupata bwana pale pale chuo lecturer ila anafundisha corse nyingine, nikawa natoka nae kisiri siri Eliza hajui wala nini, shule ikaanza na mambo ya field na project bado nipo na lecturer Eliza hajui wala nini, hata tunaachana na lecturer Eliza hajui
Nikaja kupata mume wa mtu, kanikuta tu mlimani city ananitaka nikamsikiliza mume wa mtu ananipa hela mpaka nikawa namhurumia mkewe kuja kufanya uchunguzi naambiwa yule bwana ana mawe hatari, yani pale mimi nile navyotakaaa ila kuna tetesi yule bwana ni positive
Eh kusikia positive nikampiga hela nikakimbia na hivi sina makazi maalum alinipata wapi labda?!
Haya Eliza inatosha, nirudi kwako na wewe kupenda kuhadithia ya watu, je umewaeleza akina Omana ulivyotendwa na kaka zake?!
Doreen: Miezi 3 iliopitaa, Eliza alikuja kwangu analia, oh bwana wangu wa kipare nimemfumania anatembea na yule demu chumba cha tatu pia anatembea na lecturer wetu yule kadada ah Eliza aliumiaje Manka?!
Hapa kapona ndio maana mnamwona hivi ndio anapona pona ivoo, Eliza hakuwahi kuwa muhuni, Uhuni kaanza juzi mbonaa, ni sheedah, niseme nisiseme Eliza? !
Eliza huyu mnamwona hapa alishasema mapenzi basi, Msukuma kasusaaa...sasa hivi analipiza kisasi na kulenga tu hataki ujinga
Basi akaja kumpata huyo bwana sijui kamtoa wapi kudadeki, anamsaidia kutafuta wanaume... yupo kama dalali flani, anaitwa dalali nani we Eliza? ! 😂😂😂😂
Wenzake wanacheka hawana mbavu hio dalali vepee! ?
Eliza amenunaje sasa siri imetoka, prostitute la kisukuma Umeona wapi Eliza wewe- akajisemea Manka
Doreen:
Mimie simhukumu najua mapenzi yanauma sana, hasa unapokuwa umependa mazima mazima kama bibie ila hili la kuuzwa na huyo dalali nani tena, ah nimekumbuka Dalali Michael...
Manka na Omana:
Michael? ! Huyu Michael maarufu?!
Doreen:
Huyo huyo mnaemjua
Manka na Omana:
My dia ondoka kwa huyo kaka kabla hayajawa mabaya my dia, utajipatia maukimwi huko sijui utawaambia nini wazazi wako
Eliza:
mniacheeeee!
Pain changed me
Manka na Omana:
Haya mama tumekuacha, wewe endelea tu na dalali Michael tutakuja kukuletea juice na misosi hospital na maua kaburini kwako.
Manka:
Sasa naelewa kwanini nilikukuta unaingia kwenye gari kali nilipokuja chuoni kwenu Udsm usiku ule, kumbe shoga ulikuwa unaenda kutoa huduma?!
Unaenda kazini!
Haya unalipwa bei gani sasa?!
Eliza:
Kwa usiku m1 dola 300
( hapo dola 1 inasoma 2000)
Manka:
Tobaaaaaaa yani unaenda kutumika kwa laki 6 ambayo wewe unapata kwenye boom?! makubwaaa!
Mimi nakwambia Eliza kama rafi yako uko mbele utakuja kuozaaa, ukidhani unakomoa wanaume kumbe unajikomoa mwenyeweee
Chiu itaisha hio utakaa kama wa bibi mzee, itafika kipindi watakulipa hata dola 5000 wakufanye kinyume na maumbile mambo ya sodoma na gomora utaweza wapi shoga yangu wewe msukuma tangu lini akageuzwa kinyume na maumbile, unatia aibu ujue!
Wengine watakupa hata mil 100 wakuharibu tu, wanaume hawana maana, ukija kwenye kuzaa itabidi ujifungue kwa kisu kama utataka kwa njia ya kawaida itabidi wakuwekee magozi kama waarabu maana kusukuma mtoto sio mchezo.
Lakini nyie mademu wa Udsm wajinga sana, na wewe Doreen
Na hao waarabu vepee?! Usikute na wewe unageuzwa kinyume na maumbile unajishaua tu hapa
Doreen : Kimyaaaa!
Omana:
Doreen mpenz, usimsikilize mchaga mshenzi tu huyu hana ishu, nyuma au mbele mwili ni wa kwako, embu niambie hawa waarabu unawapata wapi?!
Na wewe Eliza nipe namba ya dalali Michael nataka mteja mie naona umezubaa, mwili wangu utauzwa mil 10 kwenda mbele sitaki ujinga
Manka:
Oh my gooood! Nilijua tu bibie huyu wa kipare na njaa zake lazima arukie tenda ahahahahahaha, haki ya Mungu mimi nawaambia mtanikumbuka maneno yangu na kwenye upuuzi wenu msinishirikishe, vitu gani lakini mnafanya?!
We Doreen hata kama ni yatima lakini Mbona Mungu amekusaidia umefaulu umepata mkopo haujawahi kufeli darasani, kitu gani kinakufanya mkajiuze uze namna hii
Mbona hamna dignity kabisa?! Class ya kipare imeenda wapi labda?!
We Eliza kwenu si mna hela lakini?! Unajiuza kwasababu mwanaume amekuumiza?!
Get over it sio wa kwanza kuumizana, my gaaad!
embu mimi nirudi hostel naona mnaniboa tu hapa na ujinga wenu
Manka akainuka huyooo akaondoka zake kawaacha warembo wanashangaa
Tuonane Tar 19 August saa 12 jioni
-----------------------------------------------------
SEHEMU D: WACHAGA UTAWATOFAUTISHAJE?
CLARA
Bwana bwana asikwambie mtu watu mtagombaaaaana huku duniani mtakimbizaaaaaana huku duniani lakini Mchaga wa Marangu mwisho waambo yote
Kwanza ni wazuri, weupeeee wengi wetu ni weupeee, wachache ni weusii
Ukimkuta Marangu mweusi ni mweusi mzuri ananata, laini kama asali, soft kweli kweli mtamu, ameumbikaaa mshepu kama QueenVeeBosset wa Kenya kama sio Beyonce au Nick Minaj, wazuuuriiii kweli kweli
Wale weupe bwana ni moto wa kuotea mbali kabisa
Totoz wa kichaga wa Marangu kwanza tunajijua, tunanataaa, hatupaparikii wanaume, wanaume wanatupaparikia sisi.
Hivi ulishawahi kutana na wachaga wazuuuuuriiiiiii si nyie watanzania mnasemaga wachaga huwa ni wazuri ambacho hamjui ni kwamba wachaga wazuuuuuuri ni wa Marangu tu sio wamachame wala Kibosho wala kishumundu, nooo
Wamachame bwana wale mimi naogopa hata kusema ujue sijazaa bado wala kuolewa, wachaga wa kimachame Penny ngoja nikufundishe jinsi ya kuwajua
1. Juu wanene chini wembamba na viguu vyembamba kama fidodido au chelewa za mifagio alafu weusiiii
ila wanakuwaga na baby face za hatariii ila orijinal mmachame, anakuwa na maziwa makuuubwa juu chini hana shape wala nini yani tunawaitaga alama P.
Sikuhizi kuna wale wamachame waliochanganya changanya kama akina Manka na dada zake, waliochanganya makabila labda unakuta Mama kabila lingine Baba Mmachame
Hao ndio wanakuwaga na mashepu kama nguva wa baharini au kama wale nguva katuni za watoto hao ndio wamachame ni hao tu.
Ni ngumu sana kumkuta mmachame Original amegawanyika kishaepu hamna wote wana shape P
Alafu wamachame wale bwana tunawaita wapalestina,
Yani ukiwakosea tu kidogo wanakuua, wana hasira wale binadamu wale, wewe acha kabisa
Unajua historia ya wamachame imetokea Sudan Kusini, watu hawajuani tu sijui kwanini wanawaitaga wapalestina, si unajua zamani watumwa walikuwa wanasafirishwa sana toka Tz kwenda nchi zingine watumwa mwengine wanatokea Moshi Kilimanjaro, sasa ma chief waliotokea Machame bwana walikuwa wanatokea Sudan kusini ebana ee wale watu wana hasira, alafu wana hela alafu wana mila alafu ni wafanya biashara wazuri sana!
Hivi Ulishawahi ona kuna mtz yeyote akacheza na mali ya mchaga wa machame akabakia salama!?
Yani mali ya machame haichezewi ovyo, wale wajinga wana mila nchi zima wataenda kusoma kozi pale. Wamachame wana mila sana kuliko wachaga wote mkoa wa Kilimanjaro. Usicheze na mali yoyote ya mmachame kuanzia mke mpaka watoto mpaka materials (mali).
Wamachame wa kiume hawanaga shida kama atakuoa wale wakaka ni wapole sana sana, ila gusa mali yake baba weweee, utanasa na kufa hapo hapo
Ila wachaga wakike mama,
hao huwa wanasifa moja sana tu: ni wachapa kazi hakuna mfano, hawachagui kazi kwanza, yani ukimwajiri mmachame kampuni yako itafanikiwa sana lakini mwisho wa zote utakuja kumkuta kajenga kwao ghorofa, Hehehe chezea mmachame wewe,
sawa nakuzalishia ila jua mwisho wa siku kwetu lazima nirudishe mrejesho
Wamachame wote wakike au wa kiume ukiwaajiri tu, mwisho wa siku Kubali matokeo kama wewe utakuwa na gorofa 2 yeye analo 1 na nyumba ndogo 2
Hautajua amekuibia saa ngapi na wapi, ila wamachame wezi bwana kha!
Ila hawa wamachame waliochanganya makabila sio wezi maana hawajui mila, mila zinafundishwa na mama sana sana, sasa kama mama sio mchaga mila inakufa ndio maana wachaga wa kale hawakupenda sana kaka zao wakaoe mikoa mingine na wale walioolewa uchagani waliisoma namba. wanasemwaa vibaya ili waondoke na wasipoondoka wanateseka sana na mila za kimachame ni ngumu mno
Sasa hawa kuku wa kidhungu wa kimachame hawajui hata mila, mama zao si sio wachaga, basi wapo wapo ila ni wafanyakazi na wachapa kazi wazuri sana.
Pili hawa wachaga wa kichotara hawajui kuiba
Ni wasema ukweli, ni wa kweli na katika wachaga waaminifu na wanaojitunza ni wadada wa kimachame, awe pure mmachame au amechanganya umachame
Wamachame wale orijinal mama na baba, waliozaa watoto wakike wakaja wakaolewa zamani inasemekana walikuwa wanaua waume zao pale mwanaume akiwa na mali nyingi, anamuua ili azimiliki yeye arudishe moshi mahesabu ila sio kweli kabisa,
Hawa wa mwendo kasi waliozaliwa kuanzia miaka ya 80 hawapo ivyo, na wamachame sio gold diggers ni hard workers, hasa hawa waliochanganya wanaojiita machotara wa kichaga (half-cast wa kichaga)
Kingine mimi ninachoona watz hawakielewi kuhusu wachaga ni kwamba, wanasema usioe mchaga mmachame atakuua amiliki mali sio kweli
Kama kweli unataka kuoa mchaga kaoe umachameni, trust me najua nachokwambia Penny, hawa wanawake ni fighter
Ushawahi skia wachaga kwa pesa bwana ndo wenyewe, wanawake wa kimachame humkuti akikaa ndani amejibweteka anasubiri hela kwa mume kama wadada wa kimarangu
Wao wanafanya kazi kwa bidii hata kama ana degree au masters atauza nyanya, vitenge, dagaa, vocha, tigo pesa, atalima vitunguu, karanga, viazi, atauza chakula, hawachaguagi kazi wamachame wote wakike na kiume hawana kinyaa na kazi au biashara
yani zile biashara za kijinga jinga wao ndio wanafanya kwaiyo ukioa mmachame bwana ujue umeoa a Gold Medal Lady, an Iron Lady! hamtakaa mfe maskini wala mlale na njaa, hakuna!
Imani ya wamachame ni moja tu kama pesa ipo hata Tsh 10 usiiachie, si ni pesa? !
Ndio maana wanaume wa kimachame wanakuwaga matajiri sana maana ni watafutaji, hata dada zao ni hivyo hivyo!
Na kwasababu ni watafutaji sana imefika sehemu dada zao hawataki kuolewa kwao wanataka kuolewa kwengine ambao watazalisha zaidi yao basi tu wanataka sifa wadada wa kimachame
si unajua mafahari wawili hawakai zizi moja?!
Ikafika sehemu sasa wanaume wa kimachame wakaamua kutoka na kuoa nje ya uchaga na kuleta makabila tofauti na ya kwao uchagani, ndio tukaishia kuwapata hawa akina chotara wa kichaga wanaringa ringa huku kwenye mitandao kama akina naniliuuuu
Nawashauri wale waoaji wangeaza kubadilisha upepo, mademu wa kimachame ni wachapakazi wafanyakazi wazuri sana na hamtakaa mfe maskini
Na kwasababu watu wengi hawajui wanawakimbia wachaga wa kimachame hawataki kuwaoa mwisho wa siku wadada wa kimachame wanaolewaga na wazungu
na wengi kwasababu wanakuwa na misimamo sio walegeza kamba; wengi wao wanaolewaga wakiwa mabikra...
Hakuna mwanaume anaetaka kuoa jike dume, wanaume wanawaitaga wanawake wa kimachame kuwa ni majike dume maana ni wachapakazi na watafutaji, ndio maana wadada wengi wa kimachame wanachelewa kuolewa wanaanza kuolewa miaka 33 hata 50 bado anakuwa anaolewa wengine hata 60, si wanajua kutafutaaa?! Na wazungu wanawapenda sana mwanamke mchapa kazi...upo penny?!
Money penny Tz:
Nipo Clara! enhe endelea best!
Clara:
Wamachame wengine wengi kwasababu ya uchapaji kazi wao, wengi wamekuwa madaktari, wafanya biashara wakubwa wakubwa,
kama umeshawahi kusikia Dokta Massawe, Dokta Shoo, Dokta Lema, Dokta Ndossi, Dokta Swai, au ma Profesa wengi wanakuwaga wachaga wa machame maana ni wanachapa kazi alafu wanakuwaga madokta wazuri sana....imagine penny sisi age yetu tuliozaliwa miaka ya 80 mpaka 90 wanaotutibia watoto wetu ni ma senior dokta hao wa kimachame, ukajiloga ukajipeleka kwa junior umeumiaaaa
Madokta wachache sana utakuta ni wa Marangu awe mzuri, wachache sana
Ukiskia mchaga mwizi basi ujue huyo mmachame kamili kwa baba na mama,
Wachaga wengine wezi ni wakibosho ila wakibosho wana roho mbaya sana na pia kwa wakibosho kuna kuwaga na madokta
Ila wa kibosho wana roho mbaya sana, wana tamaa sana ila hawana tamaa kama wamarangu
Manka:
akakohoa, bora uongee ukweli kabla sijaingilia kati, tena umwambie ukweli dada penny na mimi nitafunga mjadala mwishoni
Clara:
Wezi wengine ni warombo, hawa ni wapole ila ndio wale wafanya biashara wa maduka ya rejareja akina Mangi 😂😂😂😂
Ukiskia naenda dukani kwa Mangi ujue huyo mrombo
Yani mrombo dukani kwake bwana unaweza cheka upasuke, duka la kuuza nafaka atauza na pampers atauza na mafuta ya taa, vibatari, always, vocha, pupils, biscuit, chokoleti, soksi za shule, siksi za kuvaa wanaume, madaftari, peni, ufutio, tigopesa, mpesa, atapika na chips nje kama sio mama ntilie, atauza na soda na bia yani duka la nafaka na mini bar hapo hapo ni sheedah!
hata wa kibosho pia wanauzaga maduka kama haya, ila mrombo ni noumer!
Mrombo atauza hata kadi za krismas na za pasaka za besdei atauza na mashuka na mikeka atauza na mapazia duka moja ilo yani mvurugano wa kufa mtu 😂😂😂😂
ila kwasababu watu hawajui kutofautisha wanaishia kutusema duka la mchaga bwana ni sheedah, hauwezi kosa kitu dukani kwa Mangi,bora duka la Mangi kuliko la Mzaramo, duka la Mangi haliishiwi vitu mpaka anajenga ila mzaramo atafilisika Mchaga atasonga mbele!
Warombo wanaume ni wapole sana, hata wanawake wao wapole sana wengi wao wanakuwaga manesi wanapenda kusomea unesi Muhimbili, Mwananyamala Hospitals wamejaa kibao ma Nurse In charge wengi wao ni warombo 😂😂😂😂
Turudi kwa wamarangu hao ndio moto wa kuotea mbali penny, tena uandike vizuri watu waelewe usiache hata kimoja
Ushaskia penny wanaume wanalalamikaga wachaga wanapenda hela, mademu wa kichaga wanapenda sana hela?!
Money penny Tz: ndio boss nimeskia sana tena wanaume wananilalamikia nyie wachaga mnapenda sana hela hapa Dar Wachaga wameshaza dhaulika sana
Clara:
Basi sio hivyo ni vile tu hawaelewi maskini
Sikatai ni kweli kila mtu anapenda hela, sio mchaga tu wanaopenda hela kila mtu sasa hivi anapenda hela hata msambaa anapenda hela hata mgogo anapenda hela, sema waliowahi kuijua hela ni wachaga
Sasa wamarangu mama hao ndio sheedah
Wanaume wa kimarangu hawa hawana shida, ni wapole sana na wanajua kupenda sana sana sana ila sio fighter kama wanaume wa kimachame.
Kama unataka kupendwaaa dada kaolewa Marangu utabebwa juu juu kupetiwa petiwaaa kama Malaika, ndio zao
Wanaume wa Kimarangu kwanza wanajipenda kama wakongo, wanaoga kutwa mara 2 au 3 ni ma handsome balaa
Ila ndio vitombi hapa mjini hatarious na ni wapole sana .
Wanaume wa kimachame sio watu wa kupetipeti sijui kukupenda hawanaga iyo hao na warombo na wa kibosho hawana huo muda wao wanawaza pesa pesa, duka duka, mali mali, ndio maana dada zao wanaolewa tanga, Iringa, Usukumani, Uhayani, Zanzibar, hawataki ujinga wa kuzalishwa kama kiwanda.
Wanaume wa kimachame wanafanyaga wake zao kama kiwanda cha kufyatulia watoto na kulea, yeye akishaleta chakula nyumbani ndio kajiona kidume, akishalipa ada za watoto kwake ndio kakupenda, hawajali kama una feelings, sijui kupetipeti na usiombe mumeo wa kimachame akapata ajali ukasema unaenda kumsalimia na kumwonyesha mapenzi yote weeeee, utajuta kuzaliwa, kwanza atakuuliza lile duka umemwachia nani, zile mali anasimamia nani? biashara umemwachia nani upo hapa masaa yote unakuja kuniangalia kwani mimi Tv, embu nenda ondoka ndio maana tunaibiwa mwanamke hauna akili kabisa wewe
Mwanaume wa Kimachame hana akili wala staha anaweza akakugombeza mbele ya ndugu zake na akaona ni sawa kabisaa, ila ndio walivyo na wanajiona wapo sawa, akili zao zawaza pesa pesa pesa ni sheedah kwa mtu anayetafuta mapenzi kwa Mmachame hawezi pata! 😂😂😂
Ila sio wanaume wa kimarangu... ukimpata mwanaume wa kimarangu dada utatumbua wewe mkija kushtuka hamna hata mia, gari, nyumba, bado mmepanga, yani ni raha na shida juu ila kama unataka mapenzi kama wanaume wa kikongo au wa Kitanga au kizanzibari mama nenda kwa wamarangu ila ujue fyucha yako itakufa mapema, yani wewe utakuwa na mali na mumeo mwanzoni mkifika miaka 48 mpaka 55 hapo wote mnapanda daladala mpaka mnakufa 😧
Ila mmachame akikuoa utaendesha gari kuanzia unaolewa hata kama ni suzuki au passo au vits mpaka unakufa unaendesha Discovery 4, Jaquar, ila karaha lake baba weee, hehe kama tanuru la moto wa kuzimu ule wa siku za mwisho hata hizo mali hautazifurahia, wenzio nje watakuona mama nanihii ana raha anaendesha Jaguar kumbe wewe unakufa ndani kwa ndani hauna raha!
Sijui wale wanaoitwa viasaka wanaoolewa na wamachame inakuwaje na wanavumiliaje Mungu anajua.
Pili wanaume wa kichaga wanapenda show off hasa wa Kimachame, yani anaweza akasaidia ndugu zake asilimia 100 lakini wewe mke tangu amekuoa hajawahi kukununulia mafuta ya kupata, hajawahi kukupeleka saloon, hajawahi kukununulia gauni tangia amekuoaa mpaka mna ndoa ya miaka 30 mwanamke akatafute hela yake awe na ya kwake na mie nina yangu na watoto wangu
Ndugu wakija wanasaidia mamilioni hata 10 au 20 ila mke omba hata elfu 10 hayo majibu yake hautakaa uombe siku nyingine
Kingine wanaume wa Kimachame wanapenda sana kunyanyasa wake zao, naomba hii niiseme vizuri na Penny naomba uiandike sio kwa ubaya bali kuwafundisha na kuwaelimisha maana siku zote wanajionaga wapo sawa, jaman wanaume wa kimachame wamezidi kunyanyasa wake zao, kama nilivyoeleza hapo juu hawajui kumwangalia mwanamke, akishakuoa na sherehe kubwa mjini au kujijini kununuliwa hereni, kufu, simu, pochi, shopping yeyote kwa mwanaume wa kimachame inaishaga pale mnapokuwa mmeshazaa mtoto 1, hapo mama sahau kununuliwa chochote na mumeo, na hili linajulikana sana waulize wanawake wote walioolewa umachameni, wametesa sana wake zao hawawajali kihisia wala kifedha wao wanajua kuleta chakula tu nyama na ndisi na mchele na mboga za majani spinach sijui sukumawiki, amesomesha mtoto akijitahidi sana privte schools kamaliza au kasogea sana amekupeleka ulaya au asia kusomesha watoto
ila bwana Mwanamke yeyote hapa duniani kazi yake sio kuzaa na kula wali maharage, ndizi mshale na nyama ya kuku na mbuzi na ngombe je vepe kuhusu mahitaji ya kila siku baada ya chakula, wao wanajua kututafutia chakula na makazi je mavazi? mimi nakwambia Penny dada yangu ameolewa kwa Wamachame huu mwaka wa 25 wa ndo anajinunulia mwenyewe nguo za ndani, mafuta ya kujipaka, saloon anajipeleka mwenyewe na watoto anawagaramikia mwenyewe, mumewe kazi yake ni kununua magari na kujenga nyumba na kuleta chakula nyumbani, na ukimwuliza shemeji kwanini unamnyanyasa dadangu anakwambia nimemnyanyasa kivipi kwani hali chakula hapa ndani? haendeshi gari yani wamachame ni sheedah, na usiombe mkiwa na magari mawili, lake likaharibika, hajali anachukua gari anaondoka nalo wewe panda daladala hakusubiri
Ndio maana wadada wengi wa Kimachame hawaolewi kwao Machame, baba zao wameshawaharibu kisaikolojia atatake kurudi kwenye maisha ya mateso ambayo mama yake aliteseka?
na mimi sikudanganyi Penny,dada yangu mimi anawaambiaga watoto wake wa kike msikubali kuolewa na wachaga WOTE!
ndio maana wadada wa kichaga sikuhizi wanaolewa Mwanza, Shinyanga, Tanga, Bukoba, lakini nje ya Kilimanjaro na Moshi sheedah wanaijua ilipo ni wachache sana wameolewa makwao Moshi wachache sana.
Kwa kumalizia kabisa penny wadada wa kimarangu hao mama yangu acha kabisa
Naomba nikueleze kwa mafungu
1. Wanapenda hela
Ukiskia wachaga wanaopenda hela mademu, ni mademu wa kimarangu, kwao kufanya kazi ni mzigo, na kwasababu ni wazuri sana sana wanaona ah kwanini nifanyaje kazi kama DUME wakati mimi mwanamke mrembo nitachoka sana, wakati mwanaume yupo mimi nitaolewa tu.
Wahenga wa kichaga walikuwa na usemi huu, ukitaka kujua tofauti kati ya dada wa Kimachame na Kimarangu
"chukua kioo, lipstic, rangi za kucha, makeup, dictionary, simu ya Nokia tochi, Samsung Note 5, weka kwenye chumba
Mwingize dada wa kimarangu na kimachame afu waambie wachague vitu wanavyovipenda utajionea,
Dada wa kimachame atachagua dictionary, Nokia tochi, atajiweka kwenye kona ataanza kusoma
Demu wa kimarangu atamuangaliaaa demu wa kimachame atasonya Mxiiiiuuuuu, atachukua kioo atajiangalia kama lipstic imepungua atapaka atachukua na makeup atapaka, atachukua rangi ya kucha atapaka weee, mwisho kabisa atachukua simu atawasha atafacebuka na instagram na snapchat weee sasa ukifika usiku, zima umeme, utaona mmarangu anavyosonyaaa simu imeisha chaji atajilaza
Mmachame atawasha tochi ataendelea kusoma dictionary yake"
Nadhani hapo Umenielewa Penny😂😂
Wamarangu Mungu kuwapa uzuri imekuwa kosa la jinai, hawataki kufanya kazi kabisaa, na tabia hio imepelekea kuanza kutumia nguvu za giza kushinda kwa waganga wapate bwana wa kuwapenda, wapate bonge la bwana, wao wanapenda kuolewa na matajiri tu! Ndio kauli mbiu yao! Wanataka wanaume wa kuwajali kuwaprovidia, wanapenda maisha ya juu juu kabisaaa maisha malaini malaini, hawataki washuke wala kuhangaika...
wengi sana wanaolewaga mapema miaka 24-27 hapo amechelewa maana anapiga mahesabu by miaka 30 nina watoto 2 by 35 nimefunga uzazi nakula maisha 😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Zamani walikuwa wanaoana wao kwa wao baadae wakaja kujua wanaume zao kama wakongo na mafahari wawili hawakai zizi moja wakaamua kuolewa njeeee kwa wasukumaaa huko babaaa ni sheedah, na hivi wasukumaaa wanapendaga totoz ngozi nyeupe walipatikanaje sasa?!
Sasa kule mademu wa kimarangu walienda na kauli mbiu moja, tujionyeshe tunafanya kazi sana, sisi sio wavivu kama wanavyotufikiria ili tupendwe sana, tuaminiwe mpaka tushirikishwe kwenye mali za wasukumaaa tukishazipata tu tunawaloga paaa mali zinarudi kwetu tunaanza kuzimiliki na kuzitumbua 😂😂😂😂
Bila kujua Msukuma halogwi, mali ya msukuma hailogeki, Mhehe halogeki, Mkinga halogeki, hakuna Mtz ana dawa kama Msukuma ila kwasababu ya kupenda huenda wasukumaaa hawana kauli kwa totoz na wake zao na huenda wanalogeka!
Na wadada wengi walioolewa usukumani wanaisoma namba sasa hivi sio kitoto!
Wadada wa kimarangu hawana kitu, wavivuuuu sio wachapa kazi kama wamachame....Na akiwa mchapa kazi ujue ana malengo uwe macho nae.
Na sikuhizi kwasababu maisha yamekuwa magumu sana wengi wao ambao hawajaolewa wanaishia kujimaliza kwa kutoa miili yao kinyume na maumbile yao kwa kulipwa mil 5 au mil 10, ndio maana watu wanaishia kusema wachaga wanapenda sana hela ndio maana wanaishia kufirwa! kama hauamini kaulize wapemba juu ya wachaga watakwambia wachaga wanapenda sana hela ndio maana tunawageuza!
na ukiwauliza wavhaga wapi wanapenda hela watakwambia wa kimarangu sio machame, machame ni ngumu kuwapata wale wajinga sijui kwanini hawapatikani kirahisi kama wa Marangu
We unadhani wamachame wanageuzwa? !
Wapi uliona? wapi ulisikia?! 😂
Hamna mmachame bwege hata siku 1, anageuzwaje kwanza labda umbake?!
Alafu wala hawajali ....
Ajali ili iweje kama mtu anaishi peponi akiwa duniani ana hasara gani?!, nyie wanaume wapasueni tu marinda anajua atakapokulipizia maumivu yake, kwenye pesa zako kama sio mali zako na akikukamata na uchawi wake mama hauchomoki!
Atakula raha milele hana shida... hiyo ni long term investment ooo! Italipa. .. wanasema the higher the risk the higher the return!
2. Wadada wa kimarangu wachoyo wana roho mbayaaa sana
Ni ule uzuri tu unawafunika ila ukikaa nao vizuri na kuishi nao hakuna dada wa kimarangu utakula hela yake, hakuna labda awe mzaliwa wa kwanza wa kimarangu, hao ndio wana roho nzuri ila hao akina Manka na wengine hamna kitu, ni sheedah usoni mzuri rohoni mbaya sana kama hamuamini waulizeni wasukuma kama wanaoa wachaga tena 😂 washashtukia dili 😂 sikuhizi wasukuma wanaoa watoto wa Ki-Iraki kuleee Meru kule juu warembo wa Kiiraki wazuri kama nini, wamarangu hawawafikii hata kwa tone.
3. Wadada wa kimarangu wahuni sana
Yani kuanzia amevunja ungo mpaka anaolewa mama anaweza akawa amejaza timu 5 za wacheza mpira kwa idadi ya wanaume alitembea nao
Ila wamachame sio wahuni, hata wa wakibosho, warombo hawana Uhuni ila wamarangu baba ni moto wa kuotea mbali
4. Washirikina
Wanapenda kwenda kwa waganga wadada wa kimarangu tofauti na wamachame
Wamachame wengi wanapenda kushika dini na ndio maana walokole wengi ni wamachame na kibosho na rombo sio wamarangu
Ukimkuta mmarangu kaokoka huyo yupo kwenye mishen, kajifunika mwamvuli wa wokovu lakini muasili haiachi asili yake wanapenda kwenda kwa waganga sana ndio raha na ndoano yao ya kukamatia wanaume wanye hela
5. Ni malimbukeni
Kama mtu anakaa kwenye kioo masaa 100 anapata wapi literate extra? ! Na kwasababu hawana ile elimu ya juu kama wanazo pata wamachame kwa kujitosa wanakuwa very defensive kwenye maongezi,
utaskia mimi mume wangu ana hela, wewe mpaka leo hajaolewa, lazima atafute kitu cha kukuumiza ujiskie vibaya, ulimbukeni wa kutumia mgongo wa bwana wake mwenye hela au mume wake mwenye hela ni ujinga wakupitiliza, unaishia kumgrup kama classless creature!
Kujitangaza tangaza mali alizokuwa nazo kama limbukeni hata haujamuuliza keshajitangaza eh jamani wadada wa kimarangu acheni ujinga
Mbona wamachame wana mali na hautakaa uzijue mpaka uzeeni mwao au mpaka serikali iwatangaze hawalipi kodi wanawafilisi mali zao?!
Kwanza umeulizwa kuhusu mali za mumeo jamani?!
basi atakufanya ujikite vibaya kama haumjui lakini, na kujiona duni kumbe wewe upo better off kuliko yeye. Hii kama haujaishtukia hawa viumbe watakutesa ila kama umewajua wala hawakusumbui.
6. SIO MARAFIKI WA KWELI
Hakunaga Urafiki kati ya mmachame na mmarangu, hata sikumoja, kwasababu ya ulimbukeni wa wadada wa kimarangu na mashauzi ya kijinga.
Na Tabia zao chafu za kimalaya, kutanguliza uchi mbele kuliko Mungu na kutumia akili zako ni ujinga wa hali ya juu, yani wewe hauna tofauti na changudoa pale kona bar sinza au ohio street!
Ulimbukeni huu umewafanya wamachame na wamarangu kutofautishwa kwenye mambo mengi
Ukiwa uliza wadada wa kimarangu kwanini hawapatani wala kufanana na wamachame Watakwambia wanatuonea wivu, sisi wazuri zaidi yao, kwanza ni malugha lugha hata kuvaa hawajui (ambayo ni kweli wadada wa kimachame hawajui kuvaa)
Urafiki kati ya wadada wa wakibosho na kimachame asee ni MGUMU sana, ni kwasababu ya historia mbaya iliokuwepo miaka ya zamani enzi za mababu wetu wa kale, hiyo historia ipo hivi;
"Hapo zamani za kale za wazee, kulikuwa na vita uchagani, kati ya wamachame na kibosho, vita ilivyoisha makabila mengine wakawapatanisha, walivyowapatanisha wakaambiwa wasameheane, wamachame waliwasamehe kweli ila wakibosho nadhani hawakuwasamehe,
Basi wamachame waliwapenda sana wakibosho, siku moja wakibosho walisubiri mpaka wamachame wamelala wakawachoma moto wamachame wote wakafa kijijini, hii ni historia ya kweli na imetokea kweli kijijini moshi kilimanjaro kama una babu au bibi kamwulize!
Tangu sikuhio wamachame waliobaki wakaapa kuanzia leo na kwa mila yetu, hatuna urafiki na wakibosho, wakaweka agano la damu na maombi ya kimila pale, sijui ndio laana ikatolewa angani kwa vizazi mpaka vizazi
Tangu siku hio wamachame na wakibosho urafiki nao ni mgumu sana haupo genuine!
Na wale waliojaribu kuwa positive wakaoana waliishia kuzaa watoto walemavu, wana matizo na watoto wao walikufa baadae! Nini shida ni mila baba mila!
Ila kwasabahu watoto wa 4g hawajui hizi mila wanaona kama wanaonewa au wamelogwa ila ukweli ni ukikaa na wazee wanaongea ukweli wote
Maana kwenye ile laana ilishasema hakuna mkibosho atakuwa rafiki na mmachame na wakioana ndoa isidumu na wakizaa watoto wasikue wafe so laana inafuatilia siku zote
Kama hauamini kaulize wazee wako watakwambia ndio maana urafiki kati ya kibosho na machame huwa haipo labda mfosi ila mwisho wa siku wanaishia kubaya!
Eh Money Penny nimechoka embu twende kwa Mangi tukanywe pombe basi nipoze koo nimeongea sana leo
Manka:
Ah leo Clara pamoja na u-marangu wako umeongea kweli, na Mungu Akubariki kwa kuwa mkweli
Penny mimi Manka nakwambiaga kila siku hawa wamarangu ndio wanaotuharibiaga mitaani, wachaga wote tunaonekana mbuzi tu kumbe sio.
Si unajua samaki moja akioza wanaozaga woteeee
Kingine! Ukiskia ma gold diggers, sasa wadada wa kimarangu ndio gold diggers wakubwa hawana mpinzani
Money penny: nikachoka, nikaishiwa kujibu kweli Manka Kweli
Wacha movie iendelee Tar 12 OCTOBER 2017
----------------------------------------------------
SEHEMU E: OPPORTUNITY COST (GHARAMA YA FURSA)
Usilolijua ni kama usiku wa giza, nani angeweza kujua kuwa nyuma ya pazia Pendo alikuwa na mpenzi wake wa siri?
Binti wa kichaga alieichukia ndoa kuliko neno chuki, alionekana mitaa ya Jolly Club au unaweza iita Isumba Lounge kwa sasa, na KIBOPA Mume wa mtu
wazungu wanasema ukiwa na Daddy Issues (Matatizo na Baba yako) lazima utatafuta bwana ambae ni mume wa mtu kujaza nafasi ya Baba yako kukipata usichokipata kwa baba yako
Ijumaa usiku wa saa 3, Pendo alionekana Jollys Club pale Aghakan Upanga na kibopa wa nguvu, kipoba maarufu, kibopa manyotaaa, mzazi ana mawe mjini kuliko maelezo
Sasa ngoja tuangalie ilikuwaje mpaka Pendo mama msimamo, akaamua kukata uzi,
Ilikuwaje mpaka ndege mjanja wa miaka 35 akaamua kunaswa kirahisi?
Kwa habari za ukweli na za kuaminika toka kwenye midomo ya waliohusika; miaka 3 iliopita kwenye maisha ya Pendo na wadada wenzake, wadada wa makamo, baada ya kuona maisha yao ya sekta ya ndoa hayajawanyookea, waliunda kikundi cha kujifariji na kufanya maendeleo, walikuwa wadada wa 5, wachaga na wapare kwa ujumla! Kikundi kilikuwa kinaitwa RIPACH's(Maanake ni Rich Pare and Chaga's)
Kuna kitu kilikuwa kinakosekana kwenye maisha yao ambacho ni mapenzi na ndoa, na RIPACH'S ilikuwa kona yao ya kujifariji!
Wadada walikuwa wazuri sana sana, si unajua mademu wa kichaga walivyo wazuri na wadada wa kipare walivyo nomaa.
Ikatimia miaka 3 ya kusheherekea kuanzishwa kikundi hicho, wakaamua kujipeleka Zanzibar Vacation, kwa ajili ya mapumziko na kusheherekea birthday ya kikundi cha Ripach's
Katika maongezi na kutalii na kula na kunywa na kupiga picha na maongezi marefu Zanzibar, wakagundua kweli wanahitaji waume, wakiangalia vikundi vingine vyooote zinaozesha, vinafanya sherehe za anniversary za ndoa, vinafanya baby showers, sendoff, bridal showers, wakaamua kukata mzizi wa fitina.
Unajua Mpare bwana ni mpare tu, katika hicho kikundi alitokea Dada wa kipare na kutoa ideas mpya, ideas pasua kichwaaa, ideas za kimalaya, ideas za kukemea kama upo kwenye sehemu ya dini, ideas za kuchoma moto na kutupa kule, ideas mbayaaaaa
embu msikilize mpare alichoongea kwa kuwashauri wenzake:
Jomana: Jaman hili likundi lina nuksi, itabidi tuongezage members ambao wameolewa watutoe nuksi sasa, maana hata mabwana hatuna
Pendo: Ni kweli kabisa, huenda tukapokea upako kwa wenye ndoa, mimi najua kuna mahali tunakosea kuwajibu wanaume, mimi siamini kama hatukosi wanaume, mimi wanaume nawapata sana ila sijaelewa wapi nakosea labda katika kauli, sielewi au ni kwasababu nawachukia wanaume sana, naishia kuwajibu vibaya alafu mwisho wa siku nikija kutafakari wanakuwa wameshaondoka, nimewafukuza.
Jomana: mimi wanaume nawapata ila kwa kadri tunavyozidi kwenda tukifika karibu na mwisho wa safari wanatoweka, nimeshachumbiwa mara 3 mpaka sasa sijaolewa! naona nina nuksi kama sio ndugu sijui nifanyaje, hapa nina miaka 35 sielewi wapi nakosea, labda tukiwapata hao wake za watu huenda wakatuelekeza maana nimeshachoka
Mjumbe no 3: Hilo ni wazo zuri, lakini kuingiza watu ambao hatuwajui kwenye kikundi kwasababu tu ya kutaka kuolewe sioni kama ni suluhu, tuangalie kwanza dhima na dira ya kikundi inasemaje, kama tunataka mshauri wa ndoa tunaweza ajiri mmama akatusikiliza akatushauri tukamlipa ila kikundi hiki kumbukeni tulianzisha kwa ajili ya maisha yetu sisi single ladies, na vile tunajuana sana tangu utotoni hatuwezi kuongeza strangers watatusumbua maana hatuwajui
Mjumbe no 4: Ni kweli tumtafute tu mshauri atushauri, mama mtu mzima atusikilize wapi tunakosea akae nasi hata miezi 3 atuangalie maisha na nyendo zetu alafu atajua pa kutukosoa kwa kwanza, hamna haja ya kuweka watu wasiojulikana humu,
Mjumbe wa 5 (Mpare): Hapana mimi naona nina jicho la tofauti katika hili, niwaambie ukweli, hakuna mtu alietaka suluhu ya wanaume kama mwanamke ambae ameenda umri akaambatana na mwanamke mwenzake ili amshauri akafanikiwa
dawa ya moto ni moto, kama unataka kuolewa kaa na wanaume, wanawake sio sana, mimi kusema kweli tangu tumeachana mara ya mwisho nilifikiria sana sana kuona kwanini wadada wazuri kama sisi tuna hela, kazi, maisha mazuri hatuolewi.
Nikakaa nikatafakari nikaangalia kwanini wadada na wamama ofisini wanalalamikia ndoa zao na waume zao, nikajua tatizo ni sisi wanawake. kwanini wanaume watoke nje ya ndoa?Au na hilo hamlijui jamani? maana tusililie ndoa kumbe Mungu ndio amezuia tusiolewe, umri sio kitu hapa!
Wajumbe wote: tunajua sikuhizi wanaume wanatembeza nje kama mvua
Mjumbe wa 5: kwahiyo nikaamua kuanzia siku hio nitembee na waume za watu kwa kufanya research!
Wajumbe wote: heeeee?! huku wanashangaa, we mama imekuwaje?, wengine wanatukana we mpare mshenzi kabisa unaiba waume za watu? Acha umalaya weweee!
Mjumbe wa 5: sikilizeni nyie maboya, kama hamjui basi mnisikilize, hamna haja ya kunihukumu bila sababu!
Wajumbe wote: wakaanza kulalamika hatutaki laana hatutaki laana
Mjumbe no 5: jaman sikilizeni basi kwani tunagombana?
Wajumbe wote: wakakaa kimya!
Mjumbe no 5: Opportunity cost? wangapi wanakumbuka waliposomaga chuo maana ya opportunity cost?
Wajumbe wote: wakakumbuka, wakauliza sasa hii inahusiana nini na waume za watu?!
Mjumbe no 5: kama wake za watu wanalalamika ndoa haziendi, hii ni opportunity kwetu sisi akina single ladies.
kwani sisi tunataka nini, si mume wa kukupenda na kukupa mapenzi, badala ya waume kukitembeza kila mahali, bora sisi tuwasaidie wake zao. Bora wanaume wawe na sehemu 2 za kwenda, mwisho wa siku tutakuwa tumejua jinsi ya kuishi na wanaume na soon tutakuwa na nyumba zetu na waume wetu!
Wajumbe wote: aaah hamnaa, hio laana, we mpare acha ushenzi kabisa hatutaki laana hapa leta idea nyingine mama!
Mjumbe no 5: nyie sikilizeni, ndoa ambayo imekufa inamfanya mwanaume atafute pa kupumulia, pa kupumzika, sasa nyie mnashida gani mkifanyika mapumziko ya waume za watu? kwani mnahamishwa nyumbani? si mnakutana hotelini? mambo yakitiki ukahama nyumbani akataka kuoa inakuwa bahati yako.
Wajumbe wote: wakanyamaza kimya wakasikiliza kwa makini sasa!
Mjumbe no 5: mimi nawajua wadada wamoja, akaanza kutoa hapo ushuhuda wa wale waliofanikiwa kuiba waume za watu wakaolewa wao, wakiwa na miaka 40 na mpaka sasa wamezeeka wote wakiwa na miaka 60
Wajumbe wote: wakanyamaza kimya, wanaskiliza kwa makini mpango mkakati wa mjumbe wa 5
Mjumbe wa 5: sasa ndo hivyo kwa anaetaka kuingia kwenye hili game aseme, ni kwa ajili ya kuwasoma hao wanaume na kwanini hatuolewi basi, ikifika sehemu ukakoleza penzi wanaume akachizika akakuoa basi bahati yako ila hii ni research, tunaenda kwa kujifunza
Wajumbe wote: lakini hii tabia ya kuiba waume wa watu ni mbaya sana, je hao watoto wao wakipata shida hawahudumiwi vizuri kisa wewe unakula raha ina faida gani?
Kwanini tusiwapate wale ambao wameachana au wale wajane wapo kibao tukajifunze huko lakini sio waume za watu?
Mjumbe no 5: ivi unajua moto wa kutembea na mjane, kila siku atakuwa anakuliza kwa kukufananisha na marehemu mke wake, mpaka aje asahau msiba wa mkewe amtoe kichwani mama yangu ushaumia sana, hatokupenda atakuwa anakumega huku akikwambia namkumbuka mke wangu alikuwa mzuri sana akiwa hivi na vile
haya tukirudi kwa mwanaume alie mtalaka, ataishia kukumega akuache, maana mpaka kapata talaka, ina maana yupo huru kwa muda mreeefu sana, na atakuwa na hasira zake kibao juu ya wanawake, hapo sasa ukikaa utaisoma namba
Wajumbe wote: sasa tunawapataje hao waume wawatu, hatutaki waume njaa lakini,
Mjumbe wa 5: akawatajia wababa wenye hela mjini ambao ndoa zao zipo juu ya mawe, wenzake wanashangaa huyu mjumbe amepataje kuwajua hawa?
Akawaeleza sehemu wanaishi, Baa wanazoenda, vitu wanavyopenda, familia zao zinapoishi, nyumba wanazoishi, kazi wanapofanya, yani ni mambo makubwaa wanaelezwa
Wajumbe wote: wakaanza kuwa na wasiwasi na mjumbe no 5 kuwa kama yupo sawa?!
Mwisho wa maelezo yote, akaanza kuwagawa vibopa kwa kila mjumbe kasoro yeye, wakawa wanashangaa, wakamwuliza je wewe umempataje wako
Mjumbe no 5: mimi wangu alikuwa ananisumbua sana akija ofisini benki, nikaamzungusha ila katika kufikiria fikiria kwangu nikaamua kumsikiliza, nawaambia huu ni mwezi wa 3 nipo na yule bwana, mkewe hajui, naishi kwangu anakuja weekend anashinda masaa 12 anarudi kulala kwa mkewe, sasa hivi najua kwanini na wapi wake za watu wanapoharibu, ila siwezi kuwahukumu kabisa wake zao maana majukumu ni mengi na najua hata mimi akikaa nami kwa muda mrefu atanichoka ataondoka atafute kwa mwengine mdogo zaidi yangu amdanganye amchezee amuache...
Nilichoamua kufanya ni kufunga moyo wangu kwa huyo mume wa mtu, nafanya mahusiano nikiwa nimefunga moyo na roho kabisaa, si nipo kwenye reseach ikiisha nambwaga, kwani kuna nini cha maaana ananipa ambacho sina, mimi sio security yake wala nini!
hii miezi 3 nimejifunza mengi sana na namwamini Mungu nitaolewa na nitakuwa na familia yangu!
Wajumbe wote: kiru! je ukipata watoto nae? utafanyaje? maana ajali ni kazini mama!
Mjumbe no 5: kwani single mothers hawaolewi? Wake zao wanavyowa misstreat waume zao na kujitamba kuwa ndio securuity yao kubwa hawajui sisi wa-nje tunavyowashangaaga tu!
Wake zao wakisema mwanaume huyu wa nini, kuna mtu mwengine anajiuliza nitampata lini!
Hio ndio opportunity cost my dears! changamkeni mmekaliza makalio mnalalamika lalamika tu, mnataka Yesu aje awape mabwana mtasubiri sana!
Masaa yanagonga tuna 35 hatuna hata watoto hapa ni kujichatua ufahamu na akili mpaka kieleweke; na hao wake za watu wajifunze kutunza waume zao kwa unyenyekevu sasa ni fundisho kwa wote my dears!
huyu wangu hanisumbui unajua hanisumbui, na nilichokuwa nakikosa kwa ex boyfriend wangu ninakipata kwa huyu maradufu, hata kama halali kwangu lakini ni opportunity ya mimi kupata anaenipenda mbeleni
Wajumbe wote: sasa ukija kukamatwa na mkewe?
Mjumbe no 5: utakuwa ni boya, wewe mke wake unamfuata wa kazi gani labda? unataka nini kwa mkewe? mashindano au ukichaa?
kwani mumewe alivyokutaka alikuja kukutaka na mkewe au?
Huyo mkewe wewe wa kazi gani labda? unamikakati nae kivipi?
Hayawahusu hayo yao na yako ni yako! wewe fanya yako to the fullest achana na mke wake
ikatokea kweli mke wa mtu kakufumania lazima ujibadilishe rangi, jifunze kuichangamsha akili yako, mwizi hata siku 1 akikamatwa hakubali kuwa mwizi na wewe usikubalki kukamatwa kiboya boya, hama mtaa, mji, wilaya, mkoa, Dar es salaam ni kubwa sasa mpaka kibaha mpaka Bagamoyo hamia!
kha!
Wajumbe wote: wakawa wanamshangaa mjumbe no 5 kuwa ni mzima kichwani au?
Jomana: kwahiyo bindada mishen yako yaisha lini? na huyu bwana naanzaje kumtext?
Nampataje? embu tupe mbinu
Mjumbe no 5: akawapa mbinu zote alizotumia yeye wenzake wakamkubali kuwa ni noumer, akawaomba wanunue simu tochi kwa ajili ya kuwasiliana na hao side husband, wa register namba zao za simu kwa majina ya kiume sio ya kike ili kugundulika iwe ngumu,
Wajumbe wenzake wakaguna wengine wakakataa wengine kama mjumbe no 2 na jomana wakakubali ila Pendo alikataa katu katu akaachiwa namba na maelekezo ya kibopa wake!
Waliporudi Bara, wenzake wakafanya yao wakafanikiwa kasoro Pendo, Mjumbe no 5 alipoona pendo anazubaa zubaa, akaamua kununua simu na namba feki, akaanza kumwendea huyo kibopa, kinyume na Pendo, wakawa wanachat kimahaba, Kibopa akaomba waonane, akawa anamzungusha akamzungushaa, mpaka akakubali akaamua kumfuata Pendo na kumweleza ukweli, haya mama simu hio hapo jina la simu limesajiliwa kwa jina la Patric, anataka muonane Jollies Club leo ijumaa, nenda mama kamsikilize, akampa mpango mzima na jinsi ya kuongea nae kama yeye alivyokuwa anaongea nae, Pendo anashangaa tu heee hii ya leo kali, Mjumbe no 5 akamsihi sana aende akajifunze kitu sio lazima alale nae, Pendo akamkubalia poa naenda kesho nitakupigia
Ndio mwanzo wa Pendo Mmachame kuonekana maeneo ya Isumba Lounge, akiwa na Kibopa!
Maongezi maongezi Kibopa akakoleaa!
Kibopa: totoz zuri, tototz laini, totoz umeumbika, totoz nimekupenda unavyonifariji , totoz natamani sasa hivi niende nikakubatize nikuone unavyofanana
Pendo: akawa anacheka ndani kwa ndani anatamani kupasuka kwa kicheko lakini anajikaza, akawa anabaki ana smile, mara atukane kimoyomoyo mjumbe no 5 mshenzi kabisa, yani ananiuza kwa waume za watu aya bwana!
Maongezi maongezi na pombe kali za kutosha, Pendo kucheki muda ni saa 6 usiku, hajawahi kuingia kwao saa 6 akaona hapa ishakuwa msala, akampigia Mjumbe no 5, mama naja lala kwako siwezi rudi kwa mchaga nitakufa kabla sijaingia nyumbani!
Mjumbe no 5: akakubali maana kesho yake ni jumamosi, sawa mama wewe kula nchi ukimaliza njoo kwangu milango na madirisha yote yapo wazi
Usiku huo huo Kibopa akamchukua Pendo mpaka guest house, shughuli shughuli na wewe, Moven Pick moujaaaaaa!
Pendo Binti bikira wa miaka 35 ameenda kuchinjwa na Kibopa!
Shikamoo waume za watu!
kiru, ndoooroooooboooe! ngoja nikanunue gazeti nijipepeeee!
Tuonane Tar 14 October saa 1 usiku ya Tanzania
_____________________________
SEHEMU YA 2
A. BAA TUKIO BAYA BALAA
Wajeda wakazama Moven pick, Kibopa akachukua chumba cha presidential Suite, totoz Pendo aliemchanganya Zee la watu kwa mahaba akatundikwa kwenye presidential suit!
Kwa wale ambao hamjawahi kuingia kwenye vyumba vya Presidential Suite ni habari nyingine, usikubali kufa bila kulala kwenye hicho kitanda, kwanza huduma yake yenyewe ni noumeeer!
Kibopa anajua leo nakula show ya maana, show ya kimalaya kumbe amebebana na bikra! ukisikia Mbuzi kwenye kisahani ndio hii
Ahahahahaha
kufika kwenye show anashangaa mrembo amekaa kama gogo, akahisi labda mrembo ana mzoom kwanza show yake ya kizee, Kibopa akafanya yake aliojaliwa ya experience ya miaka sitini na zake! alipojaribu kwenda kuvua samaki anashangaa mrembo anakimbia mara anasema unaniumiza kwa kuning'ata,
Kibopa akashtuka akaona labda ni pombe, kadri alipozidi kuendelea na mahaba yake demu analalamika, Kibopa akachoka, maana jitihada zote na mautamu ya awali aliyojaribu kumfanyia Totoz, totoz hakuonyesha ushirikiano.
Na hivi ni mtu mzima wa miaka 65 akawa anahisi anachezewa akili, ikabidi amwulize Mama shida ipo wapi? mbona huduma ya simu imezidi ya live? ikabidi binti wa watu ajiseme, oh! unajua mimi sijawahi kabisa kucheza michezo ya wakubwa, leo ndio mara yangu ya kwanza, naomba unihurumie mzazi uende na mimi mdogo mdogo,
Dah! Kibopa akiangalia ameangusha madolari pale mapokezi, akaona isiwe shida, ingekuwa hotel ya elfu 50 angeondoka lakini sio kwa zile dola alizozitupa akaona aende nae mdogo mdgo mpaka kieleweke!
ikabidi ampooze kwanza kisaikolojia kwa kauli, kumpeti peti na nini akatumia karibia dk 15, Pendo haelewi yupo defensive na kujihami utadhani yupo vitani au anacheza mieleka, anatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango... ahahahaha
Kibopa ivyo ivyo kibishi akaenda nae mdogo mdogo, kweli totoz akaanza kuonyesha ushirikiano, speed ya treni ikaongezeka, mara 30, mara 45, mara 55 mara 100 mara 120 kuja kuibuka ameshavuka ukanda wa gaza, Pendo analia kama kinanda cha kanisaa, haaaaaaaaleluyaaaa, haaaaaleluyaaa naumiiiiaaa naumiaaa nauuuuumiiiiaaaaaa!
Ndio ushangae binti wa miaka 35 analia kama mtoto mdogo, aibuuuu, hii ndio shida ya wadada wa kimachame, nje wanaonekanaga wajanja kitandani hamna kitu!
Mzee kaskiliza makelele mpaka kachokaaa! si unajua mababu ambavyo hawapendi kelele, akaamua kuondoka usiku ule ule baada ya kumkamua na kukata mnyororo wa Pendo, kamuacha Pendo analia hataki kusikia la mkuu, chezea Bikra ya miaka 35 wewe!
Pendo kuja kutulia na kucheki saa kumbe ni saa 8 usiku, akaona ampigie Mjumbe no 5,
Simu: ikaita weeeee, baada ya dk 10 ikapokelewa, Best nafaaaa tafadhali njoo Moven Pic Presidential Suite
hapa sina hata 100 nahisi tutadaiwa na huyu mzee kanichezea faulo ya kufa mtu,
Baada ya nusu saa Mjumbe no 5 akatia timu kwa hotel, kufika anamkuta Pendo amevimba macho kwa kulia akiangalia kitandani midamu kama wamechinja ng'ombe,
Mjumbe no 5: heee we pendo, umemuua mzee wa watu au? yupo wapi Kibopa?
Pendo: hapana ndio maana nimekuita leo nimekuaibisha hakuna tena, ivi unajua mimi nilikuwa bikra?!
Mjumbe no 5: Bikra?! ikabidi akae kwanza kwenye kiti sio kwa ule mshituko, wewe Pendo ni bikra? doh! siku zote hizi Pendo wewe kumbe sio mwenzetu? lakini mbona hauonyeshi? mbona mjanja mjanja sana, haki Pendo huyu mzee hatorudi tena kwako nakwambia,
uuuwi tena umekosa bahati maana ameachana na mkewe mwezi uliopita mahakamani,
uuuwi Pendo huyu baba anahela vibaya mno!
Nakufanyaje rafiki yangu yani kama ni darasa kwako nakurudisha elimu ya awali au chekechea katika mahaba!
Lakini, embu ngoja akashuka chini akakaaa kakam dk 10 akarudi haya Pendo ngoja wafanye usafi kwanza, hapo saa 9 nanusu usiku, wakasubiri mpaka usafi usishe na mashuka kubadilishwa ikabidi walale pale pale, asbh wakaoda breakfast kwanza wakaoga na kuchezea maji na kupiga ma selfie ndio wakaondoka maana chumba kililipiwa mpaka saa 5 asubuhi.
Wakiwa wanakunywa chai Mjumbe no 5 anamtania Pendo, shoga bikra yako ni 1st class maana inatolewa kwenye presidential suit kama hii? eh wewe ni noumer umshukuru Mungu, wengine Bikra zetu zilitolewaga migombani kwenye michongoma, mchongoma chini, nanilihii katikati, umeshikilia mgomba pembeni, unachomwa chini, unachomwa na kwengine hatari! maumivu mara 3, sitaki hata kukumbuka iyo siku asee ila sikudanganyi mpaka leo i wish ningekuwaga bikra, ungenieleza hali yako mapema mpenzi wala nisingekuponza, tatizo na wewe msiri sana wewe mmachame!
Pendo: akawa anasmile tu, asante shoga kidawa kwa kunitia moyo
Mjumbe no 5: usijali, mimi nipo kwa ajili yako, pole kwa yaliokukuta wala usijiskie vibaya, ila shogari itabidi nikutafutie kungwi, aibu ulionipa mwisho leo, yani kwanza hapa sipati picha jinsi gani ulivyokuwa unachemsha kwenye show, mzee wa watu anaenda kushoto, wewe unaenda kulia basi tu ilimradi, iyo kama ni mziki unaitwa mziki wa shule ya jumapili (Sunday School), mwingine anapiga kinanda mwingine ngoma mwingine filimbi basi ni tafaruku hakuna kusikilizana kila mtu na lake ilimradi show imechezwa, ahahahahaha pole Pendoooo! uuuuwiiii chezea Presidential suites wewe, utatoa utoiii!
Walipofika kwa Mjumbe no 5 Pendo bado analia, Mjumbe akamkemea usinichoshe na wewe nani alikwambia ujitunze mpaka sasa hivi? ningejua wewe ni bikra ningekupa vijana wangu kwanza wakupagawishe ndio nikuingize kwenye kazi kama hizi za show za kibabe.
Wewe kaa hapa, mpigie mzazi wako mwambie umesafiri upo kizazi Arusha, ulibeba nguo asubuhi, ongea na mama yako mwambie utarudi baada ya wiki 3, sawa? alafu utakuwa unaishi kwangu mpaka ukomae kwanza maana ukirudi tu watakujua, wazazi wanajuaga kwa kuangalia tu, wale watu ni hatari sana kama wachawi falni hivi!
Basi Pendo akafuata masharti ya mjumbe no 5 akaongea na mama yake Mama akamuelewa sawa mwanangu kazi njema,
Jumamosi hio kukawa kimya, yule Kibopa hakutuma cha sms wala kupiga simu,
J2 kimya, Pendo akajua hapa nimevamia gari kwa mbele nimeshaumia nikubaliane na hali halisi
J2 kimya, Pendo akajua hapa nimevamia gari kwa mbele nimeshaumia nikubaliane na hali halisi
J3 akadamka na mjumbe no 5 kwenda ofisini, ofisi anaiona chungu, kila mteja anaekuja mtu mzima akawa anahisi ni Kibopa kumbe sio, ikaenda hiyo hali kwa muda wa wiki 2 mpaka akazoea akakaa sawa!
WACHAGA NA POMBE:
Baba yake Pendo alionekana Bar na marafikizake wanakunywa pombe, si unajua wazee wa kichaga na pombe! piga ua iyo ndio raha yao kuiacha ni ngumu labda wawe wameokoka!
kama kawaida yao wakiwa Bar wanaongea kwa nguuuvu sana na hivi walishazoeleka na mwenye bar huwa hana shida nao.
Wanapata mastori ya mjini, mambo ya siasa mambo ya mpira mambo ya habari na mambo yao ya zilipendwa, si unajua tena wastaafu wakikaa pamoja wanavyojikumbushia
Wanapata mastori ya mjini, mambo ya siasa mambo ya mpira mambo ya habari na mambo yao ya zilipendwa, si unajua tena wastaafu wakikaa pamoja wanavyojikumbushia
Kwenye hiyo Baa walikuwepo Baba yake Jomana na Omana (Wapare), Baba yake Pendo na Manka (Wachaga), na wazee wengine 3 jumla walikuwa watano
katika maongezi yao ya kiutu uzima, wazee watatu, wakawa wanajigamba kuwa wanatembea na madogodogo watoto wa mjini, mabinti wadogo mabinti watamu, mabinti wa ukweli, wanatoa show zote za kifalme, show za kujichetua, show za kimalaya, ambazo wake zao wanaona kinyaa kuwapa
wakawa wanajigamba pesa wanazowapa mwingine anasema nimemnunulia nyumba baada ya miaka 3 ya mahusiano, mwingine nimempa gari, mwingine nimempangia mikocheni, mwingine nimemnunulia kigari na kiwanja, mwingine nimemsomesha, mwingine akasema kanizalia mtoto, mwingine amezaliwa watoto basi wanaona raaaahaaa kujifanya vidume kumbe washenzi tu.
wakawa wanajigamba pesa wanazowapa mwingine anasema nimemnunulia nyumba baada ya miaka 3 ya mahusiano, mwingine nimempa gari, mwingine nimempangia mikocheni, mwingine nimemnunulia kigari na kiwanja, mwingine nimemsomesha, mwingine akasema kanizalia mtoto, mwingine amezaliwa watoto basi wanaona raaaahaaa kujifanya vidume kumbe washenzi tu.
Baba yake Pendo akawa anakemea vikali kuhusu michepuko, mtakufa na miwaya wazee wenzangu, kwanini msikae na kutulia na wake zenu mle penshen zenu vizuri mnatupa hela kwanini lakini mnaharibu maisha?
Wazee wenzake wanamcheka, we mshamba kweli, embu jinyakulie chata ya uzeeni unakuwa mpole namna hii maisha yenyewe mafupi muda wowote unarudisha namba kwa Muumba
Baba yake Omana akawa anasikiliza kwa makini, yupo neutral hachagui upande wa kuegemea si unajua mzee aliefilisika atajinyakuliaje mchepuko? wakati analishwa na wanae wanaofanya kazi benki
Wazee wenzake walikuwa na convincing power kubwa juu ya michepuko, ikabidi Baba yake Pendo aingilie kati na kuuliza swala zima la michepuko linaendaje, akapewa ramani yote na jinsi ya kuwapata, "ni lazima apate kimwana anaemzidi kifedha ili amshikishe adabu na kumtuliza" wakasema.
"Piga nae round kama mara 10 mchore kama ni gold digger au nini usimpe kwanza hela, msome hata miezi 6 mpaka mwaka, uwe anampa nauli za bajaj na taxi kwa kumficha asionekane, sio dalaldala, maana huko kwenye daladala anaweza pata kijana mwenzake au akishuka kwenye daladala akapata kijana akampagawisha akakukimbia" Akaongea mzee wa 2.
Baba Omana: Mimi naona michepuko haitonisaidia maana nimefilisika, nitampa nini?
Kibopa: Tena kweli umenikumbusha, kuna sehemu wanahitaji Hotel Manager hapa hapa Dar, naomba uende kesho nimeku refer. Kesho saa 3 juu ya alama uende pale akamtajia jina la hotel, utakutana na mtu fulani (akamtajia na jina akamwandikia na namba ya simu kama hatomkuta) ajitahidi awahi kufika kabla ya muda, nende utapata kazi maana una experience hio.
Basi baba yake na Omana akafuraaahi kesho anaanza kazi, akanywa pombe yake kwa furaha huku kibopa anamuagizia nyingine 3, kumpa pongezi.
Basi baba yake na Omana akafuraaahi kesho anaanza kazi, akanywa pombe yake kwa furaha huku kibopa anamuagizia nyingine 3, kumpa pongezi.
Baba Pendo: unajua sisi wachaga kazi yetu ni kusaidiana, alichokifanya Kibopa ni sawa kabisa, ameonyesha tabia ya kichaga ingawa yeye sio, ndio tabia halisi ya uchagani sijui wapare kama mnasaidianaga!
Hamna haja ya kumwona mwenzio anahangaika alafu pombe tunakunywa wote kumbe kuna mtu anaumia sio vizuri kabisa, ulivyofanya hivyo mzee wenzangu nakupongeza sana, asante sana kumsaidia baba Jomana.
Hamna haja ya kumwona mwenzio anahangaika alafu pombe tunakunywa wote kumbe kuna mtu anaumia sio vizuri kabisa, ulivyofanya hivyo mzee wenzangu nakupongeza sana, asante sana kumsaidia baba Jomana.
Kibopa: We Mzee bwana, acha maneno mengi, kusaidiana hailetwi na ukabila ni mtu alivyo na jinsi alivyolelewa
Anyway, tuachane na hayo nataka niwaambie wazee wenzangu, kuna kimwana nimekipata juzi kati, dah sikuamini, mrembo alinipagawisha kwenye simu kweli kweli, nikapagawa sana, nikimpigia simu anaongea kwa sauti ya mahaba kabisa, tukawasiliana kama wiki 3 nikaomba kuonana nae akakubali.
Tulipokuja kuonana, kweli sauti na maongezi yake na mwili wake vinaendana havipishani hata kwa nukta!
totoz ni mzurijeee, anateleza ukimshika kama mlenda, ndio ni kama mwanangu wa kumzaa ila mtoto ni mzuri balaa, basi tukachukua chumba pale Moven Pick, nikamchukulia Presidential Suite tukazama kwenye mahaba, huenzi amini wazee wenzangu sikuamini nilichokikuta katikati ya mechi
Anyway, tuachane na hayo nataka niwaambie wazee wenzangu, kuna kimwana nimekipata juzi kati, dah sikuamini, mrembo alinipagawisha kwenye simu kweli kweli, nikapagawa sana, nikimpigia simu anaongea kwa sauti ya mahaba kabisa, tukawasiliana kama wiki 3 nikaomba kuonana nae akakubali.
Tulipokuja kuonana, kweli sauti na maongezi yake na mwili wake vinaendana havipishani hata kwa nukta!
totoz ni mzurijeee, anateleza ukimshika kama mlenda, ndio ni kama mwanangu wa kumzaa ila mtoto ni mzuri balaa, basi tukachukua chumba pale Moven Pick, nikamchukulia Presidential Suite tukazama kwenye mahaba, huenzi amini wazee wenzangu sikuamini nilichokikuta katikati ya mechi
Wazee wenzake: enheee! ulikutana na nini? au alikuwa jini? ahahahahahaha huku wanamcheka! mzee umeumbuka naona ulifikia 40 yako usiku huo ahahahahahahahahaa.
Kibopa: nimekutana na miujiza ya mwenyezi Mungu, hauwezi amini nimemkuta binti mwenyewe ni bikra!
Wazee wenzake: wakamchekaaaaa ahahahahahahahaha! uuuwi mbusi kwa kunia iyooo! wakachekaaaa, ila baba yake Pendo hakucheka, akawaangaliaaa alafu akamwangalia na Kibopa akawauliza, kwani kuna shida gani kupata bikra?
Wazee wenzake: ah! bikra hatuna muda nayo, tunataka vitu vilivyokuwa na experience, vinakuchangamsha kiakili na kimwili, mambo ya kuanza kuchinja mbusi na mbusi ya ukubwani ilivyo ngumu hizo nguvu sisi tunapata wapi? hizi Bikira unaachia vijana wenye nguvu zao, sasa kwa mfano mzee wetu hapa angemtoa bikira yule binti akafa au akazimia unadhani ingekuwaje si ni polisi kesi hio tayari?
Baba Pendo: mimi nadhani ungeshukuru Mungu pamoja na watoto wa mjini kutotulia na kuwa mapepe, wengi wao wamebeba ukimwi. Sasa Kibopa umepata bikra unapoteza bahati?
kweli wewe hauna maana kabisa
kweli wewe hauna maana kabisa
Wazee wenzake: wakanyamaza kimya wakawa wanamsikiliza Baba Pendo
Baba Pendo: mimi ningempata huyo bikra ningemshikilia mpaka mwisho pamoja na umaskini wangu, maana huyo hana mambo mengi, mimi ndio ningemfundisha mapenzi yote ili hata angekutana na vijana lazima angekumbuka mti wake wa awali ambae ni mimi.
Ila kila mtu ana mtizamo wake, na hivi mzee mwenzangu umempa mkeo talaka, ungemweka ndani huyu binti kabisaa maana ni mtoto toka Mbinguni, hajajichafua, hajachezewa kabisa yani ni kama kununua gari jipya linalosoma km 0, sasa nyie siwaelewi mnang'ang'ania km laki 1 ukiendesha kidogo limekongoroka unakimbia gereji kulipigapiga unapoteza hela chungumzika kufufua kitu kilicho expire.
Haya ni maoni yangu mimi lakini, kama haumpendi naomba niletee mimi basi nihangaike nae na umaskini mwangu
Ila kila mtu ana mtizamo wake, na hivi mzee mwenzangu umempa mkeo talaka, ungemweka ndani huyu binti kabisaa maana ni mtoto toka Mbinguni, hajajichafua, hajachezewa kabisa yani ni kama kununua gari jipya linalosoma km 0, sasa nyie siwaelewi mnang'ang'ania km laki 1 ukiendesha kidogo limekongoroka unakimbia gereji kulipigapiga unapoteza hela chungumzika kufufua kitu kilicho expire.
Haya ni maoni yangu mimi lakini, kama haumpendi naomba niletee mimi basi nihangaike nae na umaskini mwangu
Kibopa: weeee! thubutuuu!
unajua unachokiongea Baba Pendo ni kweli kabisa huku anakunywa wine yake ya Hennessy, kweli mzee mwenzangu, hata hivyo nimeshachoka na haya maisha ya kufukuzia vibinti vidogo, ngoja niangalie kama nitaweza kutulia na huyu binti wa juzi, akinizingua namtupa chini.
unajua unachokiongea Baba Pendo ni kweli kabisa huku anakunywa wine yake ya Hennessy, kweli mzee mwenzangu, hata hivyo nimeshachoka na haya maisha ya kufukuzia vibinti vidogo, ngoja niangalie kama nitaweza kutulia na huyu binti wa juzi, akinizingua namtupa chini.
Baba Omana: akamwangalia Kibopa akatikisa kichwa, baadae akamwuliza kweli utatulia wewe mzee wa kipare? maana wapare bwana doh
Kibopa: wapare wana nini tena? we niache bwana!
Baba Pendo: hivi mzee mwenzangu ilikuwaje ukaachana na mkeo? kulitokea nini?
Kibopa: ah tuachane na hayo, ndoa iliishaga muda sana basi nilikaa tu kwa ajili ya watoto, watoto sasa wameolewa nikasubiria Anniversary ya miaka 40 ya ndoa nikawaita watoto waliokuwa Uingereza, nikawaeleza nampa talaka mama yenu nimemchoka na matatizo yake, nikampa talaka siku hio hio nikamuachia nyumba kubwa mimi nikaenda kukaa kwenye nyumba ndogo niliyoijenga Tegeta
Watoto walimind sana lakini watafanyaje hayo ni maamuzi yangu mimi, na sasa mwaka umeshaisha kila mtu anaishi maisha yake, mimi nipo kivyangu na totoz wa mjini nabadilisha tu mashuka, nikiskia kiu najua wapi nitakunywa maji, ila maji nimekunywa sana, lakini kiu hakikatiki
Baba Omana: kwanini usirudi kwa mkeo tu
Kibopa: hapana sirudi hata kwa bure, yule ameshapata bwana mwingine huko kanisani, wanaimba wote kwaya kuu sijui kwaya ya wazee, na yule bwana alivyo hupenda mteremko sasa hivi ameshahamia pale nyumbani kabisaa, kwaiyo mimi naishi maisha yangu kwa sasa
Wazee wenzake: wanashangaa, wanamhurumia mzee kama yule anavyohangaika kama mbwa aliekosa makazi, aibuuu!
Baba Omana: basi hakuna kilichoharibika mzazi huenda Mungu amekuletea huyo bikira wewe tulia nae kama vipi!
Baba Pendo: kama haumtaki bikira nimeshasema naomba uniletee mimi nitaenda nae mdogo mdogo najua bikira bado haijatoka yote, lazima kuna mabaki na nyuzi na minyororo haujaikata, ahahahahaha
hauwezi ukawa umemvunja bikra yote kwa masaa 4 sio kweli, wewe nisogezee mdoli huyo nimlee!
Kibopa: tatizo lako Baba Pendo una tamaa sana, kujidai dai kama umeokoka kumbe hauna lolote, wewe juzi kati nimekuona kinondoni unatoka gesti na kimama kimoja kichafu chafu. kweli mke wako ana kazi sana nawewe
Lakini nashukuru umelileta mwenyewe hili, sikunyingi nimetaka kuongea na wewe jinsi unavyowalea na kuwanyanyasa watoto wako
Unajua huyu baba watoto wake hawana sauti, mkewe hana kauli kwake kabisa unaweka mazingira ya kiboya ya kifalme kwa familia yako ili iweje sasa?!
Mimi kila nikikuangalia nakuona hauna raha unaishi maisha yako kama gari bovu tu! hauna lolote,
Leo hii mimi nikupe bikra ukamchakaze kama ulivyomchakaza mkeo, kwanza mke wako yupo kama house girl amedumaa na kukomaa kama anafanya kazi moshi shambani! hana tofauti na wamama wa kijijini huoni hata aibu?!
Wazee wenzake: wakaanza kumtuliza Kibopa, basi bwana achana na haya maneno hayakuhusu
Lakini nashukuru umelileta mwenyewe hili, sikunyingi nimetaka kuongea na wewe jinsi unavyowalea na kuwanyanyasa watoto wako
Unajua huyu baba watoto wake hawana sauti, mkewe hana kauli kwake kabisa unaweka mazingira ya kiboya ya kifalme kwa familia yako ili iweje sasa?!
Mimi kila nikikuangalia nakuona hauna raha unaishi maisha yako kama gari bovu tu! hauna lolote,
Leo hii mimi nikupe bikra ukamchakaze kama ulivyomchakaza mkeo, kwanza mke wako yupo kama house girl amedumaa na kukomaa kama anafanya kazi moshi shambani! hana tofauti na wamama wa kijijini huoni hata aibu?!
Wazee wenzake: wakaanza kumtuliza Kibopa, basi bwana achana na haya maneno hayakuhusu
Kibopa: ndio maana watoto wako hawaolewi maana wanachukia wanaume kwasababu haujawapa mapenzi ya ubaba kwa karibu na mimi nakwambia ukiendelea hivyo watoto wako hawatoolewa ng'o. umemtesa sana yule mama namwonea huruma kwanza nikiskia yule mama amekuacha nitampa hata milioni 100, sio kwa mateso yale, wewe mzee hauna hata huruma kabisa na watoto wako wala mke wako!
watoto wako wataishia kuzaa tu na waume za watu, utaletewa wajukuu waliozaliwa nje ya ndoa kwasababu unavuna ulichokipanda ndugu yangu, mbona sisi watoto wetu wameolewa vizuri kwa ndoa na tuna wajukuu waliozaliwa ndani ya ndoa hata kama tumeharibu uzeeeni inaeleweka wewe umewaharibu wale watoto tangu utotoni
umepata hela unawasomesha kayumba wakati wangesoma ulaya wangekubeba sana.
Wangeshaolewa na wazungu wana maisha yao mazuri, sio unakaa kaa bar hapa unaona fahari ungekuwa unapanda ndege unaenda kusalimia watoto wako kwa raha, huna akili mzee mwenzangu umewaharibu watoto wako wenyewe naomba usinipangie wala kunishauri maisha yangu!
Wangeshaolewa na wazungu wana maisha yao mazuri, sio unakaa kaa bar hapa unaona fahari ungekuwa unapanda ndege unaenda kusalimia watoto wako kwa raha, huna akili mzee mwenzangu umewaharibu watoto wako wenyewe naomba usinipangie wala kunishauri maisha yangu!
Basi kuongea vile Baba Pendo akakasirika, akapindua meza akarusha chupa ya pombe kwa Kibopa kidogo impasue uso maana aliikwepa, ngumi kati ya Baba Pendoa na Kibopa ikaanza, watu wakakimbia huku na huko, pombe imeingia mchanga kila mtu akakata mitaa yake nyumbani kwake
Baada ya mwezi mmoja mbele kupita, Pendo akapata simu toka kwa Kibopa, mambo mrembo uko wapi?
Pendo anashangaa leo imekuwaje?
Pendo anashangaa leo imekuwaje?
Kibopa: mama mbona kimya? unaendeleaje mimi kibopa, naomba tuonane Sea Cliff kesho ijumaa saa 1 usiku
Pendo: sawa, akakata simu. siku a mjumbe hio hio akatoka mapema ofisini akamfuata mjumbe no 5 kumweleza kuwa Kibopa kapiga simu kaomba waonane kesho Sea Cliff hotel,
Mjumbe no 5: akafurahi, shoga una jota ya jaaaahaaaa! nisubirie nyumbani bado kazi hazijaisha leo nakuletea kungwi akufundeee, usije ukaharibu tena iyo golden chance never comes twice mamaa, hongeraaaa!
Pendo: akaondoka akarudi nyumbani akapika, akafua, akajiandaa kumsubiria kungwi, kungwi kweli akaletwaa saa 2 usiku, Mama wa Tandale ndani ndani huko mswahiiiiliiii ananukia maudi mbayaaaa, kabeba mkoba wake umejaa ma chain ya kuvaa kiunoni, basi karahaaaa, Pendo anashangaa kweli darasa la leo ni kasheshe
Kungwi akafanya yake akatoa aaaalimu duniiiiaaaa kwa mrembo Pendo, Pendo anatoa macho tangu lini ng'ombe akanenepa kwa siku moja, hapa nina masaa yasiopungua 22 kuonana na Kibopa, uuuwi nahisi notes zitayeyukaa mwishoni maana mambo ni meeengi!
Kungwi darasa lilipoisha akapewa chake laki 3 akaacha contact kwa Pendo, shoga ukiwa na swali nipigie muda wowoteee nitakusaidiaaaa, akaondokaaa saa 5 usiku amekodiwa Taxi toka Mikocheni mpaka Tandika huko ndani ndani elfu 50 na laki 3 juuu akafuraaaahii
chezea laki 3 mchezo mchezo, sio kwa kitchen party cha masaa 3 mpenzi msomaji!
Mjumbe no 5: akafurahi, shoga una jota ya jaaaahaaaa! nisubirie nyumbani bado kazi hazijaisha leo nakuletea kungwi akufundeee, usije ukaharibu tena iyo golden chance never comes twice mamaa, hongeraaaa!
Pendo: akaondoka akarudi nyumbani akapika, akafua, akajiandaa kumsubiria kungwi, kungwi kweli akaletwaa saa 2 usiku, Mama wa Tandale ndani ndani huko mswahiiiiliiii ananukia maudi mbayaaaa, kabeba mkoba wake umejaa ma chain ya kuvaa kiunoni, basi karahaaaa, Pendo anashangaa kweli darasa la leo ni kasheshe
Kungwi akafanya yake akatoa aaaalimu duniiiiaaaa kwa mrembo Pendo, Pendo anatoa macho tangu lini ng'ombe akanenepa kwa siku moja, hapa nina masaa yasiopungua 22 kuonana na Kibopa, uuuwi nahisi notes zitayeyukaa mwishoni maana mambo ni meeengi!
Kungwi darasa lilipoisha akapewa chake laki 3 akaacha contact kwa Pendo, shoga ukiwa na swali nipigie muda wowoteee nitakusaidiaaaa, akaondokaaa saa 5 usiku amekodiwa Taxi toka Mikocheni mpaka Tandika huko ndani ndani elfu 50 na laki 3 juuu akafuraaaahii
chezea laki 3 mchezo mchezo, sio kwa kitchen party cha masaa 3 mpenzi msomaji!
Pendo:
Kesho yake muda ulipofika Pendo akaenda eneo aliloitwa, amepeeeeendeeeeeeza mwenyewe katua Sea Cliff na gari ya Mjumbe no 5, wakaongea weeee na Kibopa masaa 3 wanakula wanakunywa, Pendo anashangaa imekuwaje tena na Kibopa kunitafuta baada ya mwezi naaaa!
Kibopa: akaanza kumwaga sumu, Pendo unajua tangu usiku ule tulipoachana sijapata kabisa usingizi, nakuwaza wewe tu kila siku na ile nanihii yako ilivyokuwa safi ya kipekee, inateleza na tamu, sijawahi pata mtu kama wewe hata mke wangu sijawahi kumkuta bikra, sikuamini niliona kama Mungu amenishushia wewe!
Pendo: anashangaa huyu mzee vipi analeta mzaa au ananitafuta kwa round nyingine ya kunichezea?
Kibopa: ndio maana nimejifikiria mwezi na nusu kwa sasa nikaona nikutafute leo, kusema ukweli mimi nakupenda sana Pendo,
Naomba unikubalie ombi la mimi kuwa mpenzi wako wa milele
Naomba unikubalie ombi la mimi kuwa mpenzi wako wa milele
Pendo: anashangaa heee! hii research imekuwaje tena? mbona kama ishaanza kufeli wakati picha ndio kwaaanza linaanza
Kibopa: Pendo mama, kweli nayokueleza wala sijalewa mvinyo, mimi sijaoa ni mtalaka kwasababu mambo yalikuwa hayaendi
Pendo: akahisi anaotaa? akawa anajisemesha kichwani mwake, Mungu naomba uniamshe maana nahisi naotaaa
Kibopa: akaendeleza sumu kwa mrembo Pendo, Pendo anaona kama miujiza, baadae akamwuliza unasemaje Mama?
Pendo: akaona ngoja kwanza hii research isife, sitaki anione mimi ni rahisi rahisi, akamjibu HAPANA, siwezi kuwa na wewe samahani! akainuka kwenye kiti alichokuwa amekaa akashukuru kwa chakula na mvinyo akaondoka
Kibopa: akaduwaaa! mpare na mawe (hela) yangu nimekataliwaaa? hoooowwww?! akili ikamvurugaaaa!
Tuonane Tar 10 DISEMBA 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
---------------------------------------------------
Tuonane Tar 10 DISEMBA 2018 SAA 1 USIKU YA TZ
---------------------------------------------------
2 comments
Jitahidi kufupisha story itakayobeba maana kubwa
ReplyDeletePoa
Delete